MPIRA NI HARAMU - SHEIKH OTHMAN KHAMIS
Usisite Kuuliza Maswali Katika Kipengele Cha Comments Baada Ya Kusubscribe.
Fatilia Ufafanuzi Wa Masuala Ya Dini Ya Kiislam Ukitolewa Masheikh MbaliMbali Nchini.
Tembelea Kurasa Zetu Za Mitandao Ya Kijamii Kupata Khutba, Mihadhara, Nasaha Na Darsa Za Wanavyuoni MbaliMbali Nchini.
Instagram: oasistv_?...
WhatsApp: chat.whatsapp.com/Glooq6QQUKX...
OasisTV8?t=2cA4u1...
Jiunge Kwenye Kundi La Pamoja Ili Makala Zetu Zikufikie Kwa Haraka Zaidi.
OASISTV
Elimu Ni Uongovu
Пікірлер: 21
Umenifurahisha Sheikh na ww ndo Sheikh wa kwanza Tanzania kukusikia umesema ukweli kuhusu uharamu wa mpiraa Allah akuhifadh na mimi najua kabisaaa mpira haram ila waalim wetu na masheikh wetu hawasemi sababu wao wanapenda mpiraa
Alhamdulillah
Allah akustiri. Kweli kabisa!!
Allah akulipe mazur sheikh uthmaan
Asante sheikh kwa kutuzindua kiukweli tumepotea waislam wa leo
mashaallah
Mpira niharamu bila chenga
Swadakta sheikh
Swadakta
Sema shehe hamiss watu wanyooke
Sisi tunapenda masheih km nyie mnaojitambua na sio kuwachekea chekea wahalibif tu
Duu no comment
Ujumbe wako mzuri sheikh lkn mambo haya hayakuja kwa bahati mbaya hata kidogo bali hii ni vita ya kifikra dhidi ya imaan maana leo watu walivyoathilika wakilala mipira wakiamka mipira imefikia kipindi mpaka misikitini wanazungumza mpira imekuwa kuliko hata dini lkn pia hayo maredio, redioni masaa manne kipindi kinazungumzia mpira tu hivyo ni mambo yaliyokwenda kuigusa mioyo ya watu na kazi iko kweli kweli
Shekhe unaongea ukweli kwa sababu watu wanagombana Sana na kutukanana kwa ajili ya mpira
Hn issue
@abdulijuma1769
11 ай бұрын
Issue anayo danga lako mbwa wewe
Umeongea ukweli japo wewe ni muongo
Sheikh uko sahihi misikiti mingi Leo inamigogolo ukifatilia historia wakifadhiri mbona misikiti iliyojengwa nawaumini haina tatizo tujiulize hawa wafadhili fadha alali au haramu machumo yao.
@oasistvtz
Жыл бұрын
Shukran sana
@johnsulle4679
Жыл бұрын
Mtasema ata kula ni haramu
@salehkhalfan7345
10 ай бұрын
@@johnsulle4679km hukubali bc