KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE KWA HOJA ZAKE "KWANINI MSITOE NUSU DEGREE? MNAYOONGEA NI MAUTAPELI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 171
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.
@theonestrenatus954
2 ай бұрын
Huyu mzee haongei bila facts
@Mapenzi26352 ай бұрын
Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi
@edsonnelson4464
2 ай бұрын
Ndiyo
@marianmartin7483
2 ай бұрын
Sahihi
@ramsochacha5798
2 ай бұрын
Anaujua xana kua wafanyabiashara wa kiyahudi ndo wanaoparat ila anakazia tu
@murattywamuratty97782 ай бұрын
Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
@mohamedally6390
2 ай бұрын
Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana
@MeshackLukanda
2 ай бұрын
kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
@FestoMalisati-lf8hj
2 ай бұрын
Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.
@mohamedally6390
2 ай бұрын
Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana
@matthewmichaelsylvester56122 ай бұрын
akili kubwa baba mungu akutunze
@TheNichym2 ай бұрын
Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana
@Bobhov
2 ай бұрын
Yes
@boazychaulla29092 ай бұрын
Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu
@yusuphswai68512 ай бұрын
Kishimba ajawai kuchangia pumba
@mmassyferguson49592 ай бұрын
Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu
@thesilencer51142 ай бұрын
Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼
@michaelaloyce2072
2 ай бұрын
Mjinga2 huyu paka pori
@Ndu-wa.uroony2
2 ай бұрын
Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.
@mohamedally6390
2 ай бұрын
Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo
@zakariamalembela3974
2 ай бұрын
@@michaelaloyce2072 wewe akili yako mgando.
@officialshelomwangole2562 ай бұрын
Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
@johannesjoseph7496
2 ай бұрын
Hakika😂
@Mc_Gwajee2 ай бұрын
Daaaah huyu Mzee akili sanaaa
@frankrefresh68502 ай бұрын
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
@mapoluchalya2802 ай бұрын
Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏
@adamhamisi26382 ай бұрын
mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni
@kazimoto-eq2th2 ай бұрын
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
@calvinmalale17612 ай бұрын
Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa
@faustinhommedetatnifasha96692 ай бұрын
Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪
@dicksonvicent81392 ай бұрын
Hatari sana aisee
@hamidafundi-pw1gw2 ай бұрын
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
@Loshiphameliyomoleli2 ай бұрын
Good point
@HamisaAli2 ай бұрын
Big point Masha Allah
@robertnkaragano2982 ай бұрын
Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂
@desmond-872 ай бұрын
He is talking sense
@eddiemohamed90032 ай бұрын
BIG UP👏👏👏
@vicentdaud26322 ай бұрын
Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....
@anacletferuz4954
2 ай бұрын
Tatizo wanaongea yanaishia hapo tu
@DanielDaniel-gx2ou2 ай бұрын
Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema
@LatwifSued
2 ай бұрын
Uko vizuri sana,
@AichiMpole-yo2uh
2 ай бұрын
Nilikuwa namkubar sanaa ila hatoboi tena
@stanslauslugendo312 ай бұрын
Akili kubwa!💪🏻🌹
@matwerangulichedr39852 ай бұрын
Big brain, out of the box
@medystarter2 ай бұрын
Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma
@directorimmah_vfx30432 ай бұрын
uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee
@kimandafukitefu29992 ай бұрын
Hoja zote za huyu mzee zichukuliwe zinafaa kwa matumizi ya nchi
@jrkaluli5638Ай бұрын
Pragmatism philosophy! GreAt
@lucykristensen71452 ай бұрын
👏👏👏👏👏Brilliant ❤
@mohamedmbalazi7482 ай бұрын
Mmmh kazi kwelikweli. Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi? Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
@faryjay8082 ай бұрын
Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥
@kileoisaac2 ай бұрын
Kweli kabisa
@sengiyumvaathanas88152 ай бұрын
Big brain
@godfreymagoso53342 ай бұрын
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!! Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
@Ndu-wa.uroony2
2 ай бұрын
Wanafanyaje?
@davidlelo61922 ай бұрын
Asante sn bb ukovizr
@Avith-lj2sp2 ай бұрын
Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa
@hamzakimaro37642 ай бұрын
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
@ScholasticaDomonko2 ай бұрын
👏👏👏
@user-my7fj6wn7y2 ай бұрын
Yani Mzee nakubali,
@felisterphilemon18522 ай бұрын
GOD be with you forever
@sylivesterleonard51332 ай бұрын
Akili kubwa sana hii!!
