MIZUKA YA PACOME 🙌 LIGI IANZE TU! ONA TIZI LAKE HAPA AKIJIFUA BILA KUCHOKA

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #Pacome

Пікірлер: 99

  • @patridabernard9148
    @patridabernard914826 күн бұрын

    Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton893926 күн бұрын

    NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9b26 күн бұрын

    All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿

  • @user-ok3bc8of5q
    @user-ok3bc8of5q26 күн бұрын

    Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you

  • @veelmng7746
    @veelmng774626 күн бұрын

    Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.

  • @hashimkakozi7752
    @hashimkakozi775226 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    26 күн бұрын

    Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana

  • @Carolina-sm5zt

    @Carolina-sm5zt

    26 күн бұрын

    Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉

  • @josephathmeijo8094

    @josephathmeijo8094

    26 күн бұрын

    Umeupiga mwingi sana😂

  • @slimmuhabesh2400

    @slimmuhabesh2400

    26 күн бұрын

    Safi sana

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt26 күн бұрын

    Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua

  • @imanikubwa2896
    @imanikubwa289626 күн бұрын

    Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa Halafu awe vizuri kiakili na kimwili

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge528526 күн бұрын

    Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu

  • @GodwiniFwelo
    @GodwiniFwelo26 күн бұрын

    Hadi raha

  • @faridaamenye8405
    @faridaamenye840526 күн бұрын

    Daah napenda sana timu yangu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175526 күн бұрын

    Zidane wa Africa 🎉🎉🎉

  • @user-yh5bg5ds7k
    @user-yh5bg5ds7k26 күн бұрын

    My team 💚💛💚💛

  • @user-he7ke4vh2b
    @user-he7ke4vh2b26 күн бұрын

    Timu kubwa mambo makubwa

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno625526 күн бұрын

    🔥🔥🔰🔰 Professor pacome

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew235625 күн бұрын

    Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani138326 күн бұрын

    Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉

  • @danyboytz2744
    @danyboytz274426 күн бұрын

    Pacome 💚💛💯

  • @Allyjully98
    @Allyjully9826 күн бұрын

    Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics26 күн бұрын

    Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao

  • @adolfmathew9698

    @adolfmathew9698

    26 күн бұрын

    Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri

  • @ceciliadaudi1632

    @ceciliadaudi1632

    26 күн бұрын

    Surely 🎉🎉🎉🎉

  • @kanyeshahigirimana5686

    @kanyeshahigirimana5686

    26 күн бұрын

    Inshaallah Amin na iwe hivyo

  • @user-ue1xd9rv8p
    @user-ue1xd9rv8p25 күн бұрын

    Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew235625 күн бұрын

    Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu

  • @AbbasPuyaga
    @AbbasPuyaga26 күн бұрын

    YANGA FIRE 🔥

  • @aishabakari8040
    @aishabakari804026 күн бұрын

    ROHO ❤️

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma987026 күн бұрын

    Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam86026 күн бұрын

    Prof

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Aziiz 🎉🎉🎉

  • @kelvinshao2888
    @kelvinshao288826 күн бұрын

    let's go

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme605926 күн бұрын

    Alafu eti kambi Misiri ya nini.

