Thank you for allowing God to use you in our times... This has truly lifted me❤❤❤
@amospius166011 ай бұрын
Unajua brother 🙌🏽
@bensonmtabazi707811 ай бұрын
Mungu akuinue sana mtu wa Mungu,shujaa jitu la mbinguni Jastin Asifiwe,wimbo huu ukaguse watu Mataifa yote wamjue Kuwa Yesu ndiye wakuaminiwa na kumpa sifa siku zote🙏🙏🙏🙌🙌🙇🙇🙇🙇
@JuliusMwemezi
11 ай бұрын
👍
@happypaul953711 ай бұрын
Hongera Sana Kaka 🙌🙌🙌🙌
@carenalex472911 ай бұрын
Tabibu YESU😭. Ubarikiwe sana minister Jastin, Mungu akuinue zaidi na zaidi
@eliyazephania69711 ай бұрын
Barikiwa Sana Mkuuu
@user-vo7mf7oq3x11 ай бұрын
Tabibu wa Karibu ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Yesu Akutunze sana MoG
@gsokya93711 ай бұрын
Kaka asifisiwe!kwa jinsi ulivyo mnyenyekevu katika huduma, huu ndo mwanzo wa kuonekana matunda ya kipawa ulichopewa na Bwana,endelea kujishusha na kuwa wa kawaida Mungu atakufikisha mbali sana,Amen!
@christabibukenya409711 ай бұрын
Blessings to you man of God 🙏 Karibu Kenya
@PatrickKigava-lr4el11 ай бұрын
Mungu akuinue sana mwanangu Jastin, kaza kumcha Mungu na kuepukana na uovu, utauona uzuri wa Bwana. Nimeguswa sana sana sana sana na huduma yako. Umebarikiwa na Yehova ewe Mzao mteule 🙏🙏.
@mckingmojojo36311 ай бұрын
Mungu zidi kumuinua masihiiii wako Jastin Asifiwe hakika sauti na karama ya utumishi wa uimbaji umo zidi kuwa na mafuta hayo hayo huu wimbo uwende mataifa kwa mataifa yapokee Baraka na Neema yake Kristo Mwokozi. Hongera sana Jastin Asifiwe.
@leonardmbaga896211 ай бұрын
Hongera mtoto wa Baba , utukufu
@agathalinus753811 ай бұрын
Daah aisee nyimbo mzuri sauti ndo usiseme daa inaupako ndani yke
@reubenmayaya866211 ай бұрын
Mungu azidi kukutunza sana Justin ili uweze kutima kusudi la Mungu Duniani.
@meladluvanda876511 ай бұрын
Yesu ww n Tabibu wa Karibu na WA Kweli 🙌🙌🙇🙇
@arnoldbenedict389411 ай бұрын
Hakika ni Tabibu wa karibu naaam wa ajabu.
@eliudmapunda70973 ай бұрын
Kazi njema Mungu akupe Neema nyingi kazika kazi yako🙌
@user-qn2ti3me3j11 ай бұрын
Kazi njema sana mwana wa Mungu,tuletee na nyingine
@karenkanewe4236 ай бұрын
The anointing is great. Someone can soak in worship until they forget they are alive in the body.
@priscillaowade20623 күн бұрын
You've brought it out wonderfully,!!!,,Be Blessed my brother.
