CHIEF GODLOVE AKIRI KUTUMIA VIBAO KAMA PESA ILI KUPATA CONTENT/MR.MWANYA AMUUMBUA KWA KUSEMA........

Ойын-сауық

Hatimaye Chief GodLove ameamua kuweka wazi ukweli kuhusu kuweka vibao katikati ya Pesa ili aonekane ana Pesa nyingi.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 53

  • @almisfahcs8255
    @almisfahcs825510 ай бұрын

    Mbona kama mtangazaji anajitoa fahamu

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z9 ай бұрын

    Mwanangu Godlove mm nakukubali Sana mwamba sema bongo Rahaa Sana wivu Sana Bongo Rohoo mby tu

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67706 ай бұрын

    Nlicho gundua bongo roho mbaya sanaa mind set zakibongo zakimaskini sana

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi333410 ай бұрын

    Roho mbaya Ty dada anajuwa piga KAZI usimaikilize mty🔥🔥🔥

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard955210 ай бұрын

    Mtangazahi yupo vzur sana anajuwa,shida watu tulitaka sauti

  • @fabian1212
    @fabian121210 ай бұрын

    Wewe Rick taduta mtangazaji mwengine huyu dada hafai kabisa

  • @farouqjaku951
    @farouqjaku9519 ай бұрын

    Pole sana.

  • @josephandre8608
    @josephandre860810 ай бұрын

    Uyu mtangazaji bwana ake Nan inaonyesh hamkuni vizur coz anapiga kelel nying

  • @Singer-of-wonder
    @Singer-of-wonder10 ай бұрын

    Watangazaji wengi njaa kali sana so mwamba anavo tamba na pesa mnata ushikaji anawakataa mna mnchukia fanyeni kazi zenu acheni umbea si wahuni kama sisi tuna mkubari chief mwana jeshi huyu haugopi mbwa yoyote tungepata hawa watano tu vijana wangenyooka achenii uchawaaaa fanyeni kazi twende baba na vibao au uje na jembe kabisa😂😂😂😂

  • @user-jh4hv5ql8f
    @user-jh4hv5ql8f6 ай бұрын

    Vibao pesa mwenyewe nimeviona

  • @sharafijaribu5590
    @sharafijaribu55909 ай бұрын

    Sarafina jeli we ni binti wa jer sema hapo ilivyopangwa hivyo unajichekesha Kama Malaya kaona poch ndo nn badilisha hiyo kitu kuwa sirias m nakukubali mno Ila hapo umezingua

  • @user-dk2we4yj3z
    @user-dk2we4yj3z10 ай бұрын

    Xjuiiii😂😂😂😂😂😂 Rudy chuooo jounarism

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco835010 ай бұрын

    Alafu Kila cku zinavyozid ndio uwezo wako wautangazaj unashuka

  • @MIBWA
    @MIBWA10 ай бұрын

    Tanzania ni nnchi ya amani na upendo tupendane iizi comment si mzuli kwakweli kwa mfano fanya uyo ndie mwanao ww au kaka yako au ndugu yako ndo unamkatisha tamaa sio vizuli nawamba sisi ndugu tupendane🙏🙏

  • @Official83640

    @Official83640

    10 ай бұрын

    Ila yy anavyochamba watu na hela zake fake huoni au unaona comment za waja tu😂😂😂

  • @alleninnocent2138
    @alleninnocent213810 ай бұрын

    We mtangazaji unaalibu unajishau sana em sema kile una sema acha kumaliza mda wawatu that's why mnakwama mbona sns hana uwo ujinga ananyoka moja kwa moja

  • @PatrickWolfo-iy2rr
    @PatrickWolfo-iy2rr10 ай бұрын

    mbona sauti mbaya sana sister jaribu kuwa Siri yazi

  • @cryptoisourlife
    @cryptoisourlife10 ай бұрын

    Ndugu mtangazaji naona unakitu na utafika mbali endapo kama. Utajifunza namna bora ya kuwasilisha maudhui yako kwa hadhira .... Kingine jaribu kupangilia maneno maana hapo hatujaelewa ulipo anzia na hata ulipo ishia ..... Ila. Ahsante kwa taarifa

  • @lindahjoseph8360

    @lindahjoseph8360

    10 ай бұрын

    Hahahaaaa kwakweli nothing ila asante kwa kushiriki bss hahahaa

  • @jamilahabibu9299
    @jamilahabibu929910 ай бұрын

    Mtangazaji xio mzima

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g9 ай бұрын

    Mi nilijua tu toka mwanzo maneno meeengi. Nilimpa muda tu kwa sbb muda ndo mwamuzi wa mwisho wa katika maisha😂😂😂😂😂

