Jay Moe Kama Unataka Demu Ft Solo Thang

Музыка

#JayMoe #SoloThang

Пікірлер: 65

  • @charlesmsage1306
    @charlesmsage13066 ай бұрын

    who else 2024

  • @user-hawktv

    @user-hawktv

    2 ай бұрын

    We here

  • @user-hawktv

    @user-hawktv

    2 ай бұрын

    We here

  • @user-bw2qo6bg1n
    @user-bw2qo6bg1n5 күн бұрын

    Nataka demu / basi nimegahili nenda kwauyo jay moe 2024

  • @kybomaenterprises5405
    @kybomaenterprises5405 Жыл бұрын

    Huu wimbo ulikua kama signature (kibwagizo) wakati Channel 5 ilitokea. Mtamu kweli. This introduced me to Bongo Music. Mad love from 🇰🇪

  • @RioIpo
    @RioIpo Жыл бұрын

    KAMA UNATAKA DEMU. _______________________ "Kama unataka demu" Sema unataka awaje-awaje "Kama ukienda boogie" Ungependa atokeaje-atokeaje "Marashi itakuwaje" Angenukiaje "Na akiwa mtaani" Ungependa atokeje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 1: ----------- Ndiyo nataka demu Lakini tuanzie makumbusho Awe mfano wa Fifi Madada zangu waitwe wifi Siyo Nkinde siyo Leyla Mtaa wao Miyeyusho Simtaki fulani amri ndefu Ndiyo wa leo na kesho Siongopei Phat Pham Nimefull zaidi watapeta Belinda na Moza waki-realize Vipi watadata Jadida la Lydia Wabakie vikono nikipita Sina habari na Naomi wala Salama Vile walinitesa Ndiyo kisa cha kutompenda Koku wala Septou Mwambie Samira amtoe Kachichi Ni washkaji tu Rose na Mariam mapacha Nisije nikachanganya Ni sawa na Esther na Suzie Wa maghorofa ya Bima Bora nitoke Makumbusho Niende zangu K Nyama Kwenye Watoto wa geti Kali Baba Mama tajiri Kama Miriam Hassan Nusu mbongo nusu Msomali Nakwenda kumpa dili Akinata nageuza gari Nikaendelee na Sinza Mbezi mpaka Kunduchi Herieth wa Sinza Mbezi Shakira Tamoh Kunduchi Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje We njoo makumbusho Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 2: -------------- Sasa nakwenda kwenye majina Na heshima mahsusi. Kama mfaudhia, Jodity, Domina au kama Hoops. Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya.? Nadhani Mamiss Hawataniona tena mimi mbaya Ila awe Mkweli Siyo mambo ya Miss California Awe kama Sister J Mweupe kama Eugenia Naomba radhi Niliowataja naomba msiwe na kinyongo Mimi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo Tukisema mtoto wa tajiri Mimi namchagua Regina Tukisema Model Ni Miriam Odemba, au hapana..? Tukisema Miss Aminata Keita haina noma IFM watakoma Kwa muda wote ambao anasoma Ila ataweza vipi Kuimba R&B kama Stara Au ni sawa na Mercy Galabawa Leo kuwa msela Nini Gado kama Zay B Mrefu kama Basilla Designer Khadija Mavazi akatuoneshee Kajala Nitahakikisha Hakuna machozi kama Jaydee Sintosubiri Akisema anakuja kama Sister P Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje Kama ukija Bills Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 3: ------------- Yo.. Nataka demu Miguu mizuri kama Ray C Macho kama Asia Alcoholic kama Sister V Nampenda demu Awe Sister Dread kama Babe Naogopa sana Mpenda chapaa kama Dokii Awe anapenda Rap Siyo bolingo kama AC Mchizi kama Naziz Ila bright kama Cecy Mrefu siyo mfupi na nyama Siyo mwembamba Hewani kama Magese Kiuno kama Odemba Hasiwe Lady flani Hajui kupiga pamba Avae Kama Seven Japo atoke bomba Awe anajua kupika Awe anang'aa kama Sanca Laini kama mafuta Kwenye giza awe anawaka Awe anang'ara Apoze zangu harara Awe na sauti tamu Kuliko ile ya Stara Siyo Kauzu kama Nina Bora mcheshi kama Nora Ili nimpende Sana Waganga wasijenipora Awe anaishi kama Precious Bila mama yake Gypsies Ili siku akichacha Tukakope hata chipsi Maridadi.. Mvuto wa Zamaradi Apitapo maskani Washkaji mpandwe midadi Awe aliyefundwa kama Zinduna Mjanja kama Muna Awe anatabasamu Siyo Kila siku ananua Kama ntapata demu Atakuwaje fikiria Lafudhi iwe tamu Siyo kithethe ka Radhia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶 ************** Wimbo: Kama unataka demu Wasanii: Jay Moe Solo Thang & Q Chilla Studio: Bongo Records Prodyuza: P Funk Majan

