Watu 14 wafariki kwenye ajali mbili tofauti

Watu kumi na wanne wa familia moja wamefariki katika saa ishirini na nne kwenye ajali mbili tofauti zilizotokea katika kaunti za Nakuru na Kericho. Familia moja katika eneo la Flamingo, Nakuru iliwapoteza jamaa zao wawili baada ya gari lao kugonga lori lililokuwa limegeshwa katika eneo la Ngata bridge. Kwenye ajali ya pili, watu saba walifariki baada ya gari lao kugongana na trela

Пікірлер: 23

  • @jacklinemaravi8688
    @jacklinemaravi8688Ай бұрын

    Travelling in kenya has become scared😢😢😢 this is too much😢😢

  • @rebeccabrown5135
    @rebeccabrown5135Ай бұрын

    Mrukomen ako tu gari Kwa barabara siku tatu Mungu tusaidie ajali kila siku Rip 😭😭😭😭😭

  • @phyilismuthoni933
    @phyilismuthoni933Ай бұрын

    This country nid prayer....kuna maroho baya ambayo zinazababisha ajali,,bt I curse those evils spirits in jesus name amen..let's pray without ceasing

  • @nickngunjiri4282
    @nickngunjiri4282Ай бұрын

    This is too much in this country 😢😢😢😢😢

  • @annsimiyu8428
    @annsimiyu8428Ай бұрын

    Don't blame anyone. Let's pray for our country. Kenya 🇰🇪 Corruption is too much. Poleni kwa familia😢

  • @Danielmasika09
    @Danielmasika09Ай бұрын

    Mungu ndie mwenye maamuzi iyo sio ajali ya kawaida😭😭😭

  • @_Kipkorir
    @_KipkorirАй бұрын

    Murkomen must go

  • @henrykairo1849
    @henrykairo1849Ай бұрын

    Traffic walipitia hapo ngata wakaona trella limeharimbika Kwa siku tatu but hawakushugulika huzuni kumbwa inchini mwetu wanaopuuza kafanya shuguli zao kwa uhaki wanafikuria Tu tumbo zao aimbu kwao hata salgaa town utakuta gari mobility zinashindwa kupitana na ni highway but a few polisi Wana ombaomba pesa hawajali ajali ikitokea utawaona Kwa wakiongea zaidi

  • @willywawanjiruofficial7383
    @willywawanjiruofficial7383Ай бұрын

    Yani 3day gari ikiwa kwa barabara ati imeharbka

  • @robertmarwa2750
    @robertmarwa2750Ай бұрын

    Speed governor kwani zilienda wapi....stop overspeeding.

  • @MishaOkondo
    @MishaOkondo13 күн бұрын

    Hawa madereva hawasiki poleni sana jamani

  • @charleswachira09
    @charleswachira09Ай бұрын

    Poleni sana 😢😢 Wooii Maa accident kila mahali ,let's pray for our roads 😢

  • @Chr196
    @Chr196Ай бұрын

    Poleni familia na jipeni moyo

  • @HARIETEAKINYI-dw5if
    @HARIETEAKINYI-dw5ifАй бұрын

    Yachoshaaaaa 😢😢😢what is happening surely,God please

  • @cynthiachepkorir4850
    @cynthiachepkorir4850Ай бұрын

    How is their health status?

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864Ай бұрын

    Ruto awache kutoa wakenya sadaka😢😢😢

  • @EverlineOdhiambo-bc3gu
    @EverlineOdhiambo-bc3guАй бұрын

    Woooyie painful

  • @ericodaktari399
    @ericodaktari399Ай бұрын

    a month of prayer for muslims has been a month of accidents hata december watu awajakufa hivyo..... its only that nobody can question them but they should explain to us why

  • @esnasakumu3481

    @esnasakumu3481

    Ай бұрын

    My thought too

  • @abelmakori
    @abelmakoriАй бұрын

    😢😢😢what's going on, is it the rains?

  • @wanjalajesse1694
    @wanjalajesse1694Ай бұрын

    Citizen what is your Hidden agenda?? ,,its like you pray for it to happen,, you cannot just be focusing on the negative

  • @Festusogwankwa-cd2wf
    @Festusogwankwa-cd2wfАй бұрын

    Veey useless minister of transport who knows literally nothing

  • @spackwizy1989
    @spackwizy1989Ай бұрын

    Helloo i am joseph i have a tech that can reduce speed accidents by 95% .help mi reach to the involved sectors .such as cs murukomen