HAJI MANARA AMPA ZAYLLISA GARI ASHINDWA KUJIZUIA ATOA MACHOZI TEAM JUA KALI WAAMSHA POPO
Жүктеу.....
Пікірлер: 318
@adamwaziri58676 ай бұрын
Hio nyimbo ya nandy sasa🙌❤❤❤ kama umeikubal kama mm gonga like twende sawa🙌🙌🔥🔥
@everlyneasuma1817
6 ай бұрын
Inaitwaje?
@aminakassim7486
6 ай бұрын
@@everlyneasuma1817inaitwa Dah
@ASHURAMohammed-lu7td6 ай бұрын
Ni ndoto ya kila mwanamke.... MUNGU hawaepushe na maombi ya watu wengi......kila la kheri
@hashimluiz69136 ай бұрын
Hajji mtu wa watu....much love from Kenya
@salomewandya7257
6 ай бұрын
Saaana
@CathyPeter-zu1jw6 ай бұрын
Mungu akusaidie hii ndoa idumu Haji Manara unajua kupenda sana na kujali ila unawapenda ndio vilaza.Huyu atulie nawe ufurahi.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-ut3se5um7b6 ай бұрын
Usifurahie we nnani acha utani imekaaa poa sana imevunja rekodi za kimpenzi tz❤❤❤❤❤❤
@HappyHema-co1tn6 ай бұрын
Kachozi kafuraha kamenitoka jomoni hongera sana zaylisa Mwenyezi Mungu Awaepushe na Husda za Walimwengu Wewe na Mume Wako
@muzneali4747
6 ай бұрын
Ameen Ameen dada yangu na wewe pia Mwenyezi Mungu atakujaalia ZAIDI Kwa kuwaombea DUA njema wenzio
@user-sv6zy3hc8o
6 ай бұрын
Mtalajiwa
@saidasaid58556 ай бұрын
Kajuwa kuwakomesha max wake jaman hongera zai kwa bahati pambe jaman❤
@salomewandya7257
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-zm1hz2ch7e
6 ай бұрын
Upo sawa bloo
@user-xo4xq6rr3f
6 ай бұрын
Uyu ni mke mkubwa mwenye alijua na ujauzito apo nyuma
@JescaMuyabi-ix8ly6 ай бұрын
Zayllisa ushauliwangu tulia hakika umepata mwanaume bora leo amekupa heshima iliopotea imeludi tena tulia nae mungu akazidi kuwasimamia katika maisha yenu nawapenda
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
Hakika niko upande wako
@user-dy9yk8po6d6 ай бұрын
Dah wooooooow wooooooow wooooooow very nice jmn nimefurahi Sana Mungu awaongoze katka maisha yenu
@akuomezysh7016 ай бұрын
I just love how jua Kali crew showed up for their own 🤗❤much love Zay aka Naila wa #juakali😊
@mwajumaloma63626 ай бұрын
Mashallah mashallah kila lakheri kwenu Mungu awatangulie katika kila Jambo lenu ,,Zai mtunze Sana bugati usiteteleke kwa lolote uliyopitia ni magum be strong
@swafiya2546 ай бұрын
Wanawake mupunguze kuvaa tupu😢😢hakuna hata mwanaume mmoja ambao yuko tupu,ila sisi😢😢😢😢Ina Lilah Waina Ilaihi Rajiun 😢😢
@nadyajuma3816 ай бұрын
Aliyeona team jua kali kama mie gonga like
@ChenchiKing6 ай бұрын
God Bless You Semaji Kila La Kheri ❤❤❤❤❤
@simonndunguru16296 ай бұрын
Dulla bye bye msicheze na Mwenye Pakei. Z utamsikia huwezi kumnusa. Wenye Pesa wanaye atabadilisha hadi Dulla atamuogopa kumsogelea. Pole Dulla
@user-kp6lz7zs1w6 ай бұрын
Nwenyezi mungu awaking na macho ya husda na ndia yeni iwe ikawe ya kheli inshahalla
@aminashayo92636 ай бұрын
Bro Haji Manara kuanzia leo tunakuunganisha Team Jua Kali
@YasiniMahomba-mx6ux6 ай бұрын
Uyu kaenda madrssa kupiga dufu au kujua sheria za uislamu maana yupo nje na imani ya kiislamu.kabisa mungu amuokoe
@user-pm7pj6zi6q6 ай бұрын
Hongera sana Zaylisa pamoja na Mjumba wako haji Manaraaa Mungu awabariki 🙏 na awaebushe na Usida
@jamilajamila45726 ай бұрын
Zay hongera una bahati sana❤❤
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
Kweli
@salhamrishoi49436 ай бұрын
Nimelia sijui kwa furaha❤❤❤❤❤❤❤ Nyie zai anampenda saana manara❤❤❤❤❤🎉 kila lakher kwao🎉❤❤
@user-zt3eq4ku5m6 ай бұрын
Mungu awalinde daima n'a ndoa yenu iwe ya baraka n'a furaha Siku Zote mkawe n'a familia yakumpendeZa mungu Siku zote za maisha yenu. Nawapenda sana.