  • @queenandchill91

    @queenandchill91

    Жыл бұрын

    Umetisha 🔥

  • @RioIpo

    @RioIpo

    Жыл бұрын

    @@queenandchill91 Yeah

  • @KalamuYaGalana

    @KalamuYaGalana

    Жыл бұрын

    Safi sana

  • @RioIpo

    @RioIpo

    Жыл бұрын

    @@KalamuYaGalana 💥💥

  • @sengybreeze

    @sengybreeze

    Жыл бұрын

    sjawai ku reply comment you tube hii ya kwanza

  • @therealTanzanian
    @therealTanzanian2 ай бұрын

    This to me is the best bongo flava beat of all time 🔥🔥🔥🔥

  • @boniphacegervas8118
    @boniphacegervas8118 Жыл бұрын

    2023 who else around here ?

  • @flexflex6685

    @flexflex6685

    Жыл бұрын

    Nimepiga seti hapa nimekuwa naitafta.Hii ndio bongo yenye ilitawala enzi zake.Rhymes after rhymes

  • @eliasanyimu1669
    @eliasanyimu16697 күн бұрын

    2024 still going strong

  • @MrMPUTO
    @MrMPUTO2 жыл бұрын

    NYIMBO YA TAIFA ENZI HIZO

  • @kenwatkinz9828
    @kenwatkinz98283 ай бұрын

    Gone are the days, 2002 Kiwira - Tukuyu.

  • @bizzosela6186
    @bizzosela61862 ай бұрын

    16/May/ 2024 +27 Bado Tunaish nayo 😜

  • @WaziriLugazo
    @WaziriLugazo3 ай бұрын

    Aaaaah kitamboooo iyoooo jay mo

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba83722 ай бұрын

    Bonge la ngoma

  • @fauziashabibu1467
    @fauziashabibu1467 Жыл бұрын

    Jamani hii nyimbo enzi hizo mimi mim hata shule bado sjaanza kusoma mpaka leo 2022 naingalia

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    4 ай бұрын

    Duuh

  • @RaiderTube

    @RaiderTube

    Ай бұрын

    Hii ngoma 2002, miaka 22 iliyopita

  • @francistarimo3105
    @francistarimo3105 Жыл бұрын

    Old is gold 🔥🔥🔥

  • @goodluckydavid5331
    @goodluckydavid5331Ай бұрын

    June2024' who else z HERE.

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed900319 күн бұрын

    2024

  • @salminabdallah6328
    @salminabdallah6328 Жыл бұрын

    Daaa enzi hizo nasoma Kijitonyama primary school hii ngoma nilikuwa naimba verse after verse

  • @privernnorens2317

    @privernnorens2317

    4 ай бұрын

    Ulikuwa darasa la ngapi na ilikuwa mwaka gani

  • @rafaelmaniamba5662

    @rafaelmaniamba5662

    3 ай бұрын

    Enzi hizo tupo na kodo

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343

    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343

    3 күн бұрын

    A legend indeed

  • @ngenokipkorir9758
    @ngenokipkorir97587 ай бұрын

    Old is gold...i missed these songs

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 ай бұрын

    Namkumbuka sana DJ Fred Waaah!

