Nataka demu / basi nimegahili nenda kwauyo jay moe 2024
@kybomaenterprises5405 Жыл бұрын
Huu wimbo ulikua kama signature (kibwagizo) wakati Channel 5 ilitokea. Mtamu kweli. This introduced me to Bongo Music. Mad love from 🇰🇪
@RioIpo Жыл бұрын
KAMA UNATAKA DEMU. _______________________ "Kama unataka demu" Sema unataka awaje-awaje "Kama ukienda boogie" Ungependa atokeaje-atokeaje "Marashi itakuwaje" Angenukiaje "Na akiwa mtaani" Ungependa atokeje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 1: ----------- Ndiyo nataka demu Lakini tuanzie makumbusho Awe mfano wa Fifi Madada zangu waitwe wifi Siyo Nkinde siyo Leyla Mtaa wao Miyeyusho Simtaki fulani amri ndefu Ndiyo wa leo na kesho Siongopei Phat Pham Nimefull zaidi watapeta Belinda na Moza waki-realize Vipi watadata Jadida la Lydia Wabakie vikono nikipita Sina habari na Naomi wala Salama Vile walinitesa Ndiyo kisa cha kutompenda Koku wala Septou Mwambie Samira amtoe Kachichi Ni washkaji tu Rose na Mariam mapacha Nisije nikachanganya Ni sawa na Esther na Suzie Wa maghorofa ya Bima Bora nitoke Makumbusho Niende zangu K Nyama Kwenye Watoto wa geti Kali Baba Mama tajiri Kama Miriam Hassan Nusu mbongo nusu Msomali Nakwenda kumpa dili Akinata nageuza gari Nikaendelee na Sinza Mbezi mpaka Kunduchi Herieth wa Sinza Mbezi Shakira Tamoh Kunduchi Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje We njoo makumbusho Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 2: -------------- Sasa nakwenda kwenye majina Na heshima mahsusi. Kama mfaudhia, Jodity, Domina au kama Hoops. Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya.? Nadhani Mamiss Hawataniona tena mimi mbaya Ila awe Mkweli Siyo mambo ya Miss California Awe kama Sister J Mweupe kama Eugenia Naomba radhi Niliowataja naomba msiwe na kinyongo Mimi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo Tukisema mtoto wa tajiri Mimi namchagua Regina Tukisema Model Ni Miriam Odemba, au hapana..? Tukisema Miss Aminata Keita haina noma IFM watakoma Kwa muda wote ambao anasoma Ila ataweza vipi Kuimba R&B kama Stara Au ni sawa na Mercy Galabawa Leo kuwa msela Nini Gado kama Zay B Mrefu kama Basilla Designer Khadija Mavazi akatuoneshee Kajala Nitahakikisha Hakuna machozi kama Jaydee Sintosubiri Akisema anakuja kama Sister P Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje Kama ukija Bills Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 3: ------------- Yo.. Nataka demu Miguu mizuri kama Ray C Macho kama Asia Alcoholic kama Sister V Nampenda demu Awe Sister Dread kama Babe Naogopa sana Mpenda chapaa kama Dokii Awe anapenda Rap Siyo bolingo kama AC Mchizi kama Naziz Ila bright kama Cecy Mrefu siyo mfupi na nyama Siyo mwembamba Hewani kama Magese Kiuno kama Odemba Hasiwe Lady flani Hajui kupiga pamba Avae Kama Seven Japo atoke bomba Awe anajua kupika Awe anang'aa kama Sanca Laini kama mafuta Kwenye giza awe anawaka Awe anang'ara Apoze zangu harara Awe na sauti tamu Kuliko ile ya Stara Siyo Kauzu kama Nina Bora mcheshi kama Nora Ili nimpende Sana Waganga wasijenipora Awe anaishi kama Precious Bila mama yake Gypsies Ili siku akichacha Tukakope hata chipsi Maridadi.. Mvuto wa Zamaradi Apitapo maskani Washkaji mpandwe midadi Awe aliyefundwa kama Zinduna Mjanja kama Muna Awe anatabasamu Siyo Kila siku ananua Kama ntapata demu Atakuwaje fikiria Lafudhi iwe tamu Siyo kithethe ka Radhia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶 ************** Wimbo: Kama unataka demu Wasanii: Jay Moe Solo Thang & Q Chilla Studio: Bongo Records Prodyuza: P Funk Majan
@queenandchill91
Жыл бұрын
Umetisha 🔥
@RioIpo
Жыл бұрын
@@queenandchill91 Yeah
@KalamuYaGalana
Жыл бұрын
Safi sana
@RioIpo
Жыл бұрын
@@KalamuYaGalana 💥💥
@sengybreeze
Жыл бұрын
sjawai ku reply comment you tube hii ya kwanza
@therealTanzanian2 ай бұрын
This to me is the best bongo flava beat of all time 🔥🔥🔥🔥
@boniphacegervas8118 Жыл бұрын
2023 who else around here ?
