The Story Book: ZIWA CHALA, Nyumba ya Mizimu ya Kichaga❗️ (LAKE CHALA Swahili Documentary)
Ойын-сауық
The Story Book: ZIWA CHALA, Nyumba ya Mizimu ya Kichaga❗️ (LAKE CHALA Swahili Documentary)
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 558
Wachaga wote gonga like hapa 🇹🇿🇰🇪🇺🇬
@tinashialove1672
Жыл бұрын
Wataita wataveta gonga like pia✌️😊🥰
@levinashirima
Жыл бұрын
Tupoo
@allahisone6386
6 ай бұрын
🎉
@yohanamagehematictok
5 ай бұрын
Shemeji yenu nipo hapa jiandaeni kula mishikaki ya 🐕😂😂😂😂😂
PROFESOR NINA WAZO . pengine Ushawai fikiria na kuanza kuchukua Hatua Ila Kama bado Basi wazo langu ni Fanya the Story Book Iwe level ya international ili upate Viwers wengi na subscribers kwa Kutranslate Story kwenda kwenye Lugha ya kiingereza kwa Kuweka Subtittle Ya kiingereza .Naamini itasaidia sana 🤝🏾
@lewinmukui70
Жыл бұрын
Mbona wazo duni Jivunie Kiswahili. Nani kasema lugha YA mama wa kizungu Ndio mawasiliano YA kitaifa. Jamal dactari wa lugha yetu azili. Hongera.
@paulnyika5817
Жыл бұрын
@@lewinmukui70 Wacha siasa
@kibeginiblue7188
Жыл бұрын
@@paulnyika5817 kweri ajui biashara sio wote wanajua kiswahili
@binhussain3445
Жыл бұрын
@@lewinmukui70 Wazo duni vipi Broo
@praygodmass7809
Жыл бұрын
Goood I wish hizi story za nyumbani waweke subtitle ya kingereza itavutia utalii piaa
Naomba like zenu kwa professor
From Kenya 🇰🇪 Jamal ni bingwa gwiji🎉❤❤❤
Sitalisahau hilo ziwa sababu lilimpoteza mwanafunzi mwenzetu live tukishuhudia Rest easy Moges Chacha
@gracesilayo7670
Жыл бұрын
Duuuh Pole Sana
@SPECIOZA29
11 ай бұрын
Pole
@obadiajonas9889
5 ай бұрын
mmh hatari
@user-ym5ko9ov2o
4 ай бұрын
Alifanyaje
@chage797
3 ай бұрын
Alileta ujuaji wa kikurya
Jamali umeleta story ya Chala? Mungu akubariki sana .Pambana Baba. Nilifikiri ziwa Hilo halijulikani.
Nazipenda simulizi zako kaka,hongera sana.Kenya we love you bro.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwenye hizi video uwe unaweka na subtitle za kiingereza . Hongera sana kwa kazi zako ni mzuri sana
We jamaa unajua sana. Ebu anza kuweka subtitles za kiingereza Ujiuze kimataifa. Huenda ukalamba shavu kubwa zaidi. 🙌🙌🙌🤔🤔
Watching from Washington DC nimemis nyumbani Rombo Tanzania my home land
@jacklinekimario296
Жыл бұрын
Hi Dennis
Hatuambiani km tayari huku jamanii🤣. Nakupata from songea professor.
Huku kwetu Taveta kuna watu wenye majina ya Kimaro na Meriki, na nimesikia mwenyeji wako akisema kuna koo za kichaga zinaitwa hivyo. Daah historia tamu hii
@selinamutuku607
Жыл бұрын
Chala hotel still there?
@christopheritambo1315
Жыл бұрын
@@selinamutuku607 Gai I guess bado iko ju nakuaga Nairobi siku hizi.
Wewe Jamaa Una Akili Sana, Unaset Standard Ambazo Wengine Ni Ngumu Kuzifikia, Panapo Uhai Utayafanya Makubwa Sana, Mimi Naamini Hivyo.🙏
@jumannemohamedy1456
Жыл бұрын
Hakika huyu jamaa anajua sana Allah amzidishie kujua kwa undani zaidi ili atufunze na sisi zaidi ili nasi tujue kupitia kwake Naweza sema huyu ndo mfuatilia historia bora Afrika nzima
Habar mkuu Hongera sana kwa hii story mm nafikiri ungejikita zaidi kwenye stori kama hizi japokuwa zinatumia gharama kubwa
Wanao kubar hadithi za nyumbani tz tujuane hapa like za kutosha
Napendaga kusikiliza story za Jamal nimesahau kuweka prof Jamal❤️❤️❤️ ...
