FINAL:CHIEF NA WATU WAKE/WALIOMTUKANA LEO WAMEMKUBAL NA KUMPIGIA GOTI/NGUVU YA JICHO LA TATU /TAJIRI
Ойын-сауық
FINAL:CHIEF NA WATU WAKE/WALIOMTUKANA LEO WAMEMKUBALI NA KUMPIGIA GOTI/NGUVU YA JICHO LA TATU /TAJIRI
Chief Kwenye Mkutano Na Wafuasi Wake Wa THE REAL WORLD_Akitoa Njia Ya Kuwa TAJIRI Lakini Pia Akitoa HISTORIA Yake Ya Maisha Yake Na Kuwaambia Kuwa Alizaliwa Akiwa na MIEZI 13 Na Akiwa Meno Mawili Na KUMNG'ATA Mama Ake___HII SI YA KUKOSA @millardayoTZA @Chief_godlove @SimuliziNaSauti @globaltv_online @Wasafi_Media
Пікірлер: 32
Big up chief godlove
Laki chief em jaribu kuanza na hao wanao kulinda mbn ndionwanaonekan wapo serious kuliko hao wa malaw na congo man
Morning brother vip salama naomba kujiunga plz😢
❤❤❤ mimi si mnyonge Nimekupata chief
Mungu aendelee kukutia nguvu na kukupa ujuzi zaidi. Nilitamani kujiunga but bado niko chini
Mimi sio mnyonge, Mimi ni tajiri mkuu, kwa sababu my Lord chief mkuu wangu mtukufu ni tajiri mkuu la matajiri, wewe ni nabiii sijawahi kuona wala kuhisi kuna nguvu kubwa Kama hiyo uliyonayo my king 👑
CHIEF MY PRIRORITY🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 NAMI KALIBUNI NAJIUNGA BABA NAKUAMINI SANA NIPO GONGO/GOMA.Samahani sana baba chief mimi nimeshindwa kutuma pesa ,sasa naomba munipe connection na watu wa apa kwetu Goma ambao wamejiunga nipate pia namna ginsi ndaezi jiunga kwahalaka
@MugisaElie
3 күн бұрын
Leta WhatsApp number yako bro
Na umebarikiwa Kweli My Lord
11:45 11:46 apo kwenye biblia chief hapana mengine sawa broo samahani unafanya sawa ila mipaka ya mungu usirudie
Yaniii unabeba laki Baad ya hapo unataka laki 6 yann na nispo toa unanitoa we ni mwizii
Nipo hapa mkitoboa mniite fisi hayo maigizo tu mkitapeliwa nendeni serikalini mkashikati
Ofis Zipo wapi
Sasa kaka mkubwa,hiyo pesa ni ndogo sana,kwa nilivyo jiunga kwenye vitu mbalimbali,na sijafanyikiwa naomba kujuwa kwenye group kunavitu gani?
Ila kunavitu nimejifunza kutoka kwenye spich yako nivile tu sina uwezo wa kujiunga na group kulingana na kipato changu kidogo
Zajioni kaka mr money mr famous mtoto mdogo mwenye pesa nyingi hakuna kubisha ila nikuombe sapot yako kwangu naelewa uko bize sana ila nisamehe natambua nakusumbua sana mambo hayako sawa kiukweri
Guys 😂😂😂😂😂 mbona wadau wanatoka nje karibu wote whts happen mhhh em niwe makin naendelea kufuatilia hapa nione mwisho
Sisi tunazo shida nyingi, ila kwa bahati mbaya hatuna uwezo wa kujiunga
Ipo siku Mungu atakuinua ili umtumikie
mimi nataka number ya chef ili niweze kuongea nae
Ki ukweli ni mawazo yenye nguvu na upako wa hali ya juu
Namimi nakufuatilia bana naleo nimekua wakwanza kuangalia hii video na kutoa comment
Chef god nakubali sana namimi tangu nikufwate nilijuwa mengi sana nikoBurundi namini kunasiku tutakutana namini mungu ataniwezesha👏👏👏
Uyu anakuwag chizi una pesa yakula fujo kibao utaolewa
nataka kuunga group yenu nifanyeje
7000$ is not real!! The plane tickets for business class using award winning plane companies like Qatar Airways wouldn't be such expensive. Current a direct plane ticket would cost 3000$ when booked for overnight journey😅. Basically, these men are motivational speakers trying to take away your money 💰 😂. Watch out!!!! I'm leaving this comment to let ya'll know...)
Chief wanapanga kuanguxha ukongopa technology badooo fact zako hazikwepeki👑👑👑👏👏👏👏
Ukijikweza utashushwa huyu atajua mchawi, freemason, illuminati, mwizi hizo ni sifa za kushushwa
King of Kings, chief la machiefs shujaaa mkuu wa karne, uishi milele my King
@ifmknowledgepower7333
4 күн бұрын
King of kings is only Might God, usirudie kumuita hivyo asije akafa kabla ya wakati wake
@lellovenance5702
2 күн бұрын
@@ifmknowledgepower7333 hujaelewa kwa Nini namwita chief wangu mtukufu wewe najua ukuu wa NGUVU yake