KENYATTA ALIVYOSIMAMISHA HOTUBA KUPISHA ADHANA, WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAGUFULI DODOMA

Пікірлер: 431

  • @nyauclassictv805
    @nyauclassictv8053 жыл бұрын

    Nimependa sana hii ni heshima kubwa ya kumtambuwa mungu yupo na ndiye mkubwa wa wote hapa duniani neno "ALLAH AKBARU". lina maana ya mungu ni mkubwa....weka like yako kama na wewe umeipenda hii....

  • @barakakiula8909

    @barakakiula8909

    3 жыл бұрын

    Swadaktaaa

  • @jamilamanariyojamila1487

    @jamilamanariyojamila1487

    3 жыл бұрын

    Allah Amuongoz Na amulip kwaili👍👌

  • @seremenikibwene8633
    @seremenikibwene86333 жыл бұрын

    Hakika Umeonyesha Busara Sana Na Heshima Kubwa Kwa Kujua Kuwa mungu ni Mkubwa, Allah Akuongoze Rais Kenyatta.

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi21153 жыл бұрын

    Heshima kwako kenyata imesisimua sana kwa heshima uliyonayo juu ya adhana Allah akuongoze🙏

  • @hassanramadhan8978

    @hassanramadhan8978

    3 жыл бұрын

    Aamiin

  • @jamilamanariyojamila1487

    @jamilamanariyojamila1487

    3 жыл бұрын

    @@hassanramadhan8978 Amiin

  • @themagadir
    @themagadir3 жыл бұрын

    Kawaida yake he always respects the adhana and all other religions in general

  • @FatmaAli-oy7yu

    @FatmaAli-oy7yu

    3 жыл бұрын

    Angepata viongozi bora, walo chini yke... Kenya ingekuwa vzry sanaa

  • @hamisikaisi461

    @hamisikaisi461

    3 жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @kelvinchuwa2212
    @kelvinchuwa22123 жыл бұрын

    Hongere sana mh: kenyeta umeonyesha ukubwa wa Mungu akupe wepesi na akuondolee maradhi nchini kwako

  • @amirimagongo1392

    @amirimagongo1392

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiin

  • @nasraabdallah850

    @nasraabdallah850

    3 жыл бұрын

    Amiin 🤲

  • @VinceChepkwony
    @VinceChepkwony3 жыл бұрын

    Hongera rais wangu kwa kuheshimu wenzetu waislamu. Mungu na akupe nehema zaidi

  • @ramadhaninawanje2744
    @ramadhaninawanje27443 жыл бұрын

    Allah akujalie kheri nying sana KENYATA kwa kuheshimu adhana ,Allah akuongoze katika dini insha Allah

  • @fatumasophu5855

    @fatumasophu5855

    3 жыл бұрын

    Ampe mwisho mwema inshaallah

  • @issahamid9186
    @issahamid91863 жыл бұрын

    What a respect! 👏🏾 👏🏾 God bless you President Uhuru Kenyatta.

