Harusi ya Joti: Joti Atwanga Mauno ya Nguvu Mbele ya Wakwe
Ойын-сауық
Mchekeshaji Joti usiku wa kuamkia Jumapili hii katika ndoa yake iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam, alicheza sebene la nguvu kwa kukatima mauno mbele ya wake zake. Ndoa yake hiyo ilihudhuriwa na ndugu, jamaa pamoja na marafiki.
Пікірлер: 131
duh joti nooma hongera Sana mtu wangu Mungu akuongozeni ktk ndoa yenu
Joti ndio kingi of comedian
so kwa vibe hz jaman!
Karibuni wote channel nzuri mno.bonyeza picha.asanteni
Hongera sana jot na kikund chenu wote nawapenda
Bwana halus mashallah
joti uko juu big up sana
Karibuni wote channel nzuri.bonyeza picha io
Wameweza sana hongeren
hongera sana jot👌💯💯
Baba harusi nimemuona, hongera xana
Hapa duniani hakuna furaha nzuri kama ya harusi yako hongera Lukas
Mashallah kila la kheri kwenye ndoa yenu
hongera sana kamkubwa
Hongera sana
Awwwww joti we khataree
joti wewe ni komesha, big up
Joti hongera sana
Hatareeeeeee ya jiji jotiiiiii nomaaaaaaa😂😂😂😂👊👊👊👊👊👊👊
@christinadaniel7590
6 жыл бұрын
Peter shigemelo jjii
big up bro
joti😂😂😂😂🔥🔥
Hatarii
safi
Daa joti chonjo sana unazikwenda mbaya
Safiiiiii
Bi harus mwenyewe noma
awersome
😂😂😂😂nimeipenda hiyoooo
@iddyomary9354
6 жыл бұрын
Bahati Mohamadi
Jot noma
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera joti😂😂
Hahahahahaha ameshinda vip napikipiki au duuuuh kweliiii this is Tz
Duh hatareeeeee
wao adi raha
@simonmusyoki6129
6 жыл бұрын
Nadya Mustapha hi
good
hhhhhhhhha noma sana
Bwanaharusi Jamani hizo nywele😫
Tanzanian
kama anaigiza ....joti noma
You only leave once Enjoy while you still can
joti hayo mauno siyo ya nchi hii.
😂😂😂😂hyo jot akil zake anazijua mwenyewe😂😂😂hatal
@carzolaalone3126
3 жыл бұрын
Kbx yan
Joti bana
amizing😍
🤓 Etat Major from WENGE BCBG maaamae hili songi popote napolisikia hata kama ni Ukweni siawezagi kuzificha hisia aseeh nakua mwehu
@cydmangu5447
6 жыл бұрын
ni extra musica kamanda
@mtokambali2320
6 жыл бұрын
Cyd Mangu oooy Nmesahau sababu ya Tutuu Karuche
@nashirihamisi8329
6 жыл бұрын
Mtokambali k
@immamilligo3401
6 жыл бұрын
mkali Hiyo ni la deference extra musica 1998 chini rogaroga..rama tulae..na wengine wengi wakiiunda extra musica..bcbg ilikua chini mnyama jb mpiana...Nadhan utakua umechangany kidog
@mtokambali2320
6 жыл бұрын
Imma Milligo Yap nilichanganya kidogo maana nikisikia sauti ya Tutuu Karuche pale mwanzo
Daaa we ni shd
Mmmmh, usani kazi kwelikweli kuvunja mauno mbele ya wakwe.
Nimekukubali joti
Joti ninoma sana
No more drama
joti, we kiboko
iyo apana
wayooooooo
@aishajumaaisha2769
6 жыл бұрын
dastona michaels m...
