VITUKO VYA RC CHALAMILA AKICHEZA SEBENE LA HARMONIZE MBELE YA RAIS SAMIA

Пікірлер: 55

  • @user-rh5yn3bc1o
    @user-rh5yn3bc1oАй бұрын

    Asante Harmonize kutengeneza POLITICAL ANTHEMS...Huu ndo msimu wake....tumia fursa.

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428Ай бұрын

    Wow ❤ fantastic

  • @Maryc2G
    @Maryc2GАй бұрын

    Homonize never disappoints, anatekeleza mama.🧓

  • @Maryc2G
    @Maryc2GАй бұрын

    Homonize you’re creative congratulations 🎈🎉🍾

  • @shizmansamuel022
    @shizmansamuel022Ай бұрын

    Harmo itafika muda hizi ngoma zako utakuwa unasikiliza geto kwako naona ni siasa za uchaa tuu😢😢

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    Acha ujinga wewe

  • @JIWE-G-UNIT

    @JIWE-G-UNIT

    Ай бұрын

    Nyimbo ya kampeni hiyo wewe upo wapi wewe????

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    Ай бұрын

    Njia ya kuingilia Ubunge hiyo Harmo sio mjinga utaskia Kawa Mbunge wa jimboni kwako

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    @@jaffjeff6912 nakumbuka magu aliongea ilo neno

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    Ай бұрын

    @@Mumewangundoivo platform

  • @IsayaIsaya-sy6jj
    @IsayaIsaya-sy6jjАй бұрын

    😂😂😂😂😂😂 nacheka kwa huzuni

  • @HassaniMbaruku-jn2mc
    @HassaniMbaruku-jn2mcАй бұрын

    Hongeri Sana Harmonica Kwa song tamu,mama mtu na nusu

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394Ай бұрын

    😂😂😂 itoshe kusema hii ndo album mbovu tz

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    Ай бұрын

    Mbunge wa baadae huyo kalenga mbali mama hawez kumtupa

  • @mfundiko
    @mfundikoАй бұрын

    ❤❤❤❤

  • @AgnesJohn-cx2hy
    @AgnesJohn-cx2hyАй бұрын

    Nimezipenda nyimbo nanimezielewa

  • @hadija846
    @hadija846Ай бұрын

    🎉❤Pamoja sana Harmonize 🎉❤

  • @olivajohn9301
    @olivajohn9301Ай бұрын

    Sasa umeimba Nini hapo😮

  • @mfundiko
    @mfundikoАй бұрын

    kaz ipo

  • @mfundiko
    @mfundikoАй бұрын

    hahahaaaahaaaaaha

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394Ай бұрын

    Hii inanikumbusha Mobutu alivyo mwambia Franco amtungie nyimbo za kumsifu

  • @hamadiayossy

    @hamadiayossy

    Ай бұрын

    Candidate na bisso

  • @gracekilacy512
    @gracekilacy512Ай бұрын

    Tanzania simama nishuke nimefika niendako

  • @seciliamchalo5627

    @seciliamchalo5627

    Ай бұрын

    Uwii 😂😂 umekosea safar bado kidogo kama miezi 7 hivi

  • @MashaTarimo

    @MashaTarimo

    Ай бұрын

    😂😂😂😂nimechekaaaaa

  • @HAROLDNGAITANILE-sd5pu
    @HAROLDNGAITANILE-sd5puАй бұрын

    Kongole harmonize, mama ni mlezi mwenye huruma

  • @eddakasela
    @eddakaselaАй бұрын

    Kwani akisiliza mwenyewe Kuna shida gani mpaka utukane

  • @user-ve7ig7qu1u
    @user-ve7ig7qu1uАй бұрын

    Mwambaaa???? Nani hyo ovyooooo

  • @HassanCastory
    @HassanCastoryАй бұрын

    Nilikua nakukubali sana ilaa leo ndio nimejua kua wew ni msenge utasikiliza nyimbo zako na push

  • @emmanuelnyina1789
    @emmanuelnyina1789Ай бұрын

    Mi naona hii album alipewa hela amuimbie rais tyuuu ila hakuna kingine na kama ni yeye ameamua kuleta uchawa na mpenda sifa kaitika duuuuh but hakuna cha maana hapo coz hawez uza au kuwa nominees wa MTV, au AFRIMA au GRAMY awards na nyimbo za kampen

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9fАй бұрын

    Umelpw kw ajl ya kamp3n nn

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792Ай бұрын

    Kama amekubaliwa na watu wa heshima hivi basi aache upumbavu mitandaoni

  • @Mutako-ig1ik
    @Mutako-ig1ikАй бұрын

    Sjaona ulicho kifanya hivi huyu kakosq cha kuimba siku hizi unaimba upuuzi mtupu.alafu unajiona umeuwa kumbe umenyea jukwaa

  • @AllyRumela-cg2qu
    @AllyRumela-cg2quАй бұрын

    Telekeza ya Nyoko

  • @mwakimedia291
    @mwakimedia291Ай бұрын

    Hii nchi ngumu😭😭😭

  • @YusufDuale-eq4kl

    @YusufDuale-eq4kl

    Ай бұрын

    Kweli kbsa kk

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Ай бұрын

    Nenda katika nchi laini Congo, somalia Rwanda na Burundi

  • @jdanny497

    @jdanny497

    Ай бұрын

    Aisee nchi ngumu sana daah

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3yАй бұрын

    Sasa katekeleza lipi na Toka aingie madarakani ni kipi ambacho kafanya kama sio kukopa pesa nje matrilioni na kuuza bandari zetu na misitu kwa waarabu halafu Rais anajipaka makeup hivyo jamani Duuuh ni hatari kweli kuongozwa na Rais mwanamke

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    Ай бұрын

    Hutoona mpaka aliondoka madarakani

  • @salummahanzar6714

    @salummahanzar6714

    Ай бұрын

    Ww hujawahi kukopa acheni ungese

  • @user-is7yv7wy5w

    @user-is7yv7wy5w

    Ай бұрын

    Ww nadhan una matatzo iv Kuona auon ata kusikia mamá ametekeleza Kila mahali ndio maana mpaka Sasa unabwatuka tu coz umepewa demokrasia

  • @abuumohamed7090

    @abuumohamed7090

    Ай бұрын

    Una fact gani zaidi ya mihemko yako ndugu yangu.Kuongea saana haimaanishi kuwa ndiyo mkweli

  • @jackmabirangacharles9398

    @jackmabirangacharles9398

    Ай бұрын

    Nitajie Rais Unaye mjua hakopi na mchafu Asiye pendeza mtu anakwenda Bar tu anajiremba ijekuwa Rais asijipende Acheni hizo

  • @hadija846
    @hadija846Ай бұрын

    Munao mkejeri Harmonize wote ni wajinga Harmonize anampongeza Rais wetu wa nchi ya Tanzania nyie wajinga mnamponda mpaka Rais huo ni ujinga muhimu pambania uhame nchi kudadeki❌️

  • @Mustykhan
    @MustykhanАй бұрын

    kzread.info/dash/bejne/mY6TpaquZpTHdLw.htmlsi=VFSUg_THMK-e_OYe Mganga Mwakatobe😂😂

Келесі