  • @josephkibosi5471

    @josephkibosi5471

    3 жыл бұрын

    Tupoe sote Wana wa EAC

  • @KarimKhalid786
    @KarimKhalid7863 жыл бұрын

    Well done Mr President Kenyatta...Its a big gesture that all leaders must learn

  • @kimanijohn9529

    @kimanijohn9529

    3 жыл бұрын

    Hamdullilah, pongezi kwake Bwana Raisi, natazama niko marekani

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75163 жыл бұрын

    Ni ukomavu wa hali ya juu sana kuheshimu imani

  • @tipieleven8582

    @tipieleven8582

    3 жыл бұрын

    Classy

  • @osumrope2096

    @osumrope2096

    3 жыл бұрын

    Sana

  • @seifzongo320
    @seifzongo3203 жыл бұрын

    Nimeipenda hii 👆👆👐👐🙏🏻🙏🏻🙏🏻nimekupenda bure uhuru kenyata

  • @marrowog8975
    @marrowog89753 жыл бұрын

    Masha allah, it's very sensitive but inasikitisha sana, hawa maraisi wetu wanatenda mema ila wanakataa Neno la shahada.. Ni bure Hon magufuli amefikia hadi kujenga msikiti..ni jambo kubwa sana ila maelewano na mungu huyo uliemjengea msikiti hutegemea neno la shahada. . Kama ni kufurahisha watu... masha allah hon kinyata and mr president magu mmefanikiwa. Mungu ni mwema ana na rehma. Yeye ndio anajua nafasi yako kwake. Ewe mola wetu tupe wepec ktk maisha yetu na utupe viongoz wenye huruma na uzalendo kama magufuli. 99% of likes to kinyata.

  • @rachealdavid5855

    @rachealdavid5855

    3 жыл бұрын

    Wewe ingia ukiristo or freemason. Kuabudu n uamuzi wa mtu cio kuambiwa ama kulazimishwa

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY3 жыл бұрын

    Kuanzia leo naogea tena Kwa kauli yangu sabit kuwa Rais uhuru kenyata nakukubali Sana sana kwa kuipisha hazana tukufu Ubarikiwe sana sana pia tunakuombea watanzania uishi myaka Mingi sana sana sana na wakenya Woote kwa ujumla muwe watu Wenye furaha tele

  • @nackishmwana2304

    @nackishmwana2304

    3 жыл бұрын

    amin thuma amin

  • @ladykimnan902
    @ladykimnan9023 жыл бұрын

    Mashaalah taqbiliiiiii Allah akuongoze kwenye kazi zako inshaallah

  • @nancysimon4453

    @nancysimon4453

    3 жыл бұрын

    Allah akubar 🥰🙏mashallah

  • @khadeejahrashid3177
    @khadeejahrashid31773 жыл бұрын

    Hongera president wetu Leo sisi wakenya twajivunia kua na wewe ulivyoheshimu adhan, Allah ataweka nuru ndani ya maisha yako

  • @marrowog8975
    @marrowog89753 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @mohammedsalum7491
    @mohammedsalum74913 жыл бұрын

    Allah akbar....Yaa Rabbi mpe ufunuo huyu mja wako....🤲🤲

  • @halimamuthoni4339
    @halimamuthoni43393 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @Najdi358
    @Najdi3583 жыл бұрын

    Yaaa Allah Mjaalie mja wako huyu azidi kukutambua na kukufata, Mjaalie aione nuru ya uislamu na ajumuike katika Iman, tuna mkaribisha sana,

  • @mohamedraahid1456
    @mohamedraahid14563 жыл бұрын

    Mashallah nzuri Sana mashallah

  • @othmanally1230
    @othmanally12303 жыл бұрын

    Rais kenyata nimekuombea dua mungu akupe mwisho mwema

  • @selemanimurangwa5916
    @selemanimurangwa59163 жыл бұрын

    Kweli iyi ndiyo dunia ya mwisho r kenyata unanitiya majonzi Kweli unatowa heshima ya adhana kwakuonyesha heshima kubwa thx

  • @ayoubmtambala5728

    @ayoubmtambala5728

    3 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @mamaally3427

    @mamaally3427

    3 жыл бұрын

    C km ni dalili za kiama hapana huyu jamaa anaimani na Allah uliza Kenya hata mwezi mtukufu huwa anafuturisha waislam huko kwao c kila aaiyekuwa muislam bac hamjui mungu hongera sn Uhuru

  • @jumasaidi961
    @jumasaidi9613 жыл бұрын

    Ama kwa hakika umeonesha heshima kubwa kwa dini yetu ya Kiislamu mahala sahihi kabisaaaaa.....kwani ni katika mkoa huo wa Dodoma kuna watu walienda polisi na kufungua kesi juu ya adhana wakidai wanapigiwa kelele na adhana za misikitini.....Leo hii Mwenyezi Mungu muumba wa wote na vyote vilivyomo amekutuma wewe uudhihirishie Umma na watanzania kuwa atajwapo yeye basi asitokee mmoja wenu akadhihaki na kuendelea na shughuli zake.....Adhana na wito maalum wa Mwenyezi Mungu kwa kuwakumbusha kuwa muda ibada umefika......Hakika nimefurahi sana kwa heshima hii kubwa kwetu na Mwenyezi Mungu azidi kukulinda ..........Amiin

