Fahamu maisha binafsi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
'Maisha yangu binafsi kwasasa ni kama asilimia 15 , nyingine yote inabebwa na serikali’
Katika sehemu ya mwisho ya mahojiano maalum na BBC Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza upande wake wa Maisha binafsi na kiasi gani Maisha hayo yamebadilika tangu ashike madaraka.
Video na Munira Hussein
#bbcswahili #tanzania #raissamiasuluhuhassan #maisha
Пікірлер: 212
Well done madam president. Keep it up
Mimi ni Mkenya lakini nampa heshima sana Rais Samia. Jamani Tanzania imepata Rais ambae anajitahidi kwa kazi kuliko siasa. Yaani yeye kwake ni kazi tu kama marhemu Magufuli. Hongereni sana Tanzania 🇹🇿
@mohamednagib2594
2 жыл бұрын
Alafu pia she wants to invest more heavily on building infrastructure that will allow easy and fast growth of industrialisation hence boosting up the economy....Mdogo wangu ameowa TZ na anaishi huko. Yeye husifia kuona kila kukicha ujenzi !ujenzi !ujenzi ! wa infrastructure. May God bless you and your family Mama Samia. So much love from Kenya to Tanzania. Pamoja
Salim Kikeke.. What a fantastic anchor, journalist, commentator, and social man. I can't see anyone taking BBC Swahili higher and cooler after your retirement. Fantastic guy👏👏👏👏
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Wenzako TZ tumeweka BIAS. Tunataka maswali yale ya kipinzani. Si maswali hayo soft. Tumetokwa na povu la hatari. Ajabu kabisa!
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Hongera Journalist! Kazi nzuri, weledi mkubwa ! 👋👋👋
Mungu akubariki Sana muheshimiwa Raisi kwa kulihudumia taifa letu kwa upendo usio na kifani 🤝🤝🙏
Great interview, nabaki Africa, nabaki Tanzania
Genious... i love ur Hustle My PrezDar
Nikwambie kitu rais wangu ili ufanye kazi vizuri lazima lazima ufanye mazoezi pia na massage mara kwa mara uiweke kwenye ratiba yako tafadhali nakuomba tunakuhitaji tunakupenda
Mama Samia we kazii isndlee 2ko pamoja kwa pamoja 2nalijenga Taifa letu ewe mwenyezi mungu utusaidie
Nakupenda sana RAIS wangu 🇹🇿
Nakupenda sana raisi wangu.UNA BUSARA SANA
Mama nchi inapotea hii tozo zinatuumiza sana
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Nchi haipotezwi kwa tozo!
@smukelomkhize9775
2 жыл бұрын
@@TamuzaKale Asante sana Muddy
@dicksonkilupa6881
2 жыл бұрын
@@TamuzaKale NCHI INAZAMA DIMBWINI KWA KUTOKUSIMAMIA KATIBA NA KUKANDAMIZA WANAOHOJI JUU YA MABADILIKO YA KATIBA HAPO TU HUTOPATA USINGIZI , MCHANA KAZINI NA USIKU UTAWANGA TU.
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
Makato yatolewe
Tunakupenda sana Yaan Rais Wetu
Pole sana mama kwa kukosa muda Mungu akubariki kwa kujituma
Umelala magufuliiii jembeeee
RIP magu😿😿
Mungu akutunze raisi wangu bonge la interview
Rais nitaasisi kubwa sana tumuombee
Candid interview, she spoke eloquently and in depth of challenges of balancing public and private life! Hongera Rais wetu!
@dorahy1579
2 жыл бұрын
Huna la kupongeza
@PrincePaulIowa
2 жыл бұрын
@@dorahy1579 Nampenda Raisi wangu sanaaaa!
@dorahy1579
2 жыл бұрын
@@PrincePaulIowa pole zako. Mimi ninapenda Mungu peke yake, mimi mwenyewe na my family members. Wapiga porojo looo!!! Wasaliti loooo!!!!! Wanafiki!!!! Halafu kuna wengine wanapeana sumu ati kwa wengine loooo!!!! Nampenda Mungu wangu sana m
Napendezewa Sana Mheshimiwa Rais akijizungumzia ako so humble na Hana makuu kabisaa safii mama tusonge mbele na Kazi iendelee
@bakarinassoro2324
2 жыл бұрын
kka unapoteya sana hakuna chocho
God is with U...... Endelea kuchapa kazi
Saalim naamini uko na card ya uanachama ccm ukishastaafu job huko njoo uombe ridhaa ya chama uliongoze taifa kwa nafasi ya urais Tafadhali
Natamani wanawake wote wangeongea kama ww rais wetu pendwa mungu akupe umri mrefu 🙏🇹🇿
I LOVE U MAMAAAAAAA❤❤❤❤❤MWAAAA NAKUPENDA SAANA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE YOR ARE THE BEST
Mama tunateseka kodi Ziko juu Sana punguza ukali WA maisha
@twahasaidi7578
2 жыл бұрын
Huyo aliyataka iwe hivyo
Allah akupe afya Rais wetu mpenzi wetu
@dorahy1579
2 жыл бұрын
Hahaha mnachekesha
@AzainTv
2 жыл бұрын
Aamin
@happinesszabron6811
2 жыл бұрын
Jisemee nafsi yako km unampenda mwenyewe
Wajua, Huyu mama, ana kitu HEKIMA NA BUSARA ZA PWANI.