@sleeprelaxation84316 ай бұрын
ukisema wa nini ? kuna wenzio wanasema nitampata lini ? kila la heri kwenu.
@salomewandya7257
6 ай бұрын
Umeonaeee😂😂😂
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
😂😂😂😂jmn
@isamony586 ай бұрын
Haji safi sana umejuwa kuwa funga midomo wale wenye rohombaya
@maryamkhamsji6 ай бұрын
Kwan huyu babu wanmpendeaga nini😅 pesa shikamooo😂😂
@amosethantheking88156 ай бұрын
Sema... Haji Manara ana vijihela vya kuoa oa na watoto wanaingia ring.. Shida havikaagi..
@bettymuks70726 ай бұрын
Judith ni mrembo ❤Eva nae chukua uwa lako shost🌹aunty Zai pia wouh 🎉
@aishaomar96216 ай бұрын
Zaylissa Mungu kaitikia Dua zake amepitia mengi sana nasi Mungu atuiwtukie Dua zenu baada ya dhiki ni faraja ❤daa zay hongera❤❤
@user-ji9uv2ec7d6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 yani mimi sio mjuaji sana wamapezi ila apo mwanamke ayupo lipo gogo mawazo yote ayapo apo zawadi imemludisha
@jaharaoman64786 ай бұрын
Kiukweli hakuna mwanamke asietamani hii moment❤
@user-dh8hk3ih4k6 ай бұрын
Hongera. Dada. Kila Heri. Naomba. Kaka haji. Manara. Akuoe. Mm. Niko. Oman. Mm. Ni. MTU. WA. Tanga
@tanzcanmediatv44736 ай бұрын
Mungu awabariki hii iwe nfoa ya kheri
@eddsonjeremiah66696 ай бұрын
Rushyna mwaka wake wa stress aiseeeeee
@Mwanaid-kk4zm
6 ай бұрын
😂😂😂duuuu inaumaa sanna
@amzish265766 ай бұрын
Jua kali wako na Love mob
@nataliaananias56136 ай бұрын
Ongera zai umeokota dodo kwenye mfungutua😂😂,wanasema ukipata tumia ukikosa jutia,enjoy mama
@user-sn9ip6qr3l6 ай бұрын
Yaan semajiii haliishiwii mbinuu Ili ujue nn limejua lishaapooa likaja na mbinu mpyaa hongera sanaa semajii kwa kuniliaa bando languu kihalali nimeamin wew ndo semajiiii
@mijililoboniface46276 ай бұрын
Msema kweli mpenzi wa MUNGU haji manara kwenye sector ya mapenzi hakuna mtu wa kufikia hapa bongo
Inabidi tuache majungu tutafute pesa ... Pesa iko n Raha zake kweli
@JennyJma
6 ай бұрын
Kweli kabisaa nakuunga mkono🤝
@user-kg8dn6qr8o6 ай бұрын
Paka saizi Manala kaoa wake wangapi kachana nao wangap unadhani Na huyu watafika pasaka
@reginaedward48836 ай бұрын
Be carefully Manara sasa akuzalie mtoto much love kenya 🇰🇪
@kararaera81616 ай бұрын
Jamani sijuw na mm nitakuja kupewa gari mwakagani jamani hadi raha❤❤❤❤😢
@Yatosher_Der_Golden_voice
6 ай бұрын
Njoo hapa 😂😂😂😂
@ashaali7154
6 ай бұрын
Ukifanya kazi kwa bidii ukanunua yako utakuwa umefanya jambo zuri sana vya kupewa vina shida zake.