@user-by9qr6ov7n2 ай бұрын
Mh,ameongea vzr sana
@user-ru7yc8dn5h2 ай бұрын
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
@gaddafiofficial32002 ай бұрын
🔥
@marianmartin74832 ай бұрын
Yuko sawa huyu mzee
@josemoko5302 ай бұрын
Hongera Sana 😂
@johnassey23272 ай бұрын
Fact
@MwaniPh2 ай бұрын
Genius
@petermabale43202 ай бұрын
❤
@dilludillu27472 ай бұрын
Nusu degree
@zawadisisto81882 ай бұрын
Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG
@msukumamnywamaziwa27852 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉
@suchabulunja56112 ай бұрын
Mbunge Genius pekee Tanzania 🎉🎉
@HashimuHashboy-bo2wl2 ай бұрын
He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe
@ericklibaba11982 ай бұрын
📌 📌 📌
@edwardkagombora37822 ай бұрын
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
@user-ch8it5jr8m2 ай бұрын
Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
@user-tu9ps9kr2o2 ай бұрын
Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge
@ShadowScreamStudio2 ай бұрын
Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa
@r14kgroup682 ай бұрын
Huyu ni profesa kabisa
@leonardmanawa9522 ай бұрын
baba wa mawazo positive ❤
@fridayjkajange12472 ай бұрын
Duh jamaa anaakili sana
@freddiemanento63182 ай бұрын
Huyu mhe namkubali sana sana
@JeremiahYohana-br2bd2 ай бұрын
Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana
@russia12532 ай бұрын
Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi
@rithaurassa2 ай бұрын
Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.
@oliviermulabikokans10132 ай бұрын
❤moja❤kati❤ya❤zote❤
@jeffreywilliams11712 ай бұрын
Angalizo, akili ya huyu mtu ni zaidi ya kina Vasco da gama, serikali na watu wenu tafadhali yafanyieni kazi haya mawazo yake.
@user-wh3tb9ve8x2 ай бұрын
Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉
@peterdeus60932 ай бұрын
Hakuna mtu anapenda nyumba ya nyasi ispokuwa analazimika kuishi hoja yako mweshimiwa inaeleweka lakin sio smart
@johnmgalla73772 ай бұрын
Uyu mzee yupo mbele ya muda sana sikupi maua nakupa na mti wake kabisa
@mohamedally63902 ай бұрын
Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.
@uledimude89212 ай бұрын
Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme
@dilludillu27472 ай бұрын
Pesa ni siri professor 😂
@user-sl7lc2ns7c2 ай бұрын
Watalamu wetu hawatusaidii chochote wanashikilia elimu ya nzi ana miguu mingapi ujinga mtup
@japhetlinus38912 ай бұрын
Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa
@valenakomba76862 ай бұрын
WAMEKALIA KUVUNJANA MBAVU TUU , BADALA YA KUJADILI MAMBO YA MUHIMU YA KUENDELEZA NCHI.
@pauloropian23672 ай бұрын
Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.
@user-vv9wb9he2x2 ай бұрын
Mbunge mwenye akili kubwa
@ibrahmenard2 ай бұрын
bila bangi hoja zake ngumu kuelewa
@Muslim-gs6rn
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂
@paulmafuru72832 ай бұрын
Hoja kalu na zenye akili
@user-sl7lc2ns7c2 ай бұрын
Wachina wanafundisha elimu za kuwasaidia na mazingira yao
@yonahgideon75612 ай бұрын
Mbona kwenye mtaala mpya Kuna somo jipya linaitwa Elimu ya biashara ambako huko ndani Kuna mambo ya ujasiriamali na jinsi ya kutunza fedha
@adkajisi4536
2 ай бұрын
Shida litakavofundishwa
@barakalevis31
2 ай бұрын
Uliza walio apply kama wameliona kwenye machaguo
@maheitumdintunya29282 ай бұрын
huyu jamaa yupo sahihi
@user-gc1ez1yv4k2 ай бұрын
Serikali ya ccm.mnamsikili za huyo mbunge ? Acha hao maprofesa wenu uchwara,wanatutaperi hakuna wanachoongea.