  • @Allystor
    @Allystor3 жыл бұрын

    Leo hii nimetokea kukupenda sana jirani yetu Kenyatta nakuombea kwa Mungu maisha yenye kheri na mwisho uliokua mwema. Nimependezwa zaidi na mambo mawili katika hotuba yako ; la kwanza ni kupisha adhana na la pili ni kumkumbusha Mama Samia njia alioachiwa ni ileile aifate hapa kazi tu asije kurubuniwa na wezi walafi wa madaraka na majambazi ambao hayati Magufuli aliwapiga vita.

  • @Najdi358
    @Najdi3583 жыл бұрын

    Dah mola amjaalie aipate nuru ya Imaan, amtambue mola wake na amuabudu, safi sana

  • @malkoabdiali4798
    @malkoabdiali47983 жыл бұрын

    Poleni sana Tanzania Africa is crying too hero🇰🇪😭😭😭😭🇰🇪

  • @awadhhamza9296

    @awadhhamza9296

    3 жыл бұрын

    Wakenya mumefurahi wenyew

  • @peterngaire7129

    @peterngaire7129

    3 жыл бұрын

    Tushapoa

  • @bonnytv6530

    @bonnytv6530

    3 жыл бұрын

    Thank you

  • @nasmaabdul3245

    @nasmaabdul3245

    3 жыл бұрын

    Respect sana rais kenyatta natamani natamani one day Tanzanian na Kenya ziwe nchi moja mungu ibariki African

  • @ammarsalah5693
    @ammarsalah56933 жыл бұрын

    I respected you and now u show respect back mr president uhuru kenyata ....much love from me as a Tanzanian resident....

  • @bukusumightyculturetv4186

    @bukusumightyculturetv4186

    3 жыл бұрын

    Yes bro

  • @daudimmary3965
    @daudimmary39653 жыл бұрын

    Mashallah

  • @lifeisonetime8997
    @lifeisonetime89973 жыл бұрын

    Can you imagine he knows when it ends, what a wonderful world!!!!!

  • @musaspana5931

    @musaspana5931

    3 жыл бұрын

    Did you notice am a muslim and i was blown by that too perfect timing i even thought he was wired with earpiece and someone on other end was giving him some hints but he wasn't.

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    3 жыл бұрын

    i said the samething...i was amazed with the same..

  • @tamatama1136
    @tamatama11363 жыл бұрын

    Umewashinda masheikh wengi sana hawaeshimu adhana

  • @amourkhamis8259

    @amourkhamis8259

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @saadaissa2524

    @saadaissa2524

    3 жыл бұрын

    Mashekhe ubwaubwa

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina60853 жыл бұрын

    Hii ni kuonyesha mungu wetu mmoja

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    Umenena vyema sio wengine wanasema njoo huku kwenye hak

  • @meckienditi4661

    @meckienditi4661

    3 жыл бұрын

    Umenena vyema...kunawatu wameshaona dini za wenzao hazifai kwa tukio hili kumbe hawajui kuheshimu dini ya mwenzio ni unyenyekevu mbele za Mungu na si wanavyofikir wao

  • @amouryshaaban3473

    @amouryshaaban3473

    3 жыл бұрын

    @@meckienditi4661 kwani wewe ulishaona raisi gani hapa Tanzania baada ya kusikia adhana nayeye akanyamaza kwani wao hawana heshima na dini nyengine ...hii ni haqqi na ndio dini ya ukweli duniani na akhera ndio mana unakuta kila jambo linalohusiana na kuchinjwa wanyama ni rukhsa kwa waislam peke yake kwa sababu ni wao pekee tu ndio waliopewa hukmu na mwenyezimungu wachinje na sio dini nyengine hii inaonyesha wazi ni moja ktk alama za ukweli na haqqi ktk uislam muombe mwenyeezimu akuzindue uijue haqqi na uache ushabiki

