Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen
@patricklaiton893926 күн бұрын
NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE
@user-cv4yi5hz9b26 күн бұрын
All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿
@user-ok3bc8of5q26 күн бұрын
Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you
@veelmng774626 күн бұрын
Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.
@hashimkakozi775226 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima
@amaniomar1755
26 күн бұрын
Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana
@Carolina-sm5zt
26 күн бұрын
Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉
@josephathmeijo8094
26 күн бұрын
Umeupiga mwingi sana😂
@slimmuhabesh2400
26 күн бұрын
Safi sana
@Carolina-sm5zt26 күн бұрын
Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua
@imanikubwa289626 күн бұрын
Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa Halafu awe vizuri kiakili na kimwili
@barakawabuge528526 күн бұрын
Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu
@GodwiniFwelo26 күн бұрын
Hadi raha
@faridaamenye840526 күн бұрын
Daah napenda sana timu yangu
@amaniomar175526 күн бұрын
Zidane wa Africa 🎉🎉🎉
@user-yh5bg5ds7k26 күн бұрын
My team 💚💛💚💛
@user-he7ke4vh2b26 күн бұрын
Timu kubwa mambo makubwa
@andersonbruno625526 күн бұрын
🔥🔥🔰🔰 Professor pacome
@revocatusandrew235625 күн бұрын
Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda
@cynthiapwani138326 күн бұрын
Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉
@danyboytz274426 күн бұрын
Pacome 💚💛💯
@Allyjully9826 күн бұрын
Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂
@MoajGraphics26 күн бұрын
Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao
@adolfmathew9698
26 күн бұрын
Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri
@ceciliadaudi1632
26 күн бұрын
Surely 🎉🎉🎉🎉
@kanyeshahigirimana5686
26 күн бұрын
Inshaallah Amin na iwe hivyo
@user-ue1xd9rv8p25 күн бұрын
Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote
@revocatusandrew235625 күн бұрын
Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu
@AbbasPuyaga26 күн бұрын
YANGA FIRE 🔥
@aishabakari804026 күн бұрын
ROHO ❤️
@naliakafatuma987026 күн бұрын
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@stapinuswilliam86026 күн бұрын
Prof
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Aziiz 🎉🎉🎉
@kelvinshao288826 күн бұрын
let's go
@bakariomarimndeme605926 күн бұрын
Alafu eti kambi Misiri ya nini.
@ShafiiHungo26 күн бұрын
Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga
@bongodata26 күн бұрын
Njooni Tuangalie Bonog Data
@kassimchuo529026 күн бұрын
All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa
@ntakakasendebayi999226 күн бұрын
Love you yangasc💚💚💛💛🔰
@revocatusandrew235625 күн бұрын
We love u man
@patridabernard914826 күн бұрын
Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia
@sofiamsuya225426 күн бұрын
Atawamalizaaaa
@user-ql2hc7zt6b26 күн бұрын
Muda wa kazi
@malietamaliet26 күн бұрын
😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya
@Enock-sy2en
26 күн бұрын
Acha maswal ya kijinga ww
@MirumbeMarwa-eo2yl
26 күн бұрын
Kama huna Cha kusema unakaa kimy
@FirdausyAbubakary-bl2wo
26 күн бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂
@malietamaliet
26 күн бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako
@malietamaliet
26 күн бұрын
@@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana
@user-lz1dw3dm5g26 күн бұрын
Tuwaombee sanaa wachezaji wetu
@richardmaziku24626 күн бұрын
Mpenii no 6 ..auu 11
@barikilangoy473725 күн бұрын
Yanga 🔥🔥
@apolnaryjohn9226 күн бұрын
Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Max🎉🎉🎉🎉
@Adrianolaurian26 күн бұрын
Munataka wasilete timu😮
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Sure boy🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Nkane🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Pacome 🎉🎉🎉
@DittoAlly-er5yz26 күн бұрын
Yanga raha sanaaa
@ShafiiHungo26 күн бұрын
Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile
@user-lz1dw3dm5g26 күн бұрын
Wawooooo
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Kibabage🎉🎉🎉🎉
@elikindomondo356925 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Muda🎉🎉
@fabianmwinuka139525 күн бұрын
Acha vyuma viongee
@DatyVena-ph3sz26 күн бұрын
el professor
@Sumaiyafisoo26 күн бұрын
Farid🎉🎉🎉🎉
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj26 күн бұрын
Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui
@allysinde620826 күн бұрын
Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca.. Halaf Bacca mwenyewe haionekani.. Kulikoni jamaniii.. Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako
@jovinmashauri7883
26 күн бұрын
tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba
@RehemaDavid-f2l
26 күн бұрын
Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo
@AntonyNdayanse26 күн бұрын
Tukutane 8 8
@onesmomnyeke347726 күн бұрын
Aucho yupo wapi
@paulclementmakune3661
26 күн бұрын
Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot
@onesmomnyeke3477
26 күн бұрын
Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point
@Carolina-sm5zt
26 күн бұрын
Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Kalipieni app maswali humu hayasaidii
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa
@FrankMlaponi-hz4ns26 күн бұрын
Vitaro wameyatimba
@user-pw6rn5jn2q26 күн бұрын
Mabingwa wa kila muda
@kmuhema2021kmuhema25 күн бұрын
aaaa
@pambaboniface119926 күн бұрын
Ipo siku jitu litakufa 8-0
@muddymuzungu435726 күн бұрын
Wananchi! İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Nenda kwenye app
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
App lipia kaka
@muddymuzungu4357
25 күн бұрын
@@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu! Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO
@user-yh7bn1jg9o25 күн бұрын
Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini
@mhinajerome596426 күн бұрын
Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?
