Heshima kwako Joti na mapacha wako, na mke wako mzuri Mungu azidi kuwabariki Sana nawapenda
@tintedmushz3074
Жыл бұрын
Kumbe kitombangile kitwango ako na wife poa
@lavuulovenes1682 Жыл бұрын
Ongera sana joti na.mkeo kwa.kutuletea watoto wazuri wow joti napenda sana vichekesho vako Mungu awabariki na abariki hao watoto nipo Kenya nawapenda sna
@gudilachami41374 жыл бұрын
Hongera joti baba wawili upo serious ukiwa mpole unapendeza
@mohammedkidody56187 ай бұрын
Mungu akubariki joti my legend na familia yako❤❤❤🎉🎉🎉
@asifiweedison82174 жыл бұрын
Dah mungu akutangulie joti na familia yako
@telaamtauta22274 жыл бұрын
Mashaallah nguo ninzuri sana zinaonekanatu shukran
@julietbeka73314 жыл бұрын
Joti kumbe akiwa serious yuko poa alafu ni handsome mashallah 👌👌👌👌
@mackmillan28034 жыл бұрын
Mungu Naomba unirehem baba wambingun,,Naomba uje unipe na Mimi mapacha,,, Amen
😂😂aliecheka kama mimi alipomuona Joti akiwa kwenye mavazi haya na akavuta picha ile anapokuwa na mavazi ya kazini gonga like wadau😂😂
@tumainpallangyo78683 жыл бұрын
Hongera mmy joti kwawatt wazuri sana
@wycliffegift61804 жыл бұрын
Waoh .Heshima Kwako Joti..iam Your Huge Fan
@wilnesmmbado9178
4 жыл бұрын
Taarfa ya habari itv
@dotomohd91563 жыл бұрын
Ana amininmapacha Wana bahat agonge like hapa kwapacha aake
@jacklinerenson17084 жыл бұрын
I thought joti is single nitume cv... Now lemme focus on sopa🤣🤣tuzae pacha nne
@daflozamwakalinga40444 жыл бұрын
Yaani joti! Yupo kawaida tuuu! Utafikiri anachekesha yaani kakaa ki comedy! Comedy tuuuu!
@najmaathumani2423 жыл бұрын
Mashaallah
@edinahjoseph40514 жыл бұрын
Nakupenda bureeeee
@nusratbintabdullah57134 жыл бұрын
Beautiful kids
@lemmywanjeh43663 жыл бұрын
Ana wife mzuri sanaaa
@rehemasahwi55304 жыл бұрын
Sio kwa kufanana uko na babaao mungu awatunze mapacha wa taifa
@siamlay71074 жыл бұрын
Good
@elcasamwel33664 жыл бұрын
Eee mwenyezi Mungu tubaliki nasi tupate mapacha
@musakaphu4581
4 жыл бұрын
Aameen...in sha Allah
@diannvictoria
4 жыл бұрын
afu uwapeleke wapi?
@fadraj6899
3 жыл бұрын
Amiin nataman mapacha
@ernestmwakalambo39383 жыл бұрын
Bg up sana Nishai
@azizayassin36234 жыл бұрын
Cute
@aishaabdi56374 жыл бұрын
Mashaallah joti
@majaliwamsigwa39744 жыл бұрын
Hongereni GSM kwa bidhaa bora,mi ni moja wapo wa mteja wenu wa misumali hapa Mbeya,big up kweni
@angelkawanga107
4 жыл бұрын
Nice
@mwanahamisiabdi33204 жыл бұрын
Walah jot utasema sii yeye hahahahaaa
@skipperkassim444 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥joti
@margaretmkangala77744 жыл бұрын
Siku hizi joti unajua kujieleza zamani ulikuwa huwezi.Hongera
@nizaelluka6274 жыл бұрын
Love
@hawasaid25664 жыл бұрын
Mke Wa jot mpole sana tena mzuri
@mussamwedadi43464 жыл бұрын
Nice
@fadhilamathias97484 жыл бұрын
Waoooh
@lewiskombole2917 Жыл бұрын
Bro u made it
@khadjamhozya6 ай бұрын
Mimi nampenda akiigiza kama mzeee😃😃😃 anapendeza😅😅😅
@jokhajuma53474 жыл бұрын
Nguo za bbyy shop naziaminia sna.. Zipo quality snaaa na unique... Nimeshawahi Kumnunulia mwanangu utapenda kwa kwel
@ngassa194 жыл бұрын
Joti bhana😄 et yupo serious 😀😀😀😃
@clementinamolel12164 жыл бұрын
Such a sweet kids
@mariakayana99564 жыл бұрын
Alivyo serious sasa😂😂kama sio yeye vile anavyofanyaga ujinga😂😂😂😂joti bhna
@elizabetjmillel3351
4 жыл бұрын
Yaan acha tu😂😂
@bettyoluoch9774
4 жыл бұрын
Kabisa
@fainajaffary4070
4 жыл бұрын
😀😀😀
@dessertqueen7787
4 жыл бұрын
Hahahaha
@lydiamuli3328
4 жыл бұрын
Huwa yuko job🤣🤣🤣🤣
@fatmaamran13354 жыл бұрын
Joti vinywele😂😂😂
@ymusic8034 жыл бұрын
Hahahaha joti Jembe langu aiseee
@maryluke74994 жыл бұрын
Joti that baby girl is your photocopy,may God cover them with blood of Jesus. Mtoto wa nyoka ni nyoka bro concentrate on their talent na wekeza ktk hilo.
