JAMAA CHIEF GODLOVE ANAEJISIFIA KUWA NA HELA INASEMEKANA ANAWEKA VIBAO ILI AONEKANE ANA HELA NYINGI

Ойын-сауық

Mambo yamezidi kuwaka huko mtandaoni watu wanazidi kuweka ushaidi kuwa ChiefGodlove hana Pesa.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 121

  • @chachamarwa7286
    @chachamarwa72868 ай бұрын

    wabongo kwa kuchunguza tuko makini aisee

  • @adambunduki4524
    @adambunduki45249 ай бұрын

    Daaa! Ukiangalia kwa haraka huwez gungua da! Ila watu kwa kuchunguza noma

  • @allykhalfan9513
    @allykhalfan95138 ай бұрын

    Duhhhhh sio poa Hongera ndugu mtangazaji kwa kutujuza kitu ambacho tulikuwa hatukijui

  • @Shuugan
    @Shuugan9 ай бұрын

    Amna kitu apo ila ata kuji brandi ivo ni moyo na niviji senti pia 😂😂😂

  • @hermanarron5341
    @hermanarron53419 ай бұрын

    Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅

  • @faidhacute
    @faidhacute9 ай бұрын

    Hakuna cha kuona wivu ukwel kuwa huyu jamaa hana pesa na mwenyew kasema

  • @omarkioko3602
    @omarkioko36029 ай бұрын

    Hebu jiulizeni ...mshawahi ona Bakhresa ama mtoto wake akipanga Hela namna hio !? Na akiamua kupanga Hela zake ....bunge la Tanzania litajaa noti na Bado zikose za pa kuwekwa

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo9 ай бұрын

    Sauti ya mtangazaji mbaya. Kama sio pesa sinatuhusu nini na ww igiza Kama nae anaigiza

  • @hermanarron5341
    @hermanarron53419 ай бұрын

    Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅 hatari sana

  • @kichbosanga2188

    @kichbosanga2188

    9 ай бұрын

    Wanatunduma wote tukutane hapa

  • @wozanawewoz979

    @wozanawewoz979

    9 ай бұрын

    Pamoja na Nakonde😂 nilipita uko nimekumbuka mbali nikabadilisha na vipaundi vyanguu😂

  • @bobchillax8300
    @bobchillax83009 ай бұрын

    mwamba anmuonea wivu mwana...mwana ana vumba bhanaa

  • @YusterTitus-vz1cq
    @YusterTitus-vz1cq9 ай бұрын

    Kwani watu wameona kuwa pesa ni nini labda kama tunakufa tunaziacha unazitambia nini ni upuuzi tu

  • @fabian1212
    @fabian12129 ай бұрын

    Dada unaongea sana unabore na kiingereza chako cha mchongo

  • @jeffyjerry8129

    @jeffyjerry8129

    9 ай бұрын

    Kweli ana zingua

  • @manajr9155

    @manajr9155

    9 ай бұрын

    Anakera hasa, mm nikimsikia yeye kwenye habari zao Tyr najuwa hapa hamna kitu. Dada mbona wenzako hawabwabwaji hivyo

  • @youngchoppa-ik9uo
    @youngchoppa-ik9uo3 ай бұрын

    devo king nampendasana

  • @user-mk6vm8ub2u
    @user-mk6vm8ub2u9 ай бұрын

    Huyo jamaa anapesa kweli

  • @jeffyjerry8129
    @jeffyjerry81299 ай бұрын

    Jamaa pesa anayo sema watu wivu tu

  • @adambunduki4524

    @adambunduki4524

    9 ай бұрын

    Ndio pesa anayo ila angalia vizur upande wa kushoto kwako kwenye hilo burungutu elfu 10 imejikunja kibao kimeonekana

  • @ricklandennis

    @ricklandennis

    8 ай бұрын

    Hana hela bro wenye hela hawana mbwembwe hizo na kwann anatumia nguvu kubwa mpaka vibao

  • @dallahone2274
    @dallahone227416 күн бұрын

    Wazee wa ku zooom😳😳😳😳🤣🤣🤣🤣

  • @iamk2me
    @iamk2me9 ай бұрын

    Amna ukiwa na pesa nyingi ukizirekod Hua zinagoma Wakati mwengine 😂😂😂

  • @RichimondEliaUgwego
    @RichimondEliaUgwego3 ай бұрын

    Maskini mbwa takataka, Wana Wivu, lakini Mimi ninachojua Chief Ana pesa nyingi Sana, Sasa Acheni wivu nyie maskini,kenge,😔✌️

  • @KhadijaMussa-wf9up
    @KhadijaMussa-wf9up9 ай бұрын

    Mtangazaji punguza mbwembwe kwenye habari, unachefua yaan m2 anakosa ham ya kuendelea kusikiliza

