Kucheza Mpira, Draft, Karata Ndani ya Mwezi wa Ramadhan | Sheikh Salim Barahiyan
Ni kipindi cha Al Jawaabul Kaafy {Jawabu lenye kutosheleza} kinachoruka hewani Mubaashara kupitia Channel yetu ya KZread na Radio Ihsaan Fm, 102.1 Kila siku ya Jumatano kuanzia saa 03:30 usiku hadi saa 05:00 usiku.
Namba za kuuliza maswali ni +255 773 277 444
Пікірлер: 8
Maashaallah
Kuna tofauti Kati ya lahwi na laibu.
Mashallah
.ngoma wamerusuiwa WANAWAKE? SUBHANA
Redio Imaan imejaa ANASHEEDS shaykh Salih Fawzan حقظه الله aliulizwa akasema Ansheeds ni haraam na haifai vipi unawashaurije ma Answar wenzio?
@ShabaniAbdi-bn1gz
4 ай бұрын
Kazi nzuri sana 👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Vijana wa kiarabu wengi wanasaga mirungi
@shabanimussa4269
4 ай бұрын
Hawa vijana wanakutuma au kama ww simnafki