#EXCLUSIVE

Ойын-сауық

#EXCLUSIVE: MTOTO wa AFANDE SELE AFUNGUKA BABA YAKE KUMTUKANA MUNGU - "NIMEUMIA"
GLOBAL TV imezungumza na mtoto wa kwanza wa mwanamuziki, Afande Sele, anayefahamika kwa jina la Tunda, kufuatia kauli alizozitoa baba yake ambazo kwa namna moja ama nyingine zimefasiriwa na watu ni kama amemkashfu Mungu kwa kumchukua Hayati Magufuli.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 445

  • @hassanramadhan8978
    @hassanramadhan89783 жыл бұрын

    Ma shaa Allah msichana mrembo makini mwenye hekima na busara mungu akuzidishie na akunusuru na akupe stara

  • @mbwanakiting7180

    @mbwanakiting7180

    3 жыл бұрын

    We mtangazaji sauti lako baya alafu umevaa tishet linamaandishi ya Japan...we vipi

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    3 жыл бұрын

    Mzuri kama Nini jamani

  • @highvoltages4169

    @highvoltages4169

    3 жыл бұрын

    @@mbwanakiting7180 huyo jamaa ni mtani wako? Naona umeamua kumtania 😀😁😁😁

  • @mustyboymaalim2070

    @mustyboymaalim2070

    3 жыл бұрын

    @@mbwanakiting7180 kuwa na adabu na ushughulike na maisha yako

  • @mbwanakiting7180

    @mbwanakiting7180

    3 жыл бұрын

    @@mustyboymaalim2070 musty sijui maanake nini boy ni mtoto wa kiume...adabu sijui ipi maana wewe umetukana mwenzio niliyemwambia kaanza Kula mayai sauti ikae vizuri ili awe mtangazaji Bora...so kila kitu kusifia..tunakosoa ili ajirekebishe itangazaji unaanzia ktk usmati...musty booy

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy52773 жыл бұрын

    Afande sele mm nataka huyu tunda awe mkamwana wangu nime mpenda sana Mtoto mdogo but ako na wisdom kama king Solomon. Be blessed my daughter ❤️❤️

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo46083 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu amsameh Afande Sele na amuongoze katika njia sahihi. Nampa Hongera Afande kwa kumlea mtoto wetu TUNDA maana yupo smart na mwenye kujiheshimu maa shaa Allah ni Tunda kweli. Tofauti na wasanii wengine mpaka watoto wao wanajiingiza matatizoni yaani Afande Sele na Tunda ni wapo tofauti ila ni matunda ya Afande mwenyewe kakuza mtoto katika maadili. Mwenyezi Mungu amuongoze na vizazi vyake

  • @darkrobinhood331
    @darkrobinhood3313 жыл бұрын

    Mungu akubariki dada na akupe uthabiti...una sifa stahiki za kuitwa mtoto mwema. Allah awe nawe..Amiyn.

  • @salhamzee1336
    @salhamzee13363 жыл бұрын

    Hongera tunda umekuwa mdada sasa nilikuacha kunduchi girls ukiwa kidat cha kwanza mwaka 2013 Allah azidi kukuongoza katika maadili mema ya kumjua Mungu

  • @faraolion6822
    @faraolion68223 жыл бұрын

    Hongera AFANDE SELE kwa kuwa na mtoto Kichwa

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus72553 жыл бұрын

    KASHFA iliomkuta Afande Sele inaweza ikawa ni sababu ya yeye kupata NURU ya ALLAH. Tumuombee Dua sote kwa wingi Inshaa Allah.

  • @rashidhusain2958

    @rashidhusain2958

    3 жыл бұрын

    Tena sana, tusikate tamaa na rehma za Allah!

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17253 жыл бұрын

    Masha Allah tabaraka Rahman kwa kweli ume sema maneno ya hikma Mwenye Enzi Mungu akupe nguvu na akustiiri yaarab

  • @ibinmgeta2406
    @ibinmgeta24063 жыл бұрын

    Pamoja na mibangi yako inayo kufanya ufanye ujinga ila MaashaAllah umejitahid kumlea bint vyema,

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    3 жыл бұрын

    True

  • @omanimujsa9756

    @omanimujsa9756

    3 жыл бұрын

    Masha allah kazur

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @depaolo3461

    @depaolo3461

    3 жыл бұрын

    Bangi kwetu dawa

  • @nassirtwaha3750
    @nassirtwaha37503 жыл бұрын

    Great Tunda, an ideal daughter/son's job is not kumkosoa mzazi mbele ya jamii but kumuombea msamaha mbele ya jamii. Allah ni mwingi wa Rehma. Sishangai kuona alimuumba afande Sele na mapungufu yake kama binadamu,lakini akamtunuku binti muelevu kama Tunda. Hio itoshe kumuaminisha Afande Sele uepo,ukubwa na utukufu wa Mungu.

