KIJANA WA PANYA ROAD AFUNGUKA MBINU WANAZOZITUMIA USIKU "TUNATUMIA MAPANGA, KUIBA KILA NYUMBA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 1 000
@mammam47012 жыл бұрын
Allah tulindie watt wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭yan najikuta kulia kwann halijiingiza uyu mtot
@user-pr8pv2du2x
2 жыл бұрын
SubhanAllah 😭😭😭 vishawishi huyu angekuwa mzoefu asingesema yote hayo nahisi hata alivyokamatwa labda walimuona anahofu ndipo polisi wanafahamu mtu mzoefu na akiwa sio mzoefu wanafahamu ili uchunguzi lazima watafute sio mzoefu ili atoe siri lakin akiwa mzoefu ataficha
@samunasary1449
2 жыл бұрын
fwatilia sana mahojiano ya porisi lazima useme tuu utaminywa mpaka ufee usipo sema wakati wamekukuta wao wenyewe eneo la tukio,tukiwa tuko bize kumuomba mungu dunia ya sasa mtoto wa mwenzio sio wako leo hii hadi wengine tumekuwa wazazi wetu walikuwa na ushilikiano waliamini yakuwa mtoto wa mwenzangu ni mwanangu,leo hii chunguza umemuona mtoto wa frani sehemu hatarishi ukiendaa kumwambia mzazi wake kuwa mwanao anafanya moja mbili,shika mawili kupoteza urafiki au kupata uremavu,na wazazi wenyewe wa kileo wamepoteza maadiri je?mtoto ata kuweje!.
@mussatete2618
2 жыл бұрын
Wanaminyaga na koleo, utaongea tu
@annethpaschal6381
2 жыл бұрын
Dahh najikuta na mm machozi yananitoka tuzidishe maombi kwa wanetu na Mungu atufanyie wepeci katika hili🤦🙏🙏
@dyno4tz2 жыл бұрын
Hongera jeshi LA polisi kazi nzuri,Afande Muliro hoyeee.
@chidrashid37972 жыл бұрын
Uyu afungwee jela moja kwa moja na kund lao woote msiwaachie hao wataludia2 wauwaji hao sio wakuuwachia hongera sana kwa jesh letu kaz nzuriii sana
@davismwashao5132 жыл бұрын
Uku Kenya Mombasa mambo yako kama haya ya vijana kutumia mapanga kufanya uhalifu ila polisi wemeshindwa kuwakamata hongera Sana kwa jeshi la polisi la Tanzani wanafanya kazi,keep it up #komesha uhalifu
@imranijuma6955
2 жыл бұрын
Uku tofauti na huko cos mihadarati Kenya vijana wengi wanaotumia nishida ila police wahuku tofautii na Kenya uko Kenya wanapenda rushwa sanaaaaaaaaaaa
@MrNdanguza
2 жыл бұрын
@@imranijuma6955 bongo yenyewe rushwa nyingi nadhani tofuauti ya bongo na Tanzania police wa Tanzania wanakufinya vibaya hawataki masihara
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
@@MrNdanguza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Eti tofaut ya bongo na wapi vile? 😂😂😂😂😂😂😂😂
@MrNdanguza
2 жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 hahaha sorry namaanisha kenya na Tanzania duh jua la dar linatuchanganya😄😄😄😄
@fahmiidrissa5537
2 жыл бұрын
@@MrNdanguza 😂😂😂😂
@zedymicheal94072 жыл бұрын
Niwapongeze sana Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri,safi sana.
@yusufutv5359
2 жыл бұрын
kundi lingine kupatikana Kenya fungua link kzread.info/dash/bejne/fY6cpMp6ctS6qcY.html
@patrickmsham2021
Жыл бұрын
Hongera sana Jeshi la POLISI.kazi Tunaiona.
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Subhanallah Àstaghfirullah laadhwim 😭 jamani nashindwa hata kucomment yaa Allah nilindie kizazi changu kiwe chema na hofu ya Mungu thaabiti na uwalinde na watoto wa wenzangu wawe wema na hao pia walopitiwa na ibris warejeshe wawe wema na Imani thabiti yaarabby 👏
@arqamibnarqam.7185
2 жыл бұрын
Amiina yaa Rabbiy
@laurugumba4441
2 жыл бұрын
Sijakuelewa
@waheedahtanzania4912
2 жыл бұрын
@@laurugumba4441 tuliza kichwa ondoa mawazo, Soma comments vizuri bila shaka utaelewa nilichomaanisha inshaallah 🚶🚶
@maryamm7765
2 жыл бұрын
Amiin Yarab
@teleziapeter4559
2 жыл бұрын
usijali mzazii
@oygenmbuligwe91432 жыл бұрын
Dogo anavyojielezea mbona anaakili kabisa.kwa nini asingekaza kusoma,masikini na kufanya kazi halali 😭😭😭😭
@edwinalexander1170
2 жыл бұрын
@ Oxygen Mbuligwe changamoto unakuta wengine walifeli, wazazi walshafariki, familia hazina uwezo wa kuwaendeleza
@bonifasiacharles1808
2 жыл бұрын
Hapo ndipo tunalaumiwa wazazi malezi mabaya mtoto hayupo nyumbani mchana kutwa mpaka usiku anarudi saa tano usiku umfatilii ndiyo matokeo yake haya
@mirzah117
2 жыл бұрын
Hapana huyu dogo kapangwa
@luganomwaisumo1938
2 жыл бұрын
Ni kweli
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
Yani hadi nimetishika mtoto sio teja wala hakili yake haijaharibika mmm
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Haya ni Matokeo ya "NDOA KUVUNJIKA" Watoto hawaishi na WAZAZI wao.
@rehemadaudi43902 жыл бұрын
Mtoto mdogo. Jamani anahatarisha maisha Mungu ponya watoto wetu
@agnesmalle4767
Жыл бұрын
N O
@peterjohn76132 жыл бұрын
Aachiwe ili iweje, anaweza kurudisha viganja na maskio yaliyokatwa
@dicksonmagari8803
2 жыл бұрын
Yaani anafunguka anafikiri ataachiwa miaka 30 ipo mbele yako dogo mmepiga watu mapanga na kuchukua mali zao ni amry robbery
@habari25562 жыл бұрын
Ee Mungu ee hivi ndio vipanya road dah vitoto vidogo ila roho mbaya imagine Hao wakikua, hii nchi si itajaa makundi makubw yakijambaz yaan,,,, dah,, hii hatari
@abdallahsimba35162 жыл бұрын
Ushukuru mungu polisi wamekuwahi ungekutana na sis raia ungekoma kmata ua kibrit uende kwa mungu hukoo
@fetychina3273
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Zaburi-
2 жыл бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@salomeandrew4148
2 жыл бұрын
😀😀😀
@balkiszebedayo4082
2 жыл бұрын
New music video 👇 Tizama 👇 kzread.info/dash/bejne/nJ2O0dh_haiaZLw.html
@balkiszebedayo4082
2 жыл бұрын
@@fetychina3273 New music video 👇 Tizama 👇 kzread.info/dash/bejne/nJ2O0dh_haiaZLw.html
@laurentraphael54702 жыл бұрын
Viongozi wabovu wameanza kutengeneza waasi wa miaka ijayo. Tanzania, you'll be great.
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Mola atatunusuru tanzania isifikie huko na wale wanaotabiri mabaya mungu yapeperushe mbali
@luwowojuma9044
2 жыл бұрын
Hakika uongozi mbaya ndo chanzo ila hawataki kujrekebisha
@luwowojuma9044
2 жыл бұрын
Hakika uongozi mbaya ndo chanzo ila hawataki kujrekebisha
@ashakambondoma3971
2 жыл бұрын
Hv mmeiona sura yake ilivyo anavyojielezea utafikir mkarimu kumbe jasusi hatari hapo unamtia kibao kimoja mpk dunia nzima iskie....wanatia umaskini sana na kurudisha watu nyuma kimaendeleo na maisha yenyewe haya ya kulenga na manati...
