Jamal (The Story Book): Fahamu kwanini Diamond alimuamini na kumpa cheo Wasafi TV, kujua vitu vingi
BONYEZA LINK HII KUTAZAMA SEHEMU YA PILI YA MAHOJIANO HAYA - • Jamal (The Story Book)...
Жүктеу.....
Пікірлер: 272
@cyrabrown86094 жыл бұрын
Mimi hufuatilia Sana story book na wacha niseme this a very intelligent man
@jumannemfaume
4 жыл бұрын
Sure
@jameskilasa7594 жыл бұрын
Jamal ww Ni mbunifu mzur Sana tunakujua vzr kwasababu unajionesha kwa tv sio Kama wengine tunasikia sauti tu
@janatahmad70484 жыл бұрын
ni kweli wakubal wsf ni radio kubwa sana
@marcelinojunior63404 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kutoka kwa Jamal,we need to be hardworking and much exposed ilikufika mbali, thank Jamal vijana tumekuelewa👍
@MESIAHANDREW-tj8mq
10 ай бұрын
🙏🙏
@joshuakimbe12514 жыл бұрын
hongera kwa kazi nzuri bro sky napenda sana harakati zako nakufatilia tokea RFA wewe ni miongoni mwa hazina kubwa sana katika tasnia ya habari na burudani kwa ujumla kwanza kabisa huna ubinafsi kila anae stahili anapewa interview pili media yako haiposti habari bila uthibitisho pongezi nyingi kwa na team nzima ya ya sns
@sumaart8170
3 жыл бұрын
Nakukubali sana
@yeasrmsafi71524 жыл бұрын
Sijutii MB zangu shukran sana
@cax1338
3 жыл бұрын
😂😂😂 true....
@pikolaizaog73034 жыл бұрын
Mm nampenda Sana professor Jamal april
@AbuArafat0014 жыл бұрын
Nilipenda janaa alivoo towaa story ya nelson Mandela madibaa
@mpendwalove43904 жыл бұрын
Much respect to both of you
@godfreygeorge46133 жыл бұрын
Kwa hii interview bundala unastahili 1million subscriber much respect to u bro! Best interview ever!
@chiefkaitaba.m.94664 жыл бұрын
Dah! Big up Professor 🔥🔥🔥 #WASAFIMEDIA 🔥🔥🔥🙌
@Tiffany3404 жыл бұрын
Prof..Jamal.. respect bro..
@petermichagojr55214 жыл бұрын
Daaa jamaa huyu ni noma sana 💪👍
@bujsaudaselemani55624 жыл бұрын
Ongereni sana kwakumleta jamali na mkumbali sana❤️❤️❤️❤️❤️
@OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын
Aisee jamal kweli kilamtu nakipaji chake kusimulia kubali nikipaji chako Asante mungu Akuongoze zaidi nakupa hongera sanaaa naitwa nalay niko ughaibuni uku
@EmmOmb193672 жыл бұрын
With no scepticism, this guy is brilliant And his sentational narratives are addictive, Big 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mr Jamal
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Namuelewa sana Jamal professor
@chainbre2754 жыл бұрын
Mengi nimejifunza congrats #sns for this perfect opportunity that ur trying to give people to talk and to express their thoughts thoughts of success with with us 🙌💯❤️❤️❤️
@BravoMedia234 жыл бұрын
SNS my Favorite Online Tv
@hustlerstv8248 Жыл бұрын
One of the fathers of history from Tanzania 🇹🇿 👏 from nakuru Kenya 🇰🇪 we love him ❤
@azirplatnums69583 жыл бұрын
"Msingi wa elimu hauko kwenye umri"🙌
@ramadhanminani3143 жыл бұрын
Much respect bro huwaga namkubali Sana huyu mwamba
@mikefuraha13454 жыл бұрын
If you get give...if learn teach
@famorsn98344 жыл бұрын
nan amegundua profesa ni mpole sana.
