PART 1: SAMIA QUEENS - WANAWAKE MOTO (STUDIO) | SAMIA QUEENS WAKIREKODI, ZUCHU, NANDY, ANJELLA...
Ойын-сауық
PART 1: SAMIA QUEENS - WANAWAKE MOTO (STUDIO) | SAMIA QUEENS WAKIREKODI, ZUCHU, NANDY, ANJELLA...
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 235
mbosso mimi nakubali sana uwandinzi Mungu akupe maisha marefu
Mbosa ni moto kwa kweli mtunzi mzuri sana blaza huyu respect kwako, tunapenda kaz zako na wasafi kwa ujumla kuupushi mziki mzuri wa Tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Sunflower001-xt3ou
4 ай бұрын
Nyimbo imeandikwa na zuchu, mbosso amekuja tu kujazia na kurekebisha vipande vidogo
@SamairaSameer
4 ай бұрын
@@Sunflower001-xt3ounyimbo ametunga mbosso kama hujui sas
@blessmimi
4 ай бұрын
Zuchu wrote this song in January
@espy18
4 ай бұрын
Zuchu kaandika nyimbo Mbosso amekuja tu kushindikiza
@valeriachipeta774
4 ай бұрын
@Sunflower001-xt3ou kwa hyo unapingana na watoa taarifa yao,ww ndio unajua zaid🤣🤣🤣🤣
that song is very strong, I really like the music of tz, I really like it
Sauti ya nyimbo hi inaekezana na nyimbo ya.Dimpoz.diamond.jux na melody.
Kumbe mbosso ana uwezo mkubwa hivi daah sikuwai kulifikilia hili
looooh!! zuhura nomaaaa sana❤❤❤❤
Mbosso bravo respect Bravo à vous tous les filles 👍👍👍👋👋👋👋👋👋💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐♥️♥️♥️♥️🐎
Queen darling nae yuko poa sana ushirikiano between zuu na nandy 😊
Mbosso Kiboko, Apewe mauwa yake. 😎
@NajmaKhan-tq9gy
4 ай бұрын
😂
Kweli moto🙌🙌🙌
Ogh but Queen darlin verse ,,she really went in the song with her different style guys just repeat the song .much love from Namibia..
Kumbe alie andika alicho Imba Nandy ni Zuu ( Alafu Mnamlinganisha Zuu na Nandy kweli? Mnamkosea Heshima ) 👑😎🌹
@SamairaSameer
4 ай бұрын
Ameandika mbosso wimbo
@desmaambiche1679
4 ай бұрын
Zuuuuuu moto wakuotea mbali
@blessmimi
4 ай бұрын
@@SamairaSameer Zuchu wrote this song in January
Zuchu is beautiful ❤
Kumbe hii nyimbo iliandikwa kitambo kuna kipnd hii clip ilivuja watu wakasema kuna ngoma ya zuchu inakuja kumbe ilikua ni collabo ya samia queen
zuchu mwalim wao WCB wapo juu
Mbosso ww ni fundi sana❤❤❤
Zuchu kiboko apewe mauwa yake ngoma ni kali anajuwa kuandika mtoto wa kizenji
Nandy the best verse and vocal
Nandy kasema haaaa inamkataa ila ukweli nandy na zuchu Wana ushirikiano mzuri
Zuchu the best ❤ 👑
Niatar kbs kazi njema wasanni mpendane 🎉🎉🎉🎉😮😮
Nandy umeuaa❤
Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House Harmonize alikua anatimiza maagizo ya Wachawi wake... Maskini Diamond 🙏😭🇹🇿🦇🦇🦇🦇
Mmmmh moto
Zuchu anaweza
@SaumuNasenya
4 ай бұрын
Kabisa
Lovely,well done Queens,Samia hoyee,UWT safii❤
Sasa wale wanasema Nandy na zuu awapatani weko wapi jamani? Eeeee mungu awalinde msigombana
Napenda san nyimbo hii
I admire the love tanzanianshs have
Wangapi waliona gisi zuchu alivyo msimamisha anjela tuonane kwenye likes
@najmasalim-rg6ow
4 ай бұрын
Gisi ndo nn
@Rahima-kv6mn
4 ай бұрын
@@najmasalim-rg6ow alitaka kuandika Jinsi ndo amekosea ameandika gisi
All did well, but Appy and Abby for me, nailed it.
Nice
Mbosso ktk uandishi 🎉❤
HATUKATAI DUNIA BILA NYIE HAIPENDEZI LKN KUBALINI BILA WANAUME HAKUNA NYINYI MANA HADI NYIMBO YENU TU MMEANDIKIWA NA MWANAUME😂
@IsihakJerryIsihaka88
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nan kakwambia uwaze kote uko😂😂😂😂😂
@catherine4514
4 ай бұрын
Una miakili mingi😁
@whatif..6961
4 ай бұрын
Ko unalilia kuwepo? Washtue wakuimbe na wewe!
@abelmwalwisi6410
4 ай бұрын
Hawajiwezi😀
@RaidaYsminHassan22
4 ай бұрын
Umeupiga mwingiaisee😂😂😂😂😂😅😅😅
Zuchu na nandy wanapendana sana
@vickysteven1172
4 ай бұрын
😂
@S.kimbunga
4 ай бұрын
Uuuum! Uwongo!