@habibahmuhammed3534
6 ай бұрын
Inategemea unapewa na nani Kuna feelings flan hv ukipewa kitu kizuri na mume au mke wako hata kama ww una uwezo wa kukipata mwenyew@@ashaali7154
@najmasalim-rg6ow
6 ай бұрын
Ukitaka la kuhongwa we jichetue tu Kwa Leo juma kesho John,keshokutw sele mwishoe utanahatisha muhongaji atakuhong
@user-bu7cs8kr1y
6 ай бұрын
Hahaha
@tiffahdangote75486 ай бұрын
Kwaiyo femi ndo ukaamua kwenda na upara wako😂😂😂😂😂
@seiftaji78386 ай бұрын
Bugati ni star mkubwa ha tanzania kwa mademu hua wanakosha nyota zao kupitia bugati
@judyngowi391
6 ай бұрын
Kabisa, kila demu mkali lazima apitiwe n Bugati
@beatricesolo17836 ай бұрын
Manara amependwa tanzania jamani hii inaonyeza mtu mwenye roho mzuri.
@mahamoudmroivili166 ай бұрын
Force à toi manara que Dieu bénisse ton mariage 🎉
@faudhaidd29786 ай бұрын
Haji anaweza akatufanya sisi wengine kama hatuna bahati ya wanaume 😂😂😂😂😂
@Rahima-kv6mn
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwakweli mmmmh
@salmasaid1521
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-ur4tz9xs7e6 ай бұрын
Congratulations 🎉❤❤❤ from kenya
@mwezzireen176 ай бұрын
Sas kajala hapo anajiuliza na roho mbona nilitoka kwa harmooo weee plz😪😪😭🤣🤣🤣
@YasintaNgimba6 ай бұрын
Mama zai kafrah naira wake jmniiiiii❤❤❤❤
@NajNaj-es8rb6 ай бұрын
Dula makabila ukiona hii sijui utajiskiaje haki😢
@EvaNicholaus-og4im6 ай бұрын
😂😂😂😂wanangp tumeona para la femy wa ruka
@user-ke6ez1bw1u6 ай бұрын
Nandy nguo tu ndo havai vzr ila Yuko poa sana
@user-um8lt3vx3u6 ай бұрын
Huyo nandi jaman yukouchii au kavaanguo jaman
@LightnessUrio-fo7mq6 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉ilachungeni Sana hizi hug ndouwa zinaletaga nuks
@faridaabdallah7424
6 ай бұрын
Kabisaa
@ggfwtgg16526 ай бұрын
Mahiii nagutakia kila la rheli kwenye ndoa yako ❤❤❤
@Salum_chalu_tz6 ай бұрын
Wanawake lilieni bahati na sio uzuri maana unawapeleka pabaya hakika kaka hajismanara umeweze daima niko nyuma yako ❤ keep it up M/mungu azidi kuwa simamia mfanikishe yale mlioyapanga 🙏🏾
@mwanaidimdira40686 ай бұрын
😂😂😂❤ Dora Dora Dora na love kwashemshem
@user-wr5ce6lu8q6 ай бұрын
Kila la kher broo❤
@neyjohn9236 ай бұрын
Jmn Watu wanapata wapi wa kuwapa magari?🎉🎉 Mungu awabariki
@Gracegrace237906 ай бұрын
Mungu awatangulie jaman😊😊😊
@UpendoMkumbi6 ай бұрын
Allah awaepushe na husda za walimwengu zay na haji
@tiffahbby36976 ай бұрын
Adhi Raha lkn mbona Nandy Ako uchi ama ua msaani hvo ndio inatakiwa akuwage kutoka TZ😢😢
@hanifamziray2776 ай бұрын
Zai una bshati sn hongera ndoa idumu
@judyngowi3916 ай бұрын
Dora alivyomkamata Manara, sijui na kenyewe kanataka kapewe gari
