HII HAPA HUTBA YA MANSOUR AKIONGEA SABABU ZILIZOMTOA CCM.LEO GOLDERN TULIP

Ойын-сауық

Join this channel to get access to perks:
/ @rvsonlinetv
JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/KZi1LtLlTmX...
#HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
RVS SQUAD YETU
WAANDISHI NA WANA HABARI :
1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
2.YUSRA SAID SHAABAN
3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
4.CHRISTOPHER MARTIN
CAMERA MAN :
1.SEIF PUCHE
2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
3.UST KHATIB SALUM
4. HARITH
5.HAFIDH OMAR
EDITOR :
1. SAID KOMBO ALI
2.SEIF PUCHE
HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
FACEBOOK: / rvsteamhb
INSTAGRAM : / rvstv2020
TWITTER : / online_rvs

Пікірлер: 91

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 Жыл бұрын

    Hakuna Mtu namuelewa kwa sasa km huyu tz, namuomba muabudiwa wa haki amuwezeshe kua raisi nikiwa hai nimuone akipiga kazi insha'Allah ❤❤

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Жыл бұрын

    Wazanzibari tukiungana tutaikombowa zanzibar yetu asante malendo wetu

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Жыл бұрын

    Mara hii hatukubali askari, mazombi yakiuwa na sie tutaingia kwa familia zao.

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    Mbona maneno hayo since 1995 ila mwisho wa siku mnatulia kama moja hahahha

  • @salumsuleiman4710
    @salumsuleiman4710 Жыл бұрын

    Ukijumlisha idadi ya waliouliwa na tawala mbili kati ya Uhuru na ukoloni basi bora ukoloni

  • @nassorrashid1611
    @nassorrashid1611 Жыл бұрын

    Mansooooooooooooooor. Ccm itakufa

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim8600 Жыл бұрын

    Mansur jamani nakupenda sipchi zako bora ww ukamate hatma ya mwliseif kwli unavutia huna kigugumizi ukiogea unakofidence nzur sna

  • @adamhajiwamahuwa605
    @adamhajiwamahuwa605 Жыл бұрын

    Bas nihatar kweli siasa wallah mnaijuwa swadagta

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Жыл бұрын

    Sasa nyinyi ndugu zetu Wazanzibar, Rais wa Zanzibar ni mzanzibari Rais wa jamhuri Tanzania mzanzibari sasa mnafeli wapi kupata mamlaka kamili ya Zanzibar!!!!!?????

  • @salyali7807

    @salyali7807

    Жыл бұрын

    Raisi wa zanzibar si mzanzibari

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    @bennymochiwa4800. Rais Hussain Ali ni Mzaliwa wa Tanganyika na alikuwa Mbunge wa Mkuranga. Rais Pombe alimchaguwa awe Kiongozi wa Zanzibar awakilishe Tanganyika. Ndio maana Hussain alisema ikulu ya Zanzibar itajengwa Dodoma alikochaguliwa kabla ya Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Huyu jamaaa ana speach kali na za kusisimua sana

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    This is a politics bro

  • @JRN2612

    @JRN2612

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 anaongea fact, though

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@JRN2612 Ndio maneno yawana siasa lazima yakuvutie sasa jichanhanye umpe kura yako hapo ndio utakua haujui hahah

  • @JRN2612

    @JRN2612

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 wewe mtu wa kisonge tunakujua. Lakini kila jambo lina mwisho wake

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@JRN2612 Bro mimi sio wa kisonge ila Mimi nasapoti mazuri Namsapoti Sana Raisi Hussein Mwinyi kwa sababu anayoyafanya hakuna Raisi yeyeto wa zanzibar alishawahi kuyafanya kabla,pia huwa namsapoti Jussa anapozungumzia Mustakabali wa Zanzibari juu ya kuwa koloni la Tanganyika ,Ningependelea sana Jussa na Watu wake wakashirikiana na Raisi Mwinyi kuzungumza nae hukusu Zanzibari kujikomboa na Watanganyika ,tukiacha Siasa za majukwaani za kuvunjiana heshima kwa sababu hao Act wa Zanzibari ni Wazanzibari na Husseni mwinyi anaowaongoza ni Wazanzibari na ndio waliomchagua so wanapokosa kuwelewana Hapo ndipo ilipo silaha ya Tanganyika kutokuelewana Wazanzibari wenyewe kwa wenyewe...Umoja Umoja umoja ndio silaha ya Zanzibari kuondokana na dhulma za Tanganyika kwa Zanzibari ili ipatikane Zanzibari moja yenye mamlaka kamili ,,,,CCM pekee hawawezi na pia Act pekee hawawezi kuifanya zanzibar kuwa na mamlaka kamili pasipo kuungana kama Wazanzibari na siasa zikawekwa pembeni kwanza.