  • @emmadora7848

    @emmadora7848

    3 жыл бұрын

    @@amouryshaaban3473 hapo tu ndio huwa mnachekesha sana watu msio na akili timamu, kiongozi yeyote kachaguliwa na watu wa dini zote na wasio na dini so hana sababu ya kuyoheshimu imani ya wengine , na kuheshimiana ndio zetu waafrika , hayo ya dini ya haki sijui utumbo gani si mngewekwa muishi sayari yenu

  • @amouryshaaban3473

    @amouryshaaban3473

    3 жыл бұрын

    @@emmadora7848 Kikubwa hatulazimishani kusilimu Bali tunakumbushana kwamba ili mwanaadamu asipate khasara baada ya kufa kwake inatakiwa afe hali ya kuwa ni muislam mtu akifa na dini nyengine tofauti na uislamu itakuwa ni sababu ya kutokubaliwa mbele ya mwenyeezimungu na atapata khasara kesho akhera . Na wengi kwa sababu hiyo khasara ya mtu kufa nje ya dini namna inavyomthibitikia baada ya kufa kwake hatuiyoni na ndio mana kila mmoja anachukulia ni swala La kawaida ila ukweli wa mambo ulivyo kila mwanaadamu baada ya kufa atashuhudia kwa macho yake faida na khasara zilizopo baada ya kufa kutokana na namna alivyochagua kuishi akiwa duniani kwa sababu kama namna mtu atakavyo ishi basi ndivyo atakavyokufa na kama atakavyokufa basi ndivyo atakavyofufuliwa na hali yake aliyokuwa nayo duniani kutokana na matendo yake.

  • @aminajuma275
    @aminajuma2753 жыл бұрын

    Nuru ya uislamu imetanda kila upande wa dunia hii Allah awaongoze mzidi kuiona

  • @latifamkulazi8378

    @latifamkulazi8378

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiin

  • @aminaabdiabdi7112

    @aminaabdiabdi7112

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiin🤲

  • @rahmadizer1744

    @rahmadizer1744

    3 жыл бұрын

    Nimefurah mpaka mwili unatetemeka

  • @abdallahmwinyi8529

    @abdallahmwinyi8529

    3 жыл бұрын

    @@rahmadizer1744 hongera huo ndio uumini

  • @wardaheluwa734
    @wardaheluwa7343 жыл бұрын

    Mashaallah umetuheshimisha rais wetu

  • @maggiekiarie5404
    @maggiekiarie54043 жыл бұрын

    Mad respect yaani respect ya hali ya juu manze nakupenda my president i salute you

  • @kahamaonelive9432
    @kahamaonelive94323 жыл бұрын

    Love you Kenyata From 🇹🇷💓🇰🇪

  • @mwacitywakanay2101
    @mwacitywakanay21013 жыл бұрын

    Daaah allwah akubrk jmn awa ndo viongz imar wanao mjar allwah

  • @abigailkighombe1960
    @abigailkighombe19603 жыл бұрын

    Respecting ones religion is so Respectable and important..wow president Uhuru

  • @germanone3395
    @germanone33953 жыл бұрын

    Kwa ukweli umetufunza hakuna hutuba ya maana kama kumtaja mwenyezi mungu shukran uhunyeee kweli umemtambua kuna zaidi wamazaidi ni ALLAH

  • @zaharabubakar4983
    @zaharabubakar49833 жыл бұрын

    MashaAllah president Uhuru respecting the Azan JazakaAllah kheir prezo.