@BinBadru6 ай бұрын
TUNAKUONA HUJJAJ AU AL HAJJ HAJI MANARA
@safaasaid75146 ай бұрын
Lamata pls mueke bugati awe mr gost kwa hali hii😂😂😂
@hafidhmohd86966 ай бұрын
hiv haji wazazi wako wapo sehem salama
@lucyasukile39066 ай бұрын
Nandy🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤❤
@sumayyahkalyegira1066 ай бұрын
Oh God!This's soo amazing 🥰🥰🥰
@user-nk5xj7tn3j6 ай бұрын
Dah! nimekuwa naninayaona
@mwajumabinwa6046 ай бұрын
God bless you aji and zay ❤❤❤
@munirahassan5969
6 ай бұрын
Nandi nguo nzuri ile nyama sio mpoa
@MahraMansoor59696 ай бұрын
Jamani Makhi kapendeza kila lakheri iwe ya kheri from uk 🇬🇧
@agwalubifaridah70796 ай бұрын
Ilove this couple jmn...❤❤
@odilomwemeziernest6466 ай бұрын
Yangu macho
@user-nz4lx1hr2w6 ай бұрын
Zaylissa ukatulie na uyo jamaa mbwa ww ukimzingua utaokota makopo sio kwa event yakifahar kama iyo alafu ukalete mambo yko y mbagala chamaz shauriyko
@GubraCity-dm5sx6 ай бұрын
Hajji na tuma😂 nimependa wanavyocheza😂
@safiasaleh6696 ай бұрын
Mchawi hela vijana tafuteni hela laa c ivo mtaibiwa wake zenu
@mwajumabinwa6046 ай бұрын
Nandy umenogesha sana na watu wa chua kali nifaya 🔥🔥🔥
@user-br4tl7jv9j
6 ай бұрын
Sio chua kali we nae😂😂😂😂😂
@mwajumabinwa604
6 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9j😂😂😂
@salmasaid4309
6 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9jkanifurahisha et Chua kali ni faya😂😂
@taseleli9181
6 ай бұрын
Jamani sasa mwenzenu si kateleza tu hapo
@salmasaid4309
6 ай бұрын
@@taseleli9181 tukamsaidia kuamka🤣🤣🤣
@bushbabytz6 ай бұрын
hongera dstv kwa kumfadhili huyu albino kuweza kufanikisha shughuli hii😂
Huyu manara mbwembwe zote nikwaajil ya kumuuiza Rushayna Allah tuepushe na misifa hii
@Official836406 ай бұрын
Familia ya Hajji na Zaiylissa zinacheza pamoja huku zinawaza aibu mbele ya safari yaani Mungu awalinde tu na hasad mfunge ndoa salama muishi pamoja maana mmechokwa ht na wazazi wenu kila leo ndoa tu
@user-pi5rz5hp2t
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂jmn
@user-uz4kc5he7v6 ай бұрын
Hatimae Aunt Zai, kapata mkwe anae mpenda muhonga magari na sio kina diba 😂😂
@TuyisengeSakina6 ай бұрын
Jamani hadi imesisimka nilijuwa Awa watu wanatania kumbe wapo serieus
@user-qn8ig9ey6b6 ай бұрын
Masheikh wa dar kueni na haya huyu mtu ndo mnamuaalika na kumpa nafasi ya kuongea na waislam kwenye maulidi ya bwana mtume jamani hii ni aibu acheni ujanjanja kwenye dini
@fikramajani46506 ай бұрын
Jamanii kwan Femi kanyolewa ukwel m nlizani n kuact tuu
Пікірлер: 318
Hio nyimbo ya nandy sasa🙌❤❤❤ kama umeikubal kama mm gonga like twende sawa🙌🙌🔥🔥
@everlyneasuma1817
6 ай бұрын
Inaitwaje?
