AJIB, NDEMLA, MANULA, FARID , ZAYD NA BOCCO WALIVYOHUDHURIA HARUSI YA MOHAMED HUSSEIN WA SIMBA SC
Nahodha msaidizi wa Simba SC Mohamed Hussein Tshabalala leo amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake na mama wa mtoto wake Thuwayba Hamisi katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam.
Пікірлер: 179
Fair play mpaka harusini, this is great! Hongera sana Zimbwe Junior, hongereni vijana wa Simba kwa kuonyesha kuwa upinzani ni uwanjani tu!👏
Mwenyewezi MUNGU awajalie maisha bora bg up Zingwe
Alf mabrouk Zimbwe junior Big up from Saudi Arabia 🇸🇦🤝
Hongera Zimbwe Jr.
Ongera sna bro zimbwe junior
Hongera zimbwe jr.
Ikawe ndoa yenye heri na baraka za Allah ziwe nanyi maisha yenu yote,hongera Zimbwe Jr
@simbafuns785kviews
3 жыл бұрын
Amina sana kzread.info/dash/bejne/f61k2aSte6udotI.html
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Jamani ndoa za Waislamu hazipo hivi. Hizi ni tamaduni za makafiri. Mkubali mkatae, mfurahi mchukie. Allah atunusuru sisi tulio bado kuoa.
@adamdemarch5565
3 жыл бұрын
@@khalfanifarisy119 kwani kunaalokuambia kuwa ndoa yafungiwa ukumbini mzee vp hiyo nisherehe baada ya ndoa
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
@@adamdemarch5565 Sawa, lakini huo siyo Uislamu. Tamaduni hizo kafanya mtume gani au swahaba gani? Turejee kwenye Qur,an na Sunnah ndo usalama wetu ndo mna maelekezo sahihi siyo kuwaiga makafiri.
Hongera mtaalam kwa kutimiza nusu ya dini
Alfu Mabrook!! Kila la kheyr Allah akusimamie.
@simbafuns785kviews
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/f61k2aSte6udotI.html
Honger xan bro mwenyez mungu awajarie mpate watoto bora
Hongereni sana kwa kuhudhuria Arusi ya mwenzenu dah Simba mnauoendi jmn mpaka raha
Hongereni sana
Dah mhamedi jmn anafuraha atulii kbisaaa safi Dimba nawapenda wachezaji sna.Mzidi kudumu katika upendo huo
good my broo
Honger zimbwe
Yaaahhh allahh bless fullback3 kwa safari yake ya ndoa
@simbafuns785kviews
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/f61k2aSte6udotI.html
Mashaallah
Masha Allah
@Kingtiger98
3 жыл бұрын
Nigeria kzread.info/dash/bejne/q5eqwZmpkcSalso.html
What a Control...! 👊
Hongera sana
Mashaa'Allaah jamaanii hongera sanaa Kaka yangu ndoa yenu ikawe ya kheri na baraka tele Inshaa'Allaah..😍🥰😊🤗
@simbafuns785kviews
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/f61k2aSte6udotI.html
@thomasgabriel3205
3 жыл бұрын
Sijaona viongozi wasimba au hawakuwa na kadi ya mwaliko
Mke mzuri hongera.
Yeeeee farid ana pisiii
Wawoo bro hongra umetimiza nguz za uislam
Upendo sana wanasimba hongeteni sanaaa
Hongera xana
Honger san
Honger
well done
Hongera shabalala tunakupongeza wote ktk arusi yako yenye upendi.Mungu awatangulie .