@meshackmodestemanuel77811 ай бұрын
Hongera sana kaka ila tunaomba next time if possible sauti yako iwe center
@martinalazaro976311 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua sana
@JosephJoseph-vz8jb11 ай бұрын
😢🤲🙇🏼♂️hakika Malaika wa Bwana na wanisaidie kuimba
@elizabethclement898811 ай бұрын
Ndugu yangu kazi yako ni njema sana uishi tuuu kaka wewe silaha iliyojazwa ujuzi wa kushinda vita
@gideonimathew64919 ай бұрын
Mungu akubariki endelea kumtukuza Yesu
@vicentjoseph688811 ай бұрын
Pweke limetukuka Jina la YESU....🙌🙌🙌🙌🙌
@kelvinemmanuel-wg9rs6 ай бұрын
PERSON OF GOD MUNGU AKULINDE NA AKUPE MAISHA MAREFU KWAAJILI PIA YA KUGUSA MIOYO YA WATU WOTE NA KUPITIA WEWE VIJANA WAAMASIKE KUMTUMIKIA MUNGU LOVE YOU AND POWER OF GUD INSIDE YOU
@fidelisfrank442011 ай бұрын
Anaejua anajua tu bwana bro ur the best among the besters
@nethosiame1411 ай бұрын
Ndiyoo Bwana Ndiyooo Bwanaaa. Mungu akubariki Sanaa mtumishiiii. Nyimboo nzurii sanaaa ya Viwangoo
@sechesimba534111 ай бұрын
Hii nyimbo imeniinua kiimani🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@isayamwakabenga362111 ай бұрын
Tabibu wa karibu ,Tabibu wa ajabu ni Yesu 👋👋👋 Barikiwa mtu wa Mungu
@timizanafrikamedia546411 ай бұрын
Jitu la mbinguni
@farajakayuki11 ай бұрын
Mungu akuinue kwa viwango vya juu🎉🎉🎉
@pastoremmanuelinyakamweeli641911 ай бұрын
Huu wimbo ni chakula Cha Moyo wangu. Songa mbele Mtu wa Mungu
@agathalinus753811 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua jastine hakika mungu mwema mwema
@SautiYanyikani-os8vb11 ай бұрын
Hongera sana mtu wa Mungu kristo yuu pamoja nawe
@franksam58489 ай бұрын
Namwona Mungu kupitia wewe barikiwa sana
@ministermossesmungure11 ай бұрын
Powerful Song Man of the Most High Living God 🙌🙌🙏🙏🙌🙌🙌
@user-zb2zu4tv3f9 ай бұрын
Hallelujah 🙏 ❤ saut inapenya mpak moyon balikiwe
@samwel27689 ай бұрын
Ubarikiwe Sana wimbo mzuri mungu azidi kukuinua
@ishengomajosephofficial186111 ай бұрын
From Tenzi to mediation song Hongera sana Mtumishi wa Mungu Endelea mbele zaidi watu wanahudumiwa....
@gladetatarimo491311 ай бұрын
Songa mbele mwana wa Mungu
@danysibu11 ай бұрын
Nice Bro
@princepiuslucas145711 ай бұрын
Jasus la mbinguni
@lucemomwihambi55524 ай бұрын
Ni nzuri sana hii
@joshcleopa885911 ай бұрын
MY ALL TIME FAVORITE, TWAIMBA SIFA ZA BWANA SI ZETU, PWEKE LIMETUKUKA JINA LA YESU
@dishonikamangu97999 ай бұрын
GOD BLESS YOU MY BROTHER. THE ALMIGHTY GOD WILL LIFT YOU UP THAN YOU'RE TODAY.
