Dr Arch Bishop Moses kulola akihubiri 1

Ujumbe: Yakusanyeni kwanza magugu......
Mwanza , Tarehe 30. 02. 2002

Пікірлер: 76

  • @user-fg8pk1sj8w
    @user-fg8pk1sj8w4 ай бұрын

    Yesu nisaidie niishi maisha ya utakatifu ,siku moja nifike mbinguni

  • @marwachacha8283
    @marwachacha82833 жыл бұрын

    Nimemjua Dr Moses Kulola Leo 23 may 2021. Nimemhisi mzee huyu ambae ashapumzika, sauti yake imebeba ujumbe na maneno yaliyo na uhai. Kweli mungu yupo na hunena nasi kila Mara. Eeeh Mungu wangu irehemu roho yangu nisamehe dhambi zangu nikumbuke kwa kile kitabu cha uzima wa milele. Guza maisha yangu ili niwe na kiu cha kukuishia milele na milele hata kazi ya mikono yangu ikupendeze. Asante Yesu

  • @mashakamyali6987
    @mashakamyali69875 жыл бұрын

    Asante mungu akubarik unae lusha maubrir haya mungu akutie nguvu uendele kuyalusha jaman

  • @upryzeregiion5813
    @upryzeregiion58134 жыл бұрын

    He was appointed by God he was soo anointed!

  • @rehemaperis9896
    @rehemaperis98964 жыл бұрын

    Mungu wangu nkumbuke na unihurumie mm mwanao unisamehe🙏🙏

  • @gozibertdeogratias5986
    @gozibertdeogratias59863 жыл бұрын

    Jembe la Bwana Yesu, tutakukumbuka milele

  • @fatmafa1896
    @fatmafa18965 жыл бұрын

    Amen kweli hii ndio injili ya kweli kabisa na MUNGU BABA yetu wa mbinguni aendelee kuku rehemu mahali uliko BABA na Amani ya BWANA I endelee kuwa nawe daima

  • @barakajuma2085
    @barakajuma20854 жыл бұрын

    Shujaa wa IMANI ,mwendo umeumaliza .IMANI umeilinda.

  • @ladosanja3079
    @ladosanja30795 жыл бұрын

    Glory be the Most High God, injili iletayo uzima.

  • @israelishilla1458
    @israelishilla14585 жыл бұрын

    Injili isiogoshiwa haichoshi hata ungeisikia tena na tena ni tamu Mungu akubariki uliko

  • @pallangyoemmanuel1633

    @pallangyoemmanuel1633

    5 жыл бұрын

    Aleluia

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge26833 жыл бұрын

    Hakika sitachok kumwinua Mungu. 🙏🙏

  • @wenderoserie1538
    @wenderoserie15384 жыл бұрын

    Man of God. Awesome.

  • @mabulahiari135
    @mabulahiari1355 жыл бұрын

    ubarikiwe sana mtumishi wa mungu pumzika kwa amani 👏👏

  • @elyonnatv9300
    @elyonnatv93004 жыл бұрын

    Yesu ni muzima

  • @lamecklameck8921
    @lamecklameck89215 жыл бұрын

    sina la kuongeza zaidi nikuzid kujtafakar zid ya maisha yangu na kuirudia toka ilyo kamil. hakka huyu alkua ni paulo wa pil ktk kpnd cha kzaz chetu hakka nyota yako itazid ku'gala milele na milele

  • @benardesikuri3247
    @benardesikuri32474 жыл бұрын

    Mhubiri na mungu azidi kukubariki sana.Nakumbuka ukihubiri hapa Nairobi miaka za nyuma

  • @mecktildatushabe7898
    @mecktildatushabe78984 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana unae rusha huu ujumbe

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo1485 жыл бұрын

    Miss u dady,Your work was so good and now it's so good.

  • @davidedward7281

    @davidedward7281

    4 жыл бұрын

    Back comment zingine mnafuta mwaveja sana

  • @benardesikuri3247

    @benardesikuri3247

    4 жыл бұрын

    Sina habari muhubiri katuacha .Hata hivyo hajatuacha yatima imetuacha na habari njema iletayo furaha mioyoni mwetu...

