KAULI YA ALLY KAMWE BAADA YA DROO YA CAFCL KUTOKA | AZIZ KI, CHAMA, PACOME WAANGUA KICHEKO

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #AllyKamwe

Пікірлер: 319

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq21 күн бұрын

    Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-zf1kh1ct5i
    @user-zf1kh1ct5i21 күн бұрын

    Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa

  • @eliathomas8446

    @eliathomas8446

    20 күн бұрын

    Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥

  • @aishafranco1055
    @aishafranco105521 күн бұрын

    Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍

  • @eliathomas8446

    @eliathomas8446

    20 күн бұрын

    Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo

  • @aishafranco1055

    @aishafranco1055

    19 күн бұрын

    @@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @BakariShabani-nf4rz
    @BakariShabani-nf4rz21 күн бұрын

    Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr21 күн бұрын

    Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉

  • @massatujeli3158

    @massatujeli3158

    21 күн бұрын

    Kabisa even 💚💚

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    21 күн бұрын

    I second you brother

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q21 күн бұрын

    Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    21 күн бұрын

    In Shaa Allah utaenda kaka!

  • @RACHELATHANASIDAUDI

    @RACHELATHANASIDAUDI

    20 күн бұрын

    Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥

  • @patridabernard9148
    @patridabernard914821 күн бұрын

    Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen

  • @AfidhaAlfan
    @AfidhaAlfan21 күн бұрын

    Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma987021 күн бұрын

    MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @TausiKitundu
    @TausiKitundu21 күн бұрын

    leo mimi wakwanza nipeni like zangu

  • @AberyMathias
    @AberyMathias21 күн бұрын

    Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175521 күн бұрын

    Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @user-vq5vn4gi9t
    @user-vq5vn4gi9t21 күн бұрын

    Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤

  • @frankfulgence
    @frankfulgence21 күн бұрын

    Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu753221 күн бұрын

    Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp21 күн бұрын

    Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆

  • @SamwelThomas-d1g

    @SamwelThomas-d1g

    16 күн бұрын

    And

  • @MasudiUledi
    @MasudiUledi21 күн бұрын

    ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤

  • @ezrageofrey9668

    @ezrageofrey9668

    21 күн бұрын

    💚💚💚💛💛💛

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA21 күн бұрын

    Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nickolassimion
    @nickolassimion21 күн бұрын

    Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.

  • @user-qn8mh2el2d
    @user-qn8mh2el2d21 күн бұрын

    Naikubali sana yanga

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo21 күн бұрын

    Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia

  • @bongodata
    @bongodata21 күн бұрын

    Jamani njooni tuangalie bongo data

  • @dataduel100

    @dataduel100

    21 күн бұрын

    nimesubscribe

  • @foreveryu247

    @foreveryu247

    21 күн бұрын

    nimesubscribe..kazi nzuri

  • @kinghuojlund-un2nb

    @kinghuojlund-un2nb

    21 күн бұрын

    bongo data kazi nzuriiii

  • @hectorfunny

    @hectorfunny

    21 күн бұрын

    vizuri data za uhakika

  • @Maddison-fp3nu

    @Maddison-fp3nu

    21 күн бұрын

    noma sana

  • @paulhenry6253
    @paulhenry625321 күн бұрын

    Yanga BINGWA

  • @ZarafiAlly
    @ZarafiAlly20 күн бұрын

    Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa

  • @martingodfrey7105
    @martingodfrey710521 күн бұрын

    Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani

  • @SadikYommary

    @SadikYommary

    21 күн бұрын

    Hawa vitaloo watakula 5-0

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    20 күн бұрын

    Watakufa jumla home and away 7-1

  • @Pox_media
    @Pox_media21 күн бұрын

    KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥

  • @husseinabdallahmkupulo1784
    @husseinabdallahmkupulo178421 күн бұрын

    Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii

  • @lynhwilbardruckachale4205

    @lynhwilbardruckachale4205

    20 күн бұрын

    Amina 🙏🙏

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni427021 күн бұрын

    Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka

  • @comfortkitiwi2879
    @comfortkitiwi287921 күн бұрын

    Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx20 күн бұрын

    I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @aishabakari8040
    @aishabakari804021 күн бұрын

    Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢

  • @samychomakantastymela7175
    @samychomakantastymela717521 күн бұрын

    Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja618120 күн бұрын

    Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.

  • @dannymkogoti961
    @dannymkogoti96120 күн бұрын

    ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮

  • @MosesWilliam-oh8tt
    @MosesWilliam-oh8tt21 күн бұрын

    Injinia uish miaka mia😊

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis941120 күн бұрын

    Yanga ya moto 🔥🔥

  • @EliamgendaMasunga
    @EliamgendaMasunga20 күн бұрын

    I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤

  • @user-if2yf3gp6k
    @user-if2yf3gp6k21 күн бұрын

    kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo21 күн бұрын

    Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je21 күн бұрын

    Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    20 күн бұрын

    Wewe ni KOLO WAHID BACCA ANA DHARURA KAUZWA WAPI??😢

  • @jamaldeenmakenga
    @jamaldeenmakenga20 күн бұрын

    Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅

  • @malietamaliet
    @malietamaliet21 күн бұрын

    😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei

  • @AllanAluma-ss8lb
    @AllanAluma-ss8lb21 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life

