FEISAL AZUA UGOMVI SIMBA NA WACHAMBUZI/ AHMED ALLY AMVAA FARHAN

Спорт

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 45

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe81886 күн бұрын

    Hata mimi nipo tayari kuchangia fei toto asajiliwe simba bila kukosa

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas29055 күн бұрын

    Nipo tayari❤❤❤❤

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d6 күн бұрын

    Hata jamsini natoa

  • @user-rf9vn7lz1n
    @user-rf9vn7lz1n5 күн бұрын

    Basi watuchangish sis tutachangia mashabik ambao tunauchung na timu yetu

  • @adamgwila3395
    @adamgwila33956 күн бұрын

    Tupo tayari kwa hali na mali Fei atue simba

  • @SuluG
    @SuluG5 күн бұрын

    Mimi nipo tayari

  • @AllyHussein-qc3vm
    @AllyHussein-qc3vm5 күн бұрын

    Usajili mmefanya lkn feisal bado anahitajika kuongeza nguvu simba acheni upimbi changisheni arambee tutatoa2

  • @EmmanuelSaimonmulaga
    @EmmanuelSaimonmulaga5 күн бұрын

    Semaji la cuf tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia hamjuii namna tunavyo umia tunavyo fanya vibaya pia kufungwa na mtani.

  • @Martingwau
    @Martingwau5 күн бұрын

    Ata me pia natamani iwe ivo ntachangia

  • @EmmanuelSaimonmulaga
    @EmmanuelSaimonmulaga5 күн бұрын

    Mo Dewiji be serious tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia .msikilize pia mawazo ya mashabiki tukimkosa Feitoto mtakuwa mmetuumiza sana mashabiki wa simba. Mara nyingi semaji la cuf unatupa moyo kwenye issue muhimu afu mambo yanakwenda kombo

  • @manyerejacobkapongo9663
    @manyerejacobkapongo96635 күн бұрын

    Waweke Mkeka tu tupo Tayari

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh6 күн бұрын

    Tuko tiari kuchangia Ili fei aje Simba

  • @AllyMakata
    @AllyMakata4 күн бұрын

    Atamm nko tayari kuchngia

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh6 күн бұрын

    Simba tuosheshe Ukubwa wetu Kwa kumleta Fei toto

  • @swigamwandumusya6499
    @swigamwandumusya64995 күн бұрын

    Kama tunahitaji kweli msimu huu kufanya vizuri swala la fei toto kuja simba ni muhimu sana SI Kwa ajili ya kucheza tu, hata ikiingia Kwa mawazo ya wapinzani ni mojawapo ya mapambano ya kuijenga timu, wekeni mkeka tumwage maji tumpate.

  • @kassimntara6901
    @kassimntara69015 күн бұрын

    Tupo tàyari kuchanga na apewe mkataba mrefu wa miaka mitatu,huu ndio utakuwavusajili mkubwa na Bora kwa wanasimbavna Tanzania kwa jumla

  • @WilliamKaponya
    @WilliamKaponya5 күн бұрын

    ata mimi nipo tayali hata saiv

  • @manyerejacobkapongo9663
    @manyerejacobkapongo96635 күн бұрын

    Ahmed Ally siyo kutugombanisha kweli fei tunamhitaji kuchangia mashabiki siyo dhambi hata Manzoki tulimkosa hivi hivi. Tupo Tayari kwa hiyari

  • @barakakiyalo3900
    @barakakiyalo39003 күн бұрын

    Watupe utaratibu tuweke munga hapo tunamtaka feii

  • @WilliamKaponya
    @WilliamKaponya5 күн бұрын

    tuchange tu nipo tayali 6:28

  • @user-qw9zu3ly8m
    @user-qw9zu3ly8m6 күн бұрын

    Ata mimi nipo tayari kuchangia jamani SIMBA NGUNGU MOJA

  • @saidikumbi8420
    @saidikumbi84206 күн бұрын

    Pamoja nakua tunawachezaji wanje lakini kiukweli feisal nimuhimu sana kwani atakua mchezaji kiongizi tupeni Namba tuchangie Yuko tayari

