Jastin Asifiwe & Wana wa Asafu - Bwana Ninayo Furaha (Official Live Video)
Музыка
Jastin Asifiwe & Wana wa Asafu - Bwana Ninayo Furaha (Official Live Video)
#bwananinayofuraha #wanawaasafu #jastinasifiwe
Video Production: @directordixon and the team
Audio Capturing and Mixing: Mitchell Mike Jr
Sound System: Sound Solution
Venue: Ufufuo na Uzima Ubungo Cathedral
----------------------------
Musicians
----------------------------
MD: @imaniericshoo
Drummer: @zablonlameck5586
Second Key: Joel
Lead Guitar: Dan Father
Bassist: Michael
Aux: Victor Chambi
Percussion: @mrmagnificent
---------------------------
Special Thanks
---------------------------
Bishop Dr Josephat Gwajima
Bishop Baraka Thomas Tegge
Rudisha Media
Wana wa Asafu
Chuma Hunoa Chuma
---------------------------
Lyrics
---------------------------
Bwana ninayo furaha
Kwa yote uliyonitenda
Bwana ninayo furaha
Ninasema asante Bwana
Пікірлер: 209
Very Powerful song for JESUS
@jastinasifiwe4877
6 ай бұрын
Glory to God Powerful Man of God
@innocentmagwanji5997
6 ай бұрын
@@jastinasifiwe4877 Powerful
Very very powerful,am from TikTok
Huu sio wimbo tu Bali ni nguvu za mungu ,may God of heaven bless you good people I love you
Ee BWANA mbariki mtumishi wako, Jastine Asifiwe, Amina
Hongera sana justin kwa hatua hii hakika ni maombi yangu kwa Mungu ya kwamba aendelee kukuinua viwango hata viwango Amina
Bwana ninayo furaha kwa yote uliyonitendea ninasema Asante.. Nabarikiwa sana.. mbarikiwe pia
Mungu akuinue zaidi mtumishi
Bwana Ninayofuraha kwa yote Umenitendea Bwanaa ...Ninasema Asante 🎉
❤❤❤🎉🎉🎉Hongera sana Kenya🇰🇪 Tunabarikiwa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳
Saf kaka
🔥🔥🔥🔥
Bwana ninayo furaha Majeshi majeshii
Wimbo mtamu sana, nimeusikiliza tena na tena na tena. Jastin ubarikiwe, kundi lote la wana wa Asafu libarikiwe.
Kuna Dada hapo mbele anadance kwa nguvu zaidi. Abarikiwe sana.
Bwana ninayo furaha Ninasema Asante Bwana 🙏❤
Hongera Mungu akuongezee mafuta yake ya kiungu upaeeee juu sana
Hongera sana ndugu yangu kwa hatua hii kubwa sana. Mungu Azidi kukuinua kaka. Huduma yako ni kubwa sana.
@jastinasifiwe4877
6 ай бұрын
My brother asaante saana
@faithchuwa9693
6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Minister Mruma ku- appreciate utumishi wa wengine.
@fannykikoti7108
6 ай бұрын
@@jastinasifiwe4877Karibu sana kanisa la PHM Mkwawa-Iringa Nawakubari sana hapa Ufufuo na uzima
@ibratpascal4225
6 ай бұрын
God bless you
@joycekuria6615
6 ай бұрын
@@faithchuwa9693😊
Blessed More Kamanda 🤝
Ninani aliye andika wimbo huyo🎉🎉jamani nyimbo hiyo inanibariki sana
Nabarikiwa na huduma yako Mungu akuinue katika viwango vya juu
Huyu ndiye Jastin wa ndani hakika
Hallelujah hakika ninayofura Kwa yote uliyonitendea
Bwana ninayofuraha sanaaaaaa
Ndugu Yangu 🙌🙌🙌🙌🔥
Hakika Bwana sina manen mengi zaidi ya kusema Asante Mungu akabariki wa wimbo wa majira
Hongera Sana, Kazi ni njema, Nasema asanteee Yesu😊
BWANA ninayo furaha
God bless you Jastin🙌Wewe ni baraka kwa kizazi hiki...Mungu akuongeze
Be blessed much Man of God
Ubarikiwe sana kaka
Barikiwa
Baraka tele ....sifa zote kwa Bwana Yesu 🎉
Bwana Ninayo Furaha............ Ninasema Asante Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Oooh Halleluuuyah God bless you Man of God
Ninasema Ahsante Bwana
🔥🔥🙏🙏🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Hallelujah 🙌 hakika Bwana ninayo furaha kwa yote Umenitendea 2023& 2024🙏
Halleluyah Nabarikiwa na wewe jasusi la mbinguni❤❤
YESU akubariki mtumishi wa MUNGU Jastin wimbo mzuri mnooooo
Ninasemaaaaaaaa.......Asante Bwanaaa....
