Familia ya Kapteni Hillary Litali aliyefariki katika ajali ya helikopta inaomboleza
Familia tatu katika kaunti za Kirinyaga na Nakuru zinaomboleza vifo vya wapendwa wao waliokuwa miongoni mwa wanajeshi walioandamana na marehemu Jenerali Francis Ogolla Kewe ziara hiyo iliyotokea katika eneo la Sindar kaunti ya Elgeyo Marakwet. Kaunti ya Kirinyaga inaomboleza vifo vya Sajini Mkuu John Kinyua Muriithi kutoka kijiji cha Kirimunge na Sajini Rose Nyawira kutoka eneo la Kagio huko Mwea. Katika kaunti ya nakuru familia yake Kapteni Hillary Litali. Na katika kaunti ya Mombasa, familia ya Brigedia Swaleh Said inajiandaa kwa mazishi.
Пікірлер: 228
Poleni sana baba na mama Litali. Mungu awape nguvu. Mungu ailaze Roho ya ndugu Captain Litali mahali pema peponi
@FredrickKinyua-bh1hs
14 күн бұрын
Poleni sana
God is close to the brokenhearted. Poleni sana mama na baba Hillary. Mungu awafariji❤
@BAHATI-gu5uo
14 күн бұрын
Psalms 147:3
Citizen TV, please put faces to the names of the now departed. It's a way of giving Respect. Kenyans need to see amongst the people men and women who keep us safe and who jealously guard our National sovereignty. God Speed to the departed. May you Rest in Power .... 🙏
Sooo sorry 😭 May God heal your hearts .. This is too heart breaking ..😭
@FaithKatoto
14 күн бұрын
pole sana na mungu aawafariji
So soon bro This reminds me to remember my brother who left last month Who was finishing his university this month 😢😢
@tri_cher
14 күн бұрын
Poleni sana
@soaringhigh9604
14 күн бұрын
Poleni sana, Mungu awatie nguvu
Poleni sana kwa wazazi🙏🙏Mungu awatie nguvu kwa wakati huu mgumu
Pole Sana mama mungu awafariji
We can only ask God to strengthen our faith and hope.. God grant the family peace. Amen.
Let the family mourn in peace.. You don't interview family so soon. very wrong..
@kaykay5605
14 күн бұрын
What world do you live in
@jillfavour77
13 күн бұрын
You are right!
@p.be.s
13 күн бұрын
Interview for clicks…. Greedy media making money from misfortune.
So painful 😢😢😢 may God comfort and give you strength, God knows the best,, may their souls rest in internal peace
Poleni Sana haki mungu a watie guvu jeremiah from meru kathangali
Mungu awafariji Watanzania tunawaombea
Pole sana baba
Pole sana mama mungu atakusaidia mamangu
Soo, sad to lose a Child. May the good Lord give you strength and comfort from above Mama and Baba Hilary.
Poleni sana Mzee.
Poleni sana familia na mugu awatie nguvu mungu yupo nanyi.❤
Mungu awape nguvu poleni sana.
Poleni sana baba na mama wa Hillary may God comfort u and the family 😢😢
Pole sana familia,Mungu awatie nguvu
It's so hurting. Poleni sana familia ya Capt Litani
So sad for the loss to the family and friends. May our Heavenly God gives entire family peace and strength this difficult time. May heaven receive their dear soul let they rest in peace 🙏
Polen sana Watanzania tupo pamoja nanyi kwa sala
Poleni sana familia, Mungu Asimamame na nyinyi!!
May our good lord strengthen, comfort & wipe their tears at such difficult moment.
Mom Jesus is always a winner, heaven is blessed
Poleni sana familia kaptain
Poleni Sana,,, very young soul,, RIP
Poleni sana sana sana, praying for God's peace for you.
I am so said my deep heart of this isided
Hardworking child!