@jaydenkariuki6595
4 жыл бұрын
Kweli ni mpole na mstaarabu
@videozaaj10694 жыл бұрын
Jamal, Alikuwa producer wa e newz shot back na alikuwa anatangza hiyo segment alikuwa fundi sana.. And still ni fundi sana coz kichwa Chake kina mambo kibao sana
@leahkilagwa2207
3 жыл бұрын
True but nilikuwa nataman awe anaendelaea but ulikuwa mfupi
@stephanieeunice85724 жыл бұрын
The love I have for this guy,he is a free Thinker.And as always intelligence turn me on,I love this guy
@ngalowoka
4 жыл бұрын
Me too
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
Turning you on
@hadijasaid8032 Жыл бұрын
Jamal Mashallah Mashallah napenda sana unavyo hadithia you are so amazing hongera sana mungu akubariki
@naslee10104 жыл бұрын
umetisha sana #jamal pamoja na #sky
@shabanikaniki97473 жыл бұрын
Jamaa anasomaa sanaa kumbe ndo maana the story book inaupekee fulan hv tofauti na story nyingine🔥
@aliceprincess33703 жыл бұрын
The story book it very public even us in Australia we are proud of you ❤️❤️
@delekalxon72214 жыл бұрын
Wanang wa kibiti boyz (keybeat) kwa Njawa hit like apa
@hemedijr8333
4 жыл бұрын
Njawa namkumbuka pia mzumbe boys pale hahaha
@mustafauledi62583 жыл бұрын
Huyu jamaa anatisha namkubali vibaya sana. Mungu akuongoze kwenye kazi zako. Wasafi sehemu sahihi kwako Jamal, Amini nachokuambia wasafi sehemu salama
@stephanomoses76946 ай бұрын
Kinachonistaajabisha ni kwamba Jamal amezaliwa dar na kukulia dar. Alafu anazungumza KISWAHILI FASAHA KABISA. kwenye R. anaitamka R. Na kwenye L anaitamka vizuri L. . Nachukia sana wazaliwa wa dar wanavyokiharibu kiswahili . Mpaka hapo namuona Jamal ni number 1 Tz kwa kiswahili Fasaha
@josephmkuar71334 жыл бұрын
Wangoni tumebarikiwa Sana Hekima Hongera Sana professor
@dayocha1855
4 жыл бұрын
Kweli wangoni tunatisha
@agnessantony7105
3 жыл бұрын
Woyooooo🔥
@ramamussa33754 жыл бұрын
Prof jamal nakukubali sana kk
@annapeter55704 жыл бұрын
Yan ww kaka hamna siku umenikosha kuliko leo I lv Jamal oooh my god
@joelmwamlima94124 жыл бұрын
Nimejifunza Vitu vingii sana kwenye hii Interview... sababu kubwa zaiidi ni kwakua nawakubali wote mtangazaji na mgeni. Sky na Jamal..
@chachadavid38494 жыл бұрын
That is the best interview much respect sns and professol jamal
@user-rr6iq2do6v Жыл бұрын
Jamal, you are a man of people. I Burundi turagukurikirana ukora neza. Warundi tunakufuatilia kwa uwezo mzuri wako.
@aftermath52264 жыл бұрын
Safi sana Jamal... Ni Professor wa Kwanza anaye jisifia juu ya yale anayoyafanya 😁✌ it's magical thing to seeing yourself on what you doing before anyone else, it's a great thing - Lusekelo A.M
@Coachsamwel
Жыл бұрын
It's good ee
@simonmolanga22504 жыл бұрын
Professor 🙌🏽
@martinezsiwale44194 жыл бұрын
Jaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaal fundi
@gracewella26643 жыл бұрын
The story Book my Fav kipindi....Jamal upo vzr sana
@salumsultan12274 жыл бұрын
...Good ..great int.. 👏...Jamal!!
@samuelmajule545 ай бұрын
Jamal nakukubali and I say big up sana my young brother.
