Kikosi Kazi - SALA (Official Music Video)
SALA
A powerful message from the artists about praying and being open to our Almighty God, the artists portray themselves as sinners who are trying to find a good path, as we know God is Love and he forgives, the song contains a powerful messages as for every artist is explaining what they have been through with this world. Enjoy SALA and much more coming.
Kikosi Kazi is the biggest HIP HOP group from East Africa, Tanzania, formed by 8 members ie Azma Mponda, Nikki Mbishi, P Mawenge, Songa, Mansu -LI, One The Incredible, Zaiid & Stereo.
You can visit our official pages for more information:
Subscribe, like, comment and share!
Follow Kikosi Kazi
/ kikosikazitz
/ kikosikazitz
Follow Kikosikazi Artists on Instagram
/ azmamponda
/ nikkimbishi999
/ niitesonga
/ onetheincredible
/ mansu_li
/ zaiidyao
/ stereosingasinga
/ pmawenge
same accounts on twitter.
Production House
Produced by
kitathepro: / kitathepro
Director :
Florian: / director_florian
Studio : / aznas_studio
/ aznas_kariakoo
/ aznas_printing
#KikosiKaziKazini #Sala #kikosikazi
Пікірлер: 1 200
Kwa mahitaji ya T-shirt au Product za Kikosi Kazi piga namba +255 622 037 937 asante kwa sapoti yenu (for Kikosi Kazi Hoodies, Tshirts Caps call us +255 622 037 937 thank you for the love) #KikosiKaziKazini
@husayn908
3 жыл бұрын
Mm ambaye niko kenya ntazipataje?
@justineonline6556
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@luqmanmohamedy3860
3 жыл бұрын
Price
@mdedsm5522
3 жыл бұрын
Nagundua weeewee ni upendo unapenda watu🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 mstari wangu wa rohoni
@aronnasloyaljr7945
3 жыл бұрын
Kikosi Kazi Kazini KK BEST EVER
Mansulii💥💥💥💥💥💥💥
Naona KIKOSi KAZi mmeamua kutubu KWA MUNGU kutokana nakile mlicho wafanya WEHU SI SISI Nimeipenda IYOO😘
Hii Inaonyesha Kitu Kikubwa Sana,Hatujabagua Nyumba Ya Ibada Kwa Imani Zetu Tofauti Tulizonazo Ila Wote Tumechana Tukiwa Sehemu Moja!!🔥🔥🔥🔥🔥💪🏽🔥💪🏽
@jaxink1757
3 жыл бұрын
Dingi wewe ni muslim unae elewa situation...kunwengine wanlopokaga big up xana bro
@edsonmpili1421
3 жыл бұрын
Kikosikazi nawakubali sana kila mtu amenyoka vizuri nyimbo haichoshi ✌
@user-qe8xp6ii1u
3 жыл бұрын
khalifa nenda ukasome Dini yako.achana Na Habar za Dini Mseto.Mungu haimbiwi mziki,Hataniwi,hashirikishwi,hafanani na chochote.Mziki ni saut ya shetan.Allah atuongoze
@jumaduad3249
3 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u fact
@godfreyjohn2646
3 жыл бұрын
@@user-qe8xp6ii1u Hapa we umekuja kufanya nini!?
Rapcha_Amen. Dogo janja_Asante. Weusi_Makao makuu. Fid q_Tajiri Yangu. Kikosi kazi_Sala 😎💥💣💣💣 Hip hop Mmeamua Sasa Zaiiid we Umetishaa Dr unju ur my Favorite
@festodavid6121
3 жыл бұрын
Mafund hawa....
@nurumandoa4566
3 жыл бұрын
Kwahyo janjaro naye Ni mwanahip hop
@yohanidimoso3711
3 жыл бұрын
Alianza Roma na mkombozi
@penuelobeid9857
3 жыл бұрын
Ongeza na ChindoMan Ft. One six - Nisamehe Chaba OO9 - Shukrani
@jonijostopper8164
3 жыл бұрын
Hiphop
P-Mawenge flow is classic, yupo calm sana na anaenda na beat vizur sana. The most underrated in that crew
@jumazahoro3537
Жыл бұрын
Ila mawenge ndo kaflow poa
kundi langu bora la hip hop ndani ya bongo yni wu tang clan hawa hapa big up wanangu sana embu fanya mpango wa kusema kias gni tishert za kk hood ili twende sawa
P mawenge shkamoo🙏🙏🙏
ni jambo kubwa sana kuona wasanii wanaimba nyimbo za kusifu na kumshukuru Mungu, hivo tujue ni wakati muafaka kuacha matendo yetu mabaya na kumcha Mungu na ukaka katika kweli yake na kushika amri zake maana yote ni ubatili lakin neno la Mungu litadumu milele.
