Jamal (The Story Book): Fahamu kwanini Diamond alimuamini na kumpa cheo Wasafi TV, kujua vitu vingi

BONYEZA LINK HII KUTAZAMA SEHEMU YA PILI YA MAHOJIANO HAYA - • Jamal (The Story Book)...

Пікірлер: 272

  • @cyrabrown8609
    @cyrabrown86094 жыл бұрын

    Mimi hufuatilia Sana story book na wacha niseme this a very intelligent man

  • @jumannemfaume

    @jumannemfaume

    4 жыл бұрын

    Sure

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa7594 жыл бұрын

    Jamal ww Ni mbunifu mzur Sana tunakujua vzr kwasababu unajionesha kwa tv sio Kama wengine tunasikia sauti tu

  • @janatahmad7048
    @janatahmad70484 жыл бұрын

    ni kweli wakubal wsf ni radio kubwa sana

  • @marcelinojunior6340
    @marcelinojunior63404 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kutoka kwa Jamal,we need to be hardworking and much exposed ilikufika mbali, thank Jamal vijana tumekuelewa👍

  • @MESIAHANDREW-tj8mq

    @MESIAHANDREW-tj8mq

    10 ай бұрын

    🙏🙏

  • @joshuakimbe1251
    @joshuakimbe12514 жыл бұрын

    hongera kwa kazi nzuri bro sky napenda sana harakati zako nakufatilia tokea RFA wewe ni miongoni mwa hazina kubwa sana katika tasnia ya habari na burudani kwa ujumla kwanza kabisa huna ubinafsi kila anae stahili anapewa interview pili media yako haiposti habari bila uthibitisho pongezi nyingi kwa na team nzima ya ya sns

  • @sumaart8170

    @sumaart8170

    3 жыл бұрын

    Nakukubali sana

  • @yeasrmsafi7152
    @yeasrmsafi71524 жыл бұрын

    Sijutii MB zangu shukran sana

  • @cax1338

    @cax1338

    3 жыл бұрын

    😂😂😂 true....

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog73034 жыл бұрын

    Mm nampenda Sana professor Jamal april

  • @AbuArafat001
    @AbuArafat0014 жыл бұрын

    Nilipenda janaa alivoo towaa story ya nelson Mandela madibaa

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove43904 жыл бұрын

    Much respect to both of you

  • @godfreygeorge4613
    @godfreygeorge46133 жыл бұрын

    Kwa hii interview bundala unastahili 1million subscriber much respect to u bro! Best interview ever!

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.94664 жыл бұрын

    Dah! Big up Professor 🔥🔥🔥 #WASAFIMEDIA 🔥🔥🔥🙌

  • @Tiffany340
    @Tiffany3404 жыл бұрын

    Prof..Jamal.. respect bro..

  • @petermichagojr5521
    @petermichagojr55214 жыл бұрын

    Daaa jamaa huyu ni noma sana 💪👍

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani55624 жыл бұрын

    Ongereni sana kwakumleta jamali na mkumbali sana❤️❤️❤️❤️❤️

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын

    Aisee jamal kweli kilamtu nakipaji chake kusimulia kubali nikipaji chako Asante mungu Akuongoze zaidi nakupa hongera sanaaa naitwa nalay niko ughaibuni uku

  • @EmmOmb19367
    @EmmOmb193672 жыл бұрын

    With no scepticism, this guy is brilliant And his sentational narratives are addictive, Big 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mr Jamal

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow13234 жыл бұрын

    Namuelewa sana Jamal professor

  • @chainbre275
    @chainbre2754 жыл бұрын

    Mengi nimejifunza congrats #sns for this perfect opportunity that ur trying to give people to talk and to express their thoughts thoughts of success with with us 🙌💯❤️❤️❤️

  • @BravoMedia23
    @BravoMedia234 жыл бұрын

    SNS my Favorite Online Tv

  • @hustlerstv8248
    @hustlerstv8248 Жыл бұрын

    One of the fathers of history from Tanzania 🇹🇿 👏 from nakuru Kenya 🇰🇪 we love him ❤

  • @azirplatnums6958
    @azirplatnums69583 жыл бұрын

    "Msingi wa elimu hauko kwenye umri"🙌

  • @ramadhanminani314
    @ramadhanminani3143 жыл бұрын

    Much respect bro huwaga namkubali Sana huyu mwamba

  • @mikefuraha1345
    @mikefuraha13454 жыл бұрын

    If you get give...if learn teach

  • @famorsn9834
    @famorsn98344 жыл бұрын

    nan amegundua profesa ni mpole sana.