Nimeipenda sana hii simulizi ya ziwa chala, nimefurahia sana, na msimuliaji pia yupo vizuri. Asante sana 17.02.24.
Jamal ukimalizana na Tanzania kindly kuja Kenya alot of history tanzanian people would like to know
Much love from home land Rombo Tanzania...ziwa lilipo
@paulnyika5817
Жыл бұрын
Sawa jirani
Naipenda sana sauti yako in sauti ya matumaini,busara na hekima kama Solomon Ahsante kwa ubunifu mungu akubaliki sana
Kazi nzuri professor sana ( lake chala ).... sasa naomba siku moja utupe story kuhusu mlima kilimanjaro 🏔🏔 na maajabu yake
Napenda sana....Karibu kenya upige story ya siwa yenye maji moto ya itwa lake bogoria
@yohanamagehematictok
5 ай бұрын
Tupe story kwa ufupi
Kutoka kwako tunaziona fursa .Thank you very much
Story nzuli sana tatizo muda ni mdogo niomba japo hongezeke muda hiwe saa moja au nazaidi
Nilifika ziwa chala Mwaka jana niliogelea na kuendesha kiboti hadi katkati ya ziwa chala ❤ nalipenda sana
Lake Chala...aisee tulipiga mguu kuyafikia maji... Big up jamal
I have searched a lot for the history of this lake, but I was not lucky enough to find the truth, but today, Jamal, you gave me the story I was looking for a long time,,I am here from Portugal 🇵🇹 Eu gosto muito de suas histórias e estarei sempre com você
@aliandrew3537
Жыл бұрын
Majina kimaro na koo zote zilizotajwa zipo taveta KE pia
@mtindobanga6540
Жыл бұрын
Prof Jamal, u really deserve the best.
@godwinmosha4274
7 ай бұрын
Stay at running good things' around
we respect him so much in kenya
Wow wow 👌 kumbe ni sehemu nzuri nikajua niliipenda mimi tu kumbe tupo.wengi nakumbuka nilienda hapo 2018 na wenzangu kufurahia I ❤ Tanzania 🇹🇿 #thestorybook
Unajuhudi yakazi jamal shukran 👍
I like the storys u give us ...ur talented Prof Jamal....I was there some time later I have been there for 4 times but on the Kenya side....I also went on riding boat tho it's a very scaring place😢. Thanks professor at least Leo nmejua mengi pia but ata Leo side ya Kenya Kuna watu wanaishi humo ndani Kwa mapango.🇰🇪🇰🇪
I love you Jamal ❤️ Quite a narrator 👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪We love you from Kenya.
I have liked the job u do profesa keep it up mm nimchaga ila ckuwah kujua
Kaka unapiga kaziii sanaaa.... Bless sana mungu akupe nguvu zaidi inshaallah
I like your kiswahili🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ni miongoni mwa stori nzuri sana kutoka #thestorybook
Stori imenivutia Sana, Tanzania nchi yenye vivutio maridadi. Najivunia nchi yangu. Ila huyo Mzee aliyekuwa muuza sumu daa 😭
Hongera kaka kwani nimejia mengi kupitia simulizi zako, endelea n kazi hiyo nzuri.