  • @hellenamasinjisa5448
    @hellenamasinjisa54483 жыл бұрын

    2020 naangalia Tena kulola Mungu akupumzishe kwa amani,

  • @aggyparty2990

    @aggyparty2990

    3 жыл бұрын

    🙏

  • @wilisonongolo7294
    @wilisonongolo72944 жыл бұрын

    MUNGU AKURIKI sana mtumishi wa MUNGU

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Jemedari wa injili Huyu mzee abarikiwe sana alipiga kazi..nilikuwa nikiisikia tu sauti yake nasikia kabisa Uwepo wa Malaika! Watu walikuwa walifunguliwa kweli

  • @Hillaryedith7
    @Hillaryedith75 жыл бұрын

    Asante Yesu ulitupa zawadi ya mtumishi wa kweli. Hakika tunammiss

  • @sarahsulle286
    @sarahsulle2865 жыл бұрын

    Hakika ulikuwa mtumishi wa mungu aliehai

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Жыл бұрын

    Huyu Baba yuko paradise

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika175 жыл бұрын

    Ujumbe huu ni uwokovu na taa kwa wakristo na Mungu akulaze mahali pema peponi.

  • @anithakalist6194
    @anithakalist61945 жыл бұрын

    Pumzika Kwa amani tutaonana Kwa Baba

  • @Cado_TV.
    @Cado_TV.5 жыл бұрын

    Mbarikiwe watu wa Mungu Tufanye wokovu na kiroho chetu kuwa na ubora kila inapoitwa Leo. Stay tuned by Holy Spirit

  • @sadickkihaga1265

    @sadickkihaga1265

    5 жыл бұрын

    Samahani naomba kuuliza,ask mkuu moses kulola alikuwa nq vitabu vya neno lq Mungu?kama ndy vinapatikana wapi?nipo iringa vijijini

  • @sadickkihaga1265

    @sadickkihaga1265

    5 жыл бұрын

    Na namba zangu ni 0763032461 WhatsApp no,0655750225.

  • @ayubusamwel5256

    @ayubusamwel5256

    4 жыл бұрын

    Hakika tutakukumbuka shujaa wa injili. Tutaonana kwa Baba yetu mbinguni.

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    4 жыл бұрын

    @@sadickkihaga1265 hapana mkuu hakuwahi kuandika kitabu ila kuna Mtumishi wa Mungu amendika kitabu kinachohusu maisha ya Hayati Moses Kulola tangu utoto hadi kufariki kwake. Mungu akinisaidia nitakiweka Kwenye mfumo wa Audio ili watu wengi wasikie na kutiwa moyo kwa ajili ya safari yetu hii.