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Watoto nyie jela sio pazuri kwanini mnajiingiza ktk uhalifu, asanteeeee polisi kwa juhudi zenu Mungu akulinde kamanda wa police Dar,na makamanda wote sasa lazima anaewatuma Mungu awasaidie mumpate
@balkiszebedayo4082
2 жыл бұрын
New music video 👇 Tizama 👇 kzread.info/dash/bejne/nJ2O0dh_haiaZLw.html
@josephchuwa12852 жыл бұрын
Poverty mindset umefeli Veta inakupa fani unajiajiri kuna haja kubwa ya kuwajengea uwezo vijana ni kundi kubwa litiliwe mkazo Kilimo ufugaji pia hakuna mafanikio ya haraka jamani ni hatua
@priscusjoseph7664
2 жыл бұрын
Sio kwamba natetea ujinga wa hawa vijana Ila, saiv asee maisha yamekuwa ya moto kila sector, we unasema wafanye KILIMO hiv unajua bei ya MBEGU saiv?, Unaweza ukaniambia bei ya mbolea pia?? Au unasema tu watu wajiajiri! Kichwakichwa, ukiweka mifumo mizuri ya maisha vijana wataangalia Namna ya kucheza na fursa na Wakajiajiri, hata ukisema bodaboda mafuta ndo hayo nauli ivo unamfanyia kazi boss daah! Yan wabunge wanatoa ushauri wa kurahisisha maisha Ila Sasa serikali chin ya wizara husika naona hata mshipa hauwashtuki.. Inauma Sana hiv hata ukijifunza kupikapika saiv huo mtaji wa kununua mafuta ya kula jinsi yalivyopanda bei unatoa wapi.. kiufupi hakuna mahali pa kuemea, unaweza ukasema kijana aanzishe M pesa, na tigopesa unajua namba za nida zimefanyiwa nn saiv. Me nnachotaka kusema apa ni kwamba mifumo ya serikali imefanya maisha kuwa ya hovyo na. Magumu kupita maelezo. Urahisi ungewekwa kutengeneza fursa kwa vijana
@josephchuwa1285
2 жыл бұрын
Priscua ni hivi kupata taarifa sahihi kutakusaidia huko kwenye kilimo na ufugaji kumetengewa fedha nenda crdb nmb unapata mkopo LA muhimu hapa labda kuwe MA start up capital Kama ruzuku hakuna jambo jepesi kwenye ugumu kuna wanaotoboa Na kuacha kufanya mambo ya mkumbo mkumbo (Mob psychology) Changamoto zipo tuzitafutie utatuzi m engine yasimwe hata yasipotatuliwa leo basi yatakutana na kiongozi mtatuzi baadaye but for sure we are suffering from poverty mindset
@sophiapriskus7682
2 жыл бұрын
Huyo mkubwa wao ni nani jmn,,,, Mzizi utafutwe hawa ni matawi tuu
@mamuuyahaya89972 жыл бұрын
Mtihani mzito Allah ajalie kheri katika vizazi vyetu
@magrethmbangama11992 жыл бұрын
Dah jmn Ila majuto mjukuu Mungu atusaidie watoto wetu na tuwe makini na marafiki wa watoto wetu marafiki ni chanzo kikubwa.
@gapserminja52152 жыл бұрын
Mimi naomba tuwaombee Hawa watoto jamani wengine hawakutaka kufanya Mambo Kama Haya ni Hali ya maisha inawabana Hadi wanafikia kwenye Mambo Kama hayo.bila kumuomba mungu ni bure tuu.mungu ndie atakaewabadilisha waache hayo maroho ya mauaji🙏
@sadasaid4408
Жыл бұрын
Kabisa kw kweli kutokana na hali
@AMedi30072 жыл бұрын
Am Leaving This Comment Here So That When Someone Likes It I Will Come Back To ReWatch This Wonderful Content Over And Over 💯💯💯 Wizi Mbaya
@ZTsix2 жыл бұрын
Huyu Panya road alivyo wekewa maiki Nyingi kama press conference ya Haji manara na Yanga......😹😹😹😹
@haibahassan12442 жыл бұрын
Maskini,naona uchungu sababu ni mtoto wa mtu na mzazi wake hakumpangia hayo bali ni mitihani😔 allah awaongoze njia njema na awavue kwenye maovu kama hayo.aamin kwa sote na vizazi vyetu kwa ujumla.
@rajabumalupu4184
2 жыл бұрын
Amuongoze mualifu mbona mnampa MUNGU majukumu yasio ya razima
@haibahassan1244
2 жыл бұрын
@@rajabumalupu4184 muombee mtoto wa mwenzio mema ili yarudi kwa wakwako
@haibahassan1244
2 жыл бұрын
@@rajabumalupu4184 kwa maana wazaziwake hawakuomba awe hivyo.
@joharymussa5820
2 жыл бұрын
hakuna cha kuonea huluma jambazi nawachukia sana hawa ibilisi na usiombe ukutane nao ni mawili kufa kupona na bado wakuibie
@shaabanramadhan6770
2 жыл бұрын
Ww hayajakukuta haya huruma ya nini kwa mnyama km hyu hawa ni mbwa unamkataje mtu mapanga aisee
@annakinyami29982 жыл бұрын
Huyu Kaka anaonekana akipata kazi atakuwa barozi mzur maana anaonekana bado anakitu ndani yake anaweza kubadilika ila afldabu Kar zitolewe Tena ingewezeka kwa wale ambao waliwahi kufungwa wahukumiwe mala mbili
@rudhwanjumbe2970
2 жыл бұрын
Sure kabisa huyu pengine utoto tu lakini inaonesha wazi anaweza badirika
@mwilongokivega3169
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa wamuachie hulu Ila wampe fulsa ya kumpeleka hata veta jmniiii 😭 tumbo langu la uzazi linauma 😭
@annakinyami2998
2 жыл бұрын
@@mwilongokivega3169 mtu anaweza kuongea pasipo kuinamisha uso wake na kwa kusema kila kitu kwa uwazi bila kulazishwa anahitaji msaada
@abasmwika3432
2 жыл бұрын
Wewe tema mate Chini,hawa majanki ni makatili sana we waone hivyo hivyo usiingie kwenye anga zao hao kuua kwao kawaida kabisa.huwezi kua unapiga watu mapanga ya kichwa halafu ukawa mtu mwema ni watoto makatili sana hao,! usikaone kanaongea hivyo ukaingiwa huruma hawa wanakuchukulia vitu na kukupiga mapanga vile vile yani havina huruma hivi vitoto!!!
@heyumi2340
Жыл бұрын
@@mwilongokivega3169 Wamuachie huru aje akuue
@jumaramadhanirajabu19382 жыл бұрын
Wauwaji hao funga maisha ili wengine wasirudie tena mimi nimeibiwa mara nyingi siwapendi hata kidogo waalifu wote
@lyrics_forum
2 жыл бұрын
Uko sawa Kabisa
@athumaniomari28332 жыл бұрын
Asante sana mwenyezi MUNGU endelea kumuongoza vyema majeshi yangu
@dennischarles85242 жыл бұрын
Kukata mapanga ni kujaribu kuua.wengine wamekatwa ubongo,they will never be the same, this is intentional to kill
@rukiauwonde70622 жыл бұрын
Yani huruma jaman watoto wetu Allah awasaidie wasiwe na hizi tabia watoto wadogo kama hawa jaman msinge wahoji hivi adharan ni kuwauwa tu kumamaye kama wanavyowaumiza wenzao
@yasodishonest97922 жыл бұрын
Yaniwatoto wazuri wanajiharibia Maisha.nguvu kazi inapotea wallah. Nauyo kiongozi wao Mungu amlipe kenge mweusi uyo
@sadickmussa27872 жыл бұрын
Mi kama kijana nachukizwa sana na tabia za kipuuz kama hizi pa1 na kuonea huruma vijana wenzang wanapokua wanakamatwa kama hiv ila naumia san vijana wadogo kama hawa kujiiingiza kweje ujinga wa namna hii inaumiza sana kuona kijana anaeweza kufanya kaz akapata mahitaj yake kihalali kuitumia nafas ya wizi kama kazi ya kujiingizia kipato inaumiza sana
@mwigakatumpula68522 жыл бұрын
Ukiwaona wamechoka wenyewe ila Sasa usiombe wajikusanye ndio utajua haujui ule mziki wake maana sio wa kuchezea na viatu 🙌🙌🙌🙌🙌🤣😀
@salimmalaka2562 жыл бұрын
KWA HIYO ALIVOKAMATWA KAJISIKIA VIBAYA NA ALIPOPIGA WATU MAPANGA KAJISIKIA VIZURI.
