UTACHEKA JOTI NA WATOTO WAKE MAPACHA AKITAKA ACHEZE WIMBO WA HARMONIZE UNO.

Ойын-сауық

#theminutestv #joti #subscribe

Пікірлер: 266

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro412 жыл бұрын

    Heshima kwako Joti na mapacha wako, na mke wako mzuri Mungu azidi kuwabariki Sana nawapenda

  • @tintedmushz3074

    @tintedmushz3074

    Жыл бұрын

    Kumbe kitombangile kitwango ako na wife poa

  • @lavuulovenes1682
    @lavuulovenes1682 Жыл бұрын

    Ongera sana joti na.mkeo kwa.kutuletea watoto wazuri wow joti napenda sana vichekesho vako Mungu awabariki na abariki hao watoto nipo Kenya nawapenda sna

  • @gudilachami4137
    @gudilachami41374 жыл бұрын

    Hongera joti baba wawili upo serious ukiwa mpole unapendeza

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody56187 ай бұрын

    Mungu akubariki joti my legend na familia yako❤❤❤🎉🎉🎉

  • @asifiweedison8217
    @asifiweedison82174 жыл бұрын

    Dah mungu akutangulie joti na familia yako

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22274 жыл бұрын

    Mashaallah nguo ninzuri sana zinaonekanatu shukran

  • @julietbeka7331
    @julietbeka73314 жыл бұрын

    Joti kumbe akiwa serious yuko poa alafu ni handsome mashallah 👌👌👌👌

  • @mackmillan2803
    @mackmillan28034 жыл бұрын

    Mungu Naomba unirehem baba wambingun,,Naomba uje unipe na Mimi mapacha,,, Amen

  • @samwelisimon7715

    @samwelisimon7715

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @musakaphu4581

    @musakaphu4581

    4 жыл бұрын

    Aameen ..In sha Allah 🙏

  • @hawasaid6024

    @hawasaid6024

    4 жыл бұрын

    Achage kusuka mke asuke nae kusukwa jmn

  • @sunshiku

    @sunshiku

    4 жыл бұрын

    I

  • @scholacharles3887

    @scholacharles3887

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @qaven4387
    @qaven43874 жыл бұрын

    Ahahaah ety tupo kiinternational zaid🤙yeah yeah😂😂😂

  • @thirajessethira3243
    @thirajessethira32434 жыл бұрын

    Da kiboga hongera...from kenya

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47342 жыл бұрын

    😂😂aliecheka kama mimi alipomuona Joti akiwa kwenye mavazi haya na akavuta picha ile anapokuwa na mavazi ya kazini gonga like wadau😂😂

  • @tumainpallangyo7868
    @tumainpallangyo78683 жыл бұрын

    Hongera mmy joti kwawatt wazuri sana

  • @wycliffegift6180
    @wycliffegift61804 жыл бұрын

    Waoh .Heshima Kwako Joti..iam Your Huge Fan

  • @wilnesmmbado9178

    @wilnesmmbado9178

    4 жыл бұрын

    Taarfa ya habari itv

  • @dotomohd9156
    @dotomohd91563 жыл бұрын

    Ana amininmapacha Wana bahat agonge like hapa kwapacha aake

  • @jacklinerenson1708
    @jacklinerenson17084 жыл бұрын

    I thought joti is single nitume cv... Now lemme focus on sopa🤣🤣tuzae pacha nne

  • @daflozamwakalinga4044
    @daflozamwakalinga40444 жыл бұрын

    Yaani joti! Yupo kawaida tuuu! Utafikiri anachekesha yaani kakaa ki comedy! Comedy tuuuu!

  • @najmaathumani242
    @najmaathumani2423 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @edinahjoseph4051
    @edinahjoseph40514 жыл бұрын

    Nakupenda bureeeee

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah57134 жыл бұрын

    Beautiful kids

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh43663 жыл бұрын

    Ana wife mzuri sanaaa

  • @rehemasahwi5530
    @rehemasahwi55304 жыл бұрын

    Sio kwa kufanana uko na babaao mungu awatunze mapacha wa taifa

  • @siamlay7107
    @siamlay71074 жыл бұрын

    Good

  • @elcasamwel3366
    @elcasamwel33664 жыл бұрын

    Eee mwenyezi Mungu tubaliki nasi tupate mapacha

  • @musakaphu4581

    @musakaphu4581

    4 жыл бұрын

    Aameen...in sha Allah

  • @diannvictoria

    @diannvictoria

    4 жыл бұрын

    afu uwapeleke wapi?

