VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO

Ойын-сауық

TAZAMA MWANZO MWISHO VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO
#manaratv #hajimanara #dottomagari #nandy #zaiylissa

Пікірлер: 159

  • @qwirinishao1003
    @qwirinishao10036 ай бұрын

    Hii song itakuwa hiti kwahyo millions 50 itapatikana tuu

  • @stellawillison1148
    @stellawillison11486 ай бұрын

    Mimi nimeipenda tu nyimbo jamaniiiii,,NANDERAAAAA is One

  • @maulidhatibu4859
    @maulidhatibu48595 ай бұрын

    Mimi kweli nashangaa Haji haji haji wewe ni muislam juzi kati tu umetoka makka pia wewe ni mwanazuoni mzuri sana na mashekhe wengi wa darusalama sijui hawakuwaizi kuhusu AKHERA Yako hii DUNIA mwenyezi mungu anaona tunavyovifanya insha allah mwenyezi mungu atupe kauli thabiti

  • @onesmombele2571
    @onesmombele25716 ай бұрын

    Nandi unaimba mpaka unawakela watu. Mtoto unasauti balaaaa

  • @AllyAniu-ni3ji
    @AllyAniu-ni3ji6 ай бұрын

    Nandy.....My Sridev ❤

  • @miskyabdillah7451
    @miskyabdillah74516 ай бұрын

    Kukumbushana kupo, pls vipaji vipo vingi madras na huko unajiwekea 4 future tuendapo sote 🙏

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne97186 ай бұрын

    Na weewe zailisa tulia kwa kaka haji ufanye maishaa..mungu ni mwema atawasimamia

  • @muhsiniamiri9310

    @muhsiniamiri9310

    6 ай бұрын

    hahaha wakifka June hawah naamn watafka mbal maan

  • @uvuvweweonyetenyevwe1348

    @uvuvweweonyetenyevwe1348

    6 ай бұрын

    ​@@muhsiniamiri9310juni thubutuuu..

  • @UmmyMaganga-ce9ee

    @UmmyMaganga-ce9ee

    6 ай бұрын

    Wakutulia ni Haji mwenyewe na sio zai

  • @masumbukomoussa977
    @masumbukomoussa9776 ай бұрын

    Hadji miaka yako ni ya kua karibu na Mungu sana na kufanya ibada ila wewe kama umerudi utotoni

  • @jovincecharles

    @jovincecharles

    6 ай бұрын

    😂

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    6 ай бұрын

    Ww usharudi

  • @user-jk6zk5lo9r

    @user-jk6zk5lo9r

    5 ай бұрын

    Haji hana ukubwa wa kumzid babaako kuku we utashikwa tako

  • @user-po7gb6xx1k

    @user-po7gb6xx1k

    5 ай бұрын

    ❤❤❤Roho ya mwanamme haizeeki Waacheni afurahishe roho zao❤❤❤Zay❤na Haji Manara ❤❤❤

  • @user-po7gb6xx1k

    @user-po7gb6xx1k

    5 ай бұрын

    Hiyo ni tabia za wanaume karibu wote,, mwanamme ni kama mtoto mdogo anapenda kudekeshwa❤❤❤

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9556 ай бұрын

    Zinaa inatumgiwa nanyimbo jamani pumzi zinatuhadaa kweli

  • @user-cy6cr5wt2n
    @user-cy6cr5wt2n6 ай бұрын

    Ka nyimbo kasweet jaman ❤️❤️❤️

  • @salamamamashenge5493
    @salamamamashenge54936 ай бұрын

    I can't wait to hear this "The whole song"😂❤Hajj Manara juuuuu sanaaaa😂🎉😂🎉😂🎉

  • @maulidimopen1273
    @maulidimopen12736 ай бұрын

    Hio iitwe Manara Label ❤

  • @Sallie358
    @Sallie3586 ай бұрын

    Nandy she so happy 🥰🥰🥰💙💙💙💜

  • @mbmb8267
    @mbmb82676 ай бұрын

    Doto nakupenda jamani

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi12556 ай бұрын

    Queen Nandy, you are the best of the best. Great song

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj5836 ай бұрын

    Nimeipenda waoooooo

  • @user-nd8gg4ig7m
    @user-nd8gg4ig7m6 ай бұрын

    Kupendwa Raha❤❤

  • @user-ev6bq9gf1f
    @user-ev6bq9gf1f6 ай бұрын

    Nawapenda sana

  • @mchaggampole
    @mchaggampole6 ай бұрын

    Song lamoto sana linatoka lini

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka25896 ай бұрын

    Lakini wabongo si ndiyo tunapenda Mambo haya??

