KIKAO: JANUARY MAKAMBA USO KWA USO NA SALIM KIKEKE/ MASWALI MAGUMU NA MAZITO | KASRI

#kASRI #crowntv #salimkikeke
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 113

  • @nicholausluvanda1502
    @nicholausluvanda150210 күн бұрын

    Hongera sana Salim Kikeke, umekuja ku-revolutionize mindsets zetu vijana watanzania kufatilia masuala yenye umuhimu na tija kwa taifa letu. Hii itasaidia sana vijana kufatilia masuala ya uchumi, kuji-engage kwenye shughuli za uzalishaji na uchumi kwa ukubwa wake, badala ya ku-focus na masuala ya michezo na entertainments, ingawaje ni mazuri kwa burudani, lakini ni muhimu yakafwata kwa kiasi na wakati maalum, na sio kuwa center ya narratives zetu mainstreams. Kongole !

  • @MohamedHarithi
    @MohamedHarithi19 күн бұрын

    Kiukweli sisi ni vijana but hatupend kufatilia vitu muhimu ila bro kikeke #ali kiba mnafaaa kasli bonge la kipindi na hiii ipeleken azam nahisi hiii itakua ni mmoja kti ya vipindi bora ndan ya tz ❤❤❤❤🎉

  • @elisharaphael8680

    @elisharaphael8680

    19 күн бұрын

    Na ndio maana tunabaki kulalamika tu mitandaoni lakini kujitokeza hadharani hatuwezi, hatusikili na hatutaki kujifunza tukafahamu vitu kwa undani

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork6 күн бұрын

    Kipindi kizuri sana hongera my brother Kikeke... Tunajifunza mengi wafuatiliaji! Tupe madini - Ezden J.

  • @MohamedHarithi
    @MohamedHarithi19 күн бұрын

    For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im19 күн бұрын

    Uwekezaji wa Makamba ni bomu. Huyu jamaa hana record nzuri. Serikali ina recycle watu wale wale wakati tuna vijana welevu na uwezo wa kuleta maendeleo makubwa. Shida hawajulikani. Hawana wazazi waliokuwa kwenye system

  • @JamalyzoMilanzi
    @JamalyzoMilanzi19 күн бұрын

    Kazi njema sana mnafanya vyema sana crown media 👑 hapo ni nyumbani

  • @nabaodesigner9449
    @nabaodesigner944919 күн бұрын

    Salimu Kikeke nina kukubali sana, na maojiano yako na mueshimiwa waziri umenikosha sana. Nina amini uta boresha Crown 👑 media. Nina kufatiliya toka USA 🇺🇸 Atlanta Georgia

  • @King_Kalinga_Tz

    @King_Kalinga_Tz

    19 күн бұрын

    Njoo na kwangu ucheke mkuu...usisahau KUSUBSCRIBE

  • @user-do1xs4om1b
    @user-do1xs4om1b15 күн бұрын

    Nyie ngozi nyeusi mmezidi kusafiri, na hatuoni faida yeyote zaidi kuuza bandari, ww makamba ungependeza zaidi kama utaachia hiyo nagasi uliyo nayo umekula kwa mda mrefu inatosha tuwape nafasi watu wengine. My brother kikeke huyo hawezi kupingana na mama samia. Unajaribu kumtwanga maswali magumu sana bigup

  • @abuukarata9653

    @abuukarata9653

    13 күн бұрын

    Fanya kazi mkuu

  • @user-sr9js6rj5v
    @user-sr9js6rj5v13 күн бұрын

    Semeni ukweli lini vitatolewa hivyo hadhi maalum, sasa ni miaka kadhaa tunasikia na kuambiwa kesho kesho na huu mwaka unaisha pia. Ni lini???

  • @honestthomas1549
    @honestthomas154919 күн бұрын

    Kikeke umeuliza swali la kibingwa sana... Matajiri wanataka nn kwetu

  • @King_Kalinga_Tz

    @King_Kalinga_Tz

    19 күн бұрын

    Pita na kwangu ucheke mkuu

  • @zuwenarajab6675
    @zuwenarajab667518 күн бұрын

    Masha Allah tabarakallah! Kipindi kizuri sana Salim. Nakumbuka kipindi chako cha "kisa na mkasa na Salim Kikeke"

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King3 күн бұрын

    January Makamba ametulia sana hapanic

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824116 күн бұрын

    thank you Salim for this great Interview..but the interviewee seem to give general responses, he isnt finishing them so as to get exactly what the common w/nchi wants to know..he tried though but we would appreciate antoher inteview with him. one mor thing Salim, would you mind checking out the roundtable ya Ruto na Journalist as well as the X Space between him and the Gen Zs of Kenya? these are very keen and critical ideas laid down by their President that he has been working on for sometime. it will help u while interviewing our head of state one day or even key leaders in our govt sir..thanks again