  • @user-cc2mi1mr5r
    @user-cc2mi1mr5r10 ай бұрын

    Kanaongea sana kadada jaman adi kelo

  • @KhadijaMussa-wf9up
    @KhadijaMussa-wf9up10 ай бұрын

    Mtangazaji unaboa punguza mbwembwe, hupendezi unakera asaaa

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari892410 ай бұрын

    Wana Habari wa sasa vingereza sas😢😢

  • @augustmushi5743

    @augustmushi5743

    10 ай бұрын

    Amecralify😂

  • @user-td5sz3md8m
    @user-td5sz3md8m10 ай бұрын

    Yan we dada ni bora usingetangaza maana maneno mengi sana halaf point hakuna

  • @jeffyjerry8129

    @jeffyjerry8129

    10 ай бұрын

    Si ndo hapo sasa

  • @novaelias5010
    @novaelias501010 ай бұрын

    Alafu huyu dada mbona kama ana jipendekeza au jamaa alimkataa nn

  • @user-em5xj3rc5k
    @user-em5xj3rc5k10 ай бұрын

    Mnamponda mtangazaji wakati mnafki Kapuku mwenzenu kaumbuliwa. acheni unafki matapeli nyie 😅😅😅😅😂😂

  • @user-vm7bk3xr1z
    @user-vm7bk3xr1z10 ай бұрын

    Uyu Ndo mtangazaji asiyejua duniani

  • @user-ts6fh4si3m
    @user-ts6fh4si3m10 ай бұрын

    Rick tafuta dada mwingine huyu sio sijuwi anaongeaje duuu

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu854610 ай бұрын

    Unaongea sana unaboa

  • @fabian1212
    @fabian121210 ай бұрын

    Hii channel yenu nashindwaga kuangalia kwaajili ya huyu dada tu ni kama anajotoaga fahamu haendagi kwenye maana aliokusudia kabisa kama chzi hiv dada unabore

  • @LucksonEdwardmgallah-tf5nc
    @LucksonEdwardmgallah-tf5nc10 ай бұрын

    Vimbao content😂😂😂😂

  • @joycemfuru4752
    @joycemfuru475210 ай бұрын

    Mimi naona hela sioni mbao tafuteni content zenu acheni wivu

  • @Zainab-sq1tc

    @Zainab-sq1tc

    10 ай бұрын

    Had mm yaaan halaf watt wa kiume ndy wamezid kushadadia bado wapambane

  • @jacksonsebastian6144
    @jacksonsebastian614410 ай бұрын

    Wee Dada bangi haikufai

  • @user-em5xj3rc5k
    @user-em5xj3rc5k10 ай бұрын

    Vibao pesa 😂😂😂😂😢.

  • @deejeydaev
    @deejeydaev10 ай бұрын

    Pumba

  • @qtrqtr8016
    @qtrqtr801610 ай бұрын

    Acha kuongea sana

  • @sidikassim6759
    @sidikassim675910 ай бұрын

    tatzo wandshi mnaongea snaa kulko vitendo

  • @barakayohana5685
    @barakayohana568510 ай бұрын

    Mtangazaji unazingua unaboaaaa

  • @karimjuma4019
    @karimjuma401910 ай бұрын

    Acha waongee wao bas mtangazaji kelele nuingi sana jinga kabisa pumbavu kingereza kibao

  • @liliannosim2281

    @liliannosim2281

    10 ай бұрын

    Kama utaki kusia kelele unafanya nn kwa Chanel yake think 😅😅😅😅

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    10 ай бұрын

    @@liliannosim2281 ww ndio mtangazaji au ndio madada poa acha kukurupuka

  • @omarymaulidy6302
    @omarymaulidy63029 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera236710 ай бұрын

    Huyu anatangaza au anachamba

  • @maureenwanjiru094
    @maureenwanjiru09410 ай бұрын

    Mtangazaji anaongea sana adi anakera huyu hizi story mingi ni za nini

  • @adammakungu1143
    @adammakungu114310 ай бұрын

    Mtangazaji wa wap uyu mbona anachekacheka Sana hata hatuelewi nn unaongea

  • @FedrickDanielJob

    @FedrickDanielJob

    10 ай бұрын

    Atakua ana nyege

  • @azariamwansile6825
    @azariamwansile682510 ай бұрын

    sasa una chamba au unatpa story

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67706 ай бұрын

    Nlicho gundua bongo roho mbaya sanaa mind set zakibongo zakimaskini sana

  • @talents7934
    @talents79349 ай бұрын

    Kwa hiyo Raha Yenu ni kujua kwamba vile vilikuwa ni Vibao? Kwa hiyo kama kweli ni Tajiri Roho zinawauma? Daah Nyie ni wachawi wa liveeeeee😊

Келесі