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d3 жыл бұрын

    Jaman n taharuki tuu kakiri kakosa pia hakuamin jaman kama kweli baba burian katutoka 😭😭😭ndomaana maneno yamemtoka ila binadam hasitahil kumuhukum mtu allah atamsamehe

  • @halimamasai2234
    @halimamasai22343 жыл бұрын

    Maashaall binti wa Afande sele unabusara sana mungu azidi kukuongoza kwenye njia hiyo hiyo inshalaah nimekupenda kweli na baba nimemsamehe kwa maneno yako ya busara allhaa akulinde

  • @faraolion6822
    @faraolion68223 жыл бұрын

    Mungu ni mwingi wa rehma na mwenye kusamehe

  • @aswimjuomaly6415
    @aswimjuomaly64153 жыл бұрын

    Bila upendeleo jmn uyu binti kafanan na afande sele mchunguz kw umakini em♡♡♡mrembo san mashallah....

  • @alisele5299

    @alisele5299

    3 жыл бұрын

    Macho kama baba

  • @saidsuleiman1753

    @saidsuleiman1753

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa ila hata Diamond tulikuwa tukiona amefana na Mzee Abdul siku za nyuma.

  • @alisele5299

    @alisele5299

    3 жыл бұрын

    @@saidsuleiman1753 yule mduwanzi kamkazia tu mzee Abdul, mdingi wake yule

  • @kibongobongo4608

    @kibongobongo4608

    3 жыл бұрын

    @@saidsuleiman1753 🤓🤓🤓

  • @shardalove1159

    @shardalove1159

    3 жыл бұрын

    @@saidsuleiman1753 hehee

  • @liliansamson674
    @liliansamson6743 жыл бұрын

    Afande Selle pia ni mzuri wa sura, mtoto amefuata sura ya babake pia.

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri49403 жыл бұрын

    She is so beautiful Girl. Congrats Afande Sele.

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm3 жыл бұрын

    Asante Abinti humeongea vzr sana tunda yaani umeongea km uliandika mdg wangu nikweli ulichoongea sijui unasomea uwanasheria mungu akuongoze insha allah

  • @ramadhaniamiri8003
    @ramadhaniamiri80033 жыл бұрын

    Afande mzee wa darubini kari mtoto umepata muombe mungu amkuze zaid yuko vizur ira punguza au acha virev we kioo cha jamii

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael61233 жыл бұрын

    Miungu iko mingi lakini MUNGU wakweli ni mmoja na MUNGU wakweli amesha msamehe .Afande Sele MUNGU wetu sio Kama sisi wana damu hata Mimi nilichukia Sana nafikiri ni Bora MUNGU awafutilie mbali wanadamu

  • @bahatisunga1642
    @bahatisunga16423 жыл бұрын

    Halellujah Bint Mzuri Na mwenye hekima Mungu azidi kukutunza ♥️

  • @glorykimonge8629
    @glorykimonge86293 жыл бұрын

    Kwa kweli anaakili Binti Huyu. Mungu ambariki

  • @bidallahamadi4076
    @bidallahamadi40763 жыл бұрын

    MashaAllah,mdada waongea na busara Mungu akubariki, Coz km n watt wengne wangeongea vibaya Au pia kumtenga

  • @gwakisaeddie4856
    @gwakisaeddie48563 жыл бұрын

    Kweli ni Tundajema, unaongea vizuri na hekima pia, hongera sana

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81143 жыл бұрын

    Mashaallah unamtoto mzuri afande Kisha unafanya yasio stahili unamuumiza mtoto

  • @hammerQ954
    @hammerQ9543 жыл бұрын

    Mwanangu tunda umekuwa Mashallah🙏🙏🙏🙏❤❤ M/mungu azidi kukusimamia🙏🙏

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani19893 жыл бұрын

    Binti smart sana kichwani

  • @aleyabra8005
    @aleyabra80053 жыл бұрын

    Maashalwah , afande nlpenda kaz zako sana .ila na hapa nimependa napenda niwe mkweo kw heshma yako mtoto umemlea kaleleka kimavaz tu unamjua n mtoto wa aina gani afand badilika huu n wakat wa kuitw babu kijana asijekosa fraha jengne naomb ukae na wasomi wa dini wakupe hekma unapopata mshtuko uo nd ushaur wangu

  • @hashimothman9676
    @hashimothman96763 жыл бұрын

    Tunda amejibu points sana, 🔥🔥🔥

  • @mariavianeypeter2991
    @mariavianeypeter29913 жыл бұрын

    Dada umeongea vizuri sana.

