JUA NAMNA YA KUVUKA VIZUIZI - PASTOR SUNBELLA KYANDO & PASTOR JOHN SEMBATWA

Yoshua 6:2
[2]BWANA akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake.
Wakati Mungu anampa Yoshua maelekezo haya walikuwa bado hawajaingia Yeriko,lakini Mungu anamwambia kuwa ameshautia mji wa Yeriko katika mikono ya Yoshua.Watu wengi huwa tunaishia kusikiliza tu Mungu anasema nini juu ya maisha yetu na hatutafuti kwake kujua anataka tufanye nini ili tuweze kuona matokeo ya alichokisema.
Baada ya kumwambia Yoshua hivi anampa maelekezo juu ya kuuzunguka ukuta kwa siku Saba na kisha kushangilia siku ya Saba na ukuta utaanguka.
Safari ya kuuzunguka mji huwa sio rahisi kuna wakati unachoka.Ni kama ambavyo unaomba sana lakini matokeo huoni maana hata ukuta haukuanguka siku hiyohiyo.Siku ambapo ukuta unatakiwa kuanguka(siku ya Saba) walitakiwa kuuzunguka mara saba.Ni siku ambayo walichoka zaidi na waliumia zaidi lakini katikati ya uchovu na maumivu ndimo ulimokuwa ushindi wao.
Unaweza ukawa unaomba sana lakini huoni matokeo,na kadri unavyoomba ndivyo ambavyo vitu vinazidi kuwa vigumu.Usikate tamaa maana ndio upo kwenye mzunguko siku ya saba,ushindi wako unakaribia.Umezunguka siku sita zote,usikate tamaa siku ya saba.
Katika ibada hii Mungu kupitia Mtumishi wake Pastor Sunbella Kyando ametufundisha sana juu ya kuanguka kwa ukuta wa Yeriko,kisha tukaingia katika maombezi ambayo yaliongozwa na Watumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando pamoja na Pastor John Sembatwa na Mungu alithibitisha Neno lake kwa ukubwa sana.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz

Пікірлер: 77

  • @JumanneAlly-p6e
    @JumanneAlly-p6e6 күн бұрын

    ❤Yesu ni mwema

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Жыл бұрын

    Nisaidie Mungu wangu

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 Жыл бұрын

    Amen

  • @joycejoseph7110
    @joycejoseph7110 Жыл бұрын

    Hakika Mungu anakutumia endelea kutuudumia nabarikiwa sana na mafundisho yako 🙏

  • @rusiwadonatrusi3603
    @rusiwadonatrusi36032 жыл бұрын

    Asante mtumishi kwa somo nzuri Mungu akubariki

  • @petermunuo1657
    @petermunuo16572 жыл бұрын

    Amen mtumishi

  • @jeanclaudeniyonkuru5889
    @jeanclaudeniyonkuru58892 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana, Minister asante

  • @emmanuelbernard8628
    @emmanuelbernard86283 жыл бұрын

    Amen I receive it 🙏🙏

  • @dicksonmagari8803
    @dicksonmagari88032 жыл бұрын

    Sauti ipo chini sana

  • @peninaancon1256
    @peninaancon12563 жыл бұрын

    Ubarikiwe Pst!.. Somo hili limekuja kwa wasaa mzuri kwangu na naamini ni Roho wa Mungu ametaka aseme na Mimi. Nimelisikiliza Jumamosi ya Jana ya tar. 10/7 kwa Pst. Sanbella na Jumapili Leo ya tar. 11/7 Mchungaji wangu (Kanisani) amelifundisha nae na nikamshangaa Mungu sana.. Ndio nimepata kufahamu linapatikana toka Commentary ya Matthew Henry na Dake Study Bible.. Barikiwa sana!..

