GARA B AMUONYA MAMA | ASUSA SHOW | SIPANGIWI CHAKUFANYA | LULU DIVA | HUNA MAMLAKA | MAMA HAMTAKI
Ойын-сауық
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Пікірлер: 214
Lulu diva utake usitake umekosea sana kwa kukosa kuwa na msimamo wa kipindi. Na nimechukizwa sana na maneno uliyomwambia Garab. Ila nimependa Garab umeamua uamuzi wa kiume. Big Up broo
Gara B Yuko sawa . Maamuzi ya Binti akiingia kwenye show ni tofauti sana .
gara B upo sahihi kaka
Sio kwa ubaya lakinii huyu mama kazingua sana
@user-bg9zd1ro4x
Ай бұрын
Zaidi bro
Gara B uko sahihi kwa hili
Huyo mama bado anaishi kikoloni sana
We are watching the show because of Mr Gara b wee lulu na huyo mwenzako mtajitazama wenyew . na hiyo show bila gara b ni sawa na buree
Kiukweki tunaeshim wazazi. Ila kwa ilo swala apana. Na hao wakina lulu wanafanya makosa makubwa sana kumuvuwa vyeo Gara B.mbele yawatu
@johasaeed391
Ай бұрын
Kabisa huyo mzee anajizalilisha
Mambo ya kuchaguliyana wachumba ni ya kizamani gara b upo sahihi
@lisagwandumi
Ай бұрын
zamani sana na kwann aende na mzazi wake akati moyo ni wake😂😂
Maza msenge sana mimaza kama hiii ndo ile inabomoa miji ya watoto wao mamuzi ya gara B nimeyakubali sana mno safi brother uwo ndo wanaume sio kuendeshw kisenge
@user-vk1ph3xv6g
Ай бұрын
Asante
@Lulucut
Ай бұрын
😂😂😂
@lightnessmathiasmsoffe2655
Ай бұрын
Yan lulu diva mshenz anajipendekeza tu
@chibubinladen7115
Ай бұрын
Diva hata hamnazo coz anachokisema n pointless angalau aliyah bint ndio mtoa maamuz mzaz ana bark tu
GARAB u did the right thing.kwanza mambo ya kuchaguliwa wanaume mpk leo yapo??%nijichekee mie.Nashukuru wangu nilimchagua mwenyewe. Na this show itakuwa nonsense kama wazazi ndo wanakuja kuchagua wachumba kwani mzazi ndo anaenda olewa???
Lulu diva kua na nidhamu bc sijapenda kabisa kumjibu ivyo b hapo ampo juakali sawa lulu muombe msamaa brother b
Upuzi sana. Hadi kutongoza mama anatakiwa kuwepo jamani dunia inaelekea wapi
Gara B yuko right...do not allow wazazi kuja kwa show next time lasivyo show itapoteza mvuto
Yote haya kasababisha mama jinga kwel
Nakupongeza sana dactar, unaheshimu moyo na matakwa ya Mungu. Wazazi ndio kila kitu maishani, ukitaka kufanikiwa pata baraka za wazazi. Na ukitaka kufeli, pia chaguo ni lako. Hii show Sio sehemu ya kujiuza, au kujifurahisha tu, bali ni malengo ya kuwasaidia kweli vijana. Hivyo kamwe msiruhusu mtu achukuliwe na mtu asiyejitambua.❤️🙏🏿
@Mudathir-tx1md
Ай бұрын
Unaongea ujinga tyu na ww😂
Mama anataka awe anashea mapenzi
Mm simpelek mwanangu kwenye umalaya kama huo kama Mungu kamuandikia kupata mume n huko watakapokutana iwe kilabun iwe kanisani sio hvyo n kujidhalilisha
Mwanaume na maamuzi ya kiume......Big Up Garab
Garab Wewe ni mwanaume tena Upo sahihi mambo yakuwaleta mama zawo hapo yafe kama anamchagulia Binti yake mwanaume kwa nini waje hapo asimtafutiye nje huku Sijapenda hata kidogo 😡
gara B yupo sahih sana asa mama si asubr home aletewe mkwe jamn kwenda kumchagulia mwanae ndio nin au ye alichaguliwaa na lulu ujafanya vzr kabsaa nakukubalig ila leo hapana upo wrong maan hutobaki na huyo mama hapo
Sema kulichangamka,pole gara B sidhan kam kutakua na mtu kama ww
Mm mzazi haezi nitafutia mchumba,huku Kenya labda tuko tofauti
Lulu umezingua sana kwanza imekuwa mzazi anakuja kumchagua mkamwana? Basi kama anaweza kumchagulia wa kumuoa wasingefika hata kwenye shoo. Akamtafutie mtaani khaaaa!!!