  • @alexwambura4220
    @alexwambura42203 жыл бұрын

    Kwetu binadamu tunashia kumpa maonyo na kumwelekeza mwenendo mwema na ushahidi wa uwepo wa Mungu. Mengine tumwachie Mungu mkuu,muweza wa yote. Sisi hatuna ubavu wa kumpigania Mungu. Yeye hapangiwi,sio Afande Sele wala sisi wala viongozi wa dini tunaoweza kumwamuru Mungu kumuua Afande Sele. Mwenyezi Mungu amempangia mwisho wake,lakini Mungu ataimarisha imani zetu kupitia kwa Afande Sele.

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani96163 жыл бұрын

    Maashallah,Well Spoken. Insh'aalah Allah amsamehe Afande Sele.

  • @jumamayunga7472
    @jumamayunga74723 жыл бұрын

    Daaa huyu ni mama Samia ajaye

  • @tatuwenn2028
    @tatuwenn20283 жыл бұрын

    Dada tunda umekua mkubwa jaman mashallah

  • @omarialfaaruuq6643
    @omarialfaaruuq66433 жыл бұрын

    Mtende jangwani jamani katunda mashallah kina hekima za ajabu allah atamuongoza baba yako

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross11323 жыл бұрын

    Masaha wa Mungu ni mkubwa labda ndugu yetu ilikuwa bange Mungu msamehe akijutia

  • @asiaissa976
    @asiaissa9763 жыл бұрын

    Assalamu alaykum wewe mwanawe toa tangazo kuwa wasiizisambaze hizo clip zake ataezisambaza atajua lakujibu kwa mungu bas inshaallah hawayasambaza

  • @kurshidsaleh1499

    @kurshidsaleh1499

    3 жыл бұрын

    Wazo zuri tena zingefutwa kabisa youtube zisibaki humo zinazidi kutazamwa

  • @salumbadalu3456
    @salumbadalu34563 жыл бұрын

    Hakuna kosa lisilosameheka kikubwa atubie toba ya kweli

  • @lelozaina8711
    @lelozaina87113 жыл бұрын

    Afande sele aliumizwa sana na msiba kufata vile Rais alimlilia Mungu akasema tusifunge ma kanisa bali tumuombe Mungu

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Tunda halikuwa mdogoo jamanini watu wanakuwa saana masha allah

  • @heriethnjau2137
    @heriethnjau21373 жыл бұрын

    Tumsamehe Afande sele hukumu Ni juu ya Mungu mwenyewe

  • @abdulkatalango2890
    @abdulkatalango28903 жыл бұрын

    mashaallah dada umeongea vizuri kwanza anaestahili kuombwa msamaha na toba ni ALLAH yeye ndio aliekosewa sisi watanzania pia mshauri sana baba atubie kwa Allah na aomuombe msamaha, sisi watanzania au niseme mimi binafsi nimemsamehe baba yako kupitia hekma na busara zako

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu3 жыл бұрын

    Huyu mtoto is very bright kwa jinsi anavyo jibu maswali

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Duh nlkuwa nkkuckia tu tunda Afande akkutaja ktk ngoma zke kumbe tunda n mkali kiac iki???

  • @Basagamp4

    @Basagamp4

    3 жыл бұрын

    Hahahaha Utamfuata Rayvanny weweeeeeeee

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343

    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343

    3 жыл бұрын

    Tunda maarufu jina kuliko yeye!! Nimemsikia tangu nikiwa mdogo ila sikuwahi kumuona..