@simonrichard6805 Жыл бұрын
Jaman jesh la. Polis hongelen kwa kazi nzur kaz iendelee
@barakakhemedi12502 жыл бұрын
Hiii move sio nzuri sana Hawez kuongea kwa kujiamin hivyo muhalifu
@peterjohn76132 жыл бұрын
Mwongo huyu, mara Oh mara ya kwanza , huyo huyo anasema huwa wanagawana pesa!!! Halafu si mtoto ni kijana mwenye nguvu
@atuganilemsomba3028
2 жыл бұрын
Mgeni asingeweza kuyajua hayo yote ni mzoefu huyu
@mohamedmkadidi9475
2 жыл бұрын
Tena muongo mkubwa
@hadijamazoezi7789
2 жыл бұрын
Muongo hasswaa huyu mzoefu
@husseinsaid63702 жыл бұрын
😭😭😭😭nakuonea huruma sana mdogo wangu jela inavyo umaa kaka jela inauma wewe duh sijui nisemeje
@@nuraynmakoya803 kama hujakaa jela huwezi kujua huruma ya nn
@juliuscharlesmukheben91582 жыл бұрын
Hongera sana Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam na jeshi letu la polisi
@saimarmuhsin95782 жыл бұрын
Km mama tumbo linanikata kwa uchungu jamni wazazi wenzangu tupo ktk dunia ilojaa mabalaa tuwaombee sana watoto wetu na tukitahidi kuwatolea sadaka Allah awalinde na kuwaongoa huu ni msiba yarabbi vilinde vizazi vyetu
@peterjohn76132 жыл бұрын
Siku moja linaweza tokea kundi baya sana la kihalifu, viongozi wao wote wakamatwe
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Subhannallah, mtoto mdogo jamani 😭
@joshuakinabo6861
2 жыл бұрын
Halaf shingo yake ina uvimbe wa goita
@fahmiidrissa5537
2 жыл бұрын
@@joshuakinabo6861 hahahaaa
@neemazee1864
2 жыл бұрын
@@joshuakinabo6861 mtoto wa kiume lzm awe na kolomeo, eti goita
Kazi safi mzee Siro, Saidia wadogo zet wasihadaiwe
@fortidaskashaigili74962 жыл бұрын
Hata kama umefeli la Saba,sio sababu yakufanya mambo kama hayo,yakuhatarisha Maisha yako,maana usitegemee utafanya milele bila kuja kukamatwa au na wewe kuuliwa,wakati bado kijanadogo Una nguvu za kufanya KAZI halari ukapata pesa na ukaweza kuendesha familia pia,acheni uzembe
@tvstation6472
Жыл бұрын
Makundi shida
@saraobedi2389
Жыл бұрын
Tatizo ni makundi mtoto ukisha ruhusu tu kila mtoto awe rafiki yake ni hatari sana sio kila rafiki wa mtoto ni rafiki mzuri wengine sio hebu ona mtoto mdogo huyo hapo anasema haishi na baba yake wala mama dah inasikitisha kwakweli saingine nasisi wazazi tumekuwa chanzo cha matatizo juu ya watoto wetu
@jumamofu95732 жыл бұрын
Hakuna kuachiwa waende jela tu pumbavu wananipa Moto Sana.. hv unapata ujasiri gani kumkata mwenzio panga la kichwa.. mbona mm kuna kipindi nilikuwa navuta ganja na pombe nakunywa lkn nilikuwa Sina ujasiri km huo.. waende jela urekebishaji wasenge hao.
@smarttv4184
2 жыл бұрын
Labda ulkuw unavuta moshi wa mkaa sio bangi kaka
@hamzasuleiman9605
2 жыл бұрын
Polis njoon na huku mvuta bang mwengine tushamuona 🤣
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
@@hamzasuleiman9605 😀😀😀
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
@@smarttv4184 Ni maoni yako
@michaelamos31642 жыл бұрын
Mapendekezo yangu ni 1: wasagwe Kama unga 2: watupwe shimo la mamba atakaepona atasimulia
@ClaireHappy
2 жыл бұрын
Hahahahah kw kwel maan wanakera mamae zao..
@lovenessitiku62932 жыл бұрын
Doooh hatariii hawa ndugu zetu kweli watanzania kweli hawa hebu wachunguzwe vzr wadogo daah inackitisha sana sana
@jumaothman94492 жыл бұрын
Ingalikua watu wengi hutoa mawazo kama haya kwenye comments tungalifika mbali sana. Tumuigeni huyu kijana. Kijana nakukubali sana kwa ushauri wako huu, tunathamini mchango wako na serikali yetu ni sikivu italichukuwa hili ili tuimarishe nchi yetu.
@yusufutv5359
2 жыл бұрын
kundi lingine kupatikana Kenya fungua link kzread.info/dash/bejne/fY6cpMp6ctS6qcY.html
@happykimaya83882 жыл бұрын
Baada ya kukamatwa kinachofuata ni nini wakati wao wanajerui watu vibaya vile!
@mathewdeus9978
2 жыл бұрын
Wataachiwa na hapo ndio tutajua wapo pamoja mmbwa hawa simu wakipigiwa hawapokei waalifu wameondoka wao ndio wanafika yani mmbwa hawa wakiachiwa haki ya Mungu kamanda siro awe na la kujibu
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Happy hao ni wakuuliwa tu hata usiwe na shaka
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Mathew hata usiwe na wasi wanauwawa kama kuku
@daimondelfina5689
2 жыл бұрын
@@mathewdeus9978 yaani unawaita mbwa kweli!!?ikitokea vita hapa nchini ndo utajua kama hao polisi ni mbwa au walinzi wa nchi!!
@abdallahsuleimani7416
2 жыл бұрын
Mimi na shauri kamata na wazazi wao wafunguliwe mashtaka ya uzembe WA ukosefu WA malezi
@Official836402 жыл бұрын
Mvulana mzuri jaman lkn ndy kashaingia eeh Mungu atunusuru na vizazi vyetu
@pastorteddywaziri57542 жыл бұрын
Mimi Hawa vijana wadogo wadogo sitawasahau.December mwaka Jana nashuka TU kwenye gari hao wanne wakaniattack nikapambana nao wasininyang'anye begi wakaongezeka wakawa wanane wakaniweza wakaniibia vitu vyenye thamani ya milioni moja na laki nane ila Mungu aliniokoa nao wakaiba vitu wakanipiga na mabomba mgongoni lakini hawakunipiga na mapanga Wala visu.Sina hamu na Hawa vijana. Kwa kahama maeneo ya shunu ndio wamejaa huku.Huwa wanaiba mpaka na vyakula majumbani,na mashuka kama umeyasahau nje wanayaanua.Tumuombe Mungu sana atunusuru na Pepo hili la wizi ktk taifa letu😭😭😭😭😭
@manish-fp1fb
2 жыл бұрын
Pole sana ila Mungu anahusikaje hapo kwenye kumuomba?....
@vibetz99912 жыл бұрын
Wewe dada mwandishi Ulieuliza mwishoni kama Akiachiwa atarudia au hatarudia,,,HUNA AKILII....!!
@josephatmathiasgalagalabuh7862 жыл бұрын
Ni ugaidi piga risasi wote kabisa
@valenakomba92182 жыл бұрын
SERIKALI TAFUTENI NJIA YA KUWAFANYA HAWA VIJA WAWEZE KUJIENDELEZA KIELIMU.NA HASA ELIMU YA UFUNDI. ITASAIDIA SANA HAWA VIJANA KUTO KUJIUNGA NA MAOVU.
@nancyg86642 жыл бұрын
Sasa mtangazaji anapomuuliza ukiachiwa utaendelea au vip,anategemea mtu amjibu kua ataendelea na uhalifu jaman😂😂🙌
@magretkijanga60382 жыл бұрын
Serikali naomba iwaangalie hawa watoto wa drs la saba wanaofeli waangaliwe, wanajaa mitaani awana cha kufanya,lazima tu wajiunge na makundi haya maovu, kuwe na chuo wapate mafunzo
@danielpeter3497
2 жыл бұрын
Sio lazima mtu akifeli akajuinge na makundi ya kihalifu au umaskini sio chanzo cha kukata watu mapanga na kua mhalifu tatizo wanajidanganya na kua na tamaa
@frankgavana9448
2 жыл бұрын
Sio serikali msiwape lawama kila muda, mbona veta zipo tangu zamani, na wazazi unazaa mtoto na kumuangalia.
@abbasmungia6107
2 жыл бұрын
Nadhani tusifikirie tu serikali ,katika ngazi ya familia kuna shida pia. Tuzae sisi alafu tulalamikie serikali? Tuwajibike pia na watoto wetu then mifumo ya serikali itafuata
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
Itawaangalia wangapi? Na wazazi wao nao wafanye kazi gani
jeshi letu likiamua Jambo linaweza hongera Sana kwa kazi mzuri
@sugarthompson9369 Жыл бұрын
Yn huyu ni kijana mzuri sana 😢 daah inahuzunisha sana sijui ibilisi gani huwa anawaingia na kutuharibia amani lakini wao wakikutana na sisi hawanaga huruma eeh Mungu kuwa upande wetu
@edlumala94282 жыл бұрын
Fungeni wote hao! Wamekutana na paka Road Jumanne Muliro…
@emmanuelfari89242 жыл бұрын
Hawa vijana wadogo wanapotea na kuharibu ndoto ya maisha yao🤔😢 +MUNGU+ awanusuru🙏
@emmyemmy2553
2 жыл бұрын
Mungu anusuru na vizazi vyetu
@veronicamtemi29302 жыл бұрын
Kwa sababu wamejeruhi watu. Kifo kiwahusu na kimuhusu huyu. Kijana
@trainertz3805
2 жыл бұрын
Hahah unafaa kuwa hakimu,maana baada ya hii wengi wamemuonea huruma,ingawa watu Kama hawa sio wa kuhurumia kabisa.
@yussufsaleh8162 жыл бұрын
Weka ndani hao nyauba wasitie sura za huruma washaharibu sana
@michaelmasalago80682 жыл бұрын
HONGERA SANA JESHI LA POLISI, Hao vijana wapewe adhabu kali pia wafungwe na viboko vya kutosha ili liwe fundisho kwa wengine wenye tabia hiyo.
@beatriceminja21482 жыл бұрын
Maeneo ya bunju, boko na tegeta tafadhali msako upite!!
