Kikosi Kazi - Kazini Official Video (WEUSI DISS)
Kikosi Kazi is the biggest HIP HOP group from Tanzania, East Africa consisting of 8 members ie Azma Mponda, Nikki Mbishi, P Mawenge, Songa, Mansu -LI, One The Incredible, Zaiid & Stereo.
Subscribe, like, comment and share!
Follow Kikosi Kazi
/ kikosikazitz
/ kikosikazitz
Follow Artists on Instagram
/ azmamponda
/ nikkimbishi999
/ niitesonga
/ onetheincredible
/ mansu_li
/ zaiidyao
/ stereosingasinga
/ pmawenge
same accounts on twitter.
Production House
Produced by
kitathepro: / kitathepro
Director :
Florian: / director_florian
Studio : / aznas_studio
/ aznas_kariakoo
/ aznas_printing
#KikosiKaziKazini #Kikosikazi #Kazini
#KikosiKaziKazini
Пікірлер: 1 800
Hello, Ukiwa kama Follower wa @kikosikazitz Tunayofuraha kukutaarifu kuwa video yetu(Kazini Cypher) #KAZINI Ipo KZread tayari. Gusa link kzread.info/dash/bejne/faF7zcimd9HNnrA.html kwenye bio zetu au official IG & Twitter acc ya @kikosikazitz Usisahau kusubscribe tafadhali. Produced by @kitathepro Video by :@director_florian Studio :@aznas_studio Set up :@aznas_printing kwa mahitaji ya T-shirt au product za Kikosi Kazi piga namba 0622 037 937 asante kwa sapoti yenu #KikosiKaziKazini
@noelmkanga1235
4 жыл бұрын
Ngoma Kama hizi zinachangamsha game wadau so ningeomba ziwe ngoma nyingi ili tutupe mawe kwa watu wanaobebwa
@noelmkanga1235
4 жыл бұрын
Mistari Kama ya p the mc ndo tunaitka
@dyzoomgonja9892
4 жыл бұрын
Ila weusi wamewatoa mapovu syo pw asee mtu nne kwa mtu nane kweli wwusi nyoko
@yasinijoeli3405
4 жыл бұрын
oy oy,tunapataje hzo katalogue ,mlizotupia
@bon.tiger1656
4 жыл бұрын
Xichoki kuagalia ii goma yan mnajua xema ayo matixhet tunataka mwanza uku mtuletee
Anae ungana na Mimi kuwa PMawenge KATISHA Gonga like hapa🔥🔥🔥💪💪✔️✔️✔️
@kikosikazikazini2642
4 жыл бұрын
🔥
@AlbertLema
4 жыл бұрын
P mawenge kaweka utofauti sanaa.very talented guy. He should do more.
@EmmanuelJoseph-nn2zg
4 жыл бұрын
Zaiid weeeeeeh
@Amobizzy_OG
4 жыл бұрын
@@EmmanuelJoseph-nn2zg zaiid kaua kuliko woteee
@salimmhando2290
4 жыл бұрын
Kabla sijamskia najua huyu jamaa ni moto.. The best rapper in Tz
Aahaaaha nyinyi watu mnajua mbaka kero mmechaguana wakali watupu wote muko moto sana daah KWELI KIKOSI KAZI
P the mc ni level nyengine ngoma moja ila umekuja na style ya kipekee ww ndo Ronaldinho wa rapp ila nimeumia xna kuona rington ya mke wangu ni ngoma yako ( I MISS YOU )
@williamschangala6200
3 жыл бұрын
Sina mbavu hahahahaha
Weusi wamefanikiwa kutengeneza brand na kufanya biashara, for this movememnt nanyie fanyeni biashara, mshiishie hapa tu...Lets have a lot form u guys #makemoney #hiphop One n' Unju salute
@kikosikazikazini2642
4 жыл бұрын
more to come 🤝🔥
@brianbrayoo1590
4 жыл бұрын
✊🙏🙏
@chayogasperi9783
4 жыл бұрын
Wana album inakuja , Uwiiiiiiiiiiiiii !!!!!!!!