@aminakassim7486
6 ай бұрын
@@everlyneasuma1817inaitwa Dah
Ni ndoto ya kila mwanamke.... MUNGU hawaepushe na maombi ya watu wengi......kila la kheri
Hajji mtu wa watu....much love from Kenya
@salomewandya7257
6 ай бұрын
Saaana
Mungu akusaidie hii ndoa idumu Haji Manara unajua kupenda sana na kujali ila unawapenda ndio vilaza.Huyu atulie nawe ufurahi.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Usifurahie we nnani acha utani imekaaa poa sana imevunja rekodi za kimpenzi tz❤❤❤❤❤❤
Kachozi kafuraha kamenitoka jomoni hongera sana zaylisa Mwenyezi Mungu Awaepushe na Husda za Walimwengu Wewe na Mume Wako
@muzneali4747
6 ай бұрын
Ameen Ameen dada yangu na wewe pia Mwenyezi Mungu atakujaalia ZAIDI Kwa kuwaombea DUA njema wenzio
@user-sv6zy3hc8o
6 ай бұрын
Mtalajiwa
Kajuwa kuwakomesha max wake jaman hongera zai kwa bahati pambe jaman❤
@salomewandya7257
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-zm1hz2ch7e
6 ай бұрын
Upo sawa bloo
@user-xo4xq6rr3f
6 ай бұрын
Uyu ni mke mkubwa mwenye alijua na ujauzito apo nyuma
Zayllisa ushauliwangu tulia hakika umepata mwanaume bora leo amekupa heshima iliopotea imeludi tena tulia nae mungu akazidi kuwasimamia katika maisha yenu nawapenda
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
Hakika niko upande wako
Dah wooooooow wooooooow wooooooow very nice jmn nimefurahi Sana Mungu awaongoze katka maisha yenu
I just love how jua Kali crew showed up for their own 🤗❤much love Zay aka Naila wa #juakali😊
Mashallah mashallah kila lakheri kwenu Mungu awatangulie katika kila Jambo lenu ,,Zai mtunze Sana bugati usiteteleke kwa lolote uliyopitia ni magum be strong
Wanawake mupunguze kuvaa tupu😢😢hakuna hata mwanaume mmoja ambao yuko tupu,ila sisi😢😢😢😢Ina Lilah Waina Ilaihi Rajiun 😢😢
Aliyeona team jua kali kama mie gonga like
God Bless You Semaji Kila La Kheri ❤❤❤❤❤
Dulla bye bye msicheze na Mwenye Pakei. Z utamsikia huwezi kumnusa. Wenye Pesa wanaye atabadilisha hadi Dulla atamuogopa kumsogelea. Pole Dulla
Nwenyezi mungu awaking na macho ya husda na ndia yeni iwe ikawe ya kheli inshahalla
Bro Haji Manara kuanzia leo tunakuunganisha Team Jua Kali
Uyu kaenda madrssa kupiga dufu au kujua sheria za uislamu maana yupo nje na imani ya kiislamu.kabisa mungu amuokoe
Hongera sana Zaylisa pamoja na Mjumba wako haji Manaraaa Mungu awabariki 🙏 na awaebushe na Usida
Zay hongera una bahati sana❤❤
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
Kweli
Nimelia sijui kwa furaha❤❤❤❤❤❤❤ Nyie zai anampenda saana manara❤❤❤❤❤🎉 kila lakher kwao🎉❤❤
Mungu awalinde daima n'a ndoa yenu iwe ya baraka n'a furaha Siku Zote mkawe n'a familia yakumpendeZa mungu Siku zote za maisha yenu. Nawapenda sana.
ukisema wa nini ? kuna wenzio wanasema nitampata lini ? kila la heri kwenu.
@salomewandya7257
6 ай бұрын
Umeonaeee😂😂😂
@user-qq6mv6vh3e
6 ай бұрын
😂😂😂😂jmn
Haji safi sana umejuwa kuwa funga midomo wale wenye rohombaya
Kwan huyu babu wanmpendeaga nini😅 pesa shikamooo😂😂
Sema... Haji Manara ana vijihela vya kuoa oa na watoto wanaingia ring.. Shida havikaagi..