@dastonamichaels1854
6 жыл бұрын
Aisha Juma Aisha J
@fikammutwali688
6 жыл бұрын
dastona michaels
@prospankurunziza6059
6 жыл бұрын
Nigeria video
Dh!!!! $@ruti kwenu mwaaa mwaa
Joti lini utakuwa😂😂😂😂
Hahahaa
Duuu joti wale wakwe uliowambia kuna jera na gest ,,, umeamuwa Leo uwaoneshee uno ,,,, bro ww kiboko
Watu oyoooooooooo joti mbavu zang weeee kiboko
pasua kichwa huyuuuuuuuu joti
lipi la ajabu topic zngne jamani...
@michaelodera4068
6 жыл бұрын
Yaaish Baybe 9
😁😁😁
nimeipenda hii jamani huu mziki.niwa kitambo unaitwaje jamani nataka ni dounlod jot jamani nime furahia
@alexdougly82
6 жыл бұрын
wenge musicer hapo ukifungua through That name wanakuletea all songs nahiyo ikiwemo Madame
@kazikazini1042
6 жыл бұрын
Wimbo Etat Major Xtra musica
@MultiMbongo
6 жыл бұрын
alex dougly ni extra musica
@alexdougly82
6 жыл бұрын
+ill skillz yeah u are correct Boss...thank u
@p.kasongot979
6 жыл бұрын
mama peku peku pili pili muwasho hunaitwa Extra music
WA COMEDY ORIGINAL WAKO WAPI?
Mwanamke mpole sana jmn
@nabilasalim4168
6 жыл бұрын
Khadija Malifedha h
@khadijamalifedha6008
6 жыл бұрын
Nabila Salim naaam
@ezekielmashimba9404
6 жыл бұрын
Massachusetts
@devothamunuo1473
6 жыл бұрын
Khadija Malifedha safi
joti
Atr sn jot
😄😄😄😄😄
Kaoa muaya maan hz ngom za huk
Achaweee jamani hilingom nibala
It's your day enjoy it dear 👏👏👏
@lobalobaanase438
4 жыл бұрын
waaaaa
Lady dyee
Toti hunampinzani wa kuache hata mkongo hambuwi dafu kwako
Ila joto hakamatika jamani
N.
hahaaaaaah nimeipenda love kwako
@lobalobaanase438
4 жыл бұрын
mamboo
Nyegezinaomba
joti ww kboko
hahahaha haka kanaume kananichekeshaga yaani kamekaa kama kasungura tu vituko vyake
Sawaaaaaaaa,,,,penda sana nyie mnavyodence lo!!
huo uteo maanayake ni nini kupiga chini naogopa uteo mimi kwangu jikoni uwezi upata
joti we kiboko kabisa
chege
Hawa ni mfano wa nguruwe hawana hata haya bali ni zaidi ya wanyama kelbu weeee
@brightonymartin2541
6 жыл бұрын
zuheor salim mungu pekee ndiyo mtoa hukumu ;na wala siyo ww binadama pia huna mamlaka ya kumuita mtu nguruwe;;; je ww hujawahi kutenda kosa???? ucpende kuropokaropoka chunga mdomo wako tusubir hukumu tu ya mungu
@zuheorsalim7759
6 жыл бұрын
Brightony Martin Wewe umekikosea sana kiumbe nguruwe ni mnyama bora sana kuliko hawa vinyago wako ambao hawana hata stara
@michaelfelicia5167
4 жыл бұрын
haki jot 😂😂😂😂😂😂
Mauno ya uzazi
Joti buana 😄😄😄
@christopherkasote1730
6 жыл бұрын
good sana
@linahernest2232
6 жыл бұрын
Raha TV xxxx
Wakae wakielewa na mtoto wao atakuwa anakatikiwa hivyo kitandan
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
Haaaaaaaa nimecheka,umewaza nn
😂😂😂😂😂😂anae piga ungo chini simuamini😂😂😂asturogee😂
Xxx
@mussajuma5710
5 жыл бұрын
Xxx
@mussajuma5710
5 жыл бұрын
XXX
so kwa vibe hz jaman!
woyooooo mpaka raha bwana harus kutoa burudan nimependa sanaa
😁😁😁