@Haule-fe5qe11 ай бұрын
Mungu akuinue sina cha kukupa this song 😢😢😢😢
@jacquelinefrank539911 ай бұрын
Song of elevation🙌🏽bless up bigbro✊🏽
@Mwl_Lupimo_9 ай бұрын
The powerfully Song. Blessed More my friend
@denizalugendo433011 ай бұрын
🔥🔥💪songa mbele nduguang kazi yako ni njema
@RedemtaHiliza-iq9jm11 ай бұрын
Glory to God, mungu wa mbinguni azidi kukupandisha katika Katika viwango vya juu
@Philipoyassiry11 ай бұрын
Amen umekuwa mwalimu kwangu servant of God
@kayumbasosthenes35966 ай бұрын
Amen amen
@citovunjabeilimitedcompany445511 ай бұрын
Brother 😢😢😢😢unani bariki sana mtu wa Mungu 😊
@sechesimba534111 ай бұрын
Imbeni Malaika sifa za Yesu Bwana, kazi ni njema sana Mwalimu Justine 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@saraphinehaji531711 ай бұрын
Hongera sana mwana wa Mungu
@pilehkumpaul303411 ай бұрын
Mungu akubariki sana Kwa zawadi ya kiroho
@emmanuelsamwel74111 ай бұрын
Much love from 🇰🇪🔥❤
@annwambui2319 ай бұрын
God bless you Justin.... this is powerful.. all. glory to Jesus
@moberoministries361011 ай бұрын
Najivunia kukujua ..Good Deeds live
@user-cj7js8sk6m11 ай бұрын
Hongera sana mtu wa Mungu
@angelmsuya74239 ай бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
@SarahWegah-tw1vl11 ай бұрын
Hongera sana Mungu amekutunuku zawadinzuri inayopendwa nawengi haswa mimi, uzidishiwe zaidi mtoto wa Yesu kristo
@madamrachel79311 ай бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah thank you Jesus 🙌🏻🙌🏻 zidi kuinuliwa sana JASTIN ❣️🙌🏾
@nelsonmaganya539111 ай бұрын
Asante mungu wetu kwa neema. Yako🙏
@AnnaReubenReuben-tl2fw11 ай бұрын
Hii nyimbo 🔥🔥🔥 hongera sana Mwalimu Jastine
@gemmaboniface188411 ай бұрын
Kaka angu hongera sana 🙏🙏🙏
@lilianmasaki210911 ай бұрын
Amen 🙏
@josephmichael843811 ай бұрын
NI TABIBU WA KARIBU... NIMEBARIKIWA NA WIMBI
@joshuabaharia9311 ай бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah 🙌🙌🙌🙌 My brother I nkow you nkow that your ministry is really blessed me and the world aisee Mungu akutunze rafiki yangu Man of God 🙌🙌🙌🙌 #tabibu# #tabibu# #justineAsifiwe# #Jesus hope#
@joshuanziku573611 ай бұрын
Yes, Yes 🤗
@anyambaduncan973611 ай бұрын
Am blessed,am from Kenya na tafadhali be consistent with this channel
@inukaonlinetv796911 ай бұрын
....ni dawa yake njema..wooooooo
@peasantfarms461611 ай бұрын
Pongezi nyingi sanaa
@forgeneliud355611 ай бұрын
Always powerful brother 💪🔥🔥🥰
@madamrachel79311 ай бұрын
Oooh YESU 🙇🙌🏾🙌🏾
@upendomlay933222 күн бұрын
Hallelujah 🙌
@rosekigelulye390411 ай бұрын
Wimbo unabariki saana hongera👏👏
@mariarwechu941311 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@happypaul953711 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥 powerful song😭😭🙌🙌🙌🙌
@SarahKiula-vf1mo11 ай бұрын
Powerful song 🙇 hongera sana 👏👏 mwl wangu mwema MUNGU aendlee kukutumia na akuinue zaidi🙏
@musamalos754911 ай бұрын
Powerful anointing voice
@madamkissakeneth228611 ай бұрын
Sauti yako tu mimi nimebarikiwa hakika Mungu atukuzwe kwa kipawa alichokupa
@AmaniMwafyuma11 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌
@SaimonySamson11 ай бұрын
Amenn 🙌🙌🙌🙌
@nguvuyamaonomedia9 ай бұрын
Very powerful and anointing song 🙌🙌
@hariethkiliaki791411 ай бұрын
Amina
@richmondfrancis3622
11 ай бұрын
Inabidii tukubadili jina tusikuite jagwe tena aisee
@yesumfalme5798Ай бұрын
MUNGU AWABARIKI SANA MAJASUSI YA.MBINGUNI NAWAPENDA
@paschalalexander11 ай бұрын
Glory to God. Congratulations man of God. I appreciate your ministry , you bless me so much. More grace, more revelation , more anointing 🙌🙌🙌🙌🙌
Пікірлер: 158
Thank you for allowing God to use you in our times... This has truly lifted me❤❤❤
Unajua brother 🙌🏽
Mungu akuinue sana mtu wa Mungu,shujaa jitu la mbinguni Jastin Asifiwe,wimbo huu ukaguse watu Mataifa yote wamjue Kuwa Yesu ndiye wakuaminiwa na kumpa sifa siku zote🙏🙏🙏🙌🙌🙇🙇🙇🙇
@JuliusMwemezi
11 ай бұрын
👍
Hongera Sana Kaka 🙌🙌🙌🙌
Tabibu YESU😭. Ubarikiwe sana minister Jastin, Mungu akuinue zaidi na zaidi
Barikiwa Sana Mkuuu
Tabibu wa Karibu ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Yesu Akutunze sana MoG
Kaka asifisiwe!kwa jinsi ulivyo mnyenyekevu katika huduma, huu ndo mwanzo wa kuonekana matunda ya kipawa ulichopewa na Bwana,endelea kujishusha na kuwa wa kawaida Mungu atakufikisha mbali sana,Amen!
