Elizabeth Michael - PISHI LA LULU CHAPATI
Ойын-сауық
Elizabeth Michael - PISHI LA LULU Episode 1
© 2020 - EM
Karibu EM Kitchen, karibu jikoni kutazama PISHI LA LULU.
AZANIA UNGA WA NGANO WA UHAKIKA..!!
Subscribe to stay up to date on anything from your favorite actress Elizabeth Michael (LULU)
KZread: / elizabethmichaelofficial
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmichaelofficial
#ElizabethMichael #PishiLaLULU #EMKitchen
Пікірлер: 494
Tunaopenda kutumia ela ili tule vizuri tujuane😋😋❤
@zuwenaali3698
4 жыл бұрын
Meh
@prettythings9548
4 жыл бұрын
@@zuwenaali3698 tupopamoja kipenzi
@praxedadominic9864
4 жыл бұрын
Mimi pia
@travelingfromwithintanzani8005
4 жыл бұрын
Hahahahah.. Tupooo
@ab3ab313
4 жыл бұрын
pownakupend.bure
Wow!! Umejitahidi sana babysisy, hii ndo tunaita beauty with lethal combination!! A woman and half!! Zingatia tu kutujulisha vipimo maana kuna watu wanawezatia kilo ya chumvi mama.
Nimeipenda unapika na kichwa umefinika, pia nimeipenda haujaweka makucha, kweli lulu unajuwa sheria za jikoni
@gloriabundala
4 жыл бұрын
Baby Hamisi
Lemmie know the Kenyans in the house
@lynemumo8348
4 жыл бұрын
We are every where darling 😂
@catherinekatiwa910
4 жыл бұрын
Yeaaaaa
@rachelracher5428
4 жыл бұрын
Ee tupo tunaangalia izo chapo zinakaa tamu aki😎
@irenelodanga8938
3 жыл бұрын
Nko ndani ya show
Much LOVE from Motherland Kenya😘😘😘😘
Nakuaminia my idol ❤️ ur the best sweetheart.
The first one to view🤗...You gud in cooking🔥
I liked this... it s even simple ❤
MASHA ALLAH, uko vizuri mwanangu lulu
Mashaallah 😍😍
My super woman😍😍😍😘.Love you very much my Lulu ,my super star,pika kelele kwa lulu ake weeeeeeeewe
Wajua had bajet ya mafuta kwa afya bora, congrats shogareeeeeeee😍😍👌👌
Mashaallah
Mansha Allah umefunika nywele na kucha za bandiya akuna👍👍👍
Ayeeeh ur the best Mpishi Lizzy ❣️
Ahsante sana mama MAJIZO
Tujuane wale wasioweza kupika bila kula kula km Lulu🤣🤣🤣 .......karoti ghafla hata sekunde jaman
@joyceshabu8880
4 жыл бұрын
Tupo
@babyhamisi5331
4 жыл бұрын
Wengi mbona
@farihiamass8739
4 жыл бұрын
@@babyhamisi5331 yaan 🤣🤣
@farihiamass8739
4 жыл бұрын
@@joyceshabu8880 🤣🤣🤣🤣
@veronicafredy4101
4 жыл бұрын
Farihia Mass hahahahahaa
Ma roll model😘😘😘 Mashallah!
Love you sana Lulu Michael
Am salivating,nice video lulu😋😋
kudos to Elizabeth my best actress she started acting with Kanumba at a very early age she is a role model I like her movies watching you Lulu from Kenya
Jitahidi uweke kabisa vipimo mam @em kitchen
Ma shaa Allah lulu umeivaaa keep it up hhhhh
Mashaallah Mwanamke mapishi hongera mwaya
Waooooh,Safii sana
Wow, nice pishi. I love them chapatis
@hadijamfanga1873
4 жыл бұрын
Jia Liu mambovipi
Nakupendaje mp💝💝💝💝💝💝💝💝
Mashallah
Alafuuu hoooo wachaga atujui kupika mmeona nyie kuku mnaosema wachaga atujui pika♥️♥️♥️ love chaga akeeeeee mwezangu
Mashaallah hongera sana
Mashaallah vle nilikuwa nakumiss lulu shukran umekuja kivigine ombi ukiwa wapika yabidi ujulishe mtu umeweka nni na nini japo tumeona maitaji pia unakada kwa mda gani na unasukama kwa uzito upi yani step by step sweetheart
@mjukuumaiige8559
4 жыл бұрын
Mchaga wa kwanza kupika chapati vizuri, hongera kwake majizzo kupata mke bora
Unajiko simple zuri sn nimelipenda sn pia safiiii nawew mwenyew umevaa poa an
Wow uko iko poa sana😍😋
Ma sha Allah mwanamke mapishi thanks my sister lulu
I love you so much my beautiful girl 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😂 Mungu akubariki
Mashaallah ni CHAPATI za ukweli kwa sisi tunajua kula chapati. Hongera sana kwa pishi zuri!!
Sana mama
Manshallah
Wow Bravo wangu Lulu❤️❤️👏🏿👏🏿
Safi
Am the second to watch feels good
@rehemaadhur5654
4 жыл бұрын
Lulu unaweza chapati nzuri nahisi unge mfundisha zari kupika chapati maana Naina yeye alipika ukoko wa ugali sio chapati
Umeweza👏👏lakini zangu ukaziona na kuonja utaulizia ujuzi wangu, kila mtu akila chapati zangu hupenda saana nashukuru
@prettydia5091
4 жыл бұрын
Tupe ujuzi dear
Safi sana Lulu.
🤩💯👌 fantastic 👏 👏
Nic so much love😗😗😗
Nataman ningeonja hzo chapat coz so amazing
Wooow, 254 here for lulu
Lulu Elizabeth my watanzania Nice. Food tunakupenda lulu jamani. I LOVE YOUU. MY LULU WETU. KALIBU MBEYA UTUPAGAWISHE WATU WAKO WATHAMANI
Amazing 🔥
My roler model lulu love u
Nice maanshaalah watu wa tanzania wako vizuri na chapati gumu maanshaalah
Mashallh nimependa kwanza haujaweka makucha hivyo ndivyo mwanamke anavyotakiwa wakati wa mapisho💘💘
Waouh naipenda saaaaana m'y luly
Upo vzr mdoangu❤❤
Hongera Lulu uko sawa🌹😘
Mimi n'a angaliya tu ujauzito ukowapi daaaaaah machoyangu 👀👀👀👀🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Ni nzuri Sana dear
Hongera Sanaaaa,
Mfundishe na dadawema sheria za jikoni.
Mashlalah majizo hapo amepata mkee nice wallah
Uko vizur mama👏👏👏👏
Wow
Good Chapati Eliza 👏
Daa Lulu , napenda kukukumbusha move fulani hivi, ambay inauchungu ndan yke Ila we ningepnda niwe na ukarm wko Ila ndo hivyo haiwezekani, anyway will love you sister lulu😍😍😘
Lulu mwaya nitafte nikufndishe chapati...umejitaidi ila bdo shogaa...😍
Love you Lulu
I love you lulu,from kenys
Mashaallah 😝👌
Great
I like it and will use this video to make mine👌sema hiyo kushikashika ikiwa kwa pan si swari sana just saying try to use kitu cha kugeuzia. Great cook
Asante sana Lulu week-end nitapika
My . All the best swry
Loves
♥️♥️
Asante mwanamuke nikujuwapiga lulu wetu
#Elizabeth_Michael_(Lulu) You are amazing ase 🤗🤗🤗
Nakupenda Bure da lulu
Mwanamke jiko👌😘
Asantee lulu nashukulu nimejifunza zaidi pishi la chapat
Hongera san lulu ww ni mwanamk wa shoka
Congratulations
Nilikumis sana lulu. Asante kwa kuja mwaaaaa penda sana
Most of watoto wa kchaga tumeishia tu kusoma bod-in schools mapishi ni tafran😂! Wachache wenye juhud ndio tunayajua! Keep it up
Sito acha kukupenda nakupenda jana leo na ata milele
Upo vizuri shoga, upo safi huna kucha remba mpk raha umenikosha nazidi kukupenda buree
😍😋👏🏽👏🏽👏🏽
Sijutii kukupenda my forever favorite lady 🤞❤️❤️❤️
@salmakiungo2538
4 жыл бұрын
Umeona ee, amenikosha sekta zote yupo
Uko vzr sana
Umejitahid kiasi tatizo mafunzo ni moja tu huongei.ktk suala la kutaka mufundisha mtu kitu maelezo yakile unachotaka kumfunza kwa wakati ule basi kutumia mdomo ninjia sahihi na yaharaka kuweza kukufahamu.hongera bint wa tz.but statement it's very very important thing.god bless you.
@ElizabethMichaelOfficial
4 жыл бұрын
ALI RASHID tatizo tukifanya kwa kuongea video itakuwa ndefu zaidi...tunaepusha kuwachosha na kuwamalizia MB😭
@alirashid3239
4 жыл бұрын
@@ElizabethMichaelOfficial exacly but you have to think Allah akubariki mtz na mjasiria mali coz hii itakupandiaha zaidi na haitokushusha.na wengi hili somo litawafunza kiundani zaidi napia nikupongeze kwa kujiwekea mazingira yauhalisia ya mpishi.kufunika nywele kuweka kucha pembeni baraka za mungu ziwe nawe kila lakheri akuweke mbali na husda matatizo.la kila lenye shari aamin thanks alot
Wow..!!😋😋 Umetudhihilishia kwamba mbali na ustaar ata jiko unalijua na linakujua 😘😘😘
@janethkomba5258
4 жыл бұрын
Nice
Yaam yaam
yako nzuri sio kama ya 😀😀😀boss lady
Woow, yummy😋😋😋
I like it chef nxt time mesuret plz . I'm from south Africa I need to try
@rosemachui1060
4 жыл бұрын
Good.ila kutumia mkono kwenye frying pan c vzr ungegeuza kwa kijiko kwan ulivyoamza kugeuza kwa mikono ungeweza ungua
🔥🔥🔥🔥
Nmependa mapishi😘😘😘
Majizo kakuweza kweli unaishu saiv aisee
Hongera mchaga mwenzangu
Daaah umeweza ila mimi napendelea maji yamoto sijui wewe lulu umetumia yapi 😂 😂 😍 😍 ❤
Unaweza kadharau kumbe kako poa kwa upishi😍😍😍