  • @Janja20b-o-y
    @Janja20b-o-y5 ай бұрын

    Kweli kama ni Pesa mbona Sisi atupatiye anipe kwanza njo nijuwe ni Pesa

  • @Mtazyinstrumental
    @Mtazyinstrumental9 ай бұрын

    Usikute anawatapel watu

  • @omarkioko3602
    @omarkioko36029 ай бұрын

    Huyo fala tuu ...Hana Hela zozote maskini mlala hoi ...pesa haioneshwi ...pesa inajotoa yenyewe ...na ukiona mtu anijisifu Yuko na pesa jua huyo ni panya wa kanisani ama bangunangu

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile59429 ай бұрын

    Oya rick kausha izi mambo zitakukata KWA sababu hazita kuongezea wafatiliaji ivi awe anahela ama hana hela nyinyi kinapungua nini ama kinaongezeka nini

  • @saidkanji9882

    @saidkanji9882

    9 ай бұрын

    Wajinga Kuna vingi vya kufanya

  • @3venture180
    @3venture1808 ай бұрын

    Iringa mpaka dar sio safari rahisi acha awatishie mbao za kwao😂

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas22719 ай бұрын

    Asawan Elphas from KENYA acheni wivu hizo ni pesabana

  • @mrsinia3064
    @mrsinia30649 ай бұрын

    ila jamaa anatupiga kwakwer mweny hela hajitangazi kwanz ili iweje kwa mfano 🙄🙄

  • @user-tp2mw3kn1s
    @user-tp2mw3kn1s9 ай бұрын

    Nipesa izo

  • @_pr2yq
    @_pr2yq8 ай бұрын

    Hizo pesa bwana watyu wanawivu sana ukipata pesa mchawi ukiwa maskini ugishugulishi sasa afanye nn kila mmoja anautafutaji wake sasa kaweka vibao ajaweka ayawahusu acheni ushamba😂😂😂😂😂

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z9 ай бұрын

    Naijua iyo

  • @ZackyFlavour-po3os
    @ZackyFlavour-po3os9 ай бұрын

    Jamaa anahela kweli ila anazidishaga mbwembwe anapesa ya kawaida sio kama anavyo aminisha watu

  • @akimanaarlene851

    @akimanaarlene851

    9 ай бұрын

    Hana pesa ni fake za attetion😅😅😅

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula22278 ай бұрын

    Mwenye Pesa uwa hajionyeshiii huyo ana mawazo ya kimasikin

  • @rayt984
    @rayt9849 ай бұрын

    FAKE IT UNTIL YOU MAKE IT🎉🎉🎉

  • @mussa4413
    @mussa44139 ай бұрын

    Kweli Siyo Hela.

  • @fidembembela3010
    @fidembembela30105 ай бұрын

    Ela anazoo

  • @user-tr6gd1sj5w
    @user-tr6gd1sj5w9 ай бұрын

    Izo pesa bhana

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67706 ай бұрын

    Nyie vp tafuteni pesa hizo ni pesa kwani pesa haziwezi milikiwa na binadam?

  • @timothntanwa1990
    @timothntanwa19903 ай бұрын

    Hizo ni pesa JAMA anaheha

  • @erastomgimba4176
    @erastomgimba41766 ай бұрын

    Oi amna k2 apo

  • @user-gw7qs2zx2i
    @user-gw7qs2zx2i8 ай бұрын

    Dr kweli atamimi nimeamini siyo zenyewe

  • @alisakasukulu1784
    @alisakasukulu17849 ай бұрын

    😂😂😂

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda31469 ай бұрын

    Anatak kumuiga tekash 😂😂😂 utachanip msamba

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh66189 ай бұрын

    Amekosa adabu Magu amekufa, angekuwepo nidhamu ingepatikana meenyepesa tangu lini kujitangaza, ana Bank nyumbani kwao? Serikali iko likizo au? Huu ni ujinga na hila za utapeli, kwa kazi gani yaliyo nayo?

  • @emmanulvictory507
    @emmanulvictory5078 ай бұрын

    Sas wew kama hujui kama ni kweli. unatangaza nin ??

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61739 ай бұрын

    ACHEN UVIVU NA WIVU.... TAFUTEN HELA.. UPUUZ

  • @user-dk2we4yj3z
    @user-dk2we4yj3z9 ай бұрын

    Kama hujuiii kaaa kmyaa bhax mwandixh wa habari cjui nyingi utafungwa

  • @user-nx1jz6ox2b
    @user-nx1jz6ox2b8 ай бұрын

    Je hatakama vbao unaweza rngana nae

  • @omarmwabege
    @omarmwabege8 ай бұрын

    Yote yanini kujitafutia husuda za bure?!

