#EXCLUSIVE
Ойын-сауық
#EXCLUSIVE: MTOTO wa AFANDE SELE AFUNGUKA BABA YAKE KUMTUKANA MUNGU - "NIMEUMIA"
GLOBAL TV imezungumza na mtoto wa kwanza wa mwanamuziki, Afande Sele, anayefahamika kwa jina la Tunda, kufuatia kauli alizozitoa baba yake ambazo kwa namna moja ama nyingine zimefasiriwa na watu ni kama amemkashfu Mungu kwa kumchukua Hayati Magufuli.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 445
Ma shaa Allah msichana mrembo makini mwenye hekima na busara mungu akuzidishie na akunusuru na akupe stara
@mbwanakiting7180
3 жыл бұрын
We mtangazaji sauti lako baya alafu umevaa tishet linamaandishi ya Japan...we vipi
@jenyyusuph4973
3 жыл бұрын
Mzuri kama Nini jamani
@highvoltages4169
3 жыл бұрын
@@mbwanakiting7180 huyo jamaa ni mtani wako? Naona umeamua kumtania 😀😁😁😁
@mustyboymaalim2070
3 жыл бұрын
@@mbwanakiting7180 kuwa na adabu na ushughulike na maisha yako
@mbwanakiting7180
3 жыл бұрын
@@mustyboymaalim2070 musty sijui maanake nini boy ni mtoto wa kiume...adabu sijui ipi maana wewe umetukana mwenzio niliyemwambia kaanza Kula mayai sauti ikae vizuri ili awe mtangazaji Bora...so kila kitu kusifia..tunakosoa ili ajirekebishe itangazaji unaanzia ktk usmati...musty booy
Afande sele mm nataka huyu tunda awe mkamwana wangu nime mpenda sana Mtoto mdogo but ako na wisdom kama king Solomon. Be blessed my daughter ❤️❤️
Mwenyezi Mungu amsameh Afande Sele na amuongoze katika njia sahihi. Nampa Hongera Afande kwa kumlea mtoto wetu TUNDA maana yupo smart na mwenye kujiheshimu maa shaa Allah ni Tunda kweli. Tofauti na wasanii wengine mpaka watoto wao wanajiingiza matatizoni yaani Afande Sele na Tunda ni wapo tofauti ila ni matunda ya Afande mwenyewe kakuza mtoto katika maadili. Mwenyezi Mungu amuongoze na vizazi vyake
Mungu akubariki dada na akupe uthabiti...una sifa stahiki za kuitwa mtoto mwema. Allah awe nawe..Amiyn.
Hongera tunda umekuwa mdada sasa nilikuacha kunduchi girls ukiwa kidat cha kwanza mwaka 2013 Allah azidi kukuongoza katika maadili mema ya kumjua Mungu
Hongera AFANDE SELE kwa kuwa na mtoto Kichwa
KASHFA iliomkuta Afande Sele inaweza ikawa ni sababu ya yeye kupata NURU ya ALLAH. Tumuombee Dua sote kwa wingi Inshaa Allah.
@rashidhusain2958
3 жыл бұрын
Tena sana, tusikate tamaa na rehma za Allah!
Masha Allah tabaraka Rahman kwa kweli ume sema maneno ya hikma Mwenye Enzi Mungu akupe nguvu na akustiiri yaarab
Pamoja na mibangi yako inayo kufanya ufanye ujinga ila MaashaAllah umejitahid kumlea bint vyema,
@antybabybintrashid2333
3 жыл бұрын
True
@omanimujsa9756
3 жыл бұрын
Masha allah kazur
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@depaolo3461
3 жыл бұрын
Bangi kwetu dawa
Great Tunda, an ideal daughter/son's job is not kumkosoa mzazi mbele ya jamii but kumuombea msamaha mbele ya jamii. Allah ni mwingi wa Rehma. Sishangai kuona alimuumba afande Sele na mapungufu yake kama binadamu,lakini akamtunuku binti muelevu kama Tunda. Hio itoshe kumuaminisha Afande Sele uepo,ukubwa na utukufu wa Mungu.
Jaman n taharuki tuu kakiri kakosa pia hakuamin jaman kama kweli baba burian katutoka 😭😭😭ndomaana maneno yamemtoka ila binadam hasitahil kumuhukum mtu allah atamsamehe
Maashaall binti wa Afande sele unabusara sana mungu azidi kukuongoza kwenye njia hiyo hiyo inshalaah nimekupenda kweli na baba nimemsamehe kwa maneno yako ya busara allhaa akulinde
Mungu ni mwingi wa rehma na mwenye kusamehe
Bila upendeleo jmn uyu binti kafanan na afande sele mchunguz kw umakini em♡♡♡mrembo san mashallah....