  • @wangonamuhange8218
    @wangonamuhange82183 жыл бұрын

    Mtoto anakili uyu anaKili sana

  • @mutomubaya
    @mutomubaya3 жыл бұрын

    Shukran Dada yetu. Allah akuongoze upate ushindi ule sahihi wa kimaisha

  • @saidisaid4964
    @saidisaid49643 жыл бұрын

    Ubarakiwe tunda seleman msinfe, lnsha Allah mwenyezi atamsamehe maana husame kwa waja wake

  • @ericaanu6538
    @ericaanu65383 жыл бұрын

    Bangi sio nzuri aache Afande, anaropoka hovyo, Mungu si wa mchezo anajuwa yalio kwenye nafsi yake kama kaogopa watu walivyo Kuja juu baada ya clip Ile ndio ajifanye kujirudi ajiandae na vita ya Mungu na kama kwa dhati kajuta ache bangi na maasi arudi kwa Mungu kwa dhati akirudia wehu wake sijui ataenda kuishi wapi kaisha chosha watu Mara achomwe moto akifa bangi Inampeleka speed

  • @azizawadh5973
    @azizawadh59733 жыл бұрын

    Ilikua kidogo tu nichane picha tuliopiga mwanza miaka ilee. Nimegairi Allah akusamehe inshaallah

  • @cefinelgon2548
    @cefinelgon25483 жыл бұрын

    Very nice, loved da way yu strongly speak, gotta go miss afande

  • @dahelahmed8288
    @dahelahmed82883 жыл бұрын

    Asalaam aleikum, nashkur kwa ujasiri wako Tunda. Ukiwezeshwa unaweza

  • @rajabjr478
    @rajabjr4783 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @nuryatmussa9966
    @nuryatmussa99663 жыл бұрын

    MASHAALAH Tabaraqallah Mwenyez Mungu akuzidishie kheri❤

  • @aminasaid7657
    @aminasaid76573 жыл бұрын

    Good girl mashaallah tabaraka Allah

  • @khalidallynganzojr1676
    @khalidallynganzojr16763 жыл бұрын

    Kweli Bi Tunda, yule ni baba yako na atabaki kuwa baba yako na Mwenyezi Mungu ndiye Mjuzi.

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi50203 жыл бұрын

    Hekima yako idumu binti Mungu Muumba akuandae vyema kwa ajili ya uongozi wa jamii ya kesho.

  • @riddickb7358
    @riddickb73583 жыл бұрын

    Ww dada mwambie baba yako awache kuvuta bange . Amrudie Mungu . Asali pamoja na kufanya ibada nyingine . Mungu atamsamehe . Baba yako amemkosea Mungu sana . Anamtukana Mungu mwenye ulimwengu huu . Dah afande Sele kweli ulichanganyikiwa .

  • @omisamjr4864
    @omisamjr48643 жыл бұрын

    Da natamani hata nikatoe posa kwa afande Sele mashaallah

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du3 жыл бұрын

    Masha allah. Jema hili Tunda.

  • @jackilinram1083
    @jackilinram10833 жыл бұрын

    Mungu ndio msemaji wa mwisho atamsamehe

  • @venelandakundi63
    @venelandakundi633 жыл бұрын

    Usiwe na shaka Mungu amsamehe hata hivyo ni jaziba iliyompata baada ya k usikia msiba

  • @azizajarwan303
    @azizajarwan3033 жыл бұрын

    Dada Sisi hatumlaumu bali tunamuonya akome na akome kabisa tabia yake yaani kila anapokosa kazi ya kufanya lazima amtafute mungu wetu mara mungu hivi mara mungu vile sio mara ya kwanza wala ya pili.amezoea hiyo .ndo tabia yake, sisi mungu huyu anaemtukana yeye tunamuabudu tena huku tunalia usiku na mchana na tunamuogopa na tunamuonya asipime nguvu na uwezo wake akome kabisa na haki amungu nakuapia kama hataacha tabia yake hiii ya kutukana Allah basi wallahi atalia kwa machozi ya damu lakini kama kisha omba msamaha sisi.tunakaa pembeni tena hiyo inakuwa .sio kazi yetu ni baina yake yeye na mola wake kwani allah ni mwingi wa kusamehe na kurehemu.

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi97833 жыл бұрын

    Nimeamini moto huzaa jivu . Afande Sele kamzaa huyu binti ???

  • @omarathman3827

    @omarathman3827

    3 жыл бұрын

    Huu mfano wako hauingiliani hapa maana mtoto ndie moto kumliko baba ambaye yafaa awe ni jivu.