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo26 күн бұрын

    Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga

  • @bongodata
    @bongodata26 күн бұрын

    Njooni Tuangalie Bonog Data

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo529026 күн бұрын

    All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi999226 күн бұрын

    Love you yangasc💚💚💛💛🔰

  • @revocatusandrew2356
    @revocatusandrew235625 күн бұрын

    We love u man

  • @patridabernard9148
    @patridabernard914826 күн бұрын

    Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya225426 күн бұрын

    Atawamalizaaaa

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b26 күн бұрын

    Muda wa kazi

  • @malietamaliet
    @malietamaliet26 күн бұрын

    😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya

  • @Enock-sy2en

    @Enock-sy2en

    26 күн бұрын

    Acha maswal ya kijinga ww

  • @MirumbeMarwa-eo2yl

    @MirumbeMarwa-eo2yl

    26 күн бұрын

    Kama huna Cha kusema unakaa kimy

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo

    @FirdausyAbubakary-bl2wo

    26 күн бұрын

    ​@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂

  • @malietamaliet

    @malietamaliet

    26 күн бұрын

    @@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako

  • @malietamaliet

    @malietamaliet

    26 күн бұрын

    @@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana

  • @user-lz1dw3dm5g
    @user-lz1dw3dm5g26 күн бұрын

    Tuwaombee sanaa wachezaji wetu

  • @richardmaziku246
    @richardmaziku24626 күн бұрын

    Mpenii no 6 ..auu 11

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy473725 күн бұрын

    Yanga 🔥🔥

  • @apolnaryjohn92
    @apolnaryjohn9226 күн бұрын

    Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Max🎉🎉🎉🎉

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian26 күн бұрын

    Munataka wasilete timu😮

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Sure boy🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Nkane🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Pacome 🎉🎉🎉

  • @DittoAlly-er5yz
    @DittoAlly-er5yz26 күн бұрын

    Yanga raha sanaaa

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo26 күн бұрын

    Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile

  • @user-lz1dw3dm5g
    @user-lz1dw3dm5g26 күн бұрын

    Wawooooo

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Kibabage🎉🎉🎉🎉

  • @elikindomondo3569
    @elikindomondo356925 күн бұрын

    💚💚💚💚💚💚

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Muda🎉🎉

  • @fabianmwinuka1395
    @fabianmwinuka139525 күн бұрын

    Acha vyuma viongee

  • @DatyVena-ph3sz
    @DatyVena-ph3sz26 күн бұрын

    el professor

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo26 күн бұрын

    Farid🎉🎉🎉🎉

  • @RozaliaStanslausRaphael-zw7zj
    @RozaliaStanslausRaphael-zw7zj26 күн бұрын

    Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui

  • @allysinde6208
    @allysinde620826 күн бұрын

    Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca.. Halaf Bacca mwenyewe haionekani.. Kulikoni jamaniii.. Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢

  • @zakiakondo2849

    @zakiakondo2849

    26 күн бұрын

    Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako

  • @jovinmashauri7883

    @jovinmashauri7883

    26 күн бұрын

    tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba

  • @RehemaDavid-f2l

    @RehemaDavid-f2l

    26 күн бұрын

    Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo

  • @AntonyNdayanse
    @AntonyNdayanse26 күн бұрын

    Tukutane 8 8

  • @onesmomnyeke3477
    @onesmomnyeke347726 күн бұрын

    Aucho yupo wapi

  • @paulclementmakune3661

    @paulclementmakune3661

    26 күн бұрын

    Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot

  • @onesmomnyeke3477

    @onesmomnyeke3477

    26 күн бұрын

    Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point

  • @Carolina-sm5zt

    @Carolina-sm5zt

    26 күн бұрын

    Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu

  • @zakiakondo2849

    @zakiakondo2849

    26 күн бұрын

    Kalipieni app maswali humu hayasaidii

  • @zakiakondo2849

    @zakiakondo2849

    26 күн бұрын

    ​@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa

  • @FrankMlaponi-hz4ns
    @FrankMlaponi-hz4ns26 күн бұрын

    Vitaro wameyatimba

  • @user-pw6rn5jn2q
    @user-pw6rn5jn2q26 күн бұрын

    Mabingwa wa kila muda

  • @kmuhema2021kmuhema
    @kmuhema2021kmuhema25 күн бұрын

    aaaa

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface119926 күн бұрын

    Ipo siku jitu litakufa 8-0

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu435726 күн бұрын

    Wananchi! İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏

  • @zakiakondo2849

    @zakiakondo2849

    26 күн бұрын

    Nenda kwenye app

  • @zakiakondo2849

    @zakiakondo2849

    26 күн бұрын

    App lipia kaka

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    25 күн бұрын

    @@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu! Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO

  • @user-yh7bn1jg9o
    @user-yh7bn1jg9o25 күн бұрын

    Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome596426 күн бұрын

    Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?

  • @user-ue1xd9rv8p
    @user-ue1xd9rv8p25 күн бұрын

    Mnona Baka aonekani na msonda kulikoni

  • @chollejr_
    @chollejr_25 күн бұрын

    Alaf aje aguswe mtu mseme faulo

Келесі