@christinechokunegella50232 жыл бұрын
Dah Watoto wanaharibiwa na makundi jamani
@djdisboy255tz2 жыл бұрын
Leo amekuwa star kamera zote izo hongera ndugu
@bigtonndaro51402 жыл бұрын
Watu tunaishi maisha magumu snaa na tumekulia. Maisha magumu lakn hatujawah waza ukatili km huo kushindwa kuvumilia Maumivu ya kazi utaweza kuvumilia maumivu ya jera au maumivu ya kupigwa na yoweeee😎
@richardkaula68472 жыл бұрын
Yaani dogo anaujasiri kweli huyu ni jambazi,imagen yuko central Police alafu hana hata woga.
@loreensaimon3958
2 жыл бұрын
Uwoga anao.ila.inabidi ajibu tu maan rungu zinawahusu labd anajua akisema ukwer atatolewa
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
@@loreensaimon3958 yah ni kweli hapo ni anaogopa huoni anavyo meza mate.. kwanza kabla ya kuongea wanaojiwa ukikataa kusema kuna chumba Cha mahojiano .. kibano chake sio poa
@salummkadam33952 жыл бұрын
na jeshi liamue kuwahifadhi au wananchi watawahifadhia mbele za mungu..
@ridhiwaniomari74252 жыл бұрын
Hatimaye panya road wakamatwa na paka road
@kiri58072 жыл бұрын
Huyo kiongozi ndio ringleader anawatumia watoto wa watu . Muongo huyo peleka jela angalau miaka 10 .
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Unapenda kuhukumu
@kiri5807
2 жыл бұрын
@@Mpakauseme Hata km kusoma sijui lakini picha naona .
@salmahalfani63072 жыл бұрын
Muongo huyo atarudia. Nae mngemkata japo kiganja cha mkono wake na hilo panga lake ndio angekoma.
@Bedeesvipodozi2 жыл бұрын
Wachunguze unaweza kuta wanalazimishwa fula na Hawa wakubwaa Hawa Mungu tulinfie watoto viongozi Ni watu wameshaenda jela tayari wanwatumia Hawa watoto...
@robebonaya46162 жыл бұрын
Watanzania fanyeni oparetion ya risti za vitu ndani ya nyumba poleni watanzsnia from kenya
@josephmarandu80442 жыл бұрын
Ni Hali tu ya maisha kuanzia nyumbani na malezi kutoka nyumbani
@jeremiaalango65242 жыл бұрын
Dah naenjoy sanaa hayo mahojiano. It is like kama amepangwa sio siri
@allyhassan7522
2 жыл бұрын
Amepangwa kweli hata mi nahisi hivo
@tomfaki9473
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌🙌🙏🙏
@jafarisintoo3743
2 жыл бұрын
😂😂😂hata mi nina wasawas kabsa, maana hio confidence sio ya kawaida anyway pongezi jeshi la polisi.
@sonnyr18992 жыл бұрын
Dogo shukuru Mungu umekamatwa na polisi tungekushika sisi tungekuchomoa mbupu 1 Kisha kebiriti lione linavyojifanya lipole uwaji
@tanzanian8847
2 жыл бұрын
😂🤣
@ashurahaji91152 жыл бұрын
Daah wazazi poleni Bora mungetoa tu mimba hizi au kuwafanya misukule
@aishachambo86632 жыл бұрын
Watoto wabaya wa roho awa jamani wanamkata mtu mapanga kama wanakata mti hawana utu hata kidogo
@michaelmgaya51912 жыл бұрын
Watu kama hao kamata piga risasi tupa huko polini manina zao wanatia hasira xana 😏😏
@fadhilajamal2172 жыл бұрын
Daaah hadi huruma maskini mwenyezi mungu atutangulie
Kaka msirudie tena kujeruhi watu bila hatia fanya kazi vibarua vingi na unanguvu hata ungesoma uko fit Mungu atusaidie wadogo zetu watoto wetu jamani
@jambo3751
2 жыл бұрын
Huyo hapo anahojiwa na waandishi wa habari ndio maana ametulia hivyo.Lakini mziki mnene ameshaupata kule ndani Polisi na ameshataja kila kitu huyo chezea Polisi wewee...Watoto hao na mbinu zao za kitoto tena wanatumiwa tu ndio maana wamejulikana kirahisi. Mijitu inaona hakuna njia nyengine za kufanikisha utashi wao isipokuwa kuwatumia watoto wadogo kama hao duh! Wameshawaharibia FUTURE yao.
@fadhilinasib3340
2 жыл бұрын
Vijanakama hao mnawajengea geleza mpakani Mwa nchi wakizingua mnawapeleka huko mnaandaa mashamba makubwa walime kilimo cha umwagiliaji misimu yote kama nyanya vitunguu miwa matikiti kabech yani walime mwanzo mwisho
@ayshamadege79812 жыл бұрын
😢😢😢yaani watoto wadogo dah😢 Ya Allah utunusuru waja wako na vizazi vyetu 🙏
@almachiusbanedicto5936
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@robykhan88812 жыл бұрын
Daah Ali ya maisha imekuwa mtihani kwa vijana wetu tuwe makini kwa vizazi vyetu samaki mkunje angari mbichi
@suzanamwangingo29952 жыл бұрын
Ningekuwa kalibu hapo ningemtupia tofali kiukweli .hawa mmbwa wameumiza watu sana .basi mngekuwa mnachukua vitu watu mnawaacha vitu mchukue watu muwaumize kweli
@miriamwinston9908
2 жыл бұрын
Mimi nisingepata hata hamu ya kumuhoji ni ngumi na kuhoji, kila swali lina kipondo shenz kbsa
@azizaabeid2055
2 жыл бұрын
Yani weacha Yani tungekuwa pamoja kushambulia
@suzanamwangingo2995
2 жыл бұрын
@@azizaabeid2055 kweli kabisa mdogowangu wameumiza watu sana jamani. Kwanini lakini hawa panyalody
@hoseamaguta6512 жыл бұрын
Nyani kabisa Hawa vijana lisasi zilikuwa zinawahusu na kuwa fundisho kwa wengine hawa hawa ndo wanachafua nhi yetu ya Aman tanzania watu kama hawa hawstahiki kabisa
@baimarrajahbuayan6237
2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 Nyan poli kabisa
@rosekimath2614
2 жыл бұрын
Wachomwe motoo mmbwa hawaa
@priscusaugust7251
2 жыл бұрын
Wash enzi
@hamadiseleman22042 жыл бұрын
Yaani Bora usikie Kwa wenzio asiwe mwanao anaahojiwa hapo ukiamka asubui utatamani uhamie sayar ingine
@Bedeesvipodozi2 жыл бұрын
Jamani peer plasure😭😭
@liciouscharles33702 жыл бұрын
"Wakiachiwaaaa"hv huyu wa mwisho mdada alieuliza swali anaakili sawa hv ni mtangazaji au na yeye n police Watu wamejeruhiwa tumeona kweny vyombo vya habar watu wanaliaa kwa jinsi hali zilivyombaya yeye anaongelea kuwa akiachiwa kama mtu atarudia tena...??hv kashawahi kutwa na swaibu kama hili au kajiulizia tu swali sabab ana nafasi alipoingia kukata watu mapanga hakuonyesha that polite face...tukio la kujeruh tena kwa mapanga ni mtu alikuwa na nia ya ku attempt murder yaan why aachiwe...?
@yusufutv5359
2 жыл бұрын
kundi lingine kupatikana Kenya fungua link kzread.info/dash/bejne/fY6cpMp6ctS6qcY.html
@lazarosilayo69182 жыл бұрын
Mtu anayemuoneya huruma mualifu tena wa kutumia silaha,.. huyo ajitambui kabisa na itapendeza yamkute ndo ili ajue si kila mtu wa kuonewa huruma. hao wapuuzi aijalishi wanatumwa au vp yaani wanamkata mtu panga la kichwa embu imagine... panga la kichwa alafu pesa, simu na mali unamwachia na bado mapanga na silaha nyngine unazipata. Alafu mtu anasema jaman namuonea huruma... eti mtoto mdogo😂 wakukute wakiwa wengi na silaha ndo utasema nyie watoto wadogo mnisalimie.. 😨
@simoncharles6475
2 жыл бұрын
hayajayakuta ndo maana
@haibahassan1244
2 жыл бұрын
🤣 lol mungu atunusuru🖐
@Kidotii
2 жыл бұрын
Hawa wafungwee haswa! Wakitoka wawe wamenyooka
@winfridagama5832
2 жыл бұрын
Hawankwanza wanaendeza magonjwa Kama HIV, hepatitis kuchangia vifaa vya icha Kali pumbavu Hawa wafungwe tu kazi kumi viboko
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Upo sawa sana...muonee huruma hapa kwenye media, lkn kutana nae kwenye tukio ndo ujtajua hujui....eti anatia huruma aisee....mimi mwizi, jambaz kibaka auliwe tuu.
