Ndio mana media nyingi mnafungiwaga. Si muige mfano wa Millard ayo.
@doudoumanengu165011 күн бұрын
Alafu umeongea uongo mtupu kusema Angela aliacha watoto watatu
@rosesemkiwa333818 күн бұрын
Ni vema ukarekebisha kichwa cha habari kuliko kujaza watu uongo acha mara moja kumchafua mtumishi wa Mungu kama huna cha kuongea kaa kimya
@latifagogola186312 күн бұрын
Mtoto aliyeachwa na miezi tisa kumbe anauwezo wa kujua maisha waliyoishi wazazi wake nilikua zifaham hili
@okutebettina2509Күн бұрын
Wewe wacha uongo. Anjela na mumewe Elisha walikuwa wazazi wangu wa kiroho. Kusema alitolewa kafara ni uongo mtupu. Watu hukufa jwa njia tofauti
@abundance-M13 күн бұрын
Si kwanza uchunguze before utangaze 😂😂😂😂 Angela alikuwa na mtoto Moja
@user-wz4if2ig6u8 күн бұрын
I always remember Angela rest in peace
@MourineIkhoni8 күн бұрын
Sasa wewe hii miaka yote ulikua wapi kufatilia haya.. Huyu mwanaume na kuzimia alikua anazimia hili limetokea wapi wacha uongo wKo wewe 😢😢😢kunikumbusha hiyo mwaka.. Hawa watoto wengine ametoka wapi Sasa 😢😢😢😢shenzii Sana
@isaacmwaura992 күн бұрын
Tafuta kazi ya kufanya,acha uongo
@nadiatanzania9 күн бұрын
Alikuwa na mtoto mmoja mone
@markomolloministry772218 күн бұрын
Watoto watatu wagani..alikuwa mmoja tu wa kuzaa😮
@saumurajab754219 күн бұрын
❤❤❤❤Thanks
@apostleagnes576918 күн бұрын
Kiukweli hili hata mimi ndio ninavyojua nashangaa sana Watu wanaomuamini Elisha. Hasa mtoto kakariroshwa vingine kabisa ee Mungu mbinguni mbali sana. Pumzika dada yangu
@messiasulleydidy258519 күн бұрын
Hayo mapete aliyoyavaa
@mercylinekerubo688311 күн бұрын
Alikua na kasichana kamoja tu ambaye amefuata nyayo za mamake tena
@benjaminmutwiri34667 күн бұрын
Ushetani mtupu
@AgnesMuhonja-id9mh14 күн бұрын
Did you say alitolewa kafara na mume wake????
@noahmaru93019 күн бұрын
Hata kama una-redo documentary ya awali fanya utafiti mwanzo maana mambo ubadilika bro. Unadanganya kusema kenya ina watu 35 milion
@bentanasimiyu12 күн бұрын
She had one kid only Sasa wewe uongo imetoka wapi
@VirginiaMuthoki-wt6ig10 күн бұрын
Rose was many time frastrated she looked so smting was not ok. Why did the husband leave Kenya to Tanzania and Kenya was his home? Her death ????
@bettynjoroge90038 күн бұрын
Keep quiet ulijua aje ni kafara alitolewa!! Wacha kelele
@bahatadof554318 күн бұрын
Kwa hiyo huyo huyo mtoto alikuwa na miezi Tisa na anakumbuka baba yake alikuwa anamjali Mama yake daaaa makubwa
Пікірлер: 24
Ndio mana media nyingi mnafungiwaga. Si muige mfano wa Millard ayo.
Alafu umeongea uongo mtupu kusema Angela aliacha watoto watatu
Ni vema ukarekebisha kichwa cha habari kuliko kujaza watu uongo acha mara moja kumchafua mtumishi wa Mungu kama huna cha kuongea kaa kimya
Mtoto aliyeachwa na miezi tisa kumbe anauwezo wa kujua maisha waliyoishi wazazi wake nilikua zifaham hili
Wewe wacha uongo. Anjela na mumewe Elisha walikuwa wazazi wangu wa kiroho. Kusema alitolewa kafara ni uongo mtupu. Watu hukufa jwa njia tofauti
Si kwanza uchunguze before utangaze 😂😂😂😂 Angela alikuwa na mtoto Moja
I always remember Angela rest in peace
Sasa wewe hii miaka yote ulikua wapi kufatilia haya.. Huyu mwanaume na kuzimia alikua anazimia hili limetokea wapi wacha uongo wKo wewe 😢😢😢kunikumbusha hiyo mwaka.. Hawa watoto wengine ametoka wapi Sasa 😢😢😢😢shenzii Sana
Tafuta kazi ya kufanya,acha uongo
Alikuwa na mtoto mmoja mone
Watoto watatu wagani..alikuwa mmoja tu wa kuzaa😮
❤❤❤❤Thanks
Kiukweli hili hata mimi ndio ninavyojua nashangaa sana Watu wanaomuamini Elisha. Hasa mtoto kakariroshwa vingine kabisa ee Mungu mbinguni mbali sana. Pumzika dada yangu
Hayo mapete aliyoyavaa
Alikua na kasichana kamoja tu ambaye amefuata nyayo za mamake tena
Ushetani mtupu
Did you say alitolewa kafara na mume wake????
Hata kama una-redo documentary ya awali fanya utafiti mwanzo maana mambo ubadilika bro. Unadanganya kusema kenya ina watu 35 milion
She had one kid only Sasa wewe uongo imetoka wapi
Rose was many time frastrated she looked so smting was not ok. Why did the husband leave Kenya to Tanzania and Kenya was his home? Her death ????
Keep quiet ulijua aje ni kafara alitolewa!! Wacha kelele
Kwa hiyo huyo huyo mtoto alikuwa na miezi Tisa na anakumbuka baba yake alikuwa anamjali Mama yake daaaa makubwa
Una uhakika?
Mungu alimchukua ama kafara???