Jamali huna Baya brother 🇹🇿👏 Wasafi🇹🇿 number 1
Dah ckuwah kujua kama Kuna Hilo ziwa
Good job bro jaman bisho
Vraiment tu es meilleur mon grand je valide depuis la République démocratique du Congo
@thomasmuisu4667
Жыл бұрын
asante ndugu kwa ushirikiano lakini jaribu kiswahili💪💪💪
Keep it up bro Jamaal. Naomba next utuletee simulizi ya "Racis of the World" tujue ni kwa nini binadamu wako rangi tofauti Duniani
imenikumbush advance Aina za maziw.Chala ni ziw mmojawapo lililotokea kwasababu ya mlipuko w 🌋 volcano.honger proffesa Jamal💪
The story book inanijuza mengi Sana amboyo sikuyafaham apo kabla. Be blessed Jamal
watching from Thika Kenya 🇰🇪🇰🇪.... love your works Jamal April 💙💙
@aliandrew3537
Жыл бұрын
Hii mto pia imeingia mpaka taveta Kenya mahala penyewe paitwa CHALA home ground iko mwaa tembea ujionee mambo KE taveta na TZ arusha we share the lake
@mwambuisaac9282
Жыл бұрын
This is just miracles from GOD
Nakubal bro pia asant kutujuza mm npo Moshi Kilimanjaro Ila nilkuwa cjui asili ya ziwa ilo
Very entertaining, I love this documentary
Nashukuru kk mungu akulinde katika kazi zako
nimezaliwa Kilamanjaro lakin nilikuwa silijuwi kabisa ndiyo kwanza nalijuwa kupitia hapa keep it up bro kaz nzur
@Tumaini_gil
5 ай бұрын
We acha Bwana
Big up brother nakupenda mnooo unasimulia adi na moyo wangu unasisimka love
Shukrani kwako Professor Jamal April... Mimi Kama Mchagga wa Rombo nimefurahi kupaelewa Mahala hapo kwa mara ya kwanza...🇹🇿💯.. Hakika Tz tuna mengi ya kujivunia
Vyombo vya Habari vya Tanzania vimeshindwa kuandaa documentary ya kitu kama hk hongera KTN
@sylvesternyange4115
Жыл бұрын
#The story book 📚 ni ya KTN kumbe? 😳😳
@dottorichard4437
Жыл бұрын
@@sylvesternyange4115 jamani
@chachamachera2804
4 ай бұрын
Wakenya bhanah mnapenda kujimilikisha nyinyi haha haha .
My best favorite program in all Fridays ,much love outta Kenya 🇰🇪🇰🇪
@johnwayne1842
Жыл бұрын
One love ❤ ..... kenya is our second home !! Sisi kama watanzania
@msafirizakayo539
Жыл бұрын
Saf sana kwa habari nzur
Story book inatufunzaa mengi Sana kwakweli . Nakikubali Sana hiki kipindi
anaemnyima like na comment Mr jamar bas atakua Hana shukran mtu anasaka mambo kias hik alaf tunashndwa kulike
Jamal sijaah kugupinga🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮
Jamali mstapha unapataje habari kama hizi una tutisha ! Au ndio uprofesa
Upo vzr san bro! SALUTE professor Jamal April we learning alot from you...🔥
pamoja na hapo kuna sehemu nyingine juu kwenye huo msitu kuna historia kubwa sana ndani ya huo msitu wa rombo jaribu kutafuta historia vizuri kaka
@dicksonmoshi9808
Жыл бұрын
My esstr
Jamani jamanii huko mbona panatisha sasa 🙌 Asante kwa kutujuza bwana
I like it from drc🇨🇩🇨🇩💪
Nakupenda sana jamal hongera sana kwa historia unazotuletea💖
Nataka nikukuakikishie kiwa Aja tokea msimuliaji kama wewe Jamal ningekuwa na pesa ningekuowea ata mke
@jonasibraysoni1859
4 ай бұрын
Unamjua mtiga abdala ww😅😅
Nimesha ogelea na kuendesha boti hapo lake chala iam from tarakea rombo likes kama zote👊👊
Nzuri💯💯
Mimi kila siku hug'oja the story book napenda sana sauti yako hata kama ninamawanzo basi huwa nasikiliza the story book hadi na lala
@tinnahmosha5177
Жыл бұрын
Had mm hvo hvo... Saut ake inanibembeleza wallah 😍😍
I love what you are doing Professor i love tourism and on a daily basis i happen to study the nature and attraction sites through you . I just love your work and i wish to do the same.. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chakushangaza huku gika sehemu ya challa upande wa Taveta, upate pia simulizi zetu za sana taveta upande wa challa,tumekosa kujengewa Barabara ukukwetu sababu ya "mizimu" iliopo lake Challa kwasemekana kuna Crab mkubwa umo
@martinjackson1668
Жыл бұрын
crab ndo nn
Big love from Kenya professor jamal mustafa continue like that Allah akufanyie jambo la kheri
Mikoa ni mungu sana apa Tanzania muwe mnatembea vivutio
Kwa jinsi ninavyopenda wonderful creation of God...na historia na kufahamu mengi...Mr Jamal 😊big up ...hongera .....kila nikiwa online ...l must check in ....The story book... amazing ... hongera Mr.Jamal safi sana
Oh absolutely amazing.... 💯💯✅✅🙏
🔥🔥🔥 🔥🔥🔥🔥 ujawahi kosea
Mimi mwenyewe mchaga lkn nilikuwa sijui kuhusu ziwa Chala Asante Kwa kutujiza
Daah we jamaa ubarikiwe xnaa uendelee kuwepo tu mungu akusimamie ktk kila jambo mi binafsi nakushukuru xnaa mana umenifundisha mambo mengi xnaa kupitia the story book najua mpk vizazi vingi vijavyo vitafahamu mambo mengi ya hii dunia kupita ww apo Jamaly ....Mw/Mungu akubariki kwa kila jambo akupe maisha mema na marfu na uelewa zaid na zaid🙏🙏🙏
Cant wait to go there soon naenda kushoot thanks wasafi,thanks bro jamal
Safi sana bro.