Mama kazingua pakubwa but luludiva nae amezingua zaid sijapenda hyo majbu kwa GaraB
Kivumbi kivumbi mhhhhh haya makubwa sasa huyo kaka anamuoa na mama Agness au anamuoa Agnes tu makubwa, GaraB upooo sahihi 🎉🎉🎉
Huyoo mama naye akatobwee huko asituharibie show
Yan uyo mam anaacha mme wake hom anakufa barid anakuja mr right kumchagulia mtu mume nimelia san sorry Grab but umeonyesha wanaume tunapaswa kuwaje 🫡👏
@pamelafelix6361
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Mama nae anataka mwanaume siyo bure,huwezi kujidhalilisha namna hiyo
Nawaza tu lulu diva na gara B mbona kama mnajibizana vibaya jua kali series yetu itakuaje 😮😮
@user-zi1or6xh2w
Ай бұрын
😂 umfika upande wapili
Ani apo ata c elew ,bt baraka za wazazi zinahusika sana kwa maisha yetu ya ndoa,bt kwa utaratibu mzuri na c huo wa kujiuza huko,mama umejiaibisha mwonekano na matendo tofauti
Sas garab akiondoka hapo mnafikiri mtajiweza na likipindi lenu hilo 😂😂😂
Iyo ndio shida kufanya kazi na wanamke tu eti ni watu nanusu ila uko kichwa lazima wakuheshimu kweli hawana heshima leo nisiku mbaya kwako garab tulia tu tutawapa fuzo hao ❤😂😮😊
Kyoma safi sana wazazi wasituaribia kipindi wakati wao ushapita maamuzi ya kiume hayo waache watoto wachague wenyewe ndoa nyingi azifiki mbali sababu ya wazazi kuangalia maslahi kwa watoto wao ovyo sana mama kazingua
Hii kali 😂😂😂😂😂 mama alikua ni angalie mwenye atachaguliwa akubali huyo tuu
Duuuh jaman kumbe bado Kuna kuchaguliwa mwanaume hahahaa
Kun wamama nikama mama Mkwe wa BARNABA hhhhha mwanao atongozwe From A too Z unasikiliza mistali afu ndiyo au apana anaye sema ni mzazi au mama mwenyewe kwahiyo atakufanya mapenzi itakuwa nikukadiriana penzi letu, hizo siyo tamaduni ni kam Matusi yakujitakia
Daaah sio poa b mkubw amezngua 2
Katika show mbovu ni hii Apa imeingiliwa watazamaji hatujapendezwa na lulu kumsaport mama syo sahihi Ata kidgoooo
Angeenda uko wanapo jiuza akamchagulie senge sana Sila sijapenda lulu diva kama anajionaa Sanaa etie
Mama amezingua
Jamani nahuyo mama nayeye anamambo sibure ni mama wema
Big up gara B
Hakuna aliye kosea, Hakuna mzazi asipenda mafanikio mazuri kwa mwanaye. Hivyo mtoto amemwelewa mzazi na kufanya maamuzi sahihii. Kama ingetokea mtoto amemwelewa huyo kijana, bado hata Kama mama angekataa, yeye angekubali na kumshawishi mzazi wake. Hivyo hatuna haja ya kulaumu, dr. Alikuwa sahihii sana, na pia garabii alitamani mr.right apate mtu. Mwisho Wa siku lazima mmoja wao angekubali kushuka, ili kumaliza ugovi.❤ Hii ni challenge nzuri, watapatana tu wenyewe ❤. Kazi iendelee.
Koo mama nae kajibeba kwenda uko khaaaa😮
Uyo mama mujuaji
Mama kaboaaaaa balaaa
daah lulu huna akili ww huoni hata ss watazamaji tumekereka na mamuzi yako ss basi. KAKE GARA B upo sahh sana one love for this
Uyo lulu div kama msenge iv anajielewa kweli
Hiii sio haki kabisaaa wazazi tunawapenda but kwa kipengere cha kunitafutia mume au mkee hapan kwakweli GaraB yuko correct kabisaa
Lulu diva yuko sahihi, Tena huyu lulu diva ana chembe za dini, katika swala la ndoa wazaz ni viungo muhimu sana, mzazi ndo kamlea huyo bint anajua madhaifu ya bint yake na mapungufu, mema na mazur yake, mzaz anajua ni mume gan atamfaa mwanae. Huwez kumdharau mzaz na kusema hana nafas, SHIKA ADABU YAKO WEWE. halafu maisha ya ndoa kuna furaha na misukosuko , je mkipatwa na misukosuko mtarud wap na mliwadharau wazaz, halafu nikuambien kitu, ndoa haiwez kuwa na baraka kama wazaz wamenyongeka.hususan mzaz mama, muogopen sana mzaz mama, msijitie dharau hapa saiz ohooo,!! hiyo ndoa haitakua na furaha mtakoma.. Halafu pia wanawake si wengi tu, iv kunafaida gan kung'ang'ania mtoto wa mtu wakat wazaz wake hawakutak.
