AFANDE SELE AIBUA MAPYA KIFO CHA MAGUFULI ''ILINIPONZA NIMELALA POLISI SIKU 7'' ATAMANI MAGUFULI DAY

Пікірлер: 266

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta4 ай бұрын

    Afande Selle umeongea MADINI matupu, tuko pamoja.

  • @nestor384
    @nestor3844 ай бұрын

    My God Afande nimepack gari kukusikiliza you have drown deep down my emotions Salute Sele Msiba wa Magufuli uliniumiza sana sana

  • @mwajumashaibuomary7363

    @mwajumashaibuomary7363

    4 ай бұрын

    Hakika

  • @JofreyMsigwa-ok7hv

    @JofreyMsigwa-ok7hv

    4 ай бұрын

    Sana mw amba

  • @patrinraura1397
    @patrinraura13974 ай бұрын

    Tupo pamoja Kijana wetu Afande Sele Hakika unamheshimisha Mwamba wetu Hayati Dr Magufuli ambaye baadhi ya Wanasiasa na hasa kwenye chama chake wanavyomwandama vibaya" "Sikiliza kwenye majukwaa hawaangalii mema aliyoyatenda kwa Umma wa Watanzania wanashupalia makosa aliyoyatenda kama Binadamu"Mungu ampuzishe mahali pema PEPONI

  • @user-oc7ur4ob1e

    @user-oc7ur4ob1e

    4 ай бұрын

    Pole sana Afande sele. Tuko pamoja tunamkumbuka daima kama alivyosema yeye.

  • @user-gw8wv2zf2g
    @user-gw8wv2zf2g4 ай бұрын

    Natamani nigonge like mara mbili Ila haiwezekani

  • @jumaally4263
    @jumaally42634 ай бұрын

    Kumbe Afande Sele ni mtu mwenye akili sana. Nilikuwa namwelewa kinyume. Hongera sana umeongea ukweli mtupu. Sina la kusema. Ila wewe ni hazina ya badae. Mungu akuongezee vyema

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko25464 ай бұрын

    True patriotic and leader of Africa rest in perfect heaven Dr Jpm

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim51564 ай бұрын

    Hakuna wa kuvaa viatu vya Magufuli waliobaki hivi sasa ni wanafiki hata Mtume Muhammad alikuwa nao wanafikii

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba9984 ай бұрын

    Kati ya Maraisi niliyotokea kuwaelewa Africa Ni gadafi na magufuli,mungu awalaze mahali pema peponi 🙏

  • @mohamedslh5478

    @mohamedslh5478

    4 ай бұрын

    Na Thomas sankara

  • @SALEHSALEH-lk5jr

    @SALEHSALEH-lk5jr

    4 ай бұрын

    Na Mugabe

  • @Mamie-zm8cq
    @Mamie-zm8cq4 ай бұрын

    kumbe una akili hivyo Afande Sele, yote unayosema ni kweli, na mm niliumia sana.R.I.P mwamba.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo58274 ай бұрын

    Umesema sawa kabisa Sele 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74914 ай бұрын

    Hakuna maendeleo nchi hii bila magu saahv ni wizi tuu

  • @EzzyEddy-il3ce

    @EzzyEddy-il3ce

    4 ай бұрын

    Katika watu waloumizwa na kifo Cha Magu na wewe ni Mmoja wao nakufatilia since mr president Magufuli yupo hai ulikua hupitwi na ishu yoyote ya Magufuli still had Leo hii ukiona title ya Magufuli lazima upite Hadi nimefahamu jina lako,kiukweli na mm pia ni miongoni mwao rafik yangu

  • @johnsosy3128
    @johnsosy31284 ай бұрын

    Umeongea vizuri sana brother.

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba20534 ай бұрын

    Pole sana. Ni msiba uliotuuma watanzania wote. Ila kazi ya Mungu haina makosa

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw4 ай бұрын

    Magufuli alikuwa kama viongozi waliokuwepo ulaya waliibadili ulaya kutoka chini mpaka walipo. Ila hatuambiwi eti democracy wao wameanzisha democracy 1978 wakati wameshaweka mambo yao sawa .leo wanaongea uhamiaji tu kila kitu chao kipo sawa maono yako mungu akubaliki kk binadamu ni wachache hilo ulijue.

