JEE HAYA PIA NI MAENDELEO AU NI MAHARIBIKO ENYI WAZAZI?? SISI NI WACHUNGA. SH.SAID BIN NYANGE

Пікірлер: 7

  • @abuayoubsoud9196
    @abuayoubsoud919623 күн бұрын

    Assalam alaykum w w Kwanza kabisa nashkuru kua ni miongoni mwa watu ambao wanafuatilia hii channel tangu uhai wa mwalim said Ushauri wangu tuendelee kuweka maudhui nzuri (darasa) alizokua akizitoa

  • @SwabihaAhmed
    @SwabihaAhmed6 ай бұрын

    Allah akuzidishie kila lakheri shekh langu,kukataza maobu na kuamrisha mema niwaajibu haijalishi anaekatazwa kakubali au kakataa,huu ni uhuni mkubwa sana wanaoufanya niuchafu mkubwa wanaufanya ktk jamii wanachochea maasi kisingizio uislamu

  • @JanethJeremiah-fp5co

    @JanethJeremiah-fp5co

    6 ай бұрын

    @swabihaAhmed.9minago

  • @user-yz1xo2ti1d
    @user-yz1xo2ti1d6 ай бұрын

    Mim nashauri ipo njia moja tu ya kuwafaitilia hao vijana ili waweze kuacha na njia hiyo siwez kuibainisha katika mtandao

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence18126 ай бұрын

    666

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa6 ай бұрын

    Shehe wachie hao huwaweziii

  • @user-kn5bv3qj8p

    @user-kn5bv3qj8p

    6 ай бұрын

    Sheikh aongee miongoni mwao wamo wataacha au nusurika kwaajili ya Allah.