  • @fadraj6899

    @fadraj6899

    3 жыл бұрын

    Amiin nataman mapacha

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo39383 жыл бұрын

    Bg up sana Nishai

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36234 жыл бұрын

    Cute

  • @aishaabdi5637
    @aishaabdi56374 жыл бұрын

    Mashaallah joti

  • @majaliwamsigwa3974
    @majaliwamsigwa39744 жыл бұрын

    Hongereni GSM kwa bidhaa bora,mi ni moja wapo wa mteja wenu wa misumali hapa Mbeya,big up kweni

  • @angelkawanga107

    @angelkawanga107

    4 жыл бұрын

    Nice

  • @mwanahamisiabdi3320
    @mwanahamisiabdi33204 жыл бұрын

    Walah jot utasema sii yeye hahahahaaa

  • @skipperkassim44
    @skipperkassim444 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥joti

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala77744 жыл бұрын

    Siku hizi joti unajua kujieleza zamani ulikuwa huwezi.Hongera

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka6274 жыл бұрын

    Love

  • @hawasaid2566
    @hawasaid25664 жыл бұрын

    Mke Wa jot mpole sana tena mzuri

  • @mussamwedadi4346
    @mussamwedadi43464 жыл бұрын

    Nice

  • @fadhilamathias9748
    @fadhilamathias97484 жыл бұрын

    Waoooh

  • @lewiskombole2917
    @lewiskombole2917 Жыл бұрын

    Bro u made it

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya6 ай бұрын

    Mimi nampenda akiigiza kama mzeee😃😃😃 anapendeza😅😅😅

  • @jokhajuma5347
    @jokhajuma53474 жыл бұрын

    Nguo za bbyy shop naziaminia sna.. Zipo quality snaaa na unique... Nimeshawahi Kumnunulia mwanangu utapenda kwa kwel

  • @ngassa19
    @ngassa194 жыл бұрын

    Joti bhana😄 et yupo serious 😀😀😀😃

  • @clementinamolel1216
    @clementinamolel12164 жыл бұрын

    Such a sweet kids

  • @mariakayana9956
    @mariakayana99564 жыл бұрын

    Alivyo serious sasa😂😂kama sio yeye vile anavyofanyaga ujinga😂😂😂😂joti bhna

  • @elizabetjmillel3351

    @elizabetjmillel3351

    4 жыл бұрын

    Yaan acha tu😂😂

  • @bettyoluoch9774

    @bettyoluoch9774

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @fainajaffary4070

    @fainajaffary4070

    4 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @dessertqueen7787

    @dessertqueen7787

    4 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @lydiamuli3328

    @lydiamuli3328

    4 жыл бұрын

    Huwa yuko job🤣🤣🤣🤣

  • @fatmaamran1335
    @fatmaamran13354 жыл бұрын

    Joti vinywele😂😂😂

  • @ymusic803
    @ymusic8034 жыл бұрын

    Hahahaha joti Jembe langu aiseee

  • @maryluke7499
    @maryluke74994 жыл бұрын

    Joti that baby girl is your photocopy,may God cover them with blood of Jesus. Mtoto wa nyoka ni nyoka bro concentrate on their talent na wekeza ktk hilo.