@flexflex6685
Жыл бұрын
Nimepiga seti hapa nimekuwa naitafta.Hii ndio bongo yenye ilitawala enzi zake.Rhymes after rhymes
@eliasanyimu16697 күн бұрын
2024 still going strong
@MrMPUTO2 жыл бұрын
NYIMBO YA TAIFA ENZI HIZO
@kenwatkinz98283 ай бұрын
Gone are the days, 2002 Kiwira - Tukuyu.
@bizzosela61862 ай бұрын
16/May/ 2024 +27 Bado Tunaish nayo 😜
@WaziriLugazo3 ай бұрын
Aaaaah kitamboooo iyoooo jay mo
@frankkajoba83722 ай бұрын
Bonge la ngoma
@fauziashabibu1467 Жыл бұрын
Jamani hii nyimbo enzi hizo mimi mim hata shule bado sjaanza kusoma mpaka leo 2022 naingalia
@jaffjeff6912
4 ай бұрын
Duuh
@RaiderTube
Ай бұрын
Hii ngoma 2002, miaka 22 iliyopita
@francistarimo3105 Жыл бұрын
Old is gold 🔥🔥🔥
@goodluckydavid5331Ай бұрын
June2024' who else z HERE.
@eddiemohamed900319 күн бұрын
2024
@salminabdallah6328 Жыл бұрын
Daaa enzi hizo nasoma Kijitonyama primary school hii ngoma nilikuwa naimba verse after verse
@privernnorens2317
4 ай бұрын
Ulikuwa darasa la ngapi na ilikuwa mwaka gani
@rafaelmaniamba5662
3 ай бұрын
Enzi hizo tupo na kodo
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
3 күн бұрын
A legend indeed
@ngenokipkorir97587 ай бұрын
Old is gold...i missed these songs
@stanslausmteme84552 ай бұрын
Namkumbuka sana DJ Fred Waaah!
@RaiderTubeАй бұрын
Jay moe
@kiruikaptich81525 ай бұрын
Here 2024.... and counting!
@user-hp9yu3xo5p4 ай бұрын
Tanzania day by p mawenge
@shabanimakwaru2875 Жыл бұрын
Hii na ingekuwa vipi ya FA ngoma za zamani kali
@shafiiluwongo5199
Жыл бұрын
Kwa heshima zote kwa FA hili dude kali sana. Jay Mo, Solo thang Mkono wa P- Funk. Bonge la biti
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Old iz gold## j mo🔥🔥🔥🔥🔥
@albertlilechi49064 ай бұрын
Jay Moe nakubali mkuu
@saleh9997 Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana 2005-2023
@shafiilupyagu250428 күн бұрын
Ngoma kali san daaaa ktmboooo san daaa😢
@bizzodaboy5367 Жыл бұрын
Verse la solo thang noma
@mohamedhamisi97667 ай бұрын
ila brother J moe noma sana
@lightmedia80966 ай бұрын
here 2024
@user-en2fc5xp7e11 ай бұрын
Oyaaa kama hili goma ulikuwa kwenu na hadi Leo uko kwenu mkuu mkuu mkuu utapakatwa toka magetoni kondoo wa bwana
@user-bw2qo6bg1n4 ай бұрын
Nataka demu❤❤ U
@hendrykimaro1717 Жыл бұрын
March 5 2023 🤗
@emmanueldavid6809 Жыл бұрын
dude kali mpaka leo hii 2022
@renatusmatungwa25088 ай бұрын
Kitambo sana
@angelavayinga914 Жыл бұрын
Zamani sana hadi raha
@laurencesamwel Жыл бұрын
Unyama ni mwingi haina longo longo
@stapinuswilliam8607 ай бұрын
2023❤
@brownngullo40513 ай бұрын
Q chief aliua kwenye chorus .. Enzi hizo niko Form One ngoma imetoka
@Qqambaa
3 ай бұрын
Wow! Kumbe ni qchief
@Qqambaa3 ай бұрын
Kati ya mvua najua unapenda nini??😂😂
@thomaswilliam22142 ай бұрын
2002-2024🇹🇿
@hassanbashir32535 ай бұрын
More technics👍
@chotarawakingoni81489 күн бұрын
Hapo Kwenye Chorus ukickiliza vizuri “kama ukienda Boogie”..! Kwa wasiojua miaka ile kuna Shows za mziki zilikuwa zinaitwa Boogie Zilikuwa zinaanza Mchana Hadi Jioni 😂😅 Daah…
@clivedishon81927 ай бұрын
classic
@sajumahege49034 ай бұрын
VERSE 1__JayMo Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho, Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi, Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho, Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta, Belinda na Mose wakirealize vipi watadata? Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita, Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa, Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun, Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu, Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya, Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima, Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama, Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali, Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari, Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi, Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi, Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje, Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje
Пікірлер: 65
who else 2024
@user-hawktv
2 ай бұрын
We here
@user-hawktv
2 ай бұрын
We here
Nataka demu / basi nimegahili nenda kwauyo jay moe 2024
Huu wimbo ulikua kama signature (kibwagizo) wakati Channel 5 ilitokea. Mtamu kweli. This introduced me to Bongo Music. Mad love from 🇰🇪
KAMA UNATAKA DEMU. _______________________ "Kama unataka demu" Sema unataka awaje-awaje "Kama ukienda boogie" Ungependa atokeaje-atokeaje "Marashi itakuwaje" Angenukiaje "Na akiwa mtaani" Ungependa atokeje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 1: ----------- Ndiyo nataka demu Lakini tuanzie makumbusho Awe mfano wa Fifi Madada zangu waitwe wifi Siyo Nkinde siyo Leyla Mtaa wao Miyeyusho Simtaki fulani amri ndefu Ndiyo wa leo na kesho Siongopei Phat Pham Nimefull zaidi watapeta Belinda na Moza waki-realize Vipi watadata Jadida la Lydia Wabakie vikono nikipita Sina habari na Naomi wala Salama Vile walinitesa Ndiyo kisa cha kutompenda Koku wala Septou Mwambie Samira amtoe Kachichi Ni washkaji tu Rose na Mariam mapacha Nisije nikachanganya Ni sawa na Esther na Suzie Wa maghorofa ya Bima Bora nitoke Makumbusho Niende zangu K Nyama Kwenye Watoto wa geti Kali Baba Mama tajiri Kama Miriam Hassan Nusu mbongo nusu Msomali Nakwenda kumpa dili Akinata nageuza gari Nikaendelee na Sinza Mbezi mpaka Kunduchi Herieth wa Sinza Mbezi Shakira Tamoh Kunduchi Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje We njoo makumbusho Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 2: -------------- Sasa nakwenda kwenye majina Na heshima mahsusi. Kama mfaudhia, Jodity, Domina au kama Hoops. Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya.? Nadhani Mamiss Hawataniona tena mimi mbaya Ila awe Mkweli Siyo mambo ya Miss California Awe kama Sister J Mweupe kama Eugenia Naomba radhi Niliowataja naomba msiwe na kinyongo Mimi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo Tukisema mtoto wa tajiri Mimi namchagua Regina Tukisema Model Ni Miriam Odemba, au hapana..? Tukisema Miss Aminata Keita haina noma IFM watakoma Kwa muda wote ambao anasoma Ila ataweza vipi Kuimba R&B kama Stara Au ni sawa na Mercy Galabawa Leo kuwa msela Nini Gado kama Zay B Mrefu kama Basilla Designer Khadija Mavazi akatuoneshee Kajala Nitahakikisha Hakuna machozi kama Jaydee Sintosubiri Akisema anakuja kama Sister P Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje Kama ukija Bills Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 3: ------------- Yo.. Nataka demu Miguu mizuri kama Ray C Macho kama Asia Alcoholic kama Sister V Nampenda demu Awe Sister Dread kama Babe Naogopa sana Mpenda chapaa kama Dokii Awe anapenda Rap Siyo bolingo kama AC Mchizi kama Naziz Ila bright kama Cecy Mrefu siyo mfupi na nyama Siyo mwembamba Hewani kama Magese Kiuno kama Odemba Hasiwe Lady flani Hajui kupiga pamba Avae Kama Seven Japo atoke bomba Awe anajua kupika Awe anang'aa kama Sanca Laini kama mafuta Kwenye giza awe anawaka Awe anang'ara Apoze zangu harara Awe na sauti tamu Kuliko ile ya Stara Siyo Kauzu kama Nina Bora mcheshi kama Nora Ili nimpende Sana Waganga wasijenipora Awe anaishi kama Precious Bila mama yake Gypsies Ili siku akichacha Tukakope hata chipsi Maridadi.. Mvuto wa Zamaradi Apitapo maskani Washkaji mpandwe midadi Awe aliyefundwa kama Zinduna Mjanja kama Muna Awe anatabasamu Siyo Kila siku ananua Kama ntapata demu Atakuwaje fikiria Lafudhi iwe tamu Siyo kithethe ka Radhia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶 ************** Wimbo: Kama unataka demu Wasanii: Jay Moe Solo Thang & Q Chilla Studio: Bongo Records Prodyuza: P Funk Majan
@queenandchill91
Жыл бұрын
Umetisha 🔥
@RioIpo
Жыл бұрын
@@queenandchill91 Yeah
@KalamuYaGalana
Жыл бұрын
Safi sana
@RioIpo
Жыл бұрын
@@KalamuYaGalana 💥💥
@sengybreeze
Жыл бұрын
sjawai ku reply comment you tube hii ya kwanza
This to me is the best bongo flava beat of all time 🔥🔥🔥🔥
2023 who else around here ?