@henryevarest68624 жыл бұрын
Keep up the good work Jamal, Your Inspirational 👏
@tumahamza89724 жыл бұрын
Katika vijana wachache wa sasa wanaoongea kiswahili kizuri,Jamal nitakuweka kwenye kumi bora. Nimependa sana lafudhi yako. Hata siamimi kuwa umezaliwa Dar na kukulia Dar. Huwa nakerwa sana na watu wanaoharibu kiswahili. Sasa hivi watu wameharibu mno kiswahili. Hakuna tofauti ya "R" na "L", H inawekwa sehemu ya A nk. Nachukia sana. Tena wengine eti wanajiita waandishi wa habari!!!
@ngaukamaita8449
3 жыл бұрын
Tatizo sugu la uharibifu wa Kiswahili
@chiefmahucha6847
3 жыл бұрын
Bro tupo wengi tunaokerwa na UHARIBIFU huo..! Na to be honest, "WAANDISHI WA HABARI" ndo wa kwanza kuharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
True say
@arifismael56094 жыл бұрын
Prof .jamal .big up
@swahumathumani26363 жыл бұрын
I like this good wow aah Prof Jamal Mustafah
@BigZhumbe4 жыл бұрын
Kama Proffesor anakubali Diamond ni akili nyingi mimi nibishe ni nani? #MondiBabaLao
@timochazze98454 жыл бұрын
Diamond ni poa sana
@sharonchristian37114 жыл бұрын
💓💓💓this guy
@officialmrtop10184 жыл бұрын
Daaah kumbe wew ni Professor kabisa si kwa maelezo hayo duuh love you professor
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
Hv ndugu yangu uko wapi??
@ellybrown59893 жыл бұрын
Asante kwa kutuletea Jamal April,sauti yake sasa!yaani hapo mmekutana....mbarikiwe Sana!nawapenda Sana!
@angelmashauri69614 жыл бұрын
Ahsante sana Jamal kwa kutuletea simulizi nzuri na za kusisismua ndani ya Wasafi Media. Mimi na familia yangu tunakufuatilia na kukukubali sana...Mungu azidi kukuongoza...🙏
@josephsimba3007 Жыл бұрын
Nakupenda bure Jamel kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪👏👏👏🔥🔥🔥 unafanya vizuri sana 💪💪
@khalfanmlala50934 жыл бұрын
Nakuelewa sana ndugu
@joycekathambi30723 жыл бұрын
You are very intelligent Jamal, mi ni mfuatiliaji WA the Story book
@itNeza4 жыл бұрын
@simulizi Mleteni Big chawa
@dismasruga15683 жыл бұрын
Great of you Sky andJamal
@rosemofuga63133 жыл бұрын
Hongera sana brother Fred na your young brother Chris
@kinyovukilongola56204 жыл бұрын
Uyo jamaa ni konyoo ana madini adi anakeraa
@ngalowoka4 жыл бұрын
Namkubali sana jamal
@HurumaMbazu3 ай бұрын
Nimekubali professor Jamal
@eliaumetishatish26933 жыл бұрын
nimejifunza meng Sana leo Jamal uko vzur na mungu akutangulie kwa kila jambo
@hamadiselemani86653 жыл бұрын
Safi Sana
@zephanialeonard31664 жыл бұрын
BRO WIMBO WKO TU WA ONLY U. NAUPND KILA CKU NA SAIT AKO MAGORI MBAYA ZAID ULIEMSHRIKISHA DAAA! HTAREEEE SANA. LOV U DUE 2 THE SONG
@malaikaangel19684 жыл бұрын
we love admire Jamal
@videozaaj10694 жыл бұрын
Bro tuletee big chawa hahahahaha miyeyusho sana yule nyau
@johnsonchonja40323 жыл бұрын
Interview kali sana 🔥 🔥🔥
@user-uq6pb7yh6e10 ай бұрын
Nice jml
@kaburaakbar70694 жыл бұрын
Jamal nakukubal san
@danielkenedy43574 жыл бұрын
