PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI

Ойын-сауық

PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI
Chief Kwenye Mkutano Na Wafuasi Wake Wa THE REAL WORLD_Akitoa Njia Ya Kuwa TAJIRI Lakini Pia Akitoa HISTORIA Yake Ya Maisha Yake Na Kuwaambia Kuwa Alizaliwa Akiwa na MIEZI 13 Na Akiwa Meno Mawili Na KUMNG'ATA Mama Ake___HII SI YA KUKOSA ‪@millardayoTZA‬ ‪@Chief_godlove‬ ‪@SimuliziNaSauti‬ ‪@globaltv_online‬ ‪@Wasafi_Media‬ @

Пікірлер: 40

  • @MalonJr-en4kr
    @MalonJr-en4kr2 күн бұрын

    Mwizi mkubwa

  • @elmackrambo487
    @elmackrambo4873 күн бұрын

    Chif natala niku représente congo ninsaidiye na sapoti yako

  • @sharkzprince37
    @sharkzprince372 күн бұрын

    From 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪napenda sana kazi yako bro

  • @officialstephanomtz1649

    @officialstephanomtz1649

    2 күн бұрын

    Ku coment tu kuandamana haaaaaaaaa

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu65949 сағат бұрын

    Jamani mkaabudu mskitini au kanisani acheni upuuzi

  • @user-rl3yh6ls7b
    @user-rl3yh6ls7bКүн бұрын

    Maisha yenye mafanikio Yana Siri kubwaaa na aijuae ni aliyefanikiwa na Mungu wake pekee! 📌

  • @faiditv5535
    @faiditv55353 күн бұрын

    Mnajimaliza Bora msinge post

  • @ElvisDavid-qn5vd
    @ElvisDavid-qn5vd3 күн бұрын

    Good speech

  • @nyamizisimbachawene3292
    @nyamizisimbachawene32923 күн бұрын

    Chief ana kundi Lake humo ambao wanafanya Michezo ya kitapeli kuhadaa watu yeye chief si Ana pesaro Iwaje achangishe

  • @KalebyHennry-ux7fj
    @KalebyHennry-ux7fjКүн бұрын

    Chief carasha la fedha hufanyi kitu bila kufikilia mjue hilo

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108Күн бұрын

    Upigwaj upo apa sasa

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h3 күн бұрын

    Zaasubui kaka mr money mr famous mtoto mdogo mwenye pesa nyingi hakuna kubisha ila nikuombe msada niko vibaya sana niombe sapot yako

  • @Chief_godlove

    @Chief_godlove

    3 күн бұрын

    Sapot gan kijana wangu

  • @user-td4le3xf7h

    @user-td4le3xf7h

    3 күн бұрын

    @@Chief_godlove naitaji kuwa na mimi kuwa kama wewe ulie na mafanikio ama watu walio fanikiwa niweze kuisaidia familia yangu na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu nawatu baki. Kunawakati huwA NASHINDWA KUELEWA NIKO WAPI NAFANYA NINI MANA maisha yangu sio kabisa hayako sawa kunawakati mzawangu anaitaji msada kwangu huwanashindwa kumsaidia inaniuma sana kuona maisha yangu yalivyo. Natamani namimi kuwasaidia watu wengine sio mimitu wakulia kwawatu sikuzote mpaka inafika mahala watu wanakukata huku unawaona, ukiwapigia simu wanakuwa wanajua unataka kuomba msada mala wakujibu mkato mala wasipoke simu kumbe kunawakati unataka kusalimia tu ila nikuombe msada wako

  • @NoahJackson-fh1yt

    @NoahJackson-fh1yt

    3 күн бұрын

    Ubarkiwa kwa kila unalotoa my mentor​@@Chief_godlove

  • @sadickmasoudi1689

    @sadickmasoudi1689

    3 күн бұрын

    Kwema mkuu naomba namba zako

  • @sadickmasoudi1689

    @sadickmasoudi1689

    3 күн бұрын

    ​@@Chief_godlovehello habari mkuu naomba namba zako naomaogezi na wewe

  • @reginamlay5263
    @reginamlay526311 сағат бұрын

    Mbona kama wala ni nyama za watu hawa

  • @user-gi8rq7yh9x
    @user-gi8rq7yh9x3 күн бұрын

    Chief

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p3 күн бұрын

    And issues of worship ni issue inatakiwa mfany private why mtandaon and mnazungumza habari ya kafala whichi kafala....???? 😢😢😢 anyway let me stay silent

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108Күн бұрын

    Kuna watu Natalie hapa serikali iangalie mapema hili watu wanatafuta safari ya ulaya apa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😮😅😅

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe2 күн бұрын

    Pumbavu kabisa

  • @KalemaMedia
    @KalemaMedia3 күн бұрын

    Ase iyo dunia mm nilijua tu.iyo team kuna watu nyuma yake bado hapo mtakuja kujua nini kinatwngenezwa.

  • @AvityNjau-tz8gq
    @AvityNjau-tz8gq3 күн бұрын

    Naona machozi kwenyehizi familia za hawa vijana

  • @AmosiMwalila
    @AmosiMwalila3 күн бұрын

    Chief mutu nanusu

  • @MustymediaTv
    @MustymediaTv3 күн бұрын

    Tajiri anawachangisha wenzake 😅😅😅😅😅😅

  • @Mzitomatelephone
    @Mzitomatelephone3 күн бұрын

    Hilo koti limekutoa dadek ,alafu unapiga stories kwenye maombi ,alafu hatusikii mnaombaje

  • @ip_header
    @ip_header2 күн бұрын

    Baadae mkisha pigwa muanze kulilia serikali iingilie kati...

  • @eminenceboy8386

    @eminenceboy8386

    Күн бұрын

    😂

  • @husseinmillinga
    @husseinmillinga3 күн бұрын

    Ufreemason, Dunia tunapita

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p3 күн бұрын

    Sasa brother chief majadiliano ni mavizur lakin kwann muanz kujadilian kuchanga wakati unajitosheleza kifedha, kwann usitoe fedha ukajumua jengo moja ambalo mnajua kua linafulfil needes zenu ....now am going to understand whts going on ovwr there 😂😂😂 its so funn

  • @Mzitomatelephone
    @Mzitomatelephone3 күн бұрын

    Kwani hii kongamano inahusu nini mbona sielewi, chief kuna nini

  • @ibrahimmaulid7651
    @ibrahimmaulid76513 күн бұрын

    ANDREW TATE wa bongo 😂😂😂

  • @GideonKelvin-cm5pp
    @GideonKelvin-cm5ppКүн бұрын

    Mnasema ibada za wazee wenu? Mnasem kuabudia? Mnasem kafala? Ni Mungu gani uyo kama sio pepo

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p3 күн бұрын

    Then muanze kugenerate fedha mtakazo changa mnaonekana watu wenye akili lakin discussion mnayoifanya even mtoto mdog hawez kuwaelewa kama akipitia content zenu kweny mitandao ya kijamiii am just trying to prove you wrong, there ia no money over there chief

  • @samyspesho1698
    @samyspesho16983 күн бұрын

    Mzahamzaha mwishowe chama kinakuwa kikubwa

  • @davidoalex9196

    @davidoalex9196

    3 күн бұрын

    Kaka nisaidie itakiwa chama Cha nn

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc2 күн бұрын

    Mijinga hiiii kabisa

Келесі