JUA NAMNA YA KUVUKA VIZUIZI - PASTOR SUNBELLA KYANDO & PASTOR JOHN SEMBATWA
Yoshua 6:2
[2]BWANA akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake.
Wakati Mungu anampa Yoshua maelekezo haya walikuwa bado hawajaingia Yeriko,lakini Mungu anamwambia kuwa ameshautia mji wa Yeriko katika mikono ya Yoshua.Watu wengi huwa tunaishia kusikiliza tu Mungu anasema nini juu ya maisha yetu na hatutafuti kwake kujua anataka tufanye nini ili tuweze kuona matokeo ya alichokisema.
Baada ya kumwambia Yoshua hivi anampa maelekezo juu ya kuuzunguka ukuta kwa siku Saba na kisha kushangilia siku ya Saba na ukuta utaanguka.
Safari ya kuuzunguka mji huwa sio rahisi kuna wakati unachoka.Ni kama ambavyo unaomba sana lakini matokeo huoni maana hata ukuta haukuanguka siku hiyohiyo.Siku ambapo ukuta unatakiwa kuanguka(siku ya Saba) walitakiwa kuuzunguka mara saba.Ni siku ambayo walichoka zaidi na waliumia zaidi lakini katikati ya uchovu na maumivu ndimo ulimokuwa ushindi wao.
Unaweza ukawa unaomba sana lakini huoni matokeo,na kadri unavyoomba ndivyo ambavyo vitu vinazidi kuwa vigumu.Usikate tamaa maana ndio upo kwenye mzunguko siku ya saba,ushindi wako unakaribia.Umezunguka siku sita zote,usikate tamaa siku ya saba.
Katika ibada hii Mungu kupitia Mtumishi wake Pastor Sunbella Kyando ametufundisha sana juu ya kuanguka kwa ukuta wa Yeriko,kisha tukaingia katika maombezi ambayo yaliongozwa na Watumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando pamoja na Pastor John Sembatwa na Mungu alithibitisha Neno lake kwa ukubwa sana.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
Пікірлер: 77
❤Yesu ni mwema
Nisaidie Mungu wangu
Amen
Hakika Mungu anakutumia endelea kutuudumia nabarikiwa sana na mafundisho yako 🙏
Asante mtumishi kwa somo nzuri Mungu akubariki
Amen mtumishi
Nabarikiwa sana, Minister asante
Amen I receive it 🙏🙏
Sauti ipo chini sana
Ubarikiwe Pst!.. Somo hili limekuja kwa wasaa mzuri kwangu na naamini ni Roho wa Mungu ametaka aseme na Mimi. Nimelisikiliza Jumamosi ya Jana ya tar. 10/7 kwa Pst. Sanbella na Jumapili Leo ya tar. 11/7 Mchungaji wangu (Kanisani) amelifundisha nae na nikamshangaa Mungu sana.. Ndio nimepata kufahamu linapatikana toka Commentary ya Matthew Henry na Dake Study Bible.. Barikiwa sana!..
Yesu naomba univushe katika Kila vizuizi vinavyonizuia nisimiliki vilivyo vyangu ndoa,uchumi na elimu 🙏
Najiungamanisha na madhabau ya hii napokea na mm
ameeen mtumishi wa mokozi nabarikiwa kutoka dodoma mjini Mimi umenigusa Moja Kwa moja na somohili
Napokea Neema ya uongozi katika jina la yesu
Napokea kwa jina la Yesu
Nimependa hizo tips
Natamani kujua na kuelewa SoMo.hili, Mungu unisaidie na uniwezeshe,Mungu nivushe kwa Damu ya Yesu, 🙏
Naomba Mungu anivukishe vifungo vyangu vyote chini ya sauti yako mtumishi wa Mungu
Amen MUNGU azidi kukuongeza katika maarifa zaidi ya yake
Asante sana mcungaji ubarikiwe.