  • @RaiderTube
    @RaiderTubeАй бұрын

    Jay moe

  • @kiruikaptich8152
    @kiruikaptich81525 ай бұрын

    Here 2024.... and counting!

  • @user-hp9yu3xo5p
    @user-hp9yu3xo5p4 ай бұрын

    Tanzania day by p mawenge

  • @shabanimakwaru2875
    @shabanimakwaru2875 Жыл бұрын

    Hii na ingekuwa vipi ya FA ngoma za zamani kali

  • @shafiiluwongo5199

    @shafiiluwongo5199

    Жыл бұрын

    Kwa heshima zote kwa FA hili dude kali sana. Jay Mo, Solo thang Mkono wa P- Funk. Bonge la biti

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын

    Old iz gold## j mo🔥🔥🔥🔥🔥

  • @albertlilechi4906
    @albertlilechi49064 ай бұрын

    Jay Moe nakubali mkuu

  • @saleh9997
    @saleh9997 Жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana 2005-2023

  • @shafiilupyagu2504
    @shafiilupyagu250428 күн бұрын

    Ngoma kali san daaaa ktmboooo san daaa😢

  • @bizzodaboy5367
    @bizzodaboy5367 Жыл бұрын

    Verse la solo thang noma

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi97667 ай бұрын

    ila brother J moe noma sana

  • @lightmedia8096
    @lightmedia80966 ай бұрын

    here 2024

  • @user-en2fc5xp7e
    @user-en2fc5xp7e11 ай бұрын

    Oyaaa kama hili goma ulikuwa kwenu na hadi Leo uko kwenu mkuu mkuu mkuu utapakatwa toka magetoni kondoo wa bwana

  • @user-bw2qo6bg1n
    @user-bw2qo6bg1n4 ай бұрын

    Nataka demu❤❤ U

  • @hendrykimaro1717
    @hendrykimaro1717 Жыл бұрын

    March 5 2023 🤗

  • @emmanueldavid6809
    @emmanueldavid6809 Жыл бұрын

    dude kali mpaka leo hii 2022

  • @renatusmatungwa2508
    @renatusmatungwa25088 ай бұрын

    Kitambo sana

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Жыл бұрын

    Zamani sana hadi raha

  • @laurencesamwel
    @laurencesamwel Жыл бұрын

    Unyama ni mwingi haina longo longo

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam8607 ай бұрын

    2023❤

  • @brownngullo4051
    @brownngullo40513 ай бұрын

    Q chief aliua kwenye chorus .. Enzi hizo niko Form One ngoma imetoka

  • @Qqambaa

    @Qqambaa

    3 ай бұрын

    Wow! Kumbe ni qchief

  • @Qqambaa
    @Qqambaa3 ай бұрын

    Kati ya mvua najua unapenda nini??😂😂

  • @thomaswilliam2214
    @thomaswilliam22142 ай бұрын

    2002-2024🇹🇿

  • @hassanbashir3253
    @hassanbashir32535 ай бұрын

    More technics👍

  • @chotarawakingoni8148
    @chotarawakingoni81489 күн бұрын

    Hapo Kwenye Chorus ukickiliza vizuri “kama ukienda Boogie”..! Kwa wasiojua miaka ile kuna Shows za mziki zilikuwa zinaitwa Boogie Zilikuwa zinaanza Mchana Hadi Jioni 😂😅 Daah…

  • @clivedishon8192
    @clivedishon81927 ай бұрын

    classic

  • @sajumahege4903
    @sajumahege49034 ай бұрын

    VERSE 1__JayMo Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho, Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi, Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho, Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta, Belinda na Mose wakirealize vipi watadata? Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita, Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa, Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun, Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu, Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya, Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima, Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama, Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali, Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari, Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi, Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi, Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje, Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje

  • @mcoastlaubizy
    @mcoastlaubizy2 ай бұрын

    2024😂

  • @abelshao6284
    @abelshao62842 ай бұрын

    18 may 2024

  • @chidmashine3401
    @chidmashine34012 жыл бұрын

    Enzi izoo

Келесі