@samahabdallahmohamed11352 ай бұрын
Uko vizur
@josephignas39882 ай бұрын
Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi
@victorwilliam11112 ай бұрын
Wenye akili zao halisi
@KelvinNyanduli2 ай бұрын
Ww ndio mbunge mwenye akili kubwa
@matthewmichaelsylvester56122 ай бұрын
akili kubwa baba
@AnaniaBulaya-rc3jv2 ай бұрын
Huyu kishimba kwanini asiende kuongeza elimu.anaongea maneno ya maana sana
@bonphacearon24282 ай бұрын
Yan mijitu inacheka lkn uyu baba hakuna sku kaongea upuuz na makelele hua kila akisimama unamuelewa anaongea nn lkn ss
Пікірлер: 171
Du! Huyu mzee Kishimba ni genius sana. Nimefika kwenye hifadhi zetu nyumba zimeezeka kwa nyasi.
@theonestrenatus954
2 ай бұрын
Huyu mzee haongei bila facts
Free thinkers are rare in African politics. Huyu Kishimba ana akili sana. Shida ni kuwa hajui kuwa Serikali inaendeshwa na wafanyabiashara wa Kiyahudi
@edsonnelson4464
2 ай бұрын
Ndiyo
@marianmartin7483
2 ай бұрын
Sahihi
@ramsochacha5798
2 ай бұрын
Anaujua xana kua wafanyabiashara wa kiyahudi ndo wanaoparat ila anakazia tu
Huyuu mtu mnamuona anachekesha ila yupo sahihi Sanaa, mie nashangaa mpka leo watu wanasomeswa vita vya kwanza vya dunia, chifu mkwawa, vita vya pili ujinga mtupu, watu wanafundiswa utaalam wa maisha yanowakabili sie tunapumbazwa tu akilii mpka unamaliza chuo unakaa miaka kumi Huna ajira wala mawazo ya kufanya coz hatukupewa mafunzo ya maisha baada ya hapoo tumefundishwa mambo yasiyoo tuhusu kabisaa
@mohamedally6390
2 ай бұрын
Haya maelimu useless wanashadadia sijui kwann yaan wanaficha elimu ya msingi wanaleta madudu ya hovyo kabisa inauma sana
@MeshackLukanda
2 ай бұрын
kweli mkuu chief kila sehemu chief mkwawa
Kumuelewa huyu mzee hadi uwe umeishi maisha ya hali ya chini na kwenye kusomesha uwe umeshapata changamoto,,wanaojifanya wazungu hawawezi kumuelewa huyu mzee
@FestoMalisati-lf8hj
2 ай бұрын
Sana yaani anagusa kwenye uhalisia, angekua raisi Tanzanie ingekua bora sana.
@mohamedally6390
2 ай бұрын
Fact blaza sisi tunaoishi this time tomorrow tunamuelewa sana
akili kubwa baba mungu akutunze
Yan huyu Mzee yuko njema sana, ila kumuelewa lazima uwe umetulia sana
@Bobhov
2 ай бұрын
Yes
Mh kishimba ni genius tumuelewe tuu
Kishimba ajawai kuchangia pumba
Mwenyez mungu akubariki mh kishimba tatizo la elim yetu ya kukariri kuaminishwa wazungu ndio kila kitu
Mnacheka lakini kiongozi anaongea kitu sahihi kabisa👏🏼👏🏼
@michaelaloyce2072
2 ай бұрын
Mjinga2 huyu paka pori
@Ndu-wa.uroony2
2 ай бұрын
Kishimba kichwani yuko vizuri kuliko hao vilaza wote.
@mohamedally6390
2 ай бұрын
Hao wwngne hawajitambui kazi kupiga meza na kusubir posho na kupokea madudu kutoka kwa wazungu ndio kazi yaooo
@zakariamalembela3974
2 ай бұрын
@@michaelaloyce2072 wewe akili yako mgando.
Mkimpa huyu mzee wizara ya elimu atafuta vitu vingi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
@johannesjoseph7496
2 ай бұрын
Hakika😂
Daaaah huyu Mzee akili sanaaa
Kaongea facts kwenye uasili wa maisha ya kiafrica! Asili, tamaduni zikiwa hazizingatiwi na wahusika wenyewe kwa kuacha asili yao na kuziendea asili nyingine maisha yao yanakuwa na uharibifu mkubwa sana! Mataifa yaliyofanikiwa yote huwa yanaishi kwa kuzingatia tamaduni na asili zake!