oooh yesu 😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🙏🙏niko hapa mm mwanao nazunguka ukuta ni kizubiri siku ya saba naomba ukuta ukavunjika kwa jila la yesu maana kuna Yusufu ndani yangu ooooh 😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🧎♂️🧎♂️🧎♂️🧎♂️niperoho ya uvumilivu ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho haya umeni gusa moyo wangu
Amina
Ubarikiwe mtunishi
Nakubari sana mtumishi wa Mungu hakika nafurahi Sana kukufaham
AMEN
Asante baba mchungaji tunabarikiwa
Ameen,na barikiwa zaidi mtumishi
Amen. Amen. Amen.
Wahoo Maubili ya kipekee,nimebarikiwa,🙏🙏
Baba mungu akubaliki sanaaaa Kwa somo Zuli akika mungu anaweza
Ameeeeeeeeeeeen man of God
Amen🙏naomba nipate Kibali kwa Mungu niudhurie tena Ibada.nilishakuja mara moja na nikabarikiwa sana siwezi kusahau ile jumamosi ya miaka zaidi ya 4 iliyopita,Asante sana Mtumishi
Ameeen nashukuru ubarikiwe mtumishi wa Mungu ubarikiwe
Ameen
Asante mwana wa mungu Barikiwa baba 🙏🙏
Asante Mtumishi, Ibada Imenibariki sana
Ameni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
am blessed with the messages
🙏🙏🙏🙏
Asante sana eee YESU nisaidie nimalize hili agano lako vizuri
I receive special anointing in all areas of my life
Asante sana. Am blessed much servant of God🙏🙏
Amen Amen Amen...,you re a great teacher of the word of God i our days!In every single teaching I can hear God speaks to me!!!Many blessings and long life Dear Paster.
Amen man of God 🙏
🙏🏾 Amen
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Plz msiweke matangazo katikati ya mahuburi yanatudustract
Amin
ASANTE YESU KRISTO UMEANGUSHA KUTA
Ameen Barikiwa mtumishi
Glória
Amen and Amen!!!!
I bless the name of Jesus christ for letting me know pastor sunbella, your sermon really bless me.
Thanks God
🙏
I begun listening to you thus month as I started asking many que in my life...Thankyou for being God's mouthpiece to answer my que with great power of demonstration
@johnwilbard8326
2 жыл бұрын
Asante Mungu kupitia mtumishiwako leo umenifaamisha nafasi yangu uliyo niitia katikafamilia na ninahamini yeriko iliyakuwa inazuia kufikia atima yangu imeanguka kwakuzunguka malasaba kitanda changu Kama ukuta imeanguka ktk jina la YESU
Nitotoleke Kwa Nina LA YESU hamuna ukingo wala ukuta utanizuia
@thomaspapy3519
2 жыл бұрын
Amen Amen Amen
🔥🔥🔥🙌🙏
@rebeccafjumathankssomuchgo8243
3 жыл бұрын
Amen past and shallom,
Masomo mazuri ningeshauri mafundi Mitambo waki upload youtube wahakikishe sauti inakuwa ya kutosha. Nawapenda sana.
Powerful speech Mungu nijarie kupitia YESU njia yangu
@samuelkoina9468
3 жыл бұрын
God be glorified
🙏🏽🙏🏽
NAAMINI NAPOKEA UTUKUFU HUU KATIKA JINA LA YESU KRISTO
Jina la bwana libarikiwe....naomba anaeweka maandiko ya biblia ajaribu kukuza fonts
Shalom Mtumishi... Hili kanisa lipo Dar sehemu gani?
@ledamussa30
3 жыл бұрын
Lipo Sinza Mori karibia na Tamwa, huku maeneo ya kwa LA chaz
@realityofchristchurch
3 жыл бұрын
Kanisa lipo Sinza mori 0657173322
Amen
@ambelembogela7254
2 жыл бұрын
Thank you man of God
Amenii
🙏
Amen