  • @sabiyozeissa689
    @sabiyozeissa68921 күн бұрын

    mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl

  • @goldmansun5859

    @goldmansun5859

    16 күн бұрын

    Hahah

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti21 күн бұрын

    Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha

  • @jamesmartin7026

    @jamesmartin7026

    21 күн бұрын

    Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂

  • @dkasfilmstudio4641
    @dkasfilmstudio464121 күн бұрын

    Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢

  • @OkimasterO
    @OkimasterO21 күн бұрын

    Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey966821 күн бұрын

    nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤‍🔥

  • @allymtapera5370
    @allymtapera537021 күн бұрын

    Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa

  • @JadonKuyokwa-oe7mp
    @JadonKuyokwa-oe7mp21 күн бұрын

    Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu21 күн бұрын

    huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z20 күн бұрын

    Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile546221 күн бұрын

    Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein612421 күн бұрын

    Yanga oyeeeeee

  • @GodfreyHenryDaimon-yo6ix
    @GodfreyHenryDaimon-yo6ix21 күн бұрын

    Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂

  • @AzoryIgnas
    @AzoryIgnas20 күн бұрын

    Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione

  • @KelvinRobert-mn2mn
    @KelvinRobert-mn2mn20 күн бұрын

    Kama waipenda yanga weka like 👍

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq21 күн бұрын

    Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu72721 күн бұрын

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote

  • @ObeidPaul
    @ObeidPaul20 күн бұрын

    Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani780120 күн бұрын

    Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman21 күн бұрын

    Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove20 күн бұрын

    Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali

  • @abdulzanzibar7154
    @abdulzanzibar715420 күн бұрын

    Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo20 күн бұрын

    LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee

  • @BraytnessYese-j7h
    @BraytnessYese-j7h20 күн бұрын

    🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko

  • @BangutuErick
    @BangutuErick16 күн бұрын

    mungu ibariki yanga daim❤

  • @AziziKimbeJeradyJR
    @AziziKimbeJeradyJR21 күн бұрын

    Dream team

  • @massatujeli3158
    @massatujeli315821 күн бұрын

    Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis

  • @contempo_builders

    @contempo_builders

    21 күн бұрын

    Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.

  • @LilyKoba-wx2pj
    @LilyKoba-wx2pj20 күн бұрын

    Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi917121 күн бұрын

    😅😅😅kweli yanga ina sifa sana

  • @NasriAshel
    @NasriAshel21 күн бұрын

    we are going to be biggest club in Africa

  • @kateadam8204
    @kateadam820420 күн бұрын

    Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.

  • @FaridaMhagama-fc1kr
    @FaridaMhagama-fc1kr21 күн бұрын

    naipenda sana yanga

  • @Shadia544
    @Shadia54421 күн бұрын

    😂😂😂Mambo ni 🔥🔥🔥🔥

  • @rehemaothaman486
    @rehemaothaman48620 күн бұрын

    Naipenda sana yanga

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv21 күн бұрын

    WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x19 күн бұрын

    Allah atufanyie wpc

  • @Fabianfideltz
    @Fabianfideltz21 күн бұрын

    🎉🎉🎉 finally yetu

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo57720 күн бұрын

    Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m21 күн бұрын

    Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli

  • @MRJ1308
    @MRJ130821 күн бұрын

    Burundi tunaenda wote

  • @claratango9262
    @claratango926220 күн бұрын

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @MauBonde
    @MauBonde21 күн бұрын

    Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.

  • @lelasule2608
    @lelasule260821 күн бұрын

    💚💚💛💛

  • @calvinlyimo4703
    @calvinlyimo470321 күн бұрын

  • @priscairene4605
    @priscairene460521 күн бұрын

    Innshahrah

  • @AbdallahMussa-zl3wx
    @AbdallahMussa-zl3wx21 күн бұрын

    Wananchiii🎉🎉🎉🎉

  • @law93king
    @law93king20 күн бұрын

    aiseee yanga rahaaa sana

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu21 күн бұрын

    Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq20 күн бұрын

    mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela754120 күн бұрын

    Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢

  • @MasaiMasai-gt1rd
    @MasaiMasai-gt1rd20 күн бұрын

    I can't wait to see those three players

  • @ckevents3593
    @ckevents359321 күн бұрын

    Safi sana utatu mtakatifu

  • @NaftalyNgeze
    @NaftalyNgeze20 күн бұрын

    mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯

  • @patrickmallya4516
    @patrickmallya451621 күн бұрын

    my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi.... walah kuna watu watakufa...

  • @DamaIbra-gk4lr
    @DamaIbra-gk4lr19 күн бұрын

    Tumwombee chama akafanye vzr zaidi

  • @kanyeshahigirimana5686
    @kanyeshahigirimana568621 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @issahpaul4510
    @issahpaul451020 күн бұрын

    Watu walikua wanafananishwa wako timu moja sasa sijui watafananishwa na nani kwa wapinzani 😂 Aziz, Pakome, Max & Chama.

  • @user-yi1qp6qu4n
    @user-yi1qp6qu4n21 күн бұрын

    Kaz kaz

Келесі