Fahamu maisha binafsi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

'Maisha yangu binafsi kwasasa ni kama asilimia 15 , nyingine yote inabebwa na serikali’
Katika sehemu ya mwisho ya mahojiano maalum na BBC Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza upande wake wa Maisha binafsi na kiasi gani Maisha hayo yamebadilika tangu ashike madaraka.
Video na Munira Hussein
#bbcswahili #tanzania #raissamiasuluhuhassan #maisha

Пікірлер: 212

  • @mehboobkarmali5211
    @mehboobkarmali52112 жыл бұрын

    Well done madam president. Keep it up

  • @mohamednagib2594
    @mohamednagib25942 жыл бұрын

    Mimi ni Mkenya lakini nampa heshima sana Rais Samia. Jamani Tanzania imepata Rais ambae anajitahidi kwa kazi kuliko siasa. Yaani yeye kwake ni kazi tu kama marhemu Magufuli. Hongereni sana Tanzania 🇹🇿

  • @mohamednagib2594

    @mohamednagib2594

    2 жыл бұрын

    Alafu pia she wants to invest more heavily on building infrastructure that will allow easy and fast growth of industrialisation hence boosting up the economy....Mdogo wangu ameowa TZ na anaishi huko. Yeye husifia kuona kila kukicha ujenzi !ujenzi !ujenzi ! wa infrastructure. May God bless you and your family Mama Samia. So much love from Kenya to Tanzania. Pamoja

  • @issaissa2373
    @issaissa23732 жыл бұрын

    Salim Kikeke.. What a fantastic anchor, journalist, commentator, and social man. I can't see anyone taking BBC Swahili higher and cooler after your retirement. Fantastic guy👏👏👏👏

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    2 жыл бұрын

    Wenzako TZ tumeweka BIAS. Tunataka maswali yale ya kipinzani. Si maswali hayo soft. Tumetokwa na povu la hatari. Ajabu kabisa!

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Hongera Journalist! Kazi nzuri, weledi mkubwa ! 👋👋👋

  • @amrimzee7492
    @amrimzee74922 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana muheshimiwa Raisi kwa kulihudumia taifa letu kwa upendo usio na kifani 🤝🤝🙏

  • @joasitz9559
    @joasitz95592 жыл бұрын

    Great interview, nabaki Africa, nabaki Tanzania

  • @azizbatlehotjr3171
    @azizbatlehotjr31712 жыл бұрын

    Genious... i love ur Hustle My PrezDar

  • @elizabethkimbi3336
    @elizabethkimbi33362 жыл бұрын

    Nikwambie kitu rais wangu ili ufanye kazi vizuri lazima lazima ufanye mazoezi pia na massage mara kwa mara uiweke kwenye ratiba yako tafadhali nakuomba tunakuhitaji tunakupenda

  • @denissmjinja523
    @denissmjinja5232 жыл бұрын

    Mama Samia we kazii isndlee 2ko pamoja kwa pamoja 2nalijenga Taifa letu ewe mwenyezi mungu utusaidie

  • @jumarocky9544
    @jumarocky95442 жыл бұрын

    Nakupenda sana RAIS wangu 🇹🇿

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas25352 жыл бұрын

    Nakupenda sana raisi wangu.UNA BUSARA SANA

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa96782 жыл бұрын

    Mama nchi inapotea hii tozo zinatuumiza sana

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    2 жыл бұрын

    Nchi haipotezwi kwa tozo!

  • @smukelomkhize9775

    @smukelomkhize9775

    2 жыл бұрын

    @@TamuzaKale Asante sana Muddy

  • @dicksonkilupa6881

    @dicksonkilupa6881

    2 жыл бұрын

    @@TamuzaKale NCHI INAZAMA DIMBWINI KWA KUTOKUSIMAMIA KATIBA NA KUKANDAMIZA WANAOHOJI JUU YA MABADILIKO YA KATIBA HAPO TU HUTOPATA USINGIZI , MCHANA KAZINI NA USIKU UTAWANGA TU.

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    Makato yatolewe

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize97752 жыл бұрын

    Tunakupenda sana Yaan Rais Wetu

  • @mattyhappy1581
    @mattyhappy1581 Жыл бұрын

    Pole sana mama kwa kukosa muda Mungu akubariki kwa kujituma

  • @enickosanga4921
    @enickosanga49212 жыл бұрын

    Umelala magufuliiii jembeeee

  • @farajikazumari2693
    @farajikazumari26932 жыл бұрын

    RIP magu😿😿

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia79402 жыл бұрын

    Mungu akutunze raisi wangu bonge la interview

  • @frankmganda9585
    @frankmganda95852 жыл бұрын

    Rais nitaasisi kubwa sana tumuombee

  • @PrincePaulIowa
    @PrincePaulIowa2 жыл бұрын

    Candid interview, she spoke eloquently and in depth of challenges of balancing public and private life! Hongera Rais wetu!