  • @allyothman5025
    @allyothman5025 Жыл бұрын

    huyu maalim mtupu, allah amueke sana huyu anadhamira njema sana na anaroho safi kabisa ni maalim seif kabisaaa

  • @ahmedelalawy639
    @ahmedelalawy639 Жыл бұрын

    Mmmmh subutu . Ccm haing'atuki kwsbb wanajijua wakiacha nchi basi ccm inatoweka milele

  • @user-zz6fw2zt6s
    @user-zz6fw2zt6s Жыл бұрын

    Tuwe pole sababu sote tumo ndani ya jahazi moja kwa vyama hivi na viongozi wake hawana muelekei labda kunachama kipya kitaundwa hicho inawezekana kufanya ukombozi juu ya wavamizi walio vaa koti la ccm na muungano tuwe pole 😢

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 Жыл бұрын

    Ukweli inasikitisha sana ccm wapo radhi kuua ila wabaki madarakani tena hakuna wanachokifanya

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    Bro hiyo ndio siasa hata wao hao Act wakija kupata madaraka hawatokubali kuondoka kirahisi na hayo mnayoyaona wanayoyafanya CCM na hata watakuja kuyafanya na pengine zaidi ya hayo this is politics bro usihadaike na maneno ya wanasiasa

  • @chingaboy1149

    @chingaboy1149

    Жыл бұрын

    😂😂😂hatuongei siasa tunachoongea nikuhusu ccm/ kanisa katolic wameikalia zanzibar kimabavu siasa zanzibar haina nafasi tunachoongea sisi ni Zanzibar yenye mamlaka kamili

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Жыл бұрын

    1 + 1 = 3. Serikali 3. Katiba 3.

  • @kassim1262
    @kassim1262 Жыл бұрын

    Mansour anapoongea kama hujamuelewa bc una matatizo anaongea kihisia zaidi au cjui nahic mimi tu

  • @charlesmayilla2926
    @charlesmayilla2926 Жыл бұрын

    Ok

  • @AshaSalum-ww8kn
    @AshaSalum-ww8kn13 күн бұрын

    Akiongea ww siamini muongo unefukuzwa c cm unatafuta pesa akisema jussa namkubali

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fpАй бұрын

    Ni Aina ya viongozi wanaojitolea kusaidia watu Ila watu wenyew sasa

  • @Nassor2377
    @Nassor2377 Жыл бұрын

    Hongera brother msnsour..hutaba inamafunzo na musmko wakulinda na kuikomboa znz yetu..

  • @nashnene6326
    @nashnene63267 ай бұрын

    Siasa na unafik ni 5 & 6 😅😅hivi leo mansuri unasimama juu ya kiriri kumsifu jahil Karume na kumponda Magufuli na kumwita jahil kweli? Wonders shall never end

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim977310 ай бұрын

    KARUME MALAWI KWAO KAJA KUHASIDI ZANZIBAR 😮😮😮

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano376511 ай бұрын

    Dr.Mwinyi alikua wiza yandani na akichangia Bungeni lazima ulinzi zanziba uimarishwe kwa kutolea nafsi na Masauni ali ahidi atamtengeneza El Marhum Dr. Kikwete akashauri lazima wamkabidhi YULE JAMAA SIRO mku wa Majeshi.

  • @websuperspy
    @websuperspy Жыл бұрын

    Hotuba nzuri isipokuwa kuhusu mapinduzi ya 64, yalikuwa maovu na machafu na yaliyoua maelfu wasio na hatia.