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid24883 жыл бұрын

    Hakika mungu akuongoze Rais kenyatta maana umetushinda Ata baadhi ya waislam hatuheshimu adhana umekua mfano wakuigwa Asante Sana mungu akubariki kwa kuheshimu wito wake na ukasimamisha kuongea nakupenda kwaajili ya ALLAH

  • @teresiamutua4487
    @teresiamutua44873 жыл бұрын

    Woow awesome respect,God bless u president Uhuru Kenyatta

  • @abdulsalum6375
    @abdulsalum63753 жыл бұрын

    Allah azidi kukupa Afya njema Uhuru kinyata

  • @amouryshaaban3473
    @amouryshaaban34733 жыл бұрын

    Maashallah Allah akuafikishe kuwa muislam madhubuti rais mzuri kenyatta ambae umestopisha kuzungumza kwa Ajili ya kumpa heshma Aliekupa cheo hicho Allah SUBHAANAHU wataala ninamuomba Allah akupe hidaya wewe na familia yako kabla ya kufikwa na mauti . Karibu sana kwenye uislam ili upate mafanikio ya duniani kaburini na kesho aakhera inshaallah na nyote mliosikiliza hiyo adhana nawashauri tafuteni maana ya hayo maneno uwenda Allah akawapa ibra na mazingatio nanyi mkaufuata uislam

  • @furahawauwe7177
    @furahawauwe71773 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mzee 🙏🙏

  • @siyasiah2445
    @siyasiah24453 жыл бұрын

    ALLAH akuongize kinyata kwaheshim unaoipa adhana

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo12683 жыл бұрын

    Jambo kubwa sana ili kwa wenye kufahamu

  • @maryamibrahim4039
    @maryamibrahim40393 жыл бұрын

    MashAllah,big up,Allah akuongoze ktk njia ilonyooka

  • @nabahaniabbdy925
    @nabahaniabbdy9253 жыл бұрын

    Man shaa Allah,,umetoa mwangaza kwa wale ambao hawajui samani ya sauti hiii.

  • @tundakid1852
    @tundakid18523 жыл бұрын

    Na hii iwe funzo kwa waislamu mnao zitharau na kuzipaka tope dini za watu.. Heshimu dini mungu ni mmoja mungu wetu sote.

  • @bilaliramadhani4934
    @bilaliramadhani49343 жыл бұрын

    Nime kupenda bule kenyata mashaallah

  • @johnmakuno7789

    @johnmakuno7789

    3 жыл бұрын

    Maashallah Allah akupe uongozi thabit akupe MAISHA MAREFU YENYE FURAHA na akupe mwisho mwema viongozi kama wewe niwachache umewashinda ata waislam walioko madarakani nawasio madarakani wasio jua ukuu na utukufu wa mungu mungu akubariki sana wewe nafamilia yako awape mwisho mwema inshaa Allah

  • @asnawlopez1212
    @asnawlopez12123 жыл бұрын

    Allah. Akibar hakikaa Allah atukulipaaa mengi mkuu kenyata

  • @sabrinahassan7832
    @sabrinahassan78323 жыл бұрын

    maashaallaah

  • @aminaabdiabdi7112
    @aminaabdiabdi71123 жыл бұрын

    Subhannallah😭 Allah amuongoze mja wake pamoja na cc amiiin yarrab 🤲 Ilahi tunakuomba umpe kauli thabit kabla l maut.🤲💞

  • @bahatihassan5413
    @bahatihassan54133 жыл бұрын

    Mashaallah nimefurah kuona unahishim iman ya upande mwingine

  • @hamadikombo1492
    @hamadikombo14923 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @joharhamis855
    @joharhamis8553 жыл бұрын

    Mashallah 🙏🙏🙏

  • @nataemsuya
    @nataemsuya3 жыл бұрын

    Mashallah ..kajizolea baraka zake,mungu atambarik kwa namna anavyojua🙏😘🌷

  • @jumambwana7247
    @jumambwana72473 жыл бұрын

    Mashaallah mungu akuzidishie maisha marefu akulinde namaadui

  • @hamadmazuri1446
    @hamadmazuri14463 жыл бұрын

    Ahsante Sana,Sana Kenyatta,for your respect!

