ISHU YA SUKARI PROF.MKUMBO AFUNGUKA "KULIKUWA NA MALUMBANO MAKALI, TUNATAKA HIYO LUGHA IISHE"
Жүктеу.....
Пікірлер: 31
@Mima-cl2im2 күн бұрын
Waziri wa kilimo mumwangalie sana. Anaihujumu nchi. Speaker alivyomufukuza Mpina imewauma sana watanzania. Haki iwę kwa wote na sio kupendeleana.
@saidalhinai1131
Күн бұрын
Wewe unaongea kwa ushabiki lkn fuatilia mawaziri waliopita na huo bashe nani muhujumi wacha ukabila
@boniphacesululu5428
Күн бұрын
@@saidalhinai1131kwaiyo wewe AKILI yako hiyo punguani unawaza ukabila tuuu
@boniphacesululu5428
Күн бұрын
Huyo waziri wenu niwakumwangalia marambilimbil
@7675kio17 сағат бұрын
Hayo ndo maneno ya kila mwaka. Prof. Mkumbo akumbuke yaliyomkuta mwenzake Prof. mkenda
@humphreymkony89152 күн бұрын
Sasa hayo marekebisho ya sheria ya sukari ya nini Boss wangu?
@mousirally032 күн бұрын
Wanangu wa alkovintage Nigga Side said Madam mpambanaji Nimewamiss sana wanangu
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Tunahitaji viwanda vya electrical divice
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Tukiweza kulima ngano ya kutosha na kujenga viwanda vya mafuta ya kula na nguo za kuvaa tutapunguza upungufu wa pesa zetu za kigen
@humphreymkony89152 күн бұрын
Sasa sheria mpya ya Sukari ya nini?
@user-wj6zj1ly4e2 күн бұрын
Hii nchi kila mtu ale asepe, sheria ya kuagiza sukari imeboreshwa juz kati yann xx? Pili kwann bashe aliagiza sukari bila kufata utaratibu ata km alikuwa na nianjema? Kwann hakufata sheria zlztungwa na bunge?
@Brunn-mh2bq
2 күн бұрын
Marhum Lowasa alisulubishwa kwa nia yake njema hii hii.
@Zenny89Күн бұрын
Shida Sio uwekezaji…shida ni Kodi zenu mlizoweka ZINAFANYA uwekezaji kuwa mgumu.
@nestor384Күн бұрын
Hawa sijui wanatuonaga mbuzi wasiokuwa na kichwa, kilichoidhinishwa bungeni na anachoongea ni kama huwa kuna bunge mbili moja ya nje ya bunge na nyingine ndani ya bunge
@deogratiaskatinda9232Күн бұрын
Msomi anayefikirika kuelimika
@ibrahimmohamed8845Күн бұрын
Sasa mbona mnauza mahindi badala ya unga, viongozi mnachekesha. Wao wakipata hayo mahindi watatuuzia unga kwa bei kubwa.
@johnthesimba47642 күн бұрын
Nimekaa paleee😂
@charlesmwambinga4355Күн бұрын
Kigoma Ina Michikichi mingi sana...Lindi, Mtwara , Kyela na Pwani tunaweza kuzalisha Michikichi pia karanga na ufuta..why tuagize mafuta nje ?
@amanijampion3045Күн бұрын
Kumbukeni Lowasa kwa nini alijiuzuru!?
@Brunn-mh2bq2 күн бұрын
Haya maneno yanashangaza kweli kweli. Tumeshakuwa na viwanda vya kila kitu hapa nchini. Mmeviuza kwa bei chee leo vimegeuzwa maghala sasa mnataka kuanzisha vingine vipi? Tz blah blah nyingi sana. Tendeni mambo acheni tararira.!!! Mnachosha sana. Mara screw cork mara nini sijui. Mara tunaweka mazingira mazuri. Mara tutawezesha watu wakati kodi zinasema vingine. Blah blah😢
@AugustKisaka-qy7kl2 күн бұрын
Tuundieeni tume,naona madudu matupu,ichunguze bodi ya sukari na wizara ,madudu yaonekane tupulize dawa tuwe na wizara bora na bodi bora😂
@Missionary_work2 күн бұрын
Political interest
@sumayasumaya6455Күн бұрын
Anatafutiwa njia ya kutoka bashe hapo..., story tu hapo..za kulindana 😂 Lazma awajibike kuagiza sukar kutokufata sheria/utaratib..ana maslahi gani.?
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Mafuta ya kula ni bidhaa amba zo inatupunguzia san akiba yetu ya pesa za kigeni
@bakarikayugwa3295Күн бұрын
Yani ni ujinga hivi mnavyosema chakula sukari mafuta mh walulima wapo hii kwenye Bei na uwezweshaji Yani baazi wasomi porojo nyingi sana na wizi tutajifunza kwa Burkina Faso baazi ya viongozi wengi ni kukariri tu hawana akili za kujiongeza brabra nyingi na upigaji tu
@NixonJohnson-zn8nkКүн бұрын
Hivi wewe na waziri wa kilimo ni wezi kabisa hatuwaoni mbele.. Ni Giza nyie tunateseka sisi
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Tunahitaji viwanda vya magari sasa ikiwemo makubwa na madogo
@EmmanuelChrispin-bo5xh2 күн бұрын
Umeme mpka leo hawa jamaa wana mipango ambayo hayatimii
@kiliantereba6502Күн бұрын
Mmm wewe Kitila usitugeuze wajinga. Mmepitisha kununua Sukari toka nje karibu mara nne ya gap sugar iliyokuwepo, huo izalishaji mwaka kesho itawezekanaje wakati mwaka huu mtakuwa mmeshaviua. Serikali ijenge viwanda pamoja na watu binafsi. Acha kuleta matumaini ya uongo. Mnafanya tofauti na mnachokiongea. Mnavunja sheria kuua sera nzuri za kulinda viwanda. Historia itawahukumu
@abuuramadhan80932 күн бұрын
Maneno matamu ila kiutendaji ni mbovu san haiwezekan mpaka leo tunaagiza nguo za kuvaa ,ngano na mafuta ya kula
@ibrahimmohamed8845Күн бұрын
Sasa mbona mnauza mahindi badala ya unga, viongozi mnachekesha. Wao wakipata hayo mahindi watatuuzia unga kwa bei kubwa.