  • @user-de5ph3rs6p
    @user-de5ph3rs6p6 күн бұрын

    Ww unadhani kila mshabiki WA simba na wapenda simba wakiweka elfu moja tu kati ya watu milioni 20 mpaka hapo ni shingi ngapi misitwambie habari hizo mtatukwaza sana

  • @furika7931
    @furika79316 күн бұрын

    Hata mimi nitachangia huo usajili wa Feisal

  • @SuluG
    @SuluG5 күн бұрын

    Tukoteari

  • @PatrickGeraldi-wd1er
    @PatrickGeraldi-wd1er6 күн бұрын

    Wafanye haraka kutoa utaratibu tukachange.

  • @BADAWY575
    @BADAWY5755 күн бұрын

    Mimi ni Yanga damu damu .ukweli Fei toto ni wakati wake na ni muhimu kwa taifa na yeye mwenyewe kuweka maisha yake bora .napendelea acheze simba kwa mafanikio yake na historia ya mpira Tanzania nitafurahi lakini Fei mwenyewe tahira hajui kujiuza zumbukuku kama simba wenyewe mazumbukuku

  • @AllyMakata
    @AllyMakata4 күн бұрын

    Mbn wana tuchelwesha toa namba

  • @nassorseif404
    @nassorseif4045 күн бұрын

    Tupo tayari, tupeni account number tuchangie ili Fei toto aje simba

  • @Vitasafari-hr6ub
    @Vitasafari-hr6ub6 күн бұрын

    Kwanza tusicheleweshane tupeni no ya Hela hewani

  • @JosephmwitaJosephmwita
    @JosephmwitaJosephmwita6 күн бұрын

    Tupo tayari kuchangia

  • @MohamediSaidi-hm1hl
    @MohamediSaidi-hm1hl6 күн бұрын

    Namimi nipo tayali

  • @eliashagai7920
    @eliashagai79206 күн бұрын

    Wekeni namba ya malipo tuanze asajiliwe Simba

  • @ManyandaMisomado
    @ManyandaMisomado6 күн бұрын

    Tukotayali kuchagia

  • @kolosii4351
    @kolosii43516 күн бұрын

    Hiyo ni mihemuko tu. Mtachangia miezi mingapi??

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene21216 күн бұрын

    Tuchange tumchukue,,

  • @jumanamwasa-iw2zn
    @jumanamwasa-iw2zn6 күн бұрын

    Tupo tyar tuchange

  • @athumanmnguruta338
    @athumanmnguruta3386 күн бұрын

    KRAMO ABAKI TUONE UWEZO WAKE

  • @teddysanga1840
    @teddysanga18405 күн бұрын

    simba wanaota ndoto wajinga tu hawana hela fei hamuwezi kumpata wamesema 13 bilioni

  • @AllyMakata

    @AllyMakata

    4 күн бұрын

    Ndio tuko tayari mkeka uanze

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya3806 күн бұрын

    Tuchange bwana lazima Fei Toto akuje Simba

  • @SuluG
    @SuluG5 күн бұрын

    Tukoteari

  • @kassimntara6901

    @kassimntara6901

    5 күн бұрын

    Viongozi hususani mo mmesajili wachezaji wazuri kweli lkn kumbukeni akina okwa na okra,pia onana je tubahakika Hawa wataingia wengi kwenye timu na kuwa Bora kama walikotoka? Fei anaijua ligi yetu na timu kwa jumla Hana shida ya kuingia kwenye timu.kwa sasa pale mbele kweli kiongozi awe Kibu? Simbezi ila Fei anaweza kuwa mfalme wa timu tukawasahau chama na Luis mara Moja bila kusubiri

  • @Farida-vg5ry

    @Farida-vg5ry

    5 күн бұрын

    Wekeni namba kwa haraka basi watu tuko tayari kuchangia

Келесі