@halimamasai2234
2 жыл бұрын
Upo sawa ndugu huyu mama maashaall amejaliwa hekima heshima busara yani kila kitu mungu ampe maish marefu na afya njema inshalaah
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Rais wetu, Mama wa Taifa, nakupenda hadi basi... Mungu akubariki 🤲🏾💕🌹🇹🇿
@hadijamandanje6189
2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 da niljua peke yangu kumbe tuko wengi nampenda Sana huyu mama kwa mitazamo yake
@dennisngonyani3464
2 жыл бұрын
God is with U endelea na kazi
Magu sikuona interview yoyote na BBC kweli yule alikuwa Simba akiunguruma huwezi kumsogelea
du! Sentensi kali na nzur! Ngoja nimnukuu"JINSI UNAVYOPANDA YANAZID KUKUTOKA" hakika ni kweli mama.
Kila nikiona coment za watanzania, kiukweli natoka na machozi. Nawaonea huruma kweli, baba jpm ulisha tutelekeza baba hakika mungu atailipa sadaka yako. Lala baba ukuu wa mungu ni mkubwa
Malipo ni hapa hapa Tanzania 2 ipo ck
Mungu ibarik Tz ya Aman nataman ciku moja tufikie mafanio makubw kazi endeleee tupige Kaz tutafk 2
Mwanangu hadi leo ananiulza et raisi bado ni john pombe nikmwambia alishafaliki anashangaaa xna
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Musa; mwambie mwanao kwamba hata wewe kuna siku UTAKUFA
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 na wewe utakufa vile vile
Naskiliza na kusoma koments TU Sina la ziada kwangu yote kwa yote nimeyapenda mahojiano haya.
😎
What do you actually do apart from overseas tours?
Utapumzika saa ngapi Mama, kila kukicha ww ni safari nje za nchi. Tanzania utaitembelea lini? Kujua matatizo ya raia?!
@dadaz4653
2 жыл бұрын
Kwakweli
@mohamedasaid7910
2 жыл бұрын
Hujaelewa. Safari za inje huleta biashara kubwa.Si mahindi yenda Kenya. Kutembea kila mahali Tz ni vizuri lakini silazima.Kuna Waziri Mkuu.Kuna Mawaziri. Muhimu Uchumi unaboreka,kuna amani,Serikali yatoa huduma?
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Huko unakoishi hakuna AFISA MTENDAJI ??? .Akianza kuitembelea TANZANIA yote; haimalizi na hamalizi matatizo YOTE hata kwa miaka 20
Kunaswali natamani kuuliza bt naipenda familia yangu
@FadyFs
2 жыл бұрын
Sasa uliandika hapa ili iweje kama ukutaka kusema!
Safari za nje nyingi
Kama jpm angekuwepo Marsha yangekuwaje Mazuri Sana Sasa Jovi kla kitu juu
BBC unawasikiliza tozo husikilizi wananchi
Wewe ni mama wa nguvu tz mungu akupe maisha malefu tunakutegemea 25
Uyu siyo raisi watanzania kazi munao Zambia
Samia muenz jpm kwa vitendo
NAPIGA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA YESU AMEN.
Ibada muhimu
Muda wa kumuhoji J.P.M atakujibu anakwenda kutembelea watz wanyonge wanaosumbuliwa na watumishi wa umma.utajihoji wewe mtangazaji na kumsemea utendaji wake kwa mtizamo wako.
Kikeke Kama mwanahabari maswali gani unauliza ina maana wewe hujui changamoto za nchi yetu huna habari na yanayoendelea nchi mwetu Dah kweli mswahili ni shida
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Tafuta fulli. Aliuliza maswali unayoyataka!