  • @leahmbeyumbeyu9167

    @leahmbeyumbeyu9167

    3 жыл бұрын

    Joti hunifuraisha sana na video zake zaniacha hoi 😂😂😂

  • @prettyh7509
    @prettyh75093 жыл бұрын

    Mashallah nguo za watoto kuanzia umri gani

  • @ummunaaleicester4337
    @ummunaaleicester43374 жыл бұрын

    Maa shaa Allah

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv39764 жыл бұрын

    Nishai😃😃

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi48284 жыл бұрын

    Kweli nguo zao ZIKO vzr

  • @remigiuskateisaki4532
    @remigiuskateisaki45324 жыл бұрын

    Kazi ipo

  • @scholakilonzo2906
    @scholakilonzo2906 Жыл бұрын

    Joti na suit😂😂😂

  • @fetyalmasi8916
    @fetyalmasi89164 жыл бұрын

    Jamaan nawapenda mapacha eee mwnyz mungu nawaomba hata wanne

  • @musakaphu4581

    @musakaphu4581

    4 жыл бұрын

    Aameen ..In sha Allah

  • @ngayokolekinanga6300

    @ngayokolekinanga6300

    4 жыл бұрын

    Na Mimi pia anipe 3

  • @janethpallangyo2633

    @janethpallangyo2633

    4 жыл бұрын

    Na mimi pia anipe 2

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah57134 жыл бұрын

    Ican't wait to visit baby shop

  • @hassanmaulid2018

    @hassanmaulid2018

    3 жыл бұрын

    Hongera jot nakupenda sana

  • @davidkims7286
    @davidkims72864 жыл бұрын

    Kumbe kiboga hana mwanya zameni kam kuko mwengin ambaye alikuwa akifahamu hilo naomba l'aile zeyu apa jamen

  • @muflarajabu5275
    @muflarajabu52752 жыл бұрын

    Muda wowote joti anayazua hapo hachelewi huyo akili zake anazijua mwenyewe🤣🤣🤣

  • @jacinthalaurent1056
    @jacinthalaurent10563 жыл бұрын

    Angalau

  • @saitakitalika3293
    @saitakitalika32933 жыл бұрын

    Hongera joti

  • @carolynesyokau2208
    @carolynesyokau22083 жыл бұрын

    Nawapenda bure

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay77114 жыл бұрын

    Kumbe unakua mpole hivyo hahahah

  • @evarchesse935
    @evarchesse9354 жыл бұрын

    Yaan jot bana we kiboko alaf namuona huyo baby boy Ni we kabisa Mambo yake

  • @michaeladoph1873
    @michaeladoph18734 жыл бұрын

    Make me mwanza mfungue baby shop

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu89553 жыл бұрын

    Fungueni na Zanzibar pia tuache kwenda Dubai na China

  • @KP-ou9zp
    @KP-ou9zp4 жыл бұрын

    Babyshop duka kubwa sana Dubai

  • @shabanisaleeh4541
    @shabanisaleeh4541 Жыл бұрын

    Joti kammaindi mkewe ajampa mtoto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ww melete mtoto mana uyu anakalibia kuliaaaa mke kakaushaaa

  • @hosianatango2997
    @hosianatango29973 жыл бұрын

    Hatari mmependeza

  • @aishasalum2963
    @aishasalum29634 жыл бұрын

    Mtoto wakike anafanana sana nababa yake

  • @consolatamedard6593

    @consolatamedard6593

    Жыл бұрын

    Sana yani adi raha

  • @sawdasaid3220
    @sawdasaid32204 жыл бұрын

    yani joti hapo kama sio yeye akianza kuweka maziwa na matako hahahahaha

  • @shellanlinsey9295
    @shellanlinsey92953 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 🤣 Kiboga duh

  • @zaudiakajeze8375
    @zaudiakajeze83753 жыл бұрын

    Hahahaaa kwakweli uno ndio linalegeza kitandaa😂😂😂😂yani hawezi kujishika na masihara yake

  • @anithaswalleh5837
    @anithaswalleh58374 жыл бұрын

    yaan alivyotulia kama sio yeye vile alivyo na vituko😂😂

  • @deborahwiliam7971
    @deborahwiliam79714 жыл бұрын

    Hi to log

  • @pahopariritter1782
    @pahopariritter17823 жыл бұрын

    Joti poah xana aisee na ni baba Wa kuigwa aisee

  • @dastanjohn843
    @dastanjohn8434 жыл бұрын

    Nakukubalisana mpogolo $lukasi mhuvile

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela58713 жыл бұрын

    Jot aaaa!