@simbafuns785kviews
3 жыл бұрын
Amina on behalf kzread.info/dash/bejne/f61k2aSte6udotI.html
Ni mondi tu namskia 🔥🔥🔥🔥
hongera Zimbwe
Mambo ni 🔥 Best wishes on this wonderful journey Mr Mohamed Hussein, as you build your new lives together. "May the years ahead be filled with lasting joy." 🙏🏼
@Kingtiger98
3 жыл бұрын
Nigeria kzread.info/dash/bejne/q5eqwZmpkcSalso.html
@noxlosingida2369
3 жыл бұрын
Amen 🙏🏻Glory to Mighty God
MC chenga kapoa sanaaa!!!! Utadhani anaendesha Birthday
💕💕💕
Kaaaa mbon kam bi kidude
Mwanamke mashallah
@itaimuhaji917
3 жыл бұрын
Mmh mbaya
Ongera xn bro nam mung akipenda natarajia kuwa miongon mwa walio ingia katika suna tukufu mungu azid kumtunza kipenz chang amalize shule ili tumize malengo god bress somoe
Zimbwe huyo Bibi yetu mungu anakuona
Simba Day oye
simba nguvu moja
Bwana harusi anafuraha sana mungu wajalie ndoa yenu iwe ya baraka
Jmn me namuona bi Haruc vbya au mbna kma kazee vile au?🤔🤔🤔
@abdullaothman3772
3 жыл бұрын
Naona wameshajukuu ndio wanaoana
@consolatamedard6593
3 жыл бұрын
😃😃😃 mm namuomea huruma tu Zimbwe Mana Bibi yake uyo
Umefanya kitu kikubwa Hussein
👍👍👍👍👍
hv daa unakunaga wakristo huko
Ikawe ndoa yenye kher na baraka allah awe nanyi
Dah! Sio kulogwa huko😀😀😀😀
Bwana harus kwakuwasha macho tu kabarikiwa
Mashallah maboork 😍harf maboork ila kama mwanamke old ama miye2 macho yangu
@ismailchibonda5005
3 жыл бұрын
Nami pia Naona hivyo 🥺🥺🥺🙈🙈🙈
@barakjohanna5581
3 жыл бұрын
Hiyo ndo maana halisi ya bibi🤣 harusi
@benardmapuga8370
3 жыл бұрын
ahahahahaaaaaa barack et ndio maana ya bibi harusi
@salhamrisho8138
3 жыл бұрын
@@ismailchibonda5005 kumbe wangi ehee
@salhamrisho8138
3 жыл бұрын
@@barakjohanna5581 weye aya bhana😊😁
Mtaalam zayd
Ok
💥🥰🥰🥰
Faridi nimekuelewa mwanangu unapisi kali...
Hahaha huyo dada aliekua akcheza nlijua mganga
@rahmahassan1157
3 жыл бұрын
😹
@scolaanita6941
3 жыл бұрын
Hahahaha kaowa bibi jamani
Broo vp ulipewa limbwata au mbona dem kama amekuxid umrii Bora angekua uyo wapembeni Ake ndomxuri
Onger San shabalala...🙏🙏
Kao mwari au?
MTU wa Makeup mwambieni Asije Mikoani hanapata kazi huku....
Nani kamuona ndemla kofia alivovaa
Jamani zimbe mkomao mke mzee. Hongera kijana farid kwa kuoa Binti wengine sijui walitongozana Instagram
@witnesskihaga2241
2 жыл бұрын
Una mambo ndugu Yangu
Maostaz wa simba
Mbona bwana harusi kacharuka hivyo jamani
Jaman kuoa au kuolewa nilaha san
Mwamba aliyeoa kafurah Sana naona anaona sherehe inakawia kuisha akale chakechake
Ikawe kheli
Jiandae kupigwa makofi utaoaje mwanamke anae kuzidi mbali hivo ? Kuzidiana umri kupo ila sio kwa kiasi hicho
Pacha wake mtuuuu fulani ivi hongera kamkubwaa
Nimekubali dawa zipo aisee au huyu mam nitajili Sana Kama Moo et?
