USICHO KIJUA KUHUSU MAGUFULI NA AFANDE SELE

Пікірлер: 40

  • @gaspermganga8900
    @gaspermganga89002 жыл бұрын

    Jamaa smart sana huyu. Sema kwasababu watanzania wengi wapo usingizi hawawezi elewa. Huyu jamaa smart sanaaaa trust me

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho2 жыл бұрын

    Safi sana Afande,unaongea ukweli wako.

  • @salubrown4013
    @salubrown4013 Жыл бұрын

    Braza naku Elewa sana lmani ya kweli sikila MTU Anayo Nasi kwenda kani sani wara msikitini mungu mwenyewe humpa mja wake wengi wao wana lgiza sana Awajui wana chofata kwenye nyumba zal Bada

  • @adamgunewe4164
    @adamgunewe41642 жыл бұрын

    Big up mfalme sele..jpm4rever

  • @cishahayosaidi3162
    @cishahayosaidi31622 жыл бұрын

    Asante kaka sele nakuelewa sana brother wangu

  • @meddymushimaz4998
    @meddymushimaz49982 жыл бұрын

    Uposawa sana ndugu,unauzalendo wahaliyajuu

  • @melvinkanje440
    @melvinkanje4402 жыл бұрын

    Jomba Ulikua Right mkuu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Upo zaidi ya kiongozi lkn tatizo hatuna uwezo wakukufanya uwe kiongozi

  • @kwestadakar3106
    @kwestadakar31062 жыл бұрын

    Kaka sele makufuli lile ni diamond sio zaabu ss tulia na jk

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Ee ila huku mwisho umenichekesha et mm mlevi mm si swali nakunywa pombe mmm mungu akutoe huko uliko ndugu uwe na imani ya KWELI na salama

  • @luhenderafael1460
    @luhenderafael14602 жыл бұрын

    I dint expect afande uko vizuri Sana mwenye kusikia na asikie

  • @husseinkisuni3688
    @husseinkisuni36882 жыл бұрын

    Huyu blaza ana akil nyingi sana na nahis Ndio mana kuna wakat zinamwagik

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28482 жыл бұрын

    Kweli baba.huna unafiki.msema kweli mpenzi wa Mungu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Iiii huyu baba sijapata kuona anavyo ipenda nchi yake

  • @francisosward6930
    @francisosward69302 жыл бұрын

    Huwezi amini Kuna watu wanampinga

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar49052 жыл бұрын

    Vyema sanaa afande

  • @denisruvugo1764
    @denisruvugo17642 жыл бұрын

    Hakuna mtu anajua kujielezea kama huyu ankali wangu @afande sele

  • @zawadijoel7516
    @zawadijoel75162 жыл бұрын

    Uko vizuri sana kaka

  • @kalimbeabdallah2585
    @kalimbeabdallah25852 жыл бұрын

    True

  • @josephkibiki8138
    @josephkibiki8138 Жыл бұрын

    Kaka

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Sukutegemea kama kaka huyu ana hakili kama hii

  • @tindadyreal3208
    @tindadyreal32082 жыл бұрын

    🔥🔥🔥💯

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    DAAH una hakili kubwa mno kuna upinzani makoti tu

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 Жыл бұрын

    Hamna msimamo

  • @zedekchamagogo1223
    @zedekchamagogo12232 жыл бұрын

    Sio kweli zito hajafukuzwa kwa sababu hyo

  • @richardlizomba1291
    @richardlizomba1291 Жыл бұрын

    Afande uko good kinyamaa

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын

    JPM a.k.a Brudozer RIP 😭😭 u still alive

  • @mdimimdimi4282
    @mdimimdimi42822 жыл бұрын

    Nakukubali xn Afande Selle

  • @joezeno8

    @joezeno8

    2 жыл бұрын

    Wee mweu tulia

  • @zaburonjoshua6987

    @zaburonjoshua6987

    2 жыл бұрын

    Kunasiku tafungasafali kwaajiliyako Nije nikuone

  • @sulleyally5040
    @sulleyally50402 жыл бұрын

    Sema ukweli afande kila cku usiogope tupo pamoja na ww

  • @charlesmasesa89
    @charlesmasesa89 Жыл бұрын

    Respect kaka

  • @malimatv4828
    @malimatv48282 жыл бұрын

    Wewe ni mzalendo

  • @kwestadakar3106
    @kwestadakar31062 жыл бұрын

    Kaka sele upo sii sema apo kwa mama tumefeli jembe alipo

  • @joelsulle1110
    @joelsulle11102 жыл бұрын

    Unafiki huo! Kukaa kwa mwenyekiti kulikughasi nini wewe kama siyo kufeli mahesabu au target?

  • @Alikuku8
    @Alikuku82 жыл бұрын

    Afande sele fala sana endelea kupatia nafsi raha tu bangi na ulevi ndo dini yako

  • @leleyg899
    @leleyg8992 жыл бұрын

    Oyaaa weee lasta awezi kuwa mnafki

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Watoto wako watakukomboa kwa sala

  • @John_B_Best
    @John_B_Best Жыл бұрын

    Kina eleweka

Келесі