Watoto Jela

Katika makala maalum tunaingia katika gereza la wanawake la Langata ambapo tunadhihirisha maisha ya watoto waliozaliwa baada ya mama zao kupewa vifungo vya zaidi ya miaka kumi, je maisha kwa watoto hawa huwa vipi ikizingatiwa kuwa wao hujipata katika mazingira hayo pasipokupenda
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on www.ktnkenya.tv

Пікірлер: 85

  • @godifreypaul9409
    @godifreypaul94093 жыл бұрын

    Uhuru,Uhuru Uhuru,hao watoto kuna siku Mungu atasikia kilio chao,mmeshindwa kutafuta njia mbadala,kuwafanyisha hao wamama kazi za jamii,kama kulima,kumwagilia huku wakirudi nyumbani kulea hao watoto.Laana inasababishwa na kitu kidogo sana.

  • @steveirungu3132
    @steveirungu31322 жыл бұрын

    Dear Lord Jesus Christ help me to make the right decisions in life so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine

  • @richardmathenge555
    @richardmathenge5553 ай бұрын

    Wezi.watarajiwa

  • @dorice123jalango4
    @dorice123jalango47 жыл бұрын

    mungu asaidie hawa watoi aki

  • @jaladollar7745
    @jaladollar77453 жыл бұрын

    Mungu ni mwema ipo siku atasikia kilio cha hawa wakina mama pamoja na watoto hawa,kiukweli jamani nataka niwaambieni kitu jela siyo kuzuri na anaefanya mpaka unaenda jela huyo siyo binadamu ni mnyama tumuombeni mungu atunusuru na maisha haya ya magereza...Aamiin

  • @janifferasidanto9901
    @janifferasidanto99013 жыл бұрын

    Wah mungu awasaidie nawatoto wao

  • @annn318
    @annn31811 жыл бұрын

    Thanks KTN for updating us.

  • @elizabethnjambi636
    @elizabethnjambi6365 жыл бұрын

    Its sad kua mtoto atazaliwa na akae jela but most of the tym the best place to be especially for children under five yrs is with the mother Thanks God to whoever came with that great thought of a day care so that atleast the children can still c there mothers in the evening cause if there is a problem the mother will know

  • @stellahnjagi6544
    @stellahnjagi65446 жыл бұрын

    Haki ni uchungu sana...I just wish the president can free them...Mungu awafariji

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy70473 жыл бұрын

    Kenya! Watoeni wamama hao wapeni kifungo cha nje. Vipi mnatesa watoto hawajakosea.

  • @moemusa0014
    @moemusa00147 жыл бұрын

    they look happy that's my happiness

  • @zipporahmwaura3598
    @zipporahmwaura35983 жыл бұрын

    Watoto wakae na mama said they will get the best care. Mambo ya relatives kado

  • @sikuzanibusanya6423
    @sikuzanibusanya64235 жыл бұрын

    Jamani hao wtt kweli imeniuma sana duuuuu😭😭😢😢

  • @steveirungu3132
    @steveirungu31322 жыл бұрын

    Dear Lord Jesus Christ help me to be an all-rounded responsible person in life so help me God in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Irungu Jermaine

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016
    @mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын

    poleni mungu awa fariji

  • @maggiechepkorir7565
    @maggiechepkorir75654 жыл бұрын

    Kwani! Uhuru Kenya akuna.kama munafunga ata watoto? Poleni!

  • @miriamnyamus5138
    @miriamnyamus51387 жыл бұрын

    haki si hao wanawake wamefungwa juu ya tumakosa twa ujinga na watoi wanateseka

  • @josephinewere4007
    @josephinewere40073 жыл бұрын

    Aki poleni sana MUNGU awatie nguvu

  • @wambuidaina7791
    @wambuidaina77917 жыл бұрын

    poleni sana

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын

    Nalay kenya muwe munangalia makosa km mwanamke ajaua bc nivzr wapewe kifungo chanje tu kwayule mjamzito au mwenye

  • @salamakadzo240
    @salamakadzo2407 жыл бұрын

    yaani serikali mna roho mbaya yaani mtoto azaliwe afungwe akulie jela kueni na roho jameni achieni hao wamama

  • @mohamedomarhasan5377

    @mohamedomarhasan5377

    5 жыл бұрын

    Salama Kadzo Sio Kuacha hao wamama isipokua watoto hawana makosa na kisheria serikali ilikuwa inatakiwa wachukue hao watoto na kuwapeleka kwa ndugu wa huyo mwanamke au wapelekwe ustawi wa jamii

