Wafungwa 3 waliotoroka gerezani Kamiti walitoroka kwa saa 96
Wafungwa 3 waliotoroka gerezani Kamiti walitoroka kwa saa 96
Walisafiri kutoka Nairobi hadi Machakos kwa usafiri wa kibinafsi
Walichukua usafiri wa umma hadi Machakos, na kisha Kamuluyuni
Wakaazi wazungumzia walivyotangamana nao tangu jumanne
Пікірлер: 104
Kweli walikosea sana,Bt nawaonea imani uchovu njaa kiu,waaaaa mungu wasamehe midhambi zao wabadilishe wawe wanadamu,wawe na utu,mkono wa siri kali ni mrefu kweli
Is only in kenya where mwizi wa kuku uchugwa ka bomu bt alshabab hachugwi😃😃😃😃
Hao sio magaidi ni mavideo vixen. Gaidi haombi chakula anahitaji tu kiberiti chakula kipo msituni.
Dj AFro ndo atawezana 🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Ongera sana kwe serikali kazi mzuri sana hongera
It very interesting isipokuwa nimahabushu
Vijana hawana kazi Jmn wapeni kazi Jmn niwanadamu pia wao
@virginiamwaura6793
3 ай бұрын
Wao ni alshabab the fuck bro
God watch over this villagers but I think they're being exposed so badly and this might bring harm to them, the media and the security should be intelligent enough to understand the times we live in.
@whimsymaverick3057
2 жыл бұрын
Why publish their names and pictures? These good people will be in mortal danger all their lives. And be their blood will be on your stupid inconsiderate heads!!!!!
Ujamaliza story fatilia Kama huyo mama kapewa pesa zake au hapana
Wata fanya nini.kazi akuna, wasichana nao.l saudia kurudi ni sanduku Young Generation Lord help them but pia ni vizuri kuomba kuliko hii
@mumblessed001
2 жыл бұрын
😭😭😭only God atatuhurumia aki
Kufunaniwa is a word with many meanings
Wakenya oyeeeeee vipi na makenzi yu wapi kwa sasa 😂😂
Mluhya na mjaluo nini mnajihusisha na Kenye hamuezi .kutembea .
Kidogo uskie waliowashika dio waliwasaidia
@priscilawamburu8576
2 жыл бұрын
Imgn
@janet7740
2 жыл бұрын
@@priscilawamburu8576 🤣🤣 Jesus is coming. To rescue the world. From liers.
That lady should be made a DCI she saved the Kenyans at large, our 2021 hero.
@wachiramoses9388
2 жыл бұрын
Aletwe pia kama Mwanamke Bomba
@charlesleswakeri8595
7 ай бұрын
@@wachiramoses93880:03
Mimi naonelea tu hizo pesa mfyngue mradi muwajiri vijana wa kitui maana aitasaulika maoni yangu lakini jamani si kwaubaya
@husna34562
2 жыл бұрын
Tupo hapa iyo pesa hatotoka
aky ingekua western Hawa watu wangepatwa dead
Siri ya Gava ni Kali? Wafungwa gani hawa awakuwa wame nyuolewa nywele, ....hata na ndevu? experiments?
@sammiesammie1469
2 жыл бұрын
Ni waislamu kunyolewa nywele si lazima.
@yusufmwangichannel6692
2 жыл бұрын
@@sammiesammie1469 Acha unafik, uliona serikali inajua mambo ya dini? Au ulimsikia na nani kua uislamu aufai mtu kunyolewa? Tupe andiko na wewe kwa bibilia kua kunyoa ndio ukristo, sham on you
@janet7740
2 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 🤣🤣 kweli alisikia wapi .
@mwinyihathib7120
2 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 TAQBIR
@wachiramoses9388
2 жыл бұрын
@@sammiesammie1469 mbona wananyoa Wakristo?
With everything said everyone did a good job but the 60 million belongs to the lady she initiated everything
Very interested
Kamiti inekwa police post
Okie
Walipata wapi peza za kuabiri gari na chakula
Mawaizakishk
Forever fugitive.
