Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa
@eliathomas8446
20 күн бұрын
Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥
@aishafranco105521 күн бұрын
Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍
@eliathomas8446
20 күн бұрын
Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo
@aishafranco1055
19 күн бұрын
@@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@BakariShabani-nf4rz21 күн бұрын
Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana
@jr_mkumbojr21 күн бұрын
Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉
@massatujeli3158
21 күн бұрын
Kabisa even 💚💚
@muddymuzungu4357
21 күн бұрын
I second you brother
@user-vi7ly9zh1q21 күн бұрын
Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚
@muddymuzungu4357
21 күн бұрын
In Shaa Allah utaenda kaka!
@RACHELATHANASIDAUDI
20 күн бұрын
Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥
@patridabernard914821 күн бұрын
Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen
@AfidhaAlfan21 күн бұрын
Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African
@naliakafatuma987021 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
@TausiKitundu21 күн бұрын
leo mimi wakwanza nipeni like zangu
@AberyMathias21 күн бұрын
Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi
@amaniomar175521 күн бұрын
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@user-vq5vn4gi9t21 күн бұрын
Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤
@frankfulgence21 күн бұрын
Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉
@lwzmangulu753221 күн бұрын
Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿
@johnjames-pw1dp21 күн бұрын
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@SamwelThomas-d1g
16 күн бұрын
And
@MasudiUledi21 күн бұрын
ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤
@ezrageofrey9668
21 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
@CHACKRYABDALA21 күн бұрын
Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@nickolassimion21 күн бұрын
Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.
@user-qn8mh2el2d21 күн бұрын
Naikubali sana yanga
@Sumaiyafisoo21 күн бұрын
Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia
@bongodata21 күн бұрын
Jamani njooni tuangalie bongo data
@dataduel100
21 күн бұрын
nimesubscribe
@foreveryu247
21 күн бұрын
nimesubscribe..kazi nzuri
@kinghuojlund-un2nb
21 күн бұрын
bongo data kazi nzuriiii
@hectorfunny
21 күн бұрын
vizuri data za uhakika
@Maddison-fp3nu
21 күн бұрын
noma sana
@paulhenry625321 күн бұрын
Yanga BINGWA
@ZarafiAlly20 күн бұрын
Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa
@martingodfrey710521 күн бұрын
Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani
@SadikYommary
21 күн бұрын
Hawa vitaloo watakula 5-0
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
Watakufa jumla home and away 7-1
@Pox_media21 күн бұрын
KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥
@husseinabdallahmkupulo178421 күн бұрын
Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii
@lynhwilbardruckachale4205
20 күн бұрын
Amina 🙏🙏
@godfreysimoni427021 күн бұрын
Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka
@comfortkitiwi287921 күн бұрын
Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.
@MasterG-dc1tx20 күн бұрын
I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@aishabakari804021 күн бұрын
Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢
@samychomakantastymela717521 күн бұрын
Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha
@filemonkwaja618120 күн бұрын
Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
@dannymkogoti96120 күн бұрын
ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮
@MosesWilliam-oh8tt21 күн бұрын
Injinia uish miaka mia😊
@rajabukamis941120 күн бұрын
Yanga ya moto 🔥🔥
@EliamgendaMasunga20 күн бұрын
I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤
@user-if2yf3gp6k21 күн бұрын
kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah
@Sumaiyafisoo21 күн бұрын
Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉
@JUU-lw2je21 күн бұрын
Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
Wewe ni KOLO WAHID BACCA ANA DHARURA KAUZWA WAPI??😢
@jamaldeenmakenga20 күн бұрын
Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅
@malietamaliet21 күн бұрын
😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei
@AllanAluma-ss8lb21 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life
@sabiyozeissa68921 күн бұрын
mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl
@goldmansun5859
16 күн бұрын
Hahah
@AbaidiiniNgweti21 күн бұрын
Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha
@jamesmartin7026
21 күн бұрын
Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂
@dkasfilmstudio464121 күн бұрын
Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢
@OkimasterO21 күн бұрын
Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu
@ezrageofrey966821 күн бұрын
nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤🔥
@allymtapera537021 күн бұрын
Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa
@JadonKuyokwa-oe7mp21 күн бұрын
Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥
@sabrinakassimu21 күн бұрын
huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥
@user-lm6wc8gw3z20 күн бұрын
Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl
@kabujeasukile546221 күн бұрын
Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛
@fihirishemaadihussein612421 күн бұрын
Yanga oyeeeeee
@GodfreyHenryDaimon-yo6ix21 күн бұрын
Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂
@AzoryIgnas20 күн бұрын
Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione
@KelvinRobert-mn2mn20 күн бұрын
Kama waipenda yanga weka like 👍
@JANE-jv4eq21 күн бұрын
Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉
@5googleuuu72721 күн бұрын
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
@ObeidPaul20 күн бұрын
Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛
@hamudshabani780120 күн бұрын
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
@ChidySuleiman21 күн бұрын
Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊
@Shebe_traLove20 күн бұрын
Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali
@abdulzanzibar715420 күн бұрын
Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉
@emmanuelchilimo20 күн бұрын
LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee
@BraytnessYese-j7h20 күн бұрын
🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko
@BangutuErick16 күн бұрын
mungu ibariki yanga daim❤
@AziziKimbeJeradyJR21 күн бұрын
Dream team
@massatujeli315821 күн бұрын
Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis
@contempo_builders
21 күн бұрын
Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.