  • @alihussein4303
    @alihussein43037 күн бұрын

    Big Up Crown,Big Up Tanzania ✊🏿

  • @mytelecom2019
    @mytelecom201917 күн бұрын

    this guy ni kiongozi kudos

  • @zingahassan5851
    @zingahassan585119 күн бұрын

    Good program from Salim kikeke#kASRI...Big up for the cameras..4K.. mashallah #crown media...🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @viootanzania9080
    @viootanzania908015 күн бұрын

    Mwenzi mungu awape hitaji lenu crown media inshaahllah by yusuf kutoka dodoma

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo256718 күн бұрын

    Welldone kikeke kwa maswali mazuri, na je kwani lazima rais asafiri kila mara na msururu wa watu, kazi ya balozi ni nini.

  • @abuuahmad623
    @abuuahmad62319 күн бұрын

    Niseme kuwa inaonekana hizi elimu za miradi ya viongozi kusafiri na kuitafutia nchi watanza nia hawana na wala viongozi hawaambi watanzania

  • @ndayizeyecharles1024
    @ndayizeyecharles102419 күн бұрын

    ❤ great

  • @mohamednabahan9031
    @mohamednabahan903119 күн бұрын

    Kazi nzuri sana inavutia kufatilia habari zenu hongereni sana

  • @King_Kalinga_Tz

    @King_Kalinga_Tz

    19 күн бұрын

    Njoo youtube kwangu ucheke

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz19 күн бұрын

    Crown ❤

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c19 күн бұрын

    Hii Tv Itafika mbari sana Pongezi kwa Kiba Kikeke Wajina Mtu sahii Drc kwetu

  • @REMMY962
    @REMMY96216 күн бұрын

    Maswali yalikuwa sawa na muhimu ila JANUARY MAKAMBA alijibu kwa juu juu tu, hilo ni changa la macho, kumekosekana maswali ya kukaza supana. huu ushilikiano na nchi za magharibi uta cost Tanzania vitu vikubwa ambae hamtokuja kusahau yani subiri mda kidogo mtaanza kuona madhara yake.

  • @samraper1274
    @samraper127419 күн бұрын

    Safi sana kazi nzuri nimependa mahojiano

  • @elvinl1029
    @elvinl102919 күн бұрын

    Good saana

  • @JOHNINSURANCE
    @JOHNINSURANCE19 күн бұрын

    Hizi habar safi kabsa kusklza sio vyombo vngne makelelekelele meeengi kwakwel yani.

  • @emilegentil9538
    @emilegentil953819 күн бұрын

    Crown niya moto wazee

  • @user-po5tm4we4b
    @user-po5tm4we4b10 күн бұрын

    Kazi ngumu akiwezi ,bwawa la nyerere alishindwa,alisema mwezi wa sita ,kaja musukuma mwezi wa pili tu kitu teyari, uyo kazi laini na maneno mengi ,si tunataka vitendo

  • @ommydec2887
    @ommydec288719 күн бұрын

    Super🔥🔥🔥

  • @abuuanwar0076
    @abuuanwar007612 күн бұрын

    Mbona wawekezaji wanakuja kufanya biashara za kawaida sana, hamuoni mnaongeza ushindani kwa watanzania?

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga80917 күн бұрын

    Yani nimeanza kusikiliza leo nimeanza na naibu waziri mkuu na hii kwakweli njia hii mliyo ishika iwehivi hivi

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba334814 күн бұрын

    Waziri anajibu vzr katuria bila kupaniki kweli kakomaa mkuu

  • @mjukuuthebrand
    @mjukuuthebrand19 күн бұрын

    Safi sana

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice808819 күн бұрын

    Kazi nzuri sn

  • @EtieniRama
    @EtieniRama19 күн бұрын

    Crown kazi zuri sn❤❤

  • @halfanihamadi3683
    @halfanihamadi368319 күн бұрын

    Nzuri sana

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola823215 күн бұрын

    Tz vibari changamoto wanazungusha sana

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili202314 күн бұрын

    Kuhusu hadhi maalum ni jambo zuri sana

  • @mdbosco1640
    @mdbosco164019 күн бұрын

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q19 күн бұрын

    Safi sana hapo kwenye Diaspora mmeupiga Mwingi

  • @manchalijob9600
    @manchalijob960014 күн бұрын

    HIKI KIJAMAAA KIJANUARI HUWA SIKIEREWI KIONGO SANAA KINASIFIA UJINGA RAIS ANASAFIRI OVYOO

  • @mohamednabahan9031
    @mohamednabahan903119 күн бұрын

    Kanzi nzuri sana

  • @user-kh1tn6yr8b
    @user-kh1tn6yr8b18 күн бұрын

    Mh hii aiko sawa tuwe makini sana watu ambao sio watanzania

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad273619 күн бұрын

    Mahojiano hadi Raha ❤❤😊😊

  • @liannsambu7264
    @liannsambu72646 күн бұрын

    Nimempenda salimu ulipomgomea Mzee alipotaka kusema kuwa kwamba wao ndo wamefanya pato liongezeke from diaspora baada ya kuanza hatua wakati hizo uwekezaji ulikuwa uleule

