FINAL:CHIEF NA WATU WAKE/WALIOMTUKANA LEO WAMEMKUBAL NA KUMPIGIA GOTI/NGUVU YA JICHO LA TATU /TAJIRI

Ойын-сауық

FINAL:CHIEF NA WATU WAKE/WALIOMTUKANA LEO WAMEMKUBALI NA KUMPIGIA GOTI/NGUVU YA JICHO LA TATU /TAJIRI
Chief Kwenye Mkutano Na Wafuasi Wake Wa THE REAL WORLD_Akitoa Njia Ya Kuwa TAJIRI Lakini Pia Akitoa HISTORIA Yake Ya Maisha Yake Na Kuwaambia Kuwa Alizaliwa Akiwa na MIEZI 13 Na Akiwa Meno Mawili Na KUMNG'ATA Mama Ake___HII SI YA KUKOSA @millardayoTZA @Chief_godlove @SimuliziNaSauti @globaltv_online @Wasafi_Media

Пікірлер: 32

  • @BigbigBoss-jb4ze
    @BigbigBoss-jb4ze4 күн бұрын

    Big up chief godlove

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p2 күн бұрын

    Laki chief em jaribu kuanza na hao wanao kulinda mbn ndionwanaonekan wapo serious kuliko hao wa malaw na congo man

  • @user-fb9wt7sh6j
    @user-fb9wt7sh6j18 сағат бұрын

    Morning brother vip salama naomba kujiunga plz😢

  • @IBMHOPEFOUNDATION
    @IBMHOPEFOUNDATION4 күн бұрын

    ❤❤❤ mimi si mnyonge Nimekupata chief

  • @RizikiJustine-sr8br
    @RizikiJustine-sr8br4 күн бұрын

    Mungu aendelee kukutia nguvu na kukupa ujuzi zaidi. Nilitamani kujiunga but bado niko chini

  • @lellovenance5702
    @lellovenance57024 күн бұрын

    Mimi sio mnyonge, Mimi ni tajiri mkuu, kwa sababu my Lord chief mkuu wangu mtukufu ni tajiri mkuu la matajiri, wewe ni nabiii sijawahi kuona wala kuhisi kuna nguvu kubwa Kama hiyo uliyonayo my king 👑

  • @davidmupenzi8997
    @davidmupenzi89974 күн бұрын

    CHIEF MY PRIRORITY🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 NAMI KALIBUNI NAJIUNGA BABA NAKUAMINI SANA NIPO GONGO/GOMA.Samahani sana baba chief mimi nimeshindwa kutuma pesa ,sasa naomba munipe connection na watu wa apa kwetu Goma ambao wamejiunga nipate pia namna ginsi ndaezi jiunga kwahalaka

  • @MugisaElie

    @MugisaElie

    3 күн бұрын

    Leta WhatsApp number yako bro

  • @lellovenance5702
    @lellovenance57024 күн бұрын

    Na umebarikiwa Kweli My Lord

  • @YangaNews
    @YangaNews4 күн бұрын

    11:45 11:46 apo kwenye biblia chief hapana mengine sawa broo samahani unafanya sawa ila mipaka ya mungu usirudie

  • @user-dv8cd1up7v
    @user-dv8cd1up7vКүн бұрын

    Yaniii unabeba laki Baad ya hapo unataka laki 6 yann na nispo toa unanitoa we ni mwizii

  • @ngotikongotiko2711
    @ngotikongotiko27113 күн бұрын

    Nipo hapa mkitoboa mniite fisi hayo maigizo tu mkitapeliwa nendeni serikalini mkashikati

  • @VanEmanuel-m7n
    @VanEmanuel-m7nКүн бұрын

    Ofis Zipo wapi

  • @Japhethyubingwa2000
    @Japhethyubingwa20004 күн бұрын

    Sasa kaka mkubwa,hiyo pesa ni ndogo sana,kwa nilivyo jiunga kwenye vitu mbalimbali,na sijafanyikiwa naomba kujuwa kwenye group kunavitu gani?

  • @phaustnephinias1285
    @phaustnephinias12855 күн бұрын

    Ila kunavitu nimejifunza kutoka kwenye spich yako nivile tu sina uwezo wa kujiunga na group kulingana na kipato changu kidogo

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h4 күн бұрын

    Zajioni kaka mr money mr famous mtoto mdogo mwenye pesa nyingi hakuna kubisha ila nikuombe sapot yako kwangu naelewa uko bize sana ila nisamehe natambua nakusumbua sana mambo hayako sawa kiukweri

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p2 күн бұрын

    Guys 😂😂😂😂😂 mbona wadau wanatoka nje karibu wote whts happen mhhh em niwe makin naendelea kufuatilia hapa nione mwisho

  • @RizikiJustine-sr8br
    @RizikiJustine-sr8br4 күн бұрын

    Sisi tunazo shida nyingi, ila kwa bahati mbaya hatuna uwezo wa kujiunga

  • @KennedyBernard-go1qj
    @KennedyBernard-go1qj3 күн бұрын

    Ipo siku Mungu atakuinua ili umtumikie

  • @richmanbeatpro2691
    @richmanbeatpro26913 күн бұрын

    mimi nataka number ya chef ili niweze kuongea nae

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti4 күн бұрын

    Ki ukweli ni mawazo yenye nguvu na upako wa hali ya juu

  • @phaustnephinias1285
    @phaustnephinias12855 күн бұрын

    Namimi nakufuatilia bana naleo nimekua wakwanza kuangalia hii video na kutoa comment

  • @Jay-Ningo
    @Jay-Ningo4 күн бұрын

    Chef god nakubali sana namimi tangu nikufwate nilijuwa mengi sana nikoBurundi namini kunasiku tutakutana namini mungu ataniwezesha👏👏👏

  • @user-we7uq1qh7p
    @user-we7uq1qh7p3 күн бұрын

    Uyu anakuwag chizi una pesa yakula fujo kibao utaolewa

  • @richmanbeatpro2691
    @richmanbeatpro26912 күн бұрын

    nataka kuunga group yenu nifanyeje

  • @Foodandtaste.20232
    @Foodandtaste.202322 күн бұрын

    7000$ is not real!! The plane tickets for business class using award winning plane companies like Qatar Airways wouldn't be such expensive. Current a direct plane ticket would cost 3000$ when booked for overnight journey😅. Basically, these men are motivational speakers trying to take away your money 💰 😂. Watch out!!!! I'm leaving this comment to let ya'll know...)

  • @EmanuelMtafya-zw1xm
    @EmanuelMtafya-zw1xm4 күн бұрын

    Chief wanapanga kuanguxha ukongopa technology badooo fact zako hazikwepeki👑👑👑👏👏👏👏

  • @steavmcper7322
    @steavmcper73225 сағат бұрын

    Ukijikweza utashushwa huyu atajua mchawi, freemason, illuminati, mwizi hizo ni sifa za kushushwa

  • @lellovenance5702
    @lellovenance57024 күн бұрын

    King of Kings, chief la machiefs shujaaa mkuu wa karne, uishi milele my King

  • @ifmknowledgepower7333

    @ifmknowledgepower7333

    4 күн бұрын

    King of kings is only Might God, usirudie kumuita hivyo asije akafa kabla ya wakati wake

  • @lellovenance5702

    @lellovenance5702

    2 күн бұрын

    @@ifmknowledgepower7333 hujaelewa kwa Nini namwita chief wangu mtukufu wewe najua ukuu wa NGUVU yake

Келесі