  • @jaydenkariuki6595

    @jaydenkariuki6595

    4 жыл бұрын

    Kweli ni mpole na mstaarabu

  • @videozaaj1069
    @videozaaj10694 жыл бұрын

    Jamal, Alikuwa producer wa e newz shot back na alikuwa anatangza hiyo segment alikuwa fundi sana.. And still ni fundi sana coz kichwa Chake kina mambo kibao sana

  • @leahkilagwa2207

    @leahkilagwa2207

    3 жыл бұрын

    True but nilikuwa nataman awe anaendelaea but ulikuwa mfupi

  • @stephanieeunice8572
    @stephanieeunice85724 жыл бұрын

    The love I have for this guy,he is a free Thinker.And as always intelligence turn me on,I love this guy

  • @ngalowoka

    @ngalowoka

    4 жыл бұрын

    Me too

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    4 жыл бұрын

    Turning you on

  • @hadijasaid8032
    @hadijasaid8032 Жыл бұрын

    Jamal Mashallah Mashallah napenda sana unavyo hadithia you are so amazing hongera sana mungu akubariki

  • @naslee1010
    @naslee10104 жыл бұрын

    umetisha sana #jamal pamoja na #sky

  • @shabanikaniki9747
    @shabanikaniki97473 жыл бұрын

    Jamaa anasomaa sanaa kumbe ndo maana the story book inaupekee fulan hv tofauti na story nyingine🔥

  • @aliceprincess3370
    @aliceprincess33703 жыл бұрын

    The story book it very public even us in Australia we are proud of you ❤️❤️

  • @delekalxon7221
    @delekalxon72214 жыл бұрын

    Wanang wa kibiti boyz (keybeat) kwa Njawa hit like apa

  • @hemedijr8333

    @hemedijr8333

    4 жыл бұрын

    Njawa namkumbuka pia mzumbe boys pale hahaha

  • @mustafauledi6258
    @mustafauledi62583 жыл бұрын

    Huyu jamaa anatisha namkubali vibaya sana. Mungu akuongoze kwenye kazi zako. Wasafi sehemu sahihi kwako Jamal, Amini nachokuambia wasafi sehemu salama

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses76946 ай бұрын

    Kinachonistaajabisha ni kwamba Jamal amezaliwa dar na kukulia dar. Alafu anazungumza KISWAHILI FASAHA KABISA. kwenye R. anaitamka R. Na kwenye L anaitamka vizuri L. . Nachukia sana wazaliwa wa dar wanavyokiharibu kiswahili . Mpaka hapo namuona Jamal ni number 1 Tz kwa kiswahili Fasaha

  • @josephmkuar7133
    @josephmkuar71334 жыл бұрын

    Wangoni tumebarikiwa Sana Hekima Hongera Sana professor

  • @dayocha1855

    @dayocha1855

    4 жыл бұрын

    Kweli wangoni tunatisha

  • @agnessantony7105

    @agnessantony7105

    3 жыл бұрын

    Woyooooo🔥

  • @ramamussa3375
    @ramamussa33754 жыл бұрын

    Prof jamal nakukubali sana kk

  • @annapeter5570
    @annapeter55704 жыл бұрын

    Yan ww kaka hamna siku umenikosha kuliko leo I lv Jamal oooh my god

  • @joelmwamlima9412
    @joelmwamlima94124 жыл бұрын

    Nimejifunza Vitu vingii sana kwenye hii Interview... sababu kubwa zaiidi ni kwakua nawakubali wote mtangazaji na mgeni. Sky na Jamal..

  • @chachadavid3849
    @chachadavid38494 жыл бұрын

    That is the best interview much respect sns and professol jamal

  • @user-rr6iq2do6v
    @user-rr6iq2do6v Жыл бұрын

    Jamal, you are a man of people. I Burundi turagukurikirana ukora neza. Warundi tunakufuatilia kwa uwezo mzuri wako.