@alisele5299
3 жыл бұрын
Macho kama baba
@saidsuleiman1753
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ila hata Diamond tulikuwa tukiona amefana na Mzee Abdul siku za nyuma.
@alisele5299
3 жыл бұрын
@@saidsuleiman1753 yule mduwanzi kamkazia tu mzee Abdul, mdingi wake yule
@kibongobongo4608
3 жыл бұрын
@@saidsuleiman1753 🤓🤓🤓
@shardalove1159
3 жыл бұрын
@@saidsuleiman1753 hehee
Afande Selle pia ni mzuri wa sura, mtoto amefuata sura ya babake pia.
She is so beautiful Girl. Congrats Afande Sele.
Asante Abinti humeongea vzr sana tunda yaani umeongea km uliandika mdg wangu nikweli ulichoongea sijui unasomea uwanasheria mungu akuongoze insha allah
Afande mzee wa darubini kari mtoto umepata muombe mungu amkuze zaid yuko vizur ira punguza au acha virev we kioo cha jamii
Miungu iko mingi lakini MUNGU wakweli ni mmoja na MUNGU wakweli amesha msamehe .Afande Sele MUNGU wetu sio Kama sisi wana damu hata Mimi nilichukia Sana nafikiri ni Bora MUNGU awafutilie mbali wanadamu
Halellujah Bint Mzuri Na mwenye hekima Mungu azidi kukutunza ♥️
Kwa kweli anaakili Binti Huyu. Mungu ambariki
MashaAllah,mdada waongea na busara Mungu akubariki, Coz km n watt wengne wangeongea vibaya Au pia kumtenga
Kweli ni Tundajema, unaongea vizuri na hekima pia, hongera sana
Mashaallah unamtoto mzuri afande Kisha unafanya yasio stahili unamuumiza mtoto
Mwanangu tunda umekuwa Mashallah🙏🙏🙏🙏❤❤ M/mungu azidi kukusimamia🙏🙏
Binti smart sana kichwani
Maashalwah , afande nlpenda kaz zako sana .ila na hapa nimependa napenda niwe mkweo kw heshma yako mtoto umemlea kaleleka kimavaz tu unamjua n mtoto wa aina gani afand badilika huu n wakat wa kuitw babu kijana asijekosa fraha jengne naomb ukae na wasomi wa dini wakupe hekma unapopata mshtuko uo nd ushaur wangu
Tunda amejibu points sana, 🔥🔥🔥
Dada umeongea vizuri sana.
Kwetu binadamu tunashia kumpa maonyo na kumwelekeza mwenendo mwema na ushahidi wa uwepo wa Mungu. Mengine tumwachie Mungu mkuu,muweza wa yote. Sisi hatuna ubavu wa kumpigania Mungu. Yeye hapangiwi,sio Afande Sele wala sisi wala viongozi wa dini tunaoweza kumwamuru Mungu kumuua Afande Sele. Mwenyezi Mungu amempangia mwisho wake,lakini Mungu ataimarisha imani zetu kupitia kwa Afande Sele.
Maashallah,Well Spoken. Insh'aalah Allah amsamehe Afande Sele.
Daaa huyu ni mama Samia ajaye
Dada tunda umekua mkubwa jaman mashallah
Mtende jangwani jamani katunda mashallah kina hekima za ajabu allah atamuongoza baba yako
Masaha wa Mungu ni mkubwa labda ndugu yetu ilikuwa bange Mungu msamehe akijutia
Assalamu alaykum wewe mwanawe toa tangazo kuwa wasiizisambaze hizo clip zake ataezisambaza atajua lakujibu kwa mungu bas inshaallah hawayasambaza
@kurshidsaleh1499
3 жыл бұрын
Wazo zuri tena zingefutwa kabisa youtube zisibaki humo zinazidi kutazamwa
Hakuna kosa lisilosameheka kikubwa atubie toba ya kweli
Afande sele aliumizwa sana na msiba kufata vile Rais alimlilia Mungu akasema tusifunge ma kanisa bali tumuombe Mungu
Tunda halikuwa mdogoo jamanini watu wanakuwa saana masha allah
Tumsamehe Afande sele hukumu Ni juu ya Mungu mwenyewe
mashaallah dada umeongea vizuri kwanza anaestahili kuombwa msamaha na toba ni ALLAH yeye ndio aliekosewa sisi watanzania pia mshauri sana baba atubie kwa Allah na aomuombe msamaha, sisi watanzania au niseme mimi binafsi nimemsamehe baba yako kupitia hekma na busara zako
Huyu mtoto is very bright kwa jinsi anavyo jibu maswali
Duh nlkuwa nkkuckia tu tunda Afande akkutaja ktk ngoma zke kumbe tunda n mkali kiac iki???