@leahmbeyumbeyu9167
3 жыл бұрын
Joti hunifuraisha sana na video zake zaniacha hoi 😂😂😂
@prettyh75093 жыл бұрын
Mashallah nguo za watoto kuanzia umri gani
@ummunaaleicester43374 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@maishacenter-eastafricatv39764 жыл бұрын
Nishai😃😃
@wazirikhamisi48284 жыл бұрын
Kweli nguo zao ZIKO vzr
@remigiuskateisaki45324 жыл бұрын
Kazi ipo
@scholakilonzo2906 Жыл бұрын
Joti na suit😂😂😂
@fetyalmasi89164 жыл бұрын
Jamaan nawapenda mapacha eee mwnyz mungu nawaomba hata wanne
@musakaphu4581
4 жыл бұрын
Aameen ..In sha Allah
@ngayokolekinanga6300
4 жыл бұрын
Na Mimi pia anipe 3
@janethpallangyo2633
4 жыл бұрын
Na mimi pia anipe 2
@nusratbintabdullah57134 жыл бұрын
Ican't wait to visit baby shop
@hassanmaulid2018
3 жыл бұрын
Hongera jot nakupenda sana
@davidkims72864 жыл бұрын
Kumbe kiboga hana mwanya zameni kam kuko mwengin ambaye alikuwa akifahamu hilo naomba l'aile zeyu apa jamen
@muflarajabu52752 жыл бұрын
Muda wowote joti anayazua hapo hachelewi huyo akili zake anazijua mwenyewe🤣🤣🤣
@jacinthalaurent10563 жыл бұрын
Angalau
@saitakitalika32933 жыл бұрын
Hongera joti
@carolynesyokau22083 жыл бұрын
Nawapenda bure
@kijangwazay77114 жыл бұрын
Kumbe unakua mpole hivyo hahahah
@evarchesse9354 жыл бұрын
Yaan jot bana we kiboko alaf namuona huyo baby boy Ni we kabisa Mambo yake
@michaeladoph18734 жыл бұрын
Make me mwanza mfungue baby shop
@suleimanpandu89553 жыл бұрын
Fungueni na Zanzibar pia tuache kwenda Dubai na China
@KP-ou9zp4 жыл бұрын
Babyshop duka kubwa sana Dubai
@shabanisaleeh4541 Жыл бұрын
Joti kammaindi mkewe ajampa mtoto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ww melete mtoto mana uyu anakalibia kuliaaaa mke kakaushaaa
@hosianatango29973 жыл бұрын
Hatari mmependeza
@aishasalum29634 жыл бұрын
Mtoto wakike anafanana sana nababa yake
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Sana yani adi raha
@sawdasaid32204 жыл бұрын
yani joti hapo kama sio yeye akianza kuweka maziwa na matako hahahahaha
@shellanlinsey92953 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 Kiboga duh
@zaudiakajeze83753 жыл бұрын
Hahahaaa kwakweli uno ndio linalegeza kitandaa😂😂😂😂yani hawezi kujishika na masihara yake
@anithaswalleh58374 жыл бұрын
yaan alivyotulia kama sio yeye vile alivyo na vituko😂😂
@deborahwiliam79714 жыл бұрын
Hi to log
@pahopariritter17823 жыл бұрын
Joti poah xana aisee na ni baba Wa kuigwa aisee
@dastanjohn8434 жыл бұрын
Nakukubalisana mpogolo $lukasi mhuvile
@emmanuelmogela58713 жыл бұрын
Jot aaaa!