  • @aishaomari1881
    @aishaomari18815 жыл бұрын

    Kenya kenya mungu anawaona

  • @officialcarolyne2985
    @officialcarolyne29855 жыл бұрын

    Oh so sad may the lord make they ways out for this Alle women 🚺 hier

  • @bishopfestobenjamin6118
    @bishopfestobenjamin61186 жыл бұрын

    Watoto wanazidi miaka mitano wachukuliwe na mume ,au Ndugu akae ulaiani

  • @virginiamuthoni6726
    @virginiamuthoni67262 жыл бұрын

    I think kids should not be in such environment.They should be given to their relatives or to children home

  • @georginaopati9587
    @georginaopati95876 жыл бұрын

    God is in control

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed66874 жыл бұрын

    Jamani siwatolewe hao wa mama

  • @mohamedomarhasan5377
    @mohamedomarhasan53775 жыл бұрын

    Serikali ilikuwa infikirie mtoto hana kosa jela za America au Europe kwa kuwa wanajua sheria vizuri Mimi niliona mwanamke amefungwa miaka mingi kwa kuua na kuuza madawa ya kulevya na alipofungwa jela alikuwa na mimba ndogo baada ya miezi 9 akazaa watoto 2 aliknayi wiki 2 kisheria mtoto hawezi kukaa jela ni kinyume ya sheria basi mama na baba ya Yule msichana walikuja jela na kuchukua watoto wote 2 na kama hawakuja hao wazazi wake watoto wangepelekwa ustawi wa jamii serikali inawatunza kwa kila kitu mpaka shule yaani kila kitu

  • @sarahogama9540
    @sarahogama95403 жыл бұрын

    Mm hadi nalia jamani eeee Mungu wangu jamani

  • @margaretakinyi1101
    @margaretakinyi11017 жыл бұрын

    hey dat bad to here

  • @annn318
    @annn31811 жыл бұрын

    Waliopatwa na msimba tunawapa pole!

  • @annanmaramba4472
    @annanmaramba44724 жыл бұрын

    Afadhali wakae uko... Wasitolewe relatives watawadhurumu.. Ama waache awa wamama watoke

  • @iminzaiminza5813
    @iminzaiminza58135 жыл бұрын

    Yaaniii😵😵😵 hata nakosa la kusema😥😥😥😥😥

  • @munichkin
    @munichkin2 ай бұрын

    Kenya jameni nafung ata watoto shame Kenya

  • @marymnyasa238
    @marymnyasa2384 жыл бұрын

    Woiii😭😭😭

  • @fixershi6561
    @fixershi65617 жыл бұрын

    am hapi for taking gud care of kids in fact thy luk healthy n jovial

  • @mahsnirmohammed2493
    @mahsnirmohammed24937 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭✍

  • @bibimzee7880
    @bibimzee78804 жыл бұрын

    Watoto mwawapeta vipi jela

  • @shirowdestinys5775
    @shirowdestinys57755 жыл бұрын

    So sad , wakenya hawana huruma

  • @luckystarokumu7756
    @luckystarokumu77567 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @hellenatieno8987
    @hellenatieno89877 жыл бұрын

    Mungu yuko nanyi

  • @hamdsw696

    @hamdsw696

    7 жыл бұрын

    Hellen Atieno wakiweka watoto huko lini kenya itakuwa haina climinals nimbaya kabisha yani tu seme ata mtoto ni mfungwa kwahivyo hao wamama wamemariza kifungo juu ni wawiri kwa wawiri to the lagester

  • @maggiechepkorir7565
    @maggiechepkorir75654 жыл бұрын

    Mujipee nguvu,

  • @dakaduku4610
    @dakaduku461011 жыл бұрын

    I think those children are safe with their mothers in prison.Atleast in there they are protected from perverts who roam around.

  • @JohnDoe19xx

    @JohnDoe19xx

    7 жыл бұрын

    Daka Duku you are a piece of shit ... for what reason should those kids be in prisons they don't deserve that

  • @fozyafozya4060
    @fozyafozya40603 жыл бұрын

    😭😭😭😭

  • @supumoto6819
    @supumoto68196 жыл бұрын

    MAMA pekupeku, DUA DUA NIMUHIMU

  • @idahakello389
    @idahakello3896 жыл бұрын

    Wh president them?

  • @niceabdi3250
    @niceabdi32507 жыл бұрын

    free them 😭

  • @phillsnafuna5962
    @phillsnafuna59623 жыл бұрын

    so sad

  • @agnesnaipante7874
    @agnesnaipante78743 жыл бұрын

    Maria Monday episodes

  • @janifferasidanto9901
    @janifferasidanto99013 жыл бұрын

    Lakini mungu anasababu yenu kuwa jela sinalakuogeza

  • @sherrifke2289
    @sherrifke22894 жыл бұрын

    Shada sio crime. Its God's creation... Kenya!!!