Kaka huku Mbeya Kuna ziwa kama Hilo na Lina muundo au mwinekani wa Ramani ya Africa.....Tunaliita ziwa Ngosi
@lilyhery8134
Жыл бұрын
Hilo ziwa story yake kuna mtu aliombwa maji akanyimwa ndo Kijiji kikafunikwa
It's story time 💯wapi kwingine kama si the story book
I like your story brooo jamal april
Hapo Jamal umeingizwa chaka kidogo, ziwa chala halijaanzia hapo creater. Lilianza juu Machame Aleni huko sehemu moja inaitwa Samala. Ni creater kubwa sana mara tano ya hicho kicreta hapo Irunguni. Ulizia vizuri.. Samala iko Kitongoji cha Tokora kijini cha Machame Aleni.. Ni juu milimani zinakoanzia safu za mlima kilimanJaro.
Ubarikiwe kwa unacho kifanya Mungu akupe uwezo zaidi na zaidi utuletee mengi zaidi kwani sio wote wanao weza fatilia yote , adi kutufanya nasi tupate kusikia na kupata utarii wa macho kupitia Adroid zetu viganjani.
Thank u Kakaa umekua mwana utalii pia
Mungu akuongezee palipo pungua kaka unatuelimisha sana
Hapo profesa nakupa big up hili ziwa lipo karibu na hom lakini huwa tunalichukulia simple sana , wazungu huenda kutalii sana huko
KUNA RAFIK ANGU ALIFIA HAPO ilikuwa likizo alienda kuenjoi ila alizama umo bahat mbaya 😰😥 VERY EMOTION...!!
@maryshiny2459
Жыл бұрын
Ni Moges Chacha
Thank you for always giving us the best
My boy just hit it again 😂😂😂, love your channel Mr April Jamal Mustafa
Watching from kenya kwa zakayo mwenyewe....
Professor Jamal we ni mwamba sana
duuhhhhhh weeeehhhh kaka mm hta nimeanza kkuogopa ssa unatoa wpi hzi vtu zote na unazijua kiundani zaidi duuhhhhhh mm wallahy nakuogopa kbsa
Another one 🔥🔥 moto kama pasi
Stori ya yule mzee imenisisimua aliyezamishwa na volcano
Nakumbuka tulienda picnic hapo ziwa chala tukiwa tunasoma kilimanjaro boys,tulitembea tangu saa kumi alfajiri tukafika saa tano asubuhi,nyoka wengi sana,tulirudi kesho yake hamna aliyeweza kunyanyuka kwenda darasani
Nawewe ulikua umengoja Kwa hamu the story book Najua mandonga mtu kazi atapita bila kucoments
Nakuelewa sana professor endelea kutuleta madini 💪
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
Eew
Ohh! Nilitaman sana kufahamu kuhusu Lake chala.... Finally nimeelewa sasa.. Maana niliwah enda humo but sikuelewa ilikuwaje had pakawa ziw coz niliambiw palikuw mlima story zkawa znanichanganya...
Najifunza mengi san kaka, Mungu akufunulie mengi 🙏
Big-up Jamal and your team for amazing story of lake chala.