@yassinijuma4708
4 жыл бұрын
Daaaaa,kiukweli hip hop inakuwa kwaukamilifu na misingi sahihi kbs but inabidi tu iwepo mipaka kati ya kundi moja na jingine,kiukweli tamaduni music ndo chama nawala hakuna upinzani napia me binafsi ninamuomba m/mungu kwasana kila niamkapo ili aweze kuepusha migogoro na migongano ya hapa na pale kati yao wao wenyewe coz lile ndo chama laukweli miundo mbalimbali yalugha, sarufi pamoja na mantiki Zeke zinapatikana pale hawa wasanii wengine acha wafanye kwa manufaa yao tu lakini hawa wajomba niwakolongwa wafasihi kwaujumla,asante sana shall out kwa Nikki,one,zaidi,nawote waliofanikisha hili
@mugadimon3563
3 жыл бұрын
@@yassinijuma4708 Sure braza kwenye swala la Hiphop bongo hakuna wa kuwachallange tamaduni music.Wakiungana hawa jamaa ni balaa zito linakua.Hawa kwasasa hawatakiwi kuachana hata kidogo
Mmetuimbia sana us&&&nge leo mnajifanya mnafoka. ...unju 🔥😂😂😂
Moja zao hazikai hawa wazikalia!! Miaka buku! Kuwasikia mpaka watekenywe kwa back 🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼🖕🏼
Kikosi kazi nawakubali wauni wa town. Wanazani Kuna media itawatetea😄😄😄😄😄🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.bonge la chupa.nikki na Wana wote umeuwa mbayaaa love from Zanzibar stone town.
@kikosikazikazini2642
4 жыл бұрын
we appreciate ✊
@mahmoudaziz4717
4 жыл бұрын
Kaz Kaz💪💪💪💪🇹🇿🇳🇴
nilichokuja kugundua P the Mc ni noma sana kwenye diss track
P-MAwenge 👆😁😁😁😁😁😁😁😁 mzee wa futi 6 naona humu umezika kwa futi 600
@gthirty
4 жыл бұрын
Noma 🔥🔥🔥💣💣💣
@seanmarley5418
4 жыл бұрын
Hatari 👊👊
@livingstonemaarifabatawe9829
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@chrissjoel7752
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@libonoka
4 жыл бұрын
Mawenge ni nyoko 🔥🔥
Culture haiwezi kutunzwa na watoto mchele mchele 👊🏼
Naaaam.. Sasa izi bifu ziwafanye mupige mkwanja, zsiishie kuchanana tu.. Keep on stirring that pot of gold🔥🔥🔥👊🏿
Weusi watoto mchelemchele....😁😁😁😀😀. Hii funga kazi...
Dadeki. Habari wanayo. Mmewapitia mbayaaa. Na lines zote ukweli mtupu. 🔥🔥🔥🔥🔥
Eiii zeeeed Eeeem Eeeeei.... Best Souldier From the GREEN CITY.... Aise ninyi ni the Impecables,,, inspiring Generations
Nikki Mbishi is doooooope......love from +254
Hahahahahaha daaa 🔥🔥🔥weusi wamerikoroga aseee
safi sana dah mwenyew nilimaind kuckia watamadun ndo tunatunza culture shikamoo AZMA
Kutudiscus ni kutafuta uhai na kifo........mmekipima kina nawazamisha mazima...BIGGEST RAP HIT
Nimesikiliza hii nyimbo, naona umu johmakini mistar mingi inamuhusu yeye
Yaaaap Sasa hii ndio Tanzania ilikuwa imemiss....tamaduni for Life
Heshima kwa Tanzania.. as a Kenyan🇰🇪🇰🇪🙏 tumekubali.... Nice to see you guys together, from Seattle, Washington🇺🇸🇺🇸 ...weusi run🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@ramabakar4584
4 жыл бұрын
Weusi run🏃🏃🏃🏃🏃🏃 kikosi kazi kazini 🔥🔥 mmetisha sanaaaa weusi watasubiri Sanaa
@kelvinodera821
2 жыл бұрын
Kabisaa bro much respect to tanzanian guys... True hop
Culture haiwez kutunzwa na watoto mchele mchele kama umeielewa hyo verse gonga like twende zetu
Hii account inatakiwa iwe na subscribers 100k kabla ya September, na views 2 million kabla ya december! It’s gone the break record for hiphop in 🇹🇿
@mugadimon3563
3 жыл бұрын
Inawezekana hiyo kitu
Mawenge 😂😂 All in all KIKOSI KAZI MMETISHAAA WAKUU #HeshimaMabroo🙌✊
gonga like kwa unju ,songa ,p mawenge , one credible ,zaid na kikos kazi kazin # hiphop for life
SONGA√√Culture haiwezi tunzwa na watoto mchele...mchelee, mchelee, mchele...
