Jastin Asifiwe & Wana wa Asafu - Bwana Ninayo Furaha (Official Live Video)

Музыка

Jastin Asifiwe & Wana wa Asafu - Bwana Ninayo Furaha (Official Live Video)
#bwananinayofuraha #wanawaasafu #jastinasifiwe
Video Production: ‪@directordixon‬ and the team
Audio Capturing and Mixing: Mitchell Mike Jr
Sound System: Sound Solution
Venue: Ufufuo na Uzima Ubungo Cathedral
----------------------------
Musicians
----------------------------
MD: ‪@imaniericshoo‬
Drummer: ‪@zablonlameck5586‬
Second Key: Joel
Lead Guitar: Dan Father
Bassist: Michael
Aux: Victor Chambi
Percussion: ‪@mrmagnificent‬
---------------------------
Special Thanks
---------------------------
Bishop Dr Josephat Gwajima
Bishop Baraka Thomas Tegge
Rudisha Media
Wana wa Asafu
Chuma Hunoa Chuma
---------------------------
Lyrics
---------------------------
Bwana ninayo furaha
Kwa yote uliyonitenda
Bwana ninayo furaha
Ninasema asante Bwana

Пікірлер: 209

  • @boazdanken
    @boazdanken6 ай бұрын

    Very Powerful song for JESUS

  • @jastinasifiwe4877

    @jastinasifiwe4877

    6 ай бұрын

    Glory to God Powerful Man of God

  • @innocentmagwanji5997

    @innocentmagwanji5997

    6 ай бұрын

    @@jastinasifiwe4877 Powerful

  • @kevom5099
    @kevom5099Ай бұрын

    Very very powerful,am from TikTok

  • @juliusomamo586
    @juliusomamo586Ай бұрын

    Huu sio wimbo tu Bali ni nguvu za mungu ,may God of heaven bless you good people I love you

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092Ай бұрын

    Ee BWANA mbariki mtumishi wako, Jastine Asifiwe, Amina

  • @samwelkalele7465
    @samwelkalele74656 ай бұрын

    Hongera sana justin kwa hatua hii hakika ni maombi yangu kwa Mungu ya kwamba aendelee kukuinua viwango hata viwango Amina

  • @georgepaul4654
    @georgepaul46546 ай бұрын

    Bwana ninayo furaha kwa yote uliyonitendea ninasema Asante.. Nabarikiwa sana.. mbarikiwe pia

  • @CharlesMwandusa
    @CharlesMwandusa6 ай бұрын

    Mungu akuinue zaidi mtumishi

  • @silvatv8294
    @silvatv82942 ай бұрын

    Bwana Ninayofuraha kwa yote Umenitendea Bwanaa ...Ninasema Asante 🎉

  • @ufufuonauzimakitui
    @ufufuonauzimakitui6 ай бұрын

    ❤❤❤🎉🎉🎉Hongera sana Kenya🇰🇪 Tunabarikiwa

  • @hyasintarichard5978
    @hyasintarichard59786 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳

  • @BennyAlly-ue5cz
    @BennyAlly-ue5czАй бұрын

    Saf kaka

  • @sylvesternicholous5445
    @sylvesternicholous54456 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85546 ай бұрын

    Bwana ninayo furaha Majeshi majeshii

  • @brownsebastianmwibi5647
    @brownsebastianmwibi56476 ай бұрын

    Wimbo mtamu sana, nimeusikiliza tena na tena na tena. Jastin ubarikiwe, kundi lote la wana wa Asafu libarikiwe.

  • @patricknjue79
    @patricknjue796 ай бұрын

    Kuna Dada hapo mbele anadance kwa nguvu zaidi. Abarikiwe sana.

  • @Janeth_Eric_Shoo1972
    @Janeth_Eric_Shoo19726 ай бұрын

    Bwana ninayo furaha Ninasema Asante Bwana 🙏❤

  • @masihikalokora17
    @masihikalokora176 ай бұрын

    Hongera Mungu akuongezee mafuta yake ya kiungu upaeeee juu sana

  • @henrickmruma
    @henrickmruma6 ай бұрын

    Hongera sana ndugu yangu kwa hatua hii kubwa sana. Mungu Azidi kukuinua kaka. Huduma yako ni kubwa sana.

  • @jastinasifiwe4877

    @jastinasifiwe4877

    6 ай бұрын

    My brother asaante saana

  • @faithchuwa9693

    @faithchuwa9693

    6 ай бұрын

    Ubarikiwe sana Minister Mruma ku- appreciate utumishi wa wengine.