  • @ramak.9587
    @ramak.95873 жыл бұрын

    Ndio mjue kila soko halikosi wendawazimu kuna viumbe 46 kufikia sasa wamedislike (thumb dwn)hii video. Inna lillah wa inna ilayhi. Kipi kibaya chakupelekea mtu ku dislike video kama hii??? Kweli tunaishi na watu mashetani.

  • @fundijrtv
    @fundijrtv3 жыл бұрын

    Allah akuonyeshe njia upate nuru ya wiislam ewe Rais Uhuru kenyatta

  • @zainabrajab9608
    @zainabrajab96083 жыл бұрын

    Mashaallh mungu kwanza

  • @sadahramadhani6046
    @sadahramadhani60463 жыл бұрын

    MashaAllah, MashaAllah Tabarakallah

  • @hemedwow8802
    @hemedwow88023 жыл бұрын

    kuna Elim kuuubwa sana hapo,kwa akili lkn!!

  • @saidswalehe2907
    @saidswalehe29073 жыл бұрын

    Sijawah kusikia speech ya huyu Mzee hakika anazungumza vizur saanaaa na ujasir wa hali ya juu kabisa

  • @mrgeorgeisdory5277
    @mrgeorgeisdory52773 жыл бұрын

    Safii Mungu ni mkubwa must Respect

  • @moahmmedhassanpanjwani3808
    @moahmmedhassanpanjwani38083 жыл бұрын

    Salutes to our beloved president UHURU KENYATTA, ( MY BEST LEADER )

  • @halaphaologi8301

    @halaphaologi8301

    2 жыл бұрын

    Allah akuzidishie baraka

  • @mdamuhamis7059
    @mdamuhamis70593 жыл бұрын

    Mungu akuongoze kenyatta rais wa Kenya aufanye mwisho wako kua mwema🙏🙏🙏

  • @bakarikolumba3477
    @bakarikolumba34773 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah daah that is very nice I wish marahis wote wangekuw hiv Allah amzidishie na aipe Kenya amani na nchi zote za Africa masharik na kati..

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22343 жыл бұрын

    Maashaall kenyata hongera kws heshima

  • @jumakiggundu8935
    @jumakiggundu89353 жыл бұрын

    President Uhuru is among the great leaders we have in Africa. He is a very humble guy!

  • @kibasengasu5729
    @kibasengasu57293 жыл бұрын

    Allah akujalie kila la kheri hustler Uhuru

  • @somekesafari9693
    @somekesafari96933 жыл бұрын

    R.I.P MAGUFURI, tulikupenda sana ila mungu amekupenda said.

  • @littlelostpubg621
    @littlelostpubg6213 жыл бұрын

    Very respectful and intelligent leader 👏.

  • @kijonalusay
    @kijonalusay3 жыл бұрын

    Ma Shaa Allah🤲

  • @badranhafidh35
    @badranhafidh353 жыл бұрын

    Thank you my president for respecting Adhan

  • @nassranassor8699
    @nassranassor86993 жыл бұрын

    Mashallah Allah amuongoze katika njia iliyonyooka

  • @tatunjenje5365
    @tatunjenje53653 жыл бұрын

    Yaa Allah,Yaa Rahman,Yaa Rahm

  • @abigailkighombe1960
    @abigailkighombe19603 жыл бұрын

    Uhuru is now speaking some sence❤️❤️❤️❤️I now love you more than ever before

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8503 жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah Allah akulipe kher baba ang 🤲💕👏👏nikweli tumifunfishwa ivo tunaposkia adhana tunamanze mpaka itakapo isha ndio tuendelee na maongez. Nawe umefanya mashaallah 👏Allah akuzidishie barka namwisho mwema rais wetu tz tunakupenda pia

  • @fadhilismnekajr8514
    @fadhilismnekajr85143 жыл бұрын

    Mungu akusimamei katika uwongozi wako uhuru kinyata amen

  • @muhemezimshumbusi8838
    @muhemezimshumbusi88383 жыл бұрын

    Alihandulillah allah akupe ufahamu uje kwenye haki

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    Yuko penye hak ndo maana anaheshimu kwa wengine

  • @sheckycobb5240

    @sheckycobb5240

    3 жыл бұрын

    Yupo kny haki ndio maana Amejua la kufanya.