@mbesseonlinetv53892 жыл бұрын
Musemaji wa panya rod timu
@msemasungura56512 жыл бұрын
Maadili ya vijana wenzetu mitihani
@stumaymussa71272 жыл бұрын
Allah atusimamie na kulind vizazi vyetu
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
@agreysonkazen68082 жыл бұрын
Huyu dogo inaonekana kabisa si muhusika kachukuliwa tu katika zoa zoa ya vijana wasiona kazi maalum
@gannzymobb99432 жыл бұрын
Huyu muongo sema yuko na experience kubwa katika hiyo kazi...na ameshajiandaa kisaikoroji na ndio maana hana hofu ahata kuongea mbele ya polisi
@navanjkiba24392 жыл бұрын
Allah save this generation
@merinachalinze6455 Жыл бұрын
Mungu saidie vizazi vyetu mtoto mdogo sana!
@OMANOman-qc1lm2 жыл бұрын
kwanini matatizo mengi watu wanaingiza serikali ndani yake iwatazame kivip awa watoto kwani wazazi wao wako wapi serikali kazi yake apo ni kuhoji na wale fimbo kila mmoja Mia alafu Tia ndani ya jela miaka saba ndani au miaka kumi ndani na kutumikia serikali mpaka unatoka jela kama watoto wadogo mbona wanafanya malifu ya kuuwa watu wanajuaje ayo yote piga vizur sana
Пікірлер: 1 000
Allah tulindie watt wetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭yan najikuta kulia kwann halijiingiza uyu mtot
@user-pr8pv2du2x
2 жыл бұрын
SubhanAllah 😭😭😭 vishawishi huyu angekuwa mzoefu asingesema yote hayo nahisi hata alivyokamatwa labda walimuona anahofu ndipo polisi wanafahamu mtu mzoefu na akiwa sio mzoefu wanafahamu ili uchunguzi lazima watafute sio mzoefu ili atoe siri lakin akiwa mzoefu ataficha
@samunasary1449
2 жыл бұрын
fwatilia sana mahojiano ya porisi lazima useme tuu utaminywa mpaka ufee usipo sema wakati wamekukuta wao wenyewe eneo la tukio,tukiwa tuko bize kumuomba mungu dunia ya sasa mtoto wa mwenzio sio wako leo hii hadi wengine tumekuwa wazazi wetu walikuwa na ushilikiano waliamini yakuwa mtoto wa mwenzangu ni mwanangu,leo hii chunguza umemuona mtoto wa frani sehemu hatarishi ukiendaa kumwambia mzazi wake kuwa mwanao anafanya moja mbili,shika mawili kupoteza urafiki au kupata uremavu,na wazazi wenyewe wa kileo wamepoteza maadiri je?mtoto ata kuweje!.
@mussatete2618
2 жыл бұрын
Wanaminyaga na koleo, utaongea tu
@annethpaschal6381
2 жыл бұрын
Dahh najikuta na mm machozi yananitoka tuzidishe maombi kwa wanetu na Mungu atufanyie wepeci katika hili🤦🙏🙏
Hongera jeshi LA polisi kazi nzuri,Afande Muliro hoyeee.
Uyu afungwee jela moja kwa moja na kund lao woote msiwaachie hao wataludia2 wauwaji hao sio wakuuwachia hongera sana kwa jesh letu kaz nzuriii sana
Uku Kenya Mombasa mambo yako kama haya ya vijana kutumia mapanga kufanya uhalifu ila polisi wemeshindwa kuwakamata hongera Sana kwa jeshi la polisi la Tanzani wanafanya kazi,keep it up #komesha uhalifu
@imranijuma6955
2 жыл бұрын
Uku tofauti na huko cos mihadarati Kenya vijana wengi wanaotumia nishida ila police wahuku tofautii na Kenya uko Kenya wanapenda rushwa sanaaaaaaaaaaa
@MrNdanguza
2 жыл бұрын
@@imranijuma6955 bongo yenyewe rushwa nyingi nadhani tofuauti ya bongo na Tanzania police wa Tanzania wanakufinya vibaya hawataki masihara
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
@@MrNdanguza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Eti tofaut ya bongo na wapi vile? 😂😂😂😂😂😂😂😂
@MrNdanguza
2 жыл бұрын
@@swaumdodoma7591 hahaha sorry namaanisha kenya na Tanzania duh jua la dar linatuchanganya😄😄😄😄
@fahmiidrissa5537
2 жыл бұрын
@@MrNdanguza 😂😂😂😂
Niwapongeze sana Jeshi la Polisi kwa kazi nzuri,safi sana.
@yusufutv5359
2 жыл бұрын
kundi lingine kupatikana Kenya fungua link kzread.info/dash/bejne/fY6cpMp6ctS6qcY.html
@patrickmsham2021
Жыл бұрын
Hongera sana Jeshi la POLISI.kazi Tunaiona.
Subhanallah Àstaghfirullah laadhwim 😭 jamani nashindwa hata kucomment yaa Allah nilindie kizazi changu kiwe chema na hofu ya Mungu thaabiti na uwalinde na watoto wa wenzangu wawe wema na hao pia walopitiwa na ibris warejeshe wawe wema na Imani thabiti yaarabby 👏
@arqamibnarqam.7185
2 жыл бұрын
Amiina yaa Rabbiy
@laurugumba4441
2 жыл бұрын
Sijakuelewa
@waheedahtanzania4912
2 жыл бұрын
@@laurugumba4441 tuliza kichwa ondoa mawazo, Soma comments vizuri bila shaka utaelewa nilichomaanisha inshaallah 🚶🚶
@maryamm7765
2 жыл бұрын
Amiin Yarab
@teleziapeter4559
2 жыл бұрын
usijali mzazii
Dogo anavyojielezea mbona anaakili kabisa.kwa nini asingekaza kusoma,masikini na kufanya kazi halali 😭😭😭😭
@edwinalexander1170
2 жыл бұрын
@ Oxygen Mbuligwe changamoto unakuta wengine walifeli, wazazi walshafariki, familia hazina uwezo wa kuwaendeleza
@bonifasiacharles1808
2 жыл бұрын
Hapo ndipo tunalaumiwa wazazi malezi mabaya mtoto hayupo nyumbani mchana kutwa mpaka usiku anarudi saa tano usiku umfatilii ndiyo matokeo yake haya
@mirzah117
2 жыл бұрын
Hapana huyu dogo kapangwa
@luganomwaisumo1938
2 жыл бұрын
Ni kweli
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
Yani hadi nimetishika mtoto sio teja wala hakili yake haijaharibika mmm
Haya ni Matokeo ya "NDOA KUVUNJIKA" Watoto hawaishi na WAZAZI wao.
Mtoto mdogo. Jamani anahatarisha maisha Mungu ponya watoto wetu
@agnesmalle4767
Жыл бұрын
N O
Aachiwe ili iweje, anaweza kurudisha viganja na maskio yaliyokatwa
@dicksonmagari8803
2 жыл бұрын
Yaani anafunguka anafikiri ataachiwa miaka 30 ipo mbele yako dogo mmepiga watu mapanga na kuchukua mali zao ni amry robbery
Ee Mungu ee hivi ndio vipanya road dah vitoto vidogo ila roho mbaya imagine Hao wakikua, hii nchi si itajaa makundi makubw yakijambaz yaan,,,, dah,, hii hatari
Ushukuru mungu polisi wamekuwahi ungekutana na sis raia ungekoma kmata ua kibrit uende kwa mungu hukoo
@fetychina3273
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Zaburi-
2 жыл бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@salomeandrew4148
2 жыл бұрын
😀😀😀
@balkiszebedayo4082
2 жыл бұрын
New music video 👇 Tizama 👇 kzread.info/dash/bejne/nJ2O0dh_haiaZLw.html
@balkiszebedayo4082
2 жыл бұрын
@@fetychina3273 New music video 👇 Tizama 👇 kzread.info/dash/bejne/nJ2O0dh_haiaZLw.html
Viongozi wabovu wameanza kutengeneza waasi wa miaka ijayo. Tanzania, you'll be great.
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Mola atatunusuru tanzania isifikie huko na wale wanaotabiri mabaya mungu yapeperushe mbali
@luwowojuma9044
2 жыл бұрын
Hakika uongozi mbaya ndo chanzo ila hawataki kujrekebisha
@luwowojuma9044
2 жыл бұрын
Hakika uongozi mbaya ndo chanzo ila hawataki kujrekebisha
@ashakambondoma3971
2 жыл бұрын
Hv mmeiona sura yake ilivyo anavyojielezea utafikir mkarimu kumbe jasusi hatari hapo unamtia kibao kimoja mpk dunia nzima iskie....wanatia umaskini sana na kurudisha watu nyuma kimaendeleo na maisha yenyewe haya ya kulenga na manati...