Hehehe walikuwa sonko ata wakiwa kamiti l think kuna alshabaab wengine Kenya wenye wanawatumianga pesa na my question is mbona wawekwa pahali pamoja Kwa prison kila mtu anafaa awe kivyake prison
Mama alifanya makosa
Are they the ones that ran from kamiti,or are they different people falling in the same trapeze?
Bora wangetumikia kifungo tu. Sasa walitoroka nini na wamerudi pale pale kuanza upya hukumu yao.
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Na his hawakuwa na plani.kabisa wamejikamarisha wenyewe ,ilikuwa watembee Poli Kwa Poli wangefika walipo taka kwenda
Listening
This story keeps getting interesting.
Kweli serikali inanusa mbali
More power
Hako kamama ndiko kaliwachoma wanawake ni mashetani
Hi
Siku hizi kwani kuna nooks gani ?watu wanatoroka toroka hivi.ama ni Ile siku inafika ya Paulo na siira waliomba Hadi milango ya gereza ikafunga ,end time is near
@franciskabiru8560
2 жыл бұрын
Lol😅😅😅😅😅
Nyie wakenya mnanichesha kweli, alafu huyo chief kavaa nguo za kijeshi, nyie comedians kweli, utazani vihoja mahakamani
We are now safe
❤
🤔🤔🤔
How did their hair grow within 2 days??? Many questions than answers anyway hii ni Kenya
@abdulazizkilai7285
2 жыл бұрын
Siri-kali inatuchezea akili hapa.. terrorists have a lot of money once they escape wameenda ...hapa Kuna karata ya serikali
So sad😢
2:26 huu ndo msako? 🤣
96 nayo walipelekwa wapi😂
Ngakuja karibu na yeye....
ATPU anti terror police unit hawa naskia ni wire eeh wire wire ya umeme.arrrrrrlight ashalale
Nyie wakenya mnanichekesha
Vitu zilikua tu sawa adi polisi waliskia Mkuu amefutwa kasi ndio kukuaanza kuumana
@husna34562
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😁
Hawa gaidi wariria damu ya innocent Kenyans..sasa wakenya wanataka awa ..dead also
Mathe alipwe 60m sasa
@Csakuraly
2 жыл бұрын
I agree
Mngewaacha tu....mjue mungu mbinguni ndie atoae hukumu..
@kenyantrend254
2 жыл бұрын
Ukweli
@munirashughuli7224
2 жыл бұрын
Kabsa
@MrMaboboz
2 жыл бұрын
Kuwa serious.
Basi limefanwya jambo kubwa
Am yet to know who ferried them here with a personal car, also where did they get money from to shop, and finally who were they communicating to, and where they got phn from
@agnesmuchira7941
2 жыл бұрын
Highest degree of corruption in our country. 😢 😢.
@charitymurimi8876
2 жыл бұрын
@@agnesmuchira7941 zile drama ziko Kenya... Western wamewaamiini🤣
🥺🥺🥺
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤨🤨🤨🤨🤨
Hii 60m naona mkikosa
they escaped due to stupidity of soldiers!
wah Kenya moto wa kuotea mbali....wafungwa walitoka 96hrs na ndevu na nywele zimegrow hivi ...i have noticed a most of prisoners are clean shaven ama ....only God knows
Ngaleta😂😂😂
Chifu wewe Ni shenzi sana ilikuhusu nini hata kama walitoroka
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Y Hh oo
Poa
Story za Jaba all made up story
Sasa huyo assistant chief atapewa milioni
Saa 96 ndio gani
@blessedsarah3476
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hellenopiyo3391
2 жыл бұрын
Karibu ifike sa 100 sasa hawa wanasema nn ati sa 96
@blessedemily3652
2 жыл бұрын
4 days
@maxwellanyika7209
2 жыл бұрын
@@blessedemily3652 oh meaning, 96hours? Okay
@RoroRoserororo
2 жыл бұрын
Nashangaa
Hiyo pesa ingawanywe bila ku bagua kwa hao good citizens
@wachiramoses9388
2 жыл бұрын
Wakenya tuko 47 million,tupate kila mtu mojamoja ya kuvuta heri,13 million zipewe wenye walisaidia kunasa hao Majangili