KIKAO: JANUARY MAKAMBA USO KWA USO NA SALIM KIKEKE/ MASWALI MAGUMU NA MAZITO | KASRI
#kASRI #crowntv #salimkikeke
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 113
Hongera sana Salim Kikeke, umekuja ku-revolutionize mindsets zetu vijana watanzania kufatilia masuala yenye umuhimu na tija kwa taifa letu. Hii itasaidia sana vijana kufatilia masuala ya uchumi, kuji-engage kwenye shughuli za uzalishaji na uchumi kwa ukubwa wake, badala ya ku-focus na masuala ya michezo na entertainments, ingawaje ni mazuri kwa burudani, lakini ni muhimu yakafwata kwa kiasi na wakati maalum, na sio kuwa center ya narratives zetu mainstreams. Kongole !
Kiukweli sisi ni vijana but hatupend kufatilia vitu muhimu ila bro kikeke #ali kiba mnafaaa kasli bonge la kipindi na hiii ipeleken azam nahisi hiii itakua ni mmoja kti ya vipindi bora ndan ya tz ❤❤❤❤🎉
@elisharaphael8680
19 күн бұрын
Na ndio maana tunabaki kulalamika tu mitandaoni lakini kujitokeza hadharani hatuwezi, hatusikili na hatutaki kujifunza tukafahamu vitu kwa undani
Kipindi kizuri sana hongera my brother Kikeke... Tunajifunza mengi wafuatiliaji! Tupe madini - Ezden J.
For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu
Uwekezaji wa Makamba ni bomu. Huyu jamaa hana record nzuri. Serikali ina recycle watu wale wale wakati tuna vijana welevu na uwezo wa kuleta maendeleo makubwa. Shida hawajulikani. Hawana wazazi waliokuwa kwenye system
Kazi njema sana mnafanya vyema sana crown media 👑 hapo ni nyumbani
Salimu Kikeke nina kukubali sana, na maojiano yako na mueshimiwa waziri umenikosha sana. Nina amini uta boresha Crown 👑 media. Nina kufatiliya toka USA 🇺🇸 Atlanta Georgia
@King_Kalinga_Tz
19 күн бұрын
Njoo na kwangu ucheke mkuu...usisahau KUSUBSCRIBE
Nyie ngozi nyeusi mmezidi kusafiri, na hatuoni faida yeyote zaidi kuuza bandari, ww makamba ungependeza zaidi kama utaachia hiyo nagasi uliyo nayo umekula kwa mda mrefu inatosha tuwape nafasi watu wengine. My brother kikeke huyo hawezi kupingana na mama samia. Unajaribu kumtwanga maswali magumu sana bigup
@abuukarata9653
13 күн бұрын
Fanya kazi mkuu
Semeni ukweli lini vitatolewa hivyo hadhi maalum, sasa ni miaka kadhaa tunasikia na kuambiwa kesho kesho na huu mwaka unaisha pia. Ni lini???
Kikeke umeuliza swali la kibingwa sana... Matajiri wanataka nn kwetu
@King_Kalinga_Tz
19 күн бұрын
Pita na kwangu ucheke mkuu
Masha Allah tabarakallah! Kipindi kizuri sana Salim. Nakumbuka kipindi chako cha "kisa na mkasa na Salim Kikeke"
January Makamba ametulia sana hapanic
thank you Salim for this great Interview..but the interviewee seem to give general responses, he isnt finishing them so as to get exactly what the common w/nchi wants to know..he tried though but we would appreciate antoher inteview with him. one mor thing Salim, would you mind checking out the roundtable ya Ruto na Journalist as well as the X Space between him and the Gen Zs of Kenya? these are very keen and critical ideas laid down by their President that he has been working on for sometime. it will help u while interviewing our head of state one day or even key leaders in our govt sir..thanks again
Big Up Crown,Big Up Tanzania ✊🏿
this guy ni kiongozi kudos
Good program from Salim kikeke#kASRI...Big up for the cameras..4K.. mashallah #crown media...🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mwenzi mungu awape hitaji lenu crown media inshaahllah by yusuf kutoka dodoma
Welldone kikeke kwa maswali mazuri, na je kwani lazima rais asafiri kila mara na msururu wa watu, kazi ya balozi ni nini.