Watoto nyie jela sio pazuri kwanini mnajiingiza ktk uhalifu, asanteeeee polisi kwa juhudi zenu Mungu akulinde kamanda wa police Dar,na makamanda wote sasa lazima anaewatuma Mungu awasaidie mumpate
@balkiszebedayo4082
2 жыл бұрын
New music video 👇 Tizama 👇 kzread.info/dash/bejne/nJ2O0dh_haiaZLw.html
Poverty mindset umefeli Veta inakupa fani unajiajiri kuna haja kubwa ya kuwajengea uwezo vijana ni kundi kubwa litiliwe mkazo Kilimo ufugaji pia hakuna mafanikio ya haraka jamani ni hatua
@priscusjoseph7664
2 жыл бұрын
Sio kwamba natetea ujinga wa hawa vijana Ila, saiv asee maisha yamekuwa ya moto kila sector, we unasema wafanye KILIMO hiv unajua bei ya MBEGU saiv?, Unaweza ukaniambia bei ya mbolea pia?? Au unasema tu watu wajiajiri! Kichwakichwa, ukiweka mifumo mizuri ya maisha vijana wataangalia Namna ya kucheza na fursa na Wakajiajiri, hata ukisema bodaboda mafuta ndo hayo nauli ivo unamfanyia kazi boss daah! Yan wabunge wanatoa ushauri wa kurahisisha maisha Ila Sasa serikali chin ya wizara husika naona hata mshipa hauwashtuki.. Inauma Sana hiv hata ukijifunza kupikapika saiv huo mtaji wa kununua mafuta ya kula jinsi yalivyopanda bei unatoa wapi.. kiufupi hakuna mahali pa kuemea, unaweza ukasema kijana aanzishe M pesa, na tigopesa unajua namba za nida zimefanyiwa nn saiv. Me nnachotaka kusema apa ni kwamba mifumo ya serikali imefanya maisha kuwa ya hovyo na. Magumu kupita maelezo. Urahisi ungewekwa kutengeneza fursa kwa vijana
@josephchuwa1285
2 жыл бұрын
Priscua ni hivi kupata taarifa sahihi kutakusaidia huko kwenye kilimo na ufugaji kumetengewa fedha nenda crdb nmb unapata mkopo LA muhimu hapa labda kuwe MA start up capital Kama ruzuku hakuna jambo jepesi kwenye ugumu kuna wanaotoboa Na kuacha kufanya mambo ya mkumbo mkumbo (Mob psychology) Changamoto zipo tuzitafutie utatuzi m engine yasimwe hata yasipotatuliwa leo basi yatakutana na kiongozi mtatuzi baadaye but for sure we are suffering from poverty mindset
@sophiapriskus7682
2 жыл бұрын
Huyo mkubwa wao ni nani jmn,,,, Mzizi utafutwe hawa ni matawi tuu
Mtihani mzito Allah ajalie kheri katika vizazi vyetu
Dah jmn Ila majuto mjukuu Mungu atusaidie watoto wetu na tuwe makini na marafiki wa watoto wetu marafiki ni chanzo kikubwa.
Mimi naomba tuwaombee Hawa watoto jamani wengine hawakutaka kufanya Mambo Kama Haya ni Hali ya maisha inawabana Hadi wanafikia kwenye Mambo Kama hayo.bila kumuomba mungu ni bure tuu.mungu ndie atakaewabadilisha waache hayo maroho ya mauaji🙏
@sadasaid4408
Жыл бұрын
Kabisa kw kweli kutokana na hali
Am Leaving This Comment Here So That When Someone Likes It I Will Come Back To ReWatch This Wonderful Content Over And Over 💯💯💯 Wizi Mbaya
Huyu Panya road alivyo wekewa maiki Nyingi kama press conference ya Haji manara na Yanga......😹😹😹😹
Maskini,naona uchungu sababu ni mtoto wa mtu na mzazi wake hakumpangia hayo bali ni mitihani😔 allah awaongoze njia njema na awavue kwenye maovu kama hayo.aamin kwa sote na vizazi vyetu kwa ujumla.
@rajabumalupu4184
2 жыл бұрын
Amuongoze mualifu mbona mnampa MUNGU majukumu yasio ya razima
@haibahassan1244
2 жыл бұрын
@@rajabumalupu4184 muombee mtoto wa mwenzio mema ili yarudi kwa wakwako
@haibahassan1244
2 жыл бұрын
@@rajabumalupu4184 kwa maana wazaziwake hawakuomba awe hivyo.
@joharymussa5820
2 жыл бұрын
hakuna cha kuonea huluma jambazi nawachukia sana hawa ibilisi na usiombe ukutane nao ni mawili kufa kupona na bado wakuibie
@shaabanramadhan6770
2 жыл бұрын
Ww hayajakukuta haya huruma ya nini kwa mnyama km hyu hawa ni mbwa unamkataje mtu mapanga aisee
Huyu Kaka anaonekana akipata kazi atakuwa barozi mzur maana anaonekana bado anakitu ndani yake anaweza kubadilika ila afldabu Kar zitolewe Tena ingewezeka kwa wale ambao waliwahi kufungwa wahukumiwe mala mbili
@rudhwanjumbe2970
2 жыл бұрын
Sure kabisa huyu pengine utoto tu lakini inaonesha wazi anaweza badirika
@mwilongokivega3169
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa wamuachie hulu Ila wampe fulsa ya kumpeleka hata veta jmniiii 😭 tumbo langu la uzazi linauma 😭
@annakinyami2998
2 жыл бұрын
@@mwilongokivega3169 mtu anaweza kuongea pasipo kuinamisha uso wake na kwa kusema kila kitu kwa uwazi bila kulazishwa anahitaji msaada
@abasmwika3432
2 жыл бұрын
Wewe tema mate Chini,hawa majanki ni makatili sana we waone hivyo hivyo usiingie kwenye anga zao hao kuua kwao kawaida kabisa.huwezi kua unapiga watu mapanga ya kichwa halafu ukawa mtu mwema ni watoto makatili sana hao,! usikaone kanaongea hivyo ukaingiwa huruma hawa wanakuchukulia vitu na kukupiga mapanga vile vile yani havina huruma hivi vitoto!!!
@heyumi2340
Жыл бұрын
@@mwilongokivega3169 Wamuachie huru aje akuue
Wauwaji hao funga maisha ili wengine wasirudie tena mimi nimeibiwa mara nyingi siwapendi hata kidogo waalifu wote
@lyrics_forum
2 жыл бұрын
Uko sawa Kabisa
Asante sana mwenyezi MUNGU endelea kumuongoza vyema majeshi yangu
Kukata mapanga ni kujaribu kuua.wengine wamekatwa ubongo,they will never be the same, this is intentional to kill
Yani huruma jaman watoto wetu Allah awasaidie wasiwe na hizi tabia watoto wadogo kama hawa jaman msinge wahoji hivi adharan ni kuwauwa tu kumamaye kama wanavyowaumiza wenzao
Yaniwatoto wazuri wanajiharibia Maisha.nguvu kazi inapotea wallah. Nauyo kiongozi wao Mungu amlipe kenge mweusi uyo
Mi kama kijana nachukizwa sana na tabia za kipuuz kama hizi pa1 na kuonea huruma vijana wenzang wanapokua wanakamatwa kama hiv ila naumia san vijana wadogo kama hawa kujiiingiza kweje ujinga wa namna hii inaumiza sana kuona kijana anaeweza kufanya kaz akapata mahitaj yake kihalali kuitumia nafas ya wizi kama kazi ya kujiingizia kipato inaumiza sana
Ukiwaona wamechoka wenyewe ila Sasa usiombe wajikusanye ndio utajua haujui ule mziki wake maana sio wa kuchezea na viatu 🙌🙌🙌🙌🙌🤣😀
KWA HIYO ALIVOKAMATWA KAJISIKIA VIBAYA NA ALIPOPIGA WATU MAPANGA KAJISIKIA VIZURI.