  • @Khaleed5767
    @Khaleed57673 жыл бұрын

    YA ALLAH , YA RAHMAN , YA KARIM

  • @fatmamshangama9824
    @fatmamshangama98243 жыл бұрын

    Mashallaah nimempenda bure rais kinyata jamn inapendeza

  • @alialsiddiq783
    @alialsiddiq7833 жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    Heshima kubwa sanaaa kwako Kenyatta 👊🙏

  • @ramadhanimohamed154
    @ramadhanimohamed1543 жыл бұрын

    Big up Kenyata may Allah give u a long life

  • @ramadhanimustafa8790
    @ramadhanimustafa87903 жыл бұрын

    Allah akibar

  • @yahyafumbwe1642
    @yahyafumbwe16423 жыл бұрын

    Mwenyeezi mungu akulipe rais Kenyata na muomba mwenyeezi mungu akupe zawadi kubwa nayo ni kusilimu mpendwa rais Kenyata saluti kwako rais

  • @maryansham7858
    @maryansham78583 жыл бұрын

    Fuata sasa nyayo za magufuli fuata hizo sifa unazompa na wewe tukupe wakati ukifika

  • @alwendeomulisia4755

    @alwendeomulisia4755

    3 жыл бұрын

    😆😆😆👊

  • @hadijaangura6572

    @hadijaangura6572

    3 жыл бұрын

    Umeona eeh siyo kumsifu magu tu na yy wakenya wanateseka😏😏

  • @GUSCi-BDE

    @GUSCi-BDE

    3 жыл бұрын

    Umenena kweli

  • @nackishmwana2304
    @nackishmwana23043 жыл бұрын

    JazzakaLLah khair our Prezo

  • @maryiammohammed4254
    @maryiammohammed42543 жыл бұрын

    Subhana allah

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv26013 жыл бұрын

    Allah amuongoze katika uislam inshallah

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed63273 жыл бұрын

    Uhuru kinyatta umeniacha hoi leo

  • @user-nh5hi7wr4g
    @user-nh5hi7wr4g3 жыл бұрын

    Shukraan sana raisi wangu Uhuru,maashaAllah

  • @abuubakaraliy6738
    @abuubakaraliy67383 жыл бұрын

    Masha Allah raisi Uhuru wa Kenya Allah anakuita katika uislamu

  • @sayfllahsayfllah6226
    @sayfllahsayfllah62263 жыл бұрын

    Doooh .... I thought so much until I shed tears wallah .. President may god give you good health and give you faith and lead your country adi when your time is up, I am certainly a role model for every human being ..... I love you so much Kenyan leade.......

  • @dralhajijbmatatala4580
    @dralhajijbmatatala45803 жыл бұрын

    MAA SHA ALLAH 🤲🏿 Kaitendea haki Adhana, Wito Wa Kusali, wito Wa Swala, VIONGOZ WA TANZANIA JIFUNZENI HILO,... "IHESHIMIWE ADHANA" Asalaam Aleykum Wallahmatullullah Wa Barakat 👋

  • @shabbymakapane1910

    @shabbymakapane1910

    3 жыл бұрын

    Wa alaikhum salaam warahmatullahi wabarakatu

  • @kulwasalum3597

    @kulwasalum3597

    3 жыл бұрын

    Rais Uhuru Kenyata ni kiongozi haswa anajua maana ya Dini ...... Anamjuwa Muumba .....Allah akballu....!!!

  • @claudiamole7216

    @claudiamole7216

    3 жыл бұрын

    God bless our president uhuru

  • @nicholasrubando8148
    @nicholasrubando81483 жыл бұрын

    Tunakupenda sana president Uhuru Kenyatta..

  • @abdulazizkhamis333
    @abdulazizkhamis3333 жыл бұрын

    Mashaallah allah akubarq kiongozi nimependa hiyo dah!!! kwakweli sikutegemea allah akubarq

Келесі