Niseme kuwa inaonekana hizi elimu za miradi ya viongozi kusafiri na kuitafutia nchi watanza nia hawana na wala viongozi hawaambi watanzania
❤ great
Kazi nzuri sana inavutia kufatilia habari zenu hongereni sana
@King_Kalinga_Tz
19 күн бұрын
Njoo youtube kwangu ucheke
Crown ❤
Hii Tv Itafika mbari sana Pongezi kwa Kiba Kikeke Wajina Mtu sahii Drc kwetu
Maswali yalikuwa sawa na muhimu ila JANUARY MAKAMBA alijibu kwa juu juu tu, hilo ni changa la macho, kumekosekana maswali ya kukaza supana. huu ushilikiano na nchi za magharibi uta cost Tanzania vitu vikubwa ambae hamtokuja kusahau yani subiri mda kidogo mtaanza kuona madhara yake.
Safi sana kazi nzuri nimependa mahojiano
Good saana
Hizi habar safi kabsa kusklza sio vyombo vngne makelelekelele meeengi kwakwel yani.
Crown niya moto wazee
Kazi ngumu akiwezi ,bwawa la nyerere alishindwa,alisema mwezi wa sita ,kaja musukuma mwezi wa pili tu kitu teyari, uyo kazi laini na maneno mengi ,si tunataka vitendo
Super🔥🔥🔥
Mbona wawekezaji wanakuja kufanya biashara za kawaida sana, hamuoni mnaongeza ushindani kwa watanzania?
Yani nimeanza kusikiliza leo nimeanza na naibu waziri mkuu na hii kwakweli njia hii mliyo ishika iwehivi hivi
Waziri anajibu vzr katuria bila kupaniki kweli kakomaa mkuu
Safi sana
Kazi nzuri sn
Crown kazi zuri sn❤❤
Nzuri sana
Tz vibari changamoto wanazungusha sana
Kuhusu hadhi maalum ni jambo zuri sana
❤
Safi sana hapo kwenye Diaspora mmeupiga Mwingi
HIKI KIJAMAAA KIJANUARI HUWA SIKIEREWI KIONGO SANAA KINASIFIA UJINGA RAIS ANASAFIRI OVYOO
Kanzi nzuri sana
Mh hii aiko sawa tuwe makini sana watu ambao sio watanzania
Mahojiano hadi Raha ❤❤😊😊
Nimempenda salimu ulipomgomea Mzee alipotaka kusema kuwa kwamba wao ndo wamefanya pato liongezeke from diaspora baada ya kuanza hatua wakati hizo uwekezaji ulikuwa uleule
Super brand
Asante kikeke umekuja tufungua akili mkuu
Mmewatambua hadhi kivipi wanadayasbora...
Saf sana kiba na bro kikeke kipnd kizur
Hapa safi nitakuwa na nyinyi mpaka mwisho.
Rais ajaye
Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa
👊✌️👍.
Umu 2 kwa👑👑👑 ni nyumbani
Zanzibar,Malawi na Tanganyika
Kwa swala la wana diasporas hapo mh makamba umefanya vizuri. Manake hapo zamani wanadiasbora kutwa kutishiwa na kuwa hawawezi kumiliki ardhi...
We kikeke😂 napenda maswal yko yapo kwetu laiay
Kikeke uko vizuri sana, kinachosikitisha nikuwa bajeti ya ofisi ya Rais ni siri, wakati hapo kenya kila safari ya rais vyombo vya habari vinapewa gharama zilizotumika.
Hapa ni home
@kikeke punguza spana hizo
@King_Kalinga_Tz
19 күн бұрын
😂😂 Za kichwaaaa Njoo na kwangu ucheke mkuu
Musaada WA nini
Hii ni interview bora kati ya zote ulizowah kufanya katika siku za hivi karibuni, tafadhal naomba uione comment hii #kikeke
Nadhan muoneshe full picha za discussion itapendeza zaidi
Kikeke naomba ujaribu kumtafuta boss TCRA atueleze kwanini makampuni ya simu yanatuibia na wao wamenyamaza tu unaweka vocha hujaitumia ikipta saa 24 imeisha hii manake nini na wao wapo kimya tu mtafute kaka mambo kibao tu nimeona hata uvivu kuandika
Kikeke toa ndevu upo kama mapung'o?
izi camera jaman aiiiiih
🤔
Rushwa inachafua jitihada za serikali
Inchi ngumu sana hii.