@MariaSalus
Ай бұрын
Hata dini anaulizwa binti na kijana,siyo mzazi,ndiyo ni za wanaooana,siyo za watazamaji na mzazi,drt. Umemkosea Gar.B
@lisagwandumi
Ай бұрын
sasa kama yuko sahihi kulikuwa na haja gani hao mrs right kuenda apo kwenye show bila wazazi wao na just assume kama kila mtu angeenda na mzazi wake nini kingetokea??? wazazi ndio ni viungo muhimu sana ila katika sehemu kama hizo waache watoto huru si wamewaruhusu waende uko kutafuta basi wasubiri watakacholetewa😁😁😁😁😁😁
Lulu diva kanajiona kama kanamuweza GaraB hv 😂 kashamba sana haya endesheni kipindi wenyew madem ss
Asee lulu sijapenda ulipokuwa 😢 unamujib GaraB
Gara b yupo serious na kazi hawa malaya wanajua wanaigiza tamthilia ya mapenzi😏😏😏
Kwani huyo mama kafata nini 😂huko kwa show ya vijana
Kama kunawazi wapo bado mda huu wa kuchagulia wapenzi watoto wao aiseee huwo ni ujinga na uswahili mtu kwanza wanajizalilisha pili anaonekana mtot wake hana soko mpaka anajitangaza imeisha hiyo 😂😂😂😂😂😂
Jaman jamani jicho la mama linaona mbali sana hivyo asilaumiwe sana juu ya maamuzi yake kwa mwanae Ila mungu ampe hekima yeye na mwanae atapata mchumba mwema Tu tena akiwa nyumbani
GRB yuko sahihi jamn, wazazi wanafanya nn hapa
huyu lulu bana mbishi hee
Mama mzima unakuja kuangalia binti yako akijiuza kama nyanya za sokoni
@user-nz8hl2rh6k
Ай бұрын
Yaan mama hana aibu kbs
Me kama me chakusema kuwa Ifatwe sheriya mliyoiweka na kanuni zake ingekuwa hayupo Mzazi lulu biva ungemsema sana uyomrembo na gara B Yuko sahihi na kazi yake Ila mliyobakiya mmeharibukipindi Maana huyo mama Alikuwa hapaswi kusema chochote kile kuhusu changuwo La mtoto wake mpaka angekwenda juposa hapo Mzazi angemkubali ama kumkataa hiki ni kipindi Brother gara B yupo makini Na kazi hana kona kona
Maza anazingua asiingilie maisha ya watoto wake
Gara B. Naomba namba zako plz
Lulu diva naho kademu kenzako nawashauri muombe msamaha garabii mumemdharirisha sana tena garabii yuko sahihi kwahico anachozungumza mzazi hatakiwi kuingilia penzi la mwanae
Huyu mama kavuruga sana show Mimi nadhani utaratibu ubadilishwe wazazi wasiruhusiwe Gara B uko sahihi ikibidi huyo dada asirudishwe Kwa podium
Aibu na pia niombe uongoz mzima uwakanye wadada waenda kipind hawana adabu kbs kipind co kibaya ila lulu umekishusha leo sn sn mama na wanae wangeondoka akaandike bango kwake wanaume waende kwake ili awatizame vizur na awachagulie vzr,huenda naye kuna atakacho pata co kwa kuchagua chaguo lake hivo,wamama wa hiv kumbe wapo mmmh aibu sn
Huyo lulu diva mbna ana mambo ya kizamani
Ata hivyo gara b katumia busara kajishusha sana yy ndo kiongozi why nibashane nanyinyi 😂😂
Kipind hik kimeanza kuboa naomba mjiangalie up ya achen upuuz
Jamani majaji mnamidomo sana mpaka kero
Anachoogopa mama ni nini mwanae kuchezewa au anabikra anamlindia😂😂😂mn kama Mr right ni muongo c ataachana nae jmn
Gara plz heshimuni wazazi na pia msichana mwenywe amekubali ombi la mama so sioni shida hapo acheni hasira nyinyi ni wakubwa na mnategemewa
Startimes jifikilieni kama Gara B hayupo mtaangalia show wenyewe na hayo makina lulu