Heshima kwenu wafalme zangu siku zote nipo nyuma yenu najifunza kitu from bujumbura apa
Kikosi kazi iwekwe kwenye mtaala wa elimu, watoto wakiwa shuleni wafundishwe kuhusu kikosi kazi
Ata wote wakiwakataa mm ntabaki kua mshabiki wenu wa maisha tamaduni music kikos kazi.Real Hip Hop. No nudes. No taboo. Good wordplay. Lyrics. Omg hongereni
Komaen wanangu naona kitu kipya mambo mapya beat Kali ngoma Kali sterio singasinga mansulii mbish one azima respect wanangu p the mc zaidii
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
💪💪💪💪
Nakubal San kikosi kaza
Kazi nzuri.. kikubwa zaidi kumkumbuka Muumba wa mbingu na ardhi maana dunia njia
kubwa Sana hii mmefanya unyamaaaaa mwingi sana yes god first nimeipenda hii ✅✅✅
Hiingoma. Wanangu kk niwaambie kitu mmewapa maswali mengi Sana weusi,, yaani Waisikilizapo watakuwa wakiirudia nakujiuliza ninyie kweliii au mmetungiwa na uwongozi waili kanisa mlio shutia hiividio ili mfikishe ujumbe kwanjia ya muzic,,, kiukweli mmejipanga saan kwa hii song
This is real hip hope... Tunahitaji madini mengi zaidi sio vijana Mchele Mchele azma, underground King na Azma Salute Kwenu
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
💪💪💪
Big big big murshup........ M alwayz huwaga nawish moto huu uendelee then mziki mzur utawale✊✊✊✊✊✊
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
more to come 🔥
Hip hop inajijaza taratib katikadira. Sante kwaujumbe wenyemashiko.
#shout out to you kikosi kazi,, mmeua Sana @pmawenge @azma @mansulii Verse zenu kalisana @
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
💪💪💪
Once again P amechinja kabisa...Bonge la ngoma muko vizuri mabaharia 🙌🏼💯🔥
Kikosi kaZi mbele kwa mbele support kama kawaida mungu awape nguvu nakubali sana #
Kikosi kazi tunawakubali kinoma axee nmesikiliza kwanza ndo nkacomment mmetisha sana
Kazi nzuri sana, nimeiskiliza mara ya kwanza kwa headphones, nikatoa nikarestart kwenye spika, majirani wamesogea kuja kusikiliza na kueleza hisia zao na niwazee... hii siku ishabarikiwa tayari
@timolivier411
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣👏👏 hawa wajama Noma sana
@hkmeme5437
3 жыл бұрын
Au sio
@finemichael2435
3 жыл бұрын
😂😂😂
P mawenge fireeeee
Kwel hawa ni kikosi kaz ngoma ni kali kinoma big up brothers
mnajuaaaa...kikosi kazi weka mbali na watoto
Daaah nkajua mm ndo wa kwanza kuview 😭😭😭😭😭😭😭😭 hujma hizi braza AZMA umechelewa kuntumia link 😭😭😭😭😭 all in all NGOMA KALI SANA LYRICS KALI SANA CONTENT 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
Naaam kaka, siku nyingine
Kama unawakubal hawa jamaa like apa tujuane
Kikosi kazi kazini juuuu kama una kubari like Kam zote
Kazi kubwa aisee🔥🔥🔥
Mawenge ametisha sana humu ndani 🙌
Mungu awalinde KIKOSI KAZI kazi nzuri sana 👏👏
Hii inateka wana kama sisi tunao hustle daily thanks more love from +254🙏🙏🙏
Ngoma Kali sanaaa 👊 👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mansuliiiiiiii.....😂😂😂😂 Leoo nimesikia 16 barz... Flow za hatariii Mnooo Sinza star🔥🔥🔥🔥
itoshe tu kusema mbarikiwe sanaaaaa, mmeifanya nafsi yangu ifanye connection na Mungu wangu kila bars
naomba nicomment kabla nyimbo haijafika kati afu ndo nuanze upya kusikiliza asee hii ni revolution of hiphop Tz
Oya wee mmetisha kinoma noma#kikosi kasi"TT empire"
Mansuli🔥🔥
naamn mziki wangu unakua tunaomba msiache kuendelea kutufulahisha mashabiki zenu gonga like kama upo pamoja nami
Nomaaaaa Sanaaaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
UNJU GANG. NAWAKUBALIIIII KIKOSI KAZIIIIII
Beat kali sana, verses kalis sana, flow kali sana, very concious
Kazi nzuri KIKOSI KAZI Hik ndo kzaz kpya xyo kle knacho endekeza mitepexho.