@flexflex6685
Жыл бұрын
Nimepiga seti hapa nimekuwa naitafta.Hii ndio bongo yenye ilitawala enzi zake.Rhymes after rhymes
2024 still going strong
NYIMBO YA TAIFA ENZI HIZO
Gone are the days, 2002 Kiwira - Tukuyu.
16/May/ 2024 +27 Bado Tunaish nayo 😜
Aaaaah kitamboooo iyoooo jay mo
Bonge la ngoma
Jamani hii nyimbo enzi hizo mimi mim hata shule bado sjaanza kusoma mpaka leo 2022 naingalia
@jaffjeff6912
4 ай бұрын
Duuh
@RaiderTube
Ай бұрын
Hii ngoma 2002, miaka 22 iliyopita
Old is gold 🔥🔥🔥
June2024' who else z HERE.
2024
Daaa enzi hizo nasoma Kijitonyama primary school hii ngoma nilikuwa naimba verse after verse
@privernnorens2317
4 ай бұрын
Ulikuwa darasa la ngapi na ilikuwa mwaka gani
@rafaelmaniamba5662
3 ай бұрын
Enzi hizo tupo na kodo
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
3 күн бұрын
A legend indeed
Old is gold...i missed these songs
Namkumbuka sana DJ Fred Waaah!
Jay moe
Here 2024.... and counting!
Tanzania day by p mawenge
Hii na ingekuwa vipi ya FA ngoma za zamani kali
@shafiiluwongo5199
Жыл бұрын
Kwa heshima zote kwa FA hili dude kali sana. Jay Mo, Solo thang Mkono wa P- Funk. Bonge la biti
Old iz gold## j mo🔥🔥🔥🔥🔥
Jay Moe nakubali mkuu
Nyimbo nzuri sana 2005-2023
Ngoma kali san daaaa ktmboooo san daaa😢
Verse la solo thang noma
ila brother J moe noma sana
here 2024
Oyaaa kama hili goma ulikuwa kwenu na hadi Leo uko kwenu mkuu mkuu mkuu utapakatwa toka magetoni kondoo wa bwana
Nataka demu❤❤ U
March 5 2023 🤗
dude kali mpaka leo hii 2022
Kitambo sana
Zamani sana hadi raha
Unyama ni mwingi haina longo longo
2023❤
Q chief aliua kwenye chorus .. Enzi hizo niko Form One ngoma imetoka
@Qqambaa
3 ай бұрын
Wow! Kumbe ni qchief
Kati ya mvua najua unapenda nini??😂😂
2002-2024🇹🇿
More technics👍
Hapo Kwenye Chorus ukickiliza vizuri “kama ukienda Boogie”..! Kwa wasiojua miaka ile kuna Shows za mziki zilikuwa zinaitwa Boogie Zilikuwa zinaanza Mchana Hadi Jioni 😂😅 Daah…
classic
VERSE 1__JayMo Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho, Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi, Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho, Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta, Belinda na Mose wakirealize vipi watadata? Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita, Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa, Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun, Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu, Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya, Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima, Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama, Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali, Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari, Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi, Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi, Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje, Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje
2024😂
18 may 2024
Enzi izoo