Blessings to you man of God 🙏 Karibu Kenya
Mungu akuinue sana mwanangu Jastin, kaza kumcha Mungu na kuepukana na uovu, utauona uzuri wa Bwana. Nimeguswa sana sana sana sana na huduma yako. Umebarikiwa na Yehova ewe Mzao mteule 🙏🙏.
Mungu zidi kumuinua masihiiii wako Jastin Asifiwe hakika sauti na karama ya utumishi wa uimbaji umo zidi kuwa na mafuta hayo hayo huu wimbo uwende mataifa kwa mataifa yapokee Baraka na Neema yake Kristo Mwokozi. Hongera sana Jastin Asifiwe.
Hongera mtoto wa Baba , utukufu
Daah aisee nyimbo mzuri sauti ndo usiseme daa inaupako ndani yke
Mungu azidi kukutunza sana Justin ili uweze kutima kusudi la Mungu Duniani.
Yesu ww n Tabibu wa Karibu na WA Kweli 🙌🙌🙇🙇
Hakika ni Tabibu wa karibu naaam wa ajabu.
Kazi njema Mungu akupe Neema nyingi kazika kazi yako🙌
Kazi njema sana mwana wa Mungu,tuletee na nyingine
The anointing is great. Someone can soak in worship until they forget they are alive in the body.
You've brought it out wonderfully,!!!,,Be Blessed my brother.
Hongera sana kaka ila tunaomba next time if possible sauti yako iwe center
Mungu azidi kukuinua sana
😢🤲🙇🏼♂️hakika Malaika wa Bwana na wanisaidie kuimba
Ndugu yangu kazi yako ni njema sana uishi tuuu kaka wewe silaha iliyojazwa ujuzi wa kushinda vita
Mungu akubariki endelea kumtukuza Yesu
Pweke limetukuka Jina la YESU....🙌🙌🙌🙌🙌
PERSON OF GOD MUNGU AKULINDE NA AKUPE MAISHA MAREFU KWAAJILI PIA YA KUGUSA MIOYO YA WATU WOTE NA KUPITIA WEWE VIJANA WAAMASIKE KUMTUMIKIA MUNGU LOVE YOU AND POWER OF GUD INSIDE YOU
Anaejua anajua tu bwana bro ur the best among the besters
Ndiyoo Bwana Ndiyooo Bwanaaa. Mungu akubariki Sanaa mtumishiiii. Nyimboo nzurii sanaaa ya Viwangoo
Hii nyimbo imeniinua kiimani🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tabibu wa karibu ,Tabibu wa ajabu ni Yesu 👋👋👋 Barikiwa mtu wa Mungu
Jitu la mbinguni
Mungu akuinue kwa viwango vya juu🎉🎉🎉
Huu wimbo ni chakula Cha Moyo wangu. Songa mbele Mtu wa Mungu
Mungu azidi kukuinua jastine hakika mungu mwema mwema
Hongera sana mtu wa Mungu kristo yuu pamoja nawe
Namwona Mungu kupitia wewe barikiwa sana
Powerful Song Man of the Most High Living God 🙌🙌🙏🙏🙌🙌🙌
Hallelujah 🙏 ❤ saut inapenya mpak moyon balikiwe
Ubarikiwe Sana wimbo mzuri mungu azidi kukuinua
From Tenzi to mediation song Hongera sana Mtumishi wa Mungu Endelea mbele zaidi watu wanahudumiwa....