Kwa huu muungano tumepata Hip hop best gang....Utamaduni music best Tz hip hop Id.
Nakubali wananguuu
Tupo vizuri KIKOSI KAZI bonge moja la JOINT
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
asante kwa sapoti share na wengine ngoma ifike mbali
P mawenge, mwingi wa habari
@ismailkatala4792
3 жыл бұрын
Nomaa 😀
@solozukc-1
3 жыл бұрын
Fundiii
@lazaromwaikenda4164
3 жыл бұрын
hakika amefanya vizuri
@solozukc-1
3 жыл бұрын
Kweli kweli Tuanze support kazi zao kwa nia
Kazi kazini.....✍️✍️💪
Hip hop ya bongo ina elimu sanaa
Eee Mungu nijalieee eeeee Amen!
Asante baba hujaniacha nipotee njia//Fungu saba sijaleta nisamehe pia. #azma. Noma sana. Wote mmeua hatari.
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
Naam💪💪
@georgeburchard4872
3 жыл бұрын
Verse ya azma iko deep Sana! Inagusa Sana!
Huy kita the pro producer tunaye mtaka kweny hiphop bongo aendelee kukaza
Tamadun mnaua Sana wanangu good music
Ngoma kali sanaaaa
Hii song hauitaji kuumiza kichwa inaeleweka kbisaaa 👇 🔥🔥🔥🔥🔥 ♡♡♡♡
UMOJA WENGU NDO NGUVU AMJAWAI KOSEA 🙏🙏🙏
Arafu mkosane mtengane muanze kutupa mawazo pumbavu zenuu mbwa nyinyi 💥💥💥💥💥💥💪🏻💪🏻
Aise hongelen sana ngoma kubwa sana kikosi kazi muunganiko wawatu bola bongo ukiwa unajitambuwa hupewi nafas ova
Mamae ngoma kali sn alafu nd n ujumbe, nimeona wapinzani wametoa juzi kati km iyi ila c kali km iyi, wakali wng ktk iyi ngoma n Mawenge na Uno🙏
>>>🔥🔥🔥
Duuuh kikosi kazi🙌🙌🙌🍗🍔🍲🍛🍛🥣💎💎💎💎 bonge la ngoma 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Kikosi kazi for Life✊🏾✊🏾
the best mcees represents real hiphop from tanzania big sana kikosi kazi nakubali amuangushagi🔥🔥🔥🔥🇹🇿
Ngoma fulani ya kinyama... Kideo fulani kikali
dah... wakuu wa hip hop...... mungu awabariki MA, GREATEST's oF hIp-HoP
Daaaaah hii kali dr unjuu...some time nakua saveg mpk siamini....sio kwa chanjo za billget ndo mtapona.... Shukran kwa wote kikos kaz #pmawenge #nikkmbish #mansulii #zaiid #onetheincledible #sterio #azma #songa
@smgfamilygroup2414
3 жыл бұрын
MAMBO VP NDUGU
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
💪💪💪
@gaitanemmanuel8340
3 жыл бұрын
@@smgfamilygroup2414 poa niambie
Izi kaz iwe muendelezo aisee,i like this
hip hop 🔥🔥🔥 Songa
Nzuri sana hii kwakwel
Pwaaaaaaaaaa bonge LA dudeeeeeeeee
Ukitoa Verse ya Mme wangu Nimeielewa Verse ya Mansu Li Stereo na Azma.. God Keep Holding U Strong #KK All the Great Come Ur way Guys...