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne97186 ай бұрын

    Kula Maisha haji rushaina alikukosea nazani ni mungu ndio kaamuua kumnyoosha rushaina

  • @khadejakhadeja9713

    @khadejakhadeja9713

    5 ай бұрын

    Anajuta..kutoka kwa bugati😂😂😂

  • @user-cz8zi9ly1q
    @user-cz8zi9ly1q6 ай бұрын

    Nice nimependa

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty6 ай бұрын

    Unamwanika mwanamke masuruali yamepasuliwa kifuwa kinaonekana eti mwislamu manara umefeli hapo

  • @ErineWisdom
    @ErineWisdom6 ай бұрын

    Mandy unajua kuimba dada yangu mungu akutiee nguvu❤❤❤❤❤

  • @FOURTEENSTAR-mv1qb
    @FOURTEENSTAR-mv1qb6 ай бұрын

    Napenda sana kubali sana Mimi nandy more

  • @selemanikiumwa4903
    @selemanikiumwa49036 ай бұрын

    Jamani doto kahaa😅

  • @leaherasto929
    @leaherasto9296 ай бұрын

    Nyimbo nzuri sana👏

  • @oyay2821
    @oyay28216 ай бұрын

    Nandi ameweza kweli kweli

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z6 ай бұрын

    Dotto ndio kasema acha ajidai ndio uwai wake

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga5276 ай бұрын

    Hongera Manara

  • @MashakaShobo-cs5wj
    @MashakaShobo-cs5wj6 ай бұрын

    Mi team Dotto

  • @hanifaally4694
    @hanifaally46946 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 huyo dotto

  • @user-nw9ny2il8n
    @user-nw9ny2il8n6 ай бұрын

    Nandy anajua saana

  • @Amisyboya7
    @Amisyboya76 ай бұрын

    Doto magari bn

  • @jomasai6353
    @jomasai63536 ай бұрын

    Bigapu Manara nyota unayo mushukuru MUNGU sana eyaeyae hoya Doto kweye midia we noma sana wapinzani wajipane miaka 10 mbele

  • @hidayaally9977
    @hidayaally99776 ай бұрын

    Ila doto ananikosha 😂😂😂

  • @Naju645
    @Naju6456 ай бұрын

    Nandy anajua bana🎉

  • @mfinangaexaud3492
    @mfinangaexaud34926 ай бұрын

    Haji kidg nilikuchukulia kaka anayejiskia sana.lakin nimegundua u MTU wa tofauti.plz naomba kuwasiliana nawe.naitwa mwl mfinanga nippo kilimanjaro

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman63405 ай бұрын

    Manara ikimbuke sikuyako yakufa ,achana na Dunia kwn nimapito wewe nimaiti mtarajiwa wakat wowot 😢

  • @hajisimaikhatib9002
    @hajisimaikhatib90026 ай бұрын

    Huyu manara muislamu wa ajabu juwa mungu anakuona manara

  • @arthurdonnietello9691

    @arthurdonnietello9691

    6 ай бұрын

    Wewe ni muislam swafi...?

  • @shabanizena2612

    @shabanizena2612

    6 ай бұрын

    Kafiri uyu albinos

  • @sabihaibrahim143

    @sabihaibrahim143

    6 ай бұрын

    ​@@arthurdonnietello9691wewe mjinga

  • @Moresa196

    @Moresa196

    6 ай бұрын

    Unajua ukifa utaenda wapi kaka?? Relax kila mtu na maisha yake

  • @husseinhussein9971

    @husseinhussein9971

    6 ай бұрын

    Acha unafiki lofa wewe

  • @mwaitajuma4140
    @mwaitajuma41406 ай бұрын

    Haji nakuahidi huyo demu nitakupigia.. pesa ipo umri upo na hapa ipo #😂😂😂 niutani wa jadi tu yy yanga mm simba

  • @salimrama4125
    @salimrama41256 ай бұрын

    Hapo mganga Hana kesi ww mwenyewe ulimuamin🤣🤣🤣

  • @mtumwajumanne4569
    @mtumwajumanne45696 ай бұрын

    Haji ndugu yangu ktk imani haji wewe umesoma dini mwanamke wako mbona kaa kikafiri

  • @MuuYascohy-oc7os

    @MuuYascohy-oc7os

    6 ай бұрын

    Dunia ya ibilisi sheitwan imeshamuingia kichwan kwake hawez kukuelewa

  • @suntzu8959
    @suntzu89596 ай бұрын

    Miziki ya kuungaunga. RIP Mbaraka mwinshehe and coleagues

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen72996 ай бұрын

    Nimependa Doto ambavyo alikuwa akicheza.