@Basagamp4
3 жыл бұрын
Hahahaha Utamfuata Rayvanny weweeeeeeee
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
3 жыл бұрын
Tunda maarufu jina kuliko yeye!! Nimemsikia tangu nikiwa mdogo ila sikuwahi kumuona..
Mtoto anakili uyu anaKili sana
Shukran Dada yetu. Allah akuongoze upate ushindi ule sahihi wa kimaisha
Ubarakiwe tunda seleman msinfe, lnsha Allah mwenyezi atamsamehe maana husame kwa waja wake
Bangi sio nzuri aache Afande, anaropoka hovyo, Mungu si wa mchezo anajuwa yalio kwenye nafsi yake kama kaogopa watu walivyo Kuja juu baada ya clip Ile ndio ajifanye kujirudi ajiandae na vita ya Mungu na kama kwa dhati kajuta ache bangi na maasi arudi kwa Mungu kwa dhati akirudia wehu wake sijui ataenda kuishi wapi kaisha chosha watu Mara achomwe moto akifa bangi Inampeleka speed
Ilikua kidogo tu nichane picha tuliopiga mwanza miaka ilee. Nimegairi Allah akusamehe inshaallah
Very nice, loved da way yu strongly speak, gotta go miss afande
Asalaam aleikum, nashkur kwa ujasiri wako Tunda. Ukiwezeshwa unaweza
MashaAllah
MASHAALAH Tabaraqallah Mwenyez Mungu akuzidishie kheri❤
Good girl mashaallah tabaraka Allah
Kweli Bi Tunda, yule ni baba yako na atabaki kuwa baba yako na Mwenyezi Mungu ndiye Mjuzi.
Hekima yako idumu binti Mungu Muumba akuandae vyema kwa ajili ya uongozi wa jamii ya kesho.
Ww dada mwambie baba yako awache kuvuta bange . Amrudie Mungu . Asali pamoja na kufanya ibada nyingine . Mungu atamsamehe . Baba yako amemkosea Mungu sana . Anamtukana Mungu mwenye ulimwengu huu . Dah afande Sele kweli ulichanganyikiwa .
Da natamani hata nikatoe posa kwa afande Sele mashaallah
Masha allah. Jema hili Tunda.
Mungu ndio msemaji wa mwisho atamsamehe
Usiwe na shaka Mungu amsamehe hata hivyo ni jaziba iliyompata baada ya k usikia msiba
Dada Sisi hatumlaumu bali tunamuonya akome na akome kabisa tabia yake yaani kila anapokosa kazi ya kufanya lazima amtafute mungu wetu mara mungu hivi mara mungu vile sio mara ya kwanza wala ya pili.amezoea hiyo .ndo tabia yake, sisi mungu huyu anaemtukana yeye tunamuabudu tena huku tunalia usiku na mchana na tunamuogopa na tunamuonya asipime nguvu na uwezo wake akome kabisa na haki amungu nakuapia kama hataacha tabia yake hiii ya kutukana Allah basi wallahi atalia kwa machozi ya damu lakini kama kisha omba msamaha sisi.tunakaa pembeni tena hiyo inakuwa .sio kazi yetu ni baina yake yeye na mola wake kwani allah ni mwingi wa kusamehe na kurehemu.
Nimeamini moto huzaa jivu . Afande Sele kamzaa huyu binti ???
@omarathman3827
3 жыл бұрын
Huu mfano wako hauingiliani hapa maana mtoto ndie moto kumliko baba ambaye yafaa awe ni jivu.
@azizawadh5973
3 жыл бұрын
Afande nimemsamehe na Nina muombea kwa Allah amsmehe familia inamuangalia
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
@@omarathman3827 😂😂😂😂
Macho yameendana na babaake..😘😘
Man sha Allah...kadada kazuri sana na kamejistrii .hongere sana Afande Sele
good girl umeongea vizuri dada tunda Allah akupe uvumilivu na akulinde na mabaya
Upo vizuri.Mungu akusaidie na umsaidie baba yako.alipitiliza lakini ameomba msamaha na Mungu cku zote ni kwenye huruma na wa kusamehe.