  • @user-zm5qf5zl9r
    @user-zm5qf5zl9r19 күн бұрын

    Super brand

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent94086 күн бұрын

    Asante kikeke umekuja tufungua akili mkuu

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge679419 күн бұрын

    Mmewatambua hadhi kivipi wanadayasbora...

  • @LauMagwaja
    @LauMagwaja18 күн бұрын

    Saf sana kiba na bro kikeke kipnd kizur

  • @zedkaz001
    @zedkaz00119 күн бұрын

    Hapa safi nitakuwa na nyinyi mpaka mwisho.

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King3 күн бұрын

    Rais ajaye

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton891119 күн бұрын

    Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything19 күн бұрын

    👊✌️👍.

  • @muddyChela-vc3kw
    @muddyChela-vc3kw19 күн бұрын

    Umu 2 kwa👑👑👑 ni nyumbani

  • @user-px7jf7xs6k
    @user-px7jf7xs6k19 күн бұрын

    Zanzibar,Malawi na Tanganyika

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge679419 күн бұрын

    Kwa swala la wana diasporas hapo mh makamba umefanya vizuri. Manake hapo zamani wanadiasbora kutwa kutishiwa na kuwa hawawezi kumiliki ardhi...

  • @JackJack-oi2io
    @JackJack-oi2io19 күн бұрын

    We kikeke😂 napenda maswal yko yapo kwetu laiay

  • @seneu.2128
    @seneu.212813 күн бұрын

    Kikeke uko vizuri sana, kinachosikitisha nikuwa bajeti ya ofisi ya Rais ni siri, wakati hapo kenya kila safari ya rais vyombo vya habari vinapewa gharama zilizotumika.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1019 күн бұрын

    Hapa ni home

  • @hajiseleman6632
    @hajiseleman663219 күн бұрын

    @kikeke punguza spana hizo

  • @King_Kalinga_Tz

    @King_Kalinga_Tz

    19 күн бұрын

    😂😂 Za kichwaaaa Njoo na kwangu ucheke mkuu

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz118 күн бұрын

    Musaada WA nini

  • @loyalmediatz
    @loyalmediatz19 күн бұрын

    Hii ni interview bora kati ya zote ulizowah kufanya katika siku za hivi karibuni, tafadhal naomba uione comment hii #kikeke

  • @danielmgalla558
    @danielmgalla55819 күн бұрын

    Nadhan muoneshe full picha za discussion itapendeza zaidi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent94086 күн бұрын

    Kikeke naomba ujaribu kumtafuta boss TCRA atueleze kwanini makampuni ya simu yanatuibia na wao wamenyamaza tu unaweka vocha hujaitumia ikipta saa 24 imeisha hii manake nini na wao wapo kimya tu mtafute kaka mambo kibao tu nimeona hata uvivu kuandika

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85623 күн бұрын

    Kikeke toa ndevu upo kama mapung'o?

  • @MrOnii255
    @MrOnii25519 күн бұрын

    izi camera jaman aiiiiih

  • @wamburawambura1968
    @wamburawambura19687 күн бұрын

    🤔

  • @Ba63828
    @Ba6382819 күн бұрын

    Rushwa inachafua jitihada za serikali

  • @abuukarata9653
    @abuukarata965313 күн бұрын

    Inchi ngumu sana hii.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz118 күн бұрын

    Makamba,Ni Kwa nini watalamu wetu hawaunganishi wafanya Biashala kutoka inchi zote za inje zijenge viwanda TZ ?

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq15 күн бұрын

    Nina washukuru yote wa heshimiwa kwa kutufahamisha mambo mazuri ya maendeleo.