  • @peternyambui7492

    @peternyambui7492

    6 ай бұрын

    😂

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla25016 ай бұрын

    Hichi kizeee hakijitambuii hata kidogooo watu wanafanywaaa ujanani uzeeeni wanatubiaa yy uzeeeni ndio atapotokaaa subhana

  • @isaacchalamila

    @isaacchalamila

    5 ай бұрын

    Nipesa zake mwache 😂😂😂

  • @ZahraOm
    @ZahraOm6 ай бұрын

    Nandy unajua tena natena ♥️♥️

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi63946 ай бұрын

    Sheikh😢

  • @arafasaidi2723
    @arafasaidi27232 ай бұрын

    Ila. Hii. Nyimbo. Inatuliwaza. Wengi

  • @isaacchalamila
    @isaacchalamila5 ай бұрын

    Doto unaweza kuliko machawa wote kuongea upo vizuri🤣🤣🤣🤣

  • @user-qh4mk6xw7o
    @user-qh4mk6xw7o6 ай бұрын

    Manara nitafute nipo kenya nami nina kampan plz

  • @aminajuma1156
    @aminajuma11566 ай бұрын

    Jamni doti😂😂😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda46196 ай бұрын

    Kwahyo tuliozaliwa Ngwinde kosa letu nini sasa kaka Haji.🤔

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de6 ай бұрын

    Haji manara jmn akiachana n mwanamke huyu anakua limbuken mm roho imeniuma kumuacha yule aliezaa nae mtt wa kiume * alimsifiaaa siku kajifungua yule dada sahv anazai usije lia ukiachwa had unarekod nyimbo kwa milio 50 dah😢

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    6 ай бұрын

    Hapa kuna mchongo tu

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs6 ай бұрын

    Dotto chawa mpyaaa chawa kawa kapata chawa

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js6 ай бұрын

    Uyo dotoo kumamamaaa msingi

  • @AllyAniu-ni3ji
    @AllyAniu-ni3ji6 ай бұрын

    Sridev ❤

  • @RICHARDFIKIRLI-jk1vh
    @RICHARDFIKIRLI-jk1vh6 ай бұрын

    Na hapa IPO

  • @user-ui4vt9vl6h
    @user-ui4vt9vl6h6 ай бұрын

    Duuh watu wanaps ya mchzo mung uyuu aya

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws6 ай бұрын

    Anaona upuuz2 huy zai anajua kesho kutw mnachana nyimbo zann

  • @bebebebe5677
    @bebebebe56776 ай бұрын

    Iyo kwapa ya zaylisa sasa😂😂nyeus atali

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz86 ай бұрын

    Milioni 50 na Kuna mtu Hana hata laki hapa😂😂😂😂

  • @stevewanga957
    @stevewanga9576 ай бұрын

    Nandy mkali bana😂

  • @mrsab303
    @mrsab3036 ай бұрын

    Dotto😁😁😁😁😁😁

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani91596 ай бұрын

    Bonge la nyimbo

  • @nth3512
    @nth35126 ай бұрын

    Huyu jamaa alipoachwa na mke wake wa pili alijifanya anazungumza dini, leo kampata mwingine amesahau dini. Dah binadamu kweli ni Mungu tu ndo anatuweza

  • @sistertrashid2488

    @sistertrashid2488

    6 ай бұрын

    Yalikua maneno ya mkosaji

  • @agwalubifaridah7079

    @agwalubifaridah7079

    6 ай бұрын

    After kuachana na mke wa pili ulitaka awe vipi labda?aende aishi makka asiowe tena!!ila walimwengu...😮

  • @nth3512

    @nth3512

    6 ай бұрын

    @@agwalubifaridah7079 kwani nani kasema asioe? Na hivyo anavyofanya ndo dini yake imemwelekeza ivo?

  • @leaherasto929
    @leaherasto9296 ай бұрын

    Naisubir iyo Alhamis

  • @user-ri2xq6fu6w
    @user-ri2xq6fu6w6 ай бұрын

    Dotto unamotoooo

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing17805 ай бұрын

    Nandy kabana pua,subiri auto tune tu

  • @user-zv2ng6ov2k
    @user-zv2ng6ov2k6 ай бұрын

    uyoashakuwachawa wa twigs ama?