@simonkadama83993 жыл бұрын
Dah Jotiiii
@iddyjumanne30043 жыл бұрын
Jori bana huko nywele
@doricefelician48854 жыл бұрын
Mmmmmm😘
@kabulamanyangu47033 жыл бұрын
Akili zangu mimi nikajuaga joti hana jino moja kumbe hahahahahaha
@annamasebo20614 жыл бұрын
Haaaa joti ona ulivo serous jamn kama so ww
@bonifacemlemeta83314 жыл бұрын
Imekaa poa
@tontechacha4404 жыл бұрын
Bwana nishai
@kamaikangaiyoni19674 жыл бұрын
Duh! Kumbe joti ni handsome kiasi hiki sijaamini 😅
@cindychuma376
3 жыл бұрын
Hata mimi nimeshangaa
@salmasingano6187
3 жыл бұрын
Kumbe tumeshangaa wengi
@zuhuraramadhan7883
3 жыл бұрын
Macho yako yanaona kama mimi hahaahha
@hellenmwengwa18254 жыл бұрын
Joti wangu... Ungekua na ile trouser yako
@damg4332
3 жыл бұрын
🙄🙆😂😂😂😂
@nasrahsamwely68714 жыл бұрын
Yani utazan sio wewe Kiboga 😂😂😂😂😂😂
@angelinamichael7742
4 жыл бұрын
Hahahaaa
@qaven4387
4 жыл бұрын
,😂😂😂😂
@priscafute8269
4 жыл бұрын
😆😆😆......mbavu zangu!!
@victorkivuyo61263 жыл бұрын
UKIRUDIA TENA UTATOA WATATU UKIJUMLISHA DU TAKE CARE, MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI NA MH, GAMBO
@lydiamuli33284 жыл бұрын
Yani Joti katulia tuli😁hata kile kicheko chako.hucheki tukakosikia🤣🤣🤣🤣anyway hongera lwa twins na mkeo ni.musupuu😃😃
@zishallytv63544 жыл бұрын
Da kiboga.....
@jacklinemwendewambua67564 жыл бұрын
Joti kumbe huwa uko serious hivyo😜😜😜🤣🤣🤣
@yasintamalando8438
3 жыл бұрын
Big up baba wawili na mama wawili
@hassanmaulid20183 жыл бұрын
As lay
@shifaazawadi44383 жыл бұрын
Sikuamini kua ni joti 🤣🤣🤣🤣
@florenceodundo53493 жыл бұрын
Fungueni huku Kenya pia jameni
@ufanisuliotukuka55354 жыл бұрын
Hu jamaaa hawezi kuturia anafaa kua bodigadi
@mwitondediane79714 жыл бұрын
Mutoto wa mamba ni mamba ahahahahahaha
@momymood43414 жыл бұрын
Hongera joti vipacha jamn wazur
@elzabethpetro93344 жыл бұрын
Mamb
@annkabbz85444 жыл бұрын
Joti umeniroga... kila nikiona video yako na like.. mbona?