Bi Harusi kachangamka huyo daaah hadi anaombwa kutulia apigwe picha. Kila la kheri Allah awawekee wepesi
@rahmahassan1157
3 жыл бұрын
Wote hawajatulia ht bwana harusi nishida 😹😹😹
Bwana harus kachachuka honger yakee
shabalala ana muhaho duuuuu akutegemea kumuoa nn
Bwana harus tulia
Mbona mbibi
hapa angekuwepo morrison wangeelewa show
@mbwanakhamis9634
3 жыл бұрын
🤣😂🤣
@emmanueljoseph2576
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@khayratabdi7044
3 жыл бұрын
😄😄😄angevua mpaka ule mchupi wake
Mohammed Hussein Tshabalala na mkewe na mzazi mwenziwe wabarikiwe sana na kupata watoto 11.
@fatumasophu5855
3 жыл бұрын
Ili wandering kikosi
Azam Academy kasoro ndemla tuuuu
Mbna bi harus anasura ya ugali wa muhogo....
@paschalsumaye5066
3 жыл бұрын
Jicho lako bovu
@halimmnav9458
3 жыл бұрын
Hahaha wewe nawe
@leylaiddy5815
3 жыл бұрын
nilikuwa naitafta hii comment.. but mungu anakuona😃
@tynnahpaul620
3 жыл бұрын
Labda makeup sana maana bila make up mzur tu
kzread.info/dash/bejne/X5Wkq7iBZ7m-eLQ.html Weusi Wapoloo Official Dance Video 🔥🔥🐉
Ule wimbo wa pico mbona aukuchezwa
Hahahahahaaaaaaaa
Ndio ya kiislamu hiyo...!! Maji na mafuta ya taa.
@wardaheluwa734
3 жыл бұрын
Kanzu na kofia ukumbini na singeli
@mweyoms5548
3 жыл бұрын
@@wardaheluwa734 Uhuni mtupu.Ibilisi ndiye mtawala wa shughuli hii.
Biaharusi mbaya jamn 😂
Hao mabiharus hapo mbele kama majin vile
SSL
heee uyo biharusi wenyew anasema tuuu
Mim nilijua ni mitandao bana kumbe nikweli???? Duu!!! Nibalaa2pu vijana jamanii duuu!!!
Congress zimbwe huo ndio utanzania na uzalendo
Kumbe walipat mtoto kabla ya kuoa enhhh🤔🤔
@salimusaguti4474
3 жыл бұрын
Kama mange vile
Mbona bibi harusi kama kizee eti wengine wanasema mamaake mo? Alafu kamcharuko!!!
@asiya5739
3 жыл бұрын
Nkajua mm tuu
@jescazablon7162
3 жыл бұрын
Kwel uko uson sjaelewa ni uzee au wembamba
@rahmahassan1157
3 жыл бұрын
😹😹😹😹
@elizayanga9756
3 жыл бұрын
Jmn kamekomaa tuu atakua mdg 🤣🤣🤣
Huyu dada mbaya jamani Kama Bibi kizee
😛😛😛
Hivi Huyo Bibi Anahela Sana Eti !? Au Ndo Ufund Tu Wakitandani 😆😂😂
@khayratabdi7044
3 жыл бұрын
Mm mwenyewe Niko najiuliza ilo swali😄😄
@frankdotto9178
3 жыл бұрын
ata sielew pia
Bi harusi si uyu aliyetrend kwny ovha wakiw wamekaa wte kwa pamoja we millard ayo acha kutuingiza mitini
Kwa harusi hii haifiki ata mawinguni acha mbinguni hamna malaika mwema alie sogea kwa ukharamu huu hii sio ndoa ya kislam
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Kweli kabisaaaaaaa. Ndo wanavyotaka.
Mbona bibi harusi yupo kichwa wazi hajajistiri
a wanasimba hao huyo nijini au mke
Mbn kama bibi harusi n mzee
@yussufgrafix9371
3 жыл бұрын
Ndo ushamwita bibi harusi ujuwe kama bibi
@salamasaidi6620
3 жыл бұрын
@@yussufgrafix9371 😆😆😆😆😆
uyo bek wetu kaowo mwarabu wa tabora simba motto
@khalfanifarisy119
3 жыл бұрын
Mama yangu mdogo huyo upande wa Mama yake. Waarabu wa Mikindani.
Kapombe