HADITHI ZA PANGU PAKAVU NTILI MCHUZI USHETANI HAUWONGOZI NCHI UNAMKERA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN MWANAMKE HAONGOZI NCHI KIISILAMU NI MWANAMKE 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🌎🌎💪💪💪🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🌎❤️👀
Jama kama tuta kwenda hivi hivi basi kuna hasara kubwa baada ya miaka 3 ijayo
Mama ones miradi yakiuchumi ndani ya nchi
Siku hizi kumekuwa kidg mama yupo kwenye mualiko fulan ya jinsia fulan lkn jinsia nyingine ameitenga sijui inakuaje kama viongozi walio pita nao wangefanya hvy just balance gender
Mama unasapotiwa Sana kuliko kutembelea miradi
Mwana nchi jenga nchi kula nchi acha nchi.
Nyie wote mashabiki wa corona sasa barakowazenu zikowapi? Nyie mnaaminiana ila sisi tuogopane au sio?
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Don't worry, my friend! Wamezingatia umbali (social distance) !
@ototek8037
2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 distance inatoka wapi kama virus vimetoka China?
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Rais wa nchi anazungumza na BBC
@kilimanjaro_media
2 жыл бұрын
Angalia interview ya mwisho ya Gadaff
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Kuzungumza na BBC ni shida? Jiandae, next time, atazungumza na CNN etc... Hivi karibuni mtamuona Mama kwenye majukwaa ya UN na EU... Mtateseka sana na ujinga wenu:-)
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Wewe mbona jina lako " ELVIS" ni la mfagizi wa CHOO cha BBC
@elvisoscar9912
2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 na ilo la misnk Ni la mdeki choo Cha soko mwananyamala
Hyo siyohabalikwasasa kwasasa wwnimzaziwataifalote NAC wanyumbani
Watanzania tuombe Mungu hatuna Rais Mungu aisimamie nchi yetu tuvuke salama
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Hauna rais ni wewe. Watanzania wanaye rais!
@sadiqueibrahim5439
2 жыл бұрын
Weee Godfrey pumbu nini huyu ndo taidi wetu
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Si umfate TUNDU LISSU ??????
Mg.hapumuziki ajihidhulu akapumuzike na wajukuu tupate nafuuu ya bakuli
Yn nikimuangalia huyu mama natoka machozi kwa kwel mn
@adoniaceisaya700
2 жыл бұрын
TOZO Nyumba
Upumzike huku umependa kutusaidia??
Mama utakufa lin mama plz kufa tu watanzaniaa hatukupend
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁
Muweke interview moja ambayo iko full
@ikelegechacha6484
2 жыл бұрын
SReomkad
@ikelegechacha6484
2 жыл бұрын
Muwmum
@ikelegechacha6484
2 жыл бұрын
IkEREGECHACHA
Msariti mkubwa,
Twahitaji mahojiano marefu
Nani anae kumic
Hii huo .ni
Kula nchi mama
haya mambo tunayata sio mambo magumu kama nchi nzima ni Ma engineer
munguanakuona ww mama
Salim wewe pumba maana umeenda kupata bahasha,mwandishi unaenda kupiga stori
Aliyataka yeye atajibeba
Magufuli hakuwa na muda wa kuongea Ujinga huu
Sasa kutwa kudhurura watakuonaje hao wajukuu au watoto ??
@nusaybanjama1533
2 жыл бұрын
Acha ushamba rais lazima atoke nje ya nchi. Wewe kama.hukupata nafasi hata ya kutoka hapo ulipo unahasara kubwa na utakua na akili mgando
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mdhululo
je baba anakuwa wapi.mazoezi ya baba na mama
Tozo zipunguzwe
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
Zitolewe kwan mzee yeye alifanyaje maendeleo tuliyaona na makato ayakuwepo na nchi yet ni tajili
Nenda kenya
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Fikiri kabla ya kuandika...
Vizani
Mh mmemuanza nahuyu mmemchimba baba wawatu mpaka kaondoka loo nanyie wazungu weusi mnamambo ilajibu umepata naona utapoa kidogo
Mimi ninachokuombea ,ufuate nyayo za Magufuli
ET WAMEKUBALI TOZO!! Tuamini hivyo au..?!
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Hahaha
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Ndiyo lakini mumelalamikia kiwango!
Nilichokupenda kuendeleza milad aliyoacha magu, kama lile daraj na lilr tren la umeme ila tu uyo kikwete anakuharibia mwiz huuyooooooooooolllll
Mama hongera sana kwa utawala wako
@dorahy1579
2 жыл бұрын
Kakufaoddha vipi? Wewe angalia maisha yako hawa n wakoraji ba wakora
hatukupendi kabisa watanzania tulilasimishwa na katiba
@ameedamilja7992
2 жыл бұрын
Ndio maana huwezi kusema zi unasema si kwaroho mbaya. Huyu ndio rais mpaka 2030 ujipange
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
@@ameedamilja7992 Afadhali UMUELIMISHE. Na hasemi UKWELI kwamba Mkewe hampendi na KAMKIMBIA
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
Samora pamoja sn katiba imemuweka hapo sio sisi
hakuna kama magufuri
@TamuzaKale
2 жыл бұрын
Hakuna kama Samia!