Пікірлер: 31
Waziri wa kilimo mumwangalie sana. Anaihujumu nchi. Speaker alivyomufukuza Mpina imewauma sana watanzania. Haki iwę kwa wote na sio kupendeleana.
@saidalhinai1131
Күн бұрын
Wewe unaongea kwa ushabiki lkn fuatilia mawaziri waliopita na huo bashe nani muhujumi wacha ukabila
@boniphacesululu5428
Күн бұрын
@@saidalhinai1131kwaiyo wewe AKILI yako hiyo punguani unawaza ukabila tuuu
@boniphacesululu5428
Күн бұрын
Huyo waziri wenu niwakumwangalia marambilimbil
Hayo ndo maneno ya kila mwaka. Prof. Mkumbo akumbuke yaliyomkuta mwenzake Prof. mkenda
Sasa hayo marekebisho ya sheria ya sukari ya nini Boss wangu?
Wanangu wa alkovintage Nigga Side said Madam mpambanaji Nimewamiss sana wanangu
Tunahitaji viwanda vya electrical divice
Tukiweza kulima ngano ya kutosha na kujenga viwanda vya mafuta ya kula na nguo za kuvaa tutapunguza upungufu wa pesa zetu za kigen
Sasa sheria mpya ya Sukari ya nini?
Hii nchi kila mtu ale asepe, sheria ya kuagiza sukari imeboreshwa juz kati yann xx? Pili kwann bashe aliagiza sukari bila kufata utaratibu ata km alikuwa na nianjema? Kwann hakufata sheria zlztungwa na bunge?
@Brunn-mh2bq
2 күн бұрын
Marhum Lowasa alisulubishwa kwa nia yake njema hii hii.
Shida Sio uwekezaji…shida ni Kodi zenu mlizoweka ZINAFANYA uwekezaji kuwa mgumu.
Hawa sijui wanatuonaga mbuzi wasiokuwa na kichwa, kilichoidhinishwa bungeni na anachoongea ni kama huwa kuna bunge mbili moja ya nje ya bunge na nyingine ndani ya bunge
Msomi anayefikirika kuelimika
Sasa mbona mnauza mahindi badala ya unga, viongozi mnachekesha. Wao wakipata hayo mahindi watatuuzia unga kwa bei kubwa.
Nimekaa paleee😂
Kigoma Ina Michikichi mingi sana...Lindi, Mtwara , Kyela na Pwani tunaweza kuzalisha Michikichi pia karanga na ufuta..why tuagize mafuta nje ?
Kumbukeni Lowasa kwa nini alijiuzuru!?
Haya maneno yanashangaza kweli kweli. Tumeshakuwa na viwanda vya kila kitu hapa nchini. Mmeviuza kwa bei chee leo vimegeuzwa maghala sasa mnataka kuanzisha vingine vipi? Tz blah blah nyingi sana. Tendeni mambo acheni tararira.!!! Mnachosha sana. Mara screw cork mara nini sijui. Mara tunaweka mazingira mazuri. Mara tutawezesha watu wakati kodi zinasema vingine. Blah blah😢
Tuundieeni tume,naona madudu matupu,ichunguze bodi ya sukari na wizara ,madudu yaonekane tupulize dawa tuwe na wizara bora na bodi bora😂
Political interest
Anatafutiwa njia ya kutoka bashe hapo..., story tu hapo..za kulindana 😂 Lazma awajibike kuagiza sukar kutokufata sheria/utaratib..ana maslahi gani.?
Mafuta ya kula ni bidhaa amba zo inatupunguzia san akiba yetu ya pesa za kigeni
Yani ni ujinga hivi mnavyosema chakula sukari mafuta mh walulima wapo hii kwenye Bei na uwezweshaji Yani baazi wasomi porojo nyingi sana na wizi tutajifunza kwa Burkina Faso baazi ya viongozi wengi ni kukariri tu hawana akili za kujiongeza brabra nyingi na upigaji tu
Hivi wewe na waziri wa kilimo ni wezi kabisa hatuwaoni mbele.. Ni Giza nyie tunateseka sisi
Tunahitaji viwanda vya magari sasa ikiwemo makubwa na madogo
Umeme mpka leo hawa jamaa wana mipango ambayo hayatimii
Mmm wewe Kitila usitugeuze wajinga. Mmepitisha kununua Sukari toka nje karibu mara nne ya gap sugar iliyokuwepo, huo izalishaji mwaka kesho itawezekanaje wakati mwaka huu mtakuwa mmeshaviua. Serikali ijenge viwanda pamoja na watu binafsi. Acha kuleta matumaini ya uongo. Mnafanya tofauti na mnachokiongea. Mnavunja sheria kuua sera nzuri za kulinda viwanda. Historia itawahukumu
Maneno matamu ila kiutendaji ni mbovu san haiwezekan mpaka leo tunaagiza nguo za kuvaa ,ngano na mafuta ya kula
Sasa mbona mnauza mahindi badala ya unga, viongozi mnachekesha. Wao wakipata hayo mahindi watatuuzia unga kwa bei kubwa.