  • @gladysiame
    @gladysiame11 ай бұрын

    Yesu naomba univushe katika Kila vizuizi vinavyonizuia nisimiliki vilivyo vyangu ndoa,uchumi na elimu 🙏

  • @florencendatila9183
    @florencendatila91833 жыл бұрын

    Najiungamanisha na madhabau ya hii napokea na mm

  • @meshackmanofgod8151
    @meshackmanofgod8151 Жыл бұрын

    ameeen mtumishi wa mokozi nabarikiwa kutoka dodoma mjini Mimi umenigusa Moja Kwa moja na somohili

  • @linetluvisia18
    @linetluvisia182 жыл бұрын

    Napokea Neema ya uongozi katika jina la yesu

  • @neemaloy889
    @neemaloy8892 жыл бұрын

    Napokea kwa jina la Yesu

  • @irenenanjendo7859
    @irenenanjendo7859 Жыл бұрын

    Nimependa hizo tips

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Жыл бұрын

    Natamani kujua na kuelewa SoMo.hili, Mungu unisaidie na uniwezeshe,Mungu nivushe kwa Damu ya Yesu, 🙏

  • @demarianiccky5812
    @demarianiccky58122 жыл бұрын

    Naomba Mungu anivukishe vifungo vyangu vyote chini ya sauti yako mtumishi wa Mungu

  • @IreneNdomi
    @IreneNdomi Жыл бұрын

    Amen MUNGU azidi kukuongeza katika maarifa zaidi ya yake

  • @murekatetegermaine6559
    @murekatetegermaine65592 жыл бұрын

    Asante sana mcungaji ubarikiwe.

  • @emmasidi9446
    @emmasidi94462 жыл бұрын

    oooh yesu 😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🙏🙏niko hapa mm mwanao nazunguka ukuta ni kizubiri siku ya saba naomba ukuta ukavunjika kwa jila la yesu maana kuna Yusufu ndani yangu ooooh 😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️niperoho ya uvumilivu ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho haya umeni gusa moyo wangu

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame17413 жыл бұрын

    Amina

  • @fatemabahlool4357
    @fatemabahlool43573 жыл бұрын

    Ubarikiwe mtunishi

  • @jefrineliaselias691
    @jefrineliaselias691 Жыл бұрын

    Nakubari sana mtumishi wa Mungu hakika nafurahi Sana kukufaham

  • @jamesoseko6245
    @jamesoseko62452 жыл бұрын

    AMEN

  • @phabianmathew9484
    @phabianmathew94843 жыл бұрын

    Asante baba mchungaji tunabarikiwa

  • @mildredwekesa5844
    @mildredwekesa58442 жыл бұрын

    Ameen,na barikiwa zaidi mtumishi

  • @josephinetumaleo8182
    @josephinetumaleo8182 Жыл бұрын

    Amen. Amen. Amen.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Жыл бұрын

    Wahoo Maubili ya kipekee,nimebarikiwa,🙏🙏

  • @miraclemoses2327
    @miraclemoses23272 жыл бұрын

    Baba mungu akubaliki sanaaaa Kwa somo Zuli akika mungu anaweza

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Жыл бұрын

    Ameeeeeeeeeeeen man of God

  • @paulashuma3042
    @paulashuma30422 жыл бұрын

    Amen🙏naomba nipate Kibali kwa Mungu niudhurie tena Ibada.nilishakuja mara moja na nikabarikiwa sana siwezi kusahau ile jumamosi ya miaka zaidi ya 4 iliyopita,Asante sana Mtumishi

  • @lucianaemilyo9545
    @lucianaemilyo95452 жыл бұрын

    Ameeen nashukuru ubarikiwe mtumishi wa Mungu ubarikiwe

  • @philipojangama
    @philipojangama3 жыл бұрын

    Ameen

  • @miraclemoses2327
    @miraclemoses23272 жыл бұрын

    Asante mwana wa mungu Barikiwa baba 🙏🙏

  • @doreenminja291
    @doreenminja2913 жыл бұрын

    Asante Mtumishi, Ibada Imenibariki sana

  • @miraclemoses2327
    @miraclemoses23272 жыл бұрын

    Ameni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @danstonecool1734
    @danstonecool17343 жыл бұрын

    am blessed with the messages

  • @buchardntare8616
    @buchardntare86162 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa79143 жыл бұрын

    Asante sana eee YESU nisaidie nimalize hili agano lako vizuri

  • @linetluvisia18
    @linetluvisia182 жыл бұрын

    I receive special anointing in all areas of my life

  • @mercykimani9741
    @mercykimani97412 жыл бұрын

    Asante sana. Am blessed much servant of God🙏🙏

  • @Godisgreat20243
    @Godisgreat202432 жыл бұрын

    Amen Amen Amen...,you re a great teacher of the word of God i our days!In every single teaching I can hear God speaks to me!!!Many blessings and long life Dear Paster.