@S.kimbunga
4 ай бұрын
@@Zuu673 Labda🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️
@annastaziaramadhani2666
4 ай бұрын
Sana
Zuchu alivyosema tu wajukuu yammy shwaaa kanyanyuka kana heshima sana 😊
Mbosso khan mushedede respect bro
Congratulations mbosso kwa kazi nzuri
I crealy see that battle btwn nandy vs zuchu
Nampenda angela❤❤
Jaman ruby hayupooo dah😢😢
Lizer very humble person
Good song
🔥🔥🔥🔥🔥
Nice❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama eti sifa zetu zinajulikana kweli
❤❤❤❤❤
Nishaona nyimbo ya Zuchu na nandy itavyo kua 🙌🏼❤️🔥
@giftpeter9118
4 ай бұрын
Billinass
Ndani kibokooo
Kumbe wametuzidi kipato tu ila wanavyo pata tabu kwenyeuimbaji kama sisi tu😂😂😂
Kazi Kubwa ☝️🇨🇩
Wait for ruto men hapa Kenya almost ready
❤❤❤❤
good song
Mbosso khan❤
Beautiful
Zuchu noma
Sawa Malkia wa Samia msiishie hapo..
Sema wanaume hapa,tumepigwa na kitu kizito hii ngoma katika ngoma zote hii ni kali,kwaiyo wasanii wa kiume mjiandae kutubeba nyimbo ijayo.
@oshenifrank614
4 ай бұрын
Siku ya wanaume inakuwaga tarehe ngapi
@kwisa4899
4 ай бұрын
Umeambiwa mpaka mama amalize sasa unataka nini tena.
Ka zuchu eti kana taka sasa kamu bebe shingoni nandy
Mboso Ni kichwa cha muziki but nandy na zuchu wameshow san love
Mwasiti 😂😂😂😂😂🙌🙌
Zuchu pumzi bado sana
Nandy kila siku anawakalisha wote😂😂😂😂😂😂😂
@SOPHIASIMBA-db4td
4 ай бұрын
Hajaandika yeye ni zuchu
@mahmoodalghefeili5370
4 ай бұрын
@@SOPHIASIMBA-db4tdhujaambiwa kuandika kuimba
@henger_msafy_001
4 ай бұрын
@@SOPHIASIMBA-db4td zuchu pia kaandikiwa n mbosso kwaio wote wameandikiwa sawa
@DianaPeter-gd3th
3 ай бұрын
Hata zuchu Kawa kalisha wote
Gigy money hayupo
Yami ajapendeza
@happychilambo1883
4 ай бұрын
Wenzie wote wamevaa vitovu ndani yeye sasa kitovu nje 😂😂😂
@gracengunga348
4 ай бұрын
@@happychilambo1883 keshajua ana kitovu kizuri bac ndo anakiuza kuliko ata mziki wake
Mbosso ubarikiwe kwakwel
Iyo verse yamama samia mama,mama ni mama mwanzo aliingizia zuchu ilinoga
@dengahmediatz1230
4 ай бұрын
Sure
Unataka yote mwasiti
Mwasiti kanenepa!
Nandy anaandika mwenyewe
daaah punguenii,,,,angeeeela
@Dvoice anatafuta madem pale namuonaa tuuu 😃😃😃
Mbosso nayeye ni biti 😂😂
@dengahmediatz1230
4 ай бұрын
😅😅jinga sana
Anataka yote😂😂😂😂😂
@fatumamkingie3867
4 ай бұрын
apewe pekeake
Mbosso ana aibu 😂😂
Wa kwanza Kuview, Kulike & commenting
❤❤❤
Part two lini
Wakwanzaa nikiwa live kutoka shambani..😂 wapi like zangu
@hassanmakokha274
4 ай бұрын
Jamani 🤭😂😂
Samia Queen vipi wakati Harmonize ana abuse Diamond Platnum... Viongozi Kimya 😭😭😭🇹🇿
@goodluckmichael3492
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Nyimbo nzima aroimba vizur saana Ni The African Princess Nandy
@user-hy9pp5rp9i
4 ай бұрын
Unalako jambo ww😂😂
Y'all don't see Rosa ree verse ❤🔥
Zuuu eti wajukuuu 😂😂😂
Kidum chama cha mabinduzi, mbele mbele yao
Yami pekee yake kavaa kitofaut hii kuonyesh ajiheshmu🤣🤣
Au siyo hayaaa😅 zuu na nady
Wanawake kwa chips yai😂😂😂😂😂😂
Dada mwasiti yuko good bado hajachoka 😊
My question is Why Mbosso doing all that talk when it’s Zuchu who originally started writing the song since January?
@elyudsaleh6044
4 ай бұрын
He had to for you to fall for the story.
Watu wapungue au sio
Mbosso akaamua kuongea kizanzibar
Kwahiy ww ulikuw km mom mbos ndo kiongoz mkuu acha umom ww
Zuchu etii asubuhiii😅
Malkia Karen ana komwe 😂😂
@khalimahirakoze5156
4 ай бұрын
😂😂😂mungu nisamehe
Mbosso baba rao
@user-wd2bc7bf5x
4 ай бұрын
jifunze kuandika herufi ipasavyo L & sio R
Mbona Angela ha ongei
Where is Ruby, Gigy??
Mbona nandy ajatema jojo
Mondi ni moto wa kuotea mbali, humu humu utakuta amewahi kula zaidi ya mmoja
@debramsanga8379
4 ай бұрын
Jamani
@Zuu673
4 ай бұрын
😂😂😂
@yusternyirenda7231
4 ай бұрын
Kabisa, kama wagombea umiss wote wa mwaka 2006 aliwala wote mondi ni moto wa kuotea mbali 😂😂😂
@Zuu673
4 ай бұрын
Joket,zuchu,nandy wengine kimya kimya hahaha
@yusternyirenda7231
4 ай бұрын
@@Zuu673Hata hamisa mondi alimla kimya kimya ila yeye mwenyewe hamisa ndio alitaka watu wajue