  • @karimjuma4019
    @karimjuma40199 ай бұрын

    Ela mchezo kwan

  • @HamzaSaid-qc1mu

    @HamzaSaid-qc1mu

    9 ай бұрын

    Acha ushirikina Kuna kufa

  • @farajamelchior4578
    @farajamelchior45789 ай бұрын

    Hahaha jamaa muongo uyo

  • @saidipara4134
    @saidipara41349 ай бұрын

    Kulia kupokezana.😅😅

  • @user-ie1cw1yo8k
    @user-ie1cw1yo8k9 ай бұрын

    Hela Freemason

  • @ChescoMwakipesile
    @ChescoMwakipesile6 ай бұрын

    Bas itakuw ata izo stalee sizakwer

  • @liboriusbabile1197
    @liboriusbabile11978 ай бұрын

    Ginimbi 😂😂😂😂😂

  • @andersonruhenda9081
    @andersonruhenda90818 ай бұрын

    Pesa kidogo hizo ukitakakujua geuza kwenye dollar ndiyo utajua hunapesa kijana

  • @WeremaSagati-ft7ez
    @WeremaSagati-ft7ez9 ай бұрын

    😅😂😂😂😂😂

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody56188 ай бұрын

    Jamaa pesa anayo si izo kazidondosha tumeona kuna wengine ata mia hawana

  • @djscobo8381
    @djscobo83819 ай бұрын

    Cretivity dooh pink manilla paper

  • @mafuja1991
    @mafuja19918 ай бұрын

    Huyu ana ndangu,pesa za majini au ana jini ambaye anampatia hizo pesa

  • @showejikinjekitile5942
    @showejikinjekitile59429 ай бұрын

    Apa akili ndio inatakiwa tumia akili zako zote. Ila weka akiba ya akili ivi inawezekana mutu atumie bibao pesa kudanganya watu ili apate nini kaonyesha malangapi anatoa msada KWA watu na watoto yatima. Ivi ile full track shinga nakatoa KWA watu wangapia acheni kuchafuafua watu nyie media

  • @basekekasusu3186

    @basekekasusu3186

    9 ай бұрын

    Ww huna akili angalia hela OG kaifunga mara moja na hayo mambao kafunga marangap

  • @FastpayMauzo

    @FastpayMauzo

    9 ай бұрын

    Kama Anaigiza na wao si waigize??? Achen kukatisha watu tamaa mbwa Ninyi

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    9 ай бұрын

    Muongo usipoteze muda wako kumfatilia

  • @ricklandennis

    @ricklandennis

    8 ай бұрын

    Kwann ww akili yako haifanyi kazi, huoni katika ya hizo hela Kuna ranga ya pink nyingi hakuna maandishi. Nyie ndio maboya mnauziwaga sabuni badala ya simu huwezi hata kushughulisha ubongo wako kutambua kitu unachokiona kwa macho

  • @geraldbajile7564

    @geraldbajile7564

    8 ай бұрын

    Yeye kaona hii ndio stahiri ya kujipatia kipato kwa kuwadanganya wajinga mwisho wa siku maisha yake yanamuendea

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa7599 ай бұрын

    Na hayo magar anayotumia yote ni fek ya kuzungusha subir tra waone

  • @zahororashid-tw3hz
    @zahororashid-tw3hz9 ай бұрын

    Huna hela mzee acha kuvimba na kiini macho kibao kinaonekana kbsa icho umeweka rangi ya waridi

