pata fursa ya kujifunza juu ya ufugaji wa samaki kutoka kwa wataalamu wa JKT
Жүктеу.....
Пікірлер: 15
@MrErick1000004 жыл бұрын
Nice video 👌 umeuliza maswali ya msingi sana
@anethshio4974 жыл бұрын
Nimeshiba vizuri maelezo.
@amanichanga34485 ай бұрын
Video nzuri,,, Ila hapo kwenye 1sqm unaweka samaki 5 hadi 8 panahitaj maelezo mengine ya kuhusu ujazo[Volume] maana ikiwa ni Area tu ina maana kwa Hilo bwawa la 10x8=80sqm then utapata maximum ya samaki 80×8=640 ambapo hakutakuwa na tija yeyote,,, kwa utafiti wangu duni 1sqm ina uwezo wa kubeba samaki 100 hadi 120, hapo nimechukulia kama maji nayo yatakuwa na kina cha 0.8 to 1m making a Volume of 1000 litres
@valenakomba76864 жыл бұрын
Hiyo ni nzuri kama unafuga samaki Mbegu.
@alexedward77094 жыл бұрын
Asante, Maelezo ni mazuri. Alex / Geita.
@user-vs4iy9vy1tАй бұрын
jambo nikiitaji kupata na kufungiwa vifaa vyote hivyo behi ni ngapi na nikitaji vifungiwe inje ya tanzania kama DRC CONGO
@user-cf3fe3cu8v3 ай бұрын
Nahitaji kujifunza ufugaji wa samak kiundan zaiz kama hutojali mtaalam nisaidie namba yako
@user-tq9if7tx9g9 ай бұрын
nama zenu jamani?
@samirsumary82305 жыл бұрын
Hongera kwa maelezo mazuri
@michaeljoseph9501
5 жыл бұрын
Mnapatkana je mi nipo Kahama
@joelrobert34635 жыл бұрын
Je hii inapatikana hata hapa Dar es Salaam, na nikihitaji ofisi zenu ziko wapi hapa Dar: Joel 0713055258
@mtwarars2464
5 жыл бұрын
Suma JKT wako sehemu nyingi. hapa ilikuwa Uwanja wa Ngongo Lindi yanakofanyika maonesho ya Nanenane. wameweka ofisi zao hapohapo. Kwa Dar wafuatilie Suma JKT.
@petronillajosephat91
Жыл бұрын
@@mtwarars2464 habar .nnaomba mawasiliano ya mtu anaeuza mbegu ya azola umewah kumuhoj
@rahmarahma62594 жыл бұрын
Nahitaji no zenu pls,kwani nawahitaji mje kunijengea, no zng,0717 020 868
@mtwarars2464
4 жыл бұрын
ukiwasiliana na kituo cha Jeshi la kujenga taifa (JKT) popote nchii watakuelekeza kwani wao ndiyo wenye mradi
Пікірлер: 15
Nice video 👌 umeuliza maswali ya msingi sana
Nimeshiba vizuri maelezo.
Video nzuri,,, Ila hapo kwenye 1sqm unaweka samaki 5 hadi 8 panahitaj maelezo mengine ya kuhusu ujazo[Volume] maana ikiwa ni Area tu ina maana kwa Hilo bwawa la 10x8=80sqm then utapata maximum ya samaki 80×8=640 ambapo hakutakuwa na tija yeyote,,, kwa utafiti wangu duni 1sqm ina uwezo wa kubeba samaki 100 hadi 120, hapo nimechukulia kama maji nayo yatakuwa na kina cha 0.8 to 1m making a Volume of 1000 litres
Hiyo ni nzuri kama unafuga samaki Mbegu.
Asante, Maelezo ni mazuri. Alex / Geita.
jambo nikiitaji kupata na kufungiwa vifaa vyote hivyo behi ni ngapi na nikitaji vifungiwe inje ya tanzania kama DRC CONGO
Nahitaji kujifunza ufugaji wa samak kiundan zaiz kama hutojali mtaalam nisaidie namba yako
nama zenu jamani?
Hongera kwa maelezo mazuri
@michaeljoseph9501
5 жыл бұрын
Mnapatkana je mi nipo Kahama
Je hii inapatikana hata hapa Dar es Salaam, na nikihitaji ofisi zenu ziko wapi hapa Dar: Joel 0713055258
@mtwarars2464
5 жыл бұрын
Suma JKT wako sehemu nyingi. hapa ilikuwa Uwanja wa Ngongo Lindi yanakofanyika maonesho ya Nanenane. wameweka ofisi zao hapohapo. Kwa Dar wafuatilie Suma JKT.
@petronillajosephat91
Жыл бұрын
@@mtwarars2464 habar .nnaomba mawasiliano ya mtu anaeuza mbegu ya azola umewah kumuhoj
Nahitaji no zenu pls,kwani nawahitaji mje kunijengea, no zng,0717 020 868
@mtwarars2464
4 жыл бұрын
ukiwasiliana na kituo cha Jeshi la kujenga taifa (JKT) popote nchii watakuelekeza kwani wao ndiyo wenye mradi