  • @dorahy1579

    @dorahy1579

    2 жыл бұрын

    Huna la kupongeza

  • @PrincePaulIowa

    @PrincePaulIowa

    2 жыл бұрын

    @@dorahy1579 Nampenda Raisi wangu sanaaaa!

  • @dorahy1579

    @dorahy1579

    2 жыл бұрын

    @@PrincePaulIowa pole zako. Mimi ninapenda Mungu peke yake, mimi mwenyewe na my family members. Wapiga porojo looo!!! Wasaliti loooo!!!!! Wanafiki!!!! Halafu kuna wengine wanapeana sumu ati kwa wengine loooo!!!! Nampenda Mungu wangu sana m

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma27602 жыл бұрын

    Napendezewa Sana Mheshimiwa Rais akijizungumzia ako so humble na Hana makuu kabisaa safii mama tusonge mbele na Kazi iendelee

  • @bakarinassoro2324

    @bakarinassoro2324

    2 жыл бұрын

    kka unapoteya sana hakuna chocho

  • @dennisngonyani3464
    @dennisngonyani34642 жыл бұрын

    God is with U...... Endelea kuchapa kazi

  • @MohamedMohamed-ng2rm
    @MohamedMohamed-ng2rm2 жыл бұрын

    Saalim naamini uko na card ya uanachama ccm ukishastaafu job huko njoo uombe ridhaa ya chama uliongoze taifa kwa nafasi ya urais Tafadhali

  • @HRmanco-yd3lf
    @HRmanco-yd3lf3 ай бұрын

    Natamani wanawake wote wangeongea kama ww rais wetu pendwa mungu akupe umri mrefu 🙏🇹🇿

  • @zawadigerald7805
    @zawadigerald78054 ай бұрын

    I LOVE U MAMAAAAAAA❤❤❤❤❤MWAAAA NAKUPENDA SAANA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE YOR ARE THE BEST

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe68542 жыл бұрын

    Mama tunateseka kodi Ziko juu Sana punguza ukali WA maisha

  • @twahasaidi7578

    @twahasaidi7578

    2 жыл бұрын

    Huyo aliyataka iwe hivyo

  • @khahkhas230
    @khahkhas2302 жыл бұрын

    Allah akupe afya Rais wetu mpenzi wetu

  • @dorahy1579

    @dorahy1579

    2 жыл бұрын

    Hahaha mnachekesha

  • @AzainTv

    @AzainTv

    2 жыл бұрын

    Aamin

  • @happinesszabron6811

    @happinesszabron6811

    2 жыл бұрын

    Jisemee nafsi yako km unampenda mwenyewe

  • @twahaally1969
    @twahaally19692 жыл бұрын

    Wajua, Huyu mama, ana kitu HEKIMA NA BUSARA ZA PWANI.

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 жыл бұрын

    Upo sawa ndugu huyu mama maashaall amejaliwa hekima heshima busara yani kila kitu mungu ampe maish marefu na afya njema inshalaah

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Rais wetu, Mama wa Taifa, nakupenda hadi basi... Mungu akubariki 🤲🏾💕🌹🇹🇿

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    2 жыл бұрын

    @@j.c.maxima816 da niljua peke yangu kumbe tuko wengi nampenda Sana huyu mama kwa mitazamo yake

  • @dennisngonyani3464

    @dennisngonyani3464

    2 жыл бұрын

    God is with U endelea na kazi

  • @pendomarco8928
    @pendomarco89282 жыл бұрын

    Magu sikuona interview yoyote na BBC kweli yule alikuwa Simba akiunguruma huwezi kumsogelea

  • @melkizedekiwiliam5533
    @melkizedekiwiliam55332 жыл бұрын

    du! Sentensi kali na nzur! Ngoja nimnukuu"JINSI UNAVYOPANDA YANAZID KUKUTOKA" hakika ni kweli mama.