HIP HOP.....Naweka Pesa Mezani Tuutumie Uwanja Wa Taifa Huku Weusi Huku Kikosi Kazi ....Pesa Pesa Twendeni Kazi
Like nyingi kwa P the mc Zaaiiiid...🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@makaliusmakalius2555
4 жыл бұрын
Mansuli sinza staa
@shaphyvuai6805
4 жыл бұрын
Hawa jamaaa ni nomaaaaaa sana zaid na p
@makamestefano.maknikakanak2276
4 жыл бұрын
Makni xana kikosi kaz Mme funika ile mbaya !!
Wataelewa tu,mmetuimbia sana usenge leo mnajifanya mmafoka.........shenzii!!!,unjuuuu
@nellywizz9631
4 жыл бұрын
Amna kitu awa badala wachek vip tutapga chapaa wanafok ovyoo
Me ninefurah kuona @kikosi kazi kuwajibu wale walembo
Nikiacha Rap ntakua Pastor ka Bamboo_Songa Respect from Kenya
Hhhhhhhh noma Sana mmeua wote like it mansul ____ na wangine Ni motoooooo 🔥🔥🔥
Zaiid nimeelewa kwa nn umemaliza hu mchezo
Daaah so fine more fire Full mafundi siwapingi
Mmeua sanaaaa....🔥🔥🔥 mtuletee nyengine we are starving for this staff
Mansu-li: kwa hiyo jamaa ni WEHU, you see ? oooh i loove this games (in Evra's voice)... wamekikoroga
@stanleymwaikambo1460
4 жыл бұрын
Hahah niggaz can really rap... In tha name of hiphop
@salimmohamed694
4 жыл бұрын
Hhhhhhh
Mawengeeee😂😂😂😂😂 umeuaaa sound like G,John,nik na ezy
Hiv wezangu mnairudia rudia hii ngoma kama mim au...daahhh wameua...
@barakajacob3179
3 жыл бұрын
Mkni sana nikki mbishi amewapa vyo hawa weusi nawa kubali sana kikosi kazi
Hii vibe nilikuwa nimeimccc kinomaaaa
Wanangu Mmeua Sana Humu Tamaduni Music For Life
@galocesamwel5461
4 жыл бұрын
Weux wan test mot kq ulm xio
Hawa jamaa wakali sana, this is modern hip hop Mjifunze kukaza soo ''bongo frava commercial'' Collabo za Kipimbi tunakwenda international!
