Watu 14 wafariki kwenye ajali mbili tofauti
Watu kumi na wanne wa familia moja wamefariki katika saa ishirini na nne kwenye ajali mbili tofauti zilizotokea katika kaunti za Nakuru na Kericho. Familia moja katika eneo la Flamingo, Nakuru iliwapoteza jamaa zao wawili baada ya gari lao kugonga lori lililokuwa limegeshwa katika eneo la Ngata bridge. Kwenye ajali ya pili, watu saba walifariki baada ya gari lao kugongana na trela
Пікірлер: 23
Travelling in kenya has become scared😢😢😢 this is too much😢😢
Mrukomen ako tu gari Kwa barabara siku tatu Mungu tusaidie ajali kila siku Rip 😭😭😭😭😭
This country nid prayer....kuna maroho baya ambayo zinazababisha ajali,,bt I curse those evils spirits in jesus name amen..let's pray without ceasing
This is too much in this country 😢😢😢😢😢
Don't blame anyone. Let's pray for our country. Kenya 🇰🇪 Corruption is too much. Poleni kwa familia😢
Mungu ndie mwenye maamuzi iyo sio ajali ya kawaida😭😭😭
Murkomen must go
Traffic walipitia hapo ngata wakaona trella limeharimbika Kwa siku tatu but hawakushugulika huzuni kumbwa inchini mwetu wanaopuuza kafanya shuguli zao kwa uhaki wanafikuria Tu tumbo zao aimbu kwao hata salgaa town utakuta gari mobility zinashindwa kupitana na ni highway but a few polisi Wana ombaomba pesa hawajali ajali ikitokea utawaona Kwa wakiongea zaidi
Yani 3day gari ikiwa kwa barabara ati imeharbka
Speed governor kwani zilienda wapi....stop overspeeding.
Hawa madereva hawasiki poleni sana jamani
Poleni sana 😢😢 Wooii Maa accident kila mahali ,let's pray for our roads 😢
Poleni familia na jipeni moyo
Yachoshaaaaa 😢😢😢what is happening surely,God please
How is their health status?
Ruto awache kutoa wakenya sadaka😢😢😢
Woooyie painful
a month of prayer for muslims has been a month of accidents hata december watu awajakufa hivyo..... its only that nobody can question them but they should explain to us why
@esnasakumu3481
Ай бұрын
My thought too
😢😢😢what's going on, is it the rains?
Citizen what is your Hidden agenda?? ,,its like you pray for it to happen,, you cannot just be focusing on the negative
Veey useless minister of transport who knows literally nothing
Helloo i am joseph i have a tech that can reduce speed accidents by 95% .help mi reach to the involved sectors .such as cs murukomen