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016
    @mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын

    hawa watoto wamezoe maisha ya jela mna wachafua maroho wakitoka kwenda raiya watakua majambazi wa kubwa hawatajali kufungwa jela ndio watakuwa wabaya kabisa

  • @beatricenicholausiwasa7601

    @beatricenicholausiwasa7601

    7 жыл бұрын

    kweli hao watoto wakitoka watakuwa majambazi

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016

    @mamapekupekupilipilimuwash9016

    7 жыл бұрын

    Beatrice Nicholaus I was a eeee wakua majambazi wakubwa ju watakua washa zoea maisha ya jela hawaoni shida

  • @queenmama2033
    @queenmama20334 жыл бұрын

    Too bad i think it'll be better if you free them jmn

  • @asiakheir3846
    @asiakheir38466 жыл бұрын

    Kwani makosa gani walifanya,watoeni,mzigo unazidi.

  • @maryodanga140
    @maryodanga1405 жыл бұрын

    Watoto wachukuliwe na relatives jameni

  • @lilianmariita9277
    @lilianmariita92774 жыл бұрын

    Kenya muko na sida plz fungulia hawa wako na watoi juu hawa watoi awesi pata elimu nzuri

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58643 жыл бұрын

    Omani siku yoyote unayotaka kurudi unarudi hulazimishwi kukaa

  • @helenjonsob5718
    @helenjonsob57184 жыл бұрын

    Jaman 😢😢😢😢

  • @bakarisalim8978
    @bakarisalim89784 жыл бұрын

    NIKWELILABDA..DRMAKUFULITRANDIOMTINDOWAOHASAAIRPORT

  • @omyboy9584
    @omyboy95845 жыл бұрын

    This is not fair

  • @violetvayo8358

    @violetvayo8358

    5 жыл бұрын

    Small kids ,God is with you

  • @esthernzisa6284
    @esthernzisa62844 жыл бұрын

    Kama Kenya is free these children could Be free. These children must be looked out by government. If there is no government this is what you get. In short Kenya is not free. Men of Kenya stand and free your women and children. If you can't GOD will do and dont say that they don't respect you. It is you who didn't take your authority. If you are in control why are these children doing in prison. You have left your women alone and the children. Kwanini mnataka tiba ingine which dont cover women and their children. You think GOD dont see your failure.. Nyinyi tafuteni ukubwa wa watu falani wacha MUNGU atetee wanawake na watoto wao

  • @supumoto6819
    @supumoto68196 жыл бұрын

    KUNGURU TENA

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid58643 жыл бұрын

    Sasa unaifananisha omani na jela

  • @nancynaipanoi4866
    @nancynaipanoi48664 жыл бұрын

    Maskini hana mwenyewe aki serikali ya kenya ni bure na vile wako corruption.. Si kwanza mfunge wenye wamekula mali ya uma.. Achilieni hai wamama hawana makosa

  • @zuwenaabdillahzanzibar5670
    @zuwenaabdillahzanzibar56705 жыл бұрын

    mi bora huko jela mwenyewe namuona nitanenepa mimi niko Oman wanangu siwaoni ila kwa imo sina raha kwa kweli najikaza tu ndo natafuta

  • @lkshmykomar5472

    @lkshmykomar5472

    3 жыл бұрын

    Nljuwa nmm tu naishi ya kuliya klasku nawawazz wanangu muda wote nashinda kwenye imo ewe mola wetu tusaidiye 😭

  • @amiryally660

    @amiryally660

    3 жыл бұрын

    Kwani tatizo nini kwanini msirudi?

  • @mrsochu-hv7bm

    @mrsochu-hv7bm

    3 жыл бұрын

    @@amiryally660 bado tunatafuta

  • @amiryally660

    @amiryally660

    3 жыл бұрын

    @@mrsochu-hv7bm mnatafuta nini uku mnateseka au sijaelewa?

  • @mrsochu-hv7bm

    @mrsochu-hv7bm

    3 жыл бұрын

    @@amiryally660 tuna tafuta maisha kaka

  • @millicentouma2324
    @millicentouma23245 жыл бұрын

    Oh how do they get pregnant in prison???🤔🤔🤔

  • @davidnjoroge800

    @davidnjoroge800

    4 жыл бұрын

    Wengi wanakuja wakiwa expectant,and once they deliver sheria inasema akifikisha 4years family ya mamake wamkujie..

  • @mohammedhussein6146
    @mohammedhussein61463 жыл бұрын

    I have nothing to say just pray for them

  • @lynelee5846
    @lynelee58463 жыл бұрын

    Na jela watu hupaka make-up kumbe 🙄🙄🙄🤭