From R chuga .. p mawenge,, nikki mbishi,,, zaiidi and moko wa miujiza u will be always the best bana.. mmechafua kinyama
Nawakubali wahuni wa kikosi kazi ila Weusi hamuwawezi .. Weusi ni another level . Kubalini TU , ingawa ndo mziki na Ni ushindani lakn hamkupaswa ata kushindana nao . Weusi Ni international level 💪💪💪 Narudia Tena HAMUWAWEZI ✌️
@halfanhaji9728
4 жыл бұрын
Ujielew ww
@mokiwatv1206
4 жыл бұрын
@@halfanhaji9728 Asante kak
Kumamake🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Much love to p the mc,songa and nikki, Culture haiwez kutunzwa na mchelmchele😂😂
@joshuarobert5922
4 жыл бұрын
Jamaa wamechafukwa na roho
@donalfa1850
4 жыл бұрын
@@joshuarobert5922 sanaaa na hiki ndo tulikuwa tunakimiss kwenye masikio yetu✊
HIP HOP is Back now in Tz EAST AFRICA. Bless up
@kikosikazikazini2642
4 жыл бұрын
🔥✊
P mawenge , zaiid, Dr.unju mmenyoosha ninyi mjaoneahuruma 💪💪
@kikosikazikazini2642
4 жыл бұрын
🔥
P mawenge na Zaiid🤗🤗🙌🙌🙌
@peterudoba7183
4 жыл бұрын
Atari hao watu 💥💥💣
One incredible new hair style 🔥🔥
Yeah tuli miss sana radha kama hizi gonga like kwa one apa
P Mawenge ni mkali naona anakuja kwa hatari bingwa anajua
Wehu si siiisi!!!..😎
Kwenye game kuna weaknesses ndomana mnahit wepes👈🏿hii line ina mana kubwa sana...#kikosikazi👊🏿👊🏿
Mafundi makini wenye uzoefu wa juu wenye talented zaidi
kuandika xanaa bila radha n sifuriiii....weusi wanatoa radhaa imeisha io...kikos kaz wenye radha n zaid then one incredible..wengine kungun tyuuuuu
Really hiphop Big up my frontline artists 🔥🔥🔥
Da this is now the Hip Hop for real......
imeisha ioooo....💯💯💯🔥🔥🔥🔥
1 z incredible 👊✊Nik mbish na songa nakubari ✊🤞 sana
1....,Azma Mponda🎙🎶🎧 2....,Nikki Mbishi Baba Malcom🎙🎶🎧 3....,P The Mc Mawenge🎙🎶🎧 4.....,Songa The Unlimited🎙🎶🎧 5....,Mansu Li Sinza Star🎙🎶🎧 6....,One The Incredible Moko Wa Miujiza🎙🎶🎧 7....,Zaiid Yao Kimbau Mbau🎙🎶🎧
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
Hatari .wameishaaa
@nasibuthevibe
4 жыл бұрын
0......... Kita the Pro 🎶 🎹
@dadyshunaydah9421
4 жыл бұрын
@@nasibuthevibe...,Kita Kwenye Mdundo🎹
@graphixmaster6146
4 жыл бұрын
Wapi Stereo?
@dadyshunaydah9421
4 жыл бұрын
@@graphixmaster6146..,,Singa Singa Maradona Majukumu Ya Kazi na Familia Yamembana Mzee Wa Kazi Ana New Born🤱
Me: niaje weusi Weusi: kama kawa n vp? Me: fresh ,umelichek goma ya kikosi kazi? WEUSI LEFT THE CHAT 😁
@kikosikazikazini2642
4 жыл бұрын
😂
@nguyamtwartz5413
4 жыл бұрын
😂😂😂
@AfrobeatsLyrics432
4 жыл бұрын
😂😂😂
@abby-creed1318
4 жыл бұрын
@꧁ TAE ꧂ FSBgirl yo yo its you'r boi Abby creed. Hit that subscribe button and bell." Seriously thank you for never having this Crap in any of your Videos. LOVE. YOU.
@hopenassary7666
3 жыл бұрын
mbwa koko kazin hahaha
Nawakubari sana ,p mawenge acha vituko
Nyie mayoyoo tu weusi ni fire mmejipanga sana af hamna kitu weusi mtu nne njoo uone 💪💪🔥
Hapo kwa Positive Mawenge kaweka ubunifu mkubwa sana.....kwanza kaimba kwa sauti ya G,Jo,Lyod na Nikki😂🙌
@mr25d99
4 жыл бұрын
P ameweza sana 👌👌👌
@nicky3025
4 жыл бұрын
@@mr25d99 kinoma
@abubakarihamissi4178
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣P ni nyoko aise yule mtt Ana dis kama hataki vile
@aminakipingu7957
4 жыл бұрын
😂😂😂 Mabwiga wa R
Ila pmawenge wewe,lines zako ni level nyngne kabsaa
@ezekielchengula2228
4 жыл бұрын
Huyu mkali flow zake ni soo. Ndiyo sababu futi 6 ilikuwa hot wakati yalikuwa tu maneno ya mashabiki.
