JAMAA CHIEF GODLOVE ANAEJISIFIA KUWA NA HELA INASEMEKANA ANAWEKA VIBAO ILI AONEKANE ANA HELA NYINGI
Ойын-сауық
Mambo yamezidi kuwaka huko mtandaoni watu wanazidi kuweka ushaidi kuwa ChiefGodlove hana Pesa.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 121
wabongo kwa kuchunguza tuko makini aisee
Daaa! Ukiangalia kwa haraka huwez gungua da! Ila watu kwa kuchunguza noma
Duhhhhh sio poa Hongera ndugu mtangazaji kwa kutujuza kitu ambacho tulikuwa hatukijui
Amna kitu apo ila ata kuji brandi ivo ni moyo na niviji senti pia 😂😂😂
Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅
Hakuna cha kuona wivu ukwel kuwa huyu jamaa hana pesa na mwenyew kasema
Hebu jiulizeni ...mshawahi ona Bakhresa ama mtoto wake akipanga Hela namna hio !? Na akiamua kupanga Hela zake ....bunge la Tanzania litajaa noti na Bado zikose za pa kuwekwa
Sauti ya mtangazaji mbaya. Kama sio pesa sinatuhusu nini na ww igiza Kama nae anaigiza
Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅 hatari sana
@kichbosanga2188
9 ай бұрын
Wanatunduma wote tukutane hapa
@wozanawewoz979
9 ай бұрын
Pamoja na Nakonde😂 nilipita uko nimekumbuka mbali nikabadilisha na vipaundi vyanguu😂
mwamba anmuonea wivu mwana...mwana ana vumba bhanaa
Kwani watu wameona kuwa pesa ni nini labda kama tunakufa tunaziacha unazitambia nini ni upuuzi tu
Dada unaongea sana unabore na kiingereza chako cha mchongo
@jeffyjerry8129
9 ай бұрын
Kweli ana zingua
@manajr9155
9 ай бұрын
Anakera hasa, mm nikimsikia yeye kwenye habari zao Tyr najuwa hapa hamna kitu. Dada mbona wenzako hawabwabwaji hivyo
devo king nampendasana
Huyo jamaa anapesa kweli
Jamaa pesa anayo sema watu wivu tu
@adambunduki4524
9 ай бұрын
Ndio pesa anayo ila angalia vizur upande wa kushoto kwako kwenye hilo burungutu elfu 10 imejikunja kibao kimeonekana
@ricklandennis
8 ай бұрын
Hana hela bro wenye hela hawana mbwembwe hizo na kwann anatumia nguvu kubwa mpaka vibao
Wazee wa ku zooom😳😳😳😳🤣🤣🤣🤣
Amna ukiwa na pesa nyingi ukizirekod Hua zinagoma Wakati mwengine 😂😂😂
Maskini mbwa takataka, Wana Wivu, lakini Mimi ninachojua Chief Ana pesa nyingi Sana, Sasa Acheni wivu nyie maskini,kenge,😔✌️
Mtangazaji punguza mbwembwe kwenye habari, unachefua yaan m2 anakosa ham ya kuendelea kusikiliza
Kweli kama ni Pesa mbona Sisi atupatiye anipe kwanza njo nijuwe ni Pesa
Usikute anawatapel watu
Huyo fala tuu ...Hana Hela zozote maskini mlala hoi ...pesa haioneshwi ...pesa inajotoa yenyewe ...na ukiona mtu anijisifu Yuko na pesa jua huyo ni panya wa kanisani ama bangunangu
Oya rick kausha izi mambo zitakukata KWA sababu hazita kuongezea wafatiliaji ivi awe anahela ama hana hela nyinyi kinapungua nini ama kinaongezeka nini
@saidkanji9882
9 ай бұрын
Wajinga Kuna vingi vya kufanya
Iringa mpaka dar sio safari rahisi acha awatishie mbao za kwao😂
Asawan Elphas from KENYA acheni wivu hizo ni pesabana
ila jamaa anatupiga kwakwer mweny hela hajitangazi kwanz ili iweje kwa mfano 🙄🙄
Nipesa izo
Hizo pesa bwana watyu wanawivu sana ukipata pesa mchawi ukiwa maskini ugishugulishi sasa afanye nn kila mmoja anautafutaji wake sasa kaweka vibao ajaweka ayawahusu acheni ushamba😂😂😂😂😂
Naijua iyo
Jamaa anahela kweli ila anazidishaga mbwembwe anapesa ya kawaida sio kama anavyo aminisha watu
@akimanaarlene851
9 ай бұрын
Hana pesa ni fake za attetion😅😅😅
Mwenye Pesa uwa hajionyeshiii huyo ana mawazo ya kimasikin
FAKE IT UNTIL YOU MAKE IT🎉🎉🎉
Kweli Siyo Hela.
Ela anazoo
Izo pesa bhana
Nyie vp tafuteni pesa hizo ni pesa kwani pesa haziwezi milikiwa na binadam?
Hizo ni pesa JAMA anaheha
Oi amna k2 apo
Dr kweli atamimi nimeamini siyo zenyewe
😂😂😂
Anatak kumuiga tekash 😂😂😂 utachanip msamba
Amekosa adabu Magu amekufa, angekuwepo nidhamu ingepatikana meenyepesa tangu lini kujitangaza, ana Bank nyumbani kwao? Serikali iko likizo au? Huu ni ujinga na hila za utapeli, kwa kazi gani yaliyo nayo?
Sas wew kama hujui kama ni kweli. unatangaza nin ??