@nusaybanjama1533
2 жыл бұрын
Ni kweli hakuna kama.magufuli. Muulizeni Sabaya atawaeleza vizuri 😂😂😂😃
@abdullahjuma9206
2 жыл бұрын
kwako wewe siyo wote
@eliyajeremia1447
2 жыл бұрын
Nakwangu hakuna kama magufuri
@happinesszabron6811
2 жыл бұрын
Nmm
Hovyoooooo
Mama safar zinakuchosha
@abreendenuryn2916
2 жыл бұрын
Hakn. Mafanikio bila ya kutoka njee
Maisha ya uongozi magumu sana, ila Mungu akuongoze Mama Afrika
@dorahy1579
2 жыл бұрын
She is not Mama Africa. Ni mama yenu nyie huko mliko.
hahahah hii filamu inaitwaje jmn
@happinesszabron6811
2 жыл бұрын
😆😆😆
Jitaindi kutemberea wananchi kuriko safari zanje watanzania tuna shinda nyingi sana
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Hivi wewe ulitembelewa na HAYATI MAGUFULI ????
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 magufur aliipenda hii nchi na ndo maana ziara nyingi alifanya hapahapa alitutembelea kujua changamoto zetu
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
@@gracejonh4022 unakumbukumbu nzuri ???? Uliwahi KUMUONA MAGUFULI mkoani MTWARA ???? Jaribu kuwa MKWELI
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 angefka tu kwan alikuwa amemaliza mda wake na alikuwa ni mtu mwenye mipango mizur nchi nzima
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
@@gracejonh4022 kwa Taarifa yako wala kwenye KAMPENI hakufika.
Achia madaraka upumzike maana ata ckuelew unafanya nn kuteua kla siku na msmbo ys chanjo amna kpya mpishe majaliwa n bora kuliko ww
Et kila leo lenyewe ni kuongelea Matoto yake2 ss hayatuhusu
@abdullahjuma9206
2 жыл бұрын
mmh acha jazba
@happinesszabron6811
2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆 we anakujua hadi akuongelee?
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Unaonyesha USUKUMA wako
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 achana na wasukuma pita hivi kwan kaongea uongo rais wa nchi sisi familia yake aituhusu mfyuuuuu
umeruusu njanjo ili tufe
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Amekuwa wa kwanza kuonyesha mfano wa kuchanjwa mbele ya Umma! Yy kama Mama wa watoto, Mke wa mtu, Bibi wa wajukuu, Rais wa Nchi na Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Tanzania, unafikiri yy hayapendi maisha yake?
.
Aaaaaaah aaaaaaah Ukakasi tu ..🤯🙄
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
😁😁😁😁
Magufuli RIP
Hebu jikumbushe jambo moja kzread.info/dash/bejne/a41nxMFpg9DMicY.html
This woman is extract i know why he picked her.
InChi yetu inaChuKi za uDini uLio mkuBwA saNA. Ni kweLi inaBaini kwA kuzionA hiZi comments. WaiSlaMu waNachuKiWa mNo huKo TZ. ATA mtaNgaZaJi akiWa tu muisLaMu basi HiYo interview WataiPonDA . ChuKi .ChuKi ChuKi ChuKi za dini . Mimi Ni MluTheLi nipo poA
@abdullahjuma9206
2 жыл бұрын
wacha wafe na chuki zao masenge
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Amos..... Bob Marley aliwahi kuimba hivi " Who the cap fit, let them wear it"
Wewe mwanamke nimwenda zimu hatukupendi wajipendekeza tu
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Hakika Mungu akuhurumie ww mwanamke Stella
@abdullahjuma9206
2 жыл бұрын
roho mbaya haijengi mwenzio kapewa urais na mungu kufa kwa chuki
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Hata wewe hatukupendi, na si ajabu wewe MGUMBA
Mimi ninamtoto wangu ananuku maneno ya makufuli anasema Mimi menzenu chanjo hizifai mwanangu huyo
@abdullahjuma9206
2 жыл бұрын
hujalazimishwa hutaki unaacha
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
CHANJO hutaki, ila Mambo fulani .....umo eeeeh
@gracejonh4022
2 жыл бұрын
Chanjo za nini corona tz aipo