KUMBE NANDY ALIANGUKA NA MIMBA YAKE KWENYE HARUSI, BILLNAS HAKUTAKA HATA KUONA, AFUNGUKA A - Z
Ойын-сауық
KUMBE NANDY ALIANGUKA NA MIMBA YAKE KWENYE HARUSI, BILLNAS HAKUTAKA HATA KUONA, AFUNGUKA A - Z
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#nandy #BandaLaVideo #MtuImara
Пікірлер: 93
Mume anae jali tuuu ndiye anaweza kuongelea kuwa hatamani mke wake aende leba mara nyingi##what a caring husband""congrats BILLNANDY
Bill you are a real gentleman
nenga forever ✌️✌️ napenda vile ulivyo mngwana...say hi to Africa queen 👑.
I lyk the way anajua kujieleza❤
huyu dada alovaa nyeupe nilijua divathebouws😂😂pia pole yake Nandy Mungu ampe afya njema🙏
@mwajumakulugai6416
Жыл бұрын
😂😂😂 divaa wa mchongo
@Laura-gv4wb
Жыл бұрын
Mapuwa kaka Diva🤣🤣🤣🤣
@nasraabdallah850
Жыл бұрын
@@mwajumakulugai6416 🤣🤣🤣
@nadiamusa26
9 ай бұрын
Sababu ya hilo wigiii 😂😂😂😂😂
Nyie uyo mwenye Shangazi kaja zake ni nani 😂,, haya na uyo na kope zake kama fagio la chuma la mbinguni 😂😂😂🙌🏻
@molomiraj809
Жыл бұрын
Yani so pow shogaa
@silyadamian5708
Жыл бұрын
😂😂😂🙌
Nenga kama nenga huna baya bro wagwan my brother ## @Moshi,Kilimanjaro Tz.
Dada mwenye mawani meupe anajikuta nani cjui alivyomnyali dada wakope mmmmmh
@preciospaulo2774
Жыл бұрын
Yeye mwenyew alivyo sasa😂😂nimecheka
@mwajumakulugai6416
Жыл бұрын
😂😂😂🙌
@jakazimtanga4157
Жыл бұрын
Hahahahahaaa
Pole sana mrs bill na ongela kwako
Dada mweny kope🤔
Nawapenda mr &mrs bill
OfficialWatson anajua
Kope jamani????🤣🤣🤣blazaa hongela sana
@husnathoya4009
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Bosi Kimaro anaaga nguoo 😂🤣🤣🤣
The real gentleman indeed may God bless there married
Sasa huyo aliyevaa shangazi kaja hahaaaa mjini sihami
Mko wambea kweli😂😂😂
Bilnas anaakili lakinii.....Nandy kapata mume
Billnass ongera ila uyo dada mwenye kope dah kama ngedele😆😆😆
WASAFI wabunifu sana
Iyo mikope Sasa🤦🤦
Uyo ndio nenga mwamba himara saruti pia mwamba imaraaaaaaaaaaaaaa
Nenga sasa nimekuelewa kumbe ndio maana ulikua bize na simu vile kumbe ulikua unashoot duuuh wachaga oyeeeee, hakuna kupoteza muda yan
I love you nenga good blues you and nandi
Naomba nawewe uache kunywa nakuombea ili maisha yenu yaendeleee kubarikiwa
Sio kwa kope izo jmn🤔😂😂😂😂😂
@husnathoya4009
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😉
Ukimfuatiria Huyu mkaka kwa ukaribu utajua Kwann nandy aliolewa nae licha ya kwamba nandy ni msanii mkubwa na anamzid bill money na umaaruf kaka Ana caring sana Woiii
Ilike more
MWENYEZI MUNGU awabariki
Nenga👌🔥🔥
Boss kimaro nakuona kwa mbali na suti yako ya kila siku
sinywi lakini grooveback, mawasiloano, 255 sikosi
Unaelezea sanaaaaaa
Dada wa miwan anajilamba
Boss kimaro ndio mwenye Uyo Dada wa shades za white
Nilikua sijamuon makope 😂😂😂
@sanisani5266
Жыл бұрын
😆😆
Nandy ame pata mume
Mafioso inc mtu poa
🔥🔥🔥🔥
Mtu imara mbona unamwangalia sana huyo dada alie vaa shati jeupe
Blother..dada mweny kope
Izi kope nimezipenda
Am tz🥰🇹🇿 una mtazamo kama yang hata mm macho gafla nilimuona DIVA wa LAvi Davi true ❤LIKE
Huo ni bibi harusi mbona sielewi jamani 😃😃😃
@nuriahomari2020
Жыл бұрын
Ata Mie sielewi 🤔😂😂
Mbn hatuoni Kama kweli kadondoka
🥰🥰🥰
Kope dada kopeeeee 😂
Kwaiyo ww mkandala au😁😁😁
😍🔥🔥🔥
Nakipenda sana hichi kipind sana
Is wasafi tv a gossip station? Asking for 50 others
Jaman izi kope
Kumbe😂😂
Kwani huyu dada namakope yake vp
Uyo dada kauliza swali la kipuuzi sana
@yasintachale3534
Жыл бұрын
Kolo huyo
Hiyo kope jamani
@mariagodfrey8635
Жыл бұрын
Nkajua miwani😂😂
Duuuh nilikuw xjui pole yak jmn
@nicacosta360
Жыл бұрын
😂😂😂
Wasabasi musha komeswa wacheni umbea
@rosemahenge9071
Жыл бұрын
Ebu jifunze kwanza kuandika bibie ndiyo umesemaje eti🤷♀️
Uyo dada wa nyeupe kolo swali ganiiiiiii hilo
💪💪💪 uliskia hii kzread.info/dash/bejne/iK6OqLWsZNTXmZc.html
Yani bilnass ni mtuh ambae anapenda story zaidi kuliko kula halafu anastory za uongo sijaona nishakaa nae huyo mwamba
@beatricekassim6190
Жыл бұрын
kwahy kaongea uongo😂
@priscahmutambuki1974
Жыл бұрын
Lakini ana hela kuzidi wewe
@honorothasiriwa1298
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Toka apa
@julianashirima7726
Жыл бұрын
mhhhhh
@maikokaseke6146
Жыл бұрын
Unataka likes