@LilyKoba-wx2pj20 күн бұрын
Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa
@salemarahbi917121 күн бұрын
😅😅😅kweli yanga ina sifa sana
@NasriAshel21 күн бұрын
we are going to be biggest club in Africa
@kateadam820420 күн бұрын
Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.
@FaridaMhagama-fc1kr21 күн бұрын
naipenda sana yanga
@Shadia54421 күн бұрын
😂😂😂Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
@rehemaothaman48620 күн бұрын
Naipenda sana yanga
@KS-iw7qv21 күн бұрын
WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........
@user-hk4hk4gd5x19 күн бұрын
Allah atufanyie wpc
@Fabianfideltz21 күн бұрын
🎉🎉🎉 finally yetu
@meshacknyandongo57720 күн бұрын
Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana
@user-qo6bk1zs8m21 күн бұрын
Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli
@MRJ130821 күн бұрын
Burundi tunaenda wote
@claratango926220 күн бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@MauBonde21 күн бұрын
Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.
@lelasule260821 күн бұрын
💚💚💛💛
@calvinlyimo470321 күн бұрын
❤
@priscairene460521 күн бұрын
Innshahrah
@AbdallahMussa-zl3wx21 күн бұрын
Wananchiii🎉🎉🎉🎉
@law93king20 күн бұрын
aiseee yanga rahaaa sana
@AbdulysuleimanShemashilu21 күн бұрын
Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze
@MtashobyaJosia-wt9jq20 күн бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho
@mwajumampokileomckapela754120 күн бұрын
Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢
@MasaiMasai-gt1rd20 күн бұрын
I can't wait to see those three players
@ckevents359321 күн бұрын
Safi sana utatu mtakatifu
@NaftalyNgeze20 күн бұрын
mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯
@patrickmallya451621 күн бұрын
my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi.... walah kuna watu watakufa...
@DamaIbra-gk4lr19 күн бұрын
Tumwombee chama akafanye vzr zaidi
@kanyeshahigirimana568621 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@issahpaul451020 күн бұрын
Watu walikua wanafananishwa wako timu moja sasa sijui watafananishwa na nani kwa wapinzani 😂 Aziz, Pakome, Max & Chama.
Пікірлер: 319
Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa
@eliathomas8446
20 күн бұрын
Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥
Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍
@eliathomas8446
20 күн бұрын
Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo
@aishafranco1055
19 күн бұрын
@@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana
Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉
@massatujeli3158
21 күн бұрын
Kabisa even 💚💚
@muddymuzungu4357
21 күн бұрын
I second you brother
Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚
@muddymuzungu4357
21 күн бұрын
In Shaa Allah utaenda kaka!
@RACHELATHANASIDAUDI
20 күн бұрын
Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥
Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen
Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African
MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
leo mimi wakwanza nipeni like zangu
Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤
Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉
Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@SamwelThomas-d1g
16 күн бұрын
And
ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤
@ezrageofrey9668
21 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.
Naikubali sana yanga
Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia
Jamani njooni tuangalie bongo data
@dataduel100
21 күн бұрын
nimesubscribe
@foreveryu247
21 күн бұрын
nimesubscribe..kazi nzuri
@kinghuojlund-un2nb
21 күн бұрын
bongo data kazi nzuriiii
@hectorfunny
21 күн бұрын
vizuri data za uhakika
@Maddison-fp3nu
21 күн бұрын
noma sana
Yanga BINGWA
Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa
Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani
@SadikYommary
21 күн бұрын
Hawa vitaloo watakula 5-0
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
Watakufa jumla home and away 7-1
KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥
Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii
@lynhwilbardruckachale4205
20 күн бұрын
Amina 🙏🙏
Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka
Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.
I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢
Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha
Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮
Injinia uish miaka mia😊
Yanga ya moto 🔥🔥
I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤
kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah
Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉
Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza
@muddymuzungu4357
20 күн бұрын
Wewe ni KOLO WAHID BACCA ANA DHARURA KAUZWA WAPI??😢
Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅
😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei
Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life
mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl
@goldmansun5859
16 күн бұрын
Hahah
Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha
@jamesmartin7026
21 күн бұрын
Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂
Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢
Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu
nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤🔥
Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa
Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥
huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥
Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl
Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛
Yanga oyeeeeee
Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂
Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione
Kama waipenda yanga weka like 👍
Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊
Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali
Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉
LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee
🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko
mungu ibariki yanga daim❤
Dream team
Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis
@contempo_builders
21 күн бұрын
Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.
Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa
😅😅😅kweli yanga ina sifa sana
we are going to be biggest club in Africa
Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.
naipenda sana yanga
😂😂😂Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Naipenda sana yanga
WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........
Allah atufanyie wpc
🎉🎉🎉 finally yetu
Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana
Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli
Burundi tunaenda wote
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.
💚💚💛💛
❤
Innshahrah
Wananchiii🎉🎉🎉🎉
aiseee yanga rahaaa sana
Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho
Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢
I can't wait to see those three players
Safi sana utatu mtakatifu
mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯
my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi.... walah kuna watu watakufa...
Tumwombee chama akafanye vzr zaidi
Daima mbele nyuma mwiko
Watu walikua wanafananishwa wako timu moja sasa sijui watafananishwa na nani kwa wapinzani 😂 Aziz, Pakome, Max & Chama.
Kaz kaz