Mwamba namuelew sana ,haswa kipindi walikuw pamoja na abdala mtiga, it was too 🔥
@gastonfuraha4 жыл бұрын
Nakubal sana
@florachavila72444 жыл бұрын
Big up bro. You are intelligent
@elarifmohamed56814 жыл бұрын
Ta ben parlé jamal🏆🏆🏆
@shabankawambwa43974 жыл бұрын
Tulia wasafi wewe #usitokee na dirishani wewe
@jaydenkariuki65954 жыл бұрын
Hongera jamal mustapha
@ashahassan21202 жыл бұрын
Nawapendanga sana hawajamaa wawli 😍😍😍 😘😘😘
@edgarmbena35794 жыл бұрын
bg up mwamba
@r14kgroup683 жыл бұрын
Namkubali sana jamal profesa
@josephmkuar71334 жыл бұрын
Huyo ni professor
@innocentmbise47774 жыл бұрын
Mwamba uyu jamaaaa
@godihkibe57283 жыл бұрын
From 254 apa ,,ukiacha masomo uyu jamaa physical appearance enyewe n professor big up
@mpembajuice87804 жыл бұрын
September eleven11 wasaf media daah jamaa ulitisha sana
@selemanmayala93743 жыл бұрын
Jamal A
@subraissiaka64402 жыл бұрын
Kaka jamal 🔥🔥🔥♥️
@danielmsafi7 ай бұрын
I love this guy ❤️❤️
@nadirabdulrahman5400 Жыл бұрын
mashallah jamaa namkubali snaa god bles y bro
@simonkabeya7251 Жыл бұрын
Jamal nakubali saana bro Ila natamani saana tuonane from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩congo
@beliusbugingo95263 жыл бұрын
Jamal umetisha na presenter n noma
@ukhutfatumah11543 жыл бұрын
Manshallah uwo namkubal sana Jamal huwa najifunza vitu vingi kupitia jamal
@TheSalma19993 жыл бұрын
My bro may God bless him
@didasrichard30683 жыл бұрын
Dope
@nailengai70576 ай бұрын
Ur good
@ashamgombelwa51294 жыл бұрын
Nimekupenda bure
@Majambo_Duniani_Tv4 жыл бұрын
respect jamal
@teresiahazivirawa-tz7gw7 ай бұрын
Yes ❤️
@safariadrien53484 жыл бұрын
Ndio maana ukamushinda ule kijana uliwahi kuandikia stories
Пікірлер: 272
Mimi hufuatilia Sana story book na wacha niseme this a very intelligent man
@jumannemfaume
4 жыл бұрын
Sure
Jamal ww Ni mbunifu mzur Sana tunakujua vzr kwasababu unajionesha kwa tv sio Kama wengine tunasikia sauti tu
ni kweli wakubal wsf ni radio kubwa sana
Nimejifunza kitu kutoka kwa Jamal,we need to be hardworking and much exposed ilikufika mbali, thank Jamal vijana tumekuelewa👍
@MESIAHANDREW-tj8mq
10 ай бұрын
🙏🙏
hongera kwa kazi nzuri bro sky napenda sana harakati zako nakufatilia tokea RFA wewe ni miongoni mwa hazina kubwa sana katika tasnia ya habari na burudani kwa ujumla kwanza kabisa huna ubinafsi kila anae stahili anapewa interview pili media yako haiposti habari bila uthibitisho pongezi nyingi kwa na team nzima ya ya sns
@sumaart8170
3 жыл бұрын
Nakukubali sana
Sijutii MB zangu shukran sana
@cax1338
3 жыл бұрын
😂😂😂 true....
Mm nampenda Sana professor Jamal april
Nilipenda janaa alivoo towaa story ya nelson Mandela madibaa
Much respect to both of you
Kwa hii interview bundala unastahili 1million subscriber much respect to u bro! Best interview ever!
Dah! Big up Professor 🔥🔥🔥 #WASAFIMEDIA 🔥🔥🔥🙌
Prof..Jamal.. respect bro..