Lulu diva na alyaaa mimi nimewaelewa kwa tofauti, so kama wako pamoja na mama ila walishaona tempa ya mama na misimamo yake yakizamani hata wangesema nini asingeweza kubadlsha mtazamo wake wako pamoja na gara b ila walchkua wanafanya nkumsitiri mama, mana garab alkua anaenda mbali zaidi kama wote wangesimama na garab ingekua mbaya sana kwa huyo mschana mwenye mzazi wake apo mbele na hata wengne
Ukute hapo huyo maza anataka achague mkwe wa kuja kumkwea baadae 😂
Agnes angetolewa stage na mamake
Wa kina mama wa nini mnaharibu shoo afu Gara B yuko sahihi
@lisagwandumi
Ай бұрын
Gara B anafata protocal za kazi wala hajakosea🎉
Aisee maswala yamahusiano nawazazi ni chanya na hasi. Mama anakosea kumchagulia mtt mume kwasababu huyu mume haendi kuwatumia wote mtt na mama anaenda kuolewa mtt pekeake mama anamtaka mwananume anaemtaka kwamatumizi yapi kwakwe wakati hy ni furaha ya mtt
Gara b is right mama Agnes akustaili kutumia neno lolote au kumkonyeza mwanae kwa ahina yoyote Bali ange kuwa hapo kushuhudia chaguo la mwanae maana mwisho wa siku watawahacha wazazi wao na kuambatana wao wili (2) Mr right and Mrs right
Huyu mama veeep jmn!!! Kwani mama ndo anaishi na huyo bwana jmn daaa!!! Wa mama wa ivi jmn nilijua walisha kufaga kumbe wengine bd wapo?
Wew lulu unachukiza sana
Uyo mama nae kanaenda kufanya nini hapoo
Jaman mm namumba eliza apo kwanz nawe lulu diva acha zako ww nani anakuchagulia mme na umama huo bana umeboa sana ka b upo sahih sana
Kaah Lulu Kazingua dactar Gan mpuuzii all In all kwenye ndoa huend kuishi na mzazi wako usije ukamuacha mtu unaempend kisa mama amtaki anakuchagulia anaemtaka yy utaumia sana
Yote kwa yote Niwapongeze kwa kazi Nzuri wanayofanya, Ila kwa mzazi kama mzazi bhana Daah Si kweli
Apana grb yupo sahihi jamani ila mama kakosea sana hawezi kumpanga au kuchaguamwanamke au mwanaume anayemtaka, mwisho wasiku wakioana wanaenda kuishi wao na sio na wazazi hii mtafanya watoto waishi na watu wasio wapenda, na ninani karuhusu wazazi waje apo bana msituchanganye sisi watizamaji, grb sio kama kakataa heshima ya wa zazi ila kumchagulia mtu wakuishi nae iyo sio sahihi.
Gara b yupo sahihi mzazi anamuharibia maisha mwanae anachosema mzazi akina maana sio show ya wazazi hiyo
Huyo mama kaja kufanya nn hapo sas Haina aja ya Agnes kuwa hapo mama ake amchukue akamtafutie mwanamme huko nje wasituchefue sis uyo mam n atoke hapo
Wazazi wasiruhusiwe show itakuwa haina mvuto tena
Huyu lulu anapaswa kupigwa makofi coz anadhani Gara B ni mwanamke mwenzie
Kama n hivi😮😮😮😮😮😮
Inauma hyooo
Daktar wa nyoko, mbona tangu mwanzo show inaendeshwa bila wazazi na mambo yananyooka tuu Mxeeeeu
@jackrinedugange2888
Ай бұрын
Kaboa sana et daktar duh
Lulu diva acha kusapoti ujinga ka garab upo sahihi sana
Garab yoko right
Ukisikia mwanamke ni mtu na nusu 😅😅😅 hiv hiyo nusu nyie uwa mnaichukukuliaje
Wanawake punguzeni midomo 😅khaa gara b alikuwa anasema ukwel lakini😢
Huyu mama kaja kutuharibia shoo yetu
Iyo sisawakabisa maana mahusiano ni hisia kwani mama alipokujakuolewa na baba agnes alichaguliwa na wazazi wake ?? Na agnes amekataa kwasababu ya wazazi ila mnamkosea
Gar b yupo sahihi