Makamba,Ni Kwa nini watalamu wetu hawaunganishi wafanya Biashala kutoka inchi zote za inje zijenge viwanda TZ ?
Nina washukuru yote wa heshimiwa kwa kutufahamisha mambo mazuri ya maendeleo.
Wapi kwenda kupata Hiyo card nikija Tanzania
Wahindi wapo wengi Dunia
Salim hiyo hadhi maalum ni kwamba imeshaanza tayari mbona hujambana hapo aweke tangazo rasmi kwenye port of entry zote watu wasisumbuliwe
Vijana wasio ona mbali ndio wanaoona kikeke anauliza vitu mhimu hapo utana vichwa vidogo visivyo ona mbali wapo tu
@HanafiRamadhani-vf4de
15 күн бұрын
ina wezekana unacho sema kiko sawa tunaomba utuelimishe kwanini hayuko sawa
Na kwanini tunategemea misaada na nchi ina utajiri mkubwa na je riba yake ni ngapi
@TM-zs3rm
17 күн бұрын
Mpe elimu huyo. Anajibu juu na haelewi haya mambo kinaganaga. Ni mpiga filimbi mzuri.
Hakika safari it's too much jaman MARAFIKI SI ata Kwa simu wanaweza kuwasiliana ?? Safari nyingi na zinatumia mabilion ya ela jaman it's too much kama mwalimu Nyerere aloanzisha ili TAIFA alitambea lakin akawa na muda wa kutulia KUJENGA nchi yake ,sisi tunaozurura Zaid Leo mmmmm hatukatai kutembea ila mmmmmm MWOGOPENI MUNGU maana ata huo uwekezaji bado wazawa hawanufaiki wanaishia kuwa MACHINGA na vibarua je inatufaisiha Nini NO
Mh.Tueleze Wazi Tumejiandaa Vipi Na Hawa Mnaowathamini Sana Wawekezaji Tunanufaika Na Nini Hasa???Mfano Uliopo Wazi Ni Rasilimali Tulizo Nazo,Mh.Huoni Tunawapa Wao Zaidi Kuja Kama Wawekezaji???Tungewaajiri Tunapata Zaidi.Fikiria Hili!!!!
@TM-zs3rm
17 күн бұрын
Hajiamini kama sisi wenyewe twaweza. Kwanza wangetoa hati milkiki kwa watanzania wote nchini. Wakawekeza kwa watanzania wenyewe. Huwezi kutulinganisha na uwingi wa India na wengi wahindi hawana nchi. Sisi tunayo.
Nasikia makamba ndo Rais ajaye baada ya Maza..... Bongo bana 😮
January katupiga changa la macho kama kusafir sana Kwa rais ndio kuleta maendeleo ya nchi basi kipindi Cha kikwete tungekua tulishatoka kwenye kundi la nchi maskn Magufuli ambaye alikua hasafir Kwa mda mfup tukaingia kwenye nch za uchumi wa kati kwaiyo msione wananchi punguan sana mama apunguze kudhurula uko nje mabaloz wafanye Kaz Yao
Hujamaha akili yake yote hatakuwa raisi wa tanzania
Crown ni mabingwa sana
Kazi nzuri saaana Mhe January Makamba
Baloz anafanya nini kuongelea mbaazi kuluko rais aende kuongelea mbaaz
😂😂😂😂😂😂😂
Regardless of whatever people say, I always say this man deserves to be a president and infact i wish CCM can make this decision in 2025 before it’s too late. Scrap that Samia off our faces please
Iyo miswali
For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu
Saf sana kiba na bro kikeke kipnd kizur
Mbona wawekezaji wanakuja kufanya biashara za kawaida sana, hamuoni mnaongeza ushindani kwa watanzania?
Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa
For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu
For sure ukifatilia kipind hiki huwishiwi kutoa comment ila kipind hiki na maswali ni zaid ya bunge letu
Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa
Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa
Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa
@abuuramadhan8093
15 күн бұрын
Acha wivu na chuki mjinga ww
@abuuramadhan8093
15 күн бұрын
Yan nyie wasukuma mnajipenda wenyewe tu
@mudrickbarton8911
15 күн бұрын
@@abuuramadhan8093 chuki ya nini sasa au hujamsikia doto biteko akizungumza ?
Doto biteko kajielezea vizuri kuliko huyu jamaa
@mussamussa9446
19 күн бұрын
wewe ndio unajielezea vizuri sana mkuu,hongera