Poleni Sana, may God give you strength
Pole Sana kaka
Pole sana. Our government needs to do better with communication when it comes to this situations! So bad families to learn from the media before they communicate
Poleni sana,mungu awajaze nguvu
Aujuaye uchungu wa wana ni. Mama pole sana
Poleni majirani. Ni huzuni sana. Mungu awafariji sana😢
polen sana
Poleni sana kwa kumpoteza mtoto inauma praying for peace In your family may his soul rest in peace peace ❤❤❤❤
Mungu awapatie nguvu wapendwa...🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Poleni sana,,mungu awatie nguvu sana
Poleni sana familia ya Dickson
Kuishi ni mungu.tu it's we'll
🎉May Almighty God give you strength
Sad indeed pole sana
Poleni sana mama Mungu akupiganie aki
Pole sana mama mungu akupe guvu
Mungu awape nguvu.
Poleni sana
Have courage in the Lord Psalms 23
Poleni sana family ya Hillary,may God strengthen you
pole sana babaangu
Pole Sana mama ilari
Pole sana Mungu awe nanyi
Amina mungu ukushikilie akufari inauma sana
Poleni familia kwa msiba mungu awafariji
Take heart mama Mungu awashikilie
Pole kwa family let will be done.
Poleni sana ndgu zetu wa Kenya
Poleni sana mungu awarehemu
He used to share a lot with his family,,my bro ata sijui ako rank gani
@BAHATI-gu5uo
14 күн бұрын
😂😂😂😂
Citizen u r very unprofessional how can you interview someone who av lost their loved ones shame on u guys let the family mourn in peace
@user-uf2uj8kv9m
14 күн бұрын
Untrained professionals.wako na upuzi.huyu anakaa tuu mkundu ya nyani
@lilian2660
14 күн бұрын
Mkona ujinga nkt
Poleni Sana Kwa familia na Kenya Kwa ujumla rip captains 😢😢😢😢😢
My condolences to entire family may God grant you peace
Tunauzunika 😭😭😭😭😭 mtuwamaana Sasa 😭😭😭😭🇰🇪 aswasikaa nikiwa 🇸🇦 0:48 0:51
Poleni Sana mungu awape nguvu familia
Poleni sana Litali's famili. God will comfort you1🙏
Poleni sana kwa family
poleni sana
Poleni Sana kwa wote ❤❤❤
Poleni Kwa family zote zilozopata maafaa
So painful.Mungu awatie nguvu
Pole kwa waathiriwa
God give solace to this family and all those mourning their loved ones May their souls rest in peace No parents should bury their children at an early age... But we leave all to God 🙏🙏🙏
Poleni mami and Dad Mungu awape nguvu
Mama simama na Yesu Kristo na kumbuka ipo siku ya ufufuo, pokea nguvu na faraja kwa jina la Yesu.
pole sana Litali family, Pole sana. God will wipe your tears
Pole sana
Poleni sana 😢😢😢
Poleni.
pole familia mungu awape nguvu wakati huu mgumu
Shalom to the family
Pore sana Mama,
Pole sana 😢
Pole ndugu yetu😭😭😭😭😭
Mungu awape nguvu
Pole xna
poleni
Polen Sana Wana familia nataifa la Kenya na kwa waafrica pia😢😢😢
Citizen na interview,waaaaah!!
This country 😢
Mungu ni mungu tuhombe yeye mungu
Polenii sana..
@emmanuelodiembo4616
14 күн бұрын
Shame on you, uko hapa kuangalia vitu ziko so unnecessary while people are in pain.
@naturelle1097
14 күн бұрын
@@emmanuelodiembo4616 wewe je why r u attacking people for no reason so i shouldnt sympathize
Poleni Sana mungu Yuko😭
Poleni sana wakenya wote jamanii
Haki ni uchungu jameni, 😢😢 pole sana kwa familia
Pole sana mum 😢
Pole mwana wefwe.
May God comfort you
So painful. My condolences to the family