  • @shukransilungwe8802
    @shukransilungwe88022 жыл бұрын

    Kila nikiona coment za watanzania, kiukweli natoka na machozi. Nawaonea huruma kweli, baba jpm ulisha tutelekeza baba hakika mungu atailipa sadaka yako. Lala baba ukuu wa mungu ni mkubwa

  • @mathiassalumu5255
    @mathiassalumu52552 жыл бұрын

    Malipo ni hapa hapa Tanzania 2 ipo ck

  • @omarykusah9719
    @omarykusah97192 жыл бұрын

    Mungu ibarik Tz ya Aman nataman ciku moja tufikie mafanio makubw kazi endeleee tupige Kaz tutafk 2

  • @musasabu6969
    @musasabu69692 жыл бұрын

    Mwanangu hadi leo ananiulza et raisi bado ni john pombe nikmwambia alishafaliki anashangaaa xna

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Musa; mwambie mwanao kwamba hata wewe kuna siku UTAKUFA

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    @@minskbelarus7255 na wewe utakufa vile vile

  • @amosmahona433
    @amosmahona4332 жыл бұрын

    Naskiliza na kusoma koments TU Sina la ziada kwangu yote kwa yote nimeyapenda mahojiano haya.

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao2 жыл бұрын

    😎

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi2112 жыл бұрын

    What do you actually do apart from overseas tours?

  • @marrymenas
    @marrymenas2 жыл бұрын

    Utapumzika saa ngapi Mama, kila kukicha ww ni safari nje za nchi. Tanzania utaitembelea lini? Kujua matatizo ya raia?!

  • @dadaz4653

    @dadaz4653

    2 жыл бұрын

    Kwakweli

  • @mohamedasaid7910

    @mohamedasaid7910

    2 жыл бұрын

    Hujaelewa. Safari za inje huleta biashara kubwa.Si mahindi yenda Kenya. Kutembea kila mahali Tz ni vizuri lakini silazima.Kuna Waziri Mkuu.Kuna Mawaziri. Muhimu Uchumi unaboreka,kuna amani,Serikali yatoa huduma?

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Huko unakoishi hakuna AFISA MTENDAJI ??? .Akianza kuitembelea TANZANIA yote; haimalizi na hamalizi matatizo YOTE hata kwa miaka 20

  • @gastorsirima5761
    @gastorsirima57612 жыл бұрын

    Kunaswali natamani kuuliza bt naipenda familia yangu

  • @FadyFs

    @FadyFs

    2 жыл бұрын

    Sasa uliandika hapa ili iweje kama ukutaka kusema!

  • @neemansasu9761
    @neemansasu97612 жыл бұрын

    Safari za nje nyingi

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe68542 жыл бұрын

    Kama jpm angekuwepo Marsha yangekuwaje Mazuri Sana Sasa Jovi kla kitu juu

  • @chazp6436
    @chazp64362 жыл бұрын

    BBC unawasikiliza tozo husikilizi wananchi

  • @mwenetv7220
    @mwenetv72207 ай бұрын

    Wewe ni mama wa nguvu tz mungu akupe maisha malefu tunakutegemea 25

  • @paulosimpamba7587
    @paulosimpamba75872 жыл бұрын

    Uyu siyo raisi watanzania kazi munao Zambia

  • @danielmashini9244
    @danielmashini92442 жыл бұрын

    Samia muenz jpm kwa vitendo

  • @nisetameena9276
    @nisetameena92762 жыл бұрын

    NAPIGA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA YESU AMEN.

  • @davallamchambe5275
    @davallamchambe52752 жыл бұрын

    Ibada muhimu

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13082 жыл бұрын

    Muda wa kumuhoji J.P.M atakujibu anakwenda kutembelea watz wanyonge wanaosumbuliwa na watumishi wa umma.utajihoji wewe mtangazaji na kumsemea utendaji wake kwa mtizamo wako.

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso24242 жыл бұрын

    Kikeke Kama mwanahabari maswali gani unauliza ina maana wewe hujui changamoto za nchi yetu huna habari na yanayoendelea nchi mwetu Dah kweli mswahili ni shida

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    2 жыл бұрын

    Tafuta fulli. Aliuliza maswali unayoyataka!