  • @alfredsaliga1554
    @alfredsaliga15546 ай бұрын

    Ila dotto aisee nimecheka kufa

  • @user-me7lg1dk4f
    @user-me7lg1dk4f6 ай бұрын

    Jamani mbona wanawake mnajiaibisha kuvaa nguo hazieleweki muogopeni mungu jrhanamu ipo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9556 ай бұрын

    Waislam weng wamekumbwa napepo laushetani

  • @clodoaldusrutakangwa2702
    @clodoaldusrutakangwa27026 ай бұрын

    Kuna mwamba amekaa hapo cjuh anawaza nn?? 😂😂🙌

  • @saidulaya7308
    @saidulaya73086 ай бұрын

    SAVE THE DATE NA MILLION 50 NA HAPA IPO🔫🔫

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim76166 ай бұрын

    Nani kaskia bugati akibanja na akameza 🤣🤣

  • @swaumsalim470

    @swaumsalim470

    6 ай бұрын

    Hahaha

  • @majidfrolian4904

    @majidfrolian4904

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 mimi hapa

  • @majidfrolian4904

    @majidfrolian4904

    6 ай бұрын

    Atakuwa anakula mafegi sana

  • @AnnoyedBackgammon-hw4vr

    @AnnoyedBackgammon-hw4vr

    6 ай бұрын

    We jau

  • @Kaweza-mu6hy
    @Kaweza-mu6hy6 ай бұрын

    Akikuacha umtukie nyimbo

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai11406 ай бұрын

    Mtu lazima aibiwe

  • @uwimana6533
    @uwimana65336 ай бұрын

    Bongo kunavituko 😂😂

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif94656 ай бұрын

    demu mwenywe vituko wallahi😢

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc6 ай бұрын

    Dotto kha jaman 😅😅😅

  • @hajisimaikhatib9002
    @hajisimaikhatib90026 ай бұрын

    Muogope mungu manara haramu hizo

  • @khadejakhadeja9713

    @khadejakhadeja9713

    5 ай бұрын

    Kahalalisha hajakaa.nae.kimada.au kumzalisha.na.kukimbia.hiyo.ndio haramu 😂😂😂😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda46196 ай бұрын

    Dotto 😆🤣😆🤣

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g6 ай бұрын

    😅😅😅mbavu

  • @user-ht6wt6kt5f
    @user-ht6wt6kt5f6 ай бұрын

    Huyu mzee atakufa vibaya nyie wanawake hawaa ayaa

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y6 ай бұрын

    IITWE HM TOWN LABEL au HM LABEL

  • @kensonyjulius5691
    @kensonyjulius56916 ай бұрын

    Huyo mchumba mwenyewe kitumbo kama kashiba mbuzi

  • @user-zv2ng6ov2k
    @user-zv2ng6ov2k6 ай бұрын

    naitajinisikiye nyimbo yamillion 50 inaitwaje?

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9556 ай бұрын

    Doto kujidai muislam kumbe anapalilia zinaa

  • @aminajuma1156
    @aminajuma11566 ай бұрын

    Doto😂😂😂

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka25896 ай бұрын

    Twiga imepanda sana kwa style ile nyingi Manara lazima upange tofali au stool ili ufikie utamu ulipo

  • @cyubahiroclement191

    @cyubahiroclement191

    6 ай бұрын

    Hhhh we msenge tu hhhh

  • @tigejuma9865
    @tigejuma98656 ай бұрын

    Dotto yye hucheza ata bila beat cku zote.... interviews zake zote ata akiwa field yye hucheza kichwa ....😅

  • @BerthaModest

    @BerthaModest

    6 ай бұрын

    Unamjua uyu ww😂😂😂 muhm kacheza zake tu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9556 ай бұрын

    Ikitokea mmoja kafa nini anaenda kumueleza mola wetu

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu95706 ай бұрын

    Nandy anajua kuliko zuchu

  • @ZaharaZuch
    @ZaharaZuch6 ай бұрын

    Mwishee apewe eshima yake ila wewe IQ yko ndogo uwezi kua Birrionea penda chakwenu acha fitnaa

  • @anthonylugoi6269
    @anthonylugoi62696 ай бұрын

    Dotto is kill them Bro 😅😅

  • @user-on9op1yh6x
    @user-on9op1yh6x6 ай бұрын

    Kulwa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian9556 ай бұрын

    Masikini roho zenu hamjui mtendalo

  • @marthageorge5043
    @marthageorge50436 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😊😊

  • @dktsaidpatrickmwankunja9647
    @dktsaidpatrickmwankunja96476 ай бұрын

    Congratulations nandy❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

Келесі