  • @aftermath5226
    @aftermath52264 жыл бұрын

    Safi sana Jamal... Ni Professor wa Kwanza anaye jisifia juu ya yale anayoyafanya 😁✌ it's magical thing to seeing yourself on what you doing before anyone else, it's a great thing - Lusekelo A.M

  • @Coachsamwel

    @Coachsamwel

    Жыл бұрын

    It's good ee

  • @simonmolanga2250
    @simonmolanga22504 жыл бұрын

    Professor 🙌🏽

  • @martinezsiwale4419
    @martinezsiwale44194 жыл бұрын

    Jaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaal fundi

  • @gracewella2664
    @gracewella26643 жыл бұрын

    The story Book my Fav kipindi....Jamal upo vzr sana

  • @salumsultan1227
    @salumsultan12274 жыл бұрын

    ...Good ..great int.. 👏...Jamal!!

  • @samuelmajule54
    @samuelmajule545 ай бұрын

    Jamal nakukubali and I say big up sana my young brother.

  • @henryevarest6862
    @henryevarest68624 жыл бұрын

    Keep up the good work Jamal, Your Inspirational 👏

  • @tumahamza8972
    @tumahamza89724 жыл бұрын

    Katika vijana wachache wa sasa wanaoongea kiswahili kizuri,Jamal nitakuweka kwenye kumi bora. Nimependa sana lafudhi yako. Hata siamimi kuwa umezaliwa Dar na kukulia Dar. Huwa nakerwa sana na watu wanaoharibu kiswahili. Sasa hivi watu wameharibu mno kiswahili. Hakuna tofauti ya "R" na "L", H inawekwa sehemu ya A nk. Nachukia sana. Tena wengine eti wanajiita waandishi wa habari!!!

  • @ngaukamaita8449

    @ngaukamaita8449

    3 жыл бұрын

    Tatizo sugu la uharibifu wa Kiswahili

  • @chiefmahucha6847

    @chiefmahucha6847

    3 жыл бұрын

    Bro tupo wengi tunaokerwa na UHARIBIFU huo..! Na to be honest, "WAANDISHI WA HABARI" ndo wa kwanza kuharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    True say

  • @arifismael5609
    @arifismael56094 жыл бұрын

    Prof .jamal .big up

  • @swahumathumani2636
    @swahumathumani26363 жыл бұрын

    I like this good wow aah Prof Jamal Mustafah

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe4 жыл бұрын

    Kama Proffesor anakubali Diamond ni akili nyingi mimi nibishe ni nani? #MondiBabaLao

  • @timochazze9845
    @timochazze98454 жыл бұрын

    Diamond ni poa sana

  • @sharonchristian3711
    @sharonchristian37114 жыл бұрын

    💓💓💓this guy

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop10184 жыл бұрын

    Daaah kumbe wew ni Professor kabisa si kwa maelezo hayo duuh love you professor

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    Hv ndugu yangu uko wapi??

  • @ellybrown5989
    @ellybrown59893 жыл бұрын

    Asante kwa kutuletea Jamal April,sauti yake sasa!yaani hapo mmekutana....mbarikiwe Sana!nawapenda Sana!

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri69614 жыл бұрын

    Ahsante sana Jamal kwa kutuletea simulizi nzuri na za kusisismua ndani ya Wasafi Media. Mimi na familia yangu tunakufuatilia na kukukubali sana...Mungu azidi kukuongoza...🙏

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Жыл бұрын

    Nakupenda bure Jamel kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪👏👏👏🔥🔥🔥 unafanya vizuri sana 💪💪

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala50934 жыл бұрын

    Nakuelewa sana ndugu

  • @joycekathambi3072
    @joycekathambi30723 жыл бұрын

    You are very intelligent Jamal, mi ni mfuatiliaji WA the Story book

  • @itNeza
    @itNeza4 жыл бұрын

    @simulizi Mleteni Big chawa

  • @dismasruga1568
    @dismasruga15683 жыл бұрын

    Great of you Sky andJamal

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga63133 жыл бұрын

    Hongera sana brother Fred na your young brother Chris

  • @kinyovukilongola5620
    @kinyovukilongola56204 жыл бұрын

    Uyo jamaa ni konyoo ana madini adi anakeraa

  • @ngalowoka
    @ngalowoka4 жыл бұрын

    Namkubali sana jamal

  • @HurumaMbazu
    @HurumaMbazu3 ай бұрын

    Nimekubali professor Jamal

  • @eliaumetishatish2693
    @eliaumetishatish26933 жыл бұрын

    nimejifunza meng Sana leo Jamal uko vzur na mungu akutangulie kwa kila jambo

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani86653 жыл бұрын

    Safi Sana

  • @zephanialeonard3166
    @zephanialeonard31664 жыл бұрын

    BRO WIMBO WKO TU WA ONLY U. NAUPND KILA CKU NA SAIT AKO MAGORI MBAYA ZAID ULIEMSHRIKISHA DAAA! HTAREEEE SANA. LOV U DUE 2 THE SONG