Kwa Yesu raha sana,,nmebarikiwa sana
Bwana Bwana Bwanaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Be blessed kijnaa
Am waiting... from powerful man of GOD
AM LATE BUT MUNGU AZIDI KUKUONGEZA, NA WATU WOTE WAJIBARIKIE KWA HUDUMA YAKO KAKA BE BLESSED NA BARIKIWA MIMI KWANZA MAANA NAKUPENDA KAKA RESPECT KWA KWELI MUNGU ANA KIFAA
Furaha ninayo kwakwer
Wimbo uko na nguvu kubwa ya Mungu na Nafurahi kuiona ibada ndani ya wimbo huu...
Ninasema Asante Bwana Kwa yote uliyonitendea!! Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu Kwa huduma nzuri, Mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaidi!!
Kweli Bwana ametupa furaha,hatuna budi kusema Asante Yesu.❤❤❤ Hongera Sana Mtu wa Mungu,Kerubi
Notification on
🔥🔥 Mwalimu Justine Asifiwe, Mungu azidi kukuinua
Ninasema Asante Baba Ninasema Asante Baba, 🔥 🔥 🔥
Ninayo fraha kwa yote uliyonitendea Bwana 😢🙏
Unalitendea Vyema kusudi lako hapa duniani Mungu akutunze pastor Jastin ,na wana wa asafu pia Ni Njema sana !
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
Hongera sana Jastin, nakuona mbali sana kwenye tansia ya uimbaji, hongera mno, karibu nchi ya ahadi Tabora
Nimebarikiwa sana na uhu wimbo Jastin Asifiwe Mungu akutumie zaidi katika viwango vya juu zaid
Nimebarikiwa kupitia huu wimbo
Asante kwa yote Bwana
Ninayo furaha kwa kulinda nchi yetu Ya Tanzania na kulibda viongozi wetu wa nchi.
Hongera Sana Pastor Jastin Asifiwe
Ninabarikiwa na kutiwa nguvu jamani Mungu akutumie zaidi hakika Si wewe Bali Kristo aliyendani yako
🎉🎉
Wimbo wenye nguvu ya MUNGU. ubarikiwe sana brother Asifiwe kurekodi wimbo huu. Nimekuwa nikiutafuta sana. Uzidi kufanikiwa sana katika utumishi huu.
@jastinasifiwe4877
6 ай бұрын
Amen amen
Haleuya
Mungu azidi kukutumia mwanangu endelea kumtumikia Mungu kwa nguvu nakwa ujasili.
Kaz nzur wana wa Mungu 9c song hatuna budi kumshukuru Bwana kwa yote aliyotutendea
Ubarikiwe na Yesu kwa wimbo huu mzuri wa Shukrani kwa Mungu 🔥🔥🔥
Hongereni sana
Am so blessed from Mombasa Kenya
Kazi nzuri ❤Mmpendeza pia
Bwana Mimi ninayo furaha sanaaaa🙌🙌🙌🙌🔥🔥
Bwana ninayo furaha Kwa yote ulio nitendea ,,libarikiwe jina la Bwana
@juliethmariki1743
4 ай бұрын
Amen
Tuko live.. waiting!
BWANA Ninayo furaha kwa yote uliyonitendea, nasema asante. Past Jastine and his team 🔥🔥😊😊
simply the best
Mbarikiwe saana ❤❤❤
🔥🔥
Bwana ninayo furaha kwa yote...you have done for me,I am truly grateful ❤
Ninakuona Mbali minister I'm so proud of you ubarikiwe sana ukawe heri
BWANA amefanya mambo mengi mazuri na hiyo ndiyo furaha yetu 🎉
Powerful song
❤❤
AMEEEEEN AMEEEN
Bwaaana ninasema
❤
Waiting 🎉🎉🎉
Favorite song, since 2023 to this year 🎉 ..Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
Nigerian translated style. Very anointed performance. Hongera
AmeniiiAmen 🙏
Bwana ninayo furaaa kwayote uliyo ñtendea🙌🙌🙌🙌🙌🙌😭🙌🙌 Barikiwa Sana mtumishi kwa wimbo mzuriii Mungu azidi kukuinua
Ubarikiwe sana kwa mwimbo mzuri wakumshukuru Mungu....🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen
Ameni
I'm blessed 🙌🙌💫
Ninasema asante Bwana ❤❤😢umenilinda na magonjwa umeilinda family yangu nakushukulu Kwa mengi sana oooh halleluya asnte asante Bwana anlsnte Bwana❤Mungu akubariki mtumishi wa Mungu nimejikuta mpaka 😢😢 nimejikuta nimwenye fraha ya ajabu mnoo baada ya kusikia huu wimbo thanks my dear God
Kazi yako ni njema Mungu akytumie zaidi
Yesu akutunze na kukuinua Mtu wa Mungu