Jaman jesh la. Polis hongelen kwa kazi nzur kaz iendelee
Hiii move sio nzuri sana Hawez kuongea kwa kujiamin hivyo muhalifu
Mwongo huyu, mara Oh mara ya kwanza , huyo huyo anasema huwa wanagawana pesa!!! Halafu si mtoto ni kijana mwenye nguvu
@atuganilemsomba3028
2 жыл бұрын
Mgeni asingeweza kuyajua hayo yote ni mzoefu huyu
@mohamedmkadidi9475
2 жыл бұрын
Tena muongo mkubwa
@hadijamazoezi7789
2 жыл бұрын
Muongo hasswaa huyu mzoefu
😭😭😭😭nakuonea huruma sana mdogo wangu jela inavyo umaa kaka jela inauma wewe duh sijui nisemeje
@aboually2472
2 жыл бұрын
Mwache kwanza
@husseinsaid6370
2 жыл бұрын
Dah Kaka weacha namuonea huruma sanaa kaka unaambiwa hasifiae mvua jua imemnyeshea
@nuraynmakoya803
2 жыл бұрын
@@husseinsaid6370 huruma ya nini🧐🧐
@sarahmsangi7243
2 жыл бұрын
@@nuraynmakoya803 kama hujakaa jela huwezi kujua huruma ya nn
Hongera sana Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam na jeshi letu la polisi
Km mama tumbo linanikata kwa uchungu jamni wazazi wenzangu tupo ktk dunia ilojaa mabalaa tuwaombee sana watoto wetu na tukitahidi kuwatolea sadaka Allah awalinde na kuwaongoa huu ni msiba yarabbi vilinde vizazi vyetu
Siku moja linaweza tokea kundi baya sana la kihalifu, viongozi wao wote wakamatwe
Subhannallah, mtoto mdogo jamani 😭
@joshuakinabo6861
2 жыл бұрын
Halaf shingo yake ina uvimbe wa goita
@fahmiidrissa5537
2 жыл бұрын
@@joshuakinabo6861 hahahaaa
@neemazee1864
2 жыл бұрын
@@joshuakinabo6861 mtoto wa kiume lzm awe na kolomeo, eti goita
@landmadvdmbeyacity9561
Жыл бұрын
Kutana nae usiku ndo utajua kama mtoto hyo
Ajira hamna ,machinga mmeondoa .Ghafla wahalifu wanaongezeka ...Jiongezeni CCM
Kazi safi mzee Siro, Saidia wadogo zet wasihadaiwe
Hata kama umefeli la Saba,sio sababu yakufanya mambo kama hayo,yakuhatarisha Maisha yako,maana usitegemee utafanya milele bila kuja kukamatwa au na wewe kuuliwa,wakati bado kijanadogo Una nguvu za kufanya KAZI halari ukapata pesa na ukaweza kuendesha familia pia,acheni uzembe
@tvstation6472
Жыл бұрын
Makundi shida
@saraobedi2389
Жыл бұрын
Tatizo ni makundi mtoto ukisha ruhusu tu kila mtoto awe rafiki yake ni hatari sana sio kila rafiki wa mtoto ni rafiki mzuri wengine sio hebu ona mtoto mdogo huyo hapo anasema haishi na baba yake wala mama dah inasikitisha kwakweli saingine nasisi wazazi tumekuwa chanzo cha matatizo juu ya watoto wetu
Hakuna kuachiwa waende jela tu pumbavu wananipa Moto Sana.. hv unapata ujasiri gani kumkata mwenzio panga la kichwa.. mbona mm kuna kipindi nilikuwa navuta ganja na pombe nakunywa lkn nilikuwa Sina ujasiri km huo.. waende jela urekebishaji wasenge hao.
@smarttv4184
2 жыл бұрын
Labda ulkuw unavuta moshi wa mkaa sio bangi kaka
@hamzasuleiman9605
2 жыл бұрын
Polis njoon na huku mvuta bang mwengine tushamuona 🤣
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
@@hamzasuleiman9605 😀😀😀
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
@@smarttv4184 Ni maoni yako
Mapendekezo yangu ni 1: wasagwe Kama unga 2: watupwe shimo la mamba atakaepona atasimulia
@ClaireHappy
2 жыл бұрын
Hahahahah kw kwel maan wanakera mamae zao..
Doooh hatariii hawa ndugu zetu kweli watanzania kweli hawa hebu wachunguzwe vzr wadogo daah inackitisha sana sana
Ingalikua watu wengi hutoa mawazo kama haya kwenye comments tungalifika mbali sana. Tumuigeni huyu kijana. Kijana nakukubali sana kwa ushauri wako huu, tunathamini mchango wako na serikali yetu ni sikivu italichukuwa hili ili tuimarishe nchi yetu.
@yusufutv5359
2 жыл бұрын
kundi lingine kupatikana Kenya fungua link kzread.info/dash/bejne/fY6cpMp6ctS6qcY.html
Baada ya kukamatwa kinachofuata ni nini wakati wao wanajerui watu vibaya vile!
@mathewdeus9978
2 жыл бұрын
Wataachiwa na hapo ndio tutajua wapo pamoja mmbwa hawa simu wakipigiwa hawapokei waalifu wameondoka wao ndio wanafika yani mmbwa hawa wakiachiwa haki ya Mungu kamanda siro awe na la kujibu
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Happy hao ni wakuuliwa tu hata usiwe na shaka
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Mathew hata usiwe na wasi wanauwawa kama kuku
@daimondelfina5689
2 жыл бұрын
@@mathewdeus9978 yaani unawaita mbwa kweli!!?ikitokea vita hapa nchini ndo utajua kama hao polisi ni mbwa au walinzi wa nchi!!
@abdallahsuleimani7416
2 жыл бұрын
Mimi na shauri kamata na wazazi wao wafunguliwe mashtaka ya uzembe WA ukosefu WA malezi
Mvulana mzuri jaman lkn ndy kashaingia eeh Mungu atunusuru na vizazi vyetu
Mimi Hawa vijana wadogo wadogo sitawasahau.December mwaka Jana nashuka TU kwenye gari hao wanne wakaniattack nikapambana nao wasininyang'anye begi wakaongezeka wakawa wanane wakaniweza wakaniibia vitu vyenye thamani ya milioni moja na laki nane ila Mungu aliniokoa nao wakaiba vitu wakanipiga na mabomba mgongoni lakini hawakunipiga na mapanga Wala visu.Sina hamu na Hawa vijana. Kwa kahama maeneo ya shunu ndio wamejaa huku.Huwa wanaiba mpaka na vyakula majumbani,na mashuka kama umeyasahau nje wanayaanua.Tumuombe Mungu sana atunusuru na Pepo hili la wizi ktk taifa letu😭😭😭😭😭
@manish-fp1fb
2 жыл бұрын
Pole sana ila Mungu anahusikaje hapo kwenye kumuomba?....
Wewe dada mwandishi Ulieuliza mwishoni kama Akiachiwa atarudia au hatarudia,,,HUNA AKILII....!!
Ni ugaidi piga risasi wote kabisa
SERIKALI TAFUTENI NJIA YA KUWAFANYA HAWA VIJA WAWEZE KUJIENDELEZA KIELIMU.NA HASA ELIMU YA UFUNDI. ITASAIDIA SANA HAWA VIJANA KUTO KUJIUNGA NA MAOVU.
Sasa mtangazaji anapomuuliza ukiachiwa utaendelea au vip,anategemea mtu amjibu kua ataendelea na uhalifu jaman😂😂🙌
Serikali naomba iwaangalie hawa watoto wa drs la saba wanaofeli waangaliwe, wanajaa mitaani awana cha kufanya,lazima tu wajiunge na makundi haya maovu, kuwe na chuo wapate mafunzo
@danielpeter3497
2 жыл бұрын
Sio lazima mtu akifeli akajuinge na makundi ya kihalifu au umaskini sio chanzo cha kukata watu mapanga na kua mhalifu tatizo wanajidanganya na kua na tamaa
@frankgavana9448
2 жыл бұрын
Sio serikali msiwape lawama kila muda, mbona veta zipo tangu zamani, na wazazi unazaa mtoto na kumuangalia.
@abbasmungia6107
2 жыл бұрын
Nadhani tusifikirie tu serikali ,katika ngazi ya familia kuna shida pia. Tuzae sisi alafu tulalamikie serikali? Tuwajibike pia na watoto wetu then mifumo ya serikali itafuata
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
Itawaangalia wangapi? Na wazazi wao nao wafanye kazi gani
Hawa inawezekana ni magaidi wanaungia kijanja.
Unamuuliza nyoka "nikikuachia hapa utaacha kutembelea tumbo" !?!
jeshi letu likiamua Jambo linaweza hongera Sana kwa kazi mzuri
Yn huyu ni kijana mzuri sana 😢 daah inahuzunisha sana sijui ibilisi gani huwa anawaingia na kutuharibia amani lakini wao wakikutana na sisi hawanaga huruma eeh Mungu kuwa upande wetu
Fungeni wote hao! Wamekutana na paka Road Jumanne Muliro…
Hawa vijana wadogo wanapotea na kuharibu ndoto ya maisha yao🤔😢 +MUNGU+ awanusuru🙏
@emmyemmy2553
2 жыл бұрын
Mungu anusuru na vizazi vyetu
Kwa sababu wamejeruhi watu. Kifo kiwahusu na kimuhusu huyu. Kijana
@trainertz3805
2 жыл бұрын
Hahah unafaa kuwa hakimu,maana baada ya hii wengi wamemuonea huruma,ingawa watu Kama hawa sio wa kuhurumia kabisa.
Weka ndani hao nyauba wasitie sura za huruma washaharibu sana
HONGERA SANA JESHI LA POLISI, Hao vijana wapewe adhabu kali pia wafungwe na viboko vya kutosha ili liwe fundisho kwa wengine wenye tabia hiyo.
Maeneo ya bunju, boko na tegeta tafadhali msako upite!!
Dah Watoto wanaharibiwa na makundi jamani
Leo amekuwa star kamera zote izo hongera ndugu
Watu tunaishi maisha magumu snaa na tumekulia. Maisha magumu lakn hatujawah waza ukatili km huo kushindwa kuvumilia Maumivu ya kazi utaweza kuvumilia maumivu ya jera au maumivu ya kupigwa na yoweeee😎
Yaani dogo anaujasiri kweli huyu ni jambazi,imagen yuko central Police alafu hana hata woga.
