GNAKO : DIAMOND PLATNUMZ NI MSANII MKUBWA DUNIANI, TANZANIA WANAMCHUKULIA POA
Ойын-сауық
#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #ProfessorJay #VanessaMdee
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
Пікірлер: 63
G waaara, chuga standar up, namkubali sana mwamba❤
@georgejohny6422
7 ай бұрын
Eee yuko vzuri
nice work
🔥🔥👍
💯💯💯
Kubwa hii
Jamaa smart sanaa kichwani safi🔥🙌
Diamond in the world 🔥🔥🔥
👊✌️👍.
True man
Diamond platnumz 💥 💥 💥
Wara Wara Unajuw Mpak Unakera🎉🎉🎉
Diamond atabaki yy tu forever and ever
Waraaaaaa
JAMANI IYOGOMA UKU KUETU NDIO NAMBA MOJA YANI KILA MTA KOMANDO KOMANDO🇲🇿🇲
Waraaaaa
Kwel
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama hutaki kukubari ukwer bas piten iv
waaraaaaa!!
Ila hiyo issue ya MAJI hata mm siipendi kupita maelezo!!!
Ila kweli kutoa collabo na Simba kuna raha yake daa❤❤
Mond iz bg
Kashaanza mdomo kawimbo kamoja ka kipensi
Waraaaaaaaaaaaaaah
Sema waraaa waraaa umeuaaa kwenye komando
"Duniani" acha uchawa we @Gnako
@jemaarsen6996
6 ай бұрын
Chuki binafsi ndio zinakufanya uone kuwa kumsifia mtu kafanikiwa umuite chawa
@jemaarsen6996
6 ай бұрын
Utafikiri mondi anaishi kuzimuni nawakati yupo duniani. sijui ulitaka asemeje?
Wewe je msanii upo tiro au ndio kujipendekeza Tu duniani wakati nchi kibao hazimjuwi nyimbo zake
@afrikanavoice8621
6 ай бұрын
Utakua Kwa kuchelewa uendelee kuteseka
Kiukweli huyo dogo alie vaa nguo za blue huwa hajui kuuliza wa sanii
Kiufupi mashabiki wakibongo Huwa hajielewi ndomana wanamwagiwa maji
Yeye kaenda lini Duniani?? 😂😂😂
Ili tukuone kama wewe mkubwa andaa shoo yako peke yako alafu tuone itakuwaje
@hamzamohammed2535
7 ай бұрын
Diamond kafanya marangapi hivo. Au chuki tu
@MusicChallenges961
7 ай бұрын
Kwani mbona Diamond kaandaa nyingi tu au muziki umeanza kufatilia jana
@peterreuben7510
7 ай бұрын
Hufatili mziki ww
@LenatusPosiano-hi7tk
7 ай бұрын
WWE umezaliwa lini ndugu au ndo umedandia gari Kwa mbele
@mcno1noah
7 ай бұрын
Yaan wanadamu Wana Mambo ya wivu
Wewe unaijua dunia yote wacha utimu
@georgejohny6422
7 ай бұрын
😂😂dunia tena duh!! Amepitiliza simba sawa n mkalii ila so dunia
@AngelmackieCharity
7 ай бұрын
Bila uchawa atakupa wap.. Nayy maisha Hana keisha kbs
@user-vz4xj2ci2w
6 ай бұрын
jua kuandika kwanza ndo udiss@@AngelmackieCharity
Wee gnako acha kushobokea wanaume wenzako ww,,,aty diamond yuwajulikana dunia nzima wajua dunia ama waskia
@alkhudhertarek976
7 ай бұрын
Jifunze kiswahili kwanza😂😂😂
@mamboshepea8888
6 ай бұрын
@@alkhudhertarek976 😂😂😂
Moja kati ya msanii mkubwa duniani😂,aiseee hii chumvi ya hapa chakula hakiliki. Diamond ni msanii mkubwa Tanzania na East Africa kwa Africa yupo kwenye orodha but siyo top 10,ila kidunia tusidanganyane😂😂😂
@sjfamily8121
7 ай бұрын
Ushawai kusafiri inch ngapi dogo? Ju kitambo uwongelee mtu ni hadi passport yako iwe imechafuka, na unavyo onekana tu huna hata mfano wa passport
@djhdscratchmaster4110
7 ай бұрын
@@sjfamily8121 CCM wanachagua chama, hawachagui mtu bora,as long as ni CCM basi utapewa kura. Ndio sawa nawewe sasa,kisa ni mshabiki wa msanii fulani,watu wakasema ukweli unakuwa hutaki kwakuwa wewe ni ndio kila kitu as long as ni msanii unayempenda. Wtf
@IbrahDeDonny-lv2lo
6 ай бұрын
@@djhdscratchmaster4110xxa ww unaujua ukwel gani mbali na chuki tu moyoni mwako, mbwa ww, Shubasted
@georgemhalla8853
6 ай бұрын
Kenge wew, kwa hiyo diamond hayupo 10 ten Africa???? Basi uwe wew top ten.
@djhdscratchmaster4110
6 ай бұрын
@@georgemhalla8853 unahisi Africa ni Uganda,Kenya na Tanzania siyo. Wasanii wakubwa Africa top 10 hayupo. Umeshindwa tofautisha kati ya trending na ukubwa, Mond ni mkubwa kwa East Africa na Africa pia but siyo top ten kwa Africa. Wanaigeria pekee wanaweza kaa top 10 na huyo msanii wako asiwemo, tumia akili kabla ya kukurupuka
Ndo maana konde atabaki kuwa tembo naona mumeungana diamond Hana ukubwa wowote tofauti na kiki
@alkhudhertarek976
7 ай бұрын
😂😂😂huna ukubwa ww na bichwa lako lilojaaa makamasi
@sulleymernmannarah7930
6 ай бұрын
Xx hyo Konde ndio Nan mbn mnapenda kumvimbisha m2 kichwa ...yule Bado mdgo xna alaf kfny kollabo kubw ipi duniania au Africa
@mbezzoprince9462
6 ай бұрын
Ukitaka kujua Simba nimkubwa yendo alifanya mpaka sasa washabikia konde mbwa wew
Aandae show uko duniani alafu tuache kumchukulia poah uyo copy machine