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    3 жыл бұрын

    Afande nimemsamehe na Nina muombea kwa Allah amsmehe familia inamuangalia

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    @@omarathman3827 😂😂😂😂

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah72423 жыл бұрын

    Macho yameendana na babaake..😘😘

  • @nabirabakary4209
    @nabirabakary42093 жыл бұрын

    Man sha Allah...kadada kazuri sana na kamejistrii .hongere sana Afande Sele

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba57473 жыл бұрын

    good girl umeongea vizuri dada tunda Allah akupe uvumilivu na akulinde na mabaya

  • @godwinnkya7128
    @godwinnkya71283 жыл бұрын

    Upo vizuri.Mungu akusaidie na umsaidie baba yako.alipitiliza lakini ameomba msamaha na Mungu cku zote ni kwenye huruma na wa kusamehe.

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir88263 жыл бұрын

    Mungu atujaliye mwisho mwema kwa kweli huu ni mtihani mkubwa ukiwa unaamini umeubwa na utakufa basi tujitahidini kuwa na hofu ya mungu

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman17533 жыл бұрын

    Dah yani huwezi amini ni mtoto wa afande Sele

  • @omarymbalala6224

    @omarymbalala6224

    3 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @ramamchina4730

    @ramamchina4730

    3 жыл бұрын

    Baba ako ange kuwa jilan na mm kichwa chake ninge pika supu baba ako lana ya allah imshukie

  • @busta_malik5971

    @busta_malik5971

    3 жыл бұрын

    @@ramamchina4730 😂😂😂

  • @salimabdallah9290
    @salimabdallah92903 жыл бұрын

    Huyu mtoto ameongea vizuri sana hata mimi nimemusamehe

  • @mhehear
    @mhehear3 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akupe hekima na busara.. mwenyezi mungu ni mwingi wa rehma na tawba yake ikubaliwe 🙏🙏

  • @farhatmuhanna7351

    @farhatmuhanna7351

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii16763 жыл бұрын

    Hana maneno mengi anajibu swali inatosha tena kwa ufasaha hana shangwe engekua akina fulani hapo kiengereza feki kama chote

  • @AP-uk3mq
    @AP-uk3mq3 жыл бұрын

    MashaAllah, very smart girl

  • @neemamihiko4493

    @neemamihiko4493

    3 жыл бұрын

    Hongera sana afande sele kwa kutubia mungu atakusamehe inshaallah

  • @teddyteddy6309
    @teddyteddy63093 жыл бұрын

    Hongera nizipeleke kwa Afande Sele jamaniii kipindi Akili ziko Timamu alipambana sana tena sana nahuyu Mtoto Tunda jamaniii yani daaaah

  • @alexjopata5756
    @alexjopata57563 жыл бұрын

    Binti anauwezo mzuri sana wa kujieleza, Ana akili na ufamu wa Mambo.

  • @jameschristian5876

    @jameschristian5876

    3 жыл бұрын

    Haka katoto kamekuwa sasa

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin92203 жыл бұрын

    Masha Allah,tunda bint mzuri sana

  • @salmawangu2589
    @salmawangu25893 жыл бұрын

    ALLAH ana huruma saana n mtt wake mzr mashallah na ana akili ya kufikiria

  • @ashwramashallah7242

    @ashwramashallah7242

    3 жыл бұрын

    Naam

  • @zubemillionea1766
    @zubemillionea17663 жыл бұрын

    Mtoto mashaallah anaakili sana hongera yake kwa upeo

  • @marthakilusungu8317
    @marthakilusungu83173 жыл бұрын

    Tunda Jamani, mtoto was rafiki yangu Asha

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo53063 жыл бұрын

    Kumbe Huyu ndio tunda aliekua akimuimba imba kwenye ngoma zake,sasa babamkwe sele mbona ganja inakupeleka vibaya😂

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    3 жыл бұрын

    Omary Lukindo umenichekesha sana aahhahaaa

  • @marianamontoedi2333
    @marianamontoedi23333 жыл бұрын

    Asamehewe Afande Sale kwani mshituko ni mkubwa

  • @oliverkyando9897
    @oliverkyando98973 жыл бұрын

    Mtangazaji usimuulize mtoto, Et ameichukuwa nafasi ya mama swali gani hilo ,kumbuka huyo ni mtoto

  • @salimabdillah1623
    @salimabdillah16233 жыл бұрын

    I personally namvua cheo namuita Selemani na si afande tena, ajue, the msg sent, Uislam ni real business, asilete mzaha mzaha.Dada Tunda mpe daawa mzee.

