VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO
Ойын-сауық
TAZAMA MWANZO MWISHO VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO
#manaratv #hajimanara #dottomagari #nandy #zaiylissa
Пікірлер: 159
Hii song itakuwa hiti kwahyo millions 50 itapatikana tuu
Mimi nimeipenda tu nyimbo jamaniiiii,,NANDERAAAAA is One
Mimi kweli nashangaa Haji haji haji wewe ni muislam juzi kati tu umetoka makka pia wewe ni mwanazuoni mzuri sana na mashekhe wengi wa darusalama sijui hawakuwaizi kuhusu AKHERA Yako hii DUNIA mwenyezi mungu anaona tunavyovifanya insha allah mwenyezi mungu atupe kauli thabiti
Nandi unaimba mpaka unawakela watu. Mtoto unasauti balaaaa
Nandy.....My Sridev ❤
Kukumbushana kupo, pls vipaji vipo vingi madras na huko unajiwekea 4 future tuendapo sote 🙏
Na weewe zailisa tulia kwa kaka haji ufanye maishaa..mungu ni mwema atawasimamia
@muhsiniamiri9310
6 ай бұрын
hahaha wakifka June hawah naamn watafka mbal maan
@uvuvweweonyetenyevwe1348
6 ай бұрын
@@muhsiniamiri9310juni thubutuuu..
@UmmyMaganga-ce9ee
6 ай бұрын
Wakutulia ni Haji mwenyewe na sio zai
Hadji miaka yako ni ya kua karibu na Mungu sana na kufanya ibada ila wewe kama umerudi utotoni
@jovincecharles
6 ай бұрын
😂
@KassimAlly-xp4dz
6 ай бұрын
Ww usharudi
@user-jk6zk5lo9r
5 ай бұрын
Haji hana ukubwa wa kumzid babaako kuku we utashikwa tako
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
❤❤❤Roho ya mwanamme haizeeki Waacheni afurahishe roho zao❤❤❤Zay❤na Haji Manara ❤❤❤
@user-po7gb6xx1k
5 ай бұрын
Hiyo ni tabia za wanaume karibu wote,, mwanamme ni kama mtoto mdogo anapenda kudekeshwa❤❤❤
Zinaa inatumgiwa nanyimbo jamani pumzi zinatuhadaa kweli
Ka nyimbo kasweet jaman ❤️❤️❤️
I can't wait to hear this "The whole song"😂❤Hajj Manara juuuuu sanaaaa😂🎉😂🎉😂🎉
Hio iitwe Manara Label ❤
Nandy she so happy 🥰🥰🥰💙💙💙💜
Doto nakupenda jamani
Queen Nandy, you are the best of the best. Great song
Nimeipenda waoooooo
Kupendwa Raha❤❤
Nawapenda sana
Song lamoto sana linatoka lini
Lakini wabongo si ndiyo tunapenda Mambo haya??
Kula Maisha haji rushaina alikukosea nazani ni mungu ndio kaamuua kumnyoosha rushaina
@khadejakhadeja9713
5 ай бұрын
Anajuta..kutoka kwa bugati😂😂😂
Nice nimependa
Unamwanika mwanamke masuruali yamepasuliwa kifuwa kinaonekana eti mwislamu manara umefeli hapo
Mandy unajua kuimba dada yangu mungu akutiee nguvu❤❤❤❤❤
Napenda sana kubali sana Mimi nandy more
Jamani doto kahaa😅
Nyimbo nzuri sana👏
Nandi ameweza kweli kweli
Dotto ndio kasema acha ajidai ndio uwai wake
Hongera Manara
Mi team Dotto
😂😂😂😂😂😂 huyo dotto
Nandy anajua saana
Doto magari bn
Bigapu Manara nyota unayo mushukuru MUNGU sana eyaeyae hoya Doto kweye midia we noma sana wapinzani wajipane miaka 10 mbele
Ila doto ananikosha 😂😂😂
Nandy anajua bana🎉
Haji kidg nilikuchukulia kaka anayejiskia sana.lakin nimegundua u MTU wa tofauti.plz naomba kuwasiliana nawe.naitwa mwl mfinanga nippo kilimanjaro
Manara ikimbuke sikuyako yakufa ,achana na Dunia kwn nimapito wewe nimaiti mtarajiwa wakat wowot 😢
Huyu manara muislamu wa ajabu juwa mungu anakuona manara
@arthurdonnietello9691
6 ай бұрын
Wewe ni muislam swafi...?
@shabanizena2612
6 ай бұрын
Kafiri uyu albinos
@sabihaibrahim143
6 ай бұрын
@@arthurdonnietello9691wewe mjinga
@Moresa196
6 ай бұрын
Unajua ukifa utaenda wapi kaka?? Relax kila mtu na maisha yake
@husseinhussein9971
6 ай бұрын
Acha unafiki lofa wewe
Haji nakuahidi huyo demu nitakupigia.. pesa ipo umri upo na hapa ipo #😂😂😂 niutani wa jadi tu yy yanga mm simba
Hapo mganga Hana kesi ww mwenyewe ulimuamin🤣🤣🤣
Haji ndugu yangu ktk imani haji wewe umesoma dini mwanamke wako mbona kaa kikafiri
@MuuYascohy-oc7os
6 ай бұрын
Dunia ya ibilisi sheitwan imeshamuingia kichwan kwake hawez kukuelewa
Miziki ya kuungaunga. RIP Mbaraka mwinshehe and coleagues
Nimependa Doto ambavyo alikuwa akicheza.