Judith ni mrembo ❤Eva nae chukua uwa lako shost🌹aunty Zai pia wouh 🎉
Zaylissa Mungu kaitikia Dua zake amepitia mengi sana nasi Mungu atuiwtukie Dua zenu baada ya dhiki ni faraja ❤daa zay hongera❤❤
😂😂😂😂😂😂 yani mimi sio mjuaji sana wamapezi ila apo mwanamke ayupo lipo gogo mawazo yote ayapo apo zawadi imemludisha
Kiukweli hakuna mwanamke asietamani hii moment❤
Hongera. Dada. Kila Heri. Naomba. Kaka haji. Manara. Akuoe. Mm. Niko. Oman. Mm. Ni. MTU. WA. Tanga
Mungu awabariki hii iwe nfoa ya kheri
Rushyna mwaka wake wa stress aiseeeeee
@Mwanaid-kk4zm
6 ай бұрын
😂😂😂duuuu inaumaa sanna
Jua kali wako na Love mob
Ongera zai umeokota dodo kwenye mfungutua😂😂,wanasema ukipata tumia ukikosa jutia,enjoy mama
Yaan semajiii haliishiwii mbinuu Ili ujue nn limejua lishaapooa likaja na mbinu mpyaa hongera sanaa semajii kwa kuniliaa bando languu kihalali nimeamin wew ndo semajiiii
Msema kweli mpenzi wa MUNGU haji manara kwenye sector ya mapenzi hakuna mtu wa kufikia hapa bongo
Ongereni cn jmn ahi na zailisa mashahallah mmeoendeza xn jwa jweli ❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwakwel job w kali apo walitisha sana walipendeza ongeren
Fantastic ❤ love
Waoooo very nice team ya jua kali
Mashaallah iwe ya khery..nataman nngekuq mm jaman..ila watu na bahat zao
Mashaallah tabarakallah mabrouq alfu mabrouq mngu awape maskizano
Sema haji ana watu bwana wengi wamemfata yeye
Hapo Haji Manara ameweza kweli kweli
Inabidi tuache majungu tutafute pesa ... Pesa iko n Raha zake kweli
@JennyJma
6 ай бұрын
Kweli kabisaa nakuunga mkono🤝
Paka saizi Manala kaoa wake wangapi kachana nao wangap unadhani Na huyu watafika pasaka
Be carefully Manara sasa akuzalie mtoto much love kenya 🇰🇪
Jamani sijuw na mm nitakuja kupewa gari mwakagani jamani hadi raha❤❤❤❤😢
@Yatosher_Der_Golden_voice
6 ай бұрын
Njoo hapa 😂😂😂😂
@ashaali7154
6 ай бұрын
Ukifanya kazi kwa bidii ukanunua yako utakuwa umefanya jambo zuri sana vya kupewa vina shida zake.
@habibahmuhammed3534
6 ай бұрын
Inategemea unapewa na nani Kuna feelings flan hv ukipewa kitu kizuri na mume au mke wako hata kama ww una uwezo wa kukipata mwenyew@@ashaali7154
@najmasalim-rg6ow
6 ай бұрын
Ukitaka la kuhongwa we jichetue tu Kwa Leo juma kesho John,keshokutw sele mwishoe utanahatisha muhongaji atakuhong
@user-bu7cs8kr1y
6 ай бұрын
Hahaha
Kwaiyo femi ndo ukaamua kwenda na upara wako😂😂😂😂😂
Bugati ni star mkubwa ha tanzania kwa mademu hua wanakosha nyota zao kupitia bugati
@judyngowi391
6 ай бұрын
Kabisa, kila demu mkali lazima apitiwe n Bugati
Manara amependwa tanzania jamani hii inaonyeza mtu mwenye roho mzuri.
