NAMNA NGUVU ZA GIZA ZINAVYOFANYA KAZI - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Nguvu za giza hufanya kazi kwa namna nyingi.Sio zote hukaa ndani ya mtu,zingine hufanya kazi zikiwa nje ya mwili.Na watu wa aina hii mara nyingi hata wakienda kuombewa huwa hawakutwi na pepo hata moja ila wakiangalia maisha yao wanaona kabisa kuwa kuna sehemu nguvu za giza zimeshikilia.
Unataka kujua ni jinsi gani unatoka kwenye tatizo hilo?Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZread: kzread.info/dron/67L.html...

Пікірлер: 38

  • @user-sb4ok6db8c
    @user-sb4ok6db8c3 ай бұрын

    Allelujah nimepata ufunuo sana kupitia mafundisho yako,,my brother alikaliwa na udaifu miaka nane ivo hadi akafa,i wish ningekua nimepata mafundisho yako,angekufa ningemuombea hadi nitoe coz now nimekua so powerful kupitia all your teachings nilipoanza kufuatilia nikaanza kufunuliwa mengi

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Жыл бұрын

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @starluzenja9861
    @starluzenja98612 жыл бұрын

    I love this channel....

  • @justusmusango9977
    @justusmusango99776 ай бұрын

    Praise the Lord Mungu akubariki kwa mafundisho.Hakika rohi wa bwana anaudumia wengi

  • @annandossi1022
    @annandossi10223 жыл бұрын

    Mungu umlinde mtumishi wako Sunbella siku zote! Mjalie maisha marefu azidi kutufungua.

  • @ngattadaudngattadaud1095

    @ngattadaudngattadaud1095

    2 жыл бұрын

    Mungu azidi kukufunilia Ili Nasi tuzidi kufulinuliw

  • @annahkiswili5325
    @annahkiswili53252 жыл бұрын

    Niko Kenya PST mafuzo Yako yananiinua kiroho niombee sana mimi ni ANNAH Mwisiwa.

  • @blessedaggie9159
    @blessedaggie91593 жыл бұрын

    Amina.Mungu akubariki Mtumishi Sunbella

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka84613 жыл бұрын

    Ameen

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna52332 жыл бұрын

    Powerful word,God bless you mtumishi wa bwana

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi9 ай бұрын

    Be blessed baba 🙏🙏🔥

  • @maryjohn-pu9ci
    @maryjohn-pu9ci3 жыл бұрын

    Mbona mwishoni unapunguza sauti sana

  • @babumollel370
    @babumollel3702 жыл бұрын

    Amen

  • @jamesmhagale8794
    @jamesmhagale87943 жыл бұрын

    Blessed is the name of the Lord Jesus

  • @robertmakau1555
    @robertmakau15552 жыл бұрын

    May God bless you most for your a good message to us growing youth

  • @jesusreignsrestorationministry
    @jesusreignsrestorationministry3 жыл бұрын

    Bwana Yesu Akubariki sana, Mtumishi wa Mungu🙏🙏

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana57833 жыл бұрын

    Nikweli mutumishi wa Mungu mimi Nina jitoa kumutumikia Muumba wangu kwa iwezo wa Roho Mutagatifu

  • @robertpropheticchild2941
    @robertpropheticchild29412 жыл бұрын

    Powerful message thanks Papa

  • @philipojangama
    @philipojangama3 жыл бұрын

    Ameen,Nimeelewa Pastor.

  • @marsianamsunza8172
    @marsianamsunza81723 жыл бұрын

    Amen, Asante ubarikiwe

  • @stellanamunaba813
    @stellanamunaba813 Жыл бұрын

    Shalom Man of God.Thankyou so much for allowing God to use you to bless me with this deep knowledge of the word.This is what the church needs to understand.

  • @elishasoka6692
    @elishasoka66922 жыл бұрын

    emen

  • @graceoisso3238
    @graceoisso32383 жыл бұрын

    Tufungue ufahamu baba

  • @dollamtui5849
    @dollamtui58493 жыл бұрын

    Roho mtakatifu kanifungue mimi na familia yangu

  • @maggymutevu3305

    @maggymutevu3305

    3 жыл бұрын

    Roho mtakatifu nifungu mimi nafamilia yangu amen

  • @emilychisina1995
    @emilychisina19953 жыл бұрын

    Roho mtakatifu anisaidie

  • @hassanbukambu8279
    @hassanbukambu82793 жыл бұрын

    MI nashukuru MUNGU pepo la uzinzi limeiisha baada ya kukutana na pastor mmoja akaniombea hadi Sasahivi naona miujiza maana nilikuwa najiuliza inakuaje niko kanisani nasali halafu ikitokea ile akili ya kuchepuka inanijia nashindwa kuishinda nalia nasema MUNGU unioni nafanya nisichokitaka lazima nashukuru MUNGU Ile Hali imeisha hadi najiuliza ilikuwaje kuwaje hadi nafanya vile lakini Sasahivi nimeshinda nashukuru MUNGU

  • @Janekiboma

    @Janekiboma

    3 жыл бұрын

    Hongera na Mungu azidi kukulinda kwenye agano lako jipya

  • @ltoirenlekupanai1178

    @ltoirenlekupanai1178

    3 жыл бұрын

    Mungu abariki pasta na ampee nguvu

  • @dianaisack9202

    @dianaisack9202

    3 жыл бұрын

    Mtumishi una patikana wapi?? Mawasiliano napataje??

  • @realityofchristchurch

    @realityofchristchurch

    3 жыл бұрын

    @@dianaisack9202 Kanisa lipo Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Karibu sana.

  • @dianaisack9202

    @dianaisack9202

    3 жыл бұрын

    Siku unazopatikan mtumishi ni zip,mbali na jpili??

  • @rwesimbibicharles8994
    @rwesimbibicharles89942 жыл бұрын

    Amen

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence99832 жыл бұрын

    Amen

  • @georgebugangazpoa4975
    @georgebugangazpoa49752 жыл бұрын

    Amen

  • @winnieanan2773
    @winnieanan27733 жыл бұрын

    Amen