Songa mbele mwana wa Mungu
Nice Bro
Jasus la mbinguni
Ni nzuri sana hii
MY ALL TIME FAVORITE, TWAIMBA SIFA ZA BWANA SI ZETU, PWEKE LIMETUKUKA JINA LA YESU
GOD BLESS YOU MY BROTHER. THE ALMIGHTY GOD WILL LIFT YOU UP THAN YOU'RE TODAY.
Mungu akuinue sina cha kukupa this song 😢😢😢😢
Song of elevation🙌🏽bless up bigbro✊🏽
The powerfully Song. Blessed More my friend
🔥🔥💪songa mbele nduguang kazi yako ni njema
Glory to God, mungu wa mbinguni azidi kukupandisha katika Katika viwango vya juu
Amen umekuwa mwalimu kwangu servant of God
Amen amen
Brother 😢😢😢😢unani bariki sana mtu wa Mungu 😊
Imbeni Malaika sifa za Yesu Bwana, kazi ni njema sana Mwalimu Justine 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Hongera sana mwana wa Mungu
Mungu akubariki sana Kwa zawadi ya kiroho
Much love from 🇰🇪🔥❤
God bless you Justin.... this is powerful.. all. glory to Jesus
Najivunia kukujua ..Good Deeds live
Hongera sana mtu wa Mungu
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
Hongera sana Mungu amekutunuku zawadinzuri inayopendwa nawengi haswa mimi, uzidishiwe zaidi mtoto wa Yesu kristo
Hallelujah hallelujah hallelujah thank you Jesus 🙌🏻🙌🏻 zidi kuinuliwa sana JASTIN ❣️🙌🏾
Asante mungu wetu kwa neema. Yako🙏
Hii nyimbo 🔥🔥🔥 hongera sana Mwalimu Jastine
Kaka angu hongera sana 🙏🙏🙏
Amen 🙏
NI TABIBU WA KARIBU... NIMEBARIKIWA NA WIMBI
Hallelujah hallelujah hallelujah 🙌🙌🙌🙌 My brother I nkow you nkow that your ministry is really blessed me and the world aisee Mungu akutunze rafiki yangu Man of God 🙌🙌🙌🙌 #tabibu# #tabibu# #justineAsifiwe# #Jesus hope#
Yes, Yes 🤗
Am blessed,am from Kenya na tafadhali be consistent with this channel
....ni dawa yake njema..wooooooo
Pongezi nyingi sanaa
Always powerful brother 💪🔥🔥🥰
Oooh YESU 🙇🙌🏾🙌🏾
Hallelujah 🙌
Wimbo unabariki saana hongera👏👏
🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥 powerful song😭😭🙌🙌🙌🙌
Powerful song 🙇 hongera sana 👏👏 mwl wangu mwema MUNGU aendlee kukutumia na akuinue zaidi🙏
Powerful anointing voice
Sauti yako tu mimi nimebarikiwa hakika Mungu atukuzwe kwa kipawa alichokupa
🙌🙌🙌🙌🙌
Amenn 🙌🙌🙌🙌
Very powerful and anointing song 🙌🙌
Amina
@richmondfrancis3622
11 ай бұрын
Inabidii tukubadili jina tusikuite jagwe tena aisee
MUNGU AWABARIKI SANA MAJASUSI YA.MBINGUNI NAWAPENDA
Glory to God. Congratulations man of God. I appreciate your ministry , you bless me so much. More grace, more revelation , more anointing 🙌🙌🙌🙌🙌
🙌🙌🙌
Glory to God
Yesu Yesu 🙌 🙌🙌
Amen 🙏🙏🙏
Ameen
So powerful annoited by holyspirit
Hallelujah praise the Lord 🙌
Be blessed much Man of God
🙏🙏🙌
He is a great physician❤