  • @Geoglemdoe-uh8ch
    @Geoglemdoe-uh8ch Жыл бұрын

    Katiba mpya kwanza

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Жыл бұрын

    ccm ulifukuzwa ulifata pesa zikaondoka na hukuwa ccm hapo kabla sema ukweli wako sie tunajua kila kitu kuhsu wewe

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Жыл бұрын

    Hayo unayo yasema kassim pandu uwongo alichaguliwa hakuingia mwenyewe tu wewe humjui Mansour usiseme maneno ya ovyo

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Жыл бұрын

    Katiba pendekezwa hatuitaki. Tuanze upya

  • @OmariNkalami-nh6fl
    @OmariNkalami-nh6fl3 ай бұрын

    Tutawahamisha kama wamasai ngorongoro tuwapereke Tanga au oman2?😂

  • @aboobakersalim5970
    @aboobakersalim5970 Жыл бұрын

    Nani kakuuliza

  • @websuperspy
    @websuperspy Жыл бұрын

    Wala taziru wazitan wizra ukhra. Mtoto wa Mhe. Mansour alikosa nini? Vipi wanaleta ubaguzi kwa mtoto ambaye hana kosa? Muungano wa Kikoloni wa Bara kwa Zanzibar lazima ufutwe. Ikiwa wao mkataba wa bandari tu wamechemka mpaka angani, wanasahau mkataba mbovu wa Muungano.

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Жыл бұрын

    Kashata kwa chai

  • @mwigaadam1179

    @mwigaadam1179

    Жыл бұрын

    Kama unaumwa nenda hospital zimejaa kila wilaya pumbavu ww

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Жыл бұрын

    Acheni kupiga mikofi kila wakati mnaharibu hutba nzur bwanaa ahhhhhh

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    Umeonaeeee yaani hapo wapo ilimradi wapo hawajui hata lengo la kuwa hapo ,lengo la kuwa hapo ni kusikiliza zaidi munachoambiwa na sio neno sio neno makofi neno sio neno makofi dah ety ndio vijana hao wanaoambiwa waende kuwashawishi wenzao wa CCM kuhusu kubadilika hahahah

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Жыл бұрын

    Anae ongea akipijiwa makofi humfanya azidi kutema madini

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@KassimAlly-xp4dz Tatizo usikiliza aji na ufahamu huwa mdogo maana unakuwa unapoteza umakini wa kusikiliza

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf4 ай бұрын

    Tafuteni jeshi comando act ndio mutafanikiwa

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Жыл бұрын

    Tusisaau kuwafanyia duwa nduguzetu waafrica weusi uko sudani dafuru na katumu kwani waafrica weusi uko sudani wanauwawa kama wanyama namakabira yakiarabu jmn inasikitisha

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    @noelnjementi8511.Pia tusisahau Dua kwa Ndugu zetu Waislam wa Zanzibar. Kuanzia 1964, hadi leo wanaouliwa na Wafrika Weusi kulinda Ukoloni wa Tanganyika.

  • @chumamasunga8855

    @chumamasunga8855

    Жыл бұрын

    @@khatibal-zinjibari6956 Duh!😭😭😭😭karibu Kahama Shinyanga Mwinyi

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    Жыл бұрын

    ​@@khatibal-zinjibari6956bado ww zam yako

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    Жыл бұрын

    Tuwaombee dua waache kuuwana. Maana uroho wao wa madaraka wanawaulisha raia wasojua kitu.

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    Жыл бұрын

    Mansour umetulia na mada inakuhusu maana ni Royal family ya wanamapinduzi. Hongera Mhe. Mansour

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Жыл бұрын

    Tuanzie kwenye mchanganyiko huo wa wanawake na wanaume vipi?na nyinyi ndio waumini wa kukosoa mambo kwa kupitia uislamu tuanzie hapo kwanza.

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    Жыл бұрын

    Basi na Hijja tusichanganyike. Au baba na mama yako pia wagawane kitanda

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@user-ki4sg8yz9j Dah wapemba hasa mnapenda matusi yaani ,yaani hoja zenu bila ya kutukana mnahisi hazipo sawa ,,,Allah amesema wanaume changanyikeni na Wanawake ila sio mchanganyiko huo mliopo nyinyi ,mchanganyiko wa mke na mume ndio uliozungumzwa hapa na Allah ,sasa wewe ukiwa kama unahalalisha mkusanyo huo mliopo nyinyi ni sawa ,,ila mkumbuke tu kuwa hapo wangefanya chama chengine mungehukumu lazima ila kwa kuwa mumefanya nyie haina shida ,tukutane 2025 kisandukuni kisha kina nani watakwenda Amani kushuhudia Raisi wao anaampishwa InshaAllah ciaoooo