Force à toi manara que Dieu bénisse ton mariage 🎉
Haji anaweza akatufanya sisi wengine kama hatuna bahati ya wanaume 😂😂😂😂😂
@Rahima-kv6mn
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwakweli mmmmh
@salmasaid1521
6 ай бұрын
😂😂😂😂
Congratulations 🎉❤❤❤ from kenya
Sas kajala hapo anajiuliza na roho mbona nilitoka kwa harmooo weee plz😪😪😭🤣🤣🤣
Mama zai kafrah naira wake jmniiiiii❤❤❤❤
Dula makabila ukiona hii sijui utajiskiaje haki😢
😂😂😂😂wanangp tumeona para la femy wa ruka
Nandy nguo tu ndo havai vzr ila Yuko poa sana
Huyo nandi jaman yukouchii au kavaanguo jaman
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉ilachungeni Sana hizi hug ndouwa zinaletaga nuks
@faridaabdallah7424
6 ай бұрын
Kabisaa
Mahiii nagutakia kila la rheli kwenye ndoa yako ❤❤❤
Wanawake lilieni bahati na sio uzuri maana unawapeleka pabaya hakika kaka hajismanara umeweze daima niko nyuma yako ❤ keep it up M/mungu azidi kuwa simamia mfanikishe yale mlioyapanga 🙏🏾
😂😂😂❤ Dora Dora Dora na love kwashemshem
Kila la kher broo❤
Jmn Watu wanapata wapi wa kuwapa magari?🎉🎉 Mungu awabariki
Mungu awatangulie jaman😊😊😊
Allah awaepushe na husda za walimwengu zay na haji
Adhi Raha lkn mbona Nandy Ako uchi ama ua msaani hvo ndio inatakiwa akuwage kutoka TZ😢😢
Zai una bshati sn hongera ndoa idumu
Dora alivyomkamata Manara, sijui na kenyewe kanataka kapewe gari
TUNAKUONA HUJJAJ AU AL HAJJ HAJI MANARA
Lamata pls mueke bugati awe mr gost kwa hali hii😂😂😂
hiv haji wazazi wako wapo sehem salama
Nandy🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤❤
Oh God!This's soo amazing 🥰🥰🥰
Dah! nimekuwa naninayaona
God bless you aji and zay ❤❤❤
@munirahassan5969
6 ай бұрын
Nandi nguo nzuri ile nyama sio mpoa
Jamani Makhi kapendeza kila lakheri iwe ya kheri from uk 🇬🇧
Ilove this couple jmn...❤❤
Yangu macho
Zaylissa ukatulie na uyo jamaa mbwa ww ukimzingua utaokota makopo sio kwa event yakifahar kama iyo alafu ukalete mambo yko y mbagala chamaz shauriyko
Hajji na tuma😂 nimependa wanavyocheza😂
Mchawi hela vijana tafuteni hela laa c ivo mtaibiwa wake zenu
Nandy umenogesha sana na watu wa chua kali nifaya 🔥🔥🔥
@user-br4tl7jv9j
6 ай бұрын
Sio chua kali we nae😂😂😂😂😂
@mwajumabinwa604
6 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9j😂😂😂
@salmasaid4309
6 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9jkanifurahisha et Chua kali ni faya😂😂
@taseleli9181
6 ай бұрын
Jamani sasa mwenzenu si kateleza tu hapo
@salmasaid4309
6 ай бұрын
@@taseleli9181 tukamsaidia kuamka🤣🤣🤣
hongera dstv kwa kumfadhili huyu albino kuweza kufanikisha shughuli hii😂
@masumbukojonas5510
6 ай бұрын
Mungu akusaidie
@bushbabytz
6 ай бұрын
@@masumbukojonas5510 endelea kusumbuka bwana masumbuko😂
Nkisema Zay sema lisaaaa
@Zuu673
6 ай бұрын
Lisaaaa
Huyu manara mbwembwe zote nikwaajil ya kumuuiza Rushayna Allah tuepushe na misifa hii
Familia ya Hajji na Zaiylissa zinacheza pamoja huku zinawaza aibu mbele ya safari yaani Mungu awalinde tu na hasad mfunge ndoa salama muishi pamoja maana mmechokwa ht na wazazi wenu kila leo ndoa tu
@user-pi5rz5hp2t
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂jmn
Hatimae Aunt Zai, kapata mkwe anae mpenda muhonga magari na sio kina diba 😂😂
Jamani hadi imesisimka nilijuwa Awa watu wanatania kumbe wapo serieus
Masheikh wa dar kueni na haya huyu mtu ndo mnamuaalika na kumpa nafasi ya kuongea na waislam kwenye maulidi ya bwana mtume jamani hii ni aibu acheni ujanjanja kwenye dini
Jamanii kwan Femi kanyolewa ukwel m nlizani n kuact tuu
Uyo dada amefata pesa na sio kingine
Mungu awatangulie
Mambo ni moto km jua kali😂❤
Naomba namba ya mwenye kiparaaaa😮😅
Hongera sana zailisa
Ayo ndo munayajua sio Afcon 😂