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89772 жыл бұрын

    HADITHI ZA PANGU PAKAVU NTILI MCHUZI USHETANI HAUWONGOZI NCHI UNAMKERA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN MWANAMKE HAONGOZI NCHI KIISILAMU NI MWANAMKE 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🌎🌎💪💪💪🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🌎❤️👀

  • @khatibmtawa9475
    @khatibmtawa94752 жыл бұрын

    Jama kama tuta kwenda hivi hivi basi kuna hasara kubwa baada ya miaka 3 ijayo

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe68542 жыл бұрын

    Mama ones miradi yakiuchumi ndani ya nchi

  • @laurentraphael2697
    @laurentraphael26972 жыл бұрын

    Siku hizi kumekuwa kidg mama yupo kwenye mualiko fulan ya jinsia fulan lkn jinsia nyingine ameitenga sijui inakuaje kama viongozi walio pita nao wangefanya hvy just balance gender

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe68542 жыл бұрын

    Mama unasapotiwa Sana kuliko kutembelea miradi

  • @patrikpatrik2916
    @patrikpatrik29162 жыл бұрын

    Mwana nchi jenga nchi kula nchi acha nchi.

  • @ototek8037
    @ototek80372 жыл бұрын

    Nyie wote mashabiki wa corona sasa barakowazenu zikowapi? Nyie mnaaminiana ila sisi tuogopane au sio?

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Don't worry, my friend! Wamezingatia umbali (social distance) !

  • @ototek8037

    @ototek8037

    2 жыл бұрын

    @@j.c.maxima816 distance inatoka wapi kama virus vimetoka China?

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar99122 жыл бұрын

    Rais wa nchi anazungumza na BBC

  • @kilimanjaro_media

    @kilimanjaro_media

    2 жыл бұрын

    Angalia interview ya mwisho ya Gadaff

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Kuzungumza na BBC ni shida? Jiandae, next time, atazungumza na CNN etc... Hivi karibuni mtamuona Mama kwenye majukwaa ya UN na EU... Mtateseka sana na ujinga wenu:-)

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Wewe mbona jina lako " ELVIS" ni la mfagizi wa CHOO cha BBC

  • @elvisoscar9912

    @elvisoscar9912

    2 жыл бұрын

    @@minskbelarus7255 na ilo la misnk Ni la mdeki choo Cha soko mwananyamala

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy98122 жыл бұрын

    Hyo siyohabalikwasasa kwasasa wwnimzaziwataifalote NAC wanyumbani

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso24242 жыл бұрын

    Watanzania tuombe Mungu hatuna Rais Mungu aisimamie nchi yetu tuvuke salama

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    2 жыл бұрын

    Hauna rais ni wewe. Watanzania wanaye rais!

  • @sadiqueibrahim5439

    @sadiqueibrahim5439

    2 жыл бұрын

    Weee Godfrey pumbu nini huyu ndo taidi wetu

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Si umfate TUNDU LISSU ??????

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga40212 жыл бұрын

    Mg.hapumuziki ajihidhulu akapumuzike na wajukuu tupate nafuuu ya bakuli

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU302 жыл бұрын

    Yn nikimuangalia huyu mama natoka machozi kwa kwel mn

  • @adoniaceisaya700

    @adoniaceisaya700

    2 жыл бұрын

    TOZO Nyumba

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72112 жыл бұрын

    Upumzike huku umependa kutusaidia??

  • @crayboytz2736
    @crayboytz27362 жыл бұрын

    Mama utakufa lin mama plz kufa tu watanzaniaa hatukupend

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁

  • @godfreycheison3045
    @godfreycheison30452 жыл бұрын

    Muweke interview moja ambayo iko full

  • @ikelegechacha6484

    @ikelegechacha6484

    2 жыл бұрын

    SReomkad

  • @ikelegechacha6484

    @ikelegechacha6484

    2 жыл бұрын

    Muwmum

  • @ikelegechacha6484

    @ikelegechacha6484

    2 жыл бұрын

    IkEREGECHACHA

  • @mussanganda505
    @mussanganda5052 жыл бұрын

    Msariti mkubwa,

  • @moiben663
    @moiben6632 жыл бұрын

    Twahitaji mahojiano marefu

  • @yasinigmaskaniyasini5317
    @yasinigmaskaniyasini53172 жыл бұрын

    Nani anae kumic

  • @mangumanjobola4444
    @mangumanjobola44442 жыл бұрын

    Hii huo .ni

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi2112 жыл бұрын

    Kula nchi mama

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 жыл бұрын

    haya mambo tunayata sio mambo magumu kama nchi nzima ni Ma engineer

  • @ramsonyasonsio1326
    @ramsonyasonsio13262 жыл бұрын

    munguanakuona ww mama

  • @petersgodwin7200
    @petersgodwin72002 жыл бұрын

    Salim wewe pumba maana umeenda kupata bahasha,mwandishi unaenda kupiga stori

  • @twahasaidi7578
    @twahasaidi75782 жыл бұрын

    Aliyataka yeye atajibeba

  • @queenanna5692
    @queenanna56922 жыл бұрын

    Magufuli hakuwa na muda wa kuongea Ujinga huu

  • @chazp6436
    @chazp64362 жыл бұрын

    Sasa kutwa kudhurura watakuonaje hao wajukuu au watoto ??