  • @malaikaangel1968
    @malaikaangel19684 жыл бұрын

    we love admire Jamal

  • @videozaaj1069
    @videozaaj10694 жыл бұрын

    Bro tuletee big chawa hahahahaha miyeyusho sana yule nyau

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja40323 жыл бұрын

    Interview kali sana 🔥 🔥🔥

  • @user-uq6pb7yh6e
    @user-uq6pb7yh6e10 ай бұрын

    Nice jml

  • @kaburaakbar7069
    @kaburaakbar70694 жыл бұрын

    Jamal nakukubal san

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy43574 жыл бұрын

    Mwamba namuelew sana ,haswa kipindi walikuw pamoja na abdala mtiga, it was too 🔥

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha4 жыл бұрын

    Nakubal sana

  • @florachavila7244
    @florachavila72444 жыл бұрын

    Big up bro. You are intelligent

  • @elarifmohamed5681
    @elarifmohamed56814 жыл бұрын

    Ta ben parlé jamal🏆🏆🏆

  • @shabankawambwa4397
    @shabankawambwa43974 жыл бұрын

    Tulia wasafi wewe #usitokee na dirishani wewe

  • @jaydenkariuki6595
    @jaydenkariuki65954 жыл бұрын

    Hongera jamal mustapha

  • @ashahassan2120
    @ashahassan21202 жыл бұрын

    Nawapendanga sana hawajamaa wawli 😍😍😍 😘😘😘

  • @edgarmbena3579
    @edgarmbena35794 жыл бұрын

    bg up mwamba

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup683 жыл бұрын

    Namkubali sana jamal profesa

  • @josephmkuar7133
    @josephmkuar71334 жыл бұрын

    Huyo ni professor

  • @innocentmbise4777
    @innocentmbise47774 жыл бұрын

    Mwamba uyu jamaaaa

  • @godihkibe5728
    @godihkibe57283 жыл бұрын

    From 254 apa ,,ukiacha masomo uyu jamaa physical appearance enyewe n professor big up

  • @mpembajuice8780
    @mpembajuice87804 жыл бұрын

    September eleven11 wasaf media daah jamaa ulitisha sana

  • @selemanmayala9374
    @selemanmayala93743 жыл бұрын

    Jamal A

  • @subraissiaka6440
    @subraissiaka64402 жыл бұрын

    Kaka jamal 🔥🔥🔥♥️

  • @danielmsafi
    @danielmsafi7 ай бұрын

    I love this guy ❤️❤️

  • @nadirabdulrahman5400
    @nadirabdulrahman5400 Жыл бұрын

    mashallah jamaa namkubali snaa god bles y bro

  • @simonkabeya7251
    @simonkabeya7251 Жыл бұрын

    Jamal nakubali saana bro Ila natamani saana tuonane from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩congo

  • @beliusbugingo9526
    @beliusbugingo95263 жыл бұрын

    Jamal umetisha na presenter n noma

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11543 жыл бұрын

    Manshallah uwo namkubal sana Jamal huwa najifunza vitu vingi kupitia jamal

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19993 жыл бұрын

    My bro may God bless him

  • @didasrichard3068
    @didasrichard30683 жыл бұрын

    Dope

  • @nailengai7057
    @nailengai70576 ай бұрын

    Ur good

  • @ashamgombelwa5129
    @ashamgombelwa51294 жыл бұрын

    Nimekupenda bure

  • @Majambo_Duniani_Tv
    @Majambo_Duniani_Tv4 жыл бұрын

    respect jamal

  • @teresiahazivirawa-tz7gw
    @teresiahazivirawa-tz7gw7 ай бұрын

    Yes ❤️

  • @safariadrien5348
    @safariadrien53484 жыл бұрын

    Ndio maana ukamushinda ule kijana uliwahi kuandikia stories

  • @massawejose3594
    @massawejose35944 жыл бұрын

    Wewe ni mtu makini sana #jamal

Келесі