  • @karthala6676
    @karthala667619 күн бұрын

    Wapi kwenda kupata Hiyo card nikija Tanzania

  • @user-kh1tn6yr8b
    @user-kh1tn6yr8b18 күн бұрын

    Wahindi wapo wengi Dunia

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi458119 күн бұрын

    Salim hiyo hadhi maalum ni kwamba imeshaanza tayari mbona hujambana hapo aweke tangazo rasmi kwenye port of entry zote watu wasisumbuliwe

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw19 күн бұрын

    Vijana wasio ona mbali ndio wanaoona kikeke anauliza vitu mhimu hapo utana vichwa vidogo visivyo ona mbali wapo tu

  • @HanafiRamadhani-vf4de

    @HanafiRamadhani-vf4de

    15 күн бұрын

    ina wezekana unacho sema kiko sawa tunaomba utuelimishe kwanini hayuko sawa

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo256718 күн бұрын

    Na kwanini tunategemea misaada na nchi ina utajiri mkubwa na je riba yake ni ngapi

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    17 күн бұрын

    Mpe elimu huyo. Anajibu juu na haelewi haya mambo kinaganaga. Ni mpiga filimbi mzuri.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu72646 күн бұрын

    Hakika safari it's too much jaman MARAFIKI SI ata Kwa simu wanaweza kuwasiliana ?? Safari nyingi na zinatumia mabilion ya ela jaman it's too much kama mwalimu Nyerere aloanzisha ili TAIFA alitambea lakin akawa na muda wa kutulia KUJENGA nchi yake ,sisi tunaozurura Zaid Leo mmmmm hatukatai kutembea ila mmmmmm MWOGOPENI MUNGU maana ata huo uwekezaji bado wazawa hawanufaiki wanaishia kuwa MACHINGA na vibarua je inatufaisiha Nini NO

  • @usafiaps318
    @usafiaps31818 күн бұрын

    Mh.Tueleze Wazi Tumejiandaa Vipi Na Hawa Mnaowathamini Sana Wawekezaji Tunanufaika Na Nini Hasa???Mfano Uliopo Wazi Ni Rasilimali Tulizo Nazo,Mh.Huoni Tunawapa Wao Zaidi Kuja Kama Wawekezaji???Tungewaajiri Tunapata Zaidi.Fikiria Hili!!!!

  • @TM-zs3rm

    @TM-zs3rm

    17 күн бұрын

    Hajiamini kama sisi wenyewe twaweza. Kwanza wangetoa hati milkiki kwa watanzania wote nchini. Wakawekeza kwa watanzania wenyewe. Huwezi kutulinganisha na uwingi wa India na wengi wahindi hawana nchi. Sisi tunayo.

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee10 күн бұрын

    Nasikia makamba ndo Rais ajaye baada ya Maza..... Bongo bana 😮

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp19 күн бұрын

    January katupiga changa la macho kama kusafir sana Kwa rais ndio kuleta maendeleo ya nchi basi kipindi Cha kikwete tungekua tulishatoka kwenye kundi la nchi maskn Magufuli ambaye alikua hasafir Kwa mda mfup tukaingia kwenye nch za uchumi wa kati kwaiyo msione wananchi punguan sana mama apunguze kudhurula uko nje mabaloz wafanye Kaz Yao

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda273419 күн бұрын

    Hujamaha akili yake yote hatakuwa raisi wa tanzania

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo664017 күн бұрын

    Crown ni mabingwa sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_19 күн бұрын

    Kazi nzuri saaana Mhe January Makamba

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola823215 күн бұрын

    Baloz anafanya nini kuongelea mbaazi kuluko rais aende kuongelea mbaaz

  • @MegaBack2life
    @MegaBack2life14 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu764813 күн бұрын

    Regardless of whatever people say, I always say this man deserves to be a president and infact i wish CCM can make this decision in 2025 before it’s too late. Scrap that Samia off our faces please

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho1819 күн бұрын

    Iyo miswali

  • @MohamedHarithi
    @MohamedHarithi19 күн бұрын

    For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu

  • @LauMagwaja
    @LauMagwaja18 күн бұрын

    Saf sana kiba na bro kikeke kipnd kizur

  • @abuuanwar0076
    @abuuanwar007612 күн бұрын

    Mbona wawekezaji wanakuja kufanya biashara za kawaida sana, hamuoni mnaongeza ushindani kwa watanzania?

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton891119 күн бұрын

    Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa

  • @MohamedHarithi
    @MohamedHarithi19 күн бұрын

    For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu

  • @MohamedHarithi
    @MohamedHarithi19 күн бұрын

    For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton891119 күн бұрын

    Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton891119 күн бұрын

    Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton891119 күн бұрын

    Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    15 күн бұрын

    Acha wivu na chuki mjinga ww

  • @abuuramadhan8093

    @abuuramadhan8093

    15 күн бұрын

    Yan nyie wasukuma mnajipenda wenyewe tu

  • @mudrickbarton8911

    @mudrickbarton8911

    15 күн бұрын

    @@abuuramadhan8093 chuki ya nini sasa au hujamsikia doto biteko akizungumza ?

  • @mudrickbarton8911
    @mudrickbarton891119 күн бұрын

    Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa

  • @mussamussa9446

    @mussamussa9446

    19 күн бұрын

    wewe ndio unajielezea vizuri sana mkuu,hongera

Келесі