@loreensaimon3958
2 жыл бұрын
Uwoga anao.ila.inabidi ajibu tu maan rungu zinawahusu labd anajua akisema ukwer atatolewa
@jumamofu9573
2 жыл бұрын
@@loreensaimon3958 yah ni kweli hapo ni anaogopa huoni anavyo meza mate.. kwanza kabla ya kuongea wanaojiwa ukikataa kusema kuna chumba Cha mahojiano .. kibano chake sio poa
na jeshi liamue kuwahifadhi au wananchi watawahifadhia mbele za mungu..
Hatimaye panya road wakamatwa na paka road
Huyo kiongozi ndio ringleader anawatumia watoto wa watu . Muongo huyo peleka jela angalau miaka 10 .
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Unapenda kuhukumu
@kiri5807
2 жыл бұрын
@@Mpakauseme Hata km kusoma sijui lakini picha naona .
Muongo huyo atarudia. Nae mngemkata japo kiganja cha mkono wake na hilo panga lake ndio angekoma.
Wachunguze unaweza kuta wanalazimishwa fula na Hawa wakubwaa Hawa Mungu tulinfie watoto viongozi Ni watu wameshaenda jela tayari wanwatumia Hawa watoto...
Watanzania fanyeni oparetion ya risti za vitu ndani ya nyumba poleni watanzsnia from kenya
Ni Hali tu ya maisha kuanzia nyumbani na malezi kutoka nyumbani
Dah naenjoy sanaa hayo mahojiano. It is like kama amepangwa sio siri
@allyhassan7522
2 жыл бұрын
Amepangwa kweli hata mi nahisi hivo
@tomfaki9473
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌🙌🙏🙏
@jafarisintoo3743
2 жыл бұрын
😂😂😂hata mi nina wasawas kabsa, maana hio confidence sio ya kawaida anyway pongezi jeshi la polisi.
Dogo shukuru Mungu umekamatwa na polisi tungekushika sisi tungekuchomoa mbupu 1 Kisha kebiriti lione linavyojifanya lipole uwaji
@tanzanian8847
2 жыл бұрын
😂🤣
Daah wazazi poleni Bora mungetoa tu mimba hizi au kuwafanya misukule
Watoto wabaya wa roho awa jamani wanamkata mtu mapanga kama wanakata mti hawana utu hata kidogo
Watu kama hao kamata piga risasi tupa huko polini manina zao wanatia hasira xana 😏😏
Daaah hadi huruma maskini mwenyezi mungu atutangulie
🤣🤣🤣 dogo kafanya conference na media
Ningeshauri muendelee kuwahoji na wengine,vijana wetu wakiona wenzao wanavyojuta wanaendelea kujifunza vitu.
@joycekidulile5546
2 жыл бұрын
Kaka msirudie tena kujeruhi watu bila hatia fanya kazi vibarua vingi na unanguvu hata ungesoma uko fit Mungu atusaidie wadogo zetu watoto wetu jamani
@jambo3751
2 жыл бұрын
Huyo hapo anahojiwa na waandishi wa habari ndio maana ametulia hivyo.Lakini mziki mnene ameshaupata kule ndani Polisi na ameshataja kila kitu huyo chezea Polisi wewee...Watoto hao na mbinu zao za kitoto tena wanatumiwa tu ndio maana wamejulikana kirahisi. Mijitu inaona hakuna njia nyengine za kufanikisha utashi wao isipokuwa kuwatumia watoto wadogo kama hao duh! Wameshawaharibia FUTURE yao.
@fadhilinasib3340
2 жыл бұрын
Vijanakama hao mnawajengea geleza mpakani Mwa nchi wakizingua mnawapeleka huko mnaandaa mashamba makubwa walime kilimo cha umwagiliaji misimu yote kama nyanya vitunguu miwa matikiti kabech yani walime mwanzo mwisho
😢😢😢yaani watoto wadogo dah😢 Ya Allah utunusuru waja wako na vizazi vyetu 🙏
@almachiusbanedicto5936
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Daah Ali ya maisha imekuwa mtihani kwa vijana wetu tuwe makini kwa vizazi vyetu samaki mkunje angari mbichi
Ningekuwa kalibu hapo ningemtupia tofali kiukweli .hawa mmbwa wameumiza watu sana .basi mngekuwa mnachukua vitu watu mnawaacha vitu mchukue watu muwaumize kweli
@miriamwinston9908
2 жыл бұрын
Mimi nisingepata hata hamu ya kumuhoji ni ngumi na kuhoji, kila swali lina kipondo shenz kbsa
@azizaabeid2055
2 жыл бұрын
Yani weacha Yani tungekuwa pamoja kushambulia
@suzanamwangingo2995
2 жыл бұрын
@@azizaabeid2055 kweli kabisa mdogowangu wameumiza watu sana jamani. Kwanini lakini hawa panyalody
Nyani kabisa Hawa vijana lisasi zilikuwa zinawahusu na kuwa fundisho kwa wengine hawa hawa ndo wanachafua nhi yetu ya Aman tanzania watu kama hawa hawstahiki kabisa
@baimarrajahbuayan6237
2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 Nyan poli kabisa
@rosekimath2614
2 жыл бұрын
Wachomwe motoo mmbwa hawaa
@priscusaugust7251
2 жыл бұрын
Wash enzi
Yaani Bora usikie Kwa wenzio asiwe mwanao anaahojiwa hapo ukiamka asubui utatamani uhamie sayar ingine
Jamani peer plasure😭😭
"Wakiachiwaaaa"hv huyu wa mwisho mdada alieuliza swali anaakili sawa hv ni mtangazaji au na yeye n police Watu wamejeruhiwa tumeona kweny vyombo vya habar watu wanaliaa kwa jinsi hali zilivyombaya yeye anaongelea kuwa akiachiwa kama mtu atarudia tena...??hv kashawahi kutwa na swaibu kama hili au kajiulizia tu swali sabab ana nafasi alipoingia kukata watu mapanga hakuonyesha that polite face...tukio la kujeruh tena kwa mapanga ni mtu alikuwa na nia ya ku attempt murder yaan why aachiwe...?
@yusufutv5359
2 жыл бұрын
kundi lingine kupatikana Kenya fungua link kzread.info/dash/bejne/fY6cpMp6ctS6qcY.html
Mtu anayemuoneya huruma mualifu tena wa kutumia silaha,.. huyo ajitambui kabisa na itapendeza yamkute ndo ili ajue si kila mtu wa kuonewa huruma. hao wapuuzi aijalishi wanatumwa au vp yaani wanamkata mtu panga la kichwa embu imagine... panga la kichwa alafu pesa, simu na mali unamwachia na bado mapanga na silaha nyngine unazipata. Alafu mtu anasema jaman namuonea huruma... eti mtoto mdogo😂 wakukute wakiwa wengi na silaha ndo utasema nyie watoto wadogo mnisalimie.. 😨
@simoncharles6475
2 жыл бұрын
hayajayakuta ndo maana
@haibahassan1244
2 жыл бұрын
🤣 lol mungu atunusuru🖐
@Kidotii
2 жыл бұрын
Hawa wafungwee haswa! Wakitoka wawe wamenyooka
@winfridagama5832
2 жыл бұрын
Hawankwanza wanaendeza magonjwa Kama HIV, hepatitis kuchangia vifaa vya icha Kali pumbavu Hawa wafungwe tu kazi kumi viboko
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Upo sawa sana...muonee huruma hapa kwenye media, lkn kutana nae kwenye tukio ndo ujtajua hujui....eti anatia huruma aisee....mimi mwizi, jambaz kibaka auliwe tuu.
Musemaji wa panya rod timu
Maadili ya vijana wenzetu mitihani
Allah atusimamie na kulind vizazi vyetu
Jifunze quran kwa hukmu kuswali kwa vitendo gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
Huyu dogo inaonekana kabisa si muhusika kachukuliwa tu katika zoa zoa ya vijana wasiona kazi maalum
Huyu muongo sema yuko na experience kubwa katika hiyo kazi...na ameshajiandaa kisaikoroji na ndio maana hana hofu ahata kuongea mbele ya polisi
Allah save this generation
Mungu saidie vizazi vyetu mtoto mdogo sana!
kwanini matatizo mengi watu wanaingiza serikali ndani yake iwatazame kivip awa watoto kwani wazazi wao wako wapi serikali kazi yake apo ni kuhoji na wale fimbo kila mmoja Mia alafu Tia ndani ya jela miaka saba ndani au miaka kumi ndani na kutumikia serikali mpaka unatoka jela kama watoto wadogo mbona wanafanya malifu ya kuuwa watu wanajuaje ayo yote piga vizur sana
Nimejikuta nalia mimi daaa 😭😭😭😭😭😭
@janemutoma4309
2 жыл бұрын
Inaumiza kwa kweli.