  • @nusaybanjama1533

    @nusaybanjama1533

    2 жыл бұрын

    Acha ushamba rais lazima atoke nje ya nchi. Wewe kama.hukupata nafasi hata ya kutoka hapo ulipo unahasara kubwa na utakua na akili mgando

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mdhululo

  • @nyamaigestephano8573
    @nyamaigestephano85732 жыл бұрын

    je baba anakuwa wapi.mazoezi ya baba na mama

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps2 жыл бұрын

    Tozo zipunguzwe

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    Zitolewe kwan mzee yeye alifanyaje maendeleo tuliyaona na makato ayakuwepo na nchi yet ni tajili

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda65542 жыл бұрын

    Nenda kenya

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Fikiri kabla ya kuandika...

  • @fadhiliobety6648
    @fadhiliobety66482 жыл бұрын

    Vizani

  • @captioncapition2574
    @captioncapition25742 жыл бұрын

    Mh mmemuanza nahuyu mmemchimba baba wawatu mpaka kaondoka loo nanyie wazungu weusi mnamambo ilajibu umepata naona utapoa kidogo

  • @alimachiusaugustine1445
    @alimachiusaugustine14452 жыл бұрын

    Mimi ninachokuombea ,ufuate nyayo za Magufuli

  • @linkreuben3108
    @linkreuben31082 жыл бұрын

    ET WAMEKUBALI TOZO!! Tuamini hivyo au..?!

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    Hahaha

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    2 жыл бұрын

    Ndiyo lakini mumelalamikia kiwango!

  • @flolaluambano3215
    @flolaluambano32152 жыл бұрын

    Nilichokupenda kuendeleza milad aliyoacha magu, kama lile daraj na lilr tren la umeme ila tu uyo kikwete anakuharibia mwiz huuyooooooooooolllll

  • @senolinaswai5593
    @senolinaswai55932 жыл бұрын

    Mama hongera sana kwa utawala wako

  • @dorahy1579

    @dorahy1579

    2 жыл бұрын

    Kakufaoddha vipi? Wewe angalia maisha yako hawa n wakoraji ba wakora

  • @samorasilayo8924
    @samorasilayo89242 жыл бұрын

    hatukupendi kabisa watanzania tulilasimishwa na katiba

  • @ameedamilja7992

    @ameedamilja7992

    2 жыл бұрын

    Ndio maana huwezi kusema zi unasema si kwaroho mbaya. Huyu ndio rais mpaka 2030 ujipange

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    @@ameedamilja7992 Afadhali UMUELIMISHE. Na hasemi UKWELI kwamba Mkewe hampendi na KAMKIMBIA

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    Samora pamoja sn katiba imemuweka hapo sio sisi

  • @bakarinassoro2324
    @bakarinassoro23242 жыл бұрын

    hakuna kama magufuri

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    2 жыл бұрын

    Hakuna kama Samia!

  • @nusaybanjama1533

    @nusaybanjama1533

    2 жыл бұрын

    Ni kweli hakuna kama.magufuli. Muulizeni Sabaya atawaeleza vizuri 😂😂😂😃

  • @abdullahjuma9206

    @abdullahjuma9206

    2 жыл бұрын

    kwako wewe siyo wote

  • @eliyajeremia1447

    @eliyajeremia1447

    2 жыл бұрын

    Nakwangu hakuna kama magufuri

  • @happinesszabron6811

    @happinesszabron6811

    2 жыл бұрын

    Nmm

  • @hamoudsaid5582
    @hamoudsaid55822 жыл бұрын

    Hovyoooooo

  • @pendomarco8928
    @pendomarco89282 жыл бұрын

    Mama safar zinakuchosha

  • @abreendenuryn2916

    @abreendenuryn2916

    2 жыл бұрын

    Hakn. Mafanikio bila ya kutoka njee

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason76302 жыл бұрын

    Maisha ya uongozi magumu sana, ila Mungu akuongoze Mama Afrika

  • @dorahy1579

    @dorahy1579

    2 жыл бұрын

    She is not Mama Africa. Ni mama yenu nyie huko mliko.