@peternyambui7492
6 ай бұрын
😂
Hichi kizeee hakijitambuii hata kidogooo watu wanafanywaaa ujanani uzeeeni wanatubiaa yy uzeeeni ndio atapotokaaa subhana
@isaacchalamila
5 ай бұрын
Nipesa zake mwache 😂😂😂
Nandy unajua tena natena ♥️♥️
Sheikh😢
Ila. Hii. Nyimbo. Inatuliwaza. Wengi
Doto unaweza kuliko machawa wote kuongea upo vizuri🤣🤣🤣🤣
Manara nitafute nipo kenya nami nina kampan plz
Jamni doti😂😂😂
Kwahyo tuliozaliwa Ngwinde kosa letu nini sasa kaka Haji.🤔
Haji manara jmn akiachana n mwanamke huyu anakua limbuken mm roho imeniuma kumuacha yule aliezaa nae mtt wa kiume * alimsifiaaa siku kajifungua yule dada sahv anazai usije lia ukiachwa had unarekod nyimbo kwa milio 50 dah😢
@KassimAlly-xp4dz
6 ай бұрын
Hapa kuna mchongo tu
Dotto chawa mpyaaa chawa kawa kapata chawa
Uyo dotoo kumamamaaa msingi
Sridev ❤
Na hapa IPO
Duuh watu wanaps ya mchzo mung uyuu aya
Anaona upuuz2 huy zai anajua kesho kutw mnachana nyimbo zann
Iyo kwapa ya zaylisa sasa😂😂nyeus atali
Milioni 50 na Kuna mtu Hana hata laki hapa😂😂😂😂
Nandy mkali bana😂
Dotto😁😁😁😁😁😁
Bonge la nyimbo
Huyu jamaa alipoachwa na mke wake wa pili alijifanya anazungumza dini, leo kampata mwingine amesahau dini. Dah binadamu kweli ni Mungu tu ndo anatuweza
@sistertrashid2488
6 ай бұрын
Yalikua maneno ya mkosaji
@agwalubifaridah7079
6 ай бұрын
After kuachana na mke wa pili ulitaka awe vipi labda?aende aishi makka asiowe tena!!ila walimwengu...😮
@nth3512
6 ай бұрын
@@agwalubifaridah7079 kwani nani kasema asioe? Na hivyo anavyofanya ndo dini yake imemwelekeza ivo?
Naisubir iyo Alhamis
Dotto unamotoooo
Nandy kabana pua,subiri auto tune tu
uyoashakuwachawa wa twigs ama?
Ila dotto aisee nimecheka kufa
Jamani mbona wanawake mnajiaibisha kuvaa nguo hazieleweki muogopeni mungu jrhanamu ipo
Waislam weng wamekumbwa napepo laushetani
Kuna mwamba amekaa hapo cjuh anawaza nn?? 😂😂🙌
SAVE THE DATE NA MILLION 50 NA HAPA IPO🔫🔫
Nani kaskia bugati akibanja na akameza 🤣🤣
@swaumsalim470
6 ай бұрын
Hahaha
@majidfrolian4904
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 mimi hapa
@majidfrolian4904
6 ай бұрын
Atakuwa anakula mafegi sana
@AnnoyedBackgammon-hw4vr
6 ай бұрын
We jau
Akikuacha umtukie nyimbo
Mtu lazima aibiwe
Bongo kunavituko 😂😂
demu mwenywe vituko wallahi😢
Dotto kha jaman 😅😅😅
Muogope mungu manara haramu hizo
@khadejakhadeja9713
5 ай бұрын
Kahalalisha hajakaa.nae.kimada.au kumzalisha.na.kukimbia.hiyo.ndio haramu 😂😂😂😂
Dotto 😆🤣😆🤣
😅😅😅mbavu
Huyu mzee atakufa vibaya nyie wanawake hawaa ayaa
IITWE HM TOWN LABEL au HM LABEL
Huyo mchumba mwenyewe kitumbo kama kashiba mbuzi
naitajinisikiye nyimbo yamillion 50 inaitwaje?
Doto kujidai muislam kumbe anapalilia zinaa
Doto😂😂😂
Twiga imepanda sana kwa style ile nyingi Manara lazima upange tofali au stool ili ufikie utamu ulipo
@cyubahiroclement191
6 ай бұрын
Hhhh we msenge tu hhhh
Dotto yye hucheza ata bila beat cku zote.... interviews zake zote ata akiwa field yye hucheza kichwa ....😅
@BerthaModest
6 ай бұрын
Unamjua uyu ww😂😂😂 muhm kacheza zake tu
Ikitokea mmoja kafa nini anaenda kumueleza mola wetu
Nandy anajua kuliko zuchu
Mwishee apewe eshima yake ila wewe IQ yko ndogo uwezi kua Birrionea penda chakwenu acha fitnaa
Dotto is kill them Bro 😅😅
Kulwa
Masikini roho zenu hamjui mtendalo
😂😂😂😂😂😂😊😊
Congratulations nandy❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