Daaa jamaa huyu ni noma sana 💪👍
Ongereni sana kwakumleta jamali na mkumbali sana❤️❤️❤️❤️❤️
Aisee jamal kweli kilamtu nakipaji chake kusimulia kubali nikipaji chako Asante mungu Akuongoze zaidi nakupa hongera sanaaa naitwa nalay niko ughaibuni uku
With no scepticism, this guy is brilliant And his sentational narratives are addictive, Big 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mr Jamal
Namuelewa sana Jamal professor
Mengi nimejifunza congrats #sns for this perfect opportunity that ur trying to give people to talk and to express their thoughts thoughts of success with with us 🙌💯❤️❤️❤️
SNS my Favorite Online Tv
One of the fathers of history from Tanzania 🇹🇿 👏 from nakuru Kenya 🇰🇪 we love him ❤
"Msingi wa elimu hauko kwenye umri"🙌
Much respect bro huwaga namkubali Sana huyu mwamba
If you get give...if learn teach
nan amegundua profesa ni mpole sana.
@jaydenkariuki6595
4 жыл бұрын
Kweli ni mpole na mstaarabu
Jamal, Alikuwa producer wa e newz shot back na alikuwa anatangza hiyo segment alikuwa fundi sana.. And still ni fundi sana coz kichwa Chake kina mambo kibao sana
@leahkilagwa2207
3 жыл бұрын
True but nilikuwa nataman awe anaendelaea but ulikuwa mfupi
The love I have for this guy,he is a free Thinker.And as always intelligence turn me on,I love this guy
@ngalowoka
4 жыл бұрын
Me too
@BigZhumbe
4 жыл бұрын
Turning you on
Jamal Mashallah Mashallah napenda sana unavyo hadithia you are so amazing hongera sana mungu akubariki
umetisha sana #jamal pamoja na #sky
Jamaa anasomaa sanaa kumbe ndo maana the story book inaupekee fulan hv tofauti na story nyingine🔥
The story book it very public even us in Australia we are proud of you ❤️❤️
Wanang wa kibiti boyz (keybeat) kwa Njawa hit like apa
@hemedijr8333
4 жыл бұрын
Njawa namkumbuka pia mzumbe boys pale hahaha
Huyu jamaa anatisha namkubali vibaya sana. Mungu akuongoze kwenye kazi zako. Wasafi sehemu sahihi kwako Jamal, Amini nachokuambia wasafi sehemu salama
Kinachonistaajabisha ni kwamba Jamal amezaliwa dar na kukulia dar. Alafu anazungumza KISWAHILI FASAHA KABISA. kwenye R. anaitamka R. Na kwenye L anaitamka vizuri L. . Nachukia sana wazaliwa wa dar wanavyokiharibu kiswahili . Mpaka hapo namuona Jamal ni number 1 Tz kwa kiswahili Fasaha
Wangoni tumebarikiwa Sana Hekima Hongera Sana professor
@dayocha1855
4 жыл бұрын
Kweli wangoni tunatisha
@agnessantony7105
3 жыл бұрын
Woyooooo🔥
Prof jamal nakukubali sana kk
Yan ww kaka hamna siku umenikosha kuliko leo I lv Jamal oooh my god
Nimejifunza Vitu vingii sana kwenye hii Interview... sababu kubwa zaiidi ni kwakua nawakubali wote mtangazaji na mgeni. Sky na Jamal..
That is the best interview much respect sns and professol jamal
Jamal, you are a man of people. I Burundi turagukurikirana ukora neza. Warundi tunakufuatilia kwa uwezo mzuri wako.
Safi sana Jamal... Ni Professor wa Kwanza anaye jisifia juu ya yale anayoyafanya 😁✌ it's magical thing to seeing yourself on what you doing before anyone else, it's a great thing - Lusekelo A.M
@Coachsamwel
Жыл бұрын
It's good ee
Professor 🙌🏽
Jaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaal fundi
The story Book my Fav kipindi....Jamal upo vzr sana
...Good ..great int.. 👏...Jamal!!
Jamal nakukubali and I say big up sana my young brother.
