TAJIRI CHUI AMCHANA CHIEF GODLOVE KUTUMIA MBAO/''SIMBA BINGWA MSIMU HUU/CHEIF AMEFELI''
Спорт
Msanii wa muziki nchini Tajiri chui amefunguka kuhusu rafiki yake ambae ni Chief Godlove kuhusu kile kinachoendelea mitandaoni kuwa anatumia mbao kuwadanganya watu kuwa anahela na anapesa nyingi
Пікірлер: 23
Bora chief kuliko huyu jamaa maana hata sura ni yakuchimba viazi 😂😂😂😂😂😂😂😂 Wakenya bhana Tumewachokaaaa✋✋✋✋✋
Niukweli 🎉🎉
Cifu nom hawa muwezi ju huku ici ya zambia anamaduka sas mutamuweza kweri madakayake ndo tunanunu waga vitu mizigo
Nitafuteni niwape ukweli wa uyo anajita tajiri chui hana maisha uyo
@DaudiAthumani-dw6qu
9 ай бұрын
Ehe tueleze
Hawa matajiri hata maesabu ya pesa hawajui😂😂😂
😊
Tajiri chui upo live sagapi
Huyu nae anaongea nn
Ela za kishirikina
Tajir chui mbona sikuoni laivi
Nyie ote Waze wa vmbao
Kwamba una B1.5 hafu tena una B 1 Laki tano😂😂😂
@nixsonmkamba2895
9 ай бұрын
🏃
Muongooo😅😅😅
Hakuna jipya hapo
Wote waongo tu
huyu nae tajiri co?
Sasa unaonyesha nyumba Ili iweje
@user-tk6bs2ep3i
10 ай бұрын
Boss chui
Akuna tajiri apo
Dah watu bado ni wajinga sana
Hamna mtu humu fala mmoja tu huyo anatafuta viewes