Ahsante Sana mh.kishimba yaan wewe na king msukuma 🙏🙏🙏🙏
mzee kishimba, moja ya watu muhimu sana bungeni
Mzee kaeleweka ila tatizo lipo kwa hawa wajanjawajanja upo umuhimu sana watoto kupata chakula shule uwezekano upo ila ila hoja ikiwekwa wazi kama ivo inapotezewa nchi hii.
Naam mbunge hongera sana KWA kuongelea MAISHA halisi wengi wanataka aige MAISHA ya watu na watu wanaishi MAISHA SIO Yao kabisa
Kama huna #D mjo huwezi muelewa😂😂💪💪
Hatari sana aisee
Hiki ni kichwa hasa , mawazo yake na tafakari zake ni nyepesi kuelewa kwa mtu yeyote. Ni mwalimu hasa. Tumpe maua yake Kishimba. Mawazo yake yakitekelezwa kwa vitendo bila shaka maendeleo yangeonekana dhahiri shahiri.
Good point
Big point Masha Allah
Duh! Kishimbaa! Wew ni professor wa mambo yote!! Kishimba ooyee! Kishimba ooyee!!😂😂😂
He is talking sense
BIG UP👏👏👏
Huyu jamaa akisikilizwa mawazo yake na kufanyiwa utekelezaji yanaweza kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi....
@anacletferuz4954
2 ай бұрын
Tatizo wanaongea yanaishia hapo tu
Mashimba mungu ambariki sana hakika kahama wakizingua njooo update Jimbo sengerema
@LatwifSued
2 ай бұрын
Uko vizuri sana,
@AichiMpole-yo2uh
2 ай бұрын
Nilikuwa namkubar sanaa ila hatoboi tena
Akili kubwa!💪🏻🌹
Big brain, out of the box
Tatizo la bunge letu lipo kusikiliza tu sio kutekeleza, SIASA za kikoloni ndio zina tuludisha nyuma
uyuu mzeee ni ana akili sana naomba BUNGE limpe mda wakutosha kumskiliza TZ itasogea mbelee
Hoja zote za huyu mzee zichukuliwe zinafaa kwa matumizi ya nchi
Pragmatism philosophy! GreAt
👏👏👏👏👏Brilliant ❤
Mmmh kazi kwelikweli. Mbona hamjadili kama je ni sahihi kumlipa posho mbunge posho ya siku laki 3 sawa na kima cha chini cha mshahara wa mtumishi? Mjadili na maslahi ya watumishi na nyie. Ukiwa mbunge form 4= unalipwa 10M ila mwalimu huyohuyo analipwa 300K, ufala mtupu
Fact sanaaa🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisa
Big brain
Hivi mnakiona wanachokifanya Chalinze Modern primary school?!! Kuna haja ya viongozi kujifunza kwenye hii shule,,,,, na inawezekana kumjenga mtoto tangu awali
@Ndu-wa.uroony2
2 ай бұрын
Wanafanyaje?
Asante sn bb ukovizr
Kweli vitabu vyetu vya syllabus no hopeless kabisa
Hawawezi kuwafundisha somo la kutafuta pesa sababu miitaala ya elimu bado ni wakoloni na watawala wetu leo hii ni wakoloni weusi,na wakoloni elimu yao ilikuwa ni kwa ajili ya kuwapata watu wa kuwasaidiana nao kuwaswaga punda wao,.
👏👏👏
Yani Mzee nakubali,
GOD be with you forever
Akili kubwa sana hii!!
Mh,ameongea vzr sana
Yupo sahihi mzee wangu muhimu tuwekeze watoto wetu katika mazingira yanayo wazunguka kilimo ufugaji nk. Huko ndipo wanaweza kuwa matajiri baadae. Lazima tutambae kwanza ndio usimame. Tusitake kukimbia kwanza kama wachina na wao walitambaa ndio sasa tunawaona wanakimbia.