  • @Ushauri235
    @Ushauri2354 ай бұрын

    Niliona mengi Sana wakati wa magufuli tena makubwa 1.flyover 2.reli ya kisasa 3.usimamizi wa madini 4.usimamizi kwa watumishi wa umma 5.ununuzi wa ndege 6.samaki wengi 7.kubadili mindset ya watu Duuu na mengine mengi Hakiki taifa letu lilipoteza kiongozi hodari

  • @user-zy6vq6lz7z

    @user-zy6vq6lz7z

    4 ай бұрын

    Lakn leo sifa zinaenda kwa msimbe

  • @marcoakyoo760

    @marcoakyoo760

    4 ай бұрын

    Alafu kuna boya moja linaelea kwenye sifa ya Magufuli 😢

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z4 ай бұрын

    Sijawahi kuumia moyo kama kifo cha magufuli RIP jpm

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya27234 ай бұрын

    Afande sele Mungu akutangulie you're right ✅

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im4 ай бұрын

    Daaah, kifo hicho cha mwamba sikuamini! Yaaan vitu ambavyo nilivyokuwa nimepanga vimefeli baada ya kifo chake, Mungu aendelee kumpuzisha salama!

  • @maureenkemei8762
    @maureenkemei87624 ай бұрын

    Pumzika kwa amani Rais wetu mpendwa Hayati Dr. John Pombe Magufuli. Huku Kenya tunakukumbuka sana❤.

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi61914 ай бұрын

    Nimefurahi kusikia Afande Sele yuko detailed kiasi cha kufahamu Giants of the world, Mussoline, Hitler etc na harakati zao, inaonesha unapenda kusoma na kufatilitia mambo!.

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui4 ай бұрын

    Katika Marais wa Africa huyu mwamba alikuwa KICHWA.

  • @OscerShop
    @OscerShop4 ай бұрын

    Na alisema kwamba sikumoja mtanikumbuka

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris96384 ай бұрын

    Hakika kifo cha hayati magufuli hakita sahaurikz tuliumia na bado tunaumia mungu atujalie tuzid kusafir salama ingawa tunaumia.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51924 ай бұрын

    Afande sele umemikosha kusema ngano hazidum magugu yanadum😊😊😊

  • @user-dt9st1ko1f
    @user-dt9st1ko1f4 ай бұрын

    Allah amrehem magufuli wetu kipenz cha watu jaman angekuwepo tungukuwa mbal san wanyonge allah allah mpe pepo ya firdaus milele laima sasahv hawangaliwi wanyonge nauli zipo juu sana baba tunakukubuka sana 😭😭

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala59024 ай бұрын

    Jpm tulikupenda Sana❤

  • @user-yd3cj5xs1z
    @user-yd3cj5xs1z4 ай бұрын

    Magufuli alikuwa "True Leader" Tukubali tumepoteza Assert.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson1994 ай бұрын

    Yaan we acha tu Afande Sele ila Mungu anajua

  • @abdulkadirgafla3889
    @abdulkadirgafla38894 ай бұрын

    Wakubwa wa serekali ndani ya ikulu wako na siri kubwa! Tafakarini hilo. Msipumbazwe kwakua Tanzania ni nchi ya amani 🙏🙏🙏 MAGU WAS THE BEST

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    4 ай бұрын

    Kabisaa...!! Hawakupendwa waendeshwe...!

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui4 ай бұрын

    Hakika Mungu alimtuma atupiganie lakini wale wasiopenda maendeleo ya Tz wakahakikisha wanaikatiza safari yake. Mungu akulaze Mahalia pema unapostahili mwamba. Rip Mwamba Magu.

  • @saidbakar-qo6ri

    @saidbakar-qo6ri

    4 ай бұрын

    Kosa lake ni kuwafilisi watu Mali zao na kuwakamua wawekezaji mpaka wakaanza kukimbia nchi na uchumi ulishaanza kuporomoka polepole ila sisi masikini tulifurahi hali hiyo si unajua tena mtu masikini anavyofurahia anguko la mwenzake akawabana wapinzani ili asikike peke yake hakupenda kupingwa wala kukosolewa

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    4 ай бұрын

    ​@@saidbakar-qo6riuchumi ulipanda tulikuwa uchumi wa kati blue Leo tuko wapi?

  • @jamesmasome359

    @jamesmasome359

    4 ай бұрын

    Hujitambui ww.​@@saidbakar-qo6ri

  • @ebonybhoke5321

    @ebonybhoke5321

    4 ай бұрын

    ​@@saidbakar-qo6ri wewe ulikuwa mmoja wa waliofilisiwa?

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani46204 ай бұрын

    Iv Yan mtu kalala bado anamguso kwawatu lkn Kuna watu wako hai hawana sifa kabisa Oh! Hallelujah 🙌 Dr JOHN POMBE JOSEPH MAGUFUL lala salama kamanda uliamusha na kufungua Akili za wengi Hilo n kusudi la MUNGU juu ya wateule wake mwamba umelala na ulale salama kpnz Cha Tanzania na Africa kwa ujumla.

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je4 ай бұрын

    Nikweli mungu muweke magu peponi

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo58274 ай бұрын

    Tumepoteza sasa hivi ni dhiki tupu Wamasai wanyonge nk

  • @OscerShop
    @OscerShop4 ай бұрын

    Afande Sele ukweli nikwamba waliombeza magufuri walikuja ni Mafisadi na waliokua na uchu wa mafaraka

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda4 ай бұрын

    Kabisa kaka mtaani ovyo sana, ukiachana na uchawa wa mama unaupga mwingi ila kitaa kimaharibika

  • @user-te1gg8uj7j

    @user-te1gg8uj7j

    4 ай бұрын

    Ndo vizuri so tulimkataa tukasema dikteta Sasa ndio tufaidi Hali hii Sasa !

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    4 ай бұрын

    @@user-te1gg8uj7j😢😢😢😢WANAFIKI TU

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi61914 ай бұрын

    Umeongea kwa ufupi lakini katika mpangalio mzuri sana!.

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel2164 ай бұрын

    Sema afande selle ana akili nyingi saana huyu jamaa Mungu akupe maisha marefu zaidi

  • @jworld1480
    @jworld14804 ай бұрын

    umeongea kwa hisia sana kaka ni wachache tu wanayajua makuu aliyoyafanya jpm

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh4 ай бұрын

    Daa I'm speechless be blessed Afande.

  • @user-oc7ur4ob1e
    @user-oc7ur4ob1e4 ай бұрын

    MUNGU AMUWEKE KTK NURU YA USO WAKE APUMZIKE KWA AMANI KIPENZI CHETU.

  • @OscerShop
    @OscerShop4 ай бұрын

    Nikweli kabisa maana ofisi zote za selikali watu walikua wanasikilizwa maneno ya njoo kesho yaliisha kabisa

  • @mohamedslh5478

    @mohamedslh5478

    4 ай бұрын

    kweli kabisa kk yani mtu wako chini unaskizwa nakupewa heshima

  • @MnaitheBigname
    @MnaitheBigname4 ай бұрын

    Niko pamoja nawe afande Sele ila kazi ya Mungu aina makosa

  • @hamisimuhammad3656

    @hamisimuhammad3656

    4 ай бұрын

    Sasa kama upo pamoja na afande selle Sasa unatuambia sis ili iweje?😊😊😊

  • @user-nb6yh2bn9y

    @user-nb6yh2bn9y

    4 ай бұрын

    ​@@hamisimuhammad3656 tulia mbona unawaka kama Moto wabangi kwani amekuita kwenye coment yake 😏😏😏

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    4 ай бұрын

    ​@@hamisimuhammad3656uko na shida mingi xn😅😅😅😅😅😅

  • @josephsaghana1056
    @josephsaghana10564 ай бұрын

    True man umesema kweli sanaaa tuko pamoja sana mm pia ila JPM hapana.😢😢😢😢😢

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js4 ай бұрын

    Kaka na kukubali sanaaaaa afandee seleeee kaka wee akili zako ni OG

  • @TPW_FLUXY
    @TPW_FLUXY4 ай бұрын

    Pamoja afande sele huyo rais alikuwa wa aina yale😊

  • @user-pr7pe4lf8p
    @user-pr7pe4lf8p4 ай бұрын

    Sio ww tu kamanda inauma Sana aisee Kwa wale walioipenda Tz

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary73634 ай бұрын

    Maneno yako yananiliza sana

  • @yayananajota5838
    @yayananajota58384 ай бұрын

    Wl take 100years to find new magufuli, RIP king 👑magufuli

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe93354 ай бұрын

    Nikweli kabisa Mimi naamini ipo siku mwili wake utapimwa upya

  • @user-xb2qd6ik6d

    @user-xb2qd6ik6d

    4 ай бұрын

    Ndg,yangu itatusaidia nini!

  • @emilyKassiano-oo5iy
    @emilyKassiano-oo5iy4 ай бұрын

    Afande sele 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @weiryalema8057
    @weiryalema80574 ай бұрын

    Narudia Tena Afande umeongea ukweli mtu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story4 ай бұрын

    Kwakweli mpaka sasa sijawai amini kama kweli magufuri Kafariki nikirudi tz ndo nitaamini maana niko ndotoni😢

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga60474 ай бұрын

    ❤Tuliya ndg mutungie mashauri mazuri kama kumuenzi hii ni dunia tunapita,pole saana mwanangu zMungu atakulinda usife moyo Wote niwaja wake kwake nitalejea

  • @mussakiuzio-wq2jm
    @mussakiuzio-wq2jm4 ай бұрын

    Kizuri hakidumu kazi ya mungu haina makosa pumzika kwa amani JPM!!

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd4 ай бұрын

    kweli bn mama kaluhusu kila mtu ale ulefu wakamba yake dah mungu huyu bx bn yeye ndie anajua kuliko sisi ila watu wabaya sana hata kama wamemtanguliza ili wapate vyweo na nakukusanya mapesa ya kutosha pita kaliakoo sasa ivi2 uone magolofa yanavovunjwa nakujegwa

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    4 ай бұрын

    Wee acha ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @joezeno8
    @joezeno84 ай бұрын

    Afande Sele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯💯🔥

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik4 ай бұрын

    Tutasubiri sana kumpata kama magufuli

  • @user-lj7jv8xo7v
    @user-lj7jv8xo7v4 ай бұрын

    Pumizika salama baba tulikupenda sana magufuli

  • @user-jb7nh5pp2e
    @user-jb7nh5pp2e4 ай бұрын

    Salute afande sele❤❤❤❤

  • @ramamohamed8392
    @ramamohamed83924 ай бұрын

    Daah thanks for this Afande 😢

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t4 ай бұрын

    Yaani uongozi wa Dr Magu ulitufanya kuuelewa zaidi uongozi ninini nakututoa woga kutuweka kwenye mwanga fulani

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z4 ай бұрын

    Bg nakupata ndani yá 🇲🇿🇲🇿

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin31214 ай бұрын

    Rip mz magu.maneno yako niya busara na maono yako ni mapana mno hata kama wanasema nabii hana heshima kwao.magu kafanya mingi sana,kwasasa mama anayandelesha!na kuna wengine watakao tokeya kama magu akina makonda mbona wako vizuri tu kwanye siyasa.magu mwenyewe ashaga nena hayo maneno mbele ya umati kwamba viongoze wazee ndio waliouwa inchi.na akawaambiya lukuvu,na kabudi,ya kwamba hawawezi kuwa ma raisi juu uzee unaanza kuwatawala.tanzinia ni inchi tajiri ukipata viongozi wema mbona ni haraka kuwa na mabadiliko harara.karibuni tanzania itapinzana na chine.kwenye uzinduzi wa zahabu mupya inayo patikana africa. Na inawezekana kati ya inchi tatu za africa moja itakuwa juu kwa iyo chine watashuka kamataifa.kuna madini yanayo patinakana tanzania na ni muhimu sana kimataifa.nayanapatina inchi tatu barani africa,mijawapo ni mozambike,madascare,na tanziania.ni madini ya thamani sana.mnamo mwaka 2026 njo uvumbuzi wa hayo madini utaanzishwa.ongera

  • @elikanakagembe7530
    @elikanakagembe75304 ай бұрын

    Ni kweli wapo watu walio Fulahia kifo cha Mangufuli lakini leo wanajutia

  • @homeboy2307
    @homeboy23074 ай бұрын

    Bado nampenda sana magufuli

  • @NailahMarwa
    @NailahMarwa4 ай бұрын

    Kwa imani yangu JPM ni mtume wa Mwenyezi Mungu naamini ata andikwa na ata somwa na vizazi vijavyo, Time will tell .

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    4 ай бұрын

    Hakuna mtume tena haw wengne wanafata tu nyayo zao ktk matendo

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf44294 ай бұрын

    ( MTAKATIFU MAGUFULI ) St JPM mimi sio mtz ila naamini pia uyu alikuwa ni mtume wa Mungu

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    4 ай бұрын

    Ukimuita mtakatifu unamaanisha nini?..

  • @thelonewolf4429

    @thelonewolf4429

    4 ай бұрын

    @@noelbryson7840 wazungu wanavoitaga watu wao waliofanya makubwa kwenye mataifa yao huwa waafrika kama wewe hamusemagi chochote ila wa kwetu mnaleta ubishi . Learn or perish

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    4 ай бұрын

    ​@@noelbryson7840vyovyote utakavyoelewa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74384 ай бұрын

    Magufuli alikuwa mwamba kupatikana Rais kama huyo mpaka Mungu apende tena maana Serikali ya sasa hivi ni ya awamu ya nne iliyojaa wezi awamu ya sita kuuzwa kwa bandari zote kuwaondoa wamasai kwenye ardhi yao

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba61994 ай бұрын

    Hakika aisee

  • @davidnyaonge2035
    @davidnyaonge20354 ай бұрын

    Tupo pamoja Afande hata mimi navhukizwa na Tabia za utegemezi

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely29284 ай бұрын

    Pamoja sana kaka mkubwa mi mwenyewe niliumia sana rais wangu mpendwa mchapa kazi niliyasema mengi moyoni mwangu

  • @musapfute6608
    @musapfute66084 ай бұрын

    Wise man, nakukubali sana afande upo vzr sana

  • @christianlutego1288
    @christianlutego12884 ай бұрын

    Afande umenena, kweli kbsa siku Moja huyu Magu atatangazwa mtakatifu , ni mgumu kuelewa.ww n nabii,

  • @user-te1gg8uj7j
    @user-te1gg8uj7j4 ай бұрын

    Wataanza kukufigisu wanapoona unamuongelea na kumpenda magufuli!,,maana hawataki hata kumsikia!

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv4 ай бұрын

    Daah! MI MAGUFULI nilimuona Nabii wa kizazi cha sasa ,,r i p magu.

  • @piuslugata4931
    @piuslugata49314 ай бұрын

    ❤❤ jiwe magufuri

  • @innocent91044
    @innocent910444 ай бұрын

    Afande Sele ana akili mingi sana huyu bwana. Bug up brother. Uko vizuri sana. Sisi huku tunaendelea na maombolezo ya kifo cha JPM. Kila kukicha ni maombolezo tuu.

  • @catherinemdage4905
    @catherinemdage49054 ай бұрын

    Hakika afande selle umenifanya nilie mno ., daa hakika Magu Umetuacha njia panda wanyonge mweeeeeeeeeee.

  • @marcoakyoo760
    @marcoakyoo7604 ай бұрын

    Pole sana mi mwenyewe nilikuelewa sana sana hali iliyokupata

  • @anosiata8242
    @anosiata82424 ай бұрын

    Mungu amulaze mahari mpema peponi hata mimi nilimupenda jpm

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert41794 ай бұрын

    Kwa kweli tutazidi kumkumbuka huyu mwamba ❤❤❤❤🙏🙏

  • @Diana-lf3nr
    @Diana-lf3nr3 ай бұрын

    Nimefurahi kusikia mpendwa wetu snaongelewa❤❤

  • @user-us5xl4zu3r
    @user-us5xl4zu3r4 ай бұрын

    Afande Sele,umenigusa sana kwa kweli.Waliokukamata wote wasamehe bure.Ndo nchi yetu ilipofikia kwa sasa.Mwenye haki hana haki lakini wale wasiostahili haki,ndio wanaonekana wenye haki.Tutamkumbuka Magufuri daima.

  • @Manyesha6290
    @Manyesha62904 ай бұрын

    Thank u afade hakika hapo ndo naelewa why uliimba msnii ni kioo

  • @JumanneSamike77
    @JumanneSamike773 ай бұрын

    Afande sele umeongea kitu kikubwa Sana mama Samia ikikupendeza mpe Hata ukuu wa wilaya atatupa kitu watanzania. Ebu jaribu kumwamini umpe nafasi serikalini.

  • @user-ul2qg8ds6f
    @user-ul2qg8ds6f4 ай бұрын

    Magufuli na Nyerere ndo walikuwa Marais ambao walio kuwa na uchungu na nchi yake na kuwasaidia na kuwa na uchungu na wanachi wake

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama16894 ай бұрын

    Much respect afande sele😢

  • @user-te1gg8uj7j
    @user-te1gg8uj7j4 ай бұрын

    Na wao na mavitambi yao wataenda tu!hata wamiliki serikali mpaka kwenye nguo zao za ndani wataondoka siku moja!

  • @emilyKassiano-oo5iy
    @emilyKassiano-oo5iy4 ай бұрын

    Mimi nililia sanaaa usiku ule

  • @SaluMaige-sc8bm
    @SaluMaige-sc8bm4 ай бұрын

    Sasa tunataabika maisha ngumu

  • @bethaelnsumyirambobpraise7794
    @bethaelnsumyirambobpraise77944 ай бұрын

    Duuuh majb makubwa sana majbu ya akili sana kama una akili unawez kujua

  • @emanuelelias4695
    @emanuelelias46954 ай бұрын

    Afande kweli ww ni kichwa sana msema kweli na mwenye uzalendo wa hari ya juu

  • @lucasbonface-lv5ek
    @lucasbonface-lv5ek4 ай бұрын

    Nakubali wwe sio mnafki ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sambulugu9988
    @sambulugu99884 ай бұрын

    Hakika Afande Sele! Apumzike kwa amani!

  • @davidkamando9630
    @davidkamando96304 ай бұрын

    Kweli kabisa mbunge sio mfadhili ni muwakilishi.... Mkipokea pesa zake akipata nafasi atapambana kuzirudisha... Kataeni pesa zake kipindi cha kampeni ili awajibishe ipasavyo

  • @user-pt4jf7lg3z
    @user-pt4jf7lg3z4 ай бұрын

    R.I.P Magufuli kipenzi cha watanzania walio wangonye

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba11134 ай бұрын

    RIP Magu. Tujifunze kuwalinda viongozi wetu wazalendo.

  • @allyomary2271
    @allyomary22714 ай бұрын

    Point sana lakini namna unavyoziwasilisha ndio kwenye changamoto punguza Jani la arusha

  • @user-te1gg8uj7j

    @user-te1gg8uj7j

    4 ай бұрын

    Your wrong!sisi 18:45 tunamwelewa

  • @7675kio
    @7675kio4 ай бұрын

    Hicho kilikuwa chuma. Kwa miaka sita aliyokuwa madarakani amefanya makubwa!

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi13184 ай бұрын

    RIP JPM ❤️❤️❤️

Келесі