Пікірлер: 99
Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen
NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE
All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿
Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you
Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.
Daima mbele nyuma mwiko Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima
@amaniomar1755
26 күн бұрын
Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana
@Carolina-sm5zt
26 күн бұрын
Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉
@josephathmeijo8094
26 күн бұрын
Umeupiga mwingi sana😂
@slimmuhabesh2400
26 күн бұрын
Safi sana
Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua
Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa Halafu awe vizuri kiakili na kimwili
Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu
Hadi raha
Daah napenda sana timu yangu
Zidane wa Africa 🎉🎉🎉
My team 💚💛💚💛
Timu kubwa mambo makubwa
🔥🔥🔰🔰 Professor pacome
Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda
Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉
Pacome 💚💛💯
Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂
Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao
@adolfmathew9698
26 күн бұрын
Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri
@ceciliadaudi1632
26 күн бұрын
Surely 🎉🎉🎉🎉
@kanyeshahigirimana5686
26 күн бұрын
Inshaallah Amin na iwe hivyo
Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote
Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu
YANGA FIRE 🔥
ROHO ❤️
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Prof
Aziiz 🎉🎉🎉
let's go
Alafu eti kambi Misiri ya nini.
Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga
Njooni Tuangalie Bonog Data
All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa
Love you yangasc💚💚💛💛🔰
We love u man
Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia
Atawamalizaaaa
Muda wa kazi
😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya
@Enock-sy2en
26 күн бұрын
Acha maswal ya kijinga ww
@MirumbeMarwa-eo2yl
26 күн бұрын
Kama huna Cha kusema unakaa kimy
@FirdausyAbubakary-bl2wo
26 күн бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂
@malietamaliet
26 күн бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako
@malietamaliet
26 күн бұрын
@@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana
Tuwaombee sanaa wachezaji wetu
Mpenii no 6 ..auu 11
Yanga 🔥🔥
Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂
Max🎉🎉🎉🎉
Munataka wasilete timu😮
Sure boy🎉🎉🎉🎉
Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nkane🎉🎉🎉🎉🎉
Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pacome 🎉🎉🎉
Yanga raha sanaaa
Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile
Wawooooo
Kibabage🎉🎉🎉🎉
💚💚💚💚💚💚
Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Muda🎉🎉
Acha vyuma viongee
el professor
Farid🎉🎉🎉🎉
Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui
Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca.. Halaf Bacca mwenyewe haionekani.. Kulikoni jamaniii.. Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako
@jovinmashauri7883
26 күн бұрын
tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba
@RehemaDavid-f2l
26 күн бұрын
Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo
Tukutane 8 8
Aucho yupo wapi
@paulclementmakune3661
26 күн бұрын
Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot
@onesmomnyeke3477
26 күн бұрын
Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point
@Carolina-sm5zt
26 күн бұрын
Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Kalipieni app maswali humu hayasaidii
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa
Vitaro wameyatimba
Mabingwa wa kila muda
aaaa
Ipo siku jitu litakufa 8-0
Wananchi! İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Nenda kwenye app
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
App lipia kaka
@muddymuzungu4357
25 күн бұрын
@@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu! Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO
Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini
Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?
Mnona Baka aonekani na msonda kulikoni
Alaf aje aguswe mtu mseme faulo