  • @fannykikoti7108

    @fannykikoti7108

    6 ай бұрын

    ​@@jastinasifiwe4877Karibu sana kanisa la PHM Mkwawa-Iringa Nawakubari sana hapa Ufufuo na uzima

  • @ibratpascal4225

    @ibratpascal4225

    6 ай бұрын

    God bless you

  • @joycekuria6615

    @joycekuria6615

    6 ай бұрын

    ​@@faithchuwa9693😊

  • @MWL_LUPIMO
    @MWL_LUPIMO6 ай бұрын

    Blessed More Kamanda 🤝

  • @user-ie5xp6nw5c
    @user-ie5xp6nw5c6 ай бұрын

    Ninani aliye andika wimbo huyo🎉🎉jamani nyimbo hiyo inanibariki sana

  • @rehemasanga-zb4yt
    @rehemasanga-zb4yt5 ай бұрын

    Nabarikiwa na huduma yako Mungu akuinue katika viwango vya juu

  • @Pastortorati
    @Pastortorati6 ай бұрын

    Huyu ndiye Jastin wa ndani hakika

  • @UpendoMwakyusa-hp6lg
    @UpendoMwakyusa-hp6lg6 ай бұрын

    Hallelujah hakika ninayofura Kwa yote uliyonitendea

  • @saranyongole1161
    @saranyongole11616 ай бұрын

    Bwana ninayofuraha sanaaaaaa

  • @pintymelodytz913
    @pintymelodytz9136 ай бұрын

    Ndugu Yangu 🙌🙌🙌🙌🔥

  • @user-qg7si5qv3v
    @user-qg7si5qv3v6 ай бұрын

    Hakika Bwana sina manen mengi zaidi ya kusema Asante Mungu akabariki wa wimbo wa majira

  • @elishamusa2437
    @elishamusa24376 ай бұрын

    Hongera Sana, Kazi ni njema, Nasema asanteee Yesu😊

  • @KAPONDA001
    @KAPONDA0016 ай бұрын

    BWANA ninayo furaha

  • @DrNeemaBalige
    @DrNeemaBalige6 ай бұрын

    God bless you Jastin🙌Wewe ni baraka kwa kizazi hiki...Mungu akuongeze

  • @JohnCarlobaraka
    @JohnCarlobaraka4 ай бұрын

    Be blessed much Man of God

  • @user-zx3lf4et3u
    @user-zx3lf4et3u6 ай бұрын

    Ubarikiwe sana kaka

  • @phiniaskishenyi297
    @phiniaskishenyi2976 ай бұрын

    Barikiwa

  • @christabibukenya4097
    @christabibukenya40976 ай бұрын

    Baraka tele ....sifa zote kwa Bwana Yesu 🎉

  • @jacksonsanga7580
    @jacksonsanga75806 ай бұрын

    Bwana Ninayo Furaha............ Ninasema Asante Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @lameckchahoa3410
    @lameckchahoa34106 ай бұрын

    Oooh Halleluuuyah God bless you Man of God

  • @jescarerneus2621
    @jescarerneus26216 ай бұрын

    Ninasema Ahsante Bwana

  • @ministermossesmungure
    @ministermossesmungure6 ай бұрын

    🔥🔥🙏🙏🙌🙌🔥🔥🔥🔥

  • @madamrachel793
    @madamrachel7936 ай бұрын

    Hallelujah 🙌 hakika Bwana ninayo furaha kwa yote Umenitendea 2023& 2024🙏

  • @DianaTesha-iz4pb
    @DianaTesha-iz4pb6 ай бұрын

    Halleluyah Nabarikiwa na wewe jasusi la mbinguni❤❤

  • @Lissaaminiel
    @Lissaaminiel6 ай бұрын

    YESU akubariki mtumishi wa MUNGU Jastin wimbo mzuri mnooooo

  • @allanmganyizi6895
    @allanmganyizi68956 ай бұрын

    Ninasemaaaaaaaa.......Asante Bwanaaa....

  • @user-so8go4dz3z
    @user-so8go4dz3z6 ай бұрын

    Kwa Yesu raha sana,,nmebarikiwa sana

  • @moberoministries3610
    @moberoministries36106 ай бұрын

    Bwana Bwana Bwanaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @shukranimwamlima7832
    @shukranimwamlima78326 ай бұрын

    Be blessed kijnaa

  • @ministergildav3944
    @ministergildav39446 ай бұрын

    Am waiting... from powerful man of GOD

  • @kelvinemmanuel-wg9rs
    @kelvinemmanuel-wg9rs6 ай бұрын

    AM LATE BUT MUNGU AZIDI KUKUONGEZA, NA WATU WOTE WAJIBARIKIE KWA HUDUMA YAKO KAKA BE BLESSED NA BARIKIWA MIMI KWANZA MAANA NAKUPENDA KAKA RESPECT KWA KWELI MUNGU ANA KIFAA

  • @user-sj3tr9od6t
    @user-sj3tr9od6t6 ай бұрын

    Furaha ninayo kwakwer

  • @gwakisamwakilema
    @gwakisamwakilema6 ай бұрын

    Wimbo uko na nguvu kubwa ya Mungu na Nafurahi kuiona ibada ndani ya wimbo huu...

