LUKAMBA : DIAMOND PLATNUMZ, SIWEZI KUOMBA MSAMAHA / NILISHTAKIWA MAHAKAMANI KUTISHIA KUUA MTU

Ойын-сауық

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 29

  • @ISSACCECYTIN
    @ISSACCECYTIN7 ай бұрын

    Hakuna jipya hapo studioo alafuu acheni kumchimba mtu ila kutafta ubaya wa mtuu yani lengo mna taka mondi aseme kitu sasa na mondi siku izi ame kua hataki kumpa mtu kiki. Daaaaaa tenda wema uwende zako. Mimi lukamba nime kuja kumtambua wcb

  • @faidhacute
    @faidhacute7 ай бұрын

    Wakwanza nipeni like za kutosha

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma77647 ай бұрын

    Time will tell bro. Muda utafika utakua unakumbia hizi interviews trust me

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif94657 ай бұрын

    mimi nilimjua huyu dogo kupitia diamond,siku akipewa kagari akitoa machozii leo hii anaongea vibaya 😂

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    7 ай бұрын

    Aiseee daah😢😢😢

  • @usherguillain8032
    @usherguillain80327 ай бұрын

    Iyi media waki alika msani mpaka wamseme diamond platnumz euh muna kera sana

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    7 ай бұрын

    Unataka wamseme babaako?

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    7 ай бұрын

    ​@@victaboy7273mama yako

  • @jumamboga9652

    @jumamboga9652

    7 ай бұрын

    Sio lazima wamtaje wanatafuta watu ambao kuna conflicts na diamond au walio toka sio kumtaja diamond rekebisha kiswahili

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    7 ай бұрын

    @@jumamboga9652 mwambie

  • @pewex40
    @pewex407 ай бұрын

    Chunga sana bro majivuno ni sumu kwa maisha ya usoni

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369

    @binaljabirmshihirzanzibar8369

    7 ай бұрын

    Upo sahihi maneno yako

  • @kenrifambi
    @kenrifambi7 ай бұрын

    This Lukamba guy is so ungrateful. Yaani anasema anaregret kufani kazi Wasafi na kila mtu anamjua juu juu ya Wasafi.

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    7 ай бұрын

    Binadam bwana😮

  • @fahadbabuy

    @fahadbabuy

    7 ай бұрын

    Kuwa na heshima na maamuzi ya mtu!! Usione ukadhani

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    7 ай бұрын

    ​@@fahadbabuyacha hizo unajua wangapi wapo barabarani hawajui wafike je hapo alipo Lukamba na ni wakali zaidi ya lukamba kwa photo shoot

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no7 ай бұрын

    Yaani watoto wa kiswahili wapumbavu saana yaani hivi ndo unajiona kama una ideas za kutoboa pasipo kusaidiwa na Diamond? Unawajua wangapi mlikuwa wote kipindi kile hujawa na Simba mpaka sasa bado wapo mtaani hata hawajui watoboe vipi?? Duuh yaani ngoja tukujie huko IG mpumbavu, umepewa Alteza ukatoa machozi leo hii unatoa matamshi hayo? Daah😢😢

  • @BakariIddy-hh8nm
    @BakariIddy-hh8nm7 ай бұрын

    Iki kipindi kibovo hamna chamana chochote wanachotanga kazi Yao majungu tu na kumponda diamondi

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    7 ай бұрын

    Kipindi si kibovu ni hawa wasanii kila kukicha ni kumsema diamond...kweli ni simbaaaaa...kila anaeongea diamond mwenyewe anaendelea kukusanya maokoto😆😆

  • @user-mt5qu8lu7c
    @user-mt5qu8lu7c7 ай бұрын

    Ulikuwa mupinga picha kwani ulikuwa mutu wa atari

  • @BakariIddy-hh8nm
    @BakariIddy-hh8nm7 ай бұрын

    Aka kajamaa nakaona kama kashoga furan maneno yake kama choko vire

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe51757 ай бұрын

    😂😂😂😂 maisha

  • @mwamikajibwami8424
    @mwamikajibwami84247 ай бұрын

    Uyu naye ni nani ??

  • @fadhilidoza5639
    @fadhilidoza56397 ай бұрын

    Nimemsikiliza huyu dogo nimegundua hii dunia c ya kusaidia mtu

  • @farajamnyeda9039
    @farajamnyeda90397 ай бұрын

    T bway kazeeeka

  • @stanastana3199
    @stanastana31997 ай бұрын

    Nkt ngoma zipi umeimba?

  • @jocelyneliaminarukundo3633
    @jocelyneliaminarukundo36337 ай бұрын

    😂😂😂

  • @himidiwekabuje8402
    @himidiwekabuje84027 ай бұрын

    😂

  • @BakariIddy-hh8nm
    @BakariIddy-hh8nm7 ай бұрын

    Kipindi kizima mnachamba tu na kuchekacheka tu

Келесі