KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@fredrickipembe81886 күн бұрын
Hata mimi nipo tayari kuchangia fei toto asajiliwe simba bila kukosa
@lydiathomas29055 күн бұрын
Nipo tayari❤❤❤❤
@AbisinaRashidi-c8d6 күн бұрын
Hata jamsini natoa
@user-rf9vn7lz1n5 күн бұрын
Basi watuchangish sis tutachangia mashabik ambao tunauchung na timu yetu
@adamgwila33956 күн бұрын
Tupo tayari kwa hali na mali Fei atue simba
@SuluG5 күн бұрын
Mimi nipo tayari
@AllyHussein-qc3vm5 күн бұрын
Usajili mmefanya lkn feisal bado anahitajika kuongeza nguvu simba acheni upimbi changisheni arambee tutatoa2
@EmmanuelSaimonmulaga5 күн бұрын
Semaji la cuf tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia hamjuii namna tunavyo umia tunavyo fanya vibaya pia kufungwa na mtani.
@Martingwau5 күн бұрын
Ata me pia natamani iwe ivo ntachangia
@EmmanuelSaimonmulaga5 күн бұрын
Mo Dewiji be serious tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia .msikilize pia mawazo ya mashabiki tukimkosa Feitoto mtakuwa mmetuumiza sana mashabiki wa simba. Mara nyingi semaji la cuf unatupa moyo kwenye issue muhimu afu mambo yanakwenda kombo
@manyerejacobkapongo96635 күн бұрын
Waweke Mkeka tu tupo Tayari
@LetasKomba-br1xh6 күн бұрын
Tuko tiari kuchangia Ili fei aje Simba
@AllyMakata4 күн бұрын
Atamm nko tayari kuchngia
@LetasKomba-br1xh6 күн бұрын
Simba tuosheshe Ukubwa wetu Kwa kumleta Fei toto
@swigamwandumusya64995 күн бұрын
Kama tunahitaji kweli msimu huu kufanya vizuri swala la fei toto kuja simba ni muhimu sana SI Kwa ajili ya kucheza tu, hata ikiingia Kwa mawazo ya wapinzani ni mojawapo ya mapambano ya kuijenga timu, wekeni mkeka tumwage maji tumpate.
@kassimntara69015 күн бұрын
Tupo tàyari kuchanga na apewe mkataba mrefu wa miaka mitatu,huu ndio utakuwavusajili mkubwa na Bora kwa wanasimbavna Tanzania kwa jumla
@WilliamKaponya5 күн бұрын
ata mimi nipo tayali hata saiv
@manyerejacobkapongo96635 күн бұрын
Ahmed Ally siyo kutugombanisha kweli fei tunamhitaji kuchangia mashabiki siyo dhambi hata Manzoki tulimkosa hivi hivi. Tupo Tayari kwa hiyari
@barakakiyalo39003 күн бұрын
Watupe utaratibu tuweke munga hapo tunamtaka feii
@WilliamKaponya5 күн бұрын
tuchange tu nipo tayali 6:28
@user-qw9zu3ly8m6 күн бұрын
Ata mimi nipo tayari kuchangia jamani SIMBA NGUNGU MOJA
@saidikumbi84206 күн бұрын
Pamoja nakua tunawachezaji wanje lakini kiukweli feisal nimuhimu sana kwani atakua mchezaji kiongizi tupeni Namba tuchangie Yuko tayari
@user-de5ph3rs6p6 күн бұрын
Ww unadhani kila mshabiki WA simba na wapenda simba wakiweka elfu moja tu kati ya watu milioni 20 mpaka hapo ni shingi ngapi misitwambie habari hizo mtatukwaza sana
@furika79316 күн бұрын
Hata mimi nitachangia huo usajili wa Feisal
@SuluG5 күн бұрын
Tukoteari
@PatrickGeraldi-wd1er6 күн бұрын
Wafanye haraka kutoa utaratibu tukachange.
@BADAWY5755 күн бұрын
Mimi ni Yanga damu damu .ukweli Fei toto ni wakati wake na ni muhimu kwa taifa na yeye mwenyewe kuweka maisha yake bora .napendelea acheze simba kwa mafanikio yake na historia ya mpira Tanzania nitafurahi lakini Fei mwenyewe tahira hajui kujiuza zumbukuku kama simba wenyewe mazumbukuku
@AllyMakata4 күн бұрын
Mbn wana tuchelwesha toa namba
@nassorseif4045 күн бұрын
Tupo tayari, tupeni account number tuchangie ili Fei toto aje simba
@Vitasafari-hr6ub6 күн бұрын
Kwanza tusicheleweshane tupeni no ya Hela hewani
@JosephmwitaJosephmwita6 күн бұрын
Tupo tayari kuchangia
@MohamediSaidi-hm1hl6 күн бұрын
Namimi nipo tayali
@eliashagai79206 күн бұрын
Wekeni namba ya malipo tuanze asajiliwe Simba
@ManyandaMisomado6 күн бұрын
Tukotayali kuchagia
@kolosii43516 күн бұрын
Hiyo ni mihemuko tu. Mtachangia miezi mingapi??