  • @sadickkihaga1265

    @sadickkihaga1265

    4 жыл бұрын

    @@Cado_TV. Sawa kinapatikana wapi saizi kitabu

  • @chrisschriss3821
    @chrisschriss38215 жыл бұрын

    ubarikiwe sana

  • @mussabenjamin1362
    @mussabenjamin13623 жыл бұрын

    Nice

  • @yohanayohanamwashinani1461
    @yohanayohanamwashinani14613 жыл бұрын

    Asanet mungu akubaliki

  • @agnesdeonatus9231
    @agnesdeonatus92314 жыл бұрын

    Endelea kupumzika kwa Amani Baba🙏🏻

  • @amosialfredmwamlima6123

    @amosialfredmwamlima6123

    4 жыл бұрын

    Agnes Deonatus asante kwa ukumbusho wa babayet amina

  • @emmanuelmlembe7874
    @emmanuelmlembe78745 жыл бұрын

    Hallelujah

  • @michealseleman8013
    @michealseleman80135 жыл бұрын

    komandoo wa iman

  • @yusufugeorge6782
    @yusufugeorge67824 жыл бұрын

    Fresh gospel

  • @stevenhassan6966

    @stevenhassan6966

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana

  • @calvinabihud4920
    @calvinabihud49204 жыл бұрын

    Amen

  • @jonhvascojavelin9164
    @jonhvascojavelin91645 жыл бұрын

    Amina

  • @mosesanosa9956
    @mosesanosa99565 жыл бұрын

    Sijui kama kunaatakae ziba pengorako mtumishiwamungu

  • @barakajuma2085

    @barakajuma2085

    4 жыл бұрын

    Moses Anosa mwakasege

  • @nsimireshokano6198
    @nsimireshokano61985 жыл бұрын

    Nzigere noella zibanda

  • @deborahjustinerwambogo8490
    @deborahjustinerwambogo84905 жыл бұрын

    nakaona kafulora Mbasha enzi enzi kasafiiiiiiiiiiii kiroho

  • @davidedward7281

    @davidedward7281

    4 жыл бұрын

    Wengi tu Sikh zile walikuwa wanang'aaangalia Leo .Bb Yang uliwekea mikono pale mwanjelwa 1983

  • @kamhongusi4513
    @kamhongusi45133 жыл бұрын

    YESU NISAIDIE MM NIKUONE

  • @rehemakaijage1364
    @rehemakaijage13643 жыл бұрын

    HiILI ndio haswaaa NENO LA MUNGU TUNALOKUHITAJI

  • @stephennguli4330
    @stephennguli43305 жыл бұрын

    Msifuni bwana kwa maana fadhili zake na za milele

  • @teddyludgery9305
    @teddyludgery93055 жыл бұрын

    baba wa imani hakika wewe ulikua shujaa

  • @danielfrank303
    @danielfrank3035 жыл бұрын

    Kazi yako haikuwa bure mbele za MUNGU wetu pumzika Kwa Aman baba

  • @ibrahimuzakayo8592

    @ibrahimuzakayo8592

    5 жыл бұрын

    Daniel Frank naamini mzee kolola bwana amempumzisha mahali patakatifu paamani

  • @danielfrank303

    @danielfrank303

    5 жыл бұрын

    Kwel kabsa kk

  • @joselawy6556
    @joselawy65565 жыл бұрын

    Eeeee mungu tuurumie ss wenye zambi tuokowe baba yetu tunakukumbuka?

  • @justineluhegwa3917

    @justineluhegwa3917

    4 жыл бұрын

    Hongela MZEE kulola

  • @davidfabian5625
    @davidfabian56253 жыл бұрын

    22-01-2021

  • @japhasonsumari1800
    @japhasonsumari18003 жыл бұрын

    Ima inayoishi

  • @nsimireshokano6198
    @nsimireshokano61985 жыл бұрын

    Simire zibanda

  • @albertludago7374
    @albertludago73745 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi kutuletea injili humu

  • @wiliammshora4744

    @wiliammshora4744

    3 жыл бұрын

    Ee mungu mpe wepesi apate furaha ya mbinguni

  • @catyurassa3894

    @catyurassa3894

    3 жыл бұрын

    Yesu ni moto urao Moto wa uponyaji

  • @mwinjilistisinwaobadia2736
    @mwinjilistisinwaobadia27364 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/ZWaOy5qMlM2TqbA.html

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe51434 жыл бұрын

    Hakika mtu huyu yu nasi hata sasa

  • @pastor.kanunikayombo7864
    @pastor.kanunikayombo78645 жыл бұрын

    Frola mbasa Leo mzee Kulola akiludi utamwambia nini

  • @davidedward7281

    @davidedward7281

    4 жыл бұрын

    Kadada haka sijui waume 2

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54795 жыл бұрын

    Sahivi mjukuu wako shida tupu,flora babu yako akifufuka sijui utajibu nn! Mungu akurehema

  • @davidedward7281

    @davidedward7281

    4 жыл бұрын

    Ila jamani shetani kampitia naye kaonngozana naye ona salsa kanisa kama chama cha siasa ,nguvuya mungu mpaka labda kwa kalumanzila

  • @yusuphmoses8491

    @yusuphmoses8491

    4 жыл бұрын

    Jaman mzee alitimiza wajibu wake

  • @stewartmillanzi7198
    @stewartmillanzi71985 жыл бұрын

    We lost the Gold that we never knew.