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Жыл бұрын

    Acha ujinga ww ndo ulio liona ilo ukiwaona wa2 uchi husemi kwasababu m2 anasema maneno mazima unaona utoe kasoro shenzi kabisa

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Жыл бұрын

    @@rajabmsinzia1715 ikitawala tena ccm Zanzibar In Shaa Allah nakupa unachotaka

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Жыл бұрын

    @@KassimAlly-xp4dz Hii comment yako naihifadhi ,ila ukumbuke tu mliambiwa muanze kupamba kuna tamaa kubwa mliowahi kupewa kuliko ile?maana kina Jussa mpaka umoja wa mataifa walifika na mapicha kuposti ila wapiii?Na hakuna mwaka mgumu wa kushinda wapinzani Zanzibari kama mwaka 2025 maana Husseni Mwinyi ni Mwamba kweli kweli yaani Huwezi kuwatoa watu kwenye njia ilionyooka ,mchizi anaupiga kweli yaani mnapaswa mtumie nguvu za ziada kumuondoa kisha hatumii nguvu kimya kimya anawanyoosha

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын

    SERA NA SIRI YA CHAMA CHA MAPINDUZI Ni Kuimarisha Ukoloni Kamili wa Tanganyika kwa Jina la Muungano.

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    Жыл бұрын

    Nabadooo TANGANYIKA HOYE

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    ​@@personpeter2221Tanganyika Oye na Zanzibar Oye.

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    @@personpeter2221 Bado Tanganyika ipo kuanzia 1920 hadi sasa.

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    Жыл бұрын

    @@khatibal-zinjibari6956 kumbe ww hjui Sela ya tanganyika ndo TANZANIA 🇹🇿 ulishawah kuona sheria za ZANZIBAR zkatumika bara kwann sheria za TANZANIA ztumike kote? Kumbe huijui siasa ya mwalim nyelele unafkili alikuwa mjinga?? TANZANIA ni kvuli tu bt ndo tanganyika MIMI najijua kuwa ni MTANZANIA coz TANZANIA ndo tanganyika

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    Жыл бұрын

    @@khatibal-zinjibari6956 kumbe ww hjui Sela ya tanganyika ndo TANZANIA 🇹🇿 ulishawah kuona sheria za ZANZIBAR zkatumika bara kwann sheria za TANZANIA ztumike kote? Kumbe huijui siasa ya mwalim nyelele unafkili alikuwa mjinga?? TANZANIA ni kvuli tu bt ndo tanganyika MIMI najijua kuwa ni MTANZANIA coz TANZANIA ndo tanganyika

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Жыл бұрын

    Hiki chama hakitufai hata kidogo. Udini, ubaguzi , na ubinafsi wa kizanzibar

  • @dembouzjj541

    @dembouzjj541

    Жыл бұрын

    hakikufai peke ako

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    @simonmadiba2053. Uislam ulifika Zanzibar zama za Mtume Muhammad (SAW), ilifuata Sharia za Dini ya Kiislam na ilikwa Makao Makuu ya Pan-Islamism na Islamic Modernism kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati. Zanzibar ilikuwa maarufu Duniani, lakini sasa haitambuliki hata Tanganyika. Na unaposema Udini ni Udini gani?

  • @mimimtanzania9738
    @mimimtanzania9738 Жыл бұрын

    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzanua. I.MzanIbar,Rais wa zanzibar ni mzanzibaf ,na baadhi ya mawaziei wa Tabgabyika bu wazabzibar,m mbona bamishi julalamima.Tanganyika hatuna faida ya muungano na tunampenda Rais samia

  • @mwigaadam1179

    @mwigaadam1179

    Жыл бұрын

    Hussein mwiny so mzanzibar pia Kama WW faida ya muungano huioni jee faida hiyo anaiona Nani??

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim977310 ай бұрын

    CCM CHAMA CHA baba YAKO 😢😢😢

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 Жыл бұрын

    Muongo mkubwa lete ushaidi mnele ya Wana nchi wa zanzibar kuwa karume hakuongea na nyerere Kwa mwaka moja nimuogo mkubwa nimnafiki mkubwa

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    @janiaoma7093.Unataka "Ushahidi wa Kinyamwezi" wasemavyo Walenga?

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Жыл бұрын

    Mnafiki ni ww kwasababu unabishana na familia unayo mjua Karume ww unajua nn mshenzi mkubwa ww

Келесі