  • @esthermliga4875
    @esthermliga48756 ай бұрын

    Ninasema Asante Bwana Kwa yote uliyonitendea!! Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu Kwa huduma nzuri, Mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaidi!!

  • @arnoldbenedict3894
    @arnoldbenedict38946 ай бұрын

    Kweli Bwana ametupa furaha,hatuna budi kusema Asante Yesu.❤❤❤ Hongera Sana Mtu wa Mungu,Kerubi

  • @vicentjoseph6888
    @vicentjoseph68886 ай бұрын

    Notification on

  • @devothashipande4757
    @devothashipande47576 ай бұрын

    🔥🔥 Mwalimu Justine Asifiwe, Mungu azidi kukuinua

  • @Pastor-Paul-Lugendo
    @Pastor-Paul-Lugendo6 ай бұрын

    Ninasema Asante Baba Ninasema Asante Baba, 🔥 🔥 🔥

  • @AnnaReuben-tx5hg
    @AnnaReuben-tx5hg6 ай бұрын

    Ninayo fraha kwa yote uliyonitendea Bwana 😢🙏

  • @AlfredMillinga-mi1du
    @AlfredMillinga-mi1du6 ай бұрын

    Unalitendea Vyema kusudi lako hapa duniani Mungu akutunze pastor Jastin ,na wana wa asafu pia Ni Njema sana !

  • @sarahkamwela-ms6su
    @sarahkamwela-ms6su6 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌

  • @pastormoseschami7208
    @pastormoseschami72086 ай бұрын

    Hongera sana Jastin, nakuona mbali sana kwenye tansia ya uimbaji, hongera mno, karibu nchi ya ahadi Tabora

  • @ibratpascal4225
    @ibratpascal42256 ай бұрын

    Nimebarikiwa sana na uhu wimbo Jastin Asifiwe Mungu akutumie zaidi katika viwango vya juu zaid

  • @mariandunguru531
    @mariandunguru5316 ай бұрын

    Nimebarikiwa kupitia huu wimbo

  • @blessingibrahimkomba6078
    @blessingibrahimkomba60786 ай бұрын

    Asante kwa yote Bwana

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani86466 ай бұрын

    Ninayo furaha kwa kulinda nchi yetu Ya Tanzania na kulibda viongozi wetu wa nchi.

  • @nguvuyamaonomedia
    @nguvuyamaonomedia6 ай бұрын

    Hongera Sana Pastor Jastin Asifiwe

  • @user-oi5tw8zi2f
    @user-oi5tw8zi2f6 ай бұрын

    Ninabarikiwa na kutiwa nguvu jamani Mungu akutumie zaidi hakika Si wewe Bali Kristo aliyendani yako

  • @winemwasambungu4264
    @winemwasambungu42646 ай бұрын

    🎉🎉

  • @faithchuwa9693
    @faithchuwa96936 ай бұрын

    Wimbo wenye nguvu ya MUNGU. ubarikiwe sana brother Asifiwe kurekodi wimbo huu. Nimekuwa nikiutafuta sana. Uzidi kufanikiwa sana katika utumishi huu.

  • @jastinasifiwe4877

    @jastinasifiwe4877

    6 ай бұрын

    Amen amen

  • @inukaonlinetv7969
    @inukaonlinetv79696 ай бұрын

    Haleuya

  • @user-df2zm8gv1j
    @user-df2zm8gv1j6 ай бұрын

    Mungu azidi kukutumia mwanangu endelea kumtumikia Mungu kwa nguvu nakwa ujasili.

