Kiswahili Havana, Kuba 2024

Balozi wa Tanzania nchini Kuba, Humphrey Polepole aeleza jinsi Tanzania inavyokuza Kiswahili katika eneo la Karibe na fursa zilizopo kuelekea Kongamano la Kimataifa la Kiswahili Havana.

Пікірлер: 2

  • @user-ze1gv8xf9o
    @user-ze1gv8xf9o25 күн бұрын

    Kongole sana kwa Baraza la Kiswahili Tanzania na washititi wote wa Kiswahili, hakika tutazidi kubidhaisha lugha yetu adhimu ya Kiswahili👏👏💪

  • @praisethatprays6305
    @praisethatprays630525 күн бұрын

    HUMPHREY SLOW!! I KNOW WHAT POLEPOLE MEANS IN SWAHILI!!