Mungu atujaliye mwisho mwema kwa kweli huu ni mtihani mkubwa ukiwa unaamini umeubwa na utakufa basi tujitahidini kuwa na hofu ya mungu
Dah yani huwezi amini ni mtoto wa afande Sele
@omarymbalala6224
3 жыл бұрын
😁😁😁
@ramamchina4730
3 жыл бұрын
Baba ako ange kuwa jilan na mm kichwa chake ninge pika supu baba ako lana ya allah imshukie
@busta_malik5971
3 жыл бұрын
@@ramamchina4730 😂😂😂
Huyu mtoto ameongea vizuri sana hata mimi nimemusamehe
Mwenyezi mungu akupe hekima na busara.. mwenyezi mungu ni mwingi wa rehma na tawba yake ikubaliwe 🙏🙏
@farhatmuhanna7351
3 жыл бұрын
Ameen
Hana maneno mengi anajibu swali inatosha tena kwa ufasaha hana shangwe engekua akina fulani hapo kiengereza feki kama chote
MashaAllah, very smart girl
@neemamihiko4493
3 жыл бұрын
Hongera sana afande sele kwa kutubia mungu atakusamehe inshaallah
Hongera nizipeleke kwa Afande Sele jamaniii kipindi Akili ziko Timamu alipambana sana tena sana nahuyu Mtoto Tunda jamaniii yani daaaah
Binti anauwezo mzuri sana wa kujieleza, Ana akili na ufamu wa Mambo.
@jameschristian5876
3 жыл бұрын
Haka katoto kamekuwa sasa
Masha Allah,tunda bint mzuri sana
ALLAH ana huruma saana n mtt wake mzr mashallah na ana akili ya kufikiria
@ashwramashallah7242
3 жыл бұрын
Naam
Mtoto mashaallah anaakili sana hongera yake kwa upeo
Tunda Jamani, mtoto was rafiki yangu Asha
Kumbe Huyu ndio tunda aliekua akimuimba imba kwenye ngoma zake,sasa babamkwe sele mbona ganja inakupeleka vibaya😂
@fatmazullu4933
3 жыл бұрын
Omary Lukindo umenichekesha sana aahhahaaa
Asamehewe Afande Sale kwani mshituko ni mkubwa
Mtangazaji usimuulize mtoto, Et ameichukuwa nafasi ya mama swali gani hilo ,kumbuka huyo ni mtoto
I personally namvua cheo namuita Selemani na si afande tena, ajue, the msg sent, Uislam ni real business, asilete mzaha mzaha.Dada Tunda mpe daawa mzee.
@aliaminiurassa5716
3 жыл бұрын
we are da same page broo mi nlimshusha vyeo siku ileile nlikuwa fan yake kitambo sana ila hapo kazingua sio afande sele ni sele mabangi
beautiful and smart mind girl
We're Bint Sawa maneno ya busara ..lkn pia washukuru Masheikh na watanzania walio mkosoa babayko ..maana wao wamechangia pakubwa Kwa hizo lawama kutubu Kwa babayko..pngne asingegeuka nyuma kamwe Lait wangekaa kmyaa ..
Mashallhy
Afande Sele anabahati sana kuwa na mtoto mwenye akiri na nidhamu kama TUNDA. Kwa maisha ya King ni Neema kuwa na binti kama huyu maana kuna mashekhe na wachungaji watoto wao ni Paula type. Uapomuona Afande chizi jua ana mchango mkubwa wa uelewa wa huyu binti.
Masha Allah Tunda umekuwa mdada mwenyewe unaongea vizuri hongera sana binti Seleman Msindi
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
Mkubwa kama fatma
@fatmazullu4933
3 жыл бұрын
@@Pedeshee01 hapana bado sanaa ye kumfikia Fatma!
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
Fatma mkubwa ehh hongera
@fatmazullu4933
3 жыл бұрын
@@Pedeshee01 sanaa!
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
Basi mimi mkubwa mwenzako njoo
Very smart my daughter Tundajema
Sio unaomba tumsamehee kwa sababu ww umemsamehee sema kwasababu Mungu ametufundisha kusemehana tena yeye ndie wakuombwa huo msamaha pia tambueni Mungu ni mwengi Rehema tena ni mwenye uhuruma ukweli tujitaiidi kuchunga ndimi zetu maana ni adui mkubwa wa matendo yetu..... Inshaallah Mungu ndie muweza na ndie anaejua cha msingi km ametubu basi mungu ndie anajua
Mtoto yupo kwenye anajitahidi ktk dini ila dingi mtihan.
Maashaalah
Happy Family!! Heshima Sana kwako Afande
Masha alaaah
Huyu baba ako ametudhalilisha sana kwaiyo na usilichukulie Hilo swala la kawaida yy kaumia kuondoka Magu ss tumeumia kuondoka Mtume wetu Ila haya ni mapito ache kuvuta mabangi yke laanatu allah
Binti safi sana
Mashallah mashallah mashallah Binti kichwa sana Allah akuongoze
Well said Tunda
Katunda kalikuwaga kadogo sahv kamekuwa jmn 🤣miaka y nyuma nilikutana ana afamde sele msamvu stendi kakabeba hako katunda
@aishasalum7936
3 жыл бұрын
😂🤣
kioo cha jamii kimekuwa kioo cha kumtukana Mungu!... hovyoo!
Ndio inaelekea alijutia mana alisema ameomba, msamaha kwa mungu naona na yeye pia aliomba msamaha kwa watanzania