  • @esthershirima1166
    @esthershirima11662 жыл бұрын

    hahahah hii filamu inaitwaje jmn

  • @happinesszabron6811

    @happinesszabron6811

    2 жыл бұрын

    😆😆😆

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi1092 жыл бұрын

    Jitaindi kutemberea wananchi kuriko safari zanje watanzania tuna shinda nyingi sana

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Hivi wewe ulitembelewa na HAYATI MAGUFULI ????

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    @@minskbelarus7255 magufur aliipenda hii nchi na ndo maana ziara nyingi alifanya hapahapa alitutembelea kujua changamoto zetu

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    @@gracejonh4022 unakumbukumbu nzuri ???? Uliwahi KUMUONA MAGUFULI mkoani MTWARA ???? Jaribu kuwa MKWELI

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    @@minskbelarus7255 angefka tu kwan alikuwa amemaliza mda wake na alikuwa ni mtu mwenye mipango mizur nchi nzima

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    @@gracejonh4022 kwa Taarifa yako wala kwenye KAMPENI hakufika.

  • @evancefreddy3775
    @evancefreddy37752 жыл бұрын

    Achia madaraka upumzike maana ata ckuelew unafanya nn kuteua kla siku na msmbo ys chanjo amna kpya mpishe majaliwa n bora kuliko ww

  • @monicalushola443
    @monicalushola4432 жыл бұрын

    Et kila leo lenyewe ni kuongelea Matoto yake2 ss hayatuhusu

  • @abdullahjuma9206

    @abdullahjuma9206

    2 жыл бұрын

    mmh acha jazba

  • @happinesszabron6811

    @happinesszabron6811

    2 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆 we anakujua hadi akuongelee?

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Unaonyesha USUKUMA wako

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    @@minskbelarus7255 achana na wasukuma pita hivi kwan kaongea uongo rais wa nchi sisi familia yake aituhusu mfyuuuuu

  • @consolatamlango8642
    @consolatamlango86422 жыл бұрын

    umeruusu njanjo ili tufe

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Amekuwa wa kwanza kuonyesha mfano wa kuchanjwa mbele ya Umma! Yy kama Mama wa watoto, Mke wa mtu, Bibi wa wajukuu, Rais wa Nchi na Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Tanzania, unafikiri yy hayapendi maisha yake?

  • @kanisiusmligo6991
    @kanisiusmligo69912 жыл бұрын

    .

  • @deathrow8004
    @deathrow80042 жыл бұрын

    Aaaaaaah aaaaaaah Ukakasi tu ..🤯🙄

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda65542 жыл бұрын

    Magufuli RIP

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын

    Hebu jikumbushe jambo moja kzread.info/dash/bejne/a41nxMFpg9DMicY.html

  • @shakiEntmtTv
    @shakiEntmtTv2 жыл бұрын

    This woman is extract i know why he picked her.

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78002 жыл бұрын

    InChi yetu inaChuKi za uDini uLio mkuBwA saNA. Ni kweLi inaBaini kwA kuzionA hiZi comments. WaiSlaMu waNachuKiWa mNo huKo TZ. ATA mtaNgaZaJi akiWa tu muisLaMu basi HiYo interview WataiPonDA . ChuKi .ChuKi ChuKi ChuKi za dini . Mimi Ni MluTheLi nipo poA

  • @abdullahjuma9206

    @abdullahjuma9206

    2 жыл бұрын

    wacha wafe na chuki zao masenge

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Amos..... Bob Marley aliwahi kuimba hivi " Who the cap fit, let them wear it"

  • @sitellamatni6878
    @sitellamatni68782 жыл бұрын

    Wewe mwanamke nimwenda zimu hatukupendi wajipendekeza tu

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Hakika Mungu akuhurumie ww mwanamke Stella

  • @abdullahjuma9206

    @abdullahjuma9206

    2 жыл бұрын

    roho mbaya haijengi mwenzio kapewa urais na mungu kufa kwa chuki

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Hata wewe hatukupendi, na si ajabu wewe MGUMBA

  • @skypast2482
    @skypast24822 жыл бұрын

    Mimi ninamtoto wangu ananuku maneno ya makufuli anasema Mimi menzenu chanjo hizifai mwanangu huyo

  • @abdullahjuma9206

    @abdullahjuma9206

    2 жыл бұрын

    hujalazimishwa hutaki unaacha

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    CHANJO hutaki, ila Mambo fulani .....umo eeeeh

  • @gracejonh4022

    @gracejonh4022

    2 жыл бұрын

    Chanjo za nini corona tz aipo

Келесі