ACHEN UVIVU NA WIVU.... TAFUTEN HELA.. UPUUZ
Kama hujuiii kaaa kmyaa bhax mwandixh wa habari cjui nyingi utafungwa
Je hatakama vbao unaweza rngana nae
Yote yanini kujitafutia husuda za bure?!
Ela mchezo kwan
@HamzaSaid-qc1mu
9 ай бұрын
Acha ushirikina Kuna kufa
Hahaha jamaa muongo uyo
Kulia kupokezana.😅😅
Hela Freemason
Bas itakuw ata izo stalee sizakwer
Ginimbi 😂😂😂😂😂
Pesa kidogo hizo ukitakakujua geuza kwenye dollar ndiyo utajua hunapesa kijana
😅😂😂😂😂😂
Jamaa pesa anayo si izo kazidondosha tumeona kuna wengine ata mia hawana
Cretivity dooh pink manilla paper
Huyu ana ndangu,pesa za majini au ana jini ambaye anampatia hizo pesa
Apa akili ndio inatakiwa tumia akili zako zote. Ila weka akiba ya akili ivi inawezekana mutu atumie bibao pesa kudanganya watu ili apate nini kaonyesha malangapi anatoa msada KWA watu na watoto yatima. Ivi ile full track shinga nakatoa KWA watu wangapia acheni kuchafuafua watu nyie media
@basekekasusu3186
9 ай бұрын
Ww huna akili angalia hela OG kaifunga mara moja na hayo mambao kafunga marangap
@FastpayMauzo
9 ай бұрын
Kama Anaigiza na wao si waigize??? Achen kukatisha watu tamaa mbwa Ninyi
@kwisa4899
9 ай бұрын
Muongo usipoteze muda wako kumfatilia
@ricklandennis
8 ай бұрын
Kwann ww akili yako haifanyi kazi, huoni katika ya hizo hela Kuna ranga ya pink nyingi hakuna maandishi. Nyie ndio maboya mnauziwaga sabuni badala ya simu huwezi hata kushughulisha ubongo wako kutambua kitu unachokiona kwa macho
@geraldbajile7564
8 ай бұрын
Yeye kaona hii ndio stahiri ya kujipatia kipato kwa kuwadanganya wajinga mwisho wa siku maisha yake yanamuendea
Na hayo magar anayotumia yote ni fek ya kuzungusha subir tra waone
Huna hela mzee acha kuvimba na kiini macho kibao kinaonekana kbsa icho umeweka rangi ya waridi
Nanyie tafuten sio nyoko nyoko tu
Huyu mchizi kumbe boya 2. Tulijua huwa ananoti kumbe tapeli nyoooo
Pesa anayo mabwege nyie
Wenye pesa hawaoneshi😂
@elizabethmasitsa6537
9 ай бұрын
Hakuna siku wataonyesha kabisa pesa zao ni vile wata hawajui
Si ndo content hela anaga kila cku uwaga nacoment kwao
Popa tunduma apa
Aisee watu wanachunguza
Sio za kweli anaweka vibao
Uyoo mAku tu
Pesa ya Tanzania ovyoo
Unaongeya saaana dada
@youngchoppa-ik9uo
3 ай бұрын
nataka ku joinfreemason
Hela hiyo acha ujinga
Huyo jamaha Hela anazotu😝
Nyinyi kama hamna hela bakieni namajungu yenu kenge nyee mwachani kijana atambe fanyeni kama anavo fanya yeye mbaa nyiee tokeni magetoni mkatafute hela tafuteni hela musitafute umbeya
Ana kipi cha kumuingizia pesa
Sema asaiv dadaangu unaweka vionjo vya kuongea mpka unakela duuuh
Mshamba tu uyo wenye huwa hajitapi km yeye !
Hamna hela humo
Vibao aiseee
Mnazingua jamaa anapesa kwel
@selemanmaganga-le4zg
9 ай бұрын
We Mkewe mpaka utusibitishie" Sisi watoto tuliozaliwa mjini tunaijua hiyo michezo.
Jama kawa maarufu sasa
Kumbe wasenge mko wengi ivi mnashindwa kufanya yenu mnabaki na majungu acheni usenge taftenk zenu
Chief umemtoa mond trending
@Nalitumpaboy-dm4tk
9 ай бұрын
Acha ufala mwenye hela ajitangazi kma kwl why aifute video
Acheni ujinga uwowivi zile pesa
bhn anapesa gan akajisif mbona wakina mond wananyqmaza tunaona tu bila kuambiwa
Wivu hujielewi
Anafanya kazi gani yeye
Utawala w magufur akuna upumbavu Kama hu,but pia hy jamaa anatkiw apimwe akil
Niunge
Umekuwa sio mtu wa kujiamini cku hiz wakat unasimulia kitu then acha hizo I don't know ni Bora kuacha kurusha hizo story girl
Iyo sio hela k😊weli jamsa muongo😅😅😅😅😅😅😅
LKN KAMA KWNY KILA KIBAO KUNA SH ELFU 10, BADO PESA NYINGI MNOOO, WE UNAZANI IVYO VIBAO VIPO VINGAPI
@visionally975
9 ай бұрын
😅 mil 4 laki 5
The problem you speak a lot
Huy kma anapesa hasa anazo ziharibu bas Watu wa serekali weshaingilia kati
Michezo ya kwetu Tunduma hiyo 😅
Jama pesa anayoila sioiyo anayotuonesha mitandaoni naongezea vitu bana anatupigaaaaa
Izo ni pesa sema ni wivu tu