🔥
Yuko sawa huyu mzee
Hongera Sana 😂
Fact
Genius
❤
Nusu degree
Laiti wangemuelewa chishimba ingekuwa sawa kabisa yeye ni profesa OG
❤❤❤❤❤🎉🎉
Mbunge Genius pekee Tanzania 🎉🎉
He is hero but we ar not use him one day we wil remember the most ,our life not Western lofe
📌 📌 📌
Mimi nafikili mitaara itatoa hii kitu kumbe wapi bado tupo pale pale kuna masomo unafundishwa lakini hayatusaidii maishani mwetu na huku umetumia muda mwingi mwingi kujifunza
Huy mtu jamani hapew ata President. Jaman nn shida hii ichi wasukum na wat wa mara hawa ni viongoz bora sana katika nchi hii
Hahahahahahahaahahahhaahahah duuuh wabunge wamevurugwa
Afrika, tumeshindwa kuwa na mifumo mizuri ya elimu ambayo ingetupa maendeleo ya nchi zetu,, na tumechelewa sana na tupo nyuma ya muda lakini ni vyema tujadiri jinsi ya kujikwamua kimaendeleo kama nchi kwa sababu viongozi wetu wameshindwa kuwa wabunifu
Kishimba Oyeeeeee😅😅😅😅 huwa unato vitu vitamu sana Mhe mbunge
Huyu jamaa anafaaa kuongoza Africa
Huyu ni profesa kabisa
baba wa mawazo positive ❤
Duh jamaa anaakili sana
Huyu mhe namkubali sana sana
Hii nchi bwana kufika mbali kimaendeleo so leo tunasera za kisenge sana
Tatizo izo point zina achwa hapo hapo bungeni 😢 azifanyiwi kazi
Kishimba inatakiwa UWE mtu mkubwa san. Unajua hali ya umasikin ULIKO Tz Kwa watoto wetu.
❤moja❤kati❤ya❤zote❤
Angalizo, akili ya huyu mtu ni zaidi ya kina Vasco da gama, serikali na watu wenu tafadhali yafanyieni kazi haya mawazo yake.
Wabunge wa Kanda ya ziwa wanaupiga mwingi wapewe maua yaoo🎉🎉🎉🎉🎉
Hakuna mtu anapenda nyumba ya nyasi ispokuwa analazimika kuishi hoja yako mweshimiwa inaeleweka lakin sio smart
Uyu mzee yupo mbele ya muda sana sikupi maua nakupa na mti wake kabisa
Wabunge wote wangekuwa kama huyu mzee haya madudu ya wazungu tusingepokea na tungeendelea sana kwakweli.
Mbona hamtuambiagi Hadi kishimba aseme
Pesa ni siri professor 😂
Watalamu wetu hawatusaidii chochote wanashikilia elimu ya nzi ana miguu mingapi ujinga mtup
Mpak uwe na D 2 ndo utaweza kuelewa
WAMEKALIA KUVUNJANA MBAVU TUU , BADALA YA KUJADILI MAMBO YA MUHIMU YA KUENDELEZA NCHI.
Huyu mzee ana akili Sana Mungu uiongezee miaka mingi.
Mbunge mwenye akili kubwa
bila bangi hoja zake ngumu kuelewa
@Muslim-gs6rn
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂yaani.weww😂😂
Hoja kalu na zenye akili
Wachina wanafundisha elimu za kuwasaidia na mazingira yao
Mbona kwenye mtaala mpya Kuna somo jipya linaitwa Elimu ya biashara ambako huko ndani Kuna mambo ya ujasiriamali na jinsi ya kutunza fedha
@adkajisi4536
2 ай бұрын
Shida litakavofundishwa
@barakalevis31
2 ай бұрын
Uliza walio apply kama wameliona kwenye machaguo
huyu jamaa yupo sahihi
Serikali ya ccm.mnamsikili za huyo mbunge ? Acha hao maprofesa wenu uchwara,wanatutaperi hakuna wanachoongea.
Uko vizur
Hawawezi kuingiza pesa kwenye mtaala wanajua watu wote watakuwa matajiri na wao matajiri watapata wanyonge wao wapi
Wenye akili zao halisi
Ww ndio mbunge mwenye akili kubwa
akili kubwa baba
Huyu kishimba kwanini asiende kuongeza elimu.anaongea maneno ya maana sana
Yan mijitu inacheka lkn uyu baba hakuna sku kaongea upuuz na makelele hua kila akisimama unamuelewa anaongea nn lkn ss
😂😂😂😂😂anakitu asikilizwe huyu