@yohanidimoso3711
3 жыл бұрын
Mme wako nan?
@jimmyx8412
3 жыл бұрын
Je Ni The incredible au kimbaombao ama Nikki mbishi okay sawa nadhani Ni p the mc
@georgekaduga2918
3 жыл бұрын
Mmeo p mawenge???
@oldskuladimuzabongo8873
3 жыл бұрын
????
Bonge ya ngoma aseee thumb up...
Daaaaaah that y nawaelewa sanaaaa hivi tshirt shi ngapi ili niwape support
Nasubiri kwa hamu nawakubali Sanaa kikosi kazi sijui akili mnatoaga wapi mnajua mpaka mnapitiliza
#kikosikazikazi💣 sijawahi kuwa na mashaka nao..
@kikosikazikazini2642
3 жыл бұрын
asante kwa sapoti share na wengine ngoma ifike mbali
Sijui nisemaje kuhusu hii nyimbo pilia nashindwa kuelewa kwann watu wamekua hawataki kusapoti nyimbo zenye ujumbe hii ngoma Ngoma ni Kali kwel Hawa jamaa hii ngoma wamefanya nadhan hata roho mtakatifu alikuepo wakat mnafanya hi nyimbo aiseeee mungu awabariki Sana kwa hiki mlicho kifanya na awape nguv ya kufanya kingne kama hiki 'Amen
Muziki mzuri ndo huu tunaomiss tafadhali msituache tuanze kuwamiss # Wanasema consistency is a key .....infact mnaeleweka tangu kitambo so endeleeni kushusha muziki
Ebwana P kawafunika wote humu
Dah, i wish i was featured kwenye hii song. I just appreciate these guys! #KikosiKazi
Respect Kikos-Kaz/Mansul Katishaa
#KikosiKazi#tunashukhuru kwa kazi nyingne nzur #MuchRespect#🔥🔥💪
Stoo ya Hip Hop inazidi kusheheni kila msosi tunaohitaji. Kazi Kazi #KikosiKazi Respect
@bennyngoye8707
3 жыл бұрын
Yeah men,kazi nzuri sana like hiphop is back.
Ila P mawenge aisee 🙌🙌🙌🤦♂️🤦♂️🤦♂️🔥🔥🔥
Kikosi kazi mkoo juuuu tu sanaaa na ni kikosi cha mizinga mbacho hakuna east africa nzima tuazidii kuwakubali kwenye industry (kikosi kazi kazini)baba malcom mko juu tu sana.....
P mawenge is The best Out of Yall Kauaaa sanaaaaaa
Hamjawahi kosea namiin nasubur kitu bora zaid ya...
Eti kuna dada anauliza songa naicho kitambi chako tutawezana 😀😀😀
@ezratibore6512
3 жыл бұрын
😂😂😂
@abuusaidy1506
3 жыл бұрын
😂😂😂😅😆 kuwezana tenaa
Aliyeirudia hii ngoma kuitazama zaidi ya Mara tano tujuane hapa..#kk_kazini
Kazi nzuri sana that's hip hop hamjawahi niangusha, big up
Kikosi kazini you know wariris... 💥☇💥☇💥
Naaam roho yangu kwatu maana nimepata kirizisho cha nafsi kikosi kazi asanten sana kwa kazi nzuri
Sisi tunaanza wao wanafuata. Nyimbo nzuri sina budi kusema AHSANTE MAKAO MAKUU yapo MBINGUNI🙏
Mazeee hivi ndo dunia end mbona rapaz now Gospel Sana Fidq,dogojanja,rapcha now KKS
Hii #SALA lazima ijibiwe na MUNGU..KWERI KIKOSI KAZI.. KIPO KAZIN
@smgfamilygroup2414
3 жыл бұрын
MAMBO VP BROTHER
Real hiphop will never fall, when these soldiers lead us . Bonge la ngomaaa
Inatia Moyo kuona wahuni wanamkumbuka Sir God,, verse ya Kwanza Makin sanaa ,,🙏Ameen
Ur too really brotherz ila endelezn hz ngoma Kali juu ya nomah.