  • @Patrickmwakinunu
    @Patrickmwakinunu6 ай бұрын

    Kaz nzur wana wa Mungu 9c song hatuna budi kumshukuru Bwana kwa yote aliyotutendea

  • @medardshula4203
    @medardshula42036 ай бұрын

    Ubarikiwe na Yesu kwa wimbo huu mzuri wa Shukrani kwa Mungu 🔥🔥🔥

  • @uzimatv3464
    @uzimatv34646 ай бұрын

    Hongereni sana

  • @RAINERMovers
    @RAINERMovers4 ай бұрын

    Am so blessed from Mombasa Kenya

  • @lizzyfelix8819
    @lizzyfelix88196 ай бұрын

    Kazi nzuri ❤Mmpendeza pia

  • @BensonInternational
    @BensonInternational6 ай бұрын

    Bwana Mimi ninayo furaha sanaaaa🙌🙌🙌🙌🔥🔥

  • @mpemwalupogo
    @mpemwalupogo6 ай бұрын

    Bwana ninayo furaha Kwa yote ulio nitendea ,,libarikiwe jina la Bwana

  • @juliethmariki1743

    @juliethmariki1743

    4 ай бұрын

    Amen

  • @yadahtanzania1965
    @yadahtanzania19656 ай бұрын

    Tuko live.. waiting!

  • @stevenmkasimongwa2090
    @stevenmkasimongwa20906 ай бұрын

    BWANA Ninayo furaha kwa yote uliyonitendea, nasema asante. Past Jastine and his team 🔥🔥😊😊

  • @marthasweebert9687
    @marthasweebert96876 ай бұрын

    simply the best

  • @user-tx3uv3dv6r
    @user-tx3uv3dv6r6 ай бұрын

    Mbarikiwe saana ❤❤❤

  • @faustaNgalya
    @faustaNgalya6 ай бұрын

    🔥🔥

  • @christabibukenya4097
    @christabibukenya40976 ай бұрын

    Bwana ninayo furaha kwa yote...you have done for me,I am truly grateful ❤

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben76186 ай бұрын

    Ninakuona Mbali minister I'm so proud of you ubarikiwe sana ukawe heri

  • @eliokyomo
    @eliokyomo6 ай бұрын

    BWANA amefanya mambo mengi mazuri na hiyo ndiyo furaha yetu 🎉

  • @elizabethsaibo8819
    @elizabethsaibo88192 ай бұрын

    Powerful song

  • @user-eu9hr7tu4n
    @user-eu9hr7tu4n6 ай бұрын

    ❤❤

  • @princepiuslucas1457
    @princepiuslucas14576 ай бұрын

    AMEEEEEN AMEEEN

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes35966 ай бұрын

    Bwaaana ninasema

  • @mariamnkenzi3651
    @mariamnkenzi36516 ай бұрын

  • @mariarwechu9413
    @mariarwechu94136 ай бұрын

    Waiting 🎉🎉🎉

  • @emmanuelsamwel741
    @emmanuelsamwel7416 ай бұрын

    Favorite song, since 2023 to this year 🎉 ..Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥

  • @StevenMunugwa
    @StevenMunugwa6 ай бұрын

    Nigerian translated style. Very anointed performance. Hongera

  • @obadiakalinga9985
    @obadiakalinga99856 ай бұрын

    AmeniiiAmen 🙏

  • @user-nm5mk3cb3w
    @user-nm5mk3cb3w3 ай бұрын

    Bwana ninayo furaaa kwayote uliyo ñtendea🙌🙌🙌🙌🙌🙌😭🙌🙌 Barikiwa Sana mtumishi kwa wimbo mzuriii Mungu azidi kukuinua

  • @godfreymlangali3428
    @godfreymlangali34286 ай бұрын

    Ubarikiwe sana kwa mwimbo mzuri wakumshukuru Mungu....🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @BensonInternational
    @BensonInternational6 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @piusnkwale
    @piusnkwale6 ай бұрын

    Amen

  • @yahayajafari2814
    @yahayajafari28146 ай бұрын

    Ameni

  • @user-em7dj8bb5h
    @user-em7dj8bb5h6 ай бұрын

    I'm blessed 🙌🙌💫

  • @GloryJaphet-uy6qw
    @GloryJaphet-uy6qw5 ай бұрын

    Ninasema asante Bwana ❤❤😢umenilinda na magonjwa umeilinda family yangu nakushukulu Kwa mengi sana oooh halleluya asnte asante Bwana anlsnte Bwana❤Mungu akubariki mtumishi wa Mungu nimejikuta mpaka 😢😢 nimejikuta nimwenye fraha ya ajabu mnoo baada ya kusikia huu wimbo thanks my dear God

  • @AnzelimJulius-sh2qm
    @AnzelimJulius-sh2qm6 ай бұрын

    Kazi yako ni njema Mungu akytumie zaidi

  • @richardbunne722
    @richardbunne7226 ай бұрын

    Yesu akutunze na kukuinua Mtu wa Mungu

Келесі