MPIRA NI HARAMU - SHEIKH OTHMAN KHAMIS

Usisite Kuuliza Maswali Katika Kipengele Cha Comments Baada Ya Kusubscribe.
Fatilia Ufafanuzi Wa Masuala Ya Dini Ya Kiislam Ukitolewa Masheikh MbaliMbali Nchini.
Tembelea Kurasa Zetu Za Mitandao Ya Kijamii Kupata Khutba, Mihadhara, Nasaha Na Darsa Za Wanavyuoni MbaliMbali Nchini.
Instagram: oasistv_?...
WhatsApp: chat.whatsapp.com/Glooq6QQUKX...
OasisTV8?t=2cA4u1...
Jiunge Kwenye Kundi La Pamoja Ili Makala Zetu Zikufikie Kwa Haraka Zaidi.
OASISTV
Elimu Ni Uongovu

Пікірлер: 21

  • @husseinhassain8188
    @husseinhassain8188 Жыл бұрын

    Umenifurahisha Sheikh na ww ndo Sheikh wa kwanza Tanzania kukusikia umesema ukweli kuhusu uharamu wa mpiraa Allah akuhifadh na mimi najua kabisaaa mpira haram ila waalim wetu na masheikh wetu hawasemi sababu wao wanapenda mpiraa

  • @faridawanawakehoyeeeeeeeee4785
    @faridawanawakehoyeeeeeeeee478510 ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @medwho959
    @medwho959 Жыл бұрын

    Allah akustiri. Kweli kabisa!!

  • @hamzaomari3148
    @hamzaomari3148 Жыл бұрын

    Allah akulipe mazur sheikh uthmaan

  • @amourali
    @amourali Жыл бұрын

    Asante sheikh kwa kutuzindua kiukweli tumepotea waislam wa leo

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi347111 ай бұрын

    mashaallah

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 Жыл бұрын

    Mpira niharamu bila chenga

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Жыл бұрын

    Swadakta sheikh

  • @user-gs3yt5tt2p
    @user-gs3yt5tt2p Жыл бұрын

    Swadakta

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Жыл бұрын

    Sema shehe hamiss watu wanyooke

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Жыл бұрын

    Sisi tunapenda masheih km nyie mnaojitambua na sio kuwachekea chekea wahalibif tu

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 Жыл бұрын

    Duu no comment

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Жыл бұрын

    Ujumbe wako mzuri sheikh lkn mambo haya hayakuja kwa bahati mbaya hata kidogo bali hii ni vita ya kifikra dhidi ya imaan maana leo watu walivyoathilika wakilala mipira wakiamka mipira imefikia kipindi mpaka misikitini wanazungumza mpira imekuwa kuliko hata dini lkn pia hayo maredio, redioni masaa manne kipindi kinazungumzia mpira tu hivyo ni mambo yaliyokwenda kuigusa mioyo ya watu na kazi iko kweli kweli

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 Жыл бұрын

    Shekhe unaongea ukweli kwa sababu watu wanagombana Sana na kutukanana kwa ajili ya mpira

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 Жыл бұрын

    Hn issue

  • @abdulijuma1769

    @abdulijuma1769

    11 ай бұрын

    Issue anayo danga lako mbwa wewe

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Жыл бұрын

    Umeongea ukweli japo wewe ni muongo

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Жыл бұрын

    Sheikh uko sahihi misikiti mingi Leo inamigogolo ukifatilia historia wakifadhiri mbona misikiti iliyojengwa nawaumini haina tatizo tujiulize hawa wafadhili fadha alali au haramu machumo yao.

  • @oasistvtz

    @oasistvtz

    Жыл бұрын

    Shukran sana

  • @johnsulle4679

    @johnsulle4679

    Жыл бұрын

    Mtasema ata kula ni haramu

  • @salehkhalfan7345

    @salehkhalfan7345

    10 ай бұрын

    ​@@johnsulle4679km hukubali bc