  • @aliaminiurassa5716

    @aliaminiurassa5716

    3 жыл бұрын

    we are da same page broo mi nlimshusha vyeo siku ileile nlikuwa fan yake kitambo sana ila hapo kazingua sio afande sele ni sele mabangi

  • @mariamashale6691
    @mariamashale66913 жыл бұрын

    beautiful and smart mind girl

  • @abulghareebzimbawy790
    @abulghareebzimbawy7903 жыл бұрын

    We're Bint Sawa maneno ya busara ..lkn pia washukuru Masheikh na watanzania walio mkosoa babayko ..maana wao wamechangia pakubwa Kwa hizo lawama kutubu Kwa babayko..pngne asingegeuka nyuma kamwe Lait wangekaa kmyaa ..

  • @lomnyakikimoi2118
    @lomnyakikimoi21183 жыл бұрын

    Mashallhy

  • @simonanthonykayombo6913
    @simonanthonykayombo69133 жыл бұрын

    Afande Sele anabahati sana kuwa na mtoto mwenye akiri na nidhamu kama TUNDA. Kwa maisha ya King ni Neema kuwa na binti kama huyu maana kuna mashekhe na wachungaji watoto wao ni Paula type. Uapomuona Afande chizi jua ana mchango mkubwa wa uelewa wa huyu binti.

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu49333 жыл бұрын

    Masha Allah Tunda umekuwa mdada mwenyewe unaongea vizuri hongera sana binti Seleman Msindi

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    3 жыл бұрын

    Mkubwa kama fatma

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    3 жыл бұрын

    @@Pedeshee01 hapana bado sanaa ye kumfikia Fatma!

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    3 жыл бұрын

    Fatma mkubwa ehh hongera

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    3 жыл бұрын

    @@Pedeshee01 sanaa!

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    3 жыл бұрын

    Basi mimi mkubwa mwenzako njoo

  • @mckobatz5861
    @mckobatz58613 жыл бұрын

    Very smart my daughter Tundajema

  • @hassani974jaile8
    @hassani974jaile83 жыл бұрын

    Sio unaomba tumsamehee kwa sababu ww umemsamehee sema kwasababu Mungu ametufundisha kusemehana tena yeye ndie wakuombwa huo msamaha pia tambueni Mungu ni mwengi Rehema tena ni mwenye uhuruma ukweli tujitaiidi kuchunga ndimi zetu maana ni adui mkubwa wa matendo yetu..... Inshaallah Mungu ndie muweza na ndie anaejua cha msingi km ametubu basi mungu ndie anajua

  • @yusufusudusudu3173
    @yusufusudusudu31733 жыл бұрын

    Mtoto yupo kwenye anajitahidi ktk dini ila dingi mtihan.

  • @hannoshabani9118
    @hannoshabani91183 жыл бұрын

    Maashaalah

  • @Basagamp4
    @Basagamp43 жыл бұрын

    Happy Family!! Heshima Sana kwako Afande

  • @swalehejeilani8112
    @swalehejeilani81123 жыл бұрын

    Masha alaaah

  • @binomarkheir3367
    @binomarkheir33673 жыл бұрын

    Huyu baba ako ametudhalilisha sana kwaiyo na usilichukulie Hilo swala la kawaida yy kaumia kuondoka Magu ss tumeumia kuondoka Mtume wetu Ila haya ni mapito ache kuvuta mabangi yke laanatu allah

  • @mussaagrey5679
    @mussaagrey56793 жыл бұрын

    Binti safi sana

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho35263 жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah Binti kichwa sana Allah akuongoze

  • @fadhilfarid1310
    @fadhilfarid13103 жыл бұрын

    Well said Tunda

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu42613 жыл бұрын

    Katunda kalikuwaga kadogo sahv kamekuwa jmn 🤣miaka y nyuma nilikutana ana afamde sele msamvu stendi kakabeba hako katunda

  • @aishasalum7936

    @aishasalum7936

    3 жыл бұрын

    😂🤣

  • @enezermwafrica7961
    @enezermwafrica79613 жыл бұрын

    kioo cha jamii kimekuwa kioo cha kumtukana Mungu!... hovyoo!

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын

    Ndio inaelekea alijutia mana alisema ameomba, msamaha kwa mungu naona na yeye pia aliomba msamaha kwa watanzania

Келесі