@shikikitabunda1177
4 жыл бұрын
P the mc Ni mkali Sana kwenye flows
@AfrobeatsLyrics432
4 жыл бұрын
Huyu jamaa noma
Kama wewe umefurahi kuwaona nik na p the mc kwa hii ngoma bas gonga like
@youngleader8656
4 жыл бұрын
Mansuriiiiii
Songa unlimited..Mungu na Mimi gundu na nyinyi (Mzee Wa Picha)-nomaa xana
@kikosikazikazini2642
4 жыл бұрын
🌋
Aiseee, mnajua had sio poa
"Mambo ni ufundi kama wajina wangu Robinho" Shenzi😃😃
Kumaaaaamakeedee....Bonge La Dude...Kila Mwana Kauaaa. Sema P-Mawenge na FidoDido Mmeua Mbayaaaaaaa. Konki Styles Konki Flows. 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
P mawenge umetisha bro
Stereo singasinga na Nash MC wako wapi aisee? Ila ngoma ni konyo ile mbaya 💣💣💣🔥🔥🔥
P the mc na zaiid asee mmeuwaaa na sinza star nawe ni noumahh
Basi kikosi kazi hawaji kurudia tena kuwadisi weusi msiwaletee fyokofyoko hawa jamaa ni hatari
Mansureeee we ni Noma aseee! Kweli ng'ombe hazeeki maini nimekubali mzee wa kina kirefu!!
Noumaaa sana wahuni wangu hizi ndo hiphop tulizokuwa tunazisubir
Hi ni zaidi ya 🔥🔥🔥
Maboya kweli hip pop si taarabu fanyani Kazi si kujaribu kumshusha MTU na domo afu at a kuchana hamuwezi vidume vizima toeni ngoma ipaaee acheni ushamba bado kabisa back to school guys
Haki bhana bhana p mawenge kanichekesha sana 😝😝😁😝😝🇧🇮🇧🇮 from 257 nawapenda mzee
Mmeuwa aisee
Noma🔥🔥🔥🔥
P MAWENGE.. THE DOPEST IN AFRICA RIGHT NOW...
Daaaah kweli mtaua jaman cyo pwh
Tamaduni music💣 💣 limerushwa
Too lit u hv nailed it ma brothers
Zaiid kauaaa alivyooingiaa Na Weeehuu siisii Hahaha Hiphop rahaa sanaaaa Mistaar ina chemicali Weusi lzm wawe wanaWalii
Ila p mawenge wee nyoko sana kwenye diss track 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@Mr_Highlights360
4 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Good hip hop and challenging
nawakubali sana maninja kwa kazi
One the incredible nili expect zaidi ya ulichofanya
Kikosikazi my team... Always being waiting for this...
WALIO VIEW BAADA YA 200K TIJUANE KWA LIKE HAPAAA
You guys keep up wakuu...
Noma sana tuna fanya biashala ya muzik hatufanyi muzik wa biashala
Respect👊🏾
Culture haiwezi kutunzwa na watoto mchele Michele hahahaha songa
Wote wamefunika mbayaa!! Ila kama kawa Nikki Mbishi kaburuza zaidi kisha anafata p Mawenge. Damn!! P Mawenge uko vizuri aisee, nilikuwa naku-underrate ila hizo bars za kwenye hii diss zimenifanya nibadili mawazo yangu.
Anae kubali Kikosi kazi wamekuja kubadili rapper game again ngonga like nawakubali majama kinoma 🔥🔥🔥.
Big up to whoever censored this music👏👏👏 Kenya in the building