CHIEF GODLOVE AKIRI KUTUMIA VIBAO KAMA PESA ILI KUPATA CONTENT/MR.MWANYA AMUUMBUA KWA KUSEMA........
Ойын-сауық
Hatimaye Chief GodLove ameamua kuweka wazi ukweli kuhusu kuweka vibao katikati ya Pesa ili aonekane ana Pesa nyingi.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 53
Mbona kama mtangazaji anajitoa fahamu
Mwanangu Godlove mm nakukubali Sana mwamba sema bongo Rahaa Sana wivu Sana Bongo Rohoo mby tu
Nlicho gundua bongo roho mbaya sanaa mind set zakibongo zakimaskini sana
Roho mbaya Ty dada anajuwa piga KAZI usimaikilize mty🔥🔥🔥
Mtangazahi yupo vzur sana anajuwa,shida watu tulitaka sauti
Wewe Rick taduta mtangazaji mwengine huyu dada hafai kabisa
Pole sana.
Uyu mtangazaji bwana ake Nan inaonyesh hamkuni vizur coz anapiga kelel nying
Watangazaji wengi njaa kali sana so mwamba anavo tamba na pesa mnata ushikaji anawakataa mna mnchukia fanyeni kazi zenu acheni umbea si wahuni kama sisi tuna mkubari chief mwana jeshi huyu haugopi mbwa yoyote tungepata hawa watano tu vijana wangenyooka achenii uchawaaaa fanyeni kazi twende baba na vibao au uje na jembe kabisa😂😂😂😂
Vibao pesa mwenyewe nimeviona
Sarafina jeli we ni binti wa jer sema hapo ilivyopangwa hivyo unajichekesha Kama Malaya kaona poch ndo nn badilisha hiyo kitu kuwa sirias m nakukubali mno Ila hapo umezingua
Xjuiiii😂😂😂😂😂😂 Rudy chuooo jounarism
Alafu Kila cku zinavyozid ndio uwezo wako wautangazaj unashuka
Tanzania ni nnchi ya amani na upendo tupendane iizi comment si mzuli kwakweli kwa mfano fanya uyo ndie mwanao ww au kaka yako au ndugu yako ndo unamkatisha tamaa sio vizuli nawamba sisi ndugu tupendane🙏🙏
@Official83640
10 ай бұрын
Ila yy anavyochamba watu na hela zake fake huoni au unaona comment za waja tu😂😂😂
We mtangazaji unaalibu unajishau sana em sema kile una sema acha kumaliza mda wawatu that's why mnakwama mbona sns hana uwo ujinga ananyoka moja kwa moja
mbona sauti mbaya sana sister jaribu kuwa Siri yazi
Ndugu mtangazaji naona unakitu na utafika mbali endapo kama. Utajifunza namna bora ya kuwasilisha maudhui yako kwa hadhira .... Kingine jaribu kupangilia maneno maana hapo hatujaelewa ulipo anzia na hata ulipo ishia ..... Ila. Ahsante kwa taarifa
@lindahjoseph8360
10 ай бұрын
Hahahaaaa kwakweli nothing ila asante kwa kushiriki bss hahahaa
Mtangazaji xio mzima
Mi nilijua tu toka mwanzo maneno meeengi. Nilimpa muda tu kwa sbb muda ndo mwamuzi wa mwisho wa katika maisha😂😂😂😂😂
Kanaongea sana kadada jaman adi kelo
Mtangazaji unaboa punguza mbwembwe, hupendezi unakera asaaa
Wana Habari wa sasa vingereza sas😢😢
@augustmushi5743
10 ай бұрын
Amecralify😂
Yan we dada ni bora usingetangaza maana maneno mengi sana halaf point hakuna
@jeffyjerry8129
10 ай бұрын
Si ndo hapo sasa
Alafu huyu dada mbona kama ana jipendekeza au jamaa alimkataa nn
Mnamponda mtangazaji wakati mnafki Kapuku mwenzenu kaumbuliwa. acheni unafki matapeli nyie 😅😅😅😅😂😂
Uyu Ndo mtangazaji asiyejua duniani
Rick tafuta dada mwingine huyu sio sijuwi anaongeaje duuu
Unaongea sana unaboa
Hii channel yenu nashindwaga kuangalia kwaajili ya huyu dada tu ni kama anajotoaga fahamu haendagi kwenye maana aliokusudia kabisa kama chzi hiv dada unabore
Vimbao content😂😂😂😂
Mimi naona hela sioni mbao tafuteni content zenu acheni wivu
@Zainab-sq1tc
10 ай бұрын
Had mm yaaan halaf watt wa kiume ndy wamezid kushadadia bado wapambane
Wee Dada bangi haikufai
Vibao pesa 😂😂😂😂😢.
Pumba
Acha kuongea sana
tatzo wandshi mnaongea snaa kulko vitendo
Mtangazaji unazingua unaboaaaa
Acha waongee wao bas mtangazaji kelele nuingi sana jinga kabisa pumbavu kingereza kibao
@liliannosim2281
10 ай бұрын
Kama utaki kusia kelele unafanya nn kwa Chanel yake think 😅😅😅😅
@karimjuma4019
10 ай бұрын
@@liliannosim2281 ww ndio mtangazaji au ndio madada poa acha kukurupuka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu anatangaza au anachamba
Mtangazaji anaongea sana adi anakera huyu hizi story mingi ni za nini
Mtangazaji wa wap uyu mbona anachekacheka Sana hata hatuelewi nn unaongea
@FedrickDanielJob
10 ай бұрын
Atakua ana nyege
sasa una chamba au unatpa story
Nlicho gundua bongo roho mbaya sanaa mind set zakibongo zakimaskini sana
Kwa hiyo Raha Yenu ni kujua kwamba vile vilikuwa ni Vibao? Kwa hiyo kama kweli ni Tajiri Roho zinawauma? Daah Nyie ni wachawi wa liveeeeee😊