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange77589 ай бұрын

    Nanyie tafuten sio nyoko nyoko tu

  • @HamisMagazi-nn7bd
    @HamisMagazi-nn7bd9 ай бұрын

    Huyu mchizi kumbe boya 2. Tulijua huwa ananoti kumbe tapeli nyoooo

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb3 ай бұрын

    Pesa anayo mabwege nyie

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl9 ай бұрын

    Wenye pesa hawaoneshi😂

  • @elizabethmasitsa6537

    @elizabethmasitsa6537

    9 ай бұрын

    Hakuna siku wataonyesha kabisa pesa zao ni vile wata hawajui

  • @Mtazyinstrumental
    @Mtazyinstrumental9 ай бұрын

    Si ndo content hela anaga kila cku uwaga nacoment kwao

  • @mordetz
    @mordetz8 ай бұрын

    Popa tunduma apa

  • @kichbosanga2188
    @kichbosanga21889 ай бұрын

    Aisee watu wanachunguza

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe37745 ай бұрын

    Sio za kweli anaweka vibao

  • @chibudenga8977
    @chibudenga89779 ай бұрын

    Uyoo mAku tu

  • @seiffakir8694
    @seiffakir86949 ай бұрын

    Pesa ya Tanzania ovyoo

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar50679 ай бұрын

    Unaongeya saaana dada

  • @youngchoppa-ik9uo

    @youngchoppa-ik9uo

    3 ай бұрын

    nataka ku joinfreemason

  • @samwelmarty6759
    @samwelmarty67599 ай бұрын

    Hela hiyo acha ujinga

  • @user-vc5wo3sn7r
    @user-vc5wo3sn7r9 ай бұрын

    Huyo jamaha Hela anazotu😝

  • @user-fh5on7bb7z
    @user-fh5on7bb7z8 ай бұрын

    Nyinyi kama hamna hela bakieni namajungu yenu kenge nyee mwachani kijana atambe fanyeni kama anavo fanya yeye mbaa nyiee tokeni magetoni mkatafute hela tafuteni hela musitafute umbeya

  • @user-mx3eg1qj1e
    @user-mx3eg1qj1e9 ай бұрын

    Ana kipi cha kumuingizia pesa

  • @mkutiamani
    @mkutiamani9 ай бұрын

    Sema asaiv dadaangu unaweka vionjo vya kuongea mpka unakela duuuh

  • @robertkigelulye9717
    @robertkigelulye97179 ай бұрын

    Mshamba tu uyo wenye huwa hajitapi km yeye !

  • @mjumbewakristo8677
    @mjumbewakristo86779 ай бұрын

    Hamna hela humo

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje9 ай бұрын

    Vibao aiseee

  • @meckiphasonmorewa2944
    @meckiphasonmorewa29449 ай бұрын

    Mnazingua jamaa anapesa kwel

  • @selemanmaganga-le4zg

    @selemanmaganga-le4zg

    9 ай бұрын

    We Mkewe mpaka utusibitishie" Sisi watoto tuliozaliwa mjini tunaijua hiyo michezo.

  • @pedeize4987
    @pedeize49879 ай бұрын

    Jama kawa maarufu sasa

  • @boyfalao6594
    @boyfalao65949 ай бұрын

    Kumbe wasenge mko wengi ivi mnashindwa kufanya yenu mnabaki na majungu acheni usenge taftenk zenu

  • @zamidually744
    @zamidually7449 ай бұрын

    Chief umemtoa mond trending

  • @Nalitumpaboy-dm4tk

    @Nalitumpaboy-dm4tk

    9 ай бұрын

    Acha ufala mwenye hela ajitangazi kma kwl why aifute video

  • @user-jz7bu5ps1j
    @user-jz7bu5ps1j9 ай бұрын

    Acheni ujinga uwowivi zile pesa

  • @taipaali4669
    @taipaali46699 ай бұрын

    bhn anapesa gan akajisif mbona wakina mond wananyqmaza tunaona tu bila kuambiwa

  • @joycemfuru4752
    @joycemfuru47529 ай бұрын

    Wivu hujielewi

  • @Caston_kayaka
    @Caston_kayaka8 ай бұрын

    Anafanya kazi gani yeye

  • @kanukanute1514
    @kanukanute15149 ай бұрын

    Utawala w magufur akuna upumbavu Kama hu,but pia hy jamaa anatkiw apimwe akil

  • @Rajabu56
    @Rajabu564 ай бұрын

    Niunge

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco83509 ай бұрын

    Umekuwa sio mtu wa kujiamini cku hiz wakat unasimulia kitu then acha hizo I don't know ni Bora kuacha kurusha hizo story girl

  • @user-gc3zj4rf3m
    @user-gc3zj4rf3m9 ай бұрын

    Iyo sio hela k😊weli jamsa muongo😅😅😅😅😅😅😅

  • @allysinge7096
    @allysinge70969 ай бұрын

    LKN KAMA KWNY KILA KIBAO KUNA SH ELFU 10, BADO PESA NYINGI MNOOO, WE UNAZANI IVYO VIBAO VIPO VINGAPI

  • @visionally975

    @visionally975

    9 ай бұрын

    😅 mil 4 laki 5

  • @user-ex7iy5rt6i
    @user-ex7iy5rt6i8 ай бұрын

    The problem you speak a lot

  • @alikidungura9419
    @alikidungura94199 ай бұрын

    Huy kma anapesa hasa anazo ziharibu bas Watu wa serekali weshaingilia kati

  • @hermanarron5341
    @hermanarron53419 ай бұрын

    Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅

  • @Saaa235
    @Saaa2359 ай бұрын

    Jama pesa anayoila sioiyo anayotuonesha mitandaoni naongezea vitu bana anatupigaaaaa

  • @user-xu9mg8zr8x
    @user-xu9mg8zr8x7 ай бұрын

    Izo ni pesa sema ni wivu tu

Келесі