  • @emmanuelwith1812
    @emmanuelwith1812 Жыл бұрын

    Amen man of God 🙏

  • @francksindano9582
    @francksindano95822 жыл бұрын

    🙏🏾 Amen

  • @elizabethrichard5185
    @elizabethrichard51853 жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @edsonnelson4933
    @edsonnelson49332 жыл бұрын

    Plz msiweke matangazo katikati ya mahuburi yanatudustract

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa97142 жыл бұрын

    Amin

  • @loveandnature2821
    @loveandnature28212 жыл бұрын

    ASANTE YESU KRISTO UMEANGUSHA KUTA

  • @florencendatila9183
    @florencendatila91833 жыл бұрын

    Ameen Barikiwa mtumishi

  • @revelationchoir1570
    @revelationchoir15703 жыл бұрын

    Glória

  • @GodsgloryhasRisenonme
    @GodsgloryhasRisenonme2 жыл бұрын

    Amen and Amen!!!!

  • @superadventures8060
    @superadventures80602 жыл бұрын

    I bless the name of Jesus christ for letting me know pastor sunbella, your sermon really bless me.

  • @christinamwakitalima4267
    @christinamwakitalima42673 жыл бұрын

    Thanks God

  • @lolamhanuzi410
    @lolamhanuzi4103 жыл бұрын

    🙏

  • @doreenmusee6908
    @doreenmusee69082 жыл бұрын

    I begun listening to you thus month as I started asking many que in my life...Thankyou for being God's mouthpiece to answer my que with great power of demonstration

  • @johnwilbard8326

    @johnwilbard8326

    2 жыл бұрын

    Asante Mungu kupitia mtumishiwako leo umenifaamisha nafasi yangu uliyo niitia katikafamilia na ninahamini yeriko iliyakuwa inazuia kufikia atima yangu imeanguka kwakuzunguka malasaba kitanda changu Kama ukuta imeanguka ktk jina la YESU

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa79143 жыл бұрын

    Nitotoleke Kwa Nina LA YESU hamuna ukingo wala ukuta utanizuia

  • @thomaspapy3519

    @thomaspapy3519

    2 жыл бұрын

    Amen Amen Amen

  • @happinessakim2679
    @happinessakim26793 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🙌🙏

  • @rebeccafjumathankssomuchgo8243

    @rebeccafjumathankssomuchgo8243

    3 жыл бұрын

    Amen past and shallom,

  • @mgallason...5686
    @mgallason...56862 жыл бұрын

    Masomo mazuri ningeshauri mafundi Mitambo waki upload youtube wahakikishe sauti inakuwa ya kutosha. Nawapenda sana.

  • @japhetmkumbwa7914
    @japhetmkumbwa79143 жыл бұрын

    Powerful speech Mungu nijarie kupitia YESU njia yangu

  • @samuelkoina9468

    @samuelkoina9468

    3 жыл бұрын

    God be glorified

  • @juliethbhoke1710
    @juliethbhoke17103 жыл бұрын

    🙏🏽🙏🏽

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame17413 жыл бұрын

    NAAMINI NAPOKEA UTUKUFU HUU KATIKA JINA LA YESU KRISTO

  • @alicemalle8974
    @alicemalle89743 жыл бұрын

    Jina la bwana libarikiwe....naomba anaeweka maandiko ya biblia ajaribu kukuza fonts

  • @dr.sarahbusongo
    @dr.sarahbusongo3 жыл бұрын

    Shalom Mtumishi... Hili kanisa lipo Dar sehemu gani?

  • @ledamussa30

    @ledamussa30

    3 жыл бұрын

    Lipo Sinza Mori karibia na Tamwa, huku maeneo ya kwa LA chaz

  • @realityofchristchurch

    @realityofchristchurch

    3 жыл бұрын

    Kanisa lipo Sinza mori 0657173322

  • @elfridamsuya6158
    @elfridamsuya61583 жыл бұрын

    Amen

  • @ambelembogela7254

    @ambelembogela7254

    2 жыл бұрын

    Thank you man of God

  • @rehemakilibwa714
    @rehemakilibwa7143 жыл бұрын

    Amenii

  • @jesusdiscipleonlineboardec9052
    @jesusdiscipleonlineboardec90523 жыл бұрын

    🙏

  • @christinesavai884
    @christinesavai8842 жыл бұрын

    Amen