@zuhurakhamis24474 жыл бұрын
Kama sie kituko vle joti wan
@iddykayembe727 Жыл бұрын
Sema joti umetulia sana
@rhofraka55744 жыл бұрын
Yan hako kakike kanaonekana katundu kama baba yake
@estherimbotsi7553
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@ladywashoka28674 жыл бұрын
Baba kichwa
@angelamarlow5104 жыл бұрын
Muombe Mungu akupe mapacha na uwezo wa kuwatuza na Afya njema Kwa maana nao wanakazi
@rahmadizer1744
3 жыл бұрын
Amin
@mohammedkidody5618
7 ай бұрын
Amin
@lilianfelekeni77713 жыл бұрын
Mtoto wa nyoka ni nyoka, watoto hao wanaonekana watundu Kama baba yao 😀😀
Пікірлер: 266
Heshima kwako Joti na mapacha wako, na mke wako mzuri Mungu azidi kuwabariki Sana nawapenda
@tintedmushz3074
Жыл бұрын
Kumbe kitombangile kitwango ako na wife poa
Ongera sana joti na.mkeo kwa.kutuletea watoto wazuri wow joti napenda sana vichekesho vako Mungu awabariki na abariki hao watoto nipo Kenya nawapenda sna
Hongera joti baba wawili upo serious ukiwa mpole unapendeza
Mungu akubariki joti my legend na familia yako❤❤❤🎉🎉🎉
Dah mungu akutangulie joti na familia yako
Mashaallah nguo ninzuri sana zinaonekanatu shukran
Joti kumbe akiwa serious yuko poa alafu ni handsome mashallah 👌👌👌👌
Mungu Naomba unirehem baba wambingun,,Naomba uje unipe na Mimi mapacha,,, Amen
@samwelisimon7715
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@musakaphu4581
4 жыл бұрын
Aameen ..In sha Allah 🙏
@hawasaid6024
4 жыл бұрын
Achage kusuka mke asuke nae kusukwa jmn
@sunshiku
4 жыл бұрын
I
@scholacharles3887
4 жыл бұрын
Amen
Ahahaah ety tupo kiinternational zaid🤙yeah yeah😂😂😂
Da kiboga hongera...from kenya
😂😂aliecheka kama mimi alipomuona Joti akiwa kwenye mavazi haya na akavuta picha ile anapokuwa na mavazi ya kazini gonga like wadau😂😂
Hongera mmy joti kwawatt wazuri sana
Waoh .Heshima Kwako Joti..iam Your Huge Fan
@wilnesmmbado9178
4 жыл бұрын
Taarfa ya habari itv
Ana amininmapacha Wana bahat agonge like hapa kwapacha aake
I thought joti is single nitume cv... Now lemme focus on sopa🤣🤣tuzae pacha nne
Yaani joti! Yupo kawaida tuuu! Utafikiri anachekesha yaani kakaa ki comedy! Comedy tuuuu!
Mashaallah
Nakupenda bureeeee
Beautiful kids
Ana wife mzuri sanaaa
Sio kwa kufanana uko na babaao mungu awatunze mapacha wa taifa
Good
Eee mwenyezi Mungu tubaliki nasi tupate mapacha
@musakaphu4581
4 жыл бұрын
Aameen...in sha Allah
@diannvictoria
4 жыл бұрын
afu uwapeleke wapi?
@fadraj6899
3 жыл бұрын
Amiin nataman mapacha
Bg up sana Nishai
Cute
Mashaallah joti
Hongereni GSM kwa bidhaa bora,mi ni moja wapo wa mteja wenu wa misumali hapa Mbeya,big up kweni
@angelkawanga107
4 жыл бұрын
Nice
Walah jot utasema sii yeye hahahahaaa
🔥🔥🔥🔥🔥joti
Siku hizi joti unajua kujieleza zamani ulikuwa huwezi.Hongera
Love
Mke Wa jot mpole sana tena mzuri
Nice
Waoooh
Bro u made it
Mimi nampenda akiigiza kama mzeee😃😃😃 anapendeza😅😅😅
Nguo za bbyy shop naziaminia sna.. Zipo quality snaaa na unique... Nimeshawahi Kumnunulia mwanangu utapenda kwa kwel
Joti bhana😄 et yupo serious 😀😀😀😃
Such a sweet kids
Alivyo serious sasa😂😂kama sio yeye vile anavyofanyaga ujinga😂😂😂😂joti bhna
@elizabetjmillel3351
4 жыл бұрын
Yaan acha tu😂😂
@bettyoluoch9774
4 жыл бұрын
Kabisa
@fainajaffary4070
4 жыл бұрын
😀😀😀
@dessertqueen7787
4 жыл бұрын
Hahahaha
@lydiamuli3328
4 жыл бұрын
Huwa yuko job🤣🤣🤣🤣
Joti vinywele😂😂😂
Hahahaha joti Jembe langu aiseee
Joti that baby girl is your photocopy,may God cover them with blood of Jesus. Mtoto wa nyoka ni nyoka bro concentrate on their talent na wekeza ktk hilo.
@leahmbeyumbeyu9167
3 жыл бұрын
Joti hunifuraisha sana na video zake zaniacha hoi 😂😂😂
Mashallah nguo za watoto kuanzia umri gani
Maa shaa Allah
Nishai😃😃
Kweli nguo zao ZIKO vzr
Kazi ipo
Joti na suit😂😂😂
Jamaan nawapenda mapacha eee mwnyz mungu nawaomba hata wanne
@musakaphu4581
4 жыл бұрын
Aameen ..In sha Allah
@ngayokolekinanga6300
4 жыл бұрын
Na Mimi pia anipe 3
@janethpallangyo2633
4 жыл бұрын
Na mimi pia anipe 2
Ican't wait to visit baby shop
@hassanmaulid2018
3 жыл бұрын
Hongera jot nakupenda sana
Kumbe kiboga hana mwanya zameni kam kuko mwengin ambaye alikuwa akifahamu hilo naomba l'aile zeyu apa jamen
Muda wowote joti anayazua hapo hachelewi huyo akili zake anazijua mwenyewe🤣🤣🤣
Angalau
Hongera joti
Nawapenda bure
Kumbe unakua mpole hivyo hahahah
Yaan jot bana we kiboko alaf namuona huyo baby boy Ni we kabisa Mambo yake
Make me mwanza mfungue baby shop
Fungueni na Zanzibar pia tuache kwenda Dubai na China
Babyshop duka kubwa sana Dubai
Joti kammaindi mkewe ajampa mtoto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ww melete mtoto mana uyu anakalibia kuliaaaa mke kakaushaaa
Hatari mmependeza
Mtoto wakike anafanana sana nababa yake
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
Sana yani adi raha
yani joti hapo kama sio yeye akianza kuweka maziwa na matako hahahahaha
🤣 🤣 🤣 🤣 Kiboga duh
Hahahaaa kwakweli uno ndio linalegeza kitandaa😂😂😂😂yani hawezi kujishika na masihara yake
yaan alivyotulia kama sio yeye vile alivyo na vituko😂😂
Hi to log
Joti poah xana aisee na ni baba Wa kuigwa aisee
Nakukubalisana mpogolo $lukasi mhuvile
Jot aaaa!
Dah Jotiiii
Jori bana huko nywele
Mmmmmm😘
Akili zangu mimi nikajuaga joti hana jino moja kumbe hahahahahaha
Haaaa joti ona ulivo serous jamn kama so ww
Imekaa poa
Bwana nishai
Duh! Kumbe joti ni handsome kiasi hiki sijaamini 😅
@cindychuma376
3 жыл бұрын
Hata mimi nimeshangaa
@salmasingano6187
3 жыл бұрын
Kumbe tumeshangaa wengi
@zuhuraramadhan7883
3 жыл бұрын
Macho yako yanaona kama mimi hahaahha
Joti wangu... Ungekua na ile trouser yako
@damg4332
3 жыл бұрын
🙄🙆😂😂😂😂
Yani utazan sio wewe Kiboga 😂😂😂😂😂😂
@angelinamichael7742
4 жыл бұрын
Hahahaaa
@qaven4387
4 жыл бұрын
,😂😂😂😂
@priscafute8269
4 жыл бұрын
😆😆😆......mbavu zangu!!
UKIRUDIA TENA UTATOA WATATU UKIJUMLISHA DU TAKE CARE, MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI NA MH, GAMBO
Yani Joti katulia tuli😁hata kile kicheko chako.hucheki tukakosikia🤣🤣🤣🤣anyway hongera lwa twins na mkeo ni.musupuu😃😃
Da kiboga.....
Joti kumbe huwa uko serious hivyo😜😜😜🤣🤣🤣
@yasintamalando8438
3 жыл бұрын
Big up baba wawili na mama wawili
As lay
Sikuamini kua ni joti 🤣🤣🤣🤣
Fungueni huku Kenya pia jameni
Hu jamaaa hawezi kuturia anafaa kua bodigadi
Mutoto wa mamba ni mamba ahahahahahaha
Hongera joti vipacha jamn wazur
Mamb
Joti umeniroga... kila nikiona video yako na like.. mbona?
Kama sie kituko vle joti wan
Sema joti umetulia sana
Yan hako kakike kanaonekana katundu kama baba yake
@estherimbotsi7553
4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
Baba kichwa
Muombe Mungu akupe mapacha na uwezo wa kuwatuza na Afya njema Kwa maana nao wanakazi
@rahmadizer1744
3 жыл бұрын
Amin
@mohammedkidody5618
7 ай бұрын
Amin
Mtoto wa nyoka ni nyoka, watoto hao wanaonekana watundu Kama baba yao 😀😀
@leahmbeyumbeyu9167
3 жыл бұрын
hapo umesema dear 😂😂😂