  • @simonkadama8399
    @simonkadama83993 жыл бұрын

    Dah Jotiiii

  • @iddyjumanne3004
    @iddyjumanne30043 жыл бұрын

    Jori bana huko nywele

  • @doricefelician4885
    @doricefelician48854 жыл бұрын

    Mmmmmm😘

  • @kabulamanyangu4703
    @kabulamanyangu47033 жыл бұрын

    Akili zangu mimi nikajuaga joti hana jino moja kumbe hahahahahaha

  • @annamasebo2061
    @annamasebo20614 жыл бұрын

    Haaaa joti ona ulivo serous jamn kama so ww

  • @bonifacemlemeta8331
    @bonifacemlemeta83314 жыл бұрын

    Imekaa poa

  • @tontechacha440
    @tontechacha4404 жыл бұрын

    Bwana nishai

  • @kamaikangaiyoni1967
    @kamaikangaiyoni19674 жыл бұрын

    Duh! Kumbe joti ni handsome kiasi hiki sijaamini 😅

  • @cindychuma376

    @cindychuma376

    3 жыл бұрын

    Hata mimi nimeshangaa

  • @salmasingano6187

    @salmasingano6187

    3 жыл бұрын

    Kumbe tumeshangaa wengi

  • @zuhuraramadhan7883

    @zuhuraramadhan7883

    3 жыл бұрын

    Macho yako yanaona kama mimi hahaahha

  • @hellenmwengwa1825
    @hellenmwengwa18254 жыл бұрын

    Joti wangu... Ungekua na ile trouser yako

  • @damg4332

    @damg4332

    3 жыл бұрын

    🙄🙆😂😂😂😂

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely68714 жыл бұрын

    Yani utazan sio wewe Kiboga 😂😂😂😂😂😂

  • @angelinamichael7742

    @angelinamichael7742

    4 жыл бұрын

    Hahahaaa

  • @qaven4387

    @qaven4387

    4 жыл бұрын

    ,😂😂😂😂

  • @priscafute8269

    @priscafute8269

    4 жыл бұрын

    😆😆😆......mbavu zangu!!

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo61263 жыл бұрын

    UKIRUDIA TENA UTATOA WATATU UKIJUMLISHA DU TAKE CARE, MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI JIRANI NA MH, GAMBO

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli33284 жыл бұрын

    Yani Joti katulia tuli😁hata kile kicheko chako.hucheki tukakosikia🤣🤣🤣🤣anyway hongera lwa twins na mkeo ni.musupuu😃😃

  • @zishallytv6354
    @zishallytv63544 жыл бұрын

    Da kiboga.....

  • @jacklinemwendewambua6756
    @jacklinemwendewambua67564 жыл бұрын

    Joti kumbe huwa uko serious hivyo😜😜😜🤣🤣🤣

  • @yasintamalando8438

    @yasintamalando8438

    3 жыл бұрын

    Big up baba wawili na mama wawili

  • @hassanmaulid2018
    @hassanmaulid20183 жыл бұрын

    As lay

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi44383 жыл бұрын

    Sikuamini kua ni joti 🤣🤣🤣🤣

  • @florenceodundo5349
    @florenceodundo53493 жыл бұрын

    Fungueni huku Kenya pia jameni

  • @ufanisuliotukuka5535
    @ufanisuliotukuka55354 жыл бұрын

    Hu jamaaa hawezi kuturia anafaa kua bodigadi

  • @mwitondediane7971
    @mwitondediane79714 жыл бұрын

    Mutoto wa mamba ni mamba ahahahahahaha

  • @momymood4341
    @momymood43414 жыл бұрын

    Hongera joti vipacha jamn wazur

  • @elzabethpetro9334
    @elzabethpetro93344 жыл бұрын

    Mamb

  • @annkabbz8544
    @annkabbz85444 жыл бұрын

    Joti umeniroga... kila nikiona video yako na like.. mbona?

  • @zuhurakhamis2447
    @zuhurakhamis24474 жыл бұрын

    Kama sie kituko vle joti wan

  • @iddykayembe727
    @iddykayembe727 Жыл бұрын

    Sema joti umetulia sana

  • @rhofraka5574
    @rhofraka55744 жыл бұрын

    Yan hako kakike kanaonekana katundu kama baba yake

  • @estherimbotsi7553

    @estherimbotsi7553

    4 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆

  • @ladywashoka2867
    @ladywashoka28674 жыл бұрын

    Baba kichwa

  • @angelamarlow510
    @angelamarlow5104 жыл бұрын

    Muombe Mungu akupe mapacha na uwezo wa kuwatuza na Afya njema Kwa maana nao wanakazi

  • @rahmadizer1744

    @rahmadizer1744

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @mohammedkidody5618

    @mohammedkidody5618

    7 ай бұрын

    Amin

  • @lilianfelekeni7771
    @lilianfelekeni77713 жыл бұрын

    Mtoto wa nyoka ni nyoka, watoto hao wanaonekana watundu Kama baba yao 😀😀

  • @leahmbeyumbeyu9167

    @leahmbeyumbeyu9167

    3 жыл бұрын

    hapo umesema dear 😂😂😂

Келесі