Keep up the good work Jamal, Your Inspirational 👏
Katika vijana wachache wa sasa wanaoongea kiswahili kizuri,Jamal nitakuweka kwenye kumi bora. Nimependa sana lafudhi yako. Hata siamimi kuwa umezaliwa Dar na kukulia Dar. Huwa nakerwa sana na watu wanaoharibu kiswahili. Sasa hivi watu wameharibu mno kiswahili. Hakuna tofauti ya "R" na "L", H inawekwa sehemu ya A nk. Nachukia sana. Tena wengine eti wanajiita waandishi wa habari!!!
@ngaukamaita8449
3 жыл бұрын
Tatizo sugu la uharibifu wa Kiswahili
@chiefmahucha6847
3 жыл бұрын
Bro tupo wengi tunaokerwa na UHARIBIFU huo..! Na to be honest, "WAANDISHI WA HABARI" ndo wa kwanza kuharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
True say
Prof .jamal .big up
I like this good wow aah Prof Jamal Mustafah
Kama Proffesor anakubali Diamond ni akili nyingi mimi nibishe ni nani? #MondiBabaLao
Diamond ni poa sana
💓💓💓this guy
Daaah kumbe wew ni Professor kabisa si kwa maelezo hayo duuh love you professor
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
Hv ndugu yangu uko wapi??
Asante kwa kutuletea Jamal April,sauti yake sasa!yaani hapo mmekutana....mbarikiwe Sana!nawapenda Sana!
Ahsante sana Jamal kwa kutuletea simulizi nzuri na za kusisismua ndani ya Wasafi Media. Mimi na familia yangu tunakufuatilia na kukukubali sana...Mungu azidi kukuongoza...🙏
Nakupenda bure Jamel kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪👏👏👏🔥🔥🔥 unafanya vizuri sana 💪💪
Nakuelewa sana ndugu
You are very intelligent Jamal, mi ni mfuatiliaji WA the Story book
@simulizi Mleteni Big chawa
Great of you Sky andJamal
Hongera sana brother Fred na your young brother Chris
Uyo jamaa ni konyoo ana madini adi anakeraa
Namkubali sana jamal
Nimekubali professor Jamal
nimejifunza meng Sana leo Jamal uko vzur na mungu akutangulie kwa kila jambo
Safi Sana
BRO WIMBO WKO TU WA ONLY U. NAUPND KILA CKU NA SAIT AKO MAGORI MBAYA ZAID ULIEMSHRIKISHA DAAA! HTAREEEE SANA. LOV U DUE 2 THE SONG
we love admire Jamal
Bro tuletee big chawa hahahahaha miyeyusho sana yule nyau
Interview kali sana 🔥 🔥🔥
Nice jml
Jamal nakukubal san
Mwamba namuelew sana ,haswa kipindi walikuw pamoja na abdala mtiga, it was too 🔥
Nakubal sana
Big up bro. You are intelligent
Ta ben parlé jamal🏆🏆🏆
Tulia wasafi wewe #usitokee na dirishani wewe
Hongera jamal mustapha
Nawapendanga sana hawajamaa wawli 😍😍😍 😘😘😘
bg up mwamba
Namkubali sana jamal profesa
Huyo ni professor
Mwamba uyu jamaaaa
From 254 apa ,,ukiacha masomo uyu jamaa physical appearance enyewe n professor big up
September eleven11 wasaf media daah jamaa ulitisha sana
Jamal A
Kaka jamal 🔥🔥🔥♥️
I love this guy ❤️❤️
mashallah jamaa namkubali snaa god bles y bro
Jamal nakubali saana bro Ila natamani saana tuonane from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩congo
Jamal umetisha na presenter n noma
Manshallah uwo namkubal sana Jamal huwa najifunza vitu vingi kupitia jamal
My bro may God bless him
Dope
Ur good
Nimekupenda bure
respect jamal
Yes ❤️
Ndio maana ukamushinda ule kijana uliwahi kuandikia stories
Wewe ni mtu makini sana #jamal