@ezzepuritykamwene21216 күн бұрын
Tuchange tumchukue,,
@jumanamwasa-iw2zn6 күн бұрын
Tupo tyar tuchange
@athumanmnguruta3386 күн бұрын
KRAMO ABAKI TUONE UWEZO WAKE
@teddysanga18405 күн бұрын
simba wanaota ndoto wajinga tu hawana hela fei hamuwezi kumpata wamesema 13 bilioni
@AllyMakata
4 күн бұрын
Ndio tuko tayari mkeka uanze
@Khalidniya3806 күн бұрын
Tuchange bwana lazima Fei Toto akuje Simba
@SuluG5 күн бұрын
Tukoteari
@kassimntara6901
5 күн бұрын
Viongozi hususani mo mmesajili wachezaji wazuri kweli lkn kumbukeni akina okwa na okra,pia onana je tubahakika Hawa wataingia wengi kwenye timu na kuwa Bora kama walikotoka? Fei anaijua ligi yetu na timu kwa jumla Hana shida ya kuingia kwenye timu.kwa sasa pale mbele kweli kiongozi awe Kibu? Simbezi ila Fei anaweza kuwa mfalme wa timu tukawasahau chama na Luis mara Moja bila kusubiri
@Farida-vg5ry
5 күн бұрын
Wekeni namba kwa haraka basi watu tuko tayari kuchangia
Пікірлер: 45
Hata mimi nipo tayari kuchangia fei toto asajiliwe simba bila kukosa
Nipo tayari❤❤❤❤
Hata jamsini natoa
Basi watuchangish sis tutachangia mashabik ambao tunauchung na timu yetu
Tupo tayari kwa hali na mali Fei atue simba
Mimi nipo tayari
Usajili mmefanya lkn feisal bado anahitajika kuongeza nguvu simba acheni upimbi changisheni arambee tutatoa2
Semaji la cuf tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia hamjuii namna tunavyo umia tunavyo fanya vibaya pia kufungwa na mtani.
Ata me pia natamani iwe ivo ntachangia
Mo Dewiji be serious tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia .msikilize pia mawazo ya mashabiki tukimkosa Feitoto mtakuwa mmetuumiza sana mashabiki wa simba. Mara nyingi semaji la cuf unatupa moyo kwenye issue muhimu afu mambo yanakwenda kombo
Waweke Mkeka tu tupo Tayari
Tuko tiari kuchangia Ili fei aje Simba
Atamm nko tayari kuchngia
Simba tuosheshe Ukubwa wetu Kwa kumleta Fei toto
Kama tunahitaji kweli msimu huu kufanya vizuri swala la fei toto kuja simba ni muhimu sana SI Kwa ajili ya kucheza tu, hata ikiingia Kwa mawazo ya wapinzani ni mojawapo ya mapambano ya kuijenga timu, wekeni mkeka tumwage maji tumpate.
Tupo tàyari kuchanga na apewe mkataba mrefu wa miaka mitatu,huu ndio utakuwavusajili mkubwa na Bora kwa wanasimbavna Tanzania kwa jumla
ata mimi nipo tayali hata saiv
Ahmed Ally siyo kutugombanisha kweli fei tunamhitaji kuchangia mashabiki siyo dhambi hata Manzoki tulimkosa hivi hivi. Tupo Tayari kwa hiyari
Watupe utaratibu tuweke munga hapo tunamtaka feii
tuchange tu nipo tayali 6:28
Ata mimi nipo tayari kuchangia jamani SIMBA NGUNGU MOJA
Pamoja nakua tunawachezaji wanje lakini kiukweli feisal nimuhimu sana kwani atakua mchezaji kiongizi tupeni Namba tuchangie Yuko tayari
Ww unadhani kila mshabiki WA simba na wapenda simba wakiweka elfu moja tu kati ya watu milioni 20 mpaka hapo ni shingi ngapi misitwambie habari hizo mtatukwaza sana
Hata mimi nitachangia huo usajili wa Feisal
Tukoteari
Wafanye haraka kutoa utaratibu tukachange.
Mimi ni Yanga damu damu .ukweli Fei toto ni wakati wake na ni muhimu kwa taifa na yeye mwenyewe kuweka maisha yake bora .napendelea acheze simba kwa mafanikio yake na historia ya mpira Tanzania nitafurahi lakini Fei mwenyewe tahira hajui kujiuza zumbukuku kama simba wenyewe mazumbukuku
Mbn wana tuchelwesha toa namba
Tupo tayari, tupeni account number tuchangie ili Fei toto aje simba
Kwanza tusicheleweshane tupeni no ya Hela hewani
Tupo tayari kuchangia
Namimi nipo tayali
Wekeni namba ya malipo tuanze asajiliwe Simba
Tukotayali kuchagia
Hiyo ni mihemuko tu. Mtachangia miezi mingapi??
Tuchange tumchukue,,
Tupo tyar tuchange
KRAMO ABAKI TUONE UWEZO WAKE
simba wanaota ndoto wajinga tu hawana hela fei hamuwezi kumpata wamesema 13 bilioni
@AllyMakata
4 күн бұрын
Ndio tuko tayari mkeka uanze
Tuchange bwana lazima Fei Toto akuje Simba
Tukoteari
@kassimntara6901
5 күн бұрын
Viongozi hususani mo mmesajili wachezaji wazuri kweli lkn kumbukeni akina okwa na okra,pia onana je tubahakika Hawa wataingia wengi kwenye timu na kuwa Bora kama walikotoka? Fei anaijua ligi yetu na timu kwa jumla Hana shida ya kuingia kwenye timu.kwa sasa pale mbele kweli kiongozi awe Kibu? Simbezi ila Fei anaweza kuwa mfalme wa timu tukawasahau chama na Luis mara Moja bila kusubiri
@Farida-vg5ry
5 күн бұрын
Wekeni namba kwa haraka basi watu tuko tayari kuchangia