Ujumbe: Yakusanyeni kwanza magugu...... Mwanza , Tarehe 30. 02. 2002
Жүктеу.....
Пікірлер: 76
@user-fg8pk1sj8w4 ай бұрын
Yesu nisaidie niishi maisha ya utakatifu ,siku moja nifike mbinguni
@marwachacha82833 жыл бұрын
Nimemjua Dr Moses Kulola Leo 23 may 2021. Nimemhisi mzee huyu ambae ashapumzika, sauti yake imebeba ujumbe na maneno yaliyo na uhai. Kweli mungu yupo na hunena nasi kila Mara. Eeeh Mungu wangu irehemu roho yangu nisamehe dhambi zangu nikumbuke kwa kile kitabu cha uzima wa milele. Guza maisha yangu ili niwe na kiu cha kukuishia milele na milele hata kazi ya mikono yangu ikupendeze. Asante Yesu
@mashakamyali69875 жыл бұрын
Asante mungu akubarik unae lusha maubrir haya mungu akutie nguvu uendele kuyalusha jaman
@upryzeregiion58134 жыл бұрын
He was appointed by God he was soo anointed!
@rehemaperis98964 жыл бұрын
Mungu wangu nkumbuke na unihurumie mm mwanao unisamehe🙏🙏
@gozibertdeogratias59863 жыл бұрын
Jembe la Bwana Yesu, tutakukumbuka milele
@fatmafa18965 жыл бұрын
Amen kweli hii ndio injili ya kweli kabisa na MUNGU BABA yetu wa mbinguni aendelee kuku rehemu mahali uliko BABA na Amani ya BWANA I endelee kuwa nawe daima
@barakajuma20854 жыл бұрын
Shujaa wa IMANI ,mwendo umeumaliza .IMANI umeilinda.
@ladosanja30795 жыл бұрын
Glory be the Most High God, injili iletayo uzima.
@israelishilla14585 жыл бұрын
Injili isiogoshiwa haichoshi hata ungeisikia tena na tena ni tamu Mungu akubariki uliko
@pallangyoemmanuel1633
5 жыл бұрын
Aleluia
@lovenesskalenge26833 жыл бұрын
Hakika sitachok kumwinua Mungu. 🙏🙏
@wenderoserie15384 жыл бұрын
Man of God. Awesome.
@mabulahiari1355 жыл бұрын
ubarikiwe sana mtumishi wa mungu pumzika kwa amani 👏👏
@elyonnatv93004 жыл бұрын
Yesu ni muzima
@lamecklameck89215 жыл бұрын
sina la kuongeza zaidi nikuzid kujtafakar zid ya maisha yangu na kuirudia toka ilyo kamil. hakka huyu alkua ni paulo wa pil ktk kpnd cha kzaz chetu hakka nyota yako itazid ku'gala milele na milele
@benardesikuri32474 жыл бұрын
Mhubiri na mungu azidi kukubariki sana.Nakumbuka ukihubiri hapa Nairobi miaka za nyuma
@mecktildatushabe78984 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana unae rusha huu ujumbe
@martinakyoo1485 жыл бұрын
Miss u dady,Your work was so good and now it's so good.
@davidedward7281
4 жыл бұрын
Back comment zingine mnafuta mwaveja sana
@benardesikuri3247
4 жыл бұрын
Sina habari muhubiri katuacha .Hata hivyo hajatuacha yatima imetuacha na habari njema iletayo furaha mioyoni mwetu...
@hellenamasinjisa54483 жыл бұрын
2020 naangalia Tena kulola Mungu akupumzishe kwa amani,
@aggyparty2990
3 жыл бұрын
🙏
@wilisonongolo72944 жыл бұрын
MUNGU AKURIKI sana mtumishi wa MUNGU
@myself41283 жыл бұрын
Jemedari wa injili Huyu mzee abarikiwe sana alipiga kazi..nilikuwa nikiisikia tu sauti yake nasikia kabisa Uwepo wa Malaika! Watu walikuwa walifunguliwa kweli
@Hillaryedith75 жыл бұрын
Asante Yesu ulitupa zawadi ya mtumishi wa kweli. Hakika tunammiss
@sarahsulle2865 жыл бұрын
Hakika ulikuwa mtumishi wa mungu aliehai
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Huyu Baba yuko paradise
@Byondorujulika175 жыл бұрын
Ujumbe huu ni uwokovu na taa kwa wakristo na Mungu akulaze mahali pema peponi.
@anithakalist61945 жыл бұрын
Pumzika Kwa amani tutaonana Kwa Baba
@Cado_TV.5 жыл бұрын
Mbarikiwe watu wa Mungu Tufanye wokovu na kiroho chetu kuwa na ubora kila inapoitwa Leo. Stay tuned by Holy Spirit
@sadickkihaga1265
5 жыл бұрын
Samahani naomba kuuliza,ask mkuu moses kulola alikuwa nq vitabu vya neno lq Mungu?kama ndy vinapatikana wapi?nipo iringa vijijini
@sadickkihaga1265
5 жыл бұрын
Na namba zangu ni 0763032461 WhatsApp no,0655750225.
@ayubusamwel5256
4 жыл бұрын
Hakika tutakukumbuka shujaa wa injili. Tutaonana kwa Baba yetu mbinguni.
@Cado_TV.
4 жыл бұрын
@@sadickkihaga1265 hapana mkuu hakuwahi kuandika kitabu ila kuna Mtumishi wa Mungu amendika kitabu kinachohusu maisha ya Hayati Moses Kulola tangu utoto hadi kufariki kwake. Mungu akinisaidia nitakiweka Kwenye mfumo wa Audio ili watu wengi wasikie na kutiwa moyo kwa ajili ya safari yetu hii.
@sadickkihaga1265
4 жыл бұрын
@@Cado_TV. Sawa kinapatikana wapi saizi kitabu
@chrisschriss38215 жыл бұрын
ubarikiwe sana
@mussabenjamin13623 жыл бұрын
Nice
@yohanayohanamwashinani14613 жыл бұрын
Asanet mungu akubaliki
@agnesdeonatus92314 жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa Amani Baba🙏🏻
@amosialfredmwamlima6123
4 жыл бұрын
Agnes Deonatus asante kwa ukumbusho wa babayet amina
@emmanuelmlembe78745 жыл бұрын
Hallelujah
@michealseleman80135 жыл бұрын
komandoo wa iman
@yusufugeorge67824 жыл бұрын
Fresh gospel
@stevenhassan6966
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana
@calvinabihud49204 жыл бұрын
Amen
@jonhvascojavelin91645 жыл бұрын
Amina
@mosesanosa99565 жыл бұрын
Sijui kama kunaatakae ziba pengorako mtumishiwamungu
Пікірлер: 76
Yesu nisaidie niishi maisha ya utakatifu ,siku moja nifike mbinguni
Nimemjua Dr Moses Kulola Leo 23 may 2021. Nimemhisi mzee huyu ambae ashapumzika, sauti yake imebeba ujumbe na maneno yaliyo na uhai. Kweli mungu yupo na hunena nasi kila Mara. Eeeh Mungu wangu irehemu roho yangu nisamehe dhambi zangu nikumbuke kwa kile kitabu cha uzima wa milele. Guza maisha yangu ili niwe na kiu cha kukuishia milele na milele hata kazi ya mikono yangu ikupendeze. Asante Yesu
Asante mungu akubarik unae lusha maubrir haya mungu akutie nguvu uendele kuyalusha jaman
He was appointed by God he was soo anointed!
Mungu wangu nkumbuke na unihurumie mm mwanao unisamehe🙏🙏
Jembe la Bwana Yesu, tutakukumbuka milele
Amen kweli hii ndio injili ya kweli kabisa na MUNGU BABA yetu wa mbinguni aendelee kuku rehemu mahali uliko BABA na Amani ya BWANA I endelee kuwa nawe daima
Shujaa wa IMANI ,mwendo umeumaliza .IMANI umeilinda.
Glory be the Most High God, injili iletayo uzima.
Injili isiogoshiwa haichoshi hata ungeisikia tena na tena ni tamu Mungu akubariki uliko
@pallangyoemmanuel1633
5 жыл бұрын
Aleluia
Hakika sitachok kumwinua Mungu. 🙏🙏
Man of God. Awesome.
ubarikiwe sana mtumishi wa mungu pumzika kwa amani 👏👏
Yesu ni muzima
sina la kuongeza zaidi nikuzid kujtafakar zid ya maisha yangu na kuirudia toka ilyo kamil. hakka huyu alkua ni paulo wa pil ktk kpnd cha kzaz chetu hakka nyota yako itazid ku'gala milele na milele
Mhubiri na mungu azidi kukubariki sana.Nakumbuka ukihubiri hapa Nairobi miaka za nyuma
Ubarikiwe Sana unae rusha huu ujumbe
Miss u dady,Your work was so good and now it's so good.
@davidedward7281
4 жыл бұрын
Back comment zingine mnafuta mwaveja sana
@benardesikuri3247
4 жыл бұрын
Sina habari muhubiri katuacha .Hata hivyo hajatuacha yatima imetuacha na habari njema iletayo furaha mioyoni mwetu...
2020 naangalia Tena kulola Mungu akupumzishe kwa amani,
@aggyparty2990
3 жыл бұрын
🙏
MUNGU AKURIKI sana mtumishi wa MUNGU
Jemedari wa injili Huyu mzee abarikiwe sana alipiga kazi..nilikuwa nikiisikia tu sauti yake nasikia kabisa Uwepo wa Malaika! Watu walikuwa walifunguliwa kweli
Asante Yesu ulitupa zawadi ya mtumishi wa kweli. Hakika tunammiss
Hakika ulikuwa mtumishi wa mungu aliehai
Huyu Baba yuko paradise
Ujumbe huu ni uwokovu na taa kwa wakristo na Mungu akulaze mahali pema peponi.
Pumzika Kwa amani tutaonana Kwa Baba
Mbarikiwe watu wa Mungu Tufanye wokovu na kiroho chetu kuwa na ubora kila inapoitwa Leo. Stay tuned by Holy Spirit
@sadickkihaga1265
5 жыл бұрын
Samahani naomba kuuliza,ask mkuu moses kulola alikuwa nq vitabu vya neno lq Mungu?kama ndy vinapatikana wapi?nipo iringa vijijini
@sadickkihaga1265
5 жыл бұрын
Na namba zangu ni 0763032461 WhatsApp no,0655750225.
@ayubusamwel5256
4 жыл бұрын
Hakika tutakukumbuka shujaa wa injili. Tutaonana kwa Baba yetu mbinguni.
@Cado_TV.
4 жыл бұрын
@@sadickkihaga1265 hapana mkuu hakuwahi kuandika kitabu ila kuna Mtumishi wa Mungu amendika kitabu kinachohusu maisha ya Hayati Moses Kulola tangu utoto hadi kufariki kwake. Mungu akinisaidia nitakiweka Kwenye mfumo wa Audio ili watu wengi wasikie na kutiwa moyo kwa ajili ya safari yetu hii.
@sadickkihaga1265
4 жыл бұрын
@@Cado_TV. Sawa kinapatikana wapi saizi kitabu
ubarikiwe sana
Nice
Asanet mungu akubaliki
Endelea kupumzika kwa Amani Baba🙏🏻
@amosialfredmwamlima6123
4 жыл бұрын
Agnes Deonatus asante kwa ukumbusho wa babayet amina
Hallelujah
komandoo wa iman
Fresh gospel
@stevenhassan6966
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana
Amen
Amina
Sijui kama kunaatakae ziba pengorako mtumishiwamungu
@barakajuma2085
4 жыл бұрын
Moses Anosa mwakasege
Nzigere noella zibanda
nakaona kafulora Mbasha enzi enzi kasafiiiiiiiiiiii kiroho
@davidedward7281
4 жыл бұрын
Wengi tu Sikh zile walikuwa wanang'aaangalia Leo .Bb Yang uliwekea mikono pale mwanjelwa 1983
YESU NISAIDIE MM NIKUONE
HiILI ndio haswaaa NENO LA MUNGU TUNALOKUHITAJI
Msifuni bwana kwa maana fadhili zake na za milele
baba wa imani hakika wewe ulikua shujaa
Kazi yako haikuwa bure mbele za MUNGU wetu pumzika Kwa Aman baba
@ibrahimuzakayo8592
5 жыл бұрын
Daniel Frank naamini mzee kolola bwana amempumzisha mahali patakatifu paamani
@danielfrank303
5 жыл бұрын
Kwel kabsa kk
Eeeee mungu tuurumie ss wenye zambi tuokowe baba yetu tunakukumbuka?
@justineluhegwa3917
4 жыл бұрын
Hongela MZEE kulola
22-01-2021
Ima inayoishi
Simire zibanda
Barikiwa mtumishi kutuletea injili humu
@wiliammshora4744
3 жыл бұрын
Ee mungu mpe wepesi apate furaha ya mbinguni
@catyurassa3894
3 жыл бұрын
Yesu ni moto urao Moto wa uponyaji
kzread.info/dash/bejne/ZWaOy5qMlM2TqbA.html
Hakika mtu huyu yu nasi hata sasa
Frola mbasa Leo mzee Kulola akiludi utamwambia nini
@davidedward7281
4 жыл бұрын
Kadada haka sijui waume 2
Sahivi mjukuu wako shida tupu,flora babu yako akifufuka sijui utajibu nn! Mungu akurehema
@davidedward7281
4 жыл бұрын
Ila jamani shetani kampitia naye kaonngozana naye ona salsa kanisa kama chama cha siasa ,nguvuya mungu mpaka labda kwa kalumanzila
